1. MNAMO TAREHE 10, AGOSTI ,2013 MAJIRA YA SAA 8 MCHANA, MAENEO YA SHULE YA MSINGI KIWANJA CHA NDEGE MANISPAA YA MOROGORO, KULIFANYIKA
KONGAMANO LA BARAZA LA EID LILILOANDALIWA NA UMOJA WA WAHADHILI MKOANI
MOROGORO. DAKIKA KUMI KABLA YA KONGAMANO HILO KUMALIZIKA ALIFIKA SHEKHE PONDA ISSA PONDA AMBAYE ALIZUNGUMZA KWA MUDA MFUPI.
2.
KONGAMANO HILO LILIFUNGWA MAJIRA YA SAA
TAMKO LA JESHI LA POLISI KUHUSU SHEIKH PONDA ISSA PONDA
↧
↧
VIDEO YA SHEIKH PONDA ALIPOPELEKWA MUHIMBILI PAMOJA NA PICHA ZA MAJERAHA YAKE
↧
AGNESS MASOGANGE AMPONZA AY NA MWANA FA HUKO AFRIKA KUSINI....
Msanii Madee alivyokuwa airport huko South Africa alipekuliwa sana
kutokana na historia ya kukamatwa kwa watanzania na madawa ya kulevya
kwenye viwanja vya ndege vya huko South Africa.
Tukio hilo limewatokea
Mwana F.A akiwa na swahiba wake A.Y baada ya kufika bondeni kwa ajili ya
show ambapo wamepekuliwa kupita kiasi
Mwana F.A
hali ilimshinda ikabidi aanze ku-share na marafiki
↧
FEZA KESSY AONDOLEWA KATIKA SHINDANO LA BIG BROTHER AFRCA...
↧
DANGURO LA UCHI LAFUMULIWA BUGURUNI DAR..... GHARAMA YA CHUMBA NI 1200/= ....KUMLIPA MALAYA NI 5000 TU.
JUMBA linalodaiwa kutumika kuendesha shughuli za ukahaba limebainika kuwapo katika eneo la Buguruni, jijini Dar es Salaam.Uchunguzi
uliofanywa na Tanzania Daima, umebaini kuwapo kwa jumba ambalo
linatumika kama nyumba ya kulala wageni, ambako idadi kubwa ya makahaba
hujazana na kuendesha biashara ya kuuza miili yao bila
wasiwasi.
Wasichana wanaofanya biashara hizo hutoza kiasi cha sh
↧
↧
MWANAUME AFIA GESTI AKIFANYA MAPENZI NA MPENZI WAKE JIJINI DAR
MFANYABIASHARA wa sokoni Kariakoo jijini Dar ambaye pia ni mkazi
wa Kigogo Flesh, Hamad Kiponda (46), amefia nyumba ya kulala wageni
akiwa na mpenzi wake Latifa Saidi (25).
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi alisema tukio hilo
lilitokea juzi saa saba mchana katika nyumba hiyo iitwayo Sansiro
iliyoko Kiwalani kwa Gude.
Alisema kuwa kutokana na tukio hilo, Latifa
↧
KUTOMFIKISHA KILELENI MPENZI WAKO NI SAWA NA KOSA LA JINAI AMBALO HUKUMU YAKE NI "KUMWAGANA"
Ndoa yoyote ambayo mke au mume hafiki kilele hiki cha Mlima
Kilimanjaro…,hiyo siyo ndoa inayokwenda sawa na kuna madhara makubwa kwa
pande zote, kwa maana ya mwingine kuweza kuamua kutoka.
Ni vizuri walio kwenye ndoa kujifunza namna ya
kupeana raha iwapasayo wanandoa kuipata. Kama unafikiri mkeo unaye kwa
sababu amekuja kutafuta kula au kununuliwa
↧
SAFARI YA FEZA KESSY ILIFIKIA TAMATI JANA USIKU NDANI YA JUMBA LA BIG BROTHER......KARIBU NYUMBANI DADA YETU
Hatimaye safari ya Tanzania katika Big Brother ‘The Chase’ imefikia
tamati jana (August 11) baada ya mshiriki pekee aliyekuwa amesalia Feza
Kessy kutolewa.
