Jeshi la Polisi limekanusha madai ya polisi wa wilaya ya Bunda, wanaodai kulazimishwa kuchangia fedha kwa ajili
ya mafuta ya kusafirisha mwili wa mwenzao aliyefariki dunia katika
Hospitali ya rufaa Bugando kwenda nyumbani kwao katika wilaya ya Mahenge
mkoani Morogoro.
Jeshi limetoa kauli hiyo baada ya kuwapo malalamiko katika Kituo
Kikuu cha Polisi cha Wilaya ya Bunda,
Polisi wakanusha madai ya askari wao
↧
↧
Picha Za Mkutano Wa CHADEMA Uliofanyika Jana Tanganyika Packers Kawe Jijini Dar
Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMA Mh.Freeman Mbowe akihutubia
maelfu ya wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja
vya Tanganyika Parkers Jana, ambapo pia alizindua kitabu cha Mbunge wa
jimbo la Kawe Mh. Halima Mdee.
Mh Freeman Mbowe, Halima Mdee na John Mnyika wakizindua kitabu cha Mbunge wa Kawe Mh Halima Mdee
Gwajima akiwa na baadhi ya viongozi wa
↧
Sakata la Picha Za UCHI......Shilole Awaomba Radhi Wanawake Kwa Kuwadhalilisha
Baada ya wiki kadhaa
kupita tangu picha zake zisambae zikimuonesha gauni likiwa limevuka
nakuachia maziwa wazi, staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’
ameibuka na kuwaomba radhi kinamama wote.
Shilole
amesema kuwa anajua kwamba kitendo hicho kimewakwaza wengi na
hakukusudia kufanya jambo kama lile.
“Nimejifunza mengi na naendelea
tena kuomba msamaha kuwa tatizo hili
↧
CHADEMA yalia na sheria inayominya uhuru wa Habari
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka watanzania
kuipinga na kutoikubali sheria ya mpya iliyopitishwa ya takwimu kwa
madai kwamba sheria hiyo inalenga kuzuia uhuru wa vyombo vya habari na
kuwanyima watanzania haki na uhuru wa kupata habari.
Akihutubia hivi karibuni mjini Bukoba katibu mkuu wa chama cha
demokrasia na maendeleo Chadema Dk. Wilibroad Slaa alisema
↧
Jokate Amtolea Uvivu Diamond Baada Ya Kumuita MAKOMBO
Sexy lady anayefanya poa na ngoma yake ya Leo Leo, Jokate Mwegelo
‘Kidoti’, amemlipua aliyewahi kuwa mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond
Platnumz’ ambaye hivi karibuni alimwita makombo baada ya kusikia kwa
sasa anatoka kimalovee na msanii Ali Kiba.
Akizungumza na gazeti la Ijumaa Wikienda,, Jokate alisema alishangazwa na maneno hayo ambayo
hakustahili kuyatamka kwani kama ni ishu ya
↧
↧
Frola Mbasha Ajiunga CHADEMA
MWIMBAJI maarufu wa nyimbo za injili nchini, Frola Mbasha ameijunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Tanganyika
Packers mjini Dar es Salaam jana, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee
(Chadema), alisema kuijunga kwa Mbasha katika chama hicho kutasaidia
kuhamasisha wasanii wengine ambao wamekuwa wakitumiwa na Chama
↧
TAFRANI BURUNDI: Hofu yatanda kuuawa kiongozi wa upinzani
Huku Serikali ikikanusha kuhusika katika mauaji ya kiongozi wa upinzani
wa Burundi, baadhi ya makundi ya kisiasa yameanza kuingiwa na wasiwasi
kuhusiana na hatima ya kisiasa ya nchi hiyo, wiki moja baada ya Rais
Pierre Nkurunziza kusogeza mbele tarehe uchaguzi wa wabunge.
Aliyeuawa ni Zedi Feruzi, aliyekuwa mkuu wa Chama
cha Umoja wa Amani na Demokrasia (UPD). Aliuawa mwishoni mwa
↧
Madiwani Walia Na Ndoa FEKI Za Walimu......Wadai Upungufu Wa Walimu Vijijini Unasababishwa Na Walimu Wa Kike Kughushi Vyeti Vya Ndoa
BAADHI ya Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga, wamesema tatizo la upungufu wa walimu kwenye shule za msingi zilizopo vijijini kunachangiwa na walimu hasa wa kike kutaka kufundisha mjini.
Walisema baadhi ya walimu wa kike wamekuwa wakighushi vyeti vya ndoa ili kuonesha wameolewa na kuwafuata waume zao mijini jambo linalozorotesha jitihada za Serikali kumaliza tatizo
↧
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa Ratiba rasmi kuelekea Uchaguzi Mkuu Mwaka huu. Kampeni zitaanza Agosti 22 na Upigaji Kura kufanyika Oktoba 25.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa ratiba rasmi kwa vyama vya Siasa na wananchi wote itakayotumika katika Uchaguzi Mkuu wa Serikali unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyosainiwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji wa Rufaa (Mst.) Damian Lubuva imesema kuwa kwa Mamlaka waliyopewa kwa mujibu wa vifungu vya 35B(1), (3) (a), 37 (1) (a) na 46 (1) vya Sheria ya
↧
↧
Edward Lowassa Aongea na Vyombo vya Habari LEO....... Adai hahusiki na Kashfa ya Richmond, Hana Mpango wa Kuhama CCM na Yupo Tayari Kupima Afya
Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa leo amefanya mkutano maalum nyumbani kwake mjini Dodoma na wahariri wakuu wa vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini. Katika mkutano huo kwa ufupi Lowassa amesema yafuatayo;
1. Amesema Hahusiki lolote na sakata la Richmond na ndio sababu hata kamati ya Mwakyembe haikuona sababu ya kumhoji.
Amesisitiza kuwa cheo cha uwaziri mkuu ndio
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 26 May 2015
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 26 May 2015
↧
Rais Kikwete Ateua Mkuu wa Wilaya mmoja, ahamisha Wengine 10
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Anthony Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa, mkoa wa Dodoma.
