Jeshi la polisi nchini malawi
wanamshikilia kijana mmoja baada ya kumkuta akiuza sehemu ya siri ya
mwanaume.
Kijana huyo mwenye miaka 24 alikamatwa baada ya wananchi kutoa
ripoti kituo cha polisi kuwa kunamzee kalala relini huku akiwa anatokwa
damu nyingi
Polisi walifika eneo la tukio na kumkuta mzee huyo
akiwa hoi na kuamua kumkimbiza hosipitali.
Baada ya kufikishwa
↧