Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

LIVE IKULU: Hotuba ya Rais Dkt. Magufuli na Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini Ikulu Dar es salaam

$
0
0
Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma yupo nchini Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku moja kufuatia mwaliko kutoka kwa Rais Magufuli. Ziara hiyo inalenga kuimarisha uhusiano wa kibiashara kati ya Tanzania na Afrika Kusini. 

==>Bofya hapo  chini  kutazama moja kwa moja kutoka Ikulu.

Taarifa toka BUNGENI kuhusu kukamilika uteuzi wa Wabunge wa CHADEMA Bunge la Afrika Mashariki

$
0
0
1.Tarehe 4 Aprili, 2017 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilifanya Uchaguzi wa kuwachagua Wajumbe Tisa (9) wa Bunge la Afrika Mashariki watakaoiwakilisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Bunge hilo. Katika Uchaguzi huo, Wajumbe Sita (6) kutoka Chama cha Mapinduzi na Mjumbe mmoja (1) kutoka Chama cha Wananchi (CUF) walichaguliwa. Wagombea wawili kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)walikosa kura za kutosha kuwapatia ushindi.

2.Hivyo, Bunge linapaswa kufanya uchaguzi kwa mara ya pili ili kuwapata wawakilishi Wawili (2) kutoka katika Kundi la Vyama vya Upinzani ambapo  Chama  Cha  Demokrasia  na  Maendeleo  (CHADEMA) ndicho chenye hakiya kujaza nafasihizo.

3.Katika mazingira hayo na kwa kuzingatia masharti ya Sheria na Kanuni zinazotawala  Uchaguzi huo, na  kwa  mamlaka  niliyonayo  kama Msimamizi wa Uchaguzi nilitoa TAARIFA ya Siku ya Uteuzi na Siku ya Uchaguzi kwenye Gazeti la Serikali Na. 537 la tarehe 21 Aprili,2017. Taarifa hiyo ilitaja Sikuya Uteuzi(nominationday) wa Wagombea kuwa ni tarehe 03 Mei, 2017 Saa Kumi Kamili (10:00) Jioni na Siku ya Uchaguzi(electionday) kuwa nitarehe 10 Mei, 2017.

Hata hivyo, tarehe 28 Aprili, 2017 Chama cha CHADEMA kiliandikia barua na kuiwasilisha kwangu siku ya tarehe 2 Mei, 2017 Jioni. Barua hiyo ilitoa maelezo kwamba muda waliopewa kuwasilisha majina ya wagombea kupitia kwenye Taarifa hiyo ni finyu kutokana na kuathiriwa na kuwepo kwa siku za mapumziko ya mwisho wa wiki pamoja na Sikukuu ya Mei Mosi iliyoanguakia siku ya Jumatatu hivyo, kuwepo kwa ugumu wa kufanya vikao vyao.

5.Kutokana na sababu hiyo, Chama hicho kiliomba kuongezewa muda usiopungua wiki mbili ili kiweze kukamilisha mchakato wa uteuzi wa wagombea, kupata uthibitisho wa uraia kutoka Idara ya Uhamiaji na uthibitisho wa sifa za kugombea kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa mujibu wa Ibara ya 50 (2) ya Mkataba ikisomwa pamoja na Ibara ya 67 ya Katiba ya Jamhuriya Muungano wa Tanzania,1977.

6.Kutokana na sababu zilizotolewa, niliongeza muda wa siku 4 kuanzia tarehe 3  hadi tarehe 7  Mei, 2017  ili kukiwezesha  Chama  hicho kukamilisha  taratibu  hizo  za  kisheria  na  hivyo  kukitaka  kuwasilisha kwangu majina na nyaraka za wagombea waliowateua tarehe 8 Mei, 2017 kabla ya Saa Kumi Kamili (10:00) Jioni ambayo ni Siku ya Uteuzi wa Wagombea(nomination day).

7.Kupitia  taarifa  hii, napenda  kuujulisha  umma  kwamba  Chama  cha CHADEMA kimewasilisha kwangu majina sita (6) ya Wagombea wa nafasi mbili za ujumbe wa Bunge la Afrika Mashariki. Kati ya wagombea hao wanne (4) ni wanaume na  wagombea wawili (2) ni wanawake. Majina hayo yamewasilishwa kwangu jana tarehe 8 Mei, 2017 kabla ya mudawaSaa 10 Jionikama nilivyokuwa nimeelekeza.

8.Baada ya hatua hiyo,nilifanya uchambuzi wa Nyaraka zilizowasilishwa ili kujiridhisha na uzingatiwaji wa masharti ya uteuzi wa Wagombea kwa mujibu Ibara ya 50 (2) ya Mkataba, Ibara ya 67 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977, Kifungu cha 4 (4) cha Sheria ya Uchaguzi wa Wajumbe wa Bunge la Afrika Mashariki na Kanuni 5 (2), (3) na Kanuni ya 6 ya Nyongeza ya Tatu ya Kanuni za Kudumu za Bunge,ToleolaJanuari,2016.

Matokeo  ya  uzingatiwaji wa  masharti hayo  yameainishwa  katika Jedwali lifuatalo:
TANBIHI:

√-Maana yake sharti husika limetimizwa

10.Uchambuzi huo umebainisha kuwa Wagombea wote wamekidhi vigezo  na  masharti yanayotakiwa kwa  mujibu  wa  Sheria. Hivyo, napenda  kutoa TAARIFA na  KUWATANGAZA wafuatao kuwa Wagombea katika Uchaguzi wa Wajumbe Wawili (2) kupitia Kundi la Vyama  vya  Upinzani kutoka  Chama  cha  CHADEMA  uliopangwa kufanyika tarehe10 Mei,2017:

Rais Jacob Zuma atia neno ujenzi wa reli ya kisasa........Tanzania Kupeleka Walimu Kufundisha Kiswahili Afrika Kusini

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kusini Mhe. Jacob Gedleyihlekisa Zuma amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali yake ya Awamu ya Tano kwa kuanza ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha kisasa (Standard Gauge) na ameahidi kuunga mkono ujenzi huo.

Mhe. Rais Zuma ametoa kauli hiyo wakati wa mazungumzo rasmi na alipokuwa akizungumza na wananchi wa Tanzania na Afrika Kusini kupitia vyombo vya habari Ikulu Jijini Dar es Salaam, ikiwa ni katika ziara yake rasmi ya kiserikali ya siku mbili hapa nchini kwa mwaliko wa Mhe. Rais Magufuli.

Mhe. Rais Zuma amesema anatambua kuwa ujenzi wa reli ya kati utaleta manufaa makubwa kwa Tanzania na nchi za maziwa makuu na hivyo amekubali ombi la Mhe. Rais Magufuli la kuwahamasisha wafanyabiashara na wawekezaji wa Afrika ya Kusini kushirikiana na Tanzania kufanikisha mradi huo mkubwa.

Wakiwa katika Mazungumzo rasmi viongozi hao wamezindua rasmi Tume ya Pamoja ya Marais (Bi-National Commission-BNC) kwa kufanya kikao cha kwanza cha tume hiyo tangu ianzishwe mwaka 2011 ambapo wamepokea makubaliano yaliyofikiwa katika kikao cha tume ngazi ya mawaziri.

Kabla ya kuzungumza na wananchi kupitia vyombo vya habari Mhe. Rais Magufuli na Mhe. Rais Zuma wameshuhudia utiaji saini wa hati tatu za ushirikiano kati ya Tanzania na Afrika Kusini ambazo ni Muhtasari wa makubaliano ya mkutano wa tume ya pamoja ya Marais, Makubaliano ya ushirikiano katika masuala ya bioanuwai na uhifadhi na makubaliano ya ushirikiano katika sekta ya uchukuzi.

Akizungumzia makubaliano na mazungumzo yao Mhe. Rais Magufuli amemshukuru Mhe. Rais Zuma kwa kuitikia mwaliko wake na kukubali kuendeleza na kuongeza zaidi ushirikiano na uhusiano kati ya nchi yake na Tanzania hususani kuwahimiza wawekezaji na wafanyabiashara kuja kuwekeza nchini Tanzania katika sekta mbalimbali zikiwemo Kilimo, ujenzi wa miundombinu, utalii, madini na afya kwa kutumia uwezo mkubwa uliopo Afrika Kusini.

Mhe. Rais Magufuli amesema hivi sasa biashara kati ya Tanzania na Afrika Kusini kwa mwaka ni Shilingi Trilioni 2.4, uwekezaji wa Afrika Kusini hapa nchini ni Dola za Marekani Milioni 803.15 uliozalisha ajira 20,916 na kwamba kiwango hicho kinaweza kuongezeka zaidi endapo ushirikiano utaimarishwa zaidi.

“Na ili tufanikiwe kukuza biashara tumekubaliana kuondoa vikwazo na kuwahamasisha wafanyabiashara na wawekezaji wa nchi zetu mbili kutumia fursa ya uhusiano na ushirikiano mzuri wa kirafiki na kidugu uliopo kati ya nchi zetu kufanya kazi pamoja” amesisitiza Mhe. Rais Magufuli.

Mhe. Dkt. Magufuli ameongeza kuwa Tanzania itapeleka walimu wa lugha ya Kiswahili ambayo inazungumzwa na watu takribani milioni 120 ili wakafundishe lugha hiyo katika vyuo vya Afrika ya Kusini na hivyo kuimarisha zaidi ushirikiano.

Kwa upande wake Mhe. Rais Zuma amemshukuru Mhe. Rais Magufuli kwa kumualika kufanya ziara rasmi ya kiserikali hapa nchini na amesema nchi yake itahakikisha makubaliano yote ya Tume ya Pamoja ya Marais yanatiliwa mkazo na kutekelezwa kwa kuzingatia muda uliopangwa.

Mhe. Rais Zuma amesema Afrika Kusini inatambua na kuheshimu mchango wa mkubwa wa Tanzania kwa ukombozi wa nchi mbalimbali za Afrika ikiwemo Afrika Kusini ambayo Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere alishirikiana na Waasisi wa Taifa hilo walioongozwa na Hayati Mzee Nelson Mandela kupigania ukombozi na uhuru na kwamba anafurahi kuona Tanzania bado inatoa mchango mkubwa kupigania amani katika bara la Afrika.

“Mhe. Rais Magufuli naomba nikuhakikishie kuwa Afrika Kusini itaendeleza na kuimarisha zaidi uhusiano wake na ndugu na marafiki zake Tanzania katika kujenga uchumi kwa manufaa ya wananchi na pia kupigania amani kwa kuwa bila amani na usalama hakuna maendeleo” amesema Mhe. Rais Zuma.

Pamoja na kufanya mazungumzo rasmi, viongozi hawa watashiriki mkutano wa wafanyabiashara wa Tanzania na Afrika Kusini (Business Forum) unaofanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere na jioni Mhe. Rais Zuma atahudhuria dhifa ya kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima yake na mwenyeji wake Mhe. Rais Magufuli Ikulu Jijini Dar es Salaam kabla ya kurejea Afrika Kusini baadaye leo.

Mkurugenzi wa Halotel afikishwa mahakamani kwa uhujumu uchum

$
0
0
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Viattel Tanzania (Halotel) Do Manh Hong,  amepandishwa katika kizimba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka saba likiwemo la uhujumu uchumi.

Mshtakiwa Do Manh Hong amefikishwa mahakamani hapo na kuunganishwa na washtakiwa wengine saba waliofikishwa mahakamani hapo mapema Mwaka huu.

Wote kwa pamoja wanakabiliwa ma mashtaka kumi, kula njama. Kisimika mitambo ya mawasiliano bila kibali cha TCRA, kutoa nyaraka za uongo, kusababisha hasara kwa serikali ya Tanzania,  ya milioni 459, kutumia mitambo ya mawasilino ambayo haijathibitishwa na namba za simu.