Aidha, Rais Kikwete amefanya uhamisho wa wakuu 10 wa Wilaya kwa nia
ya kuongeza ufanisi katika uongozi wa wilaya mbalimbali nchini.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Kurugenzi ya Mawasiliano ya
Rais, Ikulu kwa vyombo vya habari, katika mabadiliko hayo, Kikwete
amemhamisha Luteni
↧
BVR Kigoma yalalamikiwa......Wananchi Walala Kituoni Kujiandikisha
Zoezi la uandikishaji wapiga kura kwa kutumia mfumo mpya wa
kielektoronik BVR umelalamikiwa na wananchi katika manispaa ya Kigoma
Ujiji kutokana na kuchelewa kuandikishwa licha ya wananchi kulala kwa
zaidi ya siku mbili katika vituo vya kuandikishia.
Zoezi
la uandikishaji wapiga kura kwa kutumia mfumo huo limeanza katika kata
za Kagera, Buhanda, Businde, Machinjioni, Rubuga na
↧
↧
Mbio za Urais Za Benard Membe Zitaanzia Kijijini Kwake......Asema Wakati Ukifika Atachukua FOMU.
Siku mbili baada makada waliokuwa wamefungiwa
kwa makosa ya kukiuka kanuni za CCM kuachiwa huru, Waziri wa Mambo ya
Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe ameeleza nia yake kuwa
wakati ukifika atachukua fomu kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa
mwaka huu.
Membe alibainisha nia hiyo kwa mara ya kwanza juzi
usiku wakati akihojiwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC1) na
↧
Rais Kikwete Awatolea Uvivu Vijana wa CCM.....Awataka Waache Ukuwadi
RAIS Jakaya Kikwete, amesema Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umegeuka kuwa jukwaa la watu wanaotaka kugombea urais kwa kuwa makuwadi, mawakala wa kuhonga fedha vijana wenzao badala ya kufanya mijadala ya kukijenga chama.
Alisema lazima vijana wa UVCCM wawe wapiganaji, wapambanaji na wanaharakati wa kukiimarisha chama kwani hatima ya CCM iko mikononi mwao.
Rais Kikwete
↧
K-Lynn azungumzia maisha yake kama mama, kwanini hawezi kurudi kwenye muziki na kazi ya interior design
Ni nadra sana kukutana na Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi maarufu kama
K-Lynn lakini kupitia tuzo za watu tulifanikiwa kupiga story mbili tatu.
K-Lynn ameiambia Bongo5 kuwa maisha akiwa kama mama watoto wawili mapacha yamekuwa ya aina yake na anayafurahia kila sekunde.
“Nimejifunza kuwa mvumilivu, nimejifunza upendo ambao sijawahi
kujisikia kabla. Jinsi unavyompenda mtoto ni tofauti
↧
Keisha naye kuwania ubunge mwaka huu?
Mzuka wa siasa unazidi kuwaingia wasanii wengi wa muziki nchini. Keisha ni mmoja wao.
Akizungumza na Mpekuzi, Keisha amesema naye pia ana mpango wa kuingia
rasmi kwenye kuwania nafasi ya uongozi wa kisiasa japo inaweza isiwe
mwaka huu.
“Napenda sana harakati za siasa, nimeshawahi kufikiria lakini bado
sikupata jibu sahihi,” amesema.
“Kwahiyo sasa hivi siwezi kusema nipo
↧
↧
Filamu ya Van Vicker na Wema Sepetu ‘Day After Death’ kuzinduliwa September, Dar
Filamu ya Wema Sepetu na muigizaji wa Ghana, Van Vicker ‘Day After
Death’ inatarajiwa kuzinduliwa September mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Wema ameiambia Mpekuzi kuwa Van Vicker atakaa kwa wiki mbili zaidi
kwaajili ya kufanya filamu nyingi na muigizaji huyo
aliyeibuka na tuzo ya muigizaji wa kike anayependwa kwenye tuzo za watu
zilizotolewa Ijumaa iliyopita.
“Tunaplan kuilaunch
↧
Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO
Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa
mbalimbali za asili.
Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa
tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha kabisa tatizo
la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Dawa hii iitwayo
JIKO ni ya asili kabisa (PURE HERBAL) na inaponyesha na
kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume
↧
Maelezo Ya KINA Ya Edward Lowassa Kuhusiana Na Sakata La Richmond, Afya Yake, Utajiri Wake Na Kwa Nini Alikuwa Kimya Kwa Miaka Yote 7
Hatimaye Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, jana alivunja ukimya wa
muda mrefu alipofanya mahojiano ya ana kwa ana na wahariri wa vyombo
mbalimbali vya habari.
Katika mkutano huo,Lowassa aliitumia nafasi hiyo kutangaza msimamo wake wa siasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Lowassa aliitumia fursa ya mahojiano hayo, yaliyofanyika nyumbani kwake
eneo la Area C mjini hapa, kuwaeleza
↧
More Pages to Explore .....