Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mfumuko wa bei washuka nchini

$
0
0
Ofisi ya Taifa ya Takwimu imeeleza kuwa mfumuko wa bei nchini kwa kipindi cha Julai mwaka huu umepungua hadi kufikia asilimia 5.2 kutoka asilimia 5.4 iliyokuwapo mwezi Juni mwaka huu hali inayomaanishakasi ya mabadiliko ya bei za bidhaa imepungua.

Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii, Ephraim Kwesigabo, amesema kupungua kwa mfumuko wa bei wa kipindi cha Julai mwaka huu kumechangiwa hasa na kupungua kwa baadhi ya bidhaa za vyakula kwa kipindi kilichoishia Julai 2017 ikilinganishwa na bei za Juni 2016.

“Baadhi ya bidhaa za vyakula zilizochangia kupungua kwa mfumuko wa bei ni pamoja na nyama, kwa asilimia 16.6, bilinganya (10.6), vitunguu (13.2), karoti (16.9) na viazi mviringo (13.5)" amesema.

Aidha ameeleza kuwa Shilingi ya Tanzania imezidi kuimarika ambapo uwezo wa Shilingi 100 katika kununua bidhaa na huduma ulifikia Shilingi 91 na senti 87 kipindi cha Julai 2017 ikilinganishwa na shilingi 91 na senti 66 ilivyokuwa Juni 2017.

“Mfumuko wa bei nchini Tanzania una mwelekeo unaofanana na baadhi ya nchi nyingine za Afrika Mashariki ambapo nchini Kenya mfumuko huo wa Julai 2017 umepungua hadi asilimia 7.47 kutoka asilimia 9.21 Juni 2017 na nchini Uganda umepungua hadi asilimia 5.70 kwa kipindi cha Julai kutoka asilimia 6.4 Juni 2017" ameongeza

Hata hivyo Kwesigabo ameongeza kuwa mfumuko wa bei wa kitaifa unapima kiwango cha kasi ya mabadiliko ya bei za bidhaa na huduma zote zinazotumiwa na kaya binafsi nchini.

Polisi Wanne Watiwa Mbaroni kwa Kumjrehi Mke Wa Mwenyekiti Jijini Mwanza Wakati wakiwa Wamelewa

$
0
0

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, Ahmed Msangi ametoa amri kukamatwa kwa askari polisi wanne wa Kituo Kikuu cha Polisi Nyamagana kutokana na asakri hao kumjeruhi kwa risasi mke wa Mwenyekiti mtaa.

Kamanda Msangi amesema polisi hao tayari wametiwa mbaroni kwa kumjeruhi kwa risasi mguuni Bi. Editha Ntobi ambaye ni mke wa Mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa Majengo Mapya uliopo katika Kata ya Mabatini jijini Mwanza.

Msangi amesema polisi hao wanatuhumiwa kufyatua hovyo risasi zaidi ya 10, kuharibu mali za raia lakini pia wanadaiwa kufanya matukio hayo kutokana na kulewa wakati wakiwa kwenye doria kinyume na utaratibu wa kazi yao.

Bi Editha Ntobi ambaye ni majeruhi wa kupigwa risasi amelazwa katika hospitali ya Rufaa Bugando iliyopo jijini Mwanza kutokana na kuvuja kwa damu nyingi kufutia tukio hilo. 


==>Tazama Video hapo chini( Video kwa hisani ya MillardAyo)

Kanisa Katoliki lakataa kumzika bilionea Faustine Mrema

$
0
0
Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Arusha, limekataa kuendesha misa ya maziko ya mfanyabiashara bilionea Faustine Mrema kwa madai hakuwa na Sakramenti ya ndoa na mke wake wala kipaimara.

Paroko Msaidizi wa Parokia ya Mtakatifu Theresia, Mtoto Yesu, Jimbo Kuu la Arusha Padri Festus Mangwangi amekiri suala hilo na kuongeza kuwa marehemu enzi za uhai wake hakuweka heshima na kanisa.

“Marehemu ni mkatoliki wa kuzaliwa, lakini hakuwahi kuwa na sakramenti ya ndoa na mke aliyezaa naye watoto wala kupata Kipaimara. Kanisa haliwezi kumzika kabisa, kawaida mazishi ya Kanisa Katoliki ni heshima inayotolewa kwa mhusika kama anastahili.

“Huyu hakuwahi kufunga ndoa kanisani, alijitenga na kanisa kwa hiyo kusema tumemtenga si kweli, yeye ndiyo alijikataa hakutaka kutafuta heshima yake na kanisa akiwa hai,” alisema Padri Mangwangi.

Kuhusu kutokwenda kwenye Misa za Jumuiya ambayo nayo ni moja ya taratibu muhimu inayowataka waumini wa kikatoliki kushiriki ibada za nyumba kwa nyumba Padri Mangwangi amesema, hata ibada hizo nazo pia marehemu alikuwa hashiriki.

“Jumuiya ni utaratibu wa kanisa unaowataka waumini wawe na ushirika wa karibu ikiwamo kufahamiana marehemu pia alikuwa hashiriki kabisa sasa unaanzaje kumzika mtu kwa heshima za Kanisa Katoliki?” amehoji Padri Mangwangi.

Wakati Kanisa hilo likijivua kushiriki Misa ya heshima ya maziko ya marehemu Mrema hiyo jana, Askofu Dk. Eliud Issangya wa Kanisa la Kimataifa la Kiinjili, alilazimika kuongoza Ibada hiyo ya maziko iliyofanyika Hoteli ya Ngurdoto, wilayani Arumeru.

Korea Kaskazini: Tutaishambulia Marekani Ndani ya Siku Chache

$
0
0
Korea Kaskazini inasema mpango wake ya kufyatua makombora kwenda kisiwa cha Marekani cha Guam, utakuwa tayari hivi karibuni huku majibizano ya kivita kati yake na Marekani yakiendelea.

Vyombo vya habari vilisema kuwa makombora ya Hwasong-12 yatapita anga ya Japan na kuanguka baharini karibu kilomita 30 kutoka kisiwa cha Guam ikiwa mpango huo utaidhinishwa na Kim Jong-un.

