Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

JK kumng’oa Pinda? ....Yasemekana kaandika barua ya kujiuzulu , Mbinu ya Kikwete kumnusuru yabainika

$
0
0
HATUA ya Rais Jakaya Kikwete kuridhia kutengua uteuzi wa mawaziri wanne, sasa ina kila dalili za kumpa nafasi ya kuchukua uamuzi wenye mwelekeo mpya ndani ya muda mfupi ujao kuanzia sasa... Ni katika mwelekeo huo, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ambaye naye alitakiwa na wabunge kujiuzulu, licha ya juzi kutokuwa tayari kulizungumzia jambo hilo wakati akitangaza uamuzi wa Rais kutengua

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>