Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

RIPOTI MAALUMU KUHUSU KUACHIWA HURU KWA "RAMA MLA WATU'

$
0
0
Ramadhani Suleiman 'Rama mla kichwa' (kulia) na mama yake mzazi, Khadija (katikati) walipofikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza. ------------ Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemuachiwa huru Ramadhani Suleiman (Rama mla kichwa) aliyekuwa anakabiliwa na kesi ya mauaji, baada ya kubaini hana akili timamu. Jaji Rose Temba alitoa hukumu hiyo jana kutokana na ripoti ya Dk

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles