Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Rais Goodluck Jonathan
wa Nigeria wakati viongozi hao wawili walipokutana na kufanya
mazungumzo Alhamisi, Januari 23, 2014, kwenye Hoteli ya
Intercontinental, Davos, Uswisi, ambako walikuwa wakihudhuria Mkutano
wa Mwaka huu wa Taasisi ya Uchumi Duniani –WEF.
(PICHA NA IKULU)
RAIS KIKWETE AALIKWA NIGERIA NA RAIS JONATHAN
Mh. Rais Kikwete Aalikwa Nigeria na Rais Jonathan
↧
↧
Ajabu,,,,,, Wakati Mafuriko yanaendelea Dumila, Mke wa Mtu Afumaniwa Akisaliti Ndoa Yake Guest House
Jambo limezua jambo! Mvua zilizonyesha na kusababisha mafuriko maeneo
ya Dumila mkoani hapa, zimemuumbua mke wa mtu ambaye jina lake
halikupatikana, akiwa anasaliti ndoa gesti.
Mafuriko hayo
yalisababishwa na mvua kubwa zilizoanza kunyesha Jumatano iliyopita na
kusababisha maafa makubwa yakiwamo kuharibiwa kwa makazi ya watu,
majengo ya serikali zikiwamo shule, vyuo na mahakama.
↧
Slaa; 2015 Maamuzi Magumu na Makini ni muhimu kwa maslahi ya Watanzania
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbrod
Slaa, amesema ili nchi iondokane na hali ya umaskini, wananchi
wanatakiwa kufanya uamuzi mgumu wa kutoirudisha CCM madarakani, katika
uchaguzi mkuu ujao, utakaofanyika mwakani.Dk. Slaa alisema misingi mibovu ya CCM ndiyo sababu ya nchi kuyumba
na kwamba hali hiyo imechangia Tanzania kuwa ya pili kutoka mwisho kwa
↧
Rais Obama amwalika Rais JK Kwenye Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais
wa Marekani Mheshimiwa Barack Obama amemwalika Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kuhudhuria
Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika ambao anauandaa katika mji mkuu wa
Marekani, Washington baadaye mwaka huu.Mkuu wa Shirika la Misaada ya Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID), Bwana Rajiv Shah amewasilisha mwaliko
↧
Chama Cha Mapinduzi Bukoba Mjini Chatoa Tamko Juu ya Ripoti ya CAG
TAMKO LA CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA BUKOBA MJINI TAREHE 24/01/2014 KWA VYOMBO VYA HABARI Chama
Cha Mapinduzi Wilaya ya Bukoba Mjini kupitia kikao chake cha kawaida
cha Kamati ya Siasa ya H/Kuu ya Wilaya iliyoketi leo tarehe 24/01/2014.Kimepokea
na kujadili taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
(GAG) kuhusu Ukaguzi maalum uliofanyika katika Halmashauri ya Manispaa
↧
↧
Ukatili Jamani..... Mwalimu Mkuu Atuhumiwa Kumlawiti Mtoto Yatima na Kumsababishia Kushindwa Kuendelea Na Masomo
MWANAFUNZI mmoja (Jina
limehifadhiwa) wa Darasa la Saba katika Shule ya Msingi Mkombozi
iliyopo katika mji mdogo Mbalizi Wilaya ya Mbeya Mkoani hapa ameshindwa
kuendelea na masomo tangu shule zifunguliwe akiogopa kuzomewa na wenzie
baada ya kuhisiwa kulawitiwa na Mwalimu Mkuu wake.Hatua ya
mwanafunzi huyo kushindwa kufika shuleni kuungana na wenzie kumetokana
na madai ya kuzagaa kwa
↧
Baba Mzazi Aamua Kumshtaki Mwanawe kwa Kosa la Kuoa Mwanamke Masikini
PATNA, India
-- MWANAMUME nchini India amemshtaki mwanawe wa pekee wa kiume katika
mahakama kwa kumharibia sifa, alipoamua kumuoa mwanamke wa tabaka la
chini. Alisema kwamba kitendo hicho kimemharibia sifa na hadhi yake katika jamii.Mzee
Sidhnath Sharma anataka alipwe rupia 10,000,000 (KSh13,638,900) na
mwanawe Sushant Jasu, na anataka mahakama iamuru kwamba kijana huyo
asitumie tena
↧
Waliofeli kidato cha pili watarudia darasa
IMEELEZWA kuwa, licha ya matokeo ya kidato cha pili kutolewa `kimyakimya’ kupitia ofisi za Elimu za Kanda na kubandikwa shuleni, hatua hiyo haimaanishi kuwa waliofeli wamenusurika kutorudia darasa.