Mbali na Hong, washtakiwa wengine ni Dilshad Ahmed (36), Rohail Yaqoob(47), Khalid Mahmood (59), Ashfaq Ahmad (38), Muhamad Aneess(48), Imtiaz Ammar (33) wote raia wa Pakistan na Ramesh Kandasamy (36) raia wa Sri-Lanka.

Kabla ya kusoma kwa mashtaka, wakili wa Serikali, Jehovanea Zacharias aliiomba mahakama kumuunganisha mshtakiwa Hong na kuwasomea washtakiwa wote makosa yao.

Imedaiwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri, kuwa mshtakiwa Ahmed, Yaqoob,  Mahamood, Ahmad, Anees, Kandasamy na Qammar Novemba 2016 Dar es Salaam walikula njama ya kutumia vifaa vya mtandao.

Imedaiwa kuwa, watuhumiwa walitengeneza mfumo wa kutumia huduma za mtandao kwa lengo la kukwepa kodi ya  kupokea na kusambaza simu za kimataifa bila kibali cha TCRA.

Aidha imedaiwa kuwa Novemba 20, 2016 waliingiza vifaa vya kielektroniki  bila ya kuwa na leseni na kuvisimika  bila ya kuwa na kibali cha  TCRA.

Imedaiwa, washtakiwa waliunganisha  vifaa hivyo na huduma za mitandao kwa lengo la kupokea na kusambaza mawasiliano bila ya kuthibitishwa na TCRA.

Kwa upande wa Kampuni ya Viettel Tanzania Limited na Do Hong wanadaiwa kati ya Novemba 2016 na Februari 2017 maeneo ya ofisi za Halotel Victoria Kinondoni walishindwa kuthibitisha taarifa iliyotolewa na Unex Company Ltd kwa lengo la kusajili laini za simu 1000.

Kwa upande wa washtakiwa Ahmed na wenzake sita wanadaiwa kuwa Januari 5 ,2016 walitoa Cheti chakughushi cha usajili wa kodi chenye namba 100-864-210 kuonyesha imetolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania wakati si kweli.

Mbali na mashtala hayo, watuhumiwa wote kwa pamoja wanadaiwa kuisababisha hasara TCRA na serikali ya Tanzania kiasi cha milioni 459.

Hata hivyo, washtakiwa wote hawakuruhusiwa kujibu kitu chochote mahakamani hapo kwa kuwa mshtaka yanayowakabili yako nchini ya sheria ya uhujumu uchumi.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi Machi 29,2017.

Taarifa Kwa Umma Kuhusu Udahili Wa Wanafunzi Wa Astashahada Na Stashada Katika Programu Mbalimbali Kwa Mwaka Wa Masomo 2017/2018

$
0
0
Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ni chombo kilichoanzishwa kwa sheria ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi, Sura 129, ili kusimamia na kuratibu utoaji wa mafunzo ya elimu ya ufundi nchini. Sheria hii inazitaka Taasisi zote zinazotoa elimu ya ufundi kusajiliwa kabla ya kuanza kuendesha mafunzo yoyote. Baraza pia huidhinisha mitaala kabla haijaanza kutumika. Hivyo taasisi zote haziruhusiwi kuanza kutoa mafunzo yoyote bila kibali maalumu kutoka Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE).

Baraza linapenda kuwataarifu wadau wa sekta ya Mafunzo ya Ufundi na Umma kwa ujumla kuwa udahili na uchaguzi wa wanafunzi kwa ajili ya masomo ya Astashahada na Stashahada mbalimbali yanayotolewa na vyuo vyote hapa nchini, utafanyika moja kwa moja vyuoni, isipokuwa kozi za afya na ualimu zinazotolewa na  vyuo vya Serikali tu. Hivyo maombi yote ya nafasi za masomo yatumwe kwenye chuo husika.

Udahili wa kozi za Afya na Ualimu katika vyuo vya Serikali  utaratibiwa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto; na Wizara ya Elimu, Sayansi na Tekinolojia kwa kushirikiana na Baraza (NACTE). Hivyo maombi ya Udahili kwa kozi za Afya na Ualimu kwa vyuo vya serikali tu yatumwe kwa njia ya mtandao kupitia tovuti ya NACTE (www.nacte.go.tz) au kupitia vyuo husika vya Afya na Ualimu ambavyo vitashughulikia maombi hayo na kufanya udahili kwa njia ya mtandao kupitia ‘Institutional Panel’ zao.

Aidha vyuo vyote vitatangaza au kuwafahamisha moja kwa moja waombaji majina ya watakaochaguliwa kujiunga na kozi mbalimbali; na wale wa kozi za Afya na Ualimu watatangazwa na Wizara husika na kupitia tovuti ya NACTE.

Baraza linapenda pia kuwafahamisha kuwa Vyuo vitaanza kupokea maombi ya udahili wa wanafunzi kuanzia tarehe 15 Mei, 2017 hadi tarehe 20 Agosti, 2017. Majina ya waliochaguliwa yatatangazwa tarehe 14 Septemba, 2017. Masomo kwa mwaka wa masomo 2017/2018 yanatarajiwa kuanza rasmi tarehe 25 Septemba, 2017.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA KATIBU MTENDAJI
BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE)
TAREHE: 10/05/2017

Zitto Kabwe: Nina wasiwasi na uwezo wa wawakilishi wa ‘EALA’ kutoka Chadema

$
0
0
Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema kuwa amesikitishwa sana na matokeo ya uchaguzi wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) uliofanyika jana usiku bungeni mjini Dodoma kwa upande wa Chadema.

Kupitia ukurasa wake wa Facebook Zitto ameandika kuwa kuchagua watu bila kuangalia uwezo, uzoefu na uhusika wao kulingana na sehemu wanapotakiwa kuwepo ni kuliangamiza taifa, hasa ukizingatia changamoto zilizopo katika nchi hizo Afrika Masahriki.

Amesema kuwa nchi kama Rwanda, Burundi na Uganda zimepeleka wawakilishi mashuhuri na wenye uzoefu mkubwa katika bunge hilo kulingana na umuhimu wa shughuli zinazofanywa na bunge hilo.

“Jana usiku nilikuwa na hasira sana, kufuatia matokeo ya uchaguzi wa wawakilishi wa Tanzania kwenye bunge la Afrika Mashariki (EALA) haiwezekani kuchagua wabunge ambao hawana uwezo wa kwenda kujenga hoja, huku tukitegemea kupambana na changamoto za muungano wa nchi hizi za Afrika Mashariki”ameandika Zitto katika ukurasa wake wa Facebook.

Kanusho la taarifa zinazosambazwa Facebook kuhusu Rais Mstaafu Jakaya Kikwete

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo May 12


Jipatie Dawa za Asili za Kupunguza Maziwa, Kupunguza tumbo, Kuongeza nguvu za Kiume na Mvi

$
0
0
NATURAL BEAUTY COSMETIC ni kampuni inayotoa bidhaa ORIGINAL zenye matokeo mazuri bila kemiko wala madhara yoyote bidhaa zetu zote zimetengenezwa Kwa mimea na matunda
 
🍉🍓🍇🍅🍊🍒🍍🌴🍐🧀🧀🧀🧀🍅🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍐🍍🌳🍏🍐🌶🍉🍆🍆🍒.
Pata punguzo la bei kwa bidhaa hizi.
1. YODI PILLS _ Ni vidonge vya kuongeza hips na makalio @170,000/=
 
2. BOTCHO CREAM_ Ni dawa ya kupaka ya kuongeza shepu (hips na makalio) @150,000/=
 
3. BOTCHO MULT PLUS_ Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza shepu (hips makalio na mapaja) @200,000/=
4. PANNAMAS BREAST_ Ni dawa ya kupunguza maziwa na kuyasimamisha hata kwa walio nyonyesha. Inapatikana kwa Tsh @120,000/=
 
5. DISCREET_Hii ni kwa ajili ya kuondoa mvi milele na zisiludi tena. @120,000/=
 
6. BODY BOOSTER_Ni dawa ya kuongeza mwili mzima na kukupa hamu ya kula vizuri. Inapatikana kwa Tsh @130,000/=
 
7. LEG BOOSTER_Ni dawa ya kuongeza miguu kuwa (Chupa ya bia) @120,000/=
 
8. HAIR GROWTH STIMULATOR_ Ni mafuta ya kulefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo. Yanapatikana kwa Tsh @100,000/=
 
9. MICRO COMPUTER_ Ni mkanda wa kupunguza tumbo na manyama uzembe. @170,000/=
 
10.HANDSOME UP ni kifaa kinachoongeza maumbile ya kiume  kwa 99% kwa size uipendayo wewe na kuimarisha misuli ya uume kwa @170,000/= tuu. 
 
11.MEN GELY YA KUPAKA. Hii inaongeza kwa wastani wa inch 6.5 na inapatikana kwa @120,000/=.  
 
12. SHARK POWER. Hii pia ni kwa ajili ya kuongeza maumbile  wastani wa inch 7.5 inapatikana kwa @135,000/=.
 
15. MAX MAN 2. Ni vidonge kwa ajili ya nguvu ambavyo vinasaidia sana hata kwa watu wenye kisukari na waliokua wakifanya sana master blashion. Pia huongeza hamu ya tendo la ndoa inapatikana kwa @130,000/=
🌳🍉🍌🍅🍍🍐🍓🍆🍐🍒🍒🍓🍓🍑🍍🍍🍓🍓🍓🍍🍐🍐🍈🍉
         Tupo DAR ES SALAAM  kariakoo na kinondoni kanisani. 
 
Kwa mawasiliano zaidi piga  0759029968 au 0659618585.
Popote ulipo utapata huduma zetu.
 
                 Follow us
@natural2162
@natural2162
@natural2162
@natural2162
 
     Bidhaa zetu zote ni garantii na unapewa risiti
              Karibu

PICHA: Maporomoko ya mawe yafunga barabara Tanga

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoani Tanga jana  lilifunga barabara ya kutokea Dar es salaam kuelekea Arusha kufuatia eneo la Mombo mkoani Tanga kuangukiwa na maporomoko ya mawe pamoja na matope na kusababisha athari kwa baadhi ya magari

Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi mkoani humo Benedict Wakuyamba  alisema, maporomoko hayo yalisababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Mkoani humo na maeneo mbalimbali nchini

"Hali ya mvua imeendelea kunyesha na kufukia barabara eneo la Mombo kutokea Dar es salaam kuelekea Arusha ambapo matope na miti vimesombwa na kukwama barabarani hali iliyokwamisha magari makubwa kwa madogo kusafiri kupitia eneo hilo..

"Niwaombe abiria au wananchi kwa ujumla kama hawana ulazima wa kusafiri kwenda mikoa ya Kaskazini ni vizuri wakatulia kwa siku mbili tuone hali inakwendaje kwa ajili ya usalama wao". Alisema Kamishna Msaidizi Benedict

Kwa upande mwingine Kamishna huyo alisema TANROADS na Jeshi la Polisi mkoani humo wanaendelea kusaidia kuondoa magogo na tope zilizosakama katika barabara ili kunusuru hali ya usafiri.

Kitanda cha Sokwe Mtu.....Sehemu ya Kwanza

$
0
0
Na. DOKTA MUNGWA KABILI. 0744000473
HABARI ZENU ?  NINAPENDA  KUWATAARIFU  KUWA  NAKALA  ZA  KITABU CHENU PENDWA  “KITANDA  CHA  SOKWE  MTU “ ZIMECHUKULIWA  ZOTE  TAYARI.  ASILIMIA  TISINI  YA  NAKALA  ZA  KITABU  HIKI  ZILISHACHUKULIWA TAYARI HATA  KABLA  YA  KITABU  HAKIJATOKA  MTAMBONI, NA  ASILIA  KUMI  YA  NAKALA  ZILIZO  BAKI  NDIO  ZOTE  ZIMEMALIZIKA  SIKU  YA  JANA.
BADO  TUNAPOKEA  SIMU  NYINGI  SANA  KUTOKA  KWA  WATU MBALIMBALI  WAKIULIZIA  KITABU  HIKI, TUNAPATA  SHIDA  KUMUELEZEA  KILA  ANAEPIGA  SIMU  KUULIZIA  KITABU NA  NDIO  MAANA  TUMEONA  TUWEKE  TAARIFA  HII  HAPA BLOGUNI.


