Mvutano kati ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji
Frederick Werema na Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David
Kafulila umechukua sura mpya baada ya mwanasheria huyo kugoma
kupatanishwa huku akitishia ‘kumshughulikia’ mbunge huyo.
Ugomvi baina yao uliendelea jana asubuhi nje ya
Ukumbi wa Bunge muda mfupi baada ya Naibu Spika, Job Ndugai kuahirisha
kikao cha Bunge hadi
Ugomvi wa Jaji Werema na Kafulila wachukua sura mpya baada ya wawili hao kukataa kupatanishwa.....Kafulila aliitwa TUMBILI, Werema akaitwa MWIZI
↧
↧
Mzee wa kanisa Aumbuka baada ya kufumaniwa Gesti na kibinti kidogo kilicho chini ya miaka 18
Mzee wa kanisa la kiroho (jina linahifadhiwa kwa sasa), aliyetajwa
kwa jina la Luca Pesa, mkazi wa Segerea, Dar, ameaibika baada ya
kukurupushwa kwenye nyumba ya kulala wageni (gesti) akidaiwa kutaka
kuvunja amri ya sita na binti ambaye ni msanii chipukizi wa filamu za
Kibongo, Debora Jacob.
Tukio hilo ambalo kamwe Luca hawezi kulisahahu
maishani mwake, lilijiri kwenye gesti hiyo
↧
Amina Maige akana Shitaka la kumchoma Pasi na Kumng'ata Mfanyakazi wake wa ndani ( Hausigeli) .....Anyimwa dhamana, arudishwa rumande
Mkazi wa Mwananyamala, Amina Maige(42)
anayetuhumiwa kumng'ata mfanyakazi wake wa ndani, amepandishwa
kizimbani kusomewa maelezo ya awali baada ya upelelezi wa kesi hiyo
kukamilika.
Amina alisomewa maelezo hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni mbele ya Hakimu Yohana Yongolo.
Wakili
wa Serikali Tumaini Msikwa alidai kati ya Januari na Juni mwaka huu,
maeneo ya
↧
Video ya Mdogomdogo..... Diamond aongeza swagga za farasi na watoto wa kizungu
Kila jua linapochomoza, hitmaker wa ‘My Number One’ huwa na jambo la
kuwafanya mashabiki wamzungumzie na ndio maana kila siku Diamond amekuwa
kwenye headlines mbalimbali.
Akiwa na video aliyomshirikisha Iyanya
kibindoni, staa huyo amekuwa akipost picha zinazomuonesha akiwa msituni
na msichana wa kizungu pamoja na farasi huku akiwa amevaa kitamaduni
kama askari wa enzi za kabla ya
↧
Mwanamke aliyeasi dini ya kiislamu na kuolewa na Mkristo aachiwa huru tena......Azidi kusisitiza kuwa yeye ni Mkristo
Mwanamke wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa madai ya kuasi dini ya kiislam ameachiliwa huru baada ya kushikiliwa kwa mara ya pili.
Meriam Ibrahimu alikwenda katika ubalozi wa Marekani uliopo mji Mkuu wa Khartoum. Mumewe ana asili ya Sudan Kusini lakini kwa sasa ni raia wa Marekani.
Mwanamke huyo aliachiliwa baada ya kuhukumiwa
adhabu ya kifo siku ya jumatatu lakini alishikiliwa tena na
↧
↧
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini awavaa Zitto na Kafulila......Adai ni WASHENZI na wala Rushwa, Asisitiza Kafulila ni TUMBILI tu
SAKATA linalohusu kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), limechukua sura mpya baada ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliakim Maswi, kuwashambulia kwa maneno makali, wabunge wawili Zitto Kabwe wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA) na David Kafulila wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi).
FikraPevu ilikuwapo wakati Maswi akitumia maneno makali kwa kuyarudia,
↧
Baraza la Mitihani labadili mfumo wa kupanga madaraja ya Ufaulu....Matokeo ya MOCK sasa kujumlishwa katika mtihani wa kidato cha nne na sita
Matokeo ya Mtihani wa Majaribio (Mock) kwa mtihani wa Kidato cha Nne
mwaka huu na Kidato cha Sita mwakani, yatachangia alama 10 za Alama
Edelevu (CA).