Hayo yameelezwa na Msemaji wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Ntambi Bunyazu alipozungumza na gazeti la Habari leo jana.
Alisema kwa sasa Wizara inaendelea kujumuisha matokeo hayo
↧
Picha za Rais Kikwete alivyoongoza mazishi ya aliyekuwa mbunge wa Chalinze Ramadhan Bwanamdogo
Rais Kikwete alivyoongoza mazishi ya aliyekuwa mbunge wa Chalinze Ramadhan Bwanamdogo
Rais
Jakaya Kikwete akiweka udongo katika kaburi la aliyekuwa Mbunge wa
Chalinze kwa tiketi ya CCM Ramadhan Bwanamdogo aliyefariki dunia juzi.
Maziko ya marehemu Bwanamdogo, yamefanyika kijijini kwake Chalinze Mion,
wilaya ya Bagamoyo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
↧
↧
Freeman Mbowe anusurika kufa jijini Mwanza
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, amenusurika kifo baada ya gari
alilokuwa akisafiria kutoka jijini Mwanza kwenda wilayani Ngara,
Kagera kupata ajali.
Ajali hiyo ilitokea jana saa 6 mchana, umbali wa kilometa mbili
kutoka Kata ya Katoro, Geita na inadaiwa kuwa gari alilokuwa akitumia
limeharibika sehemu ya mbele.
Taarifa za uhakika kutoka eneo la tukio
↧
Waziri wa Fedha akiri serikali kuwa katika hali ngumu kifedha....
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya amekiri Serikali kuwa katika hali
ngumu, lakini akasema kuwa mkakati uliopo ni kudhibiti matumizi ili
yaendane na fedha iliyopo.
Waziri Saada alisema hayo kwa njia ya simu,
alipotakiwa na Mwananchi kujibu madai ya Mdhibiti na Mkaguzi
Mkuu wa Serikali (CAG) juu ya kauli yake ya hivi karibuni aliyoitoa
katika mkutano mjini Dodoma.
↧
Mchungaji Mtikila kufungua kesi kupinga kuendelea kwa mchakato wa mabadiliko ya Katiba Mpya.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokratic (DP), Mchungaji Christopher
Mtikila anatarajia kufungua kesi Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga
kuendelea kwa mchakato wa mabadiliko ya Katiba Mpya.
Mchungaji Mtikila akizungumza na Mwananchi
alisema, madhumuni ya kufungua kesi hiyo ni mchakato huo kukiuka hatua
mbalimbali muhimu wakati wa kuiandaa ikiwamo kutoa elimu kwa wananchi
kipi wanatakiwa
↧
Wanafunzi wa sekondari ya wasichana iliyopo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani wadaiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja ( Usagaji )
Picha ya mtandao
**
Shule
moja ya sekondari ya wasichana iliyopo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani,
imelalamikiwa na wanafunzi pamoja na wazazi kuwa mabinti wanajihusisha
na vitendo vya ngono vya jinsia moja (usagaji).
Akizungumza na NIPASHE mmoja wa wazazi (jina linahifadhiwa) alisema
shule hiyo imepoteza sifa kwa kuwa kuna wimbi kubwa la wanafunzi
wanaojihusisha na vitendo hivyo vya
↧
↧
Profesa Mwesiga Baregu afichua siri ya kutwangana ngumi na kusalitiana ndani ya CHADEMA
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),
Profesa Mwesiga Baregu, amefichua siri ya madai ya usaliti ndani ya
chama hicho.