HATA  HIVYO  KWA  KUWA  WATU  WENGI  BADO  WANAHITAJI  KUSOMA  KITABU  HIKI, NIMEAMUA  KUTOA  OFA  MAALUMU  KWA  KUCHAPISHA  KITABU  HIKI  HAPA  BLOGUNI, AMBAPO  UTAWEZA  KUKISOMA  BURE  KABISA KUANIZA  TOLEO  LA  KWANZA  HADI  LA  MWISHO. UNACGO TAKIWA  KUFANYA  NI  KUTEMBELEA  BLOGUNI  HAPA  KILA  SIKU. SIKU  YA  LEO  TUTAANZA  NA  SEHEMU  YA  KWANZA  YA  KITABU  HIKI.

(  WAKATI  HUO HUO, JIANDAE   KUSOMA  SIMULIZI  KALI  NA  LA  KUSISIMUA  LIITWALO  “  MKATASANDA“ : HILI  NI  SIMULIZI  LA  UKWELI  LA  MAISHA  YA  MTU  AITWAE  “ VIHELAHELA “  AMBAE  UKOO  WAKE  WOTE  ULIMALIZWA   KWA  KUTUMIA   UCHAWI  WA  NDEGE  AJULIKANAE  KAMA “MKATASANDA “.  NI  SIMULIZI  LA  KUSISIMUA  SANA  AMBALO  UTALIPATA  KUPITIA  : WWW.MUNGWAKABILI.BLOGSPOT.COM . NDANI  YA  SIMULIZI  HILO  LITAKALO  TOKA  HIVI  KARIBUNI  UTAPATA  KUFAHAMU  KUHUSU  MAMBO  MBALIMBALI  MAZITO  YA  KICHAWI  PAMOJA  NA  JINSI  YA  KUJIKINGA  NA  KUJIEPUSHA  NAYO.   SIMULIZI  HILI  LITAANZA  KUTOKA  MARA  TU  BAADA  YA  KUMALIZA  KUCHAPISHA  SIMULIZI  LA  “  KITANDA  CHA  SOKWE  MTU “

                            KITANDA  CHA  SOKWE  MTU  SEHEMU  YA  KWANZA

Kabla  ya  sehemu  ya  kwanza  kuna  sehemu  ya  utangulizi  wa  simulizi  hili. Sehemu  ya  utangulizi   wa  simulizi  hili  inaelezea  historia  ya  maisha  ya  Lugwisha  kwa  ufupi, familia  aliyo  toka, jinsi  alivyo  toka  kwao  Tabora  na  kwenda  dar  Es  Salaam  kutafuta  maisha, changamoto  alizo  zipata  hadi  kupata  mafanikio  makubwa  katika  maisha  yake.  Katika  mfululizo wa  machapisho  haya, nitaelezea  matukio  ya  kuanzia  siku  ambayo Lugwisha  alifikishwa  kilingeni  kwangu.

Nakumbuka  ilikuwa  mwaka  2013 . Siku hiyo  nilipokea  simu kutoka  kwa  kijana  aitwae  Willy . Kijana  huyu  alinieleza  kwa  ufupi  kuhusu  rafiki  yake  aitwae  Lugwisha.

Kwa  ufupi  aliniambia  Lugwisha  alikuwa  mfanyabiashara  mwenye  mafanikio  makubwa  sana , lakini  ghafla  amefilisika, kiasi  hata  hela  ya  kula  chakula  inampiga  chenga.

Tulikubaliana na Willy   kuwa, mchana  wa  kesho  yake, angefika  kilingeni  kwangu  Bagamoyo, akiwa  ameongozana na rafiki  yake  ambae  ni  Lugwisha  kwa  ajili  ya  kupata  msaada  wangu

Willy  ni  kijana  aliye  tambulishwa  kwangu  na  dada  ake  ambae  ninamfahamu  kwa  jina  la  Stella.

Mwaka  2011  Stella  aliletwa  kwangu  na  rafiki yake  ambae  alikuwa anafanya  biashara  ya chakula  kwenye  machimbo ya  madini ya  Ruby  yaliyopo  Mtipweshi  huko  nchini  Msumbiji.
 Stella  alitaka  nimtengenezee  dawa  ili  atakapo  fika  huko  Mtipweshi  afanikiwe  katika  biashara  yake.

Miezi  sita  baadae  Stella  akawa  ni  mwanamke  mwenye  mafanikio  makubwa  kupitia biashara  yake  ya  chakula  ambayo  aliifanya  kwenye  machimbo  ya  madini  ya  ruby  huko  nchini  Msumbiji.

Akiwa  nchini  Msumbiji  Stella  alijionea  mwenyewe  jinsi  vijana  wa  kitanzania  wanavyo  pata  mafanikio  ya  kutisha  kupitia  kazi  ya  uchimbaji  na  uuzaji  wa  madini  wa  ruby  huko  Mtipweshi.

Aliamua  kumvuta  kaka  ake  Willy  ili  na  yeye  akajaribu  bahati  yake .
Kabla  ya  kuondoka  nae  Msumbiji, Stella  alimleta  Willy  hai  kilingeni  kwangu nimtengeneze  ili  atakapo  kuwa  machimboni  huko  nchini  Msumbiji  aweze  kupata  mafanikio  makubwa  na  hivyo  kubadilisha  maisha  ya  familia  yao.

Naikumbuka  vizuri  sana  siku  ambayo  Willy  aliletwa  kilingeni  kwangu.  Baada  ya  kusikiliza  kwa  makini  shida  ya  Willy, nilianza  mara  moja  utaratibu  wa  kutengeneza  tambiko  maalumu  kwa  Willy  ili  akafanye  shughuli  ya  uchimbaji  na  uuzaji  wa  madini  akiwa  na  baraka  zote  za  mabibi  na  mababu.

Katika  matambiko  ya  uchimbaji  wa  madini  huwa  kuna  njia  kuu mbili ;

 Njia  ya  kwanza  unafanya  tambiko   la  kumtengeneza  mchimbaji  na  njia  ya  pili  unafanya  tambiko  la  kutengeneza  shimo.

Tambiko  kwa  mchimbaji  hufanyika  ila kumfanyia  mchimbaji  huyo  wepesi  wa  kupata  madini  kila   anapo  ingia  shimoni  kuchimbailhali  tambiko  la  kutengeneza  shimo  hufanyika  kwa  lengo  la  kulifanya  shimo  litapishe  madini   ya  kutosha.

Tambiko  la  kumtengeneza  mchimbaji  madini  huwa  lina  hatua  kuu  ishirini  na  moja.  Hatua  ya  kwanza  huwa  ni  kupima  mwili  wa  mchimbaji, ili  kuona  kama  una  “ uchafu  “  wowote.

Hatua  ya  pili  huwa  ni  kumsafisha   mwili  mchimbaji  husika . Katika kusafisha mwili huwa yapo  matambiko  ya  aina  mbalimbali .

Aina  ya  tambiko  hutegemeana  na  aina  pamoja na   kiwango  cha  uchafu  wa mwili  wa  mhusika.

Hatua  inayo  fuata  baada  ya  kuusafisha  mwili  wa  mchimbaji, ni  kuutengenezea  kinga  ya  mwili.

Kinga  dhidi  ya  majini, masheitwani,  mizimu  michafu  inayopatikana  katika  maeneo  ya  migodi.

Kinga  dhidi  ya  watu  mbalimbali  wenye  husda.  Mtu  huyu  atakuwa  anaenda  kufanikiwa  na  kuwa  tajiri  mkubwa  jambo  ambalo  litanyanyua  uadui  kutoka  kwa  watu  mbalimbali  ambao  hawatapendezwa  na  mafanikio  ya   mchimbaji  huyu.  Wakati mwingine  kama  si  wakati  wote, ndugu, jamaa  na  marafiki  wabaya  wakisikia  Fulani anakwenda  kuchimba  madini  wanaweza  kwenda  kwa  wachawi  kukutengenezea  uchawi  wa  kukuua, ili ionekane  kama  vile  umekufa  kwenye  harakati  za  uchimbaji  madini labda  kwa  kufunikwa  na  kifusi  nakadhalika.

 Hivyo  basi  mchimbaji  huyu  hufanyiwa   tambiko  maalumu  la  kuukinga  mwili  wake  dhidi  ya  maadui na  watu  wabaya  wa  aina  zote.

Baada  ya  hatua  hii  ya  tatu  huwa  zinafuata  hatua  nyingine  kumi  na  saba.

Na  baada  ya  hatua  hizi  kumi  na  saba , zoezi  la  kumtengeneza  mchimbaji  madini  humalizika  kwa  hatua  ya  mwisho  ambayo  huwa  kama  ifuatavyo.

Katika   hatua  hii  huwa  inatafutwa  dawa  inaitwa  Ambari  nyeupe. Ambari  hii  nyeupe  ni  lazima  iwe  ile  orijino.

Zipo  njia  za  kijadi  za  kujua  kama  ambari  uliyo nayo  ni  orijino  ama  sio  orijino.

Hii  ambari nyeupe  ina  uhusiano  mkubwa  sana  na  jinni  wa  baharini  ajulikanae  kama  Nguva  au  Samaki  Mtu  pamoja  na  madini  yanayo  patikana  baharini  ambayo  hujulikana  kama  ruby.

Vitu  vyote  hivi  viwili  yani  ambari nyeupe  pamoja  na  madini  ya  ruby  vina  uhusiano  mkubwa sana  na  huyu   Samaki  mtu.

Ambari  ina  matumizi  mengi  sana  katika  uganga, uchawi  na  tiba  za  asili  au  tiba  mbadala  kwa  jina  lingine.
Katika  tiba  mbadala, ambari  ina  matumizi  mengi  sana  lakini  kubwa  kuliko  yote , ambari inapochanganywa  na  baadhi  ya  dawa  za  porini, hutumika  katika  tiba  ya  kurefusha na  kunenepesha  maumbile  ya  kiume  pamoja  na  kuongeza  nguvu  za  kiume.

Katika  masuala  ya  uganga, ambari   nyeupe  huchanganywa  na  dawa  mbalimbali  na  kutumika  kumchanja  mtu  kwa  ajili ya  kumpa  kinga  ya  mwili  dhidi  ya  wachawi  na  majini  wabaya  pamoja  na  kufukuza  majini  wabaya.

Sifa  kubwa  ya  ambari  ni kwamba, huvuta  maruhani  wazuri  na  majini  wote  wa  heri. Huvuta  maruhani  wakali wa  baharini  wenye  nguvu  sana.  Popote  pale  ambari inapokuwepo  basi  na  maruhani  hawa  huwepo  pia.  Sifa  kuu  ya  hawa  maruhani  wa  baharini  huwa  hawakai  pamoja  na  uchawi  wa  aina  yoyote  ile  wala  majini au masheitwani  wabaya  wa  aina  yoyote  ile.

Hivyo basi  mtu  anapo  chanjiwa  ambari   iliyo  tayarishwa kwa kufuata  taratibu  zake   pamoja  na  vizimba   vyake hupata  ulinzi  mkubwa  sana  wa mwili  wala  hakuna  jinni , pepo, sheitwani  au mchawi  wa  aina  yoyote  ile  anaweza  kumdhuru  kwa  kutumia  uchawi  wa  aina  yoyote  ile.

Lazima  mtu  achanjiwe. Sababu  kubwa  ya  kuchanjiwa ni  kuwaunganisha  maruhani  wa  kwenye  ambari  na  roho  ya  mtu  husika.

