Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

SORRY MADAM -Sehemu ya 82 & 83 (Destination of my enemies)

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA
ILIPOISHIA

“Jamani hii ni kama suprize kwa waziri wetu Agnes, kwa mana hakutarajia ujio kama huu wa watu katika siku kama hiiya leo”
Mshereheshaji alizungumza, akawaomba watu wote kusimama. Wakatii hadi Eddy mwenyewe. Mshereheshaji akawaalika wageni rasmi. Ambao walianza kuingia ndani ya ukumbi huo wenye mlango nyuma. Eddy na wageni wengine waalikwa wakageuka kuangalia ni wageni gani hao rasmi. Macho yakamtoka Eddy baada ya kuwaona raisi Godwin akingiia ukumbini hapo huku mbele yake akimuona John akisukumwa kwenye kiti cha matairi, na wote wakapitiliza moja kwa moja hadi kwenye meza ambayo Eddy ameketi, na taratibu raisi Godwin akampa mkono Eddy kama salam, aliye utazama pasipo kuupokea.

ENDELEA
  Taratibu Eddy akaupokea mkono wa raisi Godwin, huku akiachia tabasafu usoni mwake ambalo fika alifanani na kitu anacho kifikiria akilini kmwake. Eddy akamsalimia John kwa ishara, naye akaachia tabasamu. Msherehekaji akwaruhusu watu kuweza kukaa kwenye viti vyao na kuendelea na ratiba iliyopo mbele yao. Kwa mara kadhaa Eddy aliweza kumtazama raisi Godwin na John ambao wanaonekana hadi sasa hivi hadi sasa hawajamgundua Eddy.
“Kijana unaitwa nani?”

Raisi Praygod alizungumza huku akimtazama Eddy usoni.
“Naitwa Erickson. Erickson Forrd”
“Ahaa ninaamini unanifahamu?”
“Ndio ninakufahamu, wewe ndio raisi wetu. Mimi ni mmoja kati ya watu nilio kuwa mstari wa mbele kukupigia kampeni chuoni”
Eddya alizungumza kwa sauti ambayo sio rahisi kwa mtu kuweza kuigundua kwa haraka haraka. Uso wa raisi Praygod ukatawaliwa na tabasamu baada ya kusikia maneno ya Eddy.
“Kweli kijana?”
“Kweli muheshimiwa, nilihakikisha kwamba wanavyuo wanakuchagua na kuhitaji mabadiliko ya kisiasa. Hatuwezi vijana tangu tunazaliwa tuwe tunatawaliwa na chama kimoja”
“Unachukua fakati gani?”

“Nachukua utawala bora”
“Ahaaa, sawa sawa. Hivi unauonaje uongozi wangu?”
“Kusema kweli machoni mwa watu wengi wanaweza kusema uongozi wako unamapungufu. Ila kwa sisi waelewa tunaelewa uongozi wako ni mzuri kwa maana serikali yetu inapunguza matumizi ambayo si ya msingi. Kwa mfano hili swala la kutaka kuibadili nchi na kuwa nchi ya kifalme, ninakuunga mkono wa asilimia mia”

Eddy alizungumza kwa kuajiamini na kumfanya raisi Godwin kuzidi kufurahi pasipo kugundua kwamba Erickson Forrd ndio Eddy Godwin mwanaye wa pekee wa kiume ambaye ni adui yake namba moja.
“Unajua muheshimiwa, ukiweka nchi kuwa na uongozi wa kifalme, tutapiga hatua kubwa ya kiuchumi. Tazama Uingereza hadi leo wanamilikiwa na Malikia. Tazama uchumi wao ulipo kwa sasa. Wapo mbali sana muheshimiwa, na mimi ninazidi kukuunga mkono hata chuoni nitahakikisha kwamba uongozi unabadilika”
Muda wote Eddy akizungumza John alimtazama kwa umakini mdomoni mwake, akataka kuzungumza kitu ila akanyamaza.

“Unaonekana upo vizuri kijana”
“Kidogo tu muheshimiwa”
“Na unasoma chuo gani?”
“Ninasoma Mlimani”
“Ahaaa kumbe ni hapa hapa Dar es Salaam”
“Ndio muheshimiwa”
“Basi nitafanya mawasiliano na wewe ili tuyazungumze mengi”
Raisi Godwin kwa ishara akamuita mlinzi wake na kumnong’oneza kitu. Mlinzi wake akatoa kadi ya mawasiliano na kumkabidhi raisi kisha raisi Godwin akampatia Eddy.
“Tutawasiliana kijana hii ni namba ya simu yangu ya mkononi”
“Asante sana muheshimiwa”
“Hivi umesema unaitwa nani?”
“Erickson Forrd muheshimiwa”
“Jamani naona mtoto wetu leo anahitaji kuzungumza kitu, ngoja nimpatie maiki”

Mshereheshaji alizungumza na kuwafanya Eddy na raisi Godwin kuangalia alipo Agnes, aliye kabidhiwa maiki namshereshaji. Agnes akasimama kwenye kiti huku macho yake akimtazama Eddy aliye kaa meza moja na raisi Godwin.
“Napenda kuwashukuru jamani kwa kuweza kunifanyia sherehe hii, ambayo siku ya leo kwangu ni muhimu sana kwangu. Nikisema niwataje mmoja mmoja basi nahisi nitataja ukumbi mzima. Ila kusema kweli shukrani yangu inatoka ndani ya moyo wangu.”

Agnes alizungumza na kuwafanya watu wote ndani ya ukumbi kuwa kimya na kuendelea kumsikiliza kwa kile ambacho anakizungumza.
“Katika maisha yangu, naamini rafiki zangu wa karibu hawajawahi kusikia wala kuniona nikiwa nina mchumba. Ila leo ninahitaji kuwaeleza hili. Nina mchumba  wangu na yupo hapa, nitakapo mtaja basi nitaomba aje hapa mbele watu wote mumuone”
Eddy kidogo mapigo ya moyo yakamuenda kasi kidogo ila akajikaza na kujidai kama sio yeye ambaye atakwenda kutajwa.
“Laazizi wangu, Asali wangu, mume wangu mtarajiwa Erickson Ford popote ulipo ninakUomba unyanyuke”
Watu wote wakaanza kutazama tazama, raisi Godwin na John wakabaki wakimkodolea macho Eddy waliye kaa naye kwenye meza moja.

