Msemaji
wa Serikali ambaye pia ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw. Assah
Mwambene akitoa ufanunuzi kwa waandishi wa habari jana mjini Dar es
salaam juu ya taarifa zilizochapishwa na gazeti la Malawi News kuwa
Wamalawi waishio nchini Tanzania wanaogopa kutoka nje kutokana na
ubaguzi wanaofanyiwa na Watanzania taarifa ambazo sio kweli.
Msemaji
wa Serikali ambaye pia ni Mkurugenzi
↧