Kwa utaratibu huu, matokeo ya mwisho ya mtahiniwa,
yatatokana na asilimia 30 ya Alama Endelevu na asilimia 70 ni mchango wa
Alama za Mtihani wa Taifa.
Asilimia 30 za Alama Endelevu, zitapatikana kutokana na mitihani
mbalimbali. Kwa
↧
Watu watatu wafariki dunia, kumi wajeruhiwa katika Ajali Ya Noah mkoani Singida
Watu watatu wamekufa na wengine kumi wamejeruhiwa baada ya gari
walilokuwa wakisafiria aina ya Noah kupasuka tairi ya nyuma na
kubiringita mara tatu katika kijiji cha Januka manispaa ya Singida.
Akithibitisha kutokea kwa vifo hivyo, mganga
mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Singida daktari Deogratias Banubasi
amesema wamepokea maiti mbili wakiwa wamesha fariki eneo la tukio
akiwemo
↧
Snura Majanga Alia na Rushwa ya Ngono.....
Msanii wa muziki na filamu Snura Mushi amebainisha kuwa rushwa ya ngono kwa wanawake ni kikwazo kikubwa kinachowakwamisha wanawake kutimiza ndoto zao...
Snura aliamua kungukia suala hilo ili kuwatetea wanawake wanaoombwa rushwa ya ngono ili kupewa kazi, kwa kusema ni kitendo cha kinyama kwani wengi wanakuwa ombaomba kwa sababu tayari wamekosa
↧
↧
Lulu Michael: Sina muda wa kumbembeleza Mwanaume coz wanaonitongoza kwa siku ni wengi hata siwezi kuwahesabu.
Wakati wanawake wengine wakionekana kubembeleza penzi na kujinyenyekeza kwa wapenzi wao ili wasiachike, Lulu Michael anasema hana muda huo kwani uzuri wake unatosha kuwavuta wanaume wa kila aina kutoka katika kila kona ya Tanzania.....
Lulu amedai kuwa inawezekana mwanaume wa kwanza kwake ndo chaguo lake namba moja, lakini suala la kuanza
↧
Msanii Amini aanika Siri ya kufunga Ndoa ya fasta fasta.....Abadili Jina kutimiza masharti ya Kinyota
Mwanamuziki zao la nyumba ya kukuza vipaji Tanzania
‘THT’, Amini Mwinyimkuu amefunguka kuwa, aliamua kufunga ndoa ya fasta
ili kuuwahi mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Akizungumza na mwanahabari wetu, Amini ambaye amemuoa binti
aitwaye Farida Bashiri alisema ilikuwa vigumu kufanya sherehe kubwa
kwani lengo lilikuwa ni kumuingiza ndani haraka mke huyo ili amuandalie
futari pia.
“Ni
↧
Hakika Uzee Mwisho Chalinze.....Mzee Magali Aukana UZEE, Asema bado ana nguvu kama za miaka 20 iliyopita
Msanii wa filamu anayeweza kushika kipande chochote na kufanya vizuri, Charles Magali maarufu kama Mzee Magali amesema yeye si mzee bali anatumia jina hilo kwenye sanaa na bado ana nguvu kama za miaka 20 iliyopita.....
Alisema kuwa wapo vijana ambao wanaonekana ni wabichi lakini hawana nguvu kama zake, hivyo hawawezi kujifananisha naye hata kidogo,
↧
Mungu hashindwi: Hatimaye Flora Mbasha na mumewe wapatana....... Mwanasheria asimamia kila kitu, vigogo nao waingilia kati sakata hilo
Hakuna neno zuri la kusema zaidi ya Mungu mkubwa. Ule mtafaruku ndani ya ndoa ya mwimba Injili mahiri Bongo, Flora na
mumewe, Emmanuel Mbasha umedaiwa kumalizika kwa wawili hao kupatana.
Kwa mujibu wa chanzo cha uhakika, wawili hao walikalishwa kikao cha upatanishi mapema wiki hii kilichokuwa chini ya familia.
MANENO YA CHANZO
“Kikao cha familia kilikaa, Mbasha aliitwa
akafika,
↧
↧
Mtoto wa miaka 13 aikoa Nigeria Kulipuliwa na bomu kubwa
Siku chache baada ya kutokea shambulizi kubwa la bomu katika
soko kubwa ‘Mall’ jijini Abuja, Nigeria mtoto mwenye umri wa miaka 13
amesaidia kuwaokoa raia wa Nigeria kushambuliwa na bomu kubwa baada ya
kulishitukia na kutoa taarifa polisi.
Kwa mujibu wa msemaji wa polisi wa Kano, aliyejitambulisha kwa jina
la Magaji Majiya, mtoto huyo wa kiume alipata mashaka baada ya kuona
gari
↧
Boko Haram waanza kuadhibiwa Kichawi......Nyoka wa Ajabu na Nyuki Wawatoa Msituni
Wanajeshi wa Boko Haram wanaofanya mashambulizi na kuua raia wasio na
hatia huko Nigeria wamedaiwa kuanza kukimbia msitu baada ya nyoka wenye
sumu kali na nyuki kuwashambulia.
Habari hizi zilielezwa na mtuhumiwa mmoja aliyekamatwa na kuthibitisha
kuwa ni mmoja wa member wa kundi la Boko Haram na alieleza kuwa hivi
sasa kundi hilo limelazimika kuhama msitu na linaelekea maeneo ya mpaka
↧
Mauaji yaelekezwa CCM......Mwenyekiti wa CCM kata ya Busambala Butiama auawa kinyama
Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wamemuua kinyama kwa kupiga
risasi moja ya kichwani mwenyekiti wa chama cha mapinduzi kata ya
Busambala wilayani Butiama mkoani Mara Bw Willison Opio mwenye umri wa
miaka 60 huku kichwa chake kikisambaratishwa kabisa na risasi hiyo.
Mauaji hayo ya kinyama yamefanyika saa saba usiku wa kuamkia jana,baada ya majambazi hayo kuvunja milango ya
↧
Mahari yazua balaa msibani.....Baba wa mtoto azuiwa kuzika, ngumi zafumuka.....Kaburi lafukiwa, mwili warudishwa Mochwari
FAMILIA mbili mjini Mpanda zimejikuta zikiingia katika uhasama mkubwa, kiasi cha kupigana fimbo na ngumi makaburini katika ugomvi wa kugombea kuzika mwili wa mtoto mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu.
Sababu kubwa ya mpasuko huo imeelezwa kuwa ni mahari, kwani wazazi wa upande wa mama wa mtoto huyo walikuja juu na kumzuia baba wa mtoto, Joseph Bacho mkazi wa Mtaa wa Kawajense- Madukani
↧
↧
Huyu ndo Mshindi wa tuzo ya BET iliyokuwa inawaniwa na Diamond Platnumz pia.
Hii ilikua siku nyingine muhimu kwa Tanzania na Africa kwa ujumla
ambapo yalikua yanasubiriwa matokeo ya tuzo ya BET sanasana kipengele
wanachowania tuzo wasanii wa Afrika akiwemo Diamond Platnumz.
Davido kutoka Nigeria ndio amethibitisha kuwa mshindi wa tuzo hii
ambapo kupitia page yake ya Instagram amewashukuru mashabiki na kuelezea
furaha yake.
Tuzo hii ilikua inawaniwa na
↧
Maneno zaidi ya 60 aliyoyatoa Diamond baada ya tuzo ya BET aliyokuwa akiwania kuchukuliwa na Davido wa Nigeria
Baada ya mshindi wa tuzo ya BET 2014 kwa wasanii wa Afrika kutangazwa
kuwa Davido wa Nigeria, staa kutoka Tanzania Diamond Platnumz aliyekua
anawania pia tuzo hiyo ameandika ya moyoni kwa watu wake.
"Tusipopenda kukubali matokeo na ushindi wa wenzetu basi daima
hatutaweza kuwa washindani, muhimu ni kujua wapi tulipotoka na wapi
tulipo leo.
"Katika nchi zaidi ya 20 zenye wasanii
↧
Magazeti ya leo Jumatatu ya tarehe 30 Juni 2014
↧
More Pages to Explore .....