Kama  ulikuwa  haufahamu  ni  kwamba, roho  ya  mtu  ipo kwenye  damu  ama  kwa  lugha  nyepesi, uhai  wa  mtu  ni  damu. Na  katika  ulimwengu  wa  kiganga, kuna  kanuni  moja  muhimu  sana ambayo inasema   chochote  kinacho  unganishwa  kwenye  damu  ya  mtu  au  mnyama  kiwe  kizuri  au  kibaya,  basi  huwa  sehemu  ya  damu  hiyo.
Hii ndio  sababu  kubwa  kwanini  watu  huchanjiwa  dawa, iwe kwa  nia  mbaya  au  kwa  nia  nzuri.

Kuwaunganisha  na  kuwafungamanisha  na  maruhani  wazuri  au  majini na  masheitwani  wachafu.

Turudi  kwenye  maelezo yetu  ya  awali. Ukisha  ichukua  hiyo  ambari nyeupe  orijino. Unaiweka  kwenye  kisosi  au chombo  chochote   cheupe  kisicho  na  doa  wala  alama  yoyote  ile, halafu  unasaga  pamoja  na dawa  inaitwa  Nyota  au  Habbat  Nuksi, dawa  hii  ina  umbo  lenye  kufanana  na  nyota  na  huwa  haina  alama  yoyote .

Ni dawa  yenye  matumizi  mengi  sana  katika  ulimwengu  wa  kiganga.
Ukisha  weka  hii  Habbat  Nuksi, unachanganya  na  kizibo kimoja cha  mafuta  ya  usiku. Haya  mafuta  ya  usiku  ni  mafuta  yaliyo  miongoni  mwa  mafuta  makubwa  kabisa katika  ulimwengu  wa  waganga .

Mafuta  haya  ni  mafuta  yenye  nguvu kubwa   sana.  Ni  mafuta  makubwa  yenye  kubeba  majini  na  maruhani  wazito  wazito.  Ipo  namna  ya  jadi  ya  kuyatambua  mafuta  ya usiku.  Ni mafuta  yenye  gharama  kubwa   na  yana  matumizi  mengi  sana.   

Mfano  katika  biashara   ndogondogo , kama  mtu  anataka  kutajirika  kwa  kupitia  biashara  ndogondogo  hususani  ya  kuuza  vitu  vya  kula  kama  vile  vitumbua, maandazi, mamalishe, kuuza  vitu vya  watoto  mashuleni   nakadhalika  basi  ni  lazima  atumie  mafuta  haya.

Ni mafuta yenye  nguvu  za  ajabu  sana. Nikisema  nielezee  matumizi yake  yote  mahali   hapa, basi  nadhani nitalazimika  kuandika kitabu  chenye  kurasa  nyingi  sana.

Sasa  basi  ukisha changanya  mafuta   haya  ya  usiku  kwenye  kisosi  au chombo  chochote kisicho na  doa  hata  moja  ambacho ndani yake  vimesagwa  pamoja  ambari  nyeupe  orijino  pamoja  na  Nyota  au  Habbat  Nuksi,  unaongeza  kijiko  kikubwa  chenye   dawa  moja  hatari  sana  ya  porini.
Kwa  sababu  za  kimaadili  ya  kazi  yangu  ya  uganga, sitaweza  kuutaja mti  huo  hapa, isipokuwa  nitaweka  maelezo  kuuhusu  mti  huo.

Mti  huu  unapatikana porini, mti huo ukikomaa, urefu wake hauzidi wa mtoto wa miaka saba, una magamba kwa mbali na rangi yake ni nyeupe.

Mti huu ukikauka ukausaga unga wake huwa mweupe kama mti wenyewe.

Ukichukua unga wa mti huu halafu ukajipaka usoni unakuwa na uwezo wa kuwaona wachawi.

Ukijipaka unga wa mti huu usoni halafu ukatembea mtaani wakati wa mchana, unaweza kuona mambo yote yanayofanyika katika siri kubwa kama vile wachawi wakiwa wanawanga au wanafanya shughuli zao wakiwa uchi.

Dawa hii itakupa pia uwezo wa kuwaona misukule.

Vilevile mti huu una uwezo wa kukimbiza nyoka mfano ukiwa na kipande cha mti huu mfukoni halafu ukawa unatembea, kama mbele yako kuna nyoka atakimbia kabla hujafika.

Hata ukikaa mahali kama kuna nyoka hawezi kukaa hapo, atakimbia tu.
Ukisha kamilisha  zoezi  hili, unamchukua  huyo mchimbaji  madini  unamchanja  kwenye  pande  zote  saba  za  mwili, na kumpaka  dawa  kwa kutumia  sarafu, halafu  anachinjiwa  punda  pamoja  na  kondoo  ambao  vitu  vyao vitatumika  kutengeneza  azima  ambayo  atapewa mchimbaji  huyo.

Vitu  hivyo  ni  pamoja  na  wadudu  wanao  patikana  kichwani  mwa  kondoo, kwato zake, mkia wake, moyo  wa  punda, mkia, kwato nakadhalika.

Baada  ya  hapo  mtu  huyu  anakuwa  amekamilika  tayari  kwa  shughuli  ya  uchimbaji  wa  madini.

Mtu  aliyefanyiwa  dawa  hii  huwa  na  bahati  kubwa  sana  ya  kupata  madini  au  mawe  kila  anapoingia  kuchimba  shimo.

Mafuta  ya  usiku  pamoja  na  mti  nilio  uelezea  hapo  juu    humpa  uwezo  wa  kuona  mali  moja  kwa  moja  kwa  sababu  mafuta  hayo pamoja  na  mti  huo, pamoja  na kumsaidia  mhusika  katia  mambo mengine,  humpa  mtu  uwezo  wa kuona  vitu  visivyo onekana  ambavyo  vimefichwa kwa kutumia  uchawi  au  ambavyo  vimejificha  vyenyewe  kwa  kutumia  mazingara.

Dawa  hizo  husaidia  kufanya  majini wabaya , masheitwani  wabaya  pamoja  na  mizimu  wabaya  waliopo  katika  maeneo  ya  mgodi  huo wasiweze  kumuona  na  hivyo  kushindwa  kumfichia  mali.

Unajua  kawaida  ya  mali  za  migodini  huwa  ni  kuhamahama. Mali  hizi  haziami  zenyewe  bali  huamishwa  na  majini, masheitwani  na  mizimu  wanao  linda  mali hizo  ambao  hawataki zichukuliwe  na  mtu  yoyote  Yule.

Unaweza  kuchimba  upande  A, kumbe  mali  ipo  upande B. Ukavuka upande  B  ukaenda  upande  C, kumbe  mali  umeiacha  upande B. Hili ni  suala  la  kawaida  kabisa  machimboni.

Hivyo  basi  ili uweze  kuchukua  mali  ni  lazima  ufanye  moja  wapo kati  ya  mambo  makuu  mawili  yafuatayo;

Moja uwafunge  majini  na  mizimu  wa eneo  hilo, wasiwe  na  uwezo  wa  kukuzuia  kuona  na  kuchukua  mali au  pili  uingie  mkataba  na  majini au  mizimu  hao, kuwaomba  wakuruhusu  kuchukua  mali.

Tambiko  hili  linafanya  mambo  makuu  mawili, kwanza   linawafunga  mizimu  na  majini  walio  katika  eneo  la  mgodi  husika  na  kuwafanya  washindwe  kukuzuia  kuchukua  mali  na  pili  linakufungua  macho  ya  kuona  mali  ilipo pamoja  na  kuivuta  mali  mahali  ulipo.

Sio kwamba  utaoteshwa  mali  ipo  sehemu  fulani  nenda  kachimbe, lah  isipokuwa  utaongozwa, kila sehemu  utakayo  enda  kuchimba mali utakuwa  unapata  bahati  ya  kupata  mali.

Ndio  maana  ukienda  migodini,  yupo mtu  anaweza  kufika  mgodini  leo  na  baada  ya  wiki  moja  akapata  mali, na  kuwaacha  watu  ambao  wamekuwa  wakichimba  kila  siku  kwa  miaka  na  miaka  huku  wakiambulia  kupata  hela  ya  kula  tu  na  mwisho  wa  siku watu wanabakia  kujiuliza  huyu  mtu  si  amekuja  juzi tu.

Njia  ya  pili  ni  ya  kutengeneza  shimo. Hapa  kwenye  kutengeneza  shimo  ama  kulifanyia  tambiko  maalumu shimo  kwa  lengo  la  kulifanya  liteme  madini, kuna  hatua  kama  arobaini  za  kufuata.

Ili   uwe  na  uhakika  kwamba, shimo  lako  litatema  madini  ni  lazima, hatua  zote  arobaini  zifuatwe  kwa  kuzingatia  utaratibu uliowekwa.
Si rahisi  kuzielezea  hatua  zote  arobaini, kwa  sababu  maelezo  yake  ni  marefu  sana  na  yafaa  kutengeneza  kitabu chake  peke  yake. Hivyo  basi,  katika  kitabu  hiki  nitaelezea  kwa  ufupi, hatua  ya  mwisho.

Katika  hatua  hii  ya  mwisho, unachukua  ambari orijino ( kama  uliyo itumia  wakati  unamtengeneza  mchimbaji madini ), unachukua  Nyota  au  Habbat  Nuksi,  halafu  unachukua dawa  nyingine  inaitwa  Kishinda  wachawi. Hii  ni  dawa  hatari  sana,. Nchini  Tanzania  inapatikana  Kigoma  tu  na  kwa  ukanda  huu  wa  Afrika  Mashariki  na  Maziwa  makuu, mti huu  unapatikana  mkoani  Kigoma  nchini  Tanzania  na  Kongo  ya  Mashariki.

Mti  huu  una  matumizi  mengi  sana  katika masuala ya  uganga, baadhi  ya  matumizi  hayo ni  pamoja  na  kuua uchawi  wa aina  yoyote  ile  ambao  mtu  amelishwa  au  kutumiwa , kutafuta  mtu  aliepotea  nakadhalika.
Baada  ya  kuweka  kishinda  wachawi  unachanganya  dawa  nyingine  kutoka  kwenye  miti mingine ya  porini   ambayo   idadi  yake  inafika  sabini .

Katika  miti  hiyo, unakuwemo  mti  mmoja  wa  porini  ambao kazi  yake  kubwa  ni  kuvuta  uchawi  na  majini  wote  wa  wabaya. Katika  ulimwengu  wa  kiganga  mti  huu, huitwa  Kikusanya  majini.

Huu  ndio  mti  unaopendwa  na  majini  wabaya  kuliko  mti mwingine  wowote  ule. Majini  wote  wabaya  hukusanyika  katika  mti  huu.

Kama  mtu  anataka  kukusanya  majini  wabaya  kwenye  biashara  yako, basi  atakacho kifanya  anachukua  kipade  cha  mti  huu, na  kuuzika  kwenye  nyumba  yako  au  eneo  lako  la  biashara  au  anauchukua  anausaga  halafu  anakuja  kumwagia  vumbi  lake  kwenye  eneo  lako  la  biashara. Hutochukua  raundi  utafunga  biashara  yako  hiyo  utakimbia  mji  wako, kwa  sababu  majini  wote  wachafu  watakuja  kufanya  makazi  yao  katika  mji  wako  au  eneo  lako  la  biashara.  Na wanapokuja  kuweka  makazi  katika  eneo  lolote, huambatana  na  nukis, mikosi na  mabalaa  yao  yote  waliyo nayo, hivyo basi  endapo  mti huu au  unga  wa  mti  huu  utazikwa  katika  nyumba  yako  ya  kuishi  au eneo  lako  la  biashara,  mikosi, balaa   na  nuksi  zote  za  majini  hao  wabaya  zitakuandama katika  maisha  yako.

 Wakati  mwingine  wachawi  wanaweza  kunyweshwa  au  kukuchanjiw dawa  hiyo  kwa  lengo  la  kukutia  nuksi, balaa  na  mikosi.

