MKAZI
wa kijiji cha Turiani, Wilaya ya Korogwe, mkoani Tanga, Athuman Rashid
(25) amehukumiwa kutumikia kifungo cha maisha jela na adhabu ya kuchapwa
viboko sita baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa miaka
saba.
Hukumu
hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki katika Mahakama ya Hakimu Mkazi
Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya Korogwe, Arnold Kirekiano.
Kwa
mujibu wa hati ya
↧