Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

"CHADEMA haina uwezo wa kushika dola kutokana na mfumo wake wa utawala kuwa mbovu unaotokana na udikteta, udini na ukabila "....Elizabeth Minde

$
0
0
Chama  cha  mapinduzi  ( CCM)  manispaa  ya  Moshi  mkoani  Kilimanjaro   kimeendelea  kusisitiza  kuwa  chama  cha  demokrasia  na  maendeleo, CHADEMA   hakitaweza  kushika  dola  kutokana  na  mfumo  wake  wa  utawala  kuwa  mbovu.... Kauli  hiyo  ilitolewa  jana  na  mwenyekiti  wa  CCM manispaa  ya  Moshi, Elizabeth Minde  wakati  alipokuwa  akimnada  mgombea  wa  udiwani  wa  kata  ya

Rose Ndauka amwanika binti yake "Naveen" hadharani.

$
0
0
  Rose  Ndauka ambaye ni mama anayetamba ndani  ya filamu za kibongo hivi karibuni alijifungua mtoto wa kike na kumpa jina la Naveen. Upekuzi  wa  mtandao  huu  umefanikiwa   kuinasa  picha  ya  Naveen  ikiwa  mtandaoni   kama  inavyoonekana  hapo  chini.... Siku  chache  baada  ya  kujifungua, Rose  Ndauka  aliwaonya   wasanii wa kike kuachana na biashara ya utoaji mimba kwani ni

Dkt. Emmanuel Nchimbi akabidhi ofisi rasimi kwa waziri mpya wa wizara ya mambo ya ndani Mhe. Mathias Chikawe

$
0
0
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi akitoa neno fupi wakati wa hafla fupi ya Makabidhiano rasmi ya Ofisi kwa Waziri Mpya wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Mhe. Mathias Chikawe(wa pili kulia). Hafla hiyo imefanyika leo Januari 27, 2014 katika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, Jijini Dar es Salaam. Waziri Mpya wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya

Makamu wa Rais, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akutana na mnadhimu mkuu wa majeshi.....

$
0
0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkaribisha Mnadhimu Mkuu wa Majeshi, Luteni Jenerali Samuel Albert Ndomba, wakati alipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Jan 27, 2014 kwa mazungumzo. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Mnadhimu Mkuu wa

Serikali yapunguza gharama za kuunganisha umeme majumbani

$
0
0
SERIKALI imeamua kupunguza kwa kiasi kikubwa bei ya kuunganisha umeme majumbani na kufikia sh. 27,000/ kwa wanavijiji wanaoishi kwenye maeneo ambayo bomba la gesi linapita. Hatua hiyo imetangazwa jana (Jumapili, Januari 26, 2014), na Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo wakati akizungumza na wanakijiji wa Mangaka wilayani Nanyumbu, mkoani Mtwara kabla ya

Picha za mkutano wa CHADEMA mkoani Iringa leo ambapo Dr. Slaa amevuna mmoja toka CCM na mwingine toka TLP

$
0
0
Hii ndio  Helbopta  iliyowakusanya  wana Iringa  leo uwanja wa Mwembetogwa  Dr Slaa akiwasili katika  kiwanja cha Mwembetogwa leo  Mbunge wa  jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa akiwahutubia wana Iringa leo  Mbunge Halima Mdea akiwahutubia  wananchi wa jimbo la Iringa mjini leo  Katibu  mkuu wa Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) Dr Slaa akimpokea kada wa

"Deni la Taifa wanafaidi wezi wachache, tunalipa wote."...Zitto Kabwe

$
0
0
  Leo nimeandika kuhusu Deni la Taifa kukua kwa kasi na kufikia tshs 27 trilioni mpaka Desemba 2013 kutoka tshs 10 trilioni mwaka 2005. Baadhi ya Watalaamu wanajenga hoja kuwa kukopa sio shida, bali kukopa kwa ajili ya nini.  Nikakumbuka mzigo wa madeni ambao Taifa lilibeba miaka ya sabini na themanini kiasi cha Tanzania kukoswa koswa kuwa nchi ya Kwanza duniani kushindwa kuhudumia

