Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Waziri Mkuu ataka chama cha ushirika Mara kukaguliwa

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itatuma wakaguzi ili wakague mali za Chama cha Ushirika cha mkoa wa Mara.

Amesema Serikali imeanza kufuatilia mali za vyama vya Ushirika nchini zikiwemo za chama cha Ushirika mkoa wa Mara.

Waziri Mkuu alitoa kauli hiyo jana (Jumapili, Januari 21, 2018) katika kikao cha majumuisho ya ziara yake ya kikazi mkoani Mara.

Alisema ukaguzi huo utakwenda sambamba na kufuatilia fedha wanazodai waliokuwa watumishi wa chama hicho.

“Kumekuwepo na matatizo makubwa ndani ya vyama vya ushirika kiasi cha kudumaza maendeleo ya wananchi.”

Pia Waziri Mkuu aliitaka mikoa yote ikomeshe matumizi ya vipimo visivyo rasmi kama butura na kangomba ili mkulima wapate tija.

“Vipimo hivyo ni vya kinyonyaji na vinamwibia mkulima na kuwanufaisha wafanyabiashara jambo ambalo si sahihi.”

Pia Waziri Mkuu aliziagiza Halmashauri zipunguze watumishi walio kwenye Makao Makuu ya Halmashauri na kuwapeleka maeneo ya vijijini ili wakawahudumie wananchi.

Alisema watumishi watakaobaki Makao makuu ya Halmashauri wanatakiwa nao waweke utaratibu wa usafiri ili kwenda vijijini kutatua kero za wananchi.

Kwa upande wa kilimo, aliagiza Maafisa Kilimo wote wapelekwe vijijini kuwahudumia wananchi na watakaobakia Ofisini ni Mkuu wa Idara, Afisa Bustani na Afisa Utafiti tu.

Waziri Mkuu Azidi Kuwabana Wakala wa Majengo Tanzania (TBA)

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Mhandisi Elius Mwakalinga akafanye tathmini ya ubora ya jengo la kituo cha pamoja cha forodha cha Sirari kilichopo kwenye mpaka wa Tanzania na Kenya.

Ametoa agizo hilo jana (Jumapili, Januari 21, 2018) katika kikao cha majumuisho ya ziara yake ya kikazi mkoani Mara, ambapo alimuagiza Mkurugenzi huyo afanye tathmini na kuishauri Serikali kama jengo linafaa kutumika.

Januari 17, 2018 Waziri Mkuu alikagua kituo hicho kilichopo wilayani Tarime kwenye mpaka wa Tanzania na Kenya, ambapo alisema hajaridhishwa na ujenzi huo kwa kuwa upo chini ya kiwango.

Pia Waziri Mkuu alipokagua jengo hilo alijionea mwenyewe kuta za jengo hilo zikiwa na nyufa nyingi kuanzia ukutani hadi sakafuni na pia rangi za baadhi ya kuta zikiwa zimebanduka. Kituo hicho kilianza kujengwa mwaka 2011 na kukamilika mwaka 2014

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu alizungumzia kuhusu miradi ya maji inayotekelezwa katika mkoa huo, ambapo alisema “Miradi mingi ya maji mkoani Mara ni ya hovyo na fedha nyingi zimetumika na wananchi hawajapata huduma hiyo.”

Kufuatia hali hiyo Waziri Mkuu aliwaelekeza viongozi wa mkoa huo ifikapo Januari 25, 2018 wamkabidhi taarifa ya mikakati waliyonayo ya kuondoa kero ya maji kwa wananchi.

Pia aliwaagiza Naibu Waziri, OR-TAMISEMI, Bw. Josephat Kandege na Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Profesa Kitila Mkumbo wabaki mkoani Mara ili wafuatilie miradi hiyo.

Alisema anahitaji hatua sahihi zichukuliwe kwa waliohusika katika kukwamisha miradi ya maji na watafutwe popote walipo akiwemo Mhandisi Emmanuel Masanja aliyekuwa Halmashauri ya wilaya ya Rorya na kuhamishiwa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma.

Waziri Mkuu alisema mkoa huo una tatizo kubwa la maji hivyo ni  vema vyanzo vya maji vitunzwe ili visiharibiwe na shughuli za binadamu kama kilimo na ufugaji.