Korea ilipuuzna onyo la Donald Trump kuwa itashambuliwa vikali.

Marekanai imeionya Korea Kaskazini ikisema kuwa vitendo vyake vinamaanisha kuwa huo utakuwa mwisho wa utawala wa nchi hiyo.

Waziri wa ulinzi nchini Marekani Jim Mattis alisema kuwa Korea Kaskazini itapigwa vibaya ikiwa itaingia vitani na Marekani na washirika wake.
Korea Kaskazini ilitangaza siku ya Jumatono kuwa inachora mipango ya kufanya mashambulizi ya makombora katika kisiwa kilicho bahari ya Pacific cha Guam kilicho na kambi za jeshi la Marekani na watu 163,000

Taarifa iliyotolewa baadaye ilisema kuwa jeshi litakamisha mpango huo ifikapo katikati mwa mwezi Agosti na kupeleka kwa kiongozi wao Kim Jong-un kuidhinishwa.

Marekani: Korea Kaskazini Haitutishi, Tuna Silaha nzito za Kinyukilia

$
0
0
Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani Rex Tillerson amesema kuwa hakuna tishio lolote la hivi karibuni kutoka Korea Kaskazini , licha ya Pyongyang kusema kuwa inapanga kushambulia eneo la Guam nchini Marekani.

Kuhusu Guam bwana Tillerson pia alimtetea rais Donald Trump ambaye ameitishia Korea Kaskzini kwamba ataikabili kivita.

Alisema kuwa rais Trump alitaka kutuma ujumbe kwa Korea Kaskazini.

Lakini rais huyo amejigamba katika mtandao wa Twitter kuhusu uwezo mkubwa wa zana za kinyuklia za Marekani.

Katika ujumbe wa mtandao wa Twitter uliochapishwa mwendo wa Alfajiri, rais Trump alisema kuwa silaha za kinyuklia za Marekani zimeimarika zaidi ya ilivyokuwa lakini akasema kuwa anatumai hatalazimishwa kuutumia uwezo huo.

Ujumbe huo wa Twitter unafuatia kuzuka mwa majibizano kati ya pande hizo mbili huku kisiwa hicho cha Guam ambacho ndio makao ya ndege za kivita za Marekani na watu 163,000 kikizungumziwa.

"Huku idara yetu ya maswala ya kigeni ikifanya kila juhudi ya kutatua swala hilo, kwa njia ya kidiplomasia ni lazima ifahamike kwamba jeshi la Marekani limeimarika na lina ulinzi mkali duniani''.

''Vitendo vya Korea Kaskazini vitashindwa na majeshi yetu itapoteza silaha na migogoro inayolenga kuanza'', aliongezea.

Unasumbuliwa na Kiharusi,Ngiri au Kifafa?......Unatatizo la Nguvu za Kiume, Kuachika au Tatizo la Uzazi? . Kutana na Mtalaamu Huyu Akusaidie

$
0
0
SASA YUPO DAR; Anauwezo wa kutabiri nyota yako na kukuletea mafanikio makubwa katia biashara yako, kazini na malengo yako ya maisha.Pia anatoa pete ya bahati yenye uwezo wa kukuletea mafanikio makubwa na kutimiza ndoto zako.

Je, Umedhurumiwa? unamdai na hakulipi?...Njoo upatiwe dawa ulipwe haraka. Anadawa ya kumvuta mpenzi wako popote alipo kwa masaa 6 tu na kumtuliza asitoke kwako

Je, unaugomvi usioisha na mpenzi wako na unaachwa mara kwa mara? Njoo upate dawa ufurahie penzi tulivu la umpendae.

Anadawa za nguvu za kiume, kuimarisha mishipa iliyolegea, kuongeza homoni na kukufanya udumu katika tendo hadi dakika 45 na unaweza kurudia tendo hata mara 4 bila kuchoka.

Anatibu Busha bila kupasua,uzazi, mshipa wa ngiri,kiharusi,kifafa,kuondoa majini machafu nakadhalika.

Mpigie kwa simu: 0755505099

Pata Tiba ya Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za: 
 
FUUl POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.
 
NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM .HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unatatizo la kufika kileleni mapema?....Bofya hapa ukutane na maajabu ya korodani za mbuzi na kuku na dawa ya Jiko katika kutibu tatizo hilo

$
0
0
Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa kwa ufasaha.

Tatizo hili linawakabili mamilioni ya wanaume duniani na limekuwa na athari nyingi kama vile kuvunjika kwa mahusiano na hata ndoa.

Mwanaume mwenye tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume anakuwa hana uwezo wa kumtosheleza mwanamke kwenye tendo la ndoa.

DALILI ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME

Mwanaume anayekabiliwa na tatizo la ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume huonyesha dalili zifuatazo:-

1. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume wake barabara. Kwa kawaida uume wa mwanaume aliyekamilika (rijali ) unaposimama, hutakiwa kuwa imara kama msumari, lakini kwa mwanaume anaye kabiliwa na tatizo hili uume wake hata ukisimama hubakia kuwa lege lege na huweza kusinyaa wakati wowote. Tatizo hili ni matokeo ya kulegea kwa mishipa ya uume. Mishipa ya uume ndio inayo ufanya uume usimame barabara. 
 
Mishipa hii inapokuwa imelegea, uume hauwezi kusimama barabara hata iweje. Kulegea kwa mishipa ya kiume kunasababishwa na upigaji wa punyeto kwa muda mrefu. Mtu anaye piga punyeto anakuwa anaiminya mishipa inayo sababisha kusimama kwa uume, baada ya muda fulani, mishipa hiyo huishiwa nguvu na kulegea na hivyo linapo kuja suala la kusimamisha uume, mwanaume huyu anakuwa hana uwezo tena wa kusimamisha uume wake.

Vilevile matumizi ya madawa makali (hususani madawa ya kizungu) ya kuongeza nguvu za kiume, husababisha mishipa ya uume kulegea. Hii ni kwa sababu madawa haya hui-overdose mishipa hiyo na kuilazimisha kufanya kazi zaidi ya kiwango chake.