Mzee Dude wa FUTUHI afariki dunia

$
0
0
  MSANII wa kundi maarufu la vichekesho na uigizaji la Futuhi, Mzee Dude amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Rufaa Bugando iliyopo jijini Mwanza leo jioni.. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN! <!-- adsense -->

Rais Kikwete awatembele wananchi walioathirika na mafuriko katika Mkoa wa Morogoro....Haya ni maagizo aliyoyatoa wakati akiongea na wananchi hao

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi la Ulinzi na Usalama, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete ameliamuru Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kuanza mara moja kazi ya kusimamia utoaji huduma kwa watu walioathiriwa na mafuriko katika Mkoa wa Morogoro, ikiwa ni pamoja na kusimamia ujenzi wa nyumba za muda wa waathirika hao.Rais pia ameliamuru Jeshi kupeleka

Tuhuma za Zitto Kabwe ( CHADEMA ) kutoka kimapenzi na mbunge Catherine Magige ( CCM ) ni za uongo na zimepikwa kwa lengo la kumchafua.

$
0
0
KUNDI la watu ambao inadaiwa kwamba wamekula yamini ya kumchafua Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe kwa namna yoyote ile, wamemuonjesha machungu Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Arusha, Catherine Magige. Zitto, baada ya msululu wa tuhuma ambazo nyingi zilibainika kupikwa makusudi ili kuichafua taswira yake mbele ya jamii, sasa hivi anahusishwa kutoka kimapenzi na

CHADEMA kususia uchaguzi mkuu wa 2015 iwapo Serikali haitaboresha Daftari la Kudumu la Wapigakura

$
0
0
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa sharti ambalo kama halitatekelezwa chama hicho hakitashiriki Uchaguzi Mkuu wala hakitapiga kura ya kupitisha rasimu ya katiba.    Sharti hilo lilitolewa mjini Bukoba juzi na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, wakati akihutubia katika mkutano wa hadhara ikiwa ni mwendelezo mikutano ya Operesheni ya M4C Pamoja Daima uliofanyika katika

Lowassa aipinga sheria ya kuyafungia magazeti....Amtaka Naibu Waziri wa Habari, Juma Nkamia amalize vifungo visivyo na mwisho vya baadhi ya vyombo vya habari nchini.

$
0
0
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge  ya Mambo ya Nje, Edward Lowassa, amesema anakerwa na tabia ya serikali kufungia magazeti na amemfunda Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia na kumtaka amalize vifungo visivyo na mwisho vya baadhi ya vyombo vya habari nchini.  Pia waziri mkuu huyo wa zamani, amemtaka Nkamia ahakikishe katika majukumu yake mapya ya

Mwandishi wa habari wa BBC Ann Waithera afariki dunia

$
0
0
 marehemu Ann enzi za uhai wake Ann alikuwa anafanya kazi na BBC katika ofisi za Nairobi na amekuwa akiugua Saratani ya Ubongo kwa karibu miaka miwili.   Ann aliwahi kuwa ripota wa BBC mjini Addis Ababa Ethiopia. Kabla ya kujiunga na BBC Ann alifanya kazi na shirika la habari la Nation Media Group nchini Kenya na Citizen TV. Ann alikuwa na umri wa miaka 39.    Waandishi wenza

CHADEMA yauchokonoa Usalama wa Taifa....Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu) atamba kuwa maofisa wake hutoa siri kwao

$
0
0
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema mafanikio kinayopata yanatokana na maofisa wa Idara ya Usalama wa Taifa kutoa siri kwao. Kauli hiyo imetolewa juzi mjini hapa na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu), wakati akihutubia mkutano wa hadhara kwenye Viwanja vya Ruanda, Nzovwe. Alisema hatua ya nchi kuyumba, inatokana na Serikali kutowajali maofisa wa Idara