Aliongeza kuwa kutokana na usimamizi mbovu wa miradi ya maji, Serikali imevunja Bodi ya Maji ya MUWASA na viongozi waliohusika katika usimamizi huo pamoja na Wakandarasi husika wanahojiwa na vyombo vya dola.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne ya January 23

Waziri Kigwangalla kufungua onesho la Chimbuko la Binadamu Afrika, Dar

$
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangalla (MB) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi leo Januari 23.2018, kwenye uzinduzi wa Onesho la Chimbuko la Binadamu Afrika, tukio ambalo litafanyika majira ya saa 11 jioni katika viunga vya Makumbusho ya Taifa, yaliyopo mtaa wa Shabani Robert, mkabala na Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM).

Akizungumza jana wakati wa utambulisho wa tukio hilo, Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa, Profesa Audax Mabulla alibainisha kuwa, tayari maandalizi ya onesho hilo yameenda sawa na watu mbalimbali watanatarajiwa kushuhudia tukio ambalo ni la siku moja wakiwemo viongozi wa Serikali na Mabalozi waliopo nchini, na watalii wanatarajiwa kuhudhuria.

Profesa Mabulla alibainisha kuwa, Vioneshwa vyote katika onesho hilo la leo, vimepatikana hapa Tanzania kutokana na tafiti za kisayansi na vimehifadhiwa Makumbusho ya Taifa.

“Vioneshwa hivi ni pamoja na masalia ya zamadamu, zana za mawe na masalia ya wanyama walioishi takribani tangu miaka milioni 4 iliyopita. Pia zipo picha za zamadamu na mazingira waliyoishi wakifanya shughuli zao za kila siku.” alieleza Profesa Mabulla.

Kwa upande wake Mratibu kwa upande wa Tanzania Dk. Agness Gidna alisema Onesho limegawanyika katika sehemu kuu nne zikiwemo Makumbusho ya Taifa la Tanzania ikishirikiana na Ubalozi wa Spain Tanzania. 

Hii ni pamoja na Makumbusho ya Akiolojia ya Madrid, Taasisi ya Chimbuko la Binadamu (IDEA) Madrid, Chuo Kikuu cha Alcala Madrid na Makumbusho ya CosmoCaixa Barcelona-Spain huku tamasha zima likidhaminiwa na Kampuni ya Simenti ya Twiga.

“Tunawashukuru kampuni ya Twiga Cement kwa kudhamini onesho la Chimbuko la Binadamu Afrika (The Cradle of Humankind in Africa). Pia kutakuwa na Semina na onesho hili ni matokeo ya tafiti mbali mbali zinazofanyika bonde la Olduvai na Laetoli, Hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro.” alieleza Dk Agness.

Aidha Dk.Agness aliongeza kuwa, Onesho hilo litakuwa katika pande nne ikiwemo sehemu ya kwanza inahusu ushahidi wa nyayo za zamadamu zilizongunduliwa huko Laetoli mwaka 1978 na mtafiti Dkt. Mary D. Leakey. Nyayo hizo ziliachwa na zamadamu anayeiitwa Australopithecus afarensis na ni ushaidi usiopingika wa zamadamu kutembea wima kwa miguu miwili takribani miaka milioni 3.6 iliyopia.

Sehemu ya pili inahusu hadithi ya kusisimua ya kuwa binadamu (Genus Homo) ambapo kuna masalia ya zamadamu Zinjanthropus au Paranthropus boisei na Homo habilis, zana za mawe za mwanzo (Oldowan) zilizotumika katika kujipatia chakula na ushahidi wa kale wa ulaji wa nyama katika historia ya mabadiliko ya binadamu, takribani miaka million 2 iliyopita.

Sehemu ya tatu inahusu maisha ya jamii ya Homo erectus. Jamaii hii inafanana zaidi na binadamu wa sasa kuliko jamii zilizotangulia. Kuna masalia ya zamadamu Homo erectus, zana za mawe (Acheulian) na ushahidi wa ulaji wa wanyama wakubwa kama vile tembo na nyati wa zamani takribani miaka million 1.7 iliyopita.

Sehemu ya nne inaonesha kipindi cha mwanzo cha binadamu wa sasa (Homo sapiens) walioanza kutokea hapa Afrika miaka laki 2 iliyopita. Kuna masalia ya Homo sapiens na zana za mawe za muhula wa kati na muhula wa mwisho.