Matumizi haya yanapokuwa ya muda mrefu humfanya muhusika kuwa tegemezi na pia hufanya mishipa ya uume wa muhusika kulegea na kukosa nguvu.

2. Kukosa hamu ya tendo la ndoa: Hapa mwanaume anakuwa hana uwezo wa kutamani kufanya tendo la ndoa hata anapokuwa faragha na mke wake. Tatizo hili kwa kiasi kikubwa husababishwa na msongo wa mawazo.

3. Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara moja. Hapa mwanaume akishakamilisha mshindo mmoja wa tendo la ndoa basi anakuwa hana tena uwezo wa kurudia mshindo mwingine. Hali hii husababishwa na kutokuwa na msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya kwenye uume.

4. Kufika kileleni mapema

5. Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha kabisa. Hali hii hutokea pindi tatizo la kutokuwepo kwa msukumo wa damu wa kutosha kwenye mishipa ya uume, linapokuwa limekomaa. Na wakati mwingine, hali hii hutokea pindi vyanzo zaidi ya kimoja vya tatizo la kiume vinapo kuwa vimejitokeza kwa mtu mmoja.

6. Uume kusinyaa na kurudi ndani. Hapa uume wa mwanaume unakuwa umesinyaa na kurudi ndani. Uume huu unakuwa hauna uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa. Hali hii kwa kiasi kikubwa husababishwa na upigaji wa punyeto kwa muda mrefu pamoja na magonjwa hasa hasa chango la kiume au ngiri.

 
Tajwa hapo juu ni dalili kuu za tatizo la ukosefu ama/na upungufu wa nguvu za kiume.

CHANZO CHA TATIZO LA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME

Kwa ufupi sana, mambo yafuatayo ndio vyanzo vikuu vya tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume:-

i. Upigaji punyeto wa muda mrefu.
ii. Msongo wa mawazo.
iii. Ugonjwa wa kisukari na shinikizo la damu (pressure).
iv. Kupooza kwa mwili.
v. Kuugua ugonjwa wa ngiri.
vi. Kuugua chango la kiume.
vii. Ulevi uliokithiri.
viii. Kuwa na wasiwasi wa kumudu kutekeleza tendo la ndoa.
ix. Woga wa kufanya tendo la ndoa.
x. Uzoefu wa kukatisha tamaa wa siku za nyuma.
xi. Ulaji mbovu wa vyakula haswa vyenye mafuta mengi/kupita kiasi.
xii. Mazingira yasiyoridhisha wakati wa tendo la ndoa.

ATHARI ZA UPUNGUFU / UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME

Kutokuwa na nguvu za kiume huleta madhara na athari nyingi sana kwa muhusika. Baadhi ya athari hizo ni pamoja na:-
  1. Kuvunjika kwa mahusiano ya kimapenzi.
  2. Kuvunjika kwa ndoa.
  3. Kujiua: Baadhi ya wanaume hufikia uamuzi wa kujiua baada ya tatizo kuwa kubwa na kutumia dawa za aina mbalimbali bila mafanikio.
  4. Upungufu wa nguvu za kiume huongeza chachu ya maambukizi ya V.V.U kwa wanandoa: Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linapokuwa sugu, hupelekea rafiki wa kike/ mke wa mwanaume anaye sumbuliwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, kutoka nje ya ndoa kwa ajili ya kutimiziwa haja zake za kimwili, mwisho wa siku mwanamke huyo huweza kumletea magonjwa mume wake mwenye tatizo la upungufu wa nguvu za kiume pindi wanapokutana kimwili katika hali hiyo hiyo ya kutoridhishana.
  5. Ulevi kupita kiasi; Wakati mwingine wanaume wanao sumbuliwa na tatizo hili, huamua kuwa walevi kupita kiasi ili angalau kupunguza mawazo.
Kwa ufupi ukosefu/ upungufu wa nguvu za kiume ni tatizo kubwa sana ambalo endapo halitatafutiwa ufumbuzi na muhusika linaweza kuyaathiri maisha ya muhusika kwa kiasi kikubwa sana.

TIBA ASILIA YA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME

Zipo dawa mbalimbali asilia zinazo weza kutibu na kumaliza kabisa tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume. Kati ya tiba hizo, tiba ya dawa asilia ya nguvu za kiume iitwayo “JIKO” imethibitika kuwa na uwezo wa kutibu na kumaliza kabisa tatizo la ukosefu/upungufu wa nguvu za kiume kwa zaidi ya ASILIMIA MIA MOJA (100%)

KUHUSU DAWA YA JIKO

Dawa ya JIKO ni dawa ya a ilia (herbal) inayo tumika kutibu na kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume pamoja na visababishi vya tatizo hii. Dawa hii haimalizi tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume pekee, bali pia inatibu visababishi ama vyanzo vyote vya tatizo la nguvu za kiume pamoja na side effects zitokanazo na baadhi ya visababishi vya tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume kama vile kujichua kwa muda mrefu.

Dawa hii ni mitishamba kabisa “pure herbal” ambayo haijachanganywa na kemikali yoyote na haina “side effects” kwa mtumiaji.

Dawa hii hutibu na kumaliza kabisa tatizo la ukosefu/upungufu wa nguvu za kiume ndani ya siku thelathini (30).

MFUMO WA DAWA: Dawa ya JIKO ipo katika mfumo wa mizizi.

MATUMIZI YA DAWA: Dawa hii hutumika kwa kuchemshwa na kisha kunywa juisi yake mara mbili kwa siku asubuhi na jioni kwa muda wa siku thelathini.

DOZI YA DAWA YA JIKO: Dozi ya dawa ya JIKO hutumika pamoja na vitu vikuu vitatu :

i. Korodani za beberu.
ii. Korodani za jogoo aliyekomaa.
iii. Unga wa Habbat Sawdah au Unga wa Mjafari au Unga wa Ngano (hapa kama utakosa unga wa Habbat Sawdah ama Unga wa Mjafari unaweza ukatumia unga wa ngano kama mbadala wake).
iv. Karanga mbichi.

