Taasisi ya RafikiElimu
Foundation kupitia MRADI WA
WANAWAKE SALAMA TANZANIA
inatangaza nafasi za
mafunzo ya UANDAAJI
NA UTENGENEZAJI WA
VYAKULA-LISHE MAALUMU KWA
WAGONJWA NA WENYE MATATIZO MBALIMBALI
YA KIAFYA.
Wahitimu wa
mafunzo haya watapata
nafasi ya kufanya
kazi kama waandaji
na watayarishaji wa
Vyakula –Lishe katika MRADI
WA WANAWAKE
Tangazo la Nafasi za Mafunzo na Kazi toka RafikiElimu Foundation.....Ada ya mafunzo ni BURE.
↧
↧
Pongezi kubwa kwa Jeshi la Polisi: Majambazi mawili Yauawa Geita baada ya kuua Mfanyabiashara.....Yalikuwa ni mapambano ya kufa na kupona
Watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wakiwa na bunduki aina ya SMG na bastola waliokuwa wakitumia pikipiki aina ya Sanlg yenye namba T460 CVQ wamevamia duka la Mpesa na kumuua mfanyabiashara Gosbert Kulwa(59) mkazi wa Tambukaleli mjini Geita.
Kamanda wa polisi mkoani Geita Joseph Konyo amesema tukio hilo limetokea jana majira ya saa 11.30 jioni katika eneo la benki ya NMB ambapo
↧
Mahakama ya Malaysia yazuia kanisa katoliki kutumia neno 'Allah' kumaanisha Mungu
Mahakama ya juu zaidi nchini Malaysia imelikataa ombi la
kanisa katoliki nchini humo kubadili msimamo wake ili liweze kutumia
neno ‘Allah’ kumaanisha Mungu kwa lugha ya kiarabu.
Hata hivyo baada ya mahakama hiyo kutoa amri yake, serikali ya nchi
hiyo ilitoa tamko lake kwa vyombo vya habari Jumatatu wiki hii ikieleza
kuwa amri hiyo ya mahakama itatumika tu kwenye magazeti ya kanisa
↧
Nando atangaza kuacha kutumia dawa za kulevya (unga)....Asema bado anatumia Bangi kwa hivi sasa japo amepunguza kidogo
Mshiriki wa shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’, Ammy Nando
ameweka wazi kuwa alikuwa mmoja kati ya waathirika wa dawa za kulevya.
Akiongea katika kipindi cha Hatua Tatu ha 100.5 Times Fm, Nando
amesema alikuwa anatumia dawa hizo za kulevya kwa muda mrefu na kwamba
hadi leno ni wiki ya 16 tangu afanye uamuzi wa kuacha.
Akizungumzia sababu zilizompelekea kutumia dawa za
↧
Kimenuka CHADEMA: Tazama Picha 7 za Wanachama wa chama hicho wakiandamana na Mabango kupeleka barua kwa Mkaguzi wa Hesabu za Serikali [CAG] na msajiri wa vyama vya siasa.
Ikiwa ni siku ya tatu tangu katibu wa Chadema mkoa wa Tabora kwa niaba
ya wajumbe 82 kwa pamoja kuzungumzia
maswala mbali mbali waliyosema yanatishia ustawi wa chadema, leo wameenda
kwa msajiri wa vyama pamoja na mkaguzi wa mahesabu ya serikali CAG.
Mapema
leo wamekwenda kwenye ofisi ya msajiri wa vyama vya siasa na kukabidhi
barua yenye malalaiko mbali mbali juu ya walichokisema
↧
↧
Magazeti ya Leo Alhamisi ya tarehe 26 Juni 2014
↧
Jaji Werema amfananisha Mbunge Kafulila na TUMBILI.....Tafrani yaibuka, Mawaziri waokoa Jahazi
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, ameteleza ulimi tena na mara hii amejikuta akimuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) tumbili.
Kabla ya kutoa kauli hiyo, Werema alikuwa akitoa ufafanuzi wa mwongozo ulioombwa na Kafulila, kuhusu fedha zilizokuwa katika akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ambazo zimelipwa kwa kampuni ya PAP,
↧
Team Wema, Team Kajala Kuvunjwa.....Yadaiwa ndo chanzo cha Ugomvi wa Wema Sepetu na Kajala.
Makundi mawili hasim ya wasanii wa filamu Bongo, Wema Sepetu na Kajala Masanja yajulikanayo kama 'Wema Team' na 'Kajala Team' yanatarajiwa kuvunjwa kwani ndio yameonekana kuchochea bifu la wawili hao ambalo limekuwa likionekana kuisha na kuibuka tena....
Akizungumza na mwanahabari wetu, Kajala amesema kuwa tatizo lao limekuwa likichochewa na
↧
JWTZ kuanika tena zana zake za Kivita jijini Dar katika kongamano kubwa la kijeshi....Kampuni 32 zinazozalisha na kuuza silaha za kivita zitashiriki kongamano hilo
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatarajiwa kufanya maonesho ya zana zake za kivita zinazotumiwa na askari wa nchi kavu kuanzia Julai 14 hadi 16, mwaka huu wakati wa kongamano kubwa la kijeshi ambapo ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 tangu kuanzishwa kwa jeshi hilo nchini.
Kampuni zaidi ya 30 zinazotengeneza silaha na vifaa vya kijeshi
kutoka ndani na nje ya nchi
↧
↧
Lulu Michael, Tumuamini nani?......Kwa hili nakuona haupo Serious
Alisema eti aachwe kwanza, eti baada ya ule mkasa hataki kabisa kusikia habari za mapenzi.Amini usiamini , haukupita muda mrefu skendo za mapenzi zikaanza kuvuma tena.
