MAUAJI ya wafanyabiashara wakubwa ‘mabilionea’ yameshika kasi nchini
ambapo baada ya tajiri mkubwa Arusha, Erasto Msuya kuuawa kwa risasi
hivi karibuni, Agosti 3, 2013 bilionea Elia Daniel Endeni (49) naye
aliuawa kwa kupigwa risasi nje kwa mwanamke anayedaiwa kuwa ni mke wake
mdogo aitwaye Juliana Labson (28).
Tukio hilo lilijiri siku hiyo saa 2 usiku maeneo ya Temeke Mikoroshini jijini
BILIONEA MWINGINE AUAWA KWA KUPIGWA RISASI JIJINI DAR
↧
↧
DOGO JANJA AMPIGIA MAGOTI MADEE ILI AMRUDISHE TENA TIP TOP CONNECTION
Kuna kila ishara kuwa meli ya Watanashati Entertainment iliyomchukua
Dogo Janja kwa mbwembwe nyingi, inaelekea kuzama na abiria wawili
waliosalia, Dogo Janjaro na PNC wameanza kutafuta maboya haraka
kujihami.
Kwa mujibu wa meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale, Dogo Janja
amekuwa akimpigia simu Madee ili wakae chini waongee kumaliza tofauti
zao na ili arejee Tip Top.
“Unavyomwona
↧
CLINTON AMPONGEZA RAIS KAGAME.....ANADAI KUWA TUHUMA DHIDI YAKE HAZIJATHIBITISHWA MAHAKAMANI
Aliyekuwa rais wa marekani Bill Clinton amempongeza
rais wa Rwanda Paul Kagame kwa mafanikio ya nchi yake licha ya madai kwamba amekuwa akiunga mkono
makundi ya waasi katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambayo
yanakiuka haki za kibinadamu.
Bwana Clinton amesema katika mahojiano na BBC kwamba madai hayo ambayo Rwanda inayakataa hayajathibitishwa mahakamani.
↧
MABINTI WAWILI WAKAMATWA AIRPORT NA MADAWA YA KULEVYA YENYE THAMANI YA BILIONI 2.5
Vitendo vya usafirishaji wa madawa ya kulevya vinazidi kuendelea
duniani na safari hii wasichana wawili wadogo kabisa, mmoja ana umri wa
miaka 19 na mwingine ana umri wa miaka 20 wote wawili wamekamatwa kwenye
airport ya Lima nchini Peru wakijaribu kusafirisha mzigo huo.
Passport
za mabinti hao zinawatamburisha kama raia wa uingereza na huko ndiko
mzigo huo ulikuwa unaelekea.
Baada ya
↧
HAYA NDO MAJINA 250 YA WAUZA UNGA NA BANGI NCHINI TANZANIA.
↧
↧
CHID BENZ ASIMULIA JINSI ALIVYOTHIRIWA NA BANGI NA MADAWA YA KULEVYA....ANASEMA HAWEZI KUMALIZA DK 2O BILA KUVUTA
Rapper Chidi Benz leo kwa mdomo wake mwenyewe amekiri kuwa alikuwa
akitumia madawa ya kulevya kwa miaka mingi. Chidi amefunguka leo kwenye
kipindi cha XXL cha Clouds FM.
Alisema japo hakwenda Nairobi kwaajili ya rehab, mazingira
yalimlazimu kutafuta tiba ili aondokane na madhara ya madawa hayo.
Alieleza kuwa alipofika jijini Nairobi alikuwa akitakiwa kufanya show
nyingi na mwandaaji
↧
WANYARWANDA WALIOTIMULIWA TANZANIA WAKIMBILIA UGANDA AMBAKO NAKO WAMEKATALIWA
Wengi
wa wahamiaji haramu waliokuwa mkoani Kagera ambao wengi wao ni wanyarwanda
wamekimbilia Uganda kama wakimbizi lakini makambi ya wakimbizi huko
Uganda yamekataa kuwapokea. Pamoja na serikali ya Rwanda
kupitia ubalozi wake Uganda kufanya jitihada ya kutaka kuwarudisha
Rwanda lakini wakimbizi hao wamegoma kurudi kwao kwa hofu ya kuuawa wakirudi Rwanda....
Source: jamii
↧
CCM YAFUKUZA MADIWANI 8 WA MANISPAA YA BUKOBA
Chama
Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kagera, leo kimewafukuza madiwani 8 wa
Manispaa ya Bukoba kupitia chama hicho na kufutwa nyadhifa zao za
udiwani kutokana na mgogoro uliokuwa ukiendelea
Waliofukuzwa ni:
Richard Gaspar (Miembeni )
Murungi Kichwabuta (Viti maalum)
Alexander Ngalinda ambaye pia ni Naibu Meya (Buhembe)
Yusuf Ngaiza ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa wilaya (Kashai)
↧
"NITAENDELEA KUTETEA HAKI ZA WAISLAMU NA SITARUDI NYUMA NA RISASI ZAO HAZITANINYAMAZISHA".....SHEIKH PONDA
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh
Ponda Issa Ponda amesema alichanganyikiwa kiasi cha kushindwa kujielewa
kwa muda baada ya kupigwa risasi.
Akizungumza
katika mahojiano maalumu na Mwananchi kwenye wodi binafsi ya Taasisi ya
Tiba ya Mifupa Muhimbili (Moi) alikolazwa jana, Sheikh Ponda alisema
kutokana na hali hiyo hakumbuki matukio yaliyofuata baada ya hapo.
↧
↧
MWANAFUNZI ATEKWA HUKO MOSHI NA KUFANYISHWA NGONO KWA SIKU NNE
MWANAFUNZI wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari
Marangu inayomilikiwa na kanisa Katoliki jimbo la Moshi, (jina
limehifadhiwa) alitekwa na kukufungiwa kwenye hoteli moja ya kitalii
mjini hapa na kufanyiwa vitendo vya ngono kwa muda wa siku nne
mfululizo.
Mwanafunzi huyo anadaiwa kutekwa Agosti 6 mwaka huu na kijana mmoja
(jina linahifadhiwa) mfanyakazi wa kampuni ya
↧
RAIS KIKWETE AKUTANA NA "WAVUTA BANGI WASTAAFU" IKULU...... AMEITAKA JAMII ISHIRIKI VITA DHIDI YA MADAWA YA KULEVYA
RAIS Jakaya Kikwete ameiagiza Wizara ya
Afya kupitia kitengo cha magonjwa ya akili pamoja na Tume ya Kuratibu
Udhibiti wa Dawa za Kulevya nchini kushirikiana na Kituo cha Ushauri
Nasaha cha Pili Misana Foundation, ambacho kinawasaidia waathirika wa
madawa ya kulevya ili kiweze kuwahudumia watu wengi zaidi hapa nchini.
Taarifa ya Ikulu kwa vyombo vya habari
imesema kuwa Rais Kikwete alitoa
↧
DAKTARI AMTANDIKA NGUMI MGONJWA BAADA YA KUPISHANA KAULI....
Daktari mmoja nchini Urusi, Andrey Votyakov (bingwa katika fani ya
usingizi) mapema mwezi uliopita alitimuliwa kazi baada ya video ya
chumba cha upasuaji inayorekodi matukio (surveillance camera) kuoneshwa
hadharani ambapo daktari huyo alionekana akilumbana na mgonjwa
aliyefungwa kitandani na baadaye kumshushia makonde usoni na kifuani,
upande wa kushoto.Mgonjwa huyo aliyekuwa katika
↧
MTU NA MDOGO WAKE WAOANA JIJINI DAR ....POLISI WAINGILIA KATI NA KUDAI KWAMBA SHERIA HAIRUHUSU
Kaka mtu akitiwa mbaroni
MWANAFUNZI wa kidato cha pili jina kapuni (16), amejikuta akiozeshwa na
wazazi wake kwa mwanaume aliyetambulika kwa jina la Kaizilege Jabiri
(31) ambaye ni mtoto wa mama yake mkubwa...
Tukio hilo lilitokea Juni 14, mwaka huu jijini Dar nyumbani
kwao Mlandizi, Bagamoyo, Pwani ambako mwanaume huyo alifunga ndoa na
binti huyo na kurejea naye nyumbani kwake, Ubungo
↧
↧
NAPE NNAUYE AAGIZA MADIWANI WALIOFUKUZWA HUKO BUKOBA WARUDISHWE KAZINI HARAKA
Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Kagera jana
tarehe 13/08/2013 katika kikao chake cha siku moja kilichofanyika mjini
Bukoba imetangaza uamuzi wake wa kuwafutia dhamana ya CCM hivyo kuwavua
Udiwani Madiwani wanane wa Manispaa ya Bukoba waliotokana na CCM.