Kama  kuna  sehemu  kuna  majini  wabaya. Ukichukua  kipande  cha  mti  huu  ukauzika  mita  chache  kutoka  eneo  lenye  majini  hao  wabaya  basi  majini  wote  wabaya  watahamia  katika  eneo  ambalo  umeuzika  mti  huo  na  hawata toka   katika  eneo mpaka  mti  huo utolewe  kwa  mahali  hapo  kwa  tambiko  maalumu.

Mti  yote  hii  inatengenezwa  hazima au hirizi  halafu inaenda  kuzikwa   mita  chache  toka  eneo  lililo  shimo  lako, kwa  taambiko  maalumu.
Litafanyika  tambiko  maalumu  la  kuwaita  mapepo, majini wabaya  na  mizimu  wabaya  waliopo  katika  eneo  hilo  la mgodi na  kuwafunga  kwenye  shimo ilimowekwa  hazima hiyo.

Hapa  unakuwa  umewafunga  majini wote  wabaya  wasikusumbue  kwenye  utafutaji mali. Majini  hawa  wanakuwa  wamekuachia  wazi  milango ya  kupata mali  kwa  sababu  unakuwa  umewafunga  kwenye  eneo  ambalo  wamekusanyika.

Ukishamaliza  kuwafunga  mizimu  na  majini wabaya  kwenye  shimo  hili  la  pembeni,  unachukua  dawa  za  porini  ambazo  idadi  yake  ni  arobaini.   Baadhi  ya  dawa  hizo  ni  pamoja  na  mwinula,mkasula, mdaula,Nyota, Ufuta ( Sio ufuta  sim sim hapana, kuna  dawa  ya  porini  inaitwa  ufuta  na  haina  uhusiano  wowote  na  ufuta  huu  unao ujua wewe ),mchekea, mfunuo,sakawachawi,karafuu maiti ya kidonge  ambayo  inasagwa  kupata  unga  wake, mwatya,mkola,mlama, mputika  mzima  na  mti mmoja  hatari  sana  ambao  unajulikana  kama  mpapatiko.

Huu  mpapatiko au mpapa  ni  mti  wenye  uchawi  mkubwa  sana.

Hapa  Tanzania  mpapatiko  orijino  unapatikana  katika  mikoa  ya    Tabora na  Tanga  wilaya  ya  Lushoto.  Mti  huu  ni  hatari  sana  katika  masuala  ya  mapenzi,mvuto wa  biashara, uongozi  nakadhalika.

 Katika  ulimwengu  wa  kiganga, mti  wa  mpapatiko  ni  toleo  la  mmea  la  mnyama  aitwae  Ngekewa. Unajua  katika  ulimwengu  wa  uganga  kila  mmea  huwa  una  mnyama, ndege au mdudu  ambae  ni  pacha  wake.

Sasa  basi huu  mmea  wa mpapatiko  ni  pacha  wa  mnayama  anaitwa  Ngekewa. Ukiukata  mti  wa  mpapatiko, baada  ya  dakika kumi  unakuwa  umefunikwa  na  siafu  na  sisimizi. Kwa  ufupi mti huu  una maruhani  wakali  sana  wa  mvuto. Kama  wewe  ni  mfanya  biashara  na  hauna  mti  huu, basi sina uhakika  na faida  unayo ipata  katika  biashara  yako.
Na  kama unataka  kuwavuta  watu  kuwafanya  wakupapatikie  kwenye  mapenzi, biashara, kazi  nakadhalika, mpapatiko  ndio  jibu  lako.

Dawa  zote  hizi arobaini  zinasagwa  halafu zinawekwa  kwenye  chungu  ambacho  kimewekwa  kwenye  mafiga, halafu unachukua  mti  wa jani  nuka  au  kivumbasi .

Mti  huu  wa  kivumbasi  una  matumizi  mengi  sana, kama  vile  kufukuza  mbu, kuogea  kwa ajili ya  kusafisha  mwili, kuchoma  ofisini, kilingeni  au  nyumbani kwa  ajili  ya  kufukuza  na  kudhibiti  majini  wabaya  nakadhalika.,

Mti  huu  wa  kivumbasi  unautengeneza  kama  ufagio, kisha  unakuwa  unachovya  kwenye  dawa na  kuchapa  kwenye  shimo  lako huku  unatamka  maneno  maalumu  ya  kubariki shimo  lako.

Hii dawa  unayo  chapa  kwenye  shimo  la  mgodi, unaweza  kutumia  kuchapa  hata  sehemu zingine  hususani  kama  inasumbuliwa  na  wachawi kama  vile dukani, baa, nyumbani nakadhalika.

Baada  ya  hapo, itafanyika  kafara  maalumu  ya  punda  na  kondoo.
Kazi  ya  kuchimba mgodi  baada  ya  tambiko  hili  inatakiwa  kuanza siku yoyote  ile  isipokuwa  Jumanne  au  Jumamosi.

Jambo  ambalo si  la  kusahau wala  kupuuzia  ni  kuhakikisha  huyu  mchimbaji  anakuwa  na  kinga  ya  mwili pamoja  na  mali  zake.

Hii  ni kwa  sababu  si  watu wote  wanao furahia  mafanikio  ya  mtu.

Watu pekee  wanao  taka  ufanikiwe  katika  dunia  hii  ni baba ako mama  ako  na  watoto  wako.

Hivyo  ni jambo  la  muhimu  sana  kuhakikisha  unakuwa  na  kinga  ya  mwili  wako.

Kwenye  kinga  ya  mwili  zipo  kinga  za  aina  nyingi  sana. Katika  kitabu  hiki  nitaelezea  aina  moja  wapo  ya  kinga  kati ya  kinga  hizo.
Kinga hii  kwanza  itawazuia  wachawi na  watu  wabaya  wasiweze  kukuona  katika  rada zao  za  kichawi.

Wachawi  huwa  hawawezi  kumroga  mtu  ambae  hawawezi  kumuona  kwenye  darubini  zao za  kichawi kwa  sababu  wanakuwa  hawajui  nguvu inayo  mfanya  asionekane.

Lakini  pili  mtu  yoyote  yule  atakae  jaribu  kukuroga  basi  ubaya  wake  utadunda  na  kumrudia   yeye  mwenyewe  ama  atakufa  kabisa. Kama  hautaki  mbaya  wako aliyekujaribu, uchawi  wake  udunde  na  kumrudia  yeye mwenyewe  na  kumuua,  basi  utakapo  kuwa  unafanyiwa  tambiko  hili  usishike  kisu, jambia  wala  panga.

 Ukishika  vitu  hivyo  basi  mtu yoyote  atakae  kufanyia  uchawi, utadunda  na  kumrudia  yeye  mwenyewe kama  alivyo ukusudia  kwako  na  mwisho wa  siku  na  atakufa  ila  kabla  ya  kufa  lazima  augue kupooza  kwa  muda  wa  kuanzia  miezi  sita  hadi mwaka mmoja.

 Lakini  kama  hautaki  afe  basi usishike  panga, kisu  wala  jambia. Uchawi  wake  utadunda  na  kuteleza  na kumrudia  mwenyewe.

Katika  tambiko  hili  huwa  inachukuliwa  ngozi  ya  kenge, gamba  la  nyoka  mkubwa  aliye jivua  mwenyewe, ngozi  ya mnyama  mmoja  wa  baharini au  uume  wake  .

Mnyama  huyu  wa  baharini   huwa  ana sifa  moja  kubwa  na  ya  kipekee  nayo  ni  kuwa  na   hamu  ya  kufanya  mapenzi muda  wote  na  hufanya  mapenzi na  kila  aina  ya  mnyama.

Mnyama huyu  yupo  wa  aina  mbili, kuna  mkubwa  na  mdogo  ( kwa  asili sio kwa  umri ), hapa  unamchukua  mdogo.

Wanyama  hawa  wanapatikana   kwa wingi  sana  ziwa  Tanganyika, na  Ziwa  Kivu nchini  Kongo.  Hata  ziwa  Victoria  pia  wanapatikana  hususani  maeneo  ya  Ukara, Ukerewe  na  Uvinza.

Kitu  kingine  kinacho  tumika  katika  tambiko  hili  ni  kunyanzi  la  mnyamna  mmoja  wa  porini  mwenye  sifa  ya  kuwa  na hasira  sana.

Vitu  vingine  vinavyo  chukuliwa  ni  pamoja  na kipande  cha  kinu  kilicho pasuka  wakati kinatwangiwa  chakula, mizizi ya  turatura  za  aina  zote  tatu. Turatura huwa  zipo za  aina tatu, zipo kubwa, ndogo  na  saizi  ya  kati. Turatura  mbali  na  kutumika  katika  tambiko  hili, lakini  pia  hutumika  katika tiba  mbalimbali  kama  vile  kutibu maradhi  ya  bawaziri  au kutokwa  na  kinyama  sehemu ya  haja  kubwa.

Sasa basi  inachukuliwa  mizizi  ya  turatura  za  aina  zote  tatu, mafuta ya usiku, vipepeo wenye  rangi  saba (  Hapa  sio kipepeo  mmoja  mwenye  rangi  saba  la  hasha. Unachukua  vipepeo saba, kila  mmoja  awe na  rangi yake ), kipande cha mti uliopigwa na  radi, pamoja  na  mti mmoja  wa  porini  ambao  jina  lake ni mwiko kutajwa hadharani   mahali  popote  pale.

Kama  utataka kuujua nitakupa  maelezo kuuhusu  halafu  wewe mwenyewe  utakwenda  kufanya  utafiti  wako  porini.

Huu ni mti  hatari  sana. Ni  mti  wenye  majini  na  maruhani wakali,wenye  nguvu  na  walio  katika  daraja  la  juu  sana  katika  ulimwengu  wa  majini  na  maruhani.

Mti  huu  una sifa  kuu  moja. Unaweza  ukafa  au kunyauka  kuanzia  mizizi  mpaka  matawi. Halafu  ghafla  baada  ya  dakika  kadhaa ukarudi  katika  hali yake  ya  kawaida.  Hii ndio  sifa  kuu  ya  mti  huu. Na  hupatikana  kwenye  mapori  makubwa.

 Usije  ukauchanganya  na  mfausiku. Huu sio Mfausiku. Huu ni mti mwingine  kabisa  tofauti  na  Mfausiku.
Vitu vyote  hivyo  vinachanganywa  kwa  kukaushwa  kisha  kupikwa  pamoja   halafu  mtu  anachukuliwa na  kwenda  kuchanjiwa  baharini, ziwani, mtoni au  sehemu  yoyote  ile  yenye  maji.

Akiwa  kwenye  maji  anakaa  kwenye  jiwe  na  kuchanjiwa  dawa  hii  huku  yakitamkwa  maneno  maalumu  ya  kimitambiko.

Kama   utakuwa  katika  mazingira ambayo hakuna  bahari, ziwa  au mto, zoezi hili  linaweza  kufanyikia  hata  nyumbani.

Unaweka  maji kwenye  beseni  au  sufuria, juu yake  unaweka  jiwe , muhusika  analikalia  halafu   anachanjwa  na  kupakwa  dawa.

Baada  ya  zoezi  hili  kukamilika zinachukuliwa  nywele   za  saluni, mzizi  ulio katisha  njia , tawi  la  mti  unaitwa  Ututukanga. Huu  mti  wa  Ututukanga  huwa  unapatikana  porini na baharini  na  una  sifa  moja  kubwa  ambayo  ni  tofauti  na  miti mingine  yote  duniani,  kwenye  mti  wa  ututukanga  huwa  linaonekana  shina  lake  na  matawi  yake  tu, lakini  mzizi  wake  huwa  hauonekani.

Vitu  vingine  vitakavyo  ongezwa  hapo  ni  pamoja  na  mzizi  wa  mti   unaitwa  Msonihya.

Vitu hivi   vinasagwa  pamoja  na  mti  unaitwa  kishindawachawi.