Akizungumza na Mtanzania katika mahojiano maalumu
yaliyofanyika jijini Dar es Salaam wiki hii, Profesa Baregu alisema
kiini cha tuhuma na madai ya usaliti ndani ya Chadema ni kutoaminiana na
kukosekana kwa uvumilivu.
Alisema kitendo cha
↧
Serikali ya Tanzania yaiomba Uingereza msaada wa mabehewa na injini za treni ambazo haizitumii lakini ni nzima.
SERIKALI ya Uingereza inatafakari ombi la
Tanzania la mabehewa na injini za treni, ambayo nchi hiyo haizitumii
tena, lakini bado ni nzima kwa ajili ya kusaidia kuimarisha usafiri wa
reli katika Tanzania na hasa wa Jiji la Dar es Salaam.Ahadi hiyo
ya Uingereza ilitolewa na Naibu Waziri Mkuu wa Uingereza, Nick Clegg
wakati wa mazungumzo yake na Rais Jakaya Kikwete kwenye hoteli ya
↧
Ufoo Saro wa ITV amwaga machozi kanisani wakati akimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kumnusuru alipopigwa Risasi na mchumba wake...
Ufoo saro jana amefanya ibada na kusema "Namshukuru Mungu kwa
kuniponya"... Hiii ni mara ya kwanza kwa Saro kuzungumza tukio hilo tangu
aliporuhusiwa kutoka Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu MOI ya
Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa.
Katika ibada hiyo iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheli
Tanzania (KKKT) Usharika wa Kibamba Jimbo la Magharibi Ufoo
↧
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, akiri kwamba Serikali ilifanya uzembe katika kutatua taarifa za uchochezi zilizosababisha vurugu za Mtwara
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amekiri kwamba Serikali ilifanya uzembe
katika kutatua taarifa za uchochezi zilizosababisha vurugu za Mtwara.
Kauli hiyo aliitoa mjini Mtwara jana alipozungumza na wananchi wa Masasi
akiwa njiani kuelekea wilayani Nanyumbu kufungua mradi wa umeme. Alisema
baada ya kutokea kwa uzembe huo wako wajanja wachache waliotumia nafasi
hiyo kufanikisha malengo yao.
↧
↧
Tuhuma nzito Baraza la Mawaziri ....Profesa Ibrahim Lipumba atilia shaka elimu ya waziri wa fedha, Waziri naye afunguka kwa kutoa vielelezo lukuki
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba,
amelishushia tuhuma nzito Baraza la Mawaziri, baada ya kudai baadhi ya
mawaziri walioteuliwa hawana elimu ya kutosha.
Akizungumza na
waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Profesa Lipumba alisema
mmoja wa mawaziri hao ni Waziri wa Fedha, Saada Mkuya.
Alisema
chama chake, kina wasiwasi na elimu ya Waziri Mkuya,
↧
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Asha-Rose Migiro aitembelea tume ya mabadiliko ya katiba
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Asha-Rose Migiro (kushoto) akipokea nakala za ripoti za Tume
ya Mabadiliko ya Katiba ikiwemo Rasimu ya Katiba kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji
Joseph Warioba wakati wa ziara yake ya kutembelea na kuzungumza na Watendaji wa Tume
hiyo aliyoifanya mwishoni mwa wiki Jijini Dar es Saalam.
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph
↧
Tanzania kuisaidia Madagascar kuondolewa vikwazo ilivyowekewa na jumuiya za kimataifa.
Rais
mpya wa Madagascar Hery Rajaonarimampianina akiapishwa rasmi rais wa
nchi hiyo mjini Antananarivo kufuatia ushindi mkubwa alioupata katika
uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo mwezi Desemba 2013.
Rais
mpya wa Madagascar Hery Rajaonarimampianina akisani kiapo chake tayari
kuanza kazi ya kuwatumikia wananchi wa Madagascar mbele ya Jaji Mkuu wan
chi hiyo Jean –Michael
↧