Tukaanza kusikia habari za kina fulani zikihusishwa na yeye.Alianza yule jamaa handsome asiyekuwa na jina kubwa.Bila kujulikana alipotokea akaibuka na kusema alikuwa na
↧
Diana Kimaro akimbilia Shule, Amuacha Lulu akipigika mtaani.
Baada ya kuwa marafiki kwa muda mrefu, Diana ameamua kumwacha mwenzake Lulu kwenye mitaa akipiga misele na yeye kukimbilia shule kuendelea na kidato cha tano.....
Diana amesema kuwa asingeweza kuishi maisha ya anasa na umaarufu bila shule, hivyo anaamini baada ya elimu nzuri hata sanaa atakayokuwa anaifanya itakuwa tofauti na ile ya wengine
↧
Mtuhumiwa wa Wizi wa Pikipiki aokolewa na Askari Polisi Moshi
Askari polisi wa kituo kikuu
cha Polisi cha kati akiwa amemshikilia kijana mmoja baada ya kumuokoa
toka mikononi mwa madereva bodaboda ambao walikwishaanza kujichukulia
sheria mkononi kwa kumuadhibu baada ya kutaka kuiba pikipiki.
Askari
katika ofisi ya kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro walilazimika
kufunga geti kuzuia kundi kubwa la madereva boda boda na watu wengine
wakilazimisha
↧
Taarifa ya Kanusho la kufariki kwa Mbunge Shukuru Kawambwa
Ndg Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba
ya CCM-Bagamoyo na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta
kwenu Masikitiko yetu kwa niaba ya Chama na Familia ya Mheshimiwa Mbunge
Shukuru Jumanne Kawambwa kutokana na Usumbufu ambao umesababishwa na
habari zinazoenezwa Mitandaoni kwamba Mheshimiwa Kawambwa amekumbwa na
Umauti akiwa njiani anaelekea Mwanza.
↧
↧
Uchaguzi Mkuu CUF: Profesa Lipumba na Maalim Seif WAPETA katika nafasi zao za Mwenyekiti Taifa na Katibu mkuu
Mkutano
Mkuu wa CUF Taifa umemchagua tena Katibu Mkuu wa Chama hicho kuendelea
na wadhifa huo kwa kupata kura 675, sawa na asilimia 99.5 ya kura
zilizopigwa.
Mkutano
huo pia umemchagua Prof. Ibrahim Lipumba kuwa Mwenyekiti wa CUF Taifa
kwa kupata kura 659 sawa na asilimia 95.5 na kumshinda mpinzani wake
Chifu Lutalosa Yemba aliyepata kura 30 sawa na asilimia 4 nukta 3.
↧
Cheki hii picha ya Professor Jay akiwa enzi zake za zamani
↧
Hii ndiyo nguo atakayovaa Diamond kwenye red Carpet ya BET Awards
BET Awards zinakaribia kufanyika na Diamond Platinumz anaelekea huko
kwasababu amekuwa nominated kwenye kipengele cha Best African Act.
Diamond atapita kwenye Red Carpet itakayo tumiwa na wasanii mbalimbali
siku ya tukio.
Hii ni sehemu ya nguo ambayo atavaa siku ya tukio na imetengenezwa na
Sheria Ngowi, sehemu moja imeandikwa Mr Diamond Platnumz.
Haya ni
maneno aliyoandika
↧
Majibu Ya Diamond Kwa Wanaodai Aliwaibia Nyimbo Ukiwemo Mdogomdogo alioutoa juzi
Mwanamuziki Diamond amefunguka kuhusu madai ya baadhi ya wasanii kuwa aliwaibia idea au nyimbo zao na kuzifanya zake.
Ameeleza kuwa malalamiko yao hayana ukweli kwa kuwa kuna maneno
ambayo yamezoeleka na yanaweza kutumiwa na watu wote lakini anapoyatumia
hutokea msanii aliyetumia maneno kama yale na kudai kuwa ameiba idea
yake.
Ametoa mfano wa nyimbo kama Moyo Wangu ambao anasema
↧
↧
Sakata la Mwanafunzi wa darasa la Saba aliyebakwa na kulawitiwa na wanaume watatu kwa mpigo mkoani Pwani
Denti mmoja wa kike wa darasa la saba anayesoma katika Shule ya
Msingi Chanzige B iliyopo Kisarawe, Pwani amejikuta katika wakati mgumu
baada ya kulawitiwa na kusababishiwa maumivu makali sehemu zake za siri.
Simulizi ya binti huyo inayouma sana, inaeleza kuwa denti huyo
alifanyiwa unyama huo na vijana watatu ambao bado hawajafahamika majina
yao mara moja lakini amekuwa akimtaja
↧
Serikali yapiga Marufuku tabia ya Trafiki kuvizia magari barabarani kwa kujificha Vichakani
Serikali imepiga marufuku tabia ya askari Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, kuvizia magari katika barabara kuu wakiwa na kifaa cha kupima mwendo kasi wa magari.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Peraira Silima, alisema tabia hiyo ya trafiki ni kinyume cha sheria na zinaweza kusababisha ajali.
Hata hivyo, Silima aliwataka madereva kutii Sheria za Barabarani ikiwemo
↧
Wema Sepetu na Penny Wagongana Studio.....Kila mmoja amkwepa mwenzake
Katika hali isiyotarajiwa, mchumba wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul
‘Diamond’, Wema Sepetu na aliyewahi kuwa mchumba wa msanii huyo, Penniel
Mungilwa ‘Penny’ walikutana studio na kila mmoja akamkwepa mwenzake.
Tukio hilo lilitokea juzikati maeneo ya Posta, jijini Dar katika
Studio za Amaya ambayo ni saluni inayotumika kurekodia vipindi
mbalimbali vya Mkasi vinavyorushwa kupitia Runinga ya
↧
More Pages to Explore .....