Mbali na onesho hilo, pia waandaji hao wa Makumbusho ya Taifa inawakaribisha watu wote kuhudhuria semina na ufunguzi wa onesho la Chimbuko la Binadamu Afrika.

Kwa upande wa Semina ambayo inatarajia kuanzia majira ya saa tisa kamili itaendeshwa na watafiti wa Kimataifa, akiwemo Prof. Manuel Dominguez-Rodrigo wa Chuo Kikuu cha Complutense, Spain; Prof. Audax ZP Mabulla na Dk. Agness Gidna.

Dr Mollel : Nilifanya Jambo la Kitoto Nilipokuwa Chadema, Waliniambia Nitoke Bungeni Magufuli Akiingia

$
0
0
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Siha kwa tiketi ya CHADEMA, Godwin Ole Mollel ambaye alihama chama hicho na kujiunga na CCM amefunguka na kusema alipotoka Bungeni wakati Rais Magufuli anaingia ulikuwa ni uamuzi wa kitoto.

Mollel amesema hayo juzi wakati wa uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi wa marudio ambao unatarajiwa kufanyika Februari 17, 2018 ambapo Mollel sasa anagombea ubunge wa jimbo la Siha kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

"Nilipofika Bungeni nikaambiwa ukimuona Magufuli anaingia Bungeni wewe toka nje, nikabisha kidogo nikaambiwa wewe ambaye ni mbishi kwanza tangulia mbele, kwa sababu mimi nina nidhamu na naheshimu viongozi nikatangulia kikamanda mbele nikatoka nje, nikiumia nikisema nimefanya jambo la kitoto lakini ikafika mahali nikaambiwa hauruhusiwi kuongea na Mbunge wa CCM, wala kumsalimia" alisema Mollel

Mbali na hilo Mollel anasema baadaye aliambiwa ashone suti ili siku bajeti ikiwa inajadiliwa watoke nje lakini yeye anadai aligoma na kuanzia hapo alianza kuchukiwa ndani ya chama chake hicho alichokihama.

Pia Mollel amedai kuwa anatambua Lowassa atakuja kupiga kampeni za CHADEMA Siha na kusema anatambua kiongozi huyo amepangwa na hawezi kukataa kwa kuwa anaogopa kufukuzwa kwenye chama kwa kuwa tayari yeye ni mzee lakini amesema alishawaeleza ukweli kutoka Ikulu kwamba CCM ndiyo mpango.

Ridhiwan Kikwete akanusha..... “Sio mimi niliesema CCM imeoza”

$
0
0
Mbunge wa Chalinze kupitia Chama cha Mpainduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete amekanusha ujumbe unaosambazwa katika mitandao ya kijamii ukidai kuwa amekikosoa chama hicho kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wake.

Akizungumza jana jioni, Ridhiwani amewataka watanzania na wanachama wa CCM kupuuza taarifa hiyo kwani siyo yeye ameitoa na badala yake ni watu wenye lengo lakukiharibu chama hicho.

Amesema kwamba, kwa siku nzima ya jana hajaandika ujumbe wowote na kwamba alikuwa jimbo kwake katika vikao vya halmashauri wakipanga mipango ya bajeti kwa ajili ya maendeleo ya jimbo hilo.

Msikilize Ridhiwani hapa chini;

Serikali Yamkana Nabii Tito, Viongozi Dini Wataka Achukuliwe Hatua

$
0
0
Mkurugenzi wa Idara ya Huduma za Sheria wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Marlin Komba amesema hamtambui  mtu anayejiita nabii Tito na kwamba hajasajili kanisa lake katika ofisi ya msajili wa taasisi za dini.

Komba amesema Serikali imeona vitendo anavyovifanya ‘nabii’ huyo kupitia mitandao ya kijamii na imeanza kuchukua hatua.

“Ninachoweza kusema ni kwamba hakuna mtu anayezuiwa kuongea hapa nchini, mwache aongee anavyoweza ila Serikali imeshaona anachokifanya na yanayoendelea mitandaoni  hatua zinachukuliwa dhidi yake,” amesema Komba.