“Kumbe ni wewe bwana mdogo?”
Raisi Praygod alizungumza huku akitabasamu na kumtazama Eddy aliye achia tabasamu pana. Eddy akatingisha kichwa na kusimama taratibu, akaanza kupiga hatua za taratibu hadi alipo kaa Agnes, aliye mkumbatia kwa muda kisha akamuachia. John sura yake dhairi ikaonyesha kujawa na hasira kwa kitendo hicho hadi raisi Godwin akakigundua.
“Vipi mbona umekasirika ?”
“Ahahaa hapana muheshimiwa”
John alizungumza kwa kuzuga, ila kusema kweli moyoni mwake kwa haraka ametokea kumchukia Erickson Forrd, hii yote ni kutokana na hisia za mapenzi alizo kuwa nazo juu ya Agnes, ila ukaaji kimya wake ndio ulio mponza.
‘Erickson Forrd lazima nikuue’

John aliwaza huku akimtazama Eddy jinsi anavyo lishwa kipande cha kike na Agnes. Si John peke yake bali hata Manka aliyte kaa viti vya nyuma kidogo hasira kali, ikazidi kuutesa moyo wake, kwa mara kadhaa akawa anafikiria ni jinsi gani anavyo weza kumuangamiza Agnes ili kubaki na Erickson Forrd peke yake.
‘Lazima nimuue, Erickson ni wangu. TENA WANGU PEKA YANGU’
Manka alizungumza huku machozi yakimlenga lenga, kiasi kwamba akatamani anyanyuke na kwenda kuwatengenisha Erickson na Agnes wanao pigana mabusu kiholela holea. Sherehe ikazidi kuendelea hadi ikafikia tamati. Raisi Godwin akawafwata Eddy na Agnes walipo simama kwa ajili ya kuwaaga.

“Agnes hongera, umechagua kijana mzuri sana”
“Asante sana muheshimiwa nakushuru sana kwa kuweza kuhudhuria”
“Usijali, unajua nilikwenda Marekani kwa ajili ya mapumziko, ila Manka alipo nieleza juu ya sherehe yako ikanilazimu jana turudi”
“Asante sana muheshimiwa, umenipa nafasi ambayo ni ya pekee sana”
“Usijali wewe ni kati ya watu ninao waheshimu na kuwajali sana, ingeuwa si vyema kama leo nisinge weza kuhusika katika hafla hii, naamini usinge jisikia vizuri”
“Hapana muheshimiwa, mimi ni muelewa kwa maana sikutegemea kabisa ujio wako”

“Usijali, Erickson Forrd ngoja mimi niwaache mukapumzike. Ila kesho wasiliana na mimi na kama ikiwezekana njooni  wote ikulu tuzidi kuyajenga”
Raisi Praygod alizungumza huku akimpa mkono Eddy, ambaye kwa haraka akaupokea huku akiwa na furaha kubwa ambayo furaha yote ni feki, kwani kisasi na chuki dhidi ya mzee Godwin imejaa moyoni mwake.
“Asante sana muheshimiwa nina amini bibie atanileta”
“Haya ngoja tuondoke nawatakia usiku mwena”
“Nawe pia muheshimiwa raisi”

Eddy akamtazama kwa macho makali jinsi raisi Praygod wanavyo ongozana na John anaye sukumwa kwenye kiti cha matairi na mlinzi wake.
“Honey mbona umewakazia macho”
“Ahaa hapana honey katika maisha yangu sijawahi kuonana na raisi uso kwa uso”
“Kweli mpenzi wangu”
“Kweli siwezi kukutani, leo ndio mara yangu ya kwanza”
Eddy aliongopea ila anacho kijua moyoni mwake ni kulipiza kisasi dhidi ya Mzee Godwin pamoja na John ambaye amepunyuka punyuka katika kisasi cha kwanza alicho kuwa anahitaji kuweza kumfanyia.  Agnes na Eddy wakaondoka na kuelekea katika hoteli walio lipiwa kama zawadi ya kwenda kustarehe kwa siku mbili mfululizo.
                                                                                                                   ***
   John njia nzima akiwa kwenye gari pamoja na mlinzi wake aliwaza ni jinsi gani ya kumuuErickson Forrd, kwa maama ameingia katika kumi na nane zake.

“Ninakazi ambayo ninahitaji kukupatia”
John alimuambia mlinzi wake, kwa sauti iliyo jaa mikwaruzo mingi dhairi akionekana kusumbukiwa na jambo fulani moyoni mwake ambalo hakulihitaji kuliweka wazi kwa mtu yoyote kwani, katika maisha yake hakuwahi kujikuta akiingia kwenye hisia hali za mapenzi kama alizo hizo.
“Kazi gani bosi?”
“Ulimuona yule kijana anaye itwa Erickson Forrd?”
“Ndio bosi nilimuona”
“Nahitaji umfwatile hatua kwa hatua, kila detail zake ninaomba uniletee”
“Sawa muheshimiwa”
“Na akionekana humuelewi, hakikisha unampoteza”
“Sawa mkuu”
                                                                                                                    ***
   Si Phidaya wala Shamsa aliye weza kupata lepe la usingizi, kila mmoja akili yake ameielekezea kwa Eddy. Kila mmoja aliamuwazia jinsi Eddy anavyo banjuka na mwanamke ambaye anaye kwa usiku huo. Shamsa maumivu aliyo yapata yaliweza kujidhihirisaha hadi usoni mwake na kumfanya Sa Yoo kuweza kumuuliza ni kitu gani kinacho endelea.
“Ahaaa wee acha tu”
“Si wezi kuacha tu, ikiwa ninakuona unajambo ambalo linakusumbua. Ni vyema tuzungumze kwa pamoja kama ni mawazo niweze kukusaidia”
“Sa Yoo si kila jambo ni la kukushirikisha wewe, mengine ni mambo binafsi”

Shamsa alizungumza huku kwa mbali machozi yakimlenga lenga. Sa Yoo akaka kitako kitandani, akamuangalia vizuri, taratibu Sa Yoo akashuka kitandani na kwenda hadi sehemu ilipo swichi, akawasha taa na kurudi kurudi kitandani.
“Shamsa nakuomba uzungumze, ni nini kinacho kusumbua eeheee”
Sa Yoo alizungumza huku taratibu akimnyanyua Shamsa kutoka kitandani. Kichwa cha Shamsa akakiweka kwenye bega lake..
“Niambie sasa, ni nini kinacho kusumbua rafiki yangu?”
“Ni Eddy”
“Eddy kafanya nini?”
Shamsa akashusha pumzi kidogo huku akijifuta machozi usoni mwake.