Feza ambaye amefanikiwa kudumu kwenye mchezo kwa siku 77 amekuwa
mshiriki wa 20 kuliaga shindano hilo huku Cleo na Dillish waliokuwa
dangerzone wakibaki salama.
Feza aliyekuwa ameshikilia bendera ya Tanzania wakati wa eviction
↧
SHEIKH PONDA AWEKWA CHINI YA ULINZI MKALI WA POLISI.....JUMUIYA YA KIISLAM YATOA MASHARTI KWA SERIKALI
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda
Issa Ponda yupo chini ya ulinzi huku akitibiwa majeraha katika Hospitali
ya Taifa ya Muhimbili.
Sheikh Ponda alisafirishwa usiku wa manane kutoka
Morogoro baada ya juzi kupigwa na kitu kinachodaiwa kuwa ni mtutu wa
bomu saa 12:25 jioni alipokuwa akisindikizwa na wafuasi wake kwenda
katika Msikiti wa Mungu Mmoja Dini Moja
↧
↧
MWANAMKE AMUUA MPENZI WAKE KWA KUMCHOMA MOTO AKIMTUHUMU KUWA NI MWIZI HUKO MPANDA
Mzozo wa wapenzi wawili usiku, umesababisha mmoja wa kike kupiga mayowe
ya kumuita mwenzake mwizi, akavamiwa na watu waliompiga na kumchoma moto
hadi kufa.
Kisa hicho kimetokea mkazi wa Magazini mjini Mpanda mkoani Katavi,
Florence Mabuga (29), ambaye baada ya kuvamiwa na watu akidhaniwa mwizi,
alipigwa na kuuawa na mwili wake kuchomwa moto mbele ya nyumba yake.
↧
"NIKIFA SIHITAJI KAMATI YOYOTE YA KUENDESHA MSIBA WANGU .....KAMA WALIKULA ZA NGWEA, WATASHINDWA NINI KWANGU?".. NAY WA MITEGO
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini Ney wa Mitego, ameweka wazi kuwa
ikitokea amefariki dunia hatohitaji kamati kwa ajili ya kuendesha
mipango ya msiba wake, kwa kile anachodai kuwa kamati hizo zipo kwa
ajili ya kuvuna pesa.Hayo aliweka wazi baada kupokea ujumbe
mfupi kwenye simu yake wenye vitisho uliotokana na mashairi alioimba
kwenye single yake mpya ya 'Salaam zao' .Ujumbe huo wa
↧
"JAPO NILITUHUMIWA KUGAWA PENZI GESTI, LAKINI NIMEPIMA NA SINA UKIMWI.... NANI MJANJA??"...ROSE NDAUKA
Baada ya kukabiliwa na skendo ya kugawa uroda kwa msanii Nasry ndani ya Gesti, Rose ndauka ameamua kukimbilia hospitalini ili kuchukua vipimo vya gonjwa hatari la Ukimwi.....
Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii, Ndauka aliposti picha ya majibu ya vipimo vya UKIMWI vilivyochukuliwa katika hospitali ya TMJ iliyopo jijini Dar es
↧
TCRA YAJIPANGA KUZIFUNGA SIMU ZOTE ZA KICHINA ( SIMU FEKI )
Mamlaka ya mawasiliano nchini, TCRA inaandaa utaratibu wa kufunga
simu zote ambazo hazina viwango vya ubora stahiki kwa lengo la kuzuia
uingizwaji wa bidhaa hizo nchini ambazo zimekuwa zikiuzwa kiholela.
Meneja mawasiliano wa TCRA ‘Innocent Mungy’ amesema mamlaka hiyo kwa
sasa inazunguka nchini kutoa elimu kwa wananchi ili wazitambue simu
mbovu na madhara yake katika mawasiliano
↧
↧
WALTER CHILAMBO AFUNGUKA BAADA YA NAY WA MITEGO KUMTUHUMU KUWA NI MASIKINI WA KUTUPWA
Baada ya maneno na tuhuma nzito za Ney
wa Mitego dhidi ya Mshindi wa Epiq Bongo Star Search mwaka 2012, Walter
Chilambo kuwa huenda amedhulumiwa zawadi yake ya ushindi, Shilingi
Milioni 50 na waratibu wa shindano hilo kwa sababu mpaka sasa yupo
katika maisha duni, Msanii huyu amevunja ukimya na kusema kuwa yeye yupo
vizuri kifedha.