Kwa upande wao viongozi wa dini wameonyeshwa kukerwa na kulaani vitendo anavyovifanya mtu huyo anayejiita nabii na kusisitiza kuwa hakuna dini inayoruhusu hayo.

Msaidizi wa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Mchungaji Chediel Lwiza amesema kwa vitendo anavyofanya mtu huyo hapaswi kujiita mtumishi wa Mungu.

“Huyo hawezi kuwa mtumishi wa Mungu na wala hafanyi huduma ya kanisa ni vyema watu kama hawa wafuatiliwe na hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yao. Natumaini Wizara ya Mambo ya Ndani ambayo ndani yake ina ofisi ya msajili wa taasisi za dini itafanya kazi yake.”

Lwiza ametumia fursa hiyo kuwasisitiza Watanzania kwenda kwenye makanisa ya kweli yanayozingatia neno la Mungu.

Amesema, “Hakuna sababu ya kutangatanga, Watanzania mkasali kwenye makanisa yanayotambulika na yanayosimamia na kufundisha neno la Mungu. Kuhangaika ndiko kunakowafanya wengine waangukie kwa watu kama hao. Wapo wanaojaribu kupotosha neno la Mungu lakini ukweli ni kwamba neno la Mungu halipotoshwi.”

Kilichoendelea Jana Baada ya Mbuge Sugu Kufikishwa Tena Mahakamani

$
0
0
Mashahidi watatu kati ya saba wa upande wa mashtaka wametoa ushahidi wao dhidi ya mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi maarufu kwa jina la Sugu na katibu wa Chadema wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga.

Sugu na Masonga wanashtakiwa kwa kosa la kutumia lugha ya fedheha dhidi ya Rais John Magufuli, wakidaiwa kutoa maneno hayo Desemba 30 mwaka jana katika mkutano wao wa hadhara walioufanya kwenye viwanja vya Shule ya Msingi ya Mwenge.

Awali, Wakili wa Serikali, Joseph Pande aliiambia mahakama hiyo kwamba wanakusudia kupeleka mashahidi wasiopungua saba pamoja na vielelezo vitano, huku zikiwasilishwa nyaraka za barua zilizotumika kuombea mkutano pamoja na barua za kuwaruhusu kufanya mkutano huo.

Mkuu wa polisi wa Wilaya ya Mbeya, James Chacha alikuwa shahidi wa kwanza kutoa ushahidi wake jana na aliongozwa na mawakili wa Jamhuri, Joseph Pande, Baraka Mgaya na Ofmed Mtenga.

Katika ushahidi wake, Chacha aliieleza mahakama hiyo kwamba yeye ndiye aliyetoa barua ya viongozi hao kufanya mkutano wao wa hadhara baada ya kutimiza masharti na kuridhika na maudhui waliyoainisha katika barua ya maombi hayo.

Alisema miongoni mwa ajenda walizokusudia kuzungumza katika mkutano huo ni Mbunge Sugu kuwaeleza shughuli za maendeleo alizozifanya katika utumishi wake wa ubunge pamoja na kutoa salamu za mwaka mpya.

“Katiba barua yangu ya kuwaruhusu kufanya mkutano ule, niliwaelekeza kwa maandishi mambo wanayopaswa kuyazingatia ikiwa ni pamoja kutotumia lugha ya matusi, kufedhehesha au ya viashiria vyovyote vile vinavyoweza kuvunja amani na usalama wa nchi,” alidai shahidi huyo.

Shahidi wa pili, ambaye ni mkazi wa Soweto jijini Mbeya, Boniface Mwaitorola alidai mahakamani hapo, siku ya tukio alikuwa jirani na viwanja vya shule hiyo na ilipofika saa 10:00 jioni alisogea eneo hilo kwa lengo la kumsikiliza mbunge wake.

Alidai katika mkutano huo awali kabla ya Sugu na Masonga kuwasili eneo la hilo kulikuwa na shamrashamra za watu na muda mfupi viongozi hao waliwasili na Masonga ndiye aliyemkaribisha Sugu kuhutubia lakini kabla yake, kuna maneno aliyotamka Masonga ambayo yalisababisha watu kugawanyika makundi mawili.