 Baada  ya  hapo  anachukuliwa  kuku  mweusi, anafungwa kwenye kitambaa  cheusi  bila  kumchinja, unachukua  chungu  cheusi, unamuunguza  mpaka  anakuwa  mkaa, halafu  unamsaga  pamoja  na  miti  iliyo  tajwa  hapo  juu, unachanganya  na  mafuta  ya  simba .
Baada  ya  hapo  unachukua  buja ama  dulya  la  ugali  wa  kilioni  kisha  unachukua kamba  ya  kitanda  alicho  lalia  maiti, au kama  maiti  ipo  kwenye  nyumba  ya  nyasi, unachomoa  nyasi  wakati  maiti  imo  ndani  halafu  naenda  kuchimba  mzizi  wa  mti  unaitwa  mputika  bila  kivuli chako  kugusa mti wala  kuhema  wakati  unauchimba  mti  huu..

Unaunguza   vitu  vyote  hivi   kwa  pamoja  ukiwa  na  kaniki  nyeusi  bila  kuvaa  nguo  yoyote  usiku wa  manane  njia  panda

Ukisha  changanya  vitu  vyote  hivi  unavipika  njia  panda pamoja na  mafuta  ya usiku huku  ukiwa  umevaa  kaniki  nyeusi  bila  nguo  yoyote  ndani.

Baada  ya  hapo, mtu  atachanjiwa  au kujichanja mwenyewe na kuoga au  kuogeshwa dawa hiyo.

Basi wachawi  watakuwa  wakijaribu  kutaka  kukutupia  uchawi, wanakuwa  hawakauoni  kwenye  rada  zao za  kichawi.


Katika  ulimwengu  wa  jadi , kinga  huwa  ni jambo  la  muhimu sana  kuliko  kitu  chochote  kile. Wachawi , majini wabaya  na  watu  wabaya  huanza  kuwafatilia  watu tangu  wakiwa  tumboni  mwa wazazi  wao.

Ndio maana unashauriwa kumtengenezea   mtoto   wako kinga  mara  tu anapo zaliwa.

Familia  zinazo  zingatia  mila na  desturi  watoto  wao huwa  hawasumbuliwi na  wachawi .
Hii ni kwa  sababu  wanajua  namna  ya  kuwakinga  watoto  wao  dhidi  ya  ubaya.

Zipo njia  nyingi  nzuri  na   za  uhakika  za  kuwakinga  watoto  dhidi  ya  uchawi pindi  wanapozaliwa.

Ifuatayo   ni   mojawapo   kati  ya  njia  hizo. Mtoto  akishazaliwa  na  kitovu  kikakatika, basi  kinachukuliwa kitovu hicho, kinafanyiwa  tambiko  maalumu na  kwenda  kuzikwa  kwa  tambiko  maalumu  kwenye mti wa Msufi.

Hakuna  mchawi  yoyote  Yule  atakae  weza  kumloga  mtoto huyo mpaka  anaingia kaburini.

Mti  wa  sufi  una  maruhani  wakali  sana na  wenye  nguvu  sana. Ni mti  unao heshimika  sana  katika  ulimwengu  wa  waganga.

Ukifanya  tambiko la kuzika  kitovu  cha  mwanao  kwenye  mti  wa  sufi, hakuna  mchawi  yoyote  Yule  atakaeweza  kumsumbua  mwanao.

Atajaribu lakini   atashindwa  na  kushindwa  kwake  kutakuwa  kubaya sana.  Zipo  taratibu  za  namna  ya  kufanya  wakati  wa  kufanya  tambiko la kuzika  kitovu  cha  mtoto  mchanga  kwenye  mti  wa  Msufi.

Kama  nilivyo sema  hapo  juu, wachawi  huanza  kuwaloga  watu  toka  wapo  tumboni  mwa  mama  zao.

Mke  wako  akibahatika  kupata  ujauzito  hakikisha  una mtafutia kinga  ya  hali  ya  juu  sana, kwa  sababu  wachawi  au  maadui  zake  hawataweza  kumuacha  ajifungue  salama.

 Wanawake  wengi  sana  wamepoteza  maisha  yao  au  kupata madhara  makubwa  wakati  wa  kujifungua  au  wakati  wakiwa  wajawazito kwa  sababu  ya  kufanyiwa  uchawi  na  maadui  zao.


Hapa  kwenye  ujauzito  hapa, naomba  uwe  makini  sana. Wachawi  huwa  wana tumia  uchawi  mzito  sana .

Nitaelezea  kidogo  hapa jinsi  wanavyo  fanya.  Kwanza  unachukuliwa  mti  mmoja  wa  porini  hatari  sana. Mti  huu una  majini wachafu sana na  ndio  unaotumika  kama  kiungo  katika  mafusho  mabaya  na  machafu  ya  aina  zote.
Mti huu unakaushwa  na  kusagwa, kisha  unachukuliwa  mti unaitwa kishinda wachawi,  uliosagwa pamoja  na  mti  unaitwa  mfalme wa  pori.

Mti  huu  wa mfalme  wa  pori, hutumiwa  na  kila  mganga  mkubwa. Hakuna  mganga  yoyote  mkubwa  ambae  hana  mti  huu  uitwao  mfalme wa  pori.

Baada  ya  hapo  anatafutwa  kinyonga  mwenye  mimba. Anakaushwa kwa moto  akiwa  mzimamzima  hivyo hivyo pamoja  na  mimba yake  hadi  anakuwa  majivu  halafu  ule unga  wake  ama  vumbi  lake  linaenda  kuchanganywa  na  hiyo dawa  ya  kichawi na  kupikwa kwenye  chungu  kwa  damu  ya  kinyonga  mwenye mimba  pamoja na  mafuta  ya  usiku, kisha inachukuliwa  na kufungwa  kwenye  kibuyu kidogo  au kichupa kidogo  sana.

Kitakacho  fuata  baada  ya  hapo  kama  mchawi  anajua  mahali  anapoishi  mwanamke  mjamzito  aliyekusudiwa  , basi  dawa  hiyo  inaenda  kutegwa  kwenye  njia  ambayo  mwanamke  huyo  huwa  anapita au  ambayo lazima  atapita  kwa  namna  yoyote  ile.

Huu  ni uchawi  mbaya  na  mkubwa  sana. Ndio uchawi  unaotumika  kuwatia  wanawake  ugumba. Mwanamke  anapata  mimba baada  ya  mwezi mmmoja au miwili  unatoka  halafu  baada  ya  hapo, ndio hapati ujauzito tena  katika  maisha  yake  yote.

Mwanamke huyu  atahangaika  kwa  waganga  na  waganguzi, madokta  na  matabibu  bila  mafanikio  yoyote.

Hii ni kwa  sababu  anakuwa  amefungwa  kichawi  kwa  kutumia  uchawi  huu  hatari.

Ili afunguliwe  lazima  afanyiwe  tambiko  kubwa  sana.

Huyo  mwanamke  aliye  kusudiwa, akivuka  mahali  hapo, basi ima  mimba yake  itatoka  hapo  hapo  hata  kama  ina  miezi  minane, ima atakufa  hapo  hapo, ima  atakufa  wakati  wa  kujifungua.

Na  akibahatika  mimba  ikitoka  na  akapona  (  Mara  nyingi  wanawake  wanao  pona hapa  ni  wale  wenye  mimba  changa ), basi  hatopata  mimba  tena  katika maisha  yake yote.
Hii ni kwa  sababu  kinyonga  huwa  anapata  mimba  moja tu na  huwa  haonani  na  watoto wake.  Na  ikitokea  mtu aliyetegewa  uchawi  huu  amezaa basi lazima  yeye  atakufa  na  kumuacha  mtoto  wake  yatima.

Kinyonga  akipata mimba, wakati wa  kujifungua  huwa  tumbo  lake linapasuka anakufa  na  watoto  wakitoka  wanaanza  kutembea  na  kuendelea  na  maisha  yao.

Kinyonga  huwa  hakutani  wala  kuonana  na  watoto  wake. Vinyonga  wote  ni  yatima. Hakuna  kinyonga  anae mjua  mama  ake.

 Huyu  huyu  kinyonga  anatumika  katika  tiba  ya  kumfanya  mtoto  atembee  haraka.   Tumbo  la kinyonga  likipasuka, wale watoto  wanachukuliwa  wanachomwa  moto, halafu majivu yao  yanachanganywa  na  dawa nyingine  za  kichawi  mtoto  anachanjiwa . Atatembea  haraka  sana.

Ila  sikushauri  utumie  njia  hii. Ni hatari sana. Kwanza  usitumie  kwa  mtoto  wa  kike  halafu  pili  masharti yake  ni magumu  sana. Ni  bora  utumie  njia  ya  mavi ya  panya  au  miguu  ya  kuku au njingine  ambazo  ni  bora  na  salama  zaidi.

Kinyonga akipasuka  wakati  wa  kujifungua, mkia  wake  huwa  unan’gan’gania  kwenye mti.

Basi  huwa  anachukuliwa na  mti  wake  anaunguzwa  halafu jivu lake linachanganywa  na  dawa  nyingine  za  porini  kisha  linatumikakatika  dawa  ya  kuzindika shamba dhidi ya  wezi.

Mwizi  akiingia  kwenye  shamba  hilo  hatoki. Mtamkuta  hapo hapo. Na  kama  mkichelewa. Mtamkuta  amepasuka.

Hapo  juu  tumeona  njia  moja  wapo ambayo  wachawi  wanatumia  kuwafunga  wanawake  wajawazito  wapate  matatizo  katika  kipindi cha  ujauzito wao  au  wakati wa  kujifungua.

Sasa  tuangalie  njia  ya  pili  kama  mwanamke  aliyekusudiwa  yupo mbali.

Habari  mbaya  ni  kwamba, uchawi huu  unaweza  kumshika  hata  mtu  alie  mbali. Mtu aliye  Bagamoyo anaweza  kufanya  uchawi  huu  ukamdhuru  mtu  aliyepo Ukerewe na  kinyume  chake.
Hivi  ndivyo  wanavyo  fanya ; Kama  mwanamke  mjamzito  aliyekusudiwa  kutegwa  ili apate  ujauzito  yupo  mbali, kama  vile  nje  ya  kijiji, nje  ya  wilaya, nje  ya  mkoa , nje  ya  nchi  na  kadhalika,  ulozi  huwa  unaenda  kufanyika  njia  panda.

Kwa  wale  wasio  fahamu, njia  panda  ndio  mahali  yalipo  malango  ya  kwenda  kuzimu.

Ni jambo  linalo  julikana  kwa  wachawi   wote  kuwa  njia  panda  zote duniani   zinajuana.

Njia  panda  husemezana  na  njia  panda, ni  methali  maarufu  katika  ulimwengu  wa  waganga  na  wachawi, na  mara  nyingi  hutumika  pindi  mganga  au  mchawi  anapokuwa  anataka  kushughulika  na  mtu  aliye  mbali  nae  hususani  alie  nje  ya  wilaya, mkoa, nchi  nakadhalika.

Njia  panda  hutumika  kufanya  kafara  nyingi  sana  za  kiganga  na  kichawi , moja  kati ya  kafara  hizo  ni  pamoja  na  kuvuta  watu  walio  mbali. 

Njia  panda  zote  duniani  zinajuana. Wewe  hata  kama  umekimbilia  tuseme  Nigeria, mchawi  aliyepo  Tanzania  anaweza  kutega  uchawi  kwenye  njia  panda  ya    Tanzania  kwa  kukukusudia  wewe  ulie  kimbilia  Nigeria, na  ukivuka  njia  panda  yoyote  ile  huko  nchini  Nigeria, basi  inakuwa  ni  sawa  sawa  na  umevuka  njia panda  ya  Tanzania ambayo umetegewa  uchawi  wa kukudhuru.

Madhara  yaliyo kusudiwa  kwako  hapa  Tanzania  yatakufuata  huko  huko  Nigeria.  Hata  kama  usipopatwa  na  uchawi kwa  kwa  kutegeshewa  njia  panda,  kivuli  chako  kitavutwa  hadi  kwenye  njia  panda  iliyo  kusudiwa  na  kushughulikiwa.