MATAYARISHO NA MATUMIZI YA DOZI YA DAWA YA JIKO

i. Dawa ya jiko yenyewe
Chukua dawa yako ya JIKO kisha iweke kwenye sufuria halafu ongeza lita mbili za maji halafu chemsha hadi dawa yako itakapo anza kutokota na kutoa supu. Ipua dawa yako na uihifadhi kwenye chupa ya chai (thermos ). Tumia kunywa vikombe viwili vya dawa yako mara mbili kwa siku, asubuhi na jioni. Utakunywa dawa yako ikiwa ya moto na sio ikiwa ya baridi. Kama itaingiwa na ubaridi kwa sababu moja au nyingine, unatakiwa kuipasha moto. Utafanya hivyo kwa muda wa siku thelathini.

N.B : JUISI YAKO IKIISHA, UTACHEMSHA KIASI KINGINE CHA DAWA NA KUFANYA KAMA HAPO JUU HADI ZITIMIE SIKU THELATHINI

ii. KORODANI ZA MBUZI

Chukua korodani mbili za mbuzi. Zitie ndani ya lita mbili za maji na uchemshe kutengeneza supu . Supu yako ikiisha iva utatumia kula supu yako mara mbili kwa siku asubuhi na jioni. Hapa asubuhi utakula supu yako na kipande kimoja cha korodani na jioni utamaliza supu yako na kipande kingine cha korodani. Unaweza kuweka na pilipili mbuzi kwa ajili ya kuongeza ladha.

Utafanya hivi mara moja kwa wiki kwa wiki nne. Yaani utakula supu mara moja kwa wiki ya kwanza, wiki ya pili utakula supu yako tena, wiki ya tatu utakula supu yako na wiki ya nne utamalizia dozi yako.

HATA HIVYO KAMA UNA UWEZO NA NAFASI UNAWEZA KULA SUPU YAKO YA KORODANI ZA MBUZI KWA MUDA WA SIKU ZOTE THELATHINI ZA DOZI. UKIFANYA HIVI MATOKEA YATAKUWA MARADUFU ZAIDI.

VILEVILE HATA BAADA YA KUMALIZA DOZI YAKO UNAWEZA KUWA UNAKULA SUPU YA KORODANI ZA MBUZI KILA UTAKAPO PATA NAFASI YA KUFANYA HIVYO.

iii. KORODANI ZA JOGOO

Unatakiwa kumeza korodani za Jogoo aliyekomaa zikiwa mbichi. Utameza nzima nzima zikiwa mbichi. Utazimeza pamoja na maji ya moto.

MATAYARISHO

Unatakiwa uwe na vitu vifuatavyo :
i. Jogoo aliyekomaa pamoja na kisu kikali ama mchinjaji wa jogoo.
ii. Unga wa Habbat Sawdah au
iii. Unga wa Mjafari au
iv. Unga wa Ngano.
v. Kisosi au ki-plate.
vi. Glasi mbili za maji ya uvuguvugu.

JINSI YA KUFANYAChinja jogoo wako kisha mpasue kunyofoa korodani zake. Baada ya kupata korodani za jogoo, ziweke kwenye kisosi au kiplate chenye unga wa habbat sawdah au unga wa mjafari au unga wa ngano kisha viringisha korodani hizo za jogoo kwenye unga huo halafu meza korodani moja baada ya nyingine kwa glasi moja ya maji ya uvuguvugu.

Utafanya hivi mara moja ndani ya hizo siku thelathini za dozi. Unaweza kufanya siku ya kwanza tangu uanze dozi yako au unaweza kufanya katikati ya dozi au hata wakati unamaliza dozi.

N.B: KAMA UNA UWEZO NA NAFASI UNASHAURIWA KUMEZA KORODANI ZA JOGOO KWA WINGI KADRI UTAKAVYO WEZA. UTAPATA MATOKEO BORA ZAIDI. KORODANI ZA JOGOO PAMOJA NA DAWA YA JIKO ZITAKUSAIDIA KUWA NA UWEZO WA KURUDIA TENDO BILA KUCHOKA NA KUKAA KIFUANI KWA MUDA MREFU ZAIDI.
 
VYAKULA VYA KUTUMIA i. Unashauriwa kutumia kilo moja ya karanga mbichi kila wiki kwa muda wa wiki zote nne za dozi yako. Hii ina maana kuwa kwa wiki zote nne utatakiwa kutafuna kilo nne za karanga mbichi.

N.B : KAMA UTAWEZA KUTUMIA ZAIDI YA KIWANGO HICHO HAPO JUU, LITAKUWA NI JAMBO BORA ZAIDI

ii. Vile vile unatakiwa kula tikiti maji moja kwa wiki kwa muda wa wiki nne za dozi. Yaani wiki ya kwanza ule tikiti moja. Wiki ya pili tikiti moja. Wiki ya Tatu tikiti moja na wiki ya nne tikiti moja, jumla matikiti manne kwa mwezi. UNATAKIWA KUTAFUNA PAMOJA NA MBEGU ZAKE.

KAZI INAYOFANYWA NA DAWA YA JIKO

Dawa ya JIKO inasadia katika mambo makuu yafuatayo:

i. Inasaidia kuimarisha mishipa ya uume ulio legea na hivyo kuufanya uume uwe na uwezo wa kusimama barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
ii. Inasaidia kusafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia katika kuongeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya kwenye uume.
iii. Husaidia kuongeza msukumo (pressure) wa damu kwenye mishipa ya uume na hivyo kuufanya uume kuwa na nguvu za ajabu.
iv. Husaidia ku-relax mind na hivyo kumfanya mtu awe na uwezo wa kuconcentrate wakati wa tendo la ndoa bila kuathiriwa na msongo wa mawazo.
v. Humfanya mwanaume awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara moja bila kuchoka.
vi. Husaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa.
vii. Husaidia kuurudisha nje uume ulio ingia ndani.
viii. Husaidia kutibu side effects za punyeto na matumizi ya muda mrefu ya dawa kali za (za kizungu) za kuongeza nguvu za kiume.
ix. Husaidia kutibu chango la kiume.
x. Dawa hii huwasaidia hata wanawake wanao sumbuliwa na tatizo la ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa.