Kwa mujibu wa utaratibu wa kutoa adhabu kwa viongozi wa CCM walio
kwenye vyombo vya dola hasa Wabunge na Madiwani uamuzi wa
↧
REFA APIGWA MPAKA KUTOA MAVI HUKO SUMBAWANGA BAADA YA KUTUHUMIWA KUIPENDELEA TIMU YA MUCHIZA FC
Mwamuzi na wachezaji
watatu wa timu ya Serengeti SC ya wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa
wamelazwa kwenye kituo cha Afya cha Laela baada kushambuliwa na kwa
kupigwa sehemu mbalimbali za mwili katika mchezo wa Ligi ya ujirani
mwema.Mchezo huo uliofanyika katika uwanja wa shule ya msingi
Kisalala kata ya Laela, ulitamatia dakika ya 75 baada ya kundi la
mashabiki wa Serengeti FC kuanza
↧
SHEIKH PONDA ASOMEWA MASHITAKA YA UCHOCHEZI AKIWA HOSPITALINI
Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za
Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda amesomewa mashitaka ya
uchochezi na Mwanasheria wa serikali, akiwa wodini MOI anapoendelea
kupata matibabu.
Sheikh Ponda arijeruhiwa Jumamosi iliyopita akiwa
katika mhadhara wa Kiislamu huko mkoani Morogoro.
Baada ya kujeruhiwa
Ponda alilazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili kabla ya kuhamishiwa
katika
↧
VIDEO YA UTUPU YA MSHIRIKI WA BIG BROTHER TOKA NIGERIA YANASWA.....WADAU WADAI NI TAMBIKO
<!-- adsense -->
Hivi unaweza kuamini mshiriki huyu ameweka rekodi ya BBA house
baada ya kutokuwa nominated kwenye jumba la BBA tangu mashindano yaanze.
Baadhi ya wadau wameanza kudai kuwa mwanadada huyo anatumia KIZIZI cha kingeria huku wakizihusisha video zake za utupu ndani ya jumba hilo kuwa ni tambiko tosha la kumfanya asiguswe
Hapa namzungumzia Beverly,
↧
↧
PICHA ZA MAPOKEZI YA FEZA KESSY UWANJA WA NDEGE DAR
Mwakilishi wa Tanzania katika jumba la
Big Brother 'The Chase' aliyetolewa Jumapili Agosti 11 Feza Kessy
amewasili leo jioni Tanzania katika uwanja wa kimataifa wa Mwl J.K
Nyerere jijini Dar es Salaam. Katika mapokezi watu mbalimbali
walijitokeza kumpokea Feza Kessy akiwemo Vanessa Mdee,Mama mzazi wa Feza
kessy,ndugu jamaa na marafiki pamoja na Meneja wa Uhusiano wa
↧
HAYA NDO MASHITAKA ALIYOSOMEWA SHEIKH PONDA AKIWA HOSPITALINI
KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda
Issa Ponda (54), amesomewa shtaka akiwa kitandani katika Kitengo cha
Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Upasuaji wa Mishipa ya Fahamu (MOI).
Katika shtaka hilo, Ponda anadaiwa kuwahamasisha wafuasi wake kufanya kosa.
Mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kisutu, Hellen Riwa, Mwendesha
Mashtaka wa Serikali, Tumaini Kweka,
↧
HAWEZI " KU SEX " MPAKA ASHIKILIE NA MKONO.......HUU NDO UFUMBUZI WA TATIZO
Mimi ni msichana nimewahi kuwa na rafiki wa kiume hapo nyuma, huyo kaka alikua tu kama rafikiyangu baadae ikatoke tukapendana na kuwa mtu na girlfriend wake I mean tulianza kutoka kama wapenzi.
Huyo mwanaume alikua yuko nice ingawa baadae tulikuja tukaachana. Tatizo la huyo mwanaume ni wakati wa kufanya mapenzi.
Tulikua tukifanya romance , tukiwa tunajiandaa kufanya mapenzi alikua
↧
More Pages to Explore .....