1. Utangulizi
Katika kikao chake cha siku mbili kilichofanyika tarehe 20 - 22 Novemba
2013, Kamati Kuu ya CHADEMA, pamoja na mambo mengine, iliazimia kunivua
nafasi zangu zote za uongozi ndani ya chama.
Kwa mujibu wa taarifa ya
chama iliyotolewa katika mkutano na waandishi wa habari siku ya Ijumaa
tarehe 22 Novemba 2013, ilielezwa kwamba sababu za kuvuliwa uongozi mimi
na Dk
↧