Shahidi wa tatu, askari polisi anayefanya kazi ofisi ya upelelezi mkoa wa Mbeya, William Nyamakomage aliieleza mahakama hiyo kwamba siku ya tukio alikuwa nyumbani kwamba na muda mfupi alipigiwa simu na mkuu wake wa kazi (Mkuu wa upelelezi mkoa wa Mbeya) akimtaarifu kuhusu kuwepo kwa mbunge huyo kufanya mkutano wa hadhara hivyo anahitaji kufika eneo hilo kwa ajili ya shughuli kuangalia usalama na kukusanya ushahidi wa lolote litakalotokea kama ni la uvunjifu wa amani jambo alililofanya.

Baada ya shahidi huyo kumaliza kutoa ushahidi wake, Hakimu Mkazi Mfawidhi wa mahakama hiyo, Michael Mteite aliiahirisha kesi hadi leo itapoendelea na upande wa Jamhuri kuwasilisha ushahidi wao na Sugu na Masonga kurudishwa mahabusu.

Ajali ya Basi Yaua Wawili na Kujeruhi 8 Jijini Mwanza

$
0
0
Watu  wawili wamefariki dunia papo hapo na wengine wanane kujeruhiwa vibaya katika ajali ya mabasi mawili yakugongana uso kwa uso katika kijiji cha Kamanga, Sengerema mkoani Mwanza saa nne asubuhi jana.

Akizungumzia ajali hiyo, shuhuda aliyekuwa katika pikipiki na kunusurika kugongwa na mabasi hayo, Philipo Budeba, alisema chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa mabasi yote mawili.

“Mimi nilikuwa naendesha pikipiki, mbele yangu kulikuwa na basi la Mkombozi Trans lenye namba T540 DLF na nyuma kulikuwa na Basi la Walawi Express lenye namba T167 CSN yote yalikuwa na mwendokasi," alisema Budeba.

"Dereva wa Mkombozi ndiye aliyetaka kupita gari lingine, lakini ilishindikana na kusababisha magari hayo kuvaana... mimi nilijirusha kwenye kilima cha pembeni mwa barabara."

Naye abiria wa Mkombozi Trans iliyokuwa ikitokea Kanyara Buchosa, Sengerema, Fransisco Kansola alisema tabia ya madereva kushindwa kuchukua tahadhari na kujali kuwahi abiria ndiyo chanzo cha ajali hiyo.

Walawi Express lilikuwa likitoka Mwanza kwenda Nemba wilayani Biharamulo.

Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Ahmed Msangi alisema dereva wa basi la Walawi, Frank Kimboka ni miongoni mwa majeruhi wanane wa ajali hiyo baada ya kujeruhiwa miguu yote.

“Waliofariki ni dereva wa basi la Mkombozi Trans aliyefahamika kwa jina la Simon Mdalesalamu na mwanamke aliyekadiriwa kuwa na umri wa miaka 18 hadi 20," alisema Kamanda Msangi.

Majeruhi watatu wametajwa kuwa ni Frank Mushi aliyevunjika miguu yote miwili, Isaack Hamisi (22) mkazi wa Nyasaka wilayani Ilemela na Mwinyi Ismail (50) aliyevunjika miguu yote miwili, alisema Kamanda Msangi.

"Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa mabasi hayo.”

Aidha, ajali hiyo ilitokea wakati mkoa wa Mwanza ukizindua maadhimisho ya wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani, yenye kaulimbiu inayosema ‘Zuia ajali, tii sheria, okoa maisha'.

Majeruhi walikimbizwa katika Hospitali ya Rufani ya Bugando jijini Mwanza kwa ajili ya matibabu.

Kutana na Mtaalam wa Kutafsri Ndoto Yoyote...Anasafisha Nyota na Kutoa Mikosi

$
0
0
SHEIKH SHARIF OMARY
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
 
SHEIKH SHARIF ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)
 
SHEIKH SHARIF ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
 
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)
Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
 
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
 
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.
 
Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone SHEIKH SHARIF Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..
SHEIKH SHARIF Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
 
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.
 
ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
 
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..
 
Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..
 