"Najaribu kutafuta mwanaume aliye mkamilifu japo kidogo....Si kwamba sitongozwi, wanaume wanakuja wengi tu lakini najaribu kujipanga ili nisirudie kosa"...Penny

$
0
0
Penniel Mwingila aka VJ Penny ambaye wengi wanamfahamu kama mpenzi wa mkali wa Bongo Flava, Diamond Platinumz ambao hivi sasa hawako pamoja, anaamini kuwa ingawa hakuna mwanaume mkamilifu, kuna sehemu yupo mkamilifu japo kwa kiasi kidogo.   Penny amefunguka katika mahojiano aliyofanya na mtandao wa Bongo5 kuhusu maisha yake kwa ujumla na uhusiano wake na Diamond Platinumz ambaye hivi

Kaburi lafukuliwa na maiti kunyofolewa uti wa mgongo

$
0
0
WATU wasiofahamika wamefukua kaburi la Rosa Kikwe, aliyefariki dunia mwaka 2005 na kuchukua mfupa wake wa uti wa mgongo, kwa kile kinachodaiwa kuwa ni imani za kishirikina. Jeshi la Polisi Wilaya ya Bunda, limethibitisha kutokea kwa tukio hilo lililotokea juzi, katika Kijiji cha Kihumbu, Kata ya Hunyari.Ilielezwa usiku wa tukio hilo, watu hao walifukua kaburi alimozikwa mwanamke huyo,

Dr Sheni afunguka ...... Tunataka serikali mbili

$
0
0
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinaunga mkono muundo wa Serikali mbili. Dk. Shein alitoa kauli hiyo juzi, wakati akizindua kampeni za uchaguzi mdogo katika Jimbo la Kiembesamaki, mjini hapa, sambamba na kumnadi mgombea wa jimbo hilo, Mahmoud Thabit Kombo (CCM). Alisema CCM itaendelea kuunga mkono

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Azavel Lwaitama akamatwa na polisi baada ya kuzungumza kiswahili ndani ya ndege ya Precision Air

$
0
0
ALIYEKUWA Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Azavel Lwaitama, amejikuta akipelekwa polisi baada ya kutokuwa tayari kuzungumza lugha ya Kiingereza ndani ya ndege ya Precision Air. Dk. Lwaitama alikutana na dhahama hilo juzi alipokuwa safarini akitokea Dar es Salaam kwenda mkoani Kagera, kabla ya kufika Bukoba ndege aliyopanda msomi huyo ilitua jijini Mwanza.   Akiwa

Nguvu za Edward Lowassa zaitesa UVCCM...Mmoja wa viongozi wake atoa taarifa iliyojaa maneno makali akimshambulia Lowassa, Wenzake wamkana

$
0
0
Ushawishi wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), umeipasua Jumuiya ya Vijana ya chama hicho (UVCCM). Mmoja wa viongozi  wake ametoa taarifa iliyojaa maneno makali akimshambulia Lowassa na baadhi ya viongozi wa dini akiwahusisha na kampeni za uchaguzi wa urais mwakani. Bila kutaja jina la kiongozi yeyote wa dini, ila tu kurejea kwa ujumla wao

Mauaji yaitikisa nchi...Jambazi laendesha mauaji ya watu 8 kwa siku tatu mfululizo, IGP Mangu ashtushwa, apeleka wapelelezi kumsaka

$
0
0
Mauaji ya kutisha yametikisha wilaya ya Tarime kiasi cha kumfanya Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu, kutuma timu maalum kutoka makao makuu ya jeshi hilo inayohusisha kamisheni ya Operesheni kufanya uchunguzi. Hatua ya kupelekwa kwa timu hiyo inatokana na mauaji ya mfululizo katika mji wa Tarime ambayo ipo kwenye himaya ya Kanda Maalum ya Polisi ya Tarime na Rorya ambayo
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images