“Eddy ana mwanamke mwengine”
“Sasa Shamsa huyo mwanamke ambaye anaye si anatusaidia katika kuikamilisha kazi yetu”
“Ndio Sa Yoo, ila roho yangu inaniuma”
“Inakuuma kwa nini sasa?”
“Bado ninampenda Eddy, huyu ndio Black Shadow wangu. Upendo wangu kuondoka kwake ni ngumu kama unavyo fikiria”
Sa Yoo akajikuta akishusha pumzi kidogo huku akimtazama Shamsa anaye endelea kutiririkwa na machozi.
“Lakini Shamsa, si umesha ufahamu ukweli kwamba Eddy ni baba yako, inakuwaje sasa bado una hisia za mapenzi juu yake?”
“Hata kama ukweli ni kwamba tayari amesha nivunja bikra yangu?”
“NI NANI AMEKUVUNJA BIKRA YAKO?”
Sauti ya Phidaya ikawastua wote na kujikuta macho yao wakiyaekekezea mlangoni, na kumuona Phidaya akiwa amesimama huku akiwa amevalia nguo zake za kulalia.
                                                                                                                 ***
    Asubuhi na mapema Eddy akawa wa kwanza kuamka kitandani, moja kwa moja akaelekea bafuni, akaoga kisha akarudi chumbani akavaa nguo zake alipo hakikisha amemaliza, akamtazama Agnes kwa muda akamtingisha huku anamuita.
“Honey honey”
“Mmmmmmm”
Agnes aliitika kivivu huku akijigeuza kitandani na kumtazama Eddy usoni.

“Nahitaji kwenda nyumbani kwangu mara moja”
“Kwa nini jamani, wakati tunakaa hapa siku mbili”
“Nalitambua hilo mpenzi, nakwenda kuchukua nguo. Unahisi ikulu tutakwendaje”
“Mmmm kama ni hivyo tutakwenda kununua madukani”
“Mmmm honey kuna vitu nahitaji kuvikamilisha asubihi ya leo kisha nitatarudi kabla ya saa nne asubuhi”
“Sawa naomba unibusu”
Eddy taratibu akamuinamia Agnes na kumbusu mdomoni.
“Usichelewe mume wangu”

“Sawa”
Eddy akatoka chumbani, akaingia kwenye moja ya lifti iliyopo hapo gorofani. Akashuka hadi chini moja kwa moja akaelekea kwenye gari lake.  Kitu cha kwanza kukifanya akaiwasha simu yake, kwa haraka akaitafuta ni sehemu gani ilipo namba ya raisi Praygod, akampigia.
“Habari za asubihi muheshimiwa?”
“Salama, vipi mpango waku upo vipi?”
“Nimefanikiwa kuonana na raisi Godwin, cha kumshukuru Mungu hajanistukia. Na kikibwa zaidi amenipatia namba yake ya simu”

“Kweli?”
“Ndio muheshimiwa na hapa amehitaji leo niweze kwenda ikulu kuonana naye”
“Safi sana ni mwanzo mzuri ninaimani kazi inakwenda kuwa rahisi kwa upande wetu”
“Ni kweli hapa nahitaji kurudi huko nibadilishe nguo, kisha nionana na huyu mwanamke, ila mke wangu nikionana naye nahisi uchungu mwingi moyoni mwangu”
“Basi usirudi nyumbani cha kufanya tuonane Mlimani City tuzungumze”
“Kwa nini nisirudi?”
“Kwa maana ukimuona Phidaya unaweza kushindwa kuifanya kazi yako, na kumbuka kuna shambulizi leo limepangwa kufanywa kwenye onyesho la huyo msanii”
“Kweli muheshimiwa nitajitahidi kuhakikisha halifanikiwi”
“Sawa tuonane Mlimani City”


Polisi Yazuia Mkutano wa Kumuombea Tundu Lissu

$
0
0
CHADEMA Mkoani Rukwa jana kimeshindwa kufanya ibada ya maombi kwa ajili ya Mwanasheria Mkuu wa Chama chao, Mh. Tundu Lissu aliyejeruhiwa kwa risasi hivi karibuni baada ya polisi mkoani humo kuzuia ibada hiyo kwa kudai ni mkusanyiko usio halali.

Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa huo ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa kanda, Sadrick Malila jana alisema wamesikitishwa sana na hatua ya jeshi hilo kwani suala la kumuombea mbunge huyo kamwe lisingeweza kusababisha uvunjifu wa amani ndiyo maana alichukua hatua za kuomba kibali kwa Kamanda wa polisi mkoa huo siku moja kabla.

Alisema kuwa CHADEMA mkoa ilikuwa imewaalika viongozi wa dini kutoka makanisa mbalimbali na wachungaji walikuwa tayari wamejiandaa kwaajili ya maombi hayo, lakini wamelazimika kusitisha baada ya Kamanda wa Polisi, George Kyando kuwaeleza kwamba wasitishe.

"Jana( juzi)  nilimpigia simu Kamanda wa Polisi na kumpa taarifa kwamba leo(jana) hapa ofisini tungekuwa na ibada fupi ya kumuombea kiongozi wetu aweze kupata nafuu haraka ili aweze kurejea kwenye majukumu yake na akawa ametukubalia, lakini cha kusikitisha zaidi leo tukiwa tunajiandaa na ibada hiyo na viongozi wakiwa wameshawasili RPC akanipigia  na kunijulisha tusitishe zoezi hilo. Inaumiza sana kwani zoezi halikuwa la kisiasa" amesema

Aidha baada ya zuio hilo Mwenyekiti huyo amelaani shambulio la Mwanasheria wao na kulitaka jeshi la polisi limalize haraka uchunguzi na kuwatia mbaroni waliohusika na tukio hilo pamoja na wale waliomjeruhi  ofisa wa jeshi kwa kumpiga risasi juzi jijini Dar es Salaam ili kukomesha vitendo hivyo.

Malila pia aliwatangazia wanachama wa CHADEMA na wananchi wengine waliokuwa na nia ya kumuombea Lissu kuwa kila mtu afanye maombi binafsi kwani anaamini Mungu ni mwema na atajibu maombi yao.

"Naliomba sana jeshi la polisi kama wameshindwa kulinda raia na mali zao, basi waache kulinda mali watalinda wananchi wenyewe wao wawalinde raia tu kwa kuwa inawezekana majukumu yamewazidia wabaki na kitu kimoja na wanachi wawasaidie kitu kingine. Jana wamezuia vjana wetu Dodoma wasichangie damu wakati hospitali haina damu na hatujui wana maanisha nini." ameongeza.

Naye Katibu wa Baraza la Vijana CHADEMA, Julius Mwita amethibitisha kutokea kwa zuio hilo ambapo amesema kuwa " Hawakuwa wanafanya mkutano wa siasa bali ni ibada maalumu ndiyo maana hata viongozi wa dini wakaalikwa. Tunasikitika wameshindwa kufanikisha kutimiza ibada hiyo kutokana na zuio la polisi".