 Njia  panda  huwa  kuna  majini  na  masheitwani  wa  aina  zote  wabaya  kwa wazuri.  Kila  aina  ya  majini  wana   muda  na  siku  yao  maalumu  ya  kukaa  njia  panda.

Wachawi  hutumia  njia  panda  kufanya  mambo  mbalimbali  ya  ulozi.  Sasa  basi   inapotokea  wachawi  wamekusudia   kumloga  mjamzito   aliye  mbali  kama  vile  nje  ya  wilaya, mkoa  au  nchi, wachawi  hufanya  kama  ifuatavyo :

Mchawi  atakwenda  njia  panda  na  dawa  niliyo  itaja  hapo  juu  hapo  pamoja  na  fimbo  iliyo tengenezwa  kwa  mti  unaitwa  mkomoro.

Huu mti wa  mkomoro  ni  mti  wa  hatari  sana. Ni miongoni  kati  ya  miti  iliyo  katika  daraja  la  juu  kabisa  katika  ufalme  wa  wachawi.

Moja  kati  ya  matumizi  yake  ni  pamoja  na  kutumika  katika  kufufua  na  kuamsha roho  za  wafu.

Mchawi  huyo  au  wachawi  hayo  watakwenda  njia  panda  hapo, siku  maalumu  na  saa  maalumu, huku  wakiwa  wamevaa  mavazi  maalumu  yanayo  endana  na  tukio.  

Kabla  ya  kutoka  nyumbani  kuelekea  hapo  njia  panda  watatoka  wakiwa  wamejipaka  dawa  maalumu  zinazo  endana  na tukio  la siku  hiyo.

Wakifika  njia  panda  wataanza  watapiga  hodi, watatjitambulisha  kisha  watawaamsha  majini  ambao watakuwa  njia  panda  siku  hiyo na  wakati  huo, watatoa  kafara  yao  ambayo  mara  nyingi  huwa  ni  ya  ndege  au  mnyama  kisha  watatoa  maombi  yao halafu  baada  ya  hapo  watazungumza  maneno mbalimbali  ya  kichawi  kwa  muda  wa  dakika  arobaini. Baadhi  ya  maneno  hayo  ni  pamoja  na  :
“  NJIA  PANDA, WEWE  NDIO  MLANGO  MKUU  WA  KUINGIA  KATIKA  MAKAO   MAKUU  YA  UFALME  WA  DUNIANI .WEWE  UNALINDWA  NA  MAJINI  WOTE  WABAYA  KWA  WAZURI.   HAKUNA  KITU  CHOCHOTE  KILICHOPO  KATIKA  DUNIA  HII  AMBACHO  KIPO  MBALI  NA  UPEO WA  MACHO  YAKO. IMA KIWE  KASKAZINI, IMA  KIWE  KUSINI, IMA  KIWE  MASHARIKI, IMA  KIWE  MAGHARIBI, IMA  KIWE  ARDHINI.  POPOTE  KILIPO, WEWE  WAKIONA  NA  UNAYO  MAMLAKA  NA  UWEZO  WA  KUKIVUTA  NA KUKILETA  MAHALI  HAPA  NA  KUKIFANYA  VILE  UTAKAVYO. SASA  BASI  TUNATEGA  UCHAWI  HAPA  KATIKA  NJIA  PANDA  HII  TUKUFU TUKIWA  TUMEMKUSUDIA   FULANI  BIN FULANI, APATE  MATATIZO  WAKATI  WA  KUJIFUNGUA.  KAMA  YUPO  MASHARIKI, BASI  TUNAMVUTA  HAPA  NJIA  PANDA,HAPA  NDIO KATIKATI  NA  HAPA  NDIO  MAKUTANO ” ( Wakati  anasema  hivyo  anakuwa  anachora  kwa  kutumia  fimbo  ya  mkomoro  kwa  kufuata  uelekeo   wa msahariki ),

“ KAMA  YUPO  MAGHARIBI  TUNAMVUTA  HADI  HAPA  NJIA  PANDA, KAMA  YUPO  KUSINI  TUNAMVUTA  HADI  HAPA, KAMA  YUPO  MASHARIKI, TUNAMVUTA  HADI HAPA  NJIA  PANDA”

Baada   ya  hapo, hufanyika  masuala  mengine  ya  kikonikoni au  ya  kichawi.  Basi  unaambiwa  uchawi  huu  utamfuata  na  kumdhuru  mkusudiwa  mahali  popote  alipo. Kitakacho weza  kumuokoa  ni  eidha  awe  na  kinga  kubwa dhidi  ya  uchawi  huo  au  awe  Mcha  Mungu.

Kinga  ya jadi kwa  wanawake  wajawazito  zipo za  aina  nyingi.

 Katika  kitabu  hiki  nitaelezea  moja. Kwanza  anapewa  kinga  ya mwili  ambayo  watu wote  hupewa  lakini  pili, anachanjiwa  dawa  maalumu  ya  kuhakikisha  anajifungua  salama  na  mimba  haitoki.

Tiba  hii  inawasaidia  sana  hata  wale  wanawake  wenye  tatizo  la  mimba  kutoka  mara  kwa  mara.

Unachukua  dawa inaitwa  kishinda  wachawi, unasaga  pamoja  na  dawa  ya  mfalme  wa  pori,  mti  mkuu  pamoja  na  shanga  saba  nyeusi,  halafu  unatafuta  nge  saba  wenye  mimba.

Vitu  vyote  hivi  vinasagwa  pamoja  na  hiyo  dawa  na  kisha  mwanamke mwenye  shida  ya  kuchoropoka  mimba.

Akidaka  ujauzito  tu, unamchukua  unamchanja  kwenye  kinena  na  kiunoni.   Mimba  haiwezi kuchoropoka.
Atajifungua  salama  bila tatizo  lolote.

Katika  viumbe  wote  wa  Mwenyezi Mungu. Ni nge  pekee  ndio  kiumbe  ambae  akipata  ujauzito  wake  hauwezi  kutoka  hata  kitokee  kitu  gani…

Maadui  wakishindwa kukuroga  kwa  njia  ya  kukutupia  uchawi  basi  watajaribu  kukulisha  sumu  za  kichawi.
Sumu  za  kichawi   ni  mchanganyiko  wa  madawa  ya  kichawi ambayo  mtu hulishwa kwa  lengo  la  kumsababishia  maradhi  ambayo  kwa  kiasi kikubwa  dalili  zake  hufanana na  maradhi  mbalimbali  ya  kibinadamu  kama  vile  ukimwi, matende ,  kifafa  na  magonjwa  ya  akili kwa  kutaja  machache.

 Baada   ya zoezi  hili  kukamilika. Mwenye  kesi  atalala  kilingeni kwa  mganga  halafu  kesho  yake  atarudi  nyumbani.

Siku  moja  kabla  ya  kesi , ataamka  alfajiri  ya  saa  kumi  na  moja. Atafungua  mlango na  kuchukua  dawa ya  kishinda   wachawi kisha   kupuliza  pande  zote nne , huku  akitamka  maneno  maalumu  ya  kiganga  ambayo  ataelekezwa  na  mganga.  Akisha  kamilisha  zoezi  la  kupuliza  dawa  hiyo, atarudi zake chumbani  kulala  hadi  jua  litakapo  chomoza.

Jua  likichomoza  tu. Aamke  aende  kusikiliza  kesi  kama  ni  mahakamani  aende  mahamakani  na  kama  ni  kikao  cha  ofisini  au  kazini  aende  akasikilize kesi  yake  ambako  atakuta  kesi   yote  imekufa.

SEHEMU  YA  PILI  ITAFUATA  KESHO

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) yaifutia leseni na kuifunga benki nyingine

$
0
0
Benki Kuu ya Tanzania imeifungia Mbinga Community Bank PLC, kusitisha shughuli zake zote za kibenki na kufuta leseni yake ya biashara ya kibenk kuanzia leo Alhamisi 12 mei,2017 huku sababu ikitajwa ni ukata uliyoikumba benki hiyo.

Uamuzi wa kuifungia benk hiyo umekuja baada ya Benki kuu ya Tanzania kujiridhisha kuwa Mbinga Community Bank ina upungufu mkubwa wa mtaji na Ukwasi kinyume cha matakwa ya sheria ya mabenki na taasisi za fedha za mwaka 2006 na kanunui zake.

“Upungufu huu wa mtaji na ukwasi unahatarisha usalama wa sekta ya fedha na kwamba kuendelea kutoa huduma za kibenk kunahatarisha usalama wa amana za wateja “– Taarifa kutoka BoT ilieleza.

Taarifa kutoka Benk kuu ya Tanzania imedai kuwa pamoja na kuifungia benk hiyo tayari imekwisha iweka MbingaBank chini ya bodi ya ufilisi na kuteua bodi ya bima ya  Amana kama mfilisi kuanzia leo tarehe 12 .

Aidha, Benki Kuu imeuhakikishia umma kuwa “itaendelea kulinda maslahi ya wenye amana katika mabenki kwa lengo la kuleta ustahimilivu katika sekta ya fedha.”

Benki Kuu ya Tanzania imewataka wenye amana, wadai na wadaiwa wa iliyokuwa Mbinga Community Bank kuwa wavumilivu kwa Mfilisi, wakati muafaka atawafahamisha wenye amana, wadai na wadaiwa utaratibu wa malipo wa madai, ulipaji wa madeni na taratibu nyingine zitakazohitajika kwa mujibu wa sheria.

Benki Kuu ya Tanzania imechukua uamuzi wa kuifunga benki hiyo kwa mujibu wa kifungu cha 56(1) (g), 56(2) (a), (b) na (d), 58(2) (i), 11(3) (j), 61(1) na 41(a) cha Sheria ya mabenki na taasisi za fedha ya mwaka 2006.

Ofisi ya Rais yakanusha taarifa inayosambazwa mitandaoni kuhusu vigezo vya utoaji ajira

Jinsi Dawa ya Mkono wa Mtoto Inavyotengenezwa

$
0
0
Na. DOKTA  MUNGWA  KABILI  ……….. 0744 -000-473
MKONO  WA  MTOTO  a.k.a  PESA  HAIENDI  BURE  ni  dawa  ya  asili inayo  tumika  kwa  ajili  ya  kuongeza  ukubwa  wa  maumbile  ya  kiume . 

Watu  wengi  wanapiga  simu  kuuliza  jinsi  tiba  hii  inavyo  tengenezwa.  Na  ytafuatayo  ni  maelekezo  ya  jinsi  tiba  ya  Mkono  wa  mtoto   inavyo  tengenezwa.

Kutengeneza  tiba  ya  mkono  wa  mtoto, unachukua   dawa  ya   mkono  wa  mtoto  iliyo kaushwa  na  kusagwa  kiasi  cha  vijiko  vinane   vikubwa,  unachukua  dawa  inaitwa  FIL FIL  ABYADH   ya  unga vijiko  vinne  vikubwa , unachukua  dawa  inaitwa   DAARU  FIL FIL   ya  unga  vijiko  vinne  vikubwa, ( kamwe  usichanganye  na  FIL FIL  ASWAD ) .

Baada  ya  hapo   unachukua   dawa  inaitwa   AMBARI  NYEUPE  ORIJINO  YA  BAHARINI  ( HAPA  UNASHAURIWA  UPATE  ILE  AMBARI YA  RUFIJI , BAGAMOYO  AU  PEMBA  na  Usiichanganye  na  ZINDUNA  ( Kwa wasio fahamu  kuhusu  Zinduna, hii Zinduna  ni  dawa  Fulani  hivi  ya  baharini  ambayo  hufanana  na  sandarusi.

Sasa  basi  katika  hii  AMBARI   yako  usiichanganye  na  hii  Zinduna  kama  baadhi  ya  watu  wanavyo  fanya )

Baada  ya  hapo  unazichukua  dawa  zote  hizi  unazipika  kwa  pamoja  kwenye  MAFUTA  YA  MZEITUNI  ORIJINO  (  YALE  YA  HISPANIA )  kiasi  cha  lita  tano  pamoja  na  MAFUTA  YA  MNYONYO.