BEI   YA  DAWA : BEI  YA   DAWA   HII NI SHILINGI  ELFU THEMANINI  TU.( Tshs.80,000/=)
  

JINSI YA KUIPATA DAWA 
Unaweza kuja kuichukua ofisini kwetu au kwa wasio weza kufika ofisini kwetu tunatoa huduma ya kuwapelekea dawa mahali walipo.

DELIVERY 
WATEJA WA MIKOANI : Kwa wateja wa mikoani tunawatumia dawa kwa njia ya magari na wale wa Zanzibar tunawatumia dawa kwa njia ya meli.

WATEJA WA NCHI JIRANI : Kenya, Uganda, Rwanda & Burundi tunawatumia dawa kwa njia ya mabasi.

Kwa wateja wa nje ya Afrika : Kwa wateja wa nje ya Afrika tunawatumia dawa kwa njia ya posta au DHL.

Wateja wa SOUTH AFRIKA NA BOTSWANA

Kwa wateja wetu waliopo South Afrika na Botswana tunawatumia dawa kwa njia ya mabasi au posta.

MAWASILIANO
Wasiliana nasi kwa simu namba 0766538384
----

TEMBELEA  :  http://www.neemaherbalist.blogspot.com


Makala  hii  imeandaliwa  na  Neema  Herbalist

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.

NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.

MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA. 

MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.

NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,

Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 

DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

DODOMA: Mganga wa kienyeji amchinja binti kisha kuchoma kichwa cha binti huyo

$
0
0
Jeshi la Polisi Dodoma linawashikilia watu 11 kwa uchunguzi kutokana na mauji ambapo August 8, 2017 majira ya saa 4:00 usiku katika kitongoji cha Chang’ombe Wilaya ya Chamwino mtu mmoja mwanamke aliyefahamika kwa jina la Mariam Saidi miaka 17 mkazi wa Kigoma aliuawa kwa kukatwa shingo na kutenganishwa na kiwiliwili na kuchomwa moto.

Mwili wa marehemu ulikutwa nyumbani kwa mganga  wa jadi aitwaye Ashura Mkanga mwenye miaka 33 na mkazi wa kitongoji cha Chang’ombe ambapo mazingira ya tukio yanaonesha kuwa mganga huyo wa jadi asiye na kibali kuendesha shughuli za tiba asili analaza wagonjwa nyumbani kwake, anafanya matambiko, anapiga ramli chonganishi, anafanya tohara za watoto katika nyumba yake pamoja na matambiko.
“Tukio hili ni baya na halikubaliki hapa Dodoma  na mahala popote, ni fedheha kubwa sana kwa wananchi kuendelea kukumbatia  imani za kishirikina katika karne hii na Serikali imesogeza huduma za afya karibu na jamii lakini bado wapo watu hawataki kwenda hospitali na kukubali kuuawa kwa fedheha na waganga wachonganishi.” Alisema Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Lazaro Mambosasa  wakati akiongea na waandishi wa habari

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Gazi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Bill Gates amwaga mabilioni Tanzania

$
0
0
Taasisi ya Bill and Mellinda Gates imetenga Dola za Marekani Milioni 350 sawa na takribani Shilingi Bilioni 777.084 za Tanzania kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali katika sekta ya kilimo, afya na mifumo ya kielektroniki ya upatikanaji wa taarifa.

Mwenyekiti Mwenza wa taasisi hiyo Bw. Bill Gates amesema hayo leo tarehe 10 Agosti, 2017 Ikulu Jijini Dar es Salaam muda mfupi baada ya kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.

Bw. Bill Gates amesema kama ambavyo taasisi yake imeshirikiana na Tanzania kwa kiasi kikubwa katika kuimarisha huduma za afya hapa nchini, fedha hizo zitaelekezwa katika utekelezaji wa miradi zaidi ya afya ikiwemo kupunguza vifo vya uzazi, kukabiliana na ugonjwa wa malaria, kuimarisha lishe na kukabiliana na utapiamlo, zitaelekezwa katika sekta ya kilimo ambako zitasaidia kuongeza uzalishaji wa mazao, kuzalisha mbegu bora na kuboresha ufugaji utakaoongeza chakula na pia zitasaidia kuweka mifumo ya kisasa ya upatikanaji wa taarifa.

Bw. Bill Gates ameelezea kufurahishwa na maendeleo ya uchumi wa Tanzania pamoja na uongozi na msimamo wa Rais Magufuli juu ya kutaka miradi hiyo ilete matokeo yenye manufaa, na amesema atakuja Tanzania mara nyingi ili kuimarisha zaidi ushirikiano na kufuatilia utekelezaji wa miradi.

Kwa upande wake Mhe. Rais Magufuli amemshukuru Bw. Bill Gates kwa mchango mkubwa unaotolewa na taasisi ya Bill and Mellinda Gates katika miradi mbalimbali hapa nchini ikiwemo fedha ambazo taasisi hiyo itazitoa katika kipindi cha miaka mitano kuanzia sasa na amemhakikishia kuwa Serikali yake itahakikisha fedha hizo zinaleta matokeo yaliyokusudiwa.

Mazungumzo kati ya Mhe. Rais Magufuli na Bw. Bill Gates yamehudhuriwa na Waziri wa Kilimo, Ufugaji na uvuvi Dkt. Charles Tizeba na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu.

Wakati huo huo, Mhe. Magufuli amekutana na kufanya Mazungumzo na Kaimu Balozi wa Marekani hapa nchini Mhe. Dkt. Inmi Patterson ambaye amesema Marekani itatoa fedha za nyongeza kiasi cha Dola Milioni 225 sawa na Shilingi Bilioni 499.500 za Tanzania katika mwaka ujao kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo itakayogusa sekta za elimu, afya, lishe bora, utawala bora.

Mhe. Inmi Patterson amesema Marekani imeongeza fedha hizo katika miradi inayotekelezwa hapa nchini kwa sababu ina dhamira ya dhati ya kushirikiana na Tanzania na itahakikisha uhusiano na ushirikiano huu unaendelezwa na kukuzwa zaidi.