Mabomu ya Machozi yatumika kuwatawanya madiwani Geita

$
0
0
Polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi na madiwani waliofunga  barabara ya kuingia kwenye Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM).

Katika tukio hilo leo Alhamisi asubuhi, madiwani wawili na baadhi ya wananchi wamekamatwa na polisi.

Kabla ya kutumia mabomu, polisi walitoa onyo wakiwataka wananchi na madiwani hao kutawanyika kwa amani lakini waligoma.

Madiwani wa  halmashauri mbili za Wilaya ya Geita jana Jumatano walitanga mgogoro na GGM wakishinikiza kulipwa Dola 12 milioni za Marekani zinazotokana na ushuru wa huduma kuanzia mwaka 2004 hadi 2013.

Walitangaza kuzuia magari ya mgodi kwa    kufunga barabara  na pia kufunga maji yanayoingia mgodini kutoka Ziwa Victoria.

GGM iliwatangazia wafanyakazi wake jana kutofika kazini leo kutokana na mgogoro huo.

Polisi hivi sasa wameimarisha ulinzi kwenye maeneo ya Nungwe uliko mradi wa kusambaza maji mgodini, eneo la uwanja wa ndege na geti la kuingia mgodini.

Mkuu wa Wilaya ya Geita, Herman Kapufi na mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma wameingia mgodini baada ya madiwani na wananchi kutawanywa

Godbless Lema Amvaa Spika Job Ndugai

$
0
0
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amefunguka na kudai amesikitishwa na kitendo cha Spika wa Bunge, Job Ndugai kuwataka wabunge wawili kufika mbele ya Kamati ya Maadili na mwengine kamati ya ulinzi na usalama kuhojiwa juu ya kauli zao walizozitoa

Mhe. Godbless Lema alisema hayo jana akiwa mjini Nairobi nchini Kenya alipokwenda kumjulia hali Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ambaye ameshambuliwa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana.

"Nimesikitishwa sana na kitendo cha Mhe. Spika kuwataka wabunge wawili, Mhe. Zitto Kabwe na Saed Kubenea kutokea  katika kamati ya maadili na mwingine kamati ya ulinzi na usalama na pengine baada ya maneno yangu haya na mimi naweza nikaitwa lakini siyo kitisho tena kwangu kuitwa mahali popote. 

"Nipo Nairobi kumuangalia mbunge wetu na rafiki yangu, Mhe. Lissu ambaye hawezi kula wala kuinua mkono baada ya kupigwa na risasi na watu wasiojulikana", alisema Lema na kuongeza;

"Nilitarajia Mhe. Spika aliposikia taarifa za mbunge wake kupigwa risasi pengine shughuli za Bunge zote angesimamisha kama ambavyo alivyoamuru kukamatwa kwa wabunge wawili wapelekwe Polisi akiwemo Kubenea hapo awali".

Kwa upande mwingine, Mhe. Godbless Lema alidai alitarajia kuona mabadiliko ya katika Bunge kwa kupitisha sheria kwa pamoja ili kusudi wabunge waweze kupatiwa ulinzi wa kutosha kuanzia majumbani kwao mpaka wao wenyewe lakini imekuwa tofauti na yeye alivyokuwa akifikiri.

Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) na Kampuni Hodhi ya Mali za Reli (Rahco). Kuvunjwa

$
0
0
Bunge limepitisha Muswada wa Sheria ya Reli ya mwaka 2017 ambayo itaanzisha shirika jipya la reli.

Shirika hilo litaundwa baada ya kuvunjwa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) na Kampuni Hodhi ya Mali za Reli (Rahco).

Muswada huo uliopitishwa jana bungeni uliwasilishwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa.

Akiwasilisha muswada huo, Profesa Mbarawa alisema shirika jipya litajulikana kwa jina la Shirika la Reli Tanzania (TRC), litakalokuwa na jukumu ya kusimamia, kuendeleza miundombinu ya reli na kutoa huduma ya usafiri.

Alisema watumishi waliokuwa chini ya TRL ni 1,900 na 38 wa Rahco.

Akiwasilisha maoni ya kamati, Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Miundombinu, Moshi Kakoso alisema wanaishauri Serikali kuweka utaratibu kwa mwananchi kupata haki zao yanapotokea matatizo ya kufutwa na kuchelewa kwa safari.

Alishauri Serikali kuweka utaratibu wa wazi na wa haki utakaotumika kuhamisha wafanyakazi kwenda kwenye shirika jipya au wengine kwenda ofisi zingine za Serikali.

Pia, kamati ilishauri bomoabomoa kwenye maeneo ya Shirika la Reli iendelee, isipokuwa wananchi walipwe fidia.

Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, pia ilishauri muda wa kuwarejeshea nauli abiria baada ya treni kuchelewa, uwe saa sita badala ya saa 24 ili kuwafanya watendaji wa shirika kuwajibika.

Akisoma maoni kwa niaba ya msemaji wa kambi hiyo, Mbunge wa Moshi Mjini (Chadema), Jaffar Michael alisema kama Serikali itaona ni vyema muda ukabaki uleule, basi angalau kuwe na jukumu la shirika kuwapa abiria waliocheleweshwa chakula na malazi ili kuwapunguzia usumbufu.

Kuhusu faini kwa abiria, Michael alisema wanashangazwa na matakwa ya kifungu cha 47(2) kumtoza abiria asilimia 100 ya nauli pale anapopanda bila kuwa na tiketi.

“Ni ukweli usiopingika kuwa abiria wengi wanatoka maeneo ya mbali na njia ya reli, hivyo wanaweza kujikuta hawajakata tiketi ya safari au mara kadhaa ofisi za kutolea tiketi huwa zinakuwa na foleni na pengine abiria huwa na dharura,” alisema .

Alishauri anayepanda treni bila kuwa na tiketi angalau atozwe faini ya asilimia 50 ya nauli iliyotakiwa kutozwa.

Wabunge wakichangia muswada huo walisema wakati wa kuvunjwa kwa TRL na Rahco, masilahi ya wafanyakazi yazingatiwe na kuhakikisha wanaobomolewa nyumba zao kupisha ujenzi, pia wanalipwa haki zao.

Mbunge wa Nzega Mjini (CCM), Hussein Bashe alisema kaya zipatazo 500 zinatakiwa kuhama kupisha ujenzi wa reli jimboni kwake na wapo ambao wameishi maeneo hayo kwa zaidi ya miaka 80.

Mbunge wa Igalula (CCM), Mussa Ntimizi alihoji kampuni ya reli ilikuwa wapi hadi wakawaacha watu kujenga ndani ya hifadhi ya reli.

