Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kakakuona 2: Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume

$
0
0
_________________________
'DAWA BORA YA NGUVU ZA KIUME KAKAKUONA 2''.
_________________________                                     Inakadiriwa 75% ya Wanaume katika Nchi Za Jangwa la Sahara wanakabiliwa na Tatizo la Upungufu wa Nguvu za Kiume. SABABU KUU ni:
 🔖 (i) Mfadhaiko wa Mawazo pindi anapotaka kufanya Tendo la Ndoa hupelekea msukumo wa Damu na Mapigo ya Moyo kwenda Kasi kulingana na Hofu ya Kumudu Tendo la Ndoa/
🔖 (ii) Mwili kupatwa na Magonjwa ya Mara kwa Mara (Body Disorder dieses) kama vile KISUKARI, MAGONJWA YA ZINAA, MALARIA SUGU, BP, VIDONDA VYA TUMBO, BAWASIRI, NGIRI, ( hernia) , Matatizo ya Mgongo na Kiuno/
🔖(iii) Magonjwa Sugu kama Cancer, Kisukari , Bp, Ukimwi, Kifua Kikuu, Tambazi, BAWASIRI na Vidonda Tumbo. Hupelekea kupungua kwa Hormones za vichocheo/
🔖 (Iv) Constipation ni kuaharibika kwa Mfumo wa Ulaji wa Chakuala na Mmeng'enyo wa Chakula Mwilini na kupelekea kupata choo kigumu na Tumbo kuunguruma na kujaa gesi/
📎Hii hupelekea mwanaume kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia Tendo la Ndoa📎
________________________
TIBA YA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME KWA DAWA ZA ASILI.
📍KAKAKUONA 2 Ni dawa ya Bora zaidi inayotibu na kuponya kabisa Tatizo la upungufu wa Nguvu za Kiume , hukufanaya urudie Tendo la Ndoa zaidi ya 4 _kwa siku.
📍Pia KAKAKUONA 1 Hurefusha na Kunenepesha Maumbile ya umme kwa siku 5 tu./
📌Dawa hizi hutumika kwa umri zaidi ya 18 tu.pia Tunatibu Matatizo ya:
🔖Uzazi/,
🔖Muwasho Sehemu Za siri/
🔖Fungus/
🔖Kisukari/
🔖BAWASIRI/
🔖Mgongo/
🔖Kiuno kuuma/
🔖Tumbo kujaa gesi/
🔖Maumivu ya Misuli ,Miguu ,Bp, Mwili kukosa Nguvu nk.
_________________________
Fika kwa KAKAKUONA HERBAL CLINIC.
SIMU NO:
📞0713 29 39 88  na
📞0758 07 82 80
DR THOMAS NAPATIKANA MBAGALA RANGI TATU __________________________

Makamