Tarehe 13/01/2015 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa
chini ya uongozi wa Mwenyekiti wake wa Taifa Dr. Jakaya Mrisho Kikwete
ilifanya kikao chake cha kawaida cha siku moja Kisiwandui Mjini
Zanzibar. Pamoja na mambo mengine baadhi ya mambo yaliyojadiliwa na
Kamati Kuu ni pamoja na:-
1. SAKATA LA AKAUNTI YA ESCROW
Chama Cha
Mapinduzi kimesikitishwa sana na sakata hili.
Maazimio ya Kamati kuu CCM kwenye Kikao Z’bar haya hapa, Escrow, ishu ya Urais 2015 vimejadiliwa
↧
↧
Wanafunzi 84 UDOM Watiwa Mbaroni
Wanafunzi 84 wa Chuo Kikuu UDOM wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani chuoni hapo.
Wanafunzi hao walikamatwa wakifanya maandamano kutoka chuoni hapo kuelekea katika ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma mjini majira ya saa kumi na moja alfajiri.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, David Misime alisema wahusika wa vurugu hizo ni wanafunzi
↧
Sakata la Escrow: Vigogo Wawili Wapandishwa Kizimbani, Tibaijuka, Regemalila nao kupanda kortini.....Wengine 10 waandaliwa mashitaka yao
SAKATA la uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya
Tegeta Escrow, limeanza kuchukua sura mpya baada ya Taasisi ya Kupambana
na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kuwafikisha mahakamani vigogo wawili wa
Serikali.
Vigogo hao, waliofikishwa Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam jana,
ni Mhandisi Mkuu wa Mradi wa Umeme Vijijini (REA), Theophillo Bwakea na
Mkurugenzi wa Huduma za
↧
Msafara wa Waziri Muhongo wazomewa Kahama......Wananchi Wapaza Sauti wakidai...."Mwiziiiii....Mwiziiii"
WAZIRI wa nishati na madini Mhe. Sospeter Muhongo amejikuta katika
wakati mgumu na msafara wake baada ya kuzomewa na wananchi wa soko la
wakulima katikati ya mji wa Kahama wakati akitokea kwenye ziara yake
vijijini wilayani Kahama mkoani Shinyanga.
Tukio
hilo limetokea hivi karibuni wakati waziri huyo na msafara wake
wakitokea kata ya Bulungwa kwenye jimbo la Kahama kuelekea kata
↧
Kesi ya Chid Benz Yapigwa Kalenda hadi January 21 Mawaka huu
KESI
inayomkabili mwanamuziki wa Hip hop nchini, Rashid Makwiro ’Chid Benz’,
imeahirishwa tena leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar
es Salaam mpaka Januari 21, mwaka huu.
Mwanamuziki
huyo anakabiliwa na kesi ya kukamatwa na madawa ya kulevya katika
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar wakati akisafiri
kuelekea mkoani Mbeya kwa ajili ya kutumbuiza
↧
↧
"Kuwazuia Waganga wa JADI sio suluhu ya Mauaji ya Albino" -Kowo
Mwenyekiti wa chama cha watu wenye ulemavu wa ngozi (TAS) mkoani Dodoma,
Ludovick Kowo amesema kitendo cha serikali kupiga marufuku waganga wa
kienyeji wanaopiga ramli ili kuepusha mauaji ya albino nchini ni fedheha
kwa jamii hiyo.
Kowo
alitoa kauli hiyo leo mjini hapa wakati akizungumza na Mwandishi wetu kuhusiana na kauli ya serikali ya kuwapiga marufuku wapiga ramli
nchini ili
↧
Bilion 1.7 zatafunwa Dar es salaam
Kamati ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa (LAAC) imebaini ufisadi
wa zaidi ya shilingi Bilioni 1.7 katika jiji la Dar es Salaam na
kuiagiza TAMISEMI kufuatilia kashfa hiyo.