Akizungumzia fidia, Profesa Mbarawa alisema mwananchi anayevamia barabara hawezi kulipwa fidia bali kama barabara imemfuata huyo atalipwa.

Ongeza Hips, Makalio Na Mapaja, Kuwa Mweupe Na Softi...... Ongeza Maumbile Ya Kiume, Nguvu Na Hamu Ya Tendo

$
0
0
Natural beauty product Tunakuletea bidhaa bora zenye matokeo ya uhakika na haraka zisizo na kemikali wala madhara. Zimetengenezwa kwa mimea na matunda na kudhibitishwa kiafya. 
 
             NB. Matokeo ni uhakika na garantii na risiti
🍉🌿🍅🍍🍒🍉🍓🍅🍒
          BIDHAA ZETU:-
  
1.Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @130,000/=
2.Kuongeza shepu (hips, makalio na mapaja) kwa:-
(a)BOTCHO MULT-PLUS 10× @200,000/=
(b)Vidonge  @180,000/=
(c)BOTCHO 10× ya kupaka @170,000/=
3.Kuwa mweupe na softi mwili mzima kwa:-
(1)Mafuta  @130,000/=
(11)Vidonge @150,000/=
4. Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
5.Kuongeza uume pamoja na nguvu za kiume kwa:-
(a)SHARK POWER gely ya kupaka (Inaongeza inch 6-7) @150,000/=
(b)Vidonge kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
(C)HANDSOME UP ORIGINAL- kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo @250,000/=
6.Kuondoa mvi milele zisiludi tena @150,000/=
7.Kuongeza unene wa mwili mzima na uzito pamoja na hamu ya kula  @130,000/=
8.Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni kwa:-
(a)Dawa ya kunywa au kupaka @130,000/=
(b)Mkanda wa kawaida @120,000/=
(c)Micro-computer belt wa umeme @200,000/=
9.Kupunguza  maziwa na kuyasimamisha hata kwa walionyonyesha @130,000/=
10.Kushepu miguu (CHUPA YA BIA) na kuondoa vigimbi @130,000/=
11.Kuondoa mipasuko mwilini (michirizi) @120,000/=
12.Kurudisha usichana  (bikra) @120,000/=
        Wasiliana nasi :- (+255)
             0759029968 au.       
                0659618585
 
  TAHADHARI: Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
👉🏻Ili kuona bidhaa zaidi na shuhuda za waliotumia bidhaa zetu. ...............
     Follow us on instagram  @natural2162
@natural2162
            
                              [ WELCOME ALL]

Kutana na Mtabibu wa Nyota za Binadamu.........Anafungua Kizazi, Pete za Bahati na Kusafisha Nyota

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH CHIEF SULTAN MAKATA Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika

Anatibu kwa Njia ya Simu Ukiwa Nchi Yoyote / Mkoa wowote
..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Chief Sultan Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU(LIMBWATA). 


Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine?Una Mpenzi wako ana Pesa na Unataka kumkamata? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.


Chief Sultan Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA,Hutoa PETE ZA BAHATI inayoendana na NYOTA YAKO. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.HUZUIA CHUMA ULETE NA KUKUPA DAWA YA KUONGEZA FAIDA KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA AU KUDHULUMIWA.MIGUU Kufa GANZI.


Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI.Humaliza Kabisa Tatizo la Nguvu za KIUME na Kurefusha Uume kwa Saizi Unayotaka,HUMALIZA KESI YA AINA YOYOTE NDANI YA SIKU 14. na mengi zaidi

Whatsapp/Calls +255 710 279 458
+255 710 279 458


Tiba ni kwa Watu wenye Imani na Dini zote

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Pata Tiba ya Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Mbunge Kupeleka Hoja Binafsi Bungeni Kuomba Uchaguzi wa Rais Ufanyike Kila Baada ya Miaka 7 Badala ya Mitano

$
0
0
Mbunge wa jimbo la Chemba, Juma Nkamia (CCM) amethibitisha kuwa leo atapeleka hoja binafsi kwa spika wa bunge kuhusu uchaguzi mkuu nchini ufanyike kila baada ya miaka saba na isiwe mitano kama sasa ili kuepuka gharama kubwa ambazo huwa zinatumika.

Akifanya mahojiano kwa njia ya simu na mtangazaji wa kituo cha  EATV, Mh. Nkamia amesema kuwa yeye ameamua kupeleka muswada huo binafsi kwa spika wa bunge kutokana na serikali kutumia gharama kubwa za kufanya uchaguzi kwa wakati mmoja yaani ule wa serikali za mitaa pamoja na ule mkuu.

"Napeleka hoja au muswada binafsi kwa Spika wa bunge tulijadili hili kama linaweza kufanywa sheria lifanyike.  Ndani ya bunge kuna viongozi wetu wa chama kwa hiyo lazima nipeleke kwao ili kujadili na wao waweze kupitisha kama watakubaliana na mimi na kama ikifanikiwa kufika kwa rais basi iwe sheria ambayo itatuoongoza," amesema Nkamia.

"Nikipeleka hoja yangu kwa Spika nitachanganua gharama zinazotumika kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa pamoja uchaguzi mkuu. Tunaweza kufanya uchaguzi wote kwa pamoja kama wenzetu mfano Kenya wanakuwa na maboksi mengi sana wakati wa kura, hata sisi tunaweza kufanya kama wenzetu badala ya kutumia gharama mbili kwa kipindi kimoja" aliongeza Nkamia.

Aidha, Mh. Nkamia amefafanua kuwa aeleweke kuwa hajamlenga rais aliyoko madarakani ndiye aanze kwenda miaka saba bali ni kwa viongozi wote na kama wazo lake likitimia wakati Rais Magufuli akiwa madarakani nayo si vibaya.

"Muswada una 'process' zake kwani lazima upitie sehemu nyingi na kama ukishafika kwa wabunge ukajadiliwa na ikakubalika sheria ifanyiwe mabadiliko ndani ya sheria na rais akatia saini ndiyo itakuwa sheria kamili. Na ukifanikiwa kupita wakati Rais Magufuli akiwa madarakani ni vema tu kwani kuna matatizo gani?:", amehoji Nkamia.

Pamoja na hayo Mh. Nkamia amesema kuwa watu wengi na waoga wa kutoa hoja zao kwa kufikiria wananchi watamfikiriaje hivyo kwa upande wake huwa hana woga wowote linapokuja suala la kusimamia hoja.

Spika Job Ndugai Amtolea UVIVU Godbless Lema

$
0
0
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, amejibu tuhuma za mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema, na kumtaka asipotoshe wananchi, bali apeleke malalamiko yake kwenye kamati.

