Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Samson Mwigamba amtaka msajili wa vyama vya siasa aingile kati swala la ukomo wa Madaraka lililo ondolewa kinyemela na viongozi wa juu wa CHADEMA

$
0
0
  Mimi Samson Mwigamba, mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ninawasilisha malalamiko yangu kwa Msajili wa vyama na ninaomba atoe mwongozo kuhusu mgogoro wa kikatiba uliopo ndani ya Chama kufuatia kipengele cha katiba kinachogusia ukomo wa uongozi kubadilishwa kinyume na utaratibu.   Katiba ya Chadema ya mwaka 2004 kipengele 5.3.2 (c) inasomeka ifuatavyo kuhusu Muda

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>