Mawasiliano ..+255 743 203 171

Jipatie Dawa za Asili za Kupunguza Maziwa, Kutoa Michirizi, Kuondoa Chunusi, Kuongeza Maumbilie na Nguvu za Kiume

$
0
0
BIDHAA MPYA 2018
  Ktk kusajiliwa kwa kampuni ya  @natural_beauty_prod
     Bidhaa hizi MPYA zimefanyiwa maboresho makubwa zaidi hivyo zina matokeo ya haraka kuliko ilivyokua awali. 
    Bidhaa zetu zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina kemiko wala madhara kwa mtumiaji mtumiaji yoyote.
        🍇Zimethibitishwa kiafya🍇
               NI PAMOJA NA  HIZI👇
1.Kutengeneza shepu (hips, makalio na mapaj) @200,000/=
2.Kurefusha nywele @130,000/=
3.Kuongeza urefu na upana wa uume kwa size uipendayo @230,000/=
4.Kung'arisha mwili mzima na kuondoa sugu @150,000/=
5.punguza unene na manyama uzembe @180,000/=
6.Kuongeza nguvu za kiume  hata kwa mwenye kisukari (diabetic) @180,000/=
7.Kuondoa mvi moja kwa moja na zisiludi tena milele @150,000/=
8.Kuongeza unene, uzito na hamu ya kula @150,000/=
9.Kutengeneza miguu (Chupa ya bia) na kuondoa kigimbi @150,000/=
10.Kubana uke na kuondoa uchafu @150,000/=
11.Kuongeza au Kupunguza maziwa na kuyasimamisha @140,000/=
12.Kuondoa michirizi ya uzazi  au unene @130,000/=
N.K 
    NB: MATOKEO NI UHAKIKA NA GARANTII NA HAKIKISHA UNAPATA RISITI YENYE MUHURI HALISI WA NATURAL BEAUTY
    Wasiliana nasi kwa no
         (+255) 0759029968
                0659618585
  Popote ulipo utapata huduma
   Follow us on
GOOGLE👉 natural beauty
INSTAGRAM@natural_beauty_prod
YOU TUBE 👉natural beauty
          <<WELCOME ALL>>

Rais Dkt Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Butiama |

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli leo Januari 23, 2018 ametengua uteuzi wa Mkurgenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Butiama, Solomoni Kamlule Ngiliule kutokana na kushindwa kutimiza majukumu yake kama ilivyopaswa.

Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo akizungumza na waaandishi wa habari,ametangaza uamuzi huo leo, zikiwa zimepita siku tatu tangu Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipotoa maagizo kwa Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Bw. Raphael Nyanda kutuma timu ya wakaguzi kwenda kufanya ukaguzi maalumu katika ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Butiama.

“Kutokana na hali iliyojitokeza Mkoa wa Mara, Mheshimiwa Rais Dkt John Pombe Magufuli ambaye pia ndiye Waziri mweye dhamana wa Ofisi ya TAMISEMI, amechukua fursa hiyo baada ya yaliyojiri Mkoa wa Mara, hasa katika Halmashauri ya Butiama, Amemtengua Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Butihama, Ndugu Solomoni Kamnule Ngiriule, kuanzia leo hii kutokana na kushindwa kutimiza majukumu yake kama mkurugenzi mwenye dhamana,” amesema Waziri Jafo.

Waziri Jafo amemtaka Katibu wa TAMISEMI kuchukua hatua dhidi ya mweka hazina aliyekuwapo kipindi ambacho ubadhirifu huo ulipotokea.

“Na hata hivyo namuelekeza Katibu Mkuu TAMISEMI kuchukua hatua stahiki kwa mweka hazina wa Halmashauri ya Butihama ambaye alikuwepo kipindi hicho ubadhirifu ulipokuwa unatokea,” amesema Waziri Jafo.

Kufuatia hatua hiyo, Waziri Jafo amewataka watendaji wote wa Wizara yake kuhakikisha kuwa wanatimiza majukumu yao ipasavyo, kwani walipewa jukumu la kuwatumikia wananchi na siyo jambo jingine.

“Hata hivyo niwatake watendaji wote wa TAMISEMI kuhakikiha kwamba wanatimiza wajibu wao kwa dhamana kubwa waliyopewa kwa ajili ya kuwatumikia watanzania,” amesema.