Pika  hadi  dawa zako zote  hizi  zichanganyikane   na kushikamana  kisha  ipua  na  uhifadhi  kwenye  chombo  kisafi.

Utatumia  kuuchua  uume  wako  mara  mbili   kwa  siku  asubuhi  na  jioni  kwa  muda  wa  siku  thelathini.

Kama  utataka  uongezeke  zaidi  utaongeza  muda  wa  kujichua.

Hii ni tiba  SAHIHI kabisa  na  MUJARABU sana   kwa  wanaume  wenye  tatizo  la  maumbile madogo  na  yaliyo  sinyaa.  

 Inasaidia  kuimarisha  mishipa  ya  uume  na  kuufanya  uume  kuwa  imara  na  wenye  nguvu  pamoja  na  kunenepesha  na  kurefusha  maumbile  ya  kiume.

IMETAYARISHWA  NA  DOKTA  MUNGWA  KABILI….0744 -000-473

www.mungwakabili.blogspot.com

ACT watangaza mrithi wa Kitila Mkumbo

$
0
0
Chama Cha ACT- Wazalendo leo kimemtangaza rasmi Mwanasheria Albert Msando kuwa mrithi wa nafasi ya Mshauri Mkuu wa Chama hicho iliyoachwa wazi na Prof Kitila Mkumbo aliyeteuliwa na Rais Magufuli kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Maji.

Akiongea na waandishi wa habari Kaimu Katibu Mkuu wa chama hicho Dorothy Semu, amesema Kamati Kuu ya Chama hicho ilikutana tarehe 7 Mei na kufanya mabadiliko ya kiuongozi ndani ya chama.

"Kama mnavyofahamu, mnamo tarehe 07 Mei, 2017 Kamati Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo ilikutana katika mkoa wa kichama Kahama na kufanya kikao chake cha kawaida. Katika kikao hicho, pamoja na mambo mengine yaliyojadiliwa na kufikiwa maamuzi, Kamati Kuu ilifanya mabadiliko kadhaa ya safu ya Uongozi wa juu Makao Makuu ikiwemo kuthibitisha uteuzi wa Mshauri wa Chama wa masuala ya kisheria. Lengo kuu la mabadiliko yaliyofanywa na Kamati Kuu ni kuleta ufanisi wa utekelezaji wa kazi na majukumu ya Kamati za kisekta Makao Makuu ya Chama na mikoani" alisema Dorothy Semu

Mbali na hilo Dorothy Semu anasema kwa kauli moja Kamati kuu ilikubaliana na mapendekezo ya kiongozi wa chama.

"Kwa dhamana aliyonayo kikatiba kwa mujibu wa ibara ya 29(25)(vii), Kiongozi wa Chama aliona umuhimu wa Chama kuwa na Mshauri wa Masuala ya Sheria na akapendekeza jina la ndugu Albert Msando kuwa Mshauri wa Chama juu ya mambo ya Sheria na kuliwasilisha mbele ya Kamati Kuu. Kamati Kuu kwa kauli moja ilikubaliana na mapendekezo hayo na ikapitisha uteuzi huo kwa mujibu wa Katiba ibara ya 29(13)(ii). Uteuzi wa Ndugu Msando umeanza rasmi tarehe 08 Mei 2017" alisisitiza Dorothy Semu

Msukuma Awageuzia Kibao Nape Nnauye na Charles Kitwanga........ Adai Hakuna Rais Aliyewahi Tekeleza Ilani Ndani ya Mwaka Mmoja

$
0
0
Wabunge wawili waliokuwa mawaziri katika Serikali ya Awamu ya Tano, Nape Nnauye (Mtama) na Charles Kitwanga (Misungwi) jana waligeuziwa kibao, wakidaiwa kukiuka maadili ya uongozi baada ya kuzungumza kwa hisia dhidi ya bajeti ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji.

Nape alikuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kabla ya kuachwa katika mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri, wakati uteuzi wa Kitwanga ulitenguliwa baada ya kuingia bungeni akiwa amelewa.

Wawili hao juzi walizungumza kwa hisia kuhusu kiwango kidogo cha fedha kilichowekwa wakisema hakiwezi kutatua tatizo la maji katika maeneo yao; Kitwanga akisema yuko tayari kuhamasisha wananchi wake 10,000 kwenda kufunga bomba la maji linalopita eneo lake.

Nape , ambaye pia alionekana kuwa na hisia kali, alisema sera ya Tanzania ya viwanda haitawezekana kama suala la maji halitapewa kipaumbele na kutengewa fedha za kutosha.

Jana, mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Kasheku, maarufu kwa jina la Msukuma, alisema wakati akichangia hoja ya bajeti hiyo kuwa kauli za wawili hao zinaonyesha kuwa kuna haja ya kazi ya uhakiki wa vyeti kufanyika pia kwa mawaziri.

“Kazi zilizoahidiwa katika Ilani ni nyingi si moja. Hizi hela ni nyingi tuunge mkono na wala tusiwasumbue kwa kuzikataa. Tuwape nafasi ili wakafanye kazi,” alisema Msukuma.

“Lakini suala langu, nataka kuwazungumzia wana-CCM wenzangu ambao jana nilisikiliza mchango wa mmoja, Kitwanga analalamika anasema atawamobilize (atawashawishi) wananchi 10,000 wakazime mashine ya maji Iherere.

“Nataka niwaulize nyinyi mawaziri wa Magufuli hivi vile viapo mnavyokula mnajua maana yake? Kama hamvijui basi sina hakika kama mko sawasawa na kama hamko sawasawa, (Waziri wa Elimu, Joyce) Ndalichako hebu pitisha operesheni ya vyeti feki, huenda hapa penyewe kuna feki za kutosha.”

Alihoji sababu za mtu aliyekuwa waziri kusimama bungeni na kusema kuwa alivyokuwa waziri alibanwa kuzungumza.

“Kwahiyo sisi mambo (ambayo) hatuzungumzi kwa kuwasaidia nyinyi tumebanwa na nani? Mnasimama mnasema sasa nazungumza na nakwenda kuwahamsisha wananchi 10,000 wakazime mtambo?” alihoji.

“Hebu ngoja niwakumbushe tukio la mwaka 2014. Wakati Mheshimiwa Kitwanga akiwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini, alikuja Geita . Mimi kama mwenyekiti wa CCM wa mkoa nikawaambia wananchi wasitoke mpaka walipwe na mzungu, yeye akaja akamwambia mkuu wa mkoa hata kama kuna mwenyekiti wapigwe mabomu na kweli kesho yake tulipigwa mabomu.

“Kwa hiyo nataka nimwambie Waziri wa Mambo ya Ndani siku akienda kuunganisha wananchi palepale Misungwi naye apigwe mabomu aonje joto ya jiwe. Haiwezekani waziri uliyekula kiapo, ukitimuliwa unakuja humu kutuchanganya, wakati hatujui mambo mliyokuwa mnazungumza kwenye cabinet (baraza la mawaziri).”

Baadaye alimgeukia Nape.

“Nape ambaye alikuwa mwenezi wangu wa (CCM) Taifa, jana (juzi) alizungumza mambo mazuri lakini kuna moja alisema ‘tusipowatekelezea suala la maji wananchi hawataturudisha tena madarakani’.”

Alisema hilo haliwezekani kwa sababu wananchi wanawategemea kwa mambo mengi na si maji pekee yake na wamewafanyia vizuri.

Alisema ilani hazijaanza kuandikwa katika Serikali ya Awamu ya Tano na suala si kumaliza ahadi zote.

Awali alimpongeza Rais John Magufuli na wizara hiyo kwa kazi aliyoiita kuwa nzuri, akisema ameona mabadiliko makubwa. 

“Mimi niko tofauti kidogo na wabunge wenzangu wanaosema tusipitishe bajeti kwa sababu hela ni ndogo. Binafsi naona hizi hela ni nyingi sana, tatizo ni zitoke zote tofauti na bajeti ya mwaka jana.” 

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma afariki dunia leo

$
0
0
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu amefariki dunia leo saa nne asubuhi katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI)

Mdogo wa marehemu, Shaibu Mwambungu amesema kaka yake alifariki dunia leo asubuhi baada ya hali yake kubadilika ghafla akiwa hospitalini hapo.

Shaib amesema taratibu za mazishi zitatolewa baadaye ambapo kwa sasa anajiandaa kusafiri kutoka Songea kuja jijini Dar es salam kwa ajili ya mazishi.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya May 13

Mmiliki wa Lucky Vicent afikishwa mahakamani na Kusomewa Mashitaka Matano

$
0
0
Mmiliki wa shule ya Lucky Vicent Arusha Innocent Moshi na Makamu Mkuu wa shule Longino Vicent Nkana jana wamefikishwa Mahakamani na kusomewa makosa matano.

Mwendesha mashtaka wa Serikali Rose Sule alisema mnamo May 6 Mmiliki huyo wa shule aliruhusu Dereva kuendesha gari la abiria bila kuwa na leseni ya usafirishaji, kutumia gari bila kuwa na BIMA pamoja na kushindwa kuingia mkataba na Mwajiriwa.

Makosa mengine ni kuzidisha abiria 13 kwenye gari pamoja kaimu mkuu wa chuo kuratibu safari pamoja na kuruhusu gari kuzidisha abiria.

Watuhumiwa wote waliachiwa kwa dhamana na kutakiwa kuwa na watu wawili kwa bondi ya milioni 15 kila mmoja na huku washtakiwa kutoruhusiwa kuondoka ndani ya mkoa ikiwa ni pamoja na kuwasilisha hati zao zakusafiria.

Hakimu wa Mahakama ya hakimu mkazi aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo Desdery Kamugisha aliahirisha kesi hiyo mpaka tarehe 8 mwezi wa 6 kutokana na upelelezi kutokamilika.

Mkuu wa Mkoa aagiza polisi kukagua mabasi ya wanafunzi

$
0
0
Serikali  mkoani Kilimanjaro imeagiza jeshi la polisi mkoani hapa, kufanya ukaguzi maalumu wa magari yanayobeba wanafunzi hususani shule binafsi ili kujiridhisha kama yana sifa ya kufanya kazi hiyo.

Mkuu wa mkoa huo, Saidi Mecki Sadiki alisema hayo wakati wa Kikao cha Ushauri cha Mkoa (RCC) ambacho kilikuwa maalumu kwa suala la hifadhi ya mazingira. 

“Kikosi cha usalama barabarani kiandae mpango wa ukaguzi wa magari ya wanafunzi kila Jumamosi na yale yasiyo na sifa yaondolewe barabarani....hatuwezi kukaa kimya huku tunaendelea kupoteza maisha ya watoto wetu kama ilivyotokea mkoani Arusha” alisema.

Sadiki alisema Serikali ilisikitishwa na vifo vya watu wasio na hatia kwani pia katika ajali hiyo mkoa wake uliguswa kwa kupoteza watoto 14. Alimtaka Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Hamisi Issa kusimamia kikamilifu ukaguzi huo ili kuepuka udanganyifu.

Ajali ya basi la shule Lucky Vicent ilitokea Mei 6, 2017 katika eneo la Rhotia Marera, Wilaya ya Karatu mkoani Arusha na kusababisha vifo vya wanafunzi 32 pamoja na walimu wawili na dereva wa basi hilo.

Jeshi la polisi mkoani Arusha tayari limeeleza chanzo cha ajali kuwa pamoja na mwendo kasi, lakini pia wanafunzi na walimu hawakuwa wamefunga mikanda jambo ambalo lingepunguza athari za ajali. 

Aidha, Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Arusha, Charles Mkumbo alisema pia gari hilo lililokuwa na uwezo wa kubeba watu 30, lilibeba 38 kinyume na uwezo wake
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images