Kwa upande wake Mhe. Rais Magufuli amemshukuru Mhe. Balozi Inmi Patterson kwa mchango mkubwa ambao Marekani imekuwa ikiutoa kwa Tanzania na amemhakiki kuwa Serikali ya Awamu ya Tano itaendeleza na kukuza zaidi ushirikiano wake na Marekani, na pia amemuomba awahimize wafanyabiashara na wawekezaji wengi zaidi wa Marekani waje kuwekeza na kufanya biashara hapa nchini kutokana na fursa lukuki zilizopo.

Mhe. Rais Magufuli pia ameiomba Marekani kusaidia kujenga hospitali kubwa ya kitaifa katika makao makuu ya nchi Mkoani Dodoma ili kuongeza uwezo wa Mkoa huo kutoa huduma za matibabu ikilinganishwa na ilivyo hizi sasa.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
10 Agosti, 2017

Mwenyekiti UVCCM Arusha Kufikishwa Mahakamani Kwa Kujifanya Usalaa wa Taifa

$
0
0
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi, UVCCM Mkoa wa Arusha, Lengai Sabaya ambaye ni Diwani wa Sambasha anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kughushi na kutumia kitambulisho cha Usalama wa Taifa.

Kamanda wa Polisi Arusha Charles Mkumbo amesema Sabaya anashikiliwa kwa kosa alilolitenda awali ambapo Polisi waliliondosha shauri hilo Mahakani kwa kuwa upelelezi ulikuwa haujakamilika na sasa umeshakamilika.

”Anatarajia kufikishwa Mahakamani wakati wowote. Ni kosa ambalo alilitenda huko nyuma na tuliliondosha Mahakamani kwa ajili ya kukamilisha uchunguzi. Sasa uchunguzi umekamilika na hati iko timamu na atafikishwa Mahakamani.

“Kosa alilokamatwa nalo ni alijifanya Afisa wa Usalama wa Taifa kitendo ambacho si cha kweli, yeye sio Afisa wa Idara hiyo.

“Hatuwezi kumzuwia mtu kusema chochote lakini ukweli ndio huo na hili shauri halijatokea leo, lilishatokea kitambo. Ni suala tu la kitaalamu kama Wapelelezi. Kupeleleza kesi ni ili iwe na mafanikio. Kwa hiyo hilo suala la watu kusema masuala ya kisiasa sisi sio wanasiasa. Sisi ni watendaji tunaofanyakazi kwa mujibu wa sheria.”  Amesema Kamanda Charles Mkumbo.

Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne

$
0
0
Kutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara, Kupandishwa Cheo, Kurudishiwa Mali Uliyoibiwa na Mengne
 
Kutana Maajabu ya Mtabibu MAALIM MOHAMEDI MASUDI Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania
Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..
MAALIM MOHAMEDI MASUDI ni Mtabibu na Mtafiti wa Dawa za Asili ya Africa, na Duniani Katika utoaji wa Tiba za Asili..
 
Je unasumbulia na Mapenzi..?
(Umeachwa na Umpendae awe Mume/ Mke au mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine na Bado Unampenda?) Umejaribu sehemu Nyingi bila Mafanikio?Wasiliana na MAALIM MOHAMEDI MASUDI Akusaidie Kumshika Umpendae Asikusaliti(LIMBWATA) Kumtawala Mpenzi wako kwa sababu Maalum..Anauwezo wa Kusambalatisha Mahusiano yao ndani ya siku Moja tu.
Je Unasumbuliwa na Madeni?
Biashara yako Haina wateja?
Unatatizo la kutokushika Mimba na umehangaika sehemu nyingi bila mafanikio?
Wasiliana na MAALIM MOHAMEDI MASUDI Kwa Majibu ya Maswali yako..

Anasafisha NYOTA na Kutoa PETE za BAHATI kuendana na NYOTA yako. UTAJIRI USIO NA MASHARTI.(Magic Wallet_Pochi ya Maajabu Isio Isha Hela)
KUWA MAARUFU na KUJULIKANA
Kupandishwa CHEO na HESHIMA Mahala pa KAZI.
Utapewa Nguvu ya Kujilinda na MALI ZAKO zako na Mwili wako.. Huzuia Chuma Ulete katika Biashara.. Hurudisha MALI zilizo Potea au KUDHULUMIWA.

Mvuto wa Biashara na Mwili wako.
Hutibu kabisa Nguvu za Kiume na Kurefusha Uume kwa saizi Unayotaka.
Magonjwa Sugu(Miguu Kufa Ganzi, kisukari, Presha, Pumu nk.
Wasiliana nae kwa namba
0655516982
0688856265
0621898709(Whatsapp)

Kijana Atiwa Mbaroni Kwa Kukutwa na Noti Bandia

$
0
0
Jeshi la polisi Mkoani Mwanza linamshikilia kijana Fabian Jackson, mkazi wa Mahina (32) kwa kumkuta na noti 20 za bandia zenye thamani ya shilingi laki mbili kitendo ambacho ni kosa la jinai.

Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi inasema kwamba polisi wakiwa kwenye doria na misako walipokea taarifa kwamba katika kijiji cha Kanyara yupo mtu ambaye ameingia kijijini hapo na ana noti bandia nyingi, baada ya askari kupokea taarifa hizo walifanya ufuatiliaji wa haraka hadi kijijini hapo na kufanya upelelezi na msako wa kumtafuta mtu huyo. 

Aidha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza  (DCP) Ahmed Msangi ambaye amethibitisha kutokea kwa tukio hilo amefafanua kwamba kwa sasa mtuhumiwa wa tukio hilo yupo kwenye uchunguzi na pindi uchunguzi utakapokamilika mtuhumiwa atafikishwa mahakamani na kuongeza kwamba msako wa kuwatafuta watu wengine wanaoshirikiana  na mtuhumiwa huyo unaendelea ili kuwatia wote mbaroni.