Spika Ndugai ametoa kauli hiyo leo alipokuwa akiendesha bunge, na kusema kwamba bunge lina utaratibu wake kwenye kila jambo linalohusika bungeni hapo.

"Lema asipotoshe wananchi aende hadharani kwenye kamati kuzungumzia hayo, bunge haliwezi kusimama kwa shambulio la Lissu bali kanuni zinasema mbunge akifariki bunge linasimama kwa siku moja. Na iwapo Spika akiletewa jambo la maadili linapelekwa kamati ya maadili, suala la jinai linapelekwa polisi", amesema Spika Ndugai

Pia Spika Ndugai amesema suala la Tundu Lissu kuchangiwa fedha za matibabu na wabunge wakati yeye alitibiwa nje ya nchi ni kwamba matibabu ya Tundu Lissu yameenda kinyume na utaratibu wa bunge.

"Wabunge wanaopelekwa nje (India) wanapewa rufaa kutoka hospital ya Muhimbili lakini si kama alivyopelekwa Lissu", amesema Spika Ndugai.

Pamoja na hayo Spika Ndugai amesema anamsamehe Godbless Lema na kuwataka watu kumsamehe kwani hajui alitendalo.

Hapo jana mbunge wa Arusha Godbless Lema alimlaumu Spika Ndugai kuwa anashindwa kutetea kiti chake, kwa kuzidi kuwakandamiza wabunge wa upinzani hususan suala la kupigwa risasi kwa Tundu Lissu.

OFA: Jipatie Riwaya Kali ya Kusisimua ya POWER na U KILL ME Toka kwa Mtunzi Makini

$
0
0
OFA HII SI YA KUKOSA MPENZI MSOMAJI WANGU
Baada ya ukimya wa takribani mwenzi mmoja wa story matata ya SORRY MADAM D.F.E kuto kuwa hewani. Sasa imerudi hewani na inazidi kukonga nyoyo za wasomaji wangu. Kutokana tunawapenda wasomaji wetu tumeamua kutanua wigo wetu wa upatikanaji hadithi zetu mpya. 
 
Story mpya za POWER na AIISSII U KILL ME LEGACY sasa zinapatikana katika GROUP langu la hadithi kupitia Whatsapp namba 0657072588. Katika mwenzi mmoja tutahakikisha kwamba msomaji wetu unasoma episode(vipande vya hadithi) 48 kwa ada ya shilingi 3000 tu. Jiunge sasa mpenzi msomaji kwani hizi story nina uhakika wa asilimia 100 kwamba zitakuburudisha na kukufurahisha. Sheria za group la whatsapp ni rahisi sana.
 
1. Huruhusiwi kupost chochote kwenye group,endapo utakiuka sheria utatolewa.
2. Unaweza kulipia kuanzia mwezi mmoja na kuendelea.
3. Huruhusiwi kutoa hadithi nje ya GROUP ukibainika kufanya hivyo tutakutoa kwenye group na hutorudishwa pia hatuto ishia hapo ila sheria zitafwata mkondo.
4. Huruhusiwi kuchukua namba ya mtu ndani ya group bila idhini ya Admin, endapo mwana chama mwezako akitokea kukulalamikia kwamba umefanya hivyo basi tutakutoa(Hapa ninawalenga wakaka wengi sana kwa wadada wazuri walio jiunga na kupenda kusoma story)
5. Ukilipia tarehe kama ya leo basi itakulazimu tarehe inayo fwata uweze kulipia endapo zitapita siku mbili mara baada ya kukumbushwa siku yako ya kulipia basi tutalazimika kukutoa kwenye Group.
6.Tutazingatia maadili yote ya nchi yetu ya Tanzania na hakuna usumbusu wowote tutakao kubali uweze kumpata mwana chama wetu.
 
Baada ya kuyasema hayo karibuni sana wasomaji wangu kwani story ndio kwanza leo zinaendelea sehemu ya 6 na kama ni mwana chama mpya tutakutumia kuanzia 1 hadi 5 ili ifikapo saa moja usiku uweze kusoma na wezako sehemu ya sita. Kumbuka hadithi hizi nimejitahidi kadri ya uwezo wangu kuhakikisha kwamba zina zipiku story za SORRY MADAM na SHE IS MY WIFE.

Mabasi ya Mwendo Kasi Dar Yagogana

$
0
0
Abiria wanaotumia usafiri wa mabasi yaendayo haraka (Udart) wamekwama Kimara kutokana na kukosekana huduma kulikosababishwa na ajali iliyotokea Shekilango, Ubungo.

Vituo vya Udart vilivyoko Mbezi Mwisho hadi Ubungo vimefurika abiria baadhi wakiamua kutafuta usafiri mbadala.

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha Udart, Deus Bugaywa amesema gari moja liligonga lingine kwa nyuma hivyo kusababisha barabara kutopitika.

Bugaywa amesema baada ya mabasi ya Udart yaliyogongana kuondolewa, hivi sasa wanachofanya ni kuhakikisha abiria wote walio vituoni wanapata usafiri. 

Unasumbuliwa na Kiharusi,Ngiri au Kifafa?......Unatatizo la Nguvu za Kiume, Kuachika au Tatizo la Uzazi? . Kutana na Mtalaamu Huyu Akusaidie

$
0
0
SASA YUPO DAR;Anadawa ya kumvuta mpenzi wako popote alipo kwa masaa 6 tu na kumtuliza asitoke kwako

Je, unaugomvi usioisha na mpenzi wako na unaachwa mara kwa mara? Njoo upate dawa ufurahie penzi tulivu la umpendae.

Anadawa za nguvu za kiume, kuimarisha mishipa iliyolegea, kuongeza homoni na kukufanya udumu katika tendo hadi dakika 45 na unaweza kurudia tendo hata mara 4 bila kuchoka.

Anatibu Busha bila kupasua,uzazi, mshipa wa ngiri,kiharusi,kifafa,kuondoa majini machafu nakadhalika.

Mpigie kwa simu: 0755505099

Hakimu Ageuka Mbogo Sakata la Kigogo wa ESCROW Kunyimwa Matibabu

$
0
0
Mshtakiwa Habinder Sethi ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa bado hajatibiwa.

Sethi amesema hayo mahakamani baada ya wakili wake kuomba aulizwe kama ametiwa na hakimu kumuuliza jambo lililomnyanyua Sethi ambaye alisema hajatibiwa

Kutokana na hali hiyo, Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi amesema ni wazi amri ya Mahakama ni lazima zifuatwe.

"Hatuwezi kila siku kuongeza kitu kimoja, Mahakama nilisema apelekwe katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kutibiwa kutokana na matatizo yaliyoelezwa mahakamani kuwa ana puto tumboni,"amesema Hakimu Shaidi.