Msigwa akamatwa na kuachiwa kwa tuhuma za kuchomwa nyumba kiongozi wa CCM

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoani hapa lilimshikilia na kumuachia kwa dhamana Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa kwa tuhuma za kuratibu matukio mawili ya kihalifu likiwamo la kuchoma nyumba aliyokuwa akiishi Katibu wa Jumuiya ya Vijana wa CCM Iringa Mjini, Alfonce Muyinga.

Kamanda wa polisi mkoani hapa, Julisu Mjengi amesema mbunge huyo alikuwa akitafutwa kwa muda akituhumiwa kuratibu utekelezwaji wa matukio mawili ya kihalifu likiwamo la Januari 17 la kuchomwa kwa nyumba aliyokuwa akiishi Muyinga.
 
Mjengi alitaja tukio la pili kuwa ni lile la Januari 15 la kubomolewa kwa nyumba ya aliyekuwa Diwani wa Kata ya Mwangata Chadema, Anjelus Mbogo aliyejizulu nafasi yake na kuhamia CCM.
 
"Mchungaji Msigwa tulikuwa tukimtafuta kutokana na kuhusika kwake katika kuratibu matukio mawili ya kihalifu, lile la Januari 15 la kubomoa nyumba ya aliyekuwa diwani aliyehama Chadema na kujiunga na CCM pamoja na tukio la kuchoma nyumba aliyokuwa akiishi Katibu wa Jumuiya ya Vijana wa CCM Alfonce," amesema Mjengi na kuongeza;
 
"Na jana (Jumatatu) amejisalimisha mwenyewe hivyo tumemhoji hadi majira ya saa tatu usiku tulipomuachia kwa dhamana, taratibu nyingine zinaendelea na tutawajulisha pindi tukapozikamilisha," amesema
 
Msigwa amekuwa mtuhumiwa wa nne kukamatwa akihusisha na matukio hayo baada ya wiki iliyopita jeshi hilo kueleza kuwa linawashikiliwa watuhumiwa watatu kwa mahojiano kutokana na kuhusika na tukio la kuchoma nyumba ya aliyokuwa akiishi Katibu wa UVCCM.

Ester Bulaya na Halima Mdee Wamaliza Kifungo Chao

$
0
0
Kifungo walichokuwa wakitumikia wabunge wa Chadema, Ester Bulaya (Bunda Mjini) na Halima Mdee (Kawe) cha kutokuhudhuria shughuli za Bunge kimemalizika na wamesema wamerejea na kasi ileile.

Wabunge hao waliadhibiwa kwa azimio la Bunge Juni 5 mwaka jana kutohudhuria mikutano mitatu ya Bunge ambayo ni jumla ya siku 47, waliyokosa ukiondoa shughuli zote za mikutano ya kamati za Bunge.

Adhabu hiyo ilikwenda sanjari na kulipwa nusu mshahara na posho kwa kipindi chote walichotumikia adhabu hiyo wakituhumiwa kudharau kiti cha spika.

Mikutano mitatu waliyoikosa ni wa bajeti uliokuwa ukiendelea, wa saba uliofanyika kati ya Septemba 5 hadi 15 na mkutano wa tisa wa Novemba 7 hadi 17.

Makato ya mshahara na posho yamebainishwa katika Kanuni 75 ya Bunge inayosema: “Mbunge aliyesimamishwa kazi atatoka katika Bunge na hataingia tena katika sehemu yoyote ya ukumbi wa Bunge na maeneo ya Bunge kwa muda wote atakapokuwa amesimamishwa na atalipwa nusu mshahara na nusu posho zinazoambatana na mshahara huo.”

Jana, kwa nyakati tofauti Bulaya na Mdee walizungumzia kurejea kwao, huku wakisema hawajutii kwa adhabu hiyo na hawatorudi nyuma au kutetereka katika kusimamia wanachokiamini.

“Nitaendelea kuwa Mdee yuleyule wa siku zote, kama walidhani wakinifungia mwaka nitabadilika. Hapana! Sitaraji kubadilika. Nimetumwa na wananchi wangu kusema ukweli na nitausema, sijaja kumpigia magoti mtu,” alisema.

Mdee ambaye pia ni mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), alisema wakati akitumikia adhabu hiyo amepata fursa ya kufanya shughuli kwa karibu za jimboni kwake na zile za Bawacha.

Naye Bulaya alisema: “Nimerudi bungeni tayari na leo (jana) nilihudhuria kamati yangu ya uwekezaji na mitaji.”