LAAC
imebaini ufisadi wa zaidi ya shilingi bilioni moja nukta saba katika
jiji la Dar es Salaam na kuiagiza wizara ya tawala za mikoa na serikali
za mitaa (TAMISEMI) kufuatilia kashfa hiyo na kuwachukulia
↧
Mfanyabiashara auawa kwa risasi Bunda
Mfanyabiashara wa kuuza samaki, Mkome Marwa (39) wa mtaa wa Nyasura
wilayani Bunda, ameuawa na watu wasiojulikana baada ya kupigwa risasi
njiani akiwa na mke wake, huku mwingine akijeruhiwa katika matukio
mawili tofauti wilaya humo.
Kamanda
wa polisi mkoa wa Mara, Phillipo Kalangi, amesema tukio la kwanza
limetokea Januari 12 mwaka huu, saa 3 usiku, eneo la Nyasura wakati
Marwa
↧
Rais Kikwete ahudhuria sherehe za kuapishwa Rais wa Msumbiji
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete amewasili Maputo, mji mkuu wa Mozambique, usiku
wa Jumatano, Januari 14, 2015, kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais
mpya wa nchi hiyo, Mheshimiwa Filipe Jacinto Nyusi.
Sherehe zinafanyika Independence Square, mjini Maputo leo, Alhamisi,
Januari 15, 2015. Mheshimiwa Nyusi anakuwa Rais wa nne wa Mozambique
tokea uhuru wa nchi hiyo mwaka 1975.
↧
↧
Miili ya waliofukiwa kifusi mgodini yaopolewa
Hatimaye wachimbaji wote watatu waliokufa kwa kufukiwa na kifusi cha
jabali katika mgodi wa dhahabu wa Onesmo Goldmine Mawemeru uliopo
katika kijiji cha Nyalugusu Wilayani Geita imeopolewa jana usiku baada
ya juhudi za siku nne.
Hatua
hiyo imedaiwa ni matokeo ya ushirikiano na mshikamano mkubwa
uliooneshwa katika kutekeleza zoezi hilo kati ya Uongozi wa Mgodi huo,
wadau na
↧
"Panya Road" 119 waachiwa kwa kukosekana ushahidi 959 wafikishwa mahakamani
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam limewaachia huru
vijana 119 wanaodaiwa kujihusisha na vitendo vya kihalifu maarufu kama
‘panya road’ baada ya kukosekana kwa ushahidi wa kutosha.
Kamanda wa kanda hiyo, Kamishna Suleiman Kova
amesema vijana hao walianza kukamatwa Januari 3 mwaka huu na hadi sasa
wamekamatwa watuhumiwa 1,508.
Kamanda Kova amesema watuhumiwa 119
↧
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma akerwa na tabia ya wananchi wa mkoa huo kujigeuza "Omba Omba"
MKUU wa mkoa wa Dodoma Chiku Gallawa ametaka wananchi wa mkoa wa Dodoma kuachana na tabia yenye aibu ya kuomba chakula wakati wana fursa za kuzalisha chakula cha kutosha, kujikimu mwaka mzima na ziada kuifanyia biashara.
Alitoa kauli hiyo mwanzoni mwa wiki wilayani Kondoa wakati alipokuwa akizindua msimu wa kilimo mwaka 2015 kwa mkoa wa Dodoma.
Aliwataka wananchi kutambua msimu wa
↧
Walinzi wavunja ofisi waiba fedha, bunduki
POLISI mkoa wa Shinyanga inawasaka walinzi wawili wa Kampuni ya Prosper Security Guard wakituhumiwa kuvunja ofisi ya Jambo Oil Mill and Ginnery Limited kisha kuiba fedha Sh milioni 1.07 na kutoweka na bunduki mbili aina ya Shot gun na risasi saba.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha alisema tukio hilo ni la Januari 9, mwaka huu saa 1 asubuhi katika eneo la mtaa wa
↧
↧
Wafanyakazi TAZARA Wasota Mahakamani kusubiri Hukumu
Sakata la mgomo wa wafanyakazi 1,500 wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), ulioingia katika siku ya sita, limechukua sura mpya baada ya wafanyakazi hao waliofunguliwa kesi katika Mahakama ya Kazi, kusota kwa siku nzima wakisubiri hukumu yao.
Kesi hiyo ilianza kusikilizwa na Jaji Iman Aboud wa mahakama hiyo saa 3:30 asubuhi hadi 6 mchana jana na kisha kuaihirishwa hadi saa 8
↧
Kinana awataka wazanzibari kuikubali Katiba
Watanzania wametakiwa kuisoma na kuielewa vyema Katiba Inayopendekezwa
na Bunge Maalumu la Katiba na muda ukifika kuipigia kura ya ndiyo kwani
imebeba mambo mengi yenye manufaa kwa wananchi wa pande zote mbili za
muungano.
Katibu
mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Abdulrahman Kinana ametoa rai hiyo
kwenye wilaya ya mjini, wakati wa siku ya kwanza ya ziara yake ya siku
kumi kwenye
↧
Mwanamke auawa kwa kukatwa mapanga
MKAZI wa mtaa wa Kitwana kata ya Busoka wilayani Kahama mkoani Shinyanga
Regina Shija (55) ameuawa kwa kukatwakatwa mapanga kichwani na watu
wasiojulikana kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa Kimapenzi.
Afisa
mtendaji wa Mtaa huo, Bw. Rafael Jumanne amesema kuwa tukio
hilo limetokea juzi majira ya saa 5.00 usiku ambao watu wasiofahamika
walivamia nyumbani kwa Regina akiwa anajiandaa
↧
"Kuweni makini na wanaotangaza urais mapema"- Askofu
ASKOFU
wa Kanisa la Tanzania Field Evangilism (TFE) la Mjini Shinyanga, Edsoni
Mombeki amewatahadharisha wananchi kuwa makini na viongozi wanaotangaza
nia mapema ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kwa
kuhofia kupata viongozi wasio na sifa ambao baadaye wanaweza kuiyumbisha
nchi.
Ametoa tahadhari hiyo kanisani kwake, wakati akifunga maombi ya siku
tatu ya kuliombea
↧
↧
Kanisa Lachomwa Moto Mkoani Kigoma.......Mali zote zateketea
Watu wasiojulikana wamelichoma moto na kuliteketeza Kanisa la Evangelical Assemblies of God wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma na kuteketekeza kila kitu kilichokuwemo ndani ya kanisa hilo.
Mkuu wa Wilaya ya Kibondo, Venance Mwamoto amesema kuwa tukio hilo la mwanzoni mwa wiki hii, limeacha athari kubwa za mali na kwamba hakuna mtu yeyote ambaye amepata madhara kuhusiana na uharibifu.
↧
Vinara wa Maandamano UDOM Watimuliwa......Waziri mkuu ( Mwakibinga ) Kafukuzwa Moja kwa moja
Wanafunzi watatu ambao wanatuhumiwa kuwa vinara wa maandamano ya wanafunzi wa programu maalumu ya walimu wa sayansi Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wameachishwa masomo.
Wakati mmoja wao akiwa amefukuzwa moja kwa moja, wawili wengine wana nafasi ya kujieleza kuhusika kwao na maandamano hayo, yaliyochafua hali ya hewa na kusababisha wanafunzi 84 kutiwa mbaroni.
Makamu Mkuu wa chuo hicho,
↧
Bei za Petroli na Dizeli Kushuka zaidi March Mwaka huu
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imebainisha kuwa hadi kufikia Machi mwaka huu, bei ya mafuta nchini itaendelea kushuka kulingana na kushuka kwa bei ya mafuta katika soko la dunia.
Hata hivyo, mamlaka hiyo imeonya kuwa bei hiyo ya mafuta nchini haitaweza kupungua kwa kiasi kikubwa, kutokana na kushuka kwa thamani ya Shilingi dhidi ya dola ya Marekani pamoja na kutokubadilika
↧
More Pages to Explore .....