Hata hivyo Kamanda Msangi amewaonya wananchi wa Mwanza kuacha kutengeneza noti za bandia kwani kufanya hivyo ni kosa la jinai na endapo mtu akikamatwa hatua stahiki za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Serikali Yakichukua kiwanda cha Ngozi Africa Tanneries, Mwanza

$
0
0
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekichukua kiwanda cha kusindika ngozi cha Mwanza Tanneries kilichopo eneo la viwanda Ilemela mkaoni Mwanza kutokana na kushindwa kuendelezwa na wamiliki wake toka mwaka 1998.

Mkuu wa Mkoa Mwanza John Mongella ameamuru makampuni ya Skysraper na Caspian kurudisha funguo za kiwanda cha Ngozi Africa Tanneries Limited Mwanza kwa Serikali na kuwa mali ya Serikali rasmi.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongella ametangaza uamuzi huo kutokana na wawekezaji wa kiwanda hicho kushindwa kukuendeleza lakini pia kuwepo kwa udanganyifu wa umiliki wa kiwanda hicho uliodaiwa kufanya na kampuni ya Quality Group.

Mongella ametangaza maamuzi hayo mbele ya Wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa huo, wakiwemo pia wawakilishi wa kampuni ya Caspian na Quality Group zilizoshindwa kutekeleza masharti ya mkataba wa kukiendeleza kiwanda hicho toka mwaka 1998.

TAKUKURU Yawafikisha Mahakamani Vigogo Watano wa TANESCO

$
0
0
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, TAKUKURU imewafikisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu vigogo watano wa zamani wa Shirika la Umeme Tanzania, Tanesco wakidaiwa kuhujumu uchumi kwa kuisabishia Serikali hasara ya Tsh. Milioni 275.

Waliofikishwa Mahakamani ni pamoja na aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Robert Shemhilu, Ofisa Ugavi, Harun Mattambo, Mkurugenzi wa Fedha, Lusekelo Kasanga, Mwanasheria wao, Godson Makia pamoja na msambazaji kutoka kampuni ya M/S Young Dong Electronic Co. Ltd Martin Simba.

Wakili wa Serikali, Vitalis Peter aliwasomea washtakiwa hao mashtaka mawili ya uhujumu uchumi mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu,Thomas Simba ambapo alidai kuwa kati ya January na December 2011 katika Ofisi za Tanesco Ubungo, washtakiwa wakiwa  waajiriwa wa Shirika hilo, walitumia madaraka yao vibaya kwa kufanikisha malipo kwa msambazaji Martin Simba bila ya kufanya uhakiki.

Aidha, Wakili Vitalis amedai kati ya January na December 2011 katika Ofisi za Tanesco Ubungo, washtakiwa hao wakiwa waajiriwa wa shirika hilo pamoja na msambazaji huyo waliisababishia Serikali hasara ya Tsh. Milioni 275.

Baada ya kusomewa mashtaka hayo washtakiwa waliruhusiwa kuongea kwa sababu Mkurugenzi wa Mashtaka DPP amewasilisha Cheti maalum kinachoiruhusu Mahakama kuisikiliza kesi hiyo ambapo walikana na upande wa mashtaka ulidai kuwa upelelezi umekamilika.

Hakimu Simba aliwataka washtakiwa kuwa na wadhamini wawili wanaoaminika ambao kila mmoja alisaini bondi ya Tsh. Milioni 40 huku mmoja kati ya wadhamini hao akitakiwa kuwasilisha hati ya Mali isiyohamishika ambapo walitimiza masharti hayo.

Washtakiwa hao watasomewa maelezo ya awali (PH) August 24, 2017.

Jeshi la Polisi limewaua wahalifu 13 Kibiti na kutwaa bunduki nane

$
0
0
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Operesheni Maalumu za Jeshi la Polisi, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Liberatus Sabas kuhusiana na tukio la kuuawa wahalifu 13 katika majibizano ya risasi baina ya Polisi na wahalifu hao katika eneo la Tangibovu, Kijiji cha Miwaleni Kata ya Mchukwi, Tarafaya Kibiti.Chini ni silaha  8 aina ya SMG pamoja na vifaa vingine zilizopatikana katika majibizano hayo.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini,  IGP Simon Sirro akionesha makasha ya risasi(magazine) ambazo ni miongoni mwa makasha 8 yaliyokuwa ya kitumiwa na wahalifu katika eneo la Tangibovu, Kijiji cha Miwaleni Kata ya Mchukwi, Tarafa ya Kibiti. Wa kwanza kushoto ni Kamishina wa Polisi Jamii (CP) MussaAlli Musa akifuatiwa na Mkuu wa Operesheni Maalumu za Jeshi la Polisi,Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Liberatus Sabas. Katikat ukio hilo Jeshi la Polisi limefanikiwa kuwaua wahalifu 13 ambao walikuwa wakifanya mauaji Kibiti.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro akielezea baadhi ya vitu mbalimbali vilivyokuwa vikitumiwa na wahalifu  13 walioua wakatika eneo la Tangi bovu, Kijiji cha Miwaleni Kata ya Mchukwi, Tarafa ya Kibiti ambapo jumla ya silaha 8 ainaya SMG, risasi  158,pikipiki 2, pamoja na begi la nguo vilivyokuwa vikitumiwa na wahalifu hao. Kushoto ni Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya jinai (CP) Robert Boaz
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro akionesha silaha aina ya SMG ambayo ni miongoni mwa silaha 8 zilizokuwa zikitumiwa na wahalifu 13 walioua wakatika majibizano ya risasi baina yao na Jeshi la Polisi katika eneo laTangi bovu, Kijiji cha Miwaleni Kata ya Mchukwi, Tarafa ya Kibiti.Wa kwanza kulia ni Kamishina wa Polisi Jamii (CP) Mussa Alli Musa akifuatiwa na Mkuu wa Operesheni Maalumu za Jeshi la Polisi,Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Liberatus Sabas.–
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro akiongea na wananchi wa Kijiji cha Miwaleni Kata ya Mchukwi, Tarafa ya Kibiti alipokuwa akitoka kukagua eneo la tukio walipouawa wahalifu 13 katika majibizano ya risasi baina yao na Jeshi la Polisi katika eneo la Tangi bovu. –

Picha na Jeshi La Polis

Waziri Mkuu Ampa Siku 15 Mweka Hazina Sikonge........Ataka apate maelezo kwa nini ameshindwa kukusanya mapato

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amempa siku 15 Mweka Hazina wa Wilaya ya Sikonge, Bw. Evans Shemdoe ajieleze ni kwa nini ameshindwa kufikisha asilimia 80 ya makusanyo ya ndani.