Walter amesema kuwa maneno ya Nay hayana
ukweli
↧
"VIONGOZI WANAOMTETEA SHEIKH PONDA NI WANAFIKI WAKUBWA.....WAKATI ANAHUBIRI UCHOCHEZI MLIKUWA WAPI?"..WILLIAM MALECELA
Hii ni kauli ya mtoto wa kigogo hapa nchini maarufu kwa jina la William Malecela ambayo ameitoa kupitia blog yake akiuelezea mtazamo wake kuhusu Sakata la Ponda kupigwa risasi na polisi....
Malecela ameanza kwa kuuchambua wadhifa wa Sheikh Ponda, huku akikumbushia vurugu za mwembechai na mahubiri ya kichochezi ya Ponda dhidi ya serikali na
↧
TUMEPOTEZA UKURASA WETU WA FACEBOOK....TUNAWAOMBA WASOMAJI WETU WAJIUNGE UPYA ILI WAWEZE KUFURAHIA HABARI MOTOMOTO
Mpendwa msomaji wetu, tunaomba radhi kwa kutukosa katika ukurasa wetu wa facebook ambao uliingiliwa na watu wasio na nia njema.
Tumelazimika kufungua ukurasa mpya ili kurahisisha upatikanaji wa habari zetu kama ilivyokuwa hapo awali....
Hata hivyo, tunapenda kutoa shukra za dhati kwa wasomaji wetu kwa kutuwezesha kushika nafasi ya 5 ya mitandao bora
↧
BAKWATA YATAKA KAMANDA WA POLISI MOROGORO AJIUZULU KUPISHA UCHUNGUZI WA KIPIGO CHA SHEIKH PONDA
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limelaani vikali
tukio la polisi kumjeruhi Katibu wa Jumuiya na Taasisi ya Kiislamu,
Sheikh Issa Ponda na limetaka kuundwa kwa tume huru kuchunguza tukio
hilo huku likimtaka Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Faustine
Shilogile kujiuzulu.
Ponda amelazwa katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili
(Moi), akitibiwa majeraha yanayoaminika kuwa ya risasi
↧
↧
JESHI LA POLISI LATANGAZA DAU LA MILIONI 100 KWA MTU YEYOTE ATAKAYELITAJA KUNDI LINALOMWAGIA WATU TINDIKALI
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limetangaza dau
la Sh100 milioni kwa mtu atakayewezesha kupatikana kwa taarifa za kundi
la uhalifu linalojihusisha na vitendo vya kuwamwagia maji baadhi ya
watu yanayodhaniwa ni tindikali.
Hatua hiyo inatokana na vitendo hivyo kushamiri maeneo mbalimbali nchini.
Kamanda wa Polisi Kanda hiyo, Suleiman
↧
MAZOEZI MATATU YA KUZUIA MATITI YA MWANAMKE YASILALE NA KUWA MALAPA
<!-- adsense -->
Ikiwa wewe umechelewa(ulikuwa hujui hili wakati matiti yako yanaota)
basi msaidie mdogo wako au binti yako anaekuwa hivi sasa, ili asije
kujisikia vibaya pale wanaume watakapokuwa wakiponda matiti kwa
kuyaita "malapa"....
Kwanza kabisa hakikisha mtindo wa kulala ni kifudifudi (kulalia tumbo),
kwa kufanya hivyo kunasaidia kwa kiasi kikuwa kufanya matiti yako
↧
MAISHA YA RAIS KIKWETE YAKO HATARINI....
JENGO la ghorofa 19 lililojengwa karibu na Ikulu ya Dar es Salaam
linadaiwa kuhatarisha maisha ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete, UWAZI
limefuatilia kwa umakini.
Uchunguzi uliofanywa umebaini kuwa, jengo
hilo ni refu sana na waandishi wetu waliingia humo mpaka ghorofa ya 19
kisha kuona ukaribu uliopo na kubaini kwamba ni hatari kwa usalama wa
ikulu na rais mwenyewe.
Baadhi ya wananchi
↧
More Pages to Explore .....