Amesema Mahakama iliona ni busara apelekwe katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akatibiwe kwa sababu kuna wataalam.

"Matakwa yetu ni kuona mshtakiwa anakuwa na afya njema na anahudhuria kesi yake na kwa upande wa Serikali kesi hiyo inathibitika."

Hakimu Shaidi amesema mara ya mwisho upande wa mashtaka ulisema Sethi alikutana na mtaalam katika Hospitali ya Amana leo mtaalam kaenda Magereza kauli zinabadilika.

"Hainifurahishi kila siku kuongea hiki kitu hivyo apelekwe katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akatibiwe,"amesema Hakimu Shaidi.

Hakimu Shaidi ameeleza hayo leo Alhamisi mara baada ya Mwendesha Mashtaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(Takukuru), Leonard Swai kudai kesi ilipangwa kutajwa, upelelezi wake bado haujakamilika na akaomba ipangiwe tarehe nyingine.

Baada ya kutolewa kwa maelezo hayo, Wakili wa Sethi, Melchisedeck Lutema alieleza kuwa wana maombi na wakaomba upande wa mashtaka waieleze mahakama kwa nini Seth hapelekwi hospitali.

Pia aliomba mahakama nitumie busara na mamlaka yake kuhakikisha mshtakiwa Seth anapelekwa hospitali.

Kwa upande wa wakili mwingine wa upande wa utetezi, Paschal Kamala amesema washtakiwa walifikishwa mahakamani hapo Juni 19,2017 na kwamba hadi leo Alhamisi ni siku 87, wapo rumande wanakabiliwa na mashtaka yasiyo na dhamana na maelezo ni kuwa upelelezi bado haujakamilika.

Ameeleza kuwa ili haki ionekane inatendeka kwa wakati kwa upande zote mbili wanaomba upelelezi ukamilike mapema.

Kwa upande wa Wakili Swai yeye aliitarifu mahakama kuwa Seth alipelekwa hospitali na kwamba anatibiwa Magereza na kuna Dk Sotto Pakacha ambaye ni mtaalam anamtibu kila siku akiwa gerezani.

"Nimefuatilia mimi mwenyewe na nimeuona huo utaratibu  hata akiwa na shinikizo la damu (presha) ama akiwa na tatizo lolote anatibiwa,"amesema Swai.

Aliongeza kuwa mshtakiwa Sethi hajawahi kuwasilisha vyeti ama kumbukumbu Magereza kuwa ana tatizo hilo ili daktari aweze kujua anaanzia wapi.

Swai amesema walishampeleka Hospitali ya Amana na alitibiwa na jopo la madaktari akiwamo mmoja anaitwa Erick na kwamba Magereza wapo katika kuchukua vipimo ili afanyiwe MRI. Amri yako imetelezwa alisisitiza kusema Swai.

Amekubali kuchelewa kwa kesi ila wanaendelea na upelelezi kwa kuwa makosa ya kughushi yanahusisha taasisi nyingi ndio maana unachukua muda mrefu.

Wakili Lutema alidai kuwa maelezo ya upande wa mashtaka ni maelezo tu, hayana uthibitisho kwa kuwa suala la kutibiwa ama kutotibiwa ni la mshtakiwa na yupo mahakamani asikilizwe aseme anatibiwa ama hatibiwi.

Pia alieleza kuwa ni wakati wa kutekelezwa kwa amri ya Mahakama iliyosema mshtakiwa akatibiwe katika Hospitali ya Muhimbili  na akaomba mahakama itumie busara na mamlaka yake kuhakikisha amri yake inatekelezwa na Mahakama imeamuru apelekwe hospitali ya Muhimbili,  kesi imeahirishwa hadi Septemba 29, 2017.

Jaji Mkuu wa Kenya ageuziwa kibao.....Wabunge wa Jubilee Wataka Ang'oke

$
0
0
Jaji Mkuu wa Kenya, David Maraga ameingia matatani baada ya wabunge wa Jubilee kutaka ang’oke kwenye nafasi hiyo ikiwa siku chache baada ya jaji huyo kutengua matokeo ya urais yaliyompa ushindi mgombea Uhuru Kenyatta.

Mbunge wa Nyeri Mjini kwa tiketi ya Jubilee, Ngunjiri Wambugu amefungua mashtaka katika Tume ya Majaji akitaka Jaji Maraga ang’olewe kwa kile alichokieleza kuwa ‘utendaji wake mbaya’.

Mbunge huyo aliyewasilisha mashtaka yenye kurasa 14 ameomba Tume ya Majaji kwa kushirikiana  na majaji na mahakimu kuanzisha uchunguzi dhidi ya  Jaji Maraga ili kubaini mwenendo wake tangu alipoteuliwa kwenye wadhifa huo.

Wambugu anadai kuwa Jaji Maraga ametekwa na kundi la mashirika ya kiraia ambayo yamekuwa yakiendesha kampeni dhidi ya urais wa Kenyatta tangu mwaka 2013.

Pia, anadai jaji huyo alimzuia Jaji Mohamed Ibrahim kushiriki katika kesi iliyofunguliwa na mgombea wa Nasa, Raila Odinga aliyekuwa akipinga matokeo ya urais. Jaji Ibrahim alikatiza siku ya pili kusikiliza kesi hiyo kutokana na kuugua.

Gharama ya Matibabu ya Tundu Lissu kwa Siku ni Milioni 10.....CHADEMA Waanzisha Kampeni Maalumu Kuomba Msaada

$
0
0
Chadema imetangaza kuanzisha kampeni maalumu kuchangisha fedha kwa ajili ya kumgharimia mbunge wake, Tundu Lissu anayeendelea kupata matibabu mjini Nairobi huku matibabu yake yakigharimu Sh 10 milioni kwa siku.

Kutokana na ukubwa wa gharama hizo chama hicho tayari kimeziomba jumuiya za kimataifa ikiwamo Ujerumani na Jumuiya ya Umoja wa Ulaya(EU) kuangalia kama inaweza kusaidia matibabu ya mwanasiasa huyo.

Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Profesa Abdalah Safari amesema leo Ijumaa kuwa pamoja na gharama za kumtibu Lissu kuwa kubwa lakini chama kitaendelea kumpigania ili kuokoa maisha yake.

“Unajua chama tumepoteza watu wengi sana, kama vile Ben Saanani, Dk Slaa ( Willbroad) lakini tuna mahaba makubwa na ndugu yetu Lissu hivyo tunaendelea kupigania maisha yake. Gharama  anazotumiwa kutibiwa ni kubwa mno maana kwa siku inagharimu kiasi cha Sh10 milioni sasa sisi peke yetu hatuwezi ndiyo maana tumeamua kuomba msaada toka kwa rafiki zetu,” amesema.