Waziri Mkuu ametoa agizo hilo leo asubuhi (Alhamisi, Agosti 10, 2017) wakati akizungumza na watumishi na watendaji wa wilaya hiyo, mjini Sikonge.

“Nataka maelezo yakayoniridhisha ni kwa nini hamkufikisha asilimia 80 ya makusanyo ya halmashauri ambacho ni kiwango cha chini. Nzega TC wamefikisha asilimia 112, Kaliua wana asilimia 91, Nzega DC wana asilimia 80, ni kwa nini wewe umeshindwa kufikisha kiwango hicho?,” alihoji Waziri Mkuu.

“Ninataka nipate maelezo pia ni ipi mipango yenu ya kukusanya mapato kwa maeneo mliyoshindwa kufanya vizuri, na pia mmejipangaje kwa mwaka ujao wa fedha. Niyapate maelezo hayo ifikapo tarehe 25 Agosti,” amesema.

Alipopewa nafasi ya kujieleza, Bw. Shemdoe alisema wamefikisha asilimia 76.7 na wameshindwa kufikia lengo kwa sababu ya upungufu wa mvua katika msimu uliopita, hali ambayo ilichangia kushuka kwa mavuno ya zao la tumbaku miongoni mwa wakulima.

Hata hivyo, Waziri Mkuu aliwataka watumishi wa wilaya hiyo, washirikiane na watendaji na madiwani ili kuongeza mapato ya wilaya hiyo badala ya kuwaachia watendaji wa kata peke yao.

Jana, mara baada ya kupokea taarifa ya mkoa wa Tabora, Waziri Mkuu alizitaka Halmashauri tano kati ya nane za mkoa huo zitoe maelezo ni kwa nini zimeshindwa kufikisha asilimia 80 ya makusanyo kama ambavyo waliagizwa na Serikali.

“Halmashauri zilizovuka malengo ni tatu tu, Nzega TC, Kaliua na Nzega DC. Nataka taarifa za halmashauri zilizobakia ifikapo Agosti 25, wakijieleza ni kwa nini hawajafikia malengo ya ukusanyaji mapato yaliyowekwa ambayo ni asilimia 80,” alisema.

Taarifa ya mkoa huo inaonyesha makusanyo kwa kila Halmashauri ni kama ifuatavyo:- Tabora Manispaa asilimia 64.1; Nzega Mji (asilimia 112); Nzega Wilaya (asilimia 80.8); Igunga (asilimia 64.6); Tabora (asilimia 77.3); Sikonge (asilimia 76.7); Urambo (asilimia 70.9) na Kaliua (asilimia 91.5).

Pia amezitaka Halmashauri zote zihakikishe zinafanyamakusanyo kwa kutumia mfumo wa kielektroniki. “Ukusanyaji wote wa mapato ni lazima ufanyike kwa mfumo wa kielektroniki. Halmashauri ambazo hazijafanya hivyo, zitumie makusanyo ya mwaka jana kununulia mashine za EFD. Hatutaki kuona risiti za kuandika kwa mkono zinatumika,” alisisitiza.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu ameutaka uongozi wa mkoa wa Tabora uhakikishe wanapatikana watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika wilaya hiyo ili waweze kusaidiana na watendaji wa halmashauri hiyo kukusanya mapato.

“Hapa Sikonge naambiwa hakuna ofisi za TRA. Lazima tupate maafisa wa TRA katika kila Halmashauri ili watoe elimu na washirikiane na madiwani, watendaji wa vijiji na watumishi wa Halmashauri juu ya ukusanyaji mapato,” alisema.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
ALHAMISI, AGOSTI 10, 2017.

Waziri Mkuu: Marufuku Viongozi Kufanya Biashara Ya Pembejeo Kama Hawana Mashamba

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepiga marufuku viongozi wa Serikali kufanya biashara ya pembejeo na vishada kama hawana mashamba ya tumbaku.

“Kuna baadhi ya viongozi wa Serikali hapa mkoani wamejiingiza kwenye biashara ya vishada na uuzaji wa pembejeo. Hii ni dosari. Hatutaruhusu hili hata kidogo,” alisema.

Waziri Mkuu alitoa onyo hilo jana jioni (Jumatano, Agosti 9, 2017) wakati akizungumza na wadau wa zao la tumbaku zaidi ya 600 wakiwemo wabunge, viongozi wa dini, chama na Serikali kwenye mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Isike-Mwanakiyungi, mjini Tabora.

Alisema: “Kiongozi wa Serikali ni lazima uwe shamba na ulilime kisasa ili liwe ni shamba darasa kwa wakulima walio jirani nawe. Usifanye biashara ya pembejeo kana huna shamba. Nanyi viongozi wa AMCOS msikubali kuuza vishada vya viongozi wa Serikali, tukikukamata, utaenda jela.”

Alisema endapo viongozi wataamua kulima mashamba ya zao hilo, watalazimika kujiunga na vyama vya msingi (AMCOS) vya kwenye maeneo yao ili waweze kuuza kupitia huko kutokana na agizo la Serikali linalokataza makampuni kununua tumbaku bila kupitia kwenye vyama vya msingi.

Aprili 15, mwaka huu, akiwa katika ziara ya siku moja mkoani Tabora, Waziri Mkuu aliagiza wakulima wa kujitegemea (Indepenent Farmers) na wale wa kwenye vikundi (Associations) wote wauzie tumbaku yao kupitia kwenye vyama vya ushirika ili kuzuia utoroshaji wa zao hilo na wakulima wasio na madeni kulazimika kuwalipia wenzao.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images