Alipoulizwa amejifunza nini kutokana na adhabu hiyo, alisema: “Bulaya wa kukosoa, Bulaya anayesimamia kile anachokiamini pasi na kuvunja sheria na taratibu hajabadilika, nitaendelea kuwakosoa.”

“Hata nilipokuwa natoka CCM kuja Chadema nilijua mambo kama haya ya kukamatana, kufungiana yatakuwapo kwa hiyo nilijipanga na wala hawanitetereshi, nimerudi na sitarudi nyuma,” aliongeza.

Onyo kali latolewa baada ya Serikali kutangaza kuuza meno ya Viboko

$
0
0
 ***Wanunuzi wataruhusiwa kuyakagua (Januari 25 na 26) kabla ya mnada
***Watakaovuruga mnada kukiona cha mtemakuni

SERIKALI kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) itafanya mnada wa hadhara wa meno ya viboko vipande 12,467 vyenye uzito wa kilo 3,580.29.

Mnada huo utakaosimamiwa na Wizara ya Fedha na Mipango umepangwa kufanyika tarehe 29 Januari, 2018 kuanzia saa nne asubuhi katika Jengo la Mpingo, Barabara ya Nyerere Jijini Dar es Salaam, zilipokuwa  ofisi za Wizara ya Maliasili na Utalii (Ivory Room).

Kupitia taarifa iliyotolewa hivi karibuni na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), Dk. James Wakibara amesema  mnada huo utawahusisha wafanyabiashara wa Nyara waliopewa leseni ya Nyara Daraja la Kwanza mwaka 2017.

Amesema wafanyabiashara hao wataruhusiwa kukagua meno hayo kati ya tarehe 25 na 26 Januari, 2018 kuanzia saa nne asubuhi hadi saa tisa na nusu jioni kabla ya siku ya mnada huo.

Aidha, amesema wanunuzi watakaoshinda mnada huo watatakiwa kulipa asilimia 25 ya malipo yote papo hapo na asilimia 75 itakayosalia itatakiwa kulipwa ndani ya siku kumi na nne zijazo baada ya mnada huo.

“Mtu yeyote atakayekuwa ametamka bei ya juu, kisha akashindwa kulipa asilimia 25 ya bei aliyotamka, atachukuliwa kuwa ni mwenye kutaka kuvuruga mnada na hivyo hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake,” ameonya Mkurugenzi huyo.

Amesema meno hayo yatauzwa kwa wastani wa uzito wa nusu kilo bila kugawanywa au kuchambuliwa wakati wa mnada na wanunuzi wataruhusiwa kuondoa bidhaa kwenye eneo la mnada baada ya kulipia ada na kodi husika kikamilifu na kupewa hati ya kumiliki nyara hizo.

Tamko hilo linakuja baada ya tukio la mwaka jana la Dkt. Shika kuharibu mnada wa majengo ya Mfanyabiashara Lugumi ambapo alishindwa kulipia asilimia 25 papo kwa papo.

Breaking : Nabii Tito Atiwa Mbaroni

$
0
0
IGP Simon Sirro akimsikiliza mhubiri binafsi anayejiita Nabii Tito ambaye jeshi la polisi la polisi mkoani Dodoma limemtia mbaroni leo mjini humo.
*****

Tito Machibya maarufu kama Nabii Tito anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Dodoma hivi sasa.

Nabii huyo ambaye amekuwa akionekana mitaani kuhubiri huku akiwa anakunywa pombe hivi sasa maelezo yake yanachukuliwa katika kituo kikuu cha polisi Dodoma

Mtalaam Na Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Nayaliyoshindikana Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume, Kisukari

$
0
0

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni 3Power,Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1,hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo lakwanza bila kuchoka naitakufanya uwe nahamu yakuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

FINA Power Nidawa yakuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ISHOSHA,Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake,humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa.

SHEPU EXRA,Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

HUDUMA HIZI NANYINGINE NYINGI MTALAAM BINGWA DR SHEIKH OMARY
Anapatikana dar magomeni moroco hotel
SIMU NO 0767 14 53 57/0629 03 45 50.

NAKAMA NAFASI YAKUFIKA OFISINI HAIPO UTALETEWA HAPO ULIPO.

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images