Amesema chama kimeunda kamati maalumu ambayo inaratibu michango ya Lissu na moja ya eneo ambalo wamewasilisha maombi yao ni kwa Serikali ya Ujerumani na Umoja wa Ulaya.

“Siwezi kusema hadi sasa nini tumejibiwa ila ninachojua kamati inaendelea kufuatilia... unajua wale Wajerumani ni ndugu zetu maana chama cha CDU ni marafiki zetu na tumewaandikia,” amesema.

Chama cha Christian Democratic Party (CDU) kinachoongozwa na Angela Merkel kwa sasa kipo kwenye kampeni za kumchangua Kansela katika uchaguzi utakaofanyika baadaye mwaka huu. Vyama hivi, Chadema na CDU vimekuwa na uhusiano wa kisiasa kwa muda mrefu na mara kwa mara viongozi wake wamekuwa wakitembeleana.

“Chadema inaamini kuwa kutokana na kufikwa na tatizo hilo huenda kikapata msaada kutoka miongoni mwa vyama rafiki.” Pia, alidokeza kuwepo uwezekano wa kuiandikia Uingereza katika juhudi zake za kuomba usaidizi.

Profesa Safari amesema chama kimejaribu kukusanya michango kutoka kwa kanda zake pamoja na wananchi wengi lakini kadri siku zinavyoenda gharama zimekuwa zikiongezeka hivyo wameamua kupiga hodi pia katika jumuiya za kimataifa.

“Wananchi wetu ni maskini na Serikali hadi sasa haijataka kuchangia gharama zozote hivyo lazima tuendelee kutafuta njia nyingine za kumwokoa ndugu yetu,”amesema.

Breaking News: Mahakama Yamuachia Huru Yusuf Manji

$
0
0
Mahakama imemuachia huru mfanyabiashara Yusuf Manji katika kesi ya uhujumu uchumi baada ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali (DPP) kuwasilisha hati mahakamani hapo ikionyesha kuwa hana nia ya kuendelea na kesi dhidi yake.

Manji na watuhumiwa wenzake watatu walikuwa wakikabiliwa na mashtaka saba yakiwemo ya uhujumu uchumi, kukutwa na mihuri miwili ya JWTZ, ukiwemo wa Mkuu wa Kikosi cha 21 JWTZ, wa Mkuu wa Kikosi Makutupora Dodoma (JWTZ) na wa Commanding Officer Korogwe na plate number mbili za magari ya serikali.

Watuhumiwa wengine walioachiwa huru kwenye kesi hiyo ni Deogratius Kasinda na Thobias Pwere na mwingine ambaye jina lake halikufahamika mara moja.

Serikali Yaunda Kikosi Maalumu Kudhibiti Mashambilizi Ya Risasi Nchini

$
0
0
Wiki moja baada ya kujeruhiwa kwa risasi Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu Serikali imeunda kikosi kazi kushughulikia uvunjifu wa amani nchini.

Kikosi hicho kinachoshirikisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama pia kinashughulika na kukusanya silaha za kivita ambazo zimekuwa zikitumika.

Lissu alijeruhiwa kwa risasi Alhamisi Septemba 7 nyumbani kwake Area D mjini Dodoma na sasa anaendelea na matibabu jijini Nairobi, Kenya.

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi amesema hayo bungeni leo Alhamisi akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Chambani (CUF), Yusuf Salim Hussein.

Mbunge huyo amesema hana wasiwasi na uimara, uwezo na weledi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika kusimamia majukumu yake ndiyo maana nje ya mipaka ya nchi ni salama lakini ana wasi wasi kuhusiana na hali ya usalama nchini.

“Lakini ndani ya nchi yetu hali si salama na mifano miwili ya juzi ya mbunge (Lissu) na Meja Jenerali mstaafu Vincent Mritaba inadhihirisha kwamba ndani ya nchi yetu tuna matatizo, je ni kwa nini Jeshi la Wananchi lisishiriki kikamilifu kuondosha matumizi ya silaha na mauaji ya raia wasio na hatia ndani ya nchi yetu?” alihoji mbunge huyo.

Amesema anavyoona yeye silaha za kivita zinamilikiwa na JWTZ na matumizi yake yanatakiwa yawe ya chombo hicho.

Mbunge huyo alihoji ni kwa nini wasitumike askari maalumu kuhakikisha silaha za kivita zinazotumika vibaya kuua raia zinakamatwa.

Waziri Mwinyi akijibu swali hilo amesema ni dhahiri kwamba kazi ya JWTZ ni ulinzi wa mipaka lakini pale linapohitajika au kuombwa kusaidia mamlaka zingine za kiraia au vyombo vingine vya ulinzi na usalama huwa tayari kufanya hivyo.

“Tunavyozungumza ni kwamba, mamlaka hizo ambazo ni vyombo vingine vya ulinzi na usalama vikihitaji msaada wa jeshi mara zote tunakuwa tayari kutoa msaada huo, kwa hali ilivyo sasa imeundwa task force (kikosi kazi) inayojumuisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama ili kulifanyia kazi tatizo hili la uvunjivu wa amani ndani ya nchi,” amesema.

Amesema hana shaka na kazi hiyo imeanza, hivyo kuwahakikishia wananchi kuwa jukumu hilo litafanywa vyema ili hali ya usalama iwepo ndani ya nchi.

Dk Mwinyi amesema ni kweli silaha za kivita zinadhibitiwa na JWTZ na kwa kutumia kikosi kazi hicho, watakusanya silaha hizo kutoka kwa raia au watu wengine wote ambao wanamiliki silaha hizo ambazo kwa kawaida, utaratibu na kisheria hawapaswi kuwa nazo.

Amesema zitakapopatikana silaha hizo zitarudishwa katika mamlaka zinazohusika.

Katika swali la msingi, Mbunge wa Mkoani (CUF), Twahir Awesu Mohamed alihoji Serikali imejipangaje kuimarisha amani nchini.

Waziri Mwinyi amesema JWTZ imejipanga kikamilifu kuhakikisha mipaka ya nchi inalindwa muda wote dhidi ya adui yeyote atakayejitokeza kuivamia.

“Jeshi letu kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama, limeimarisha ulinzi katika maeneo ya mipaka yenye wakimbizi ,” amesema.

Amesema hatua hiyo imesaidia kuzuia na kukabiliana na vitendo vya kihalifu vinavyowezwa kusababishwa na wakimbizi katika mipaka na katika makambi.

Jishindie Gari la Bure Toka Japan.....Kushiriki Ni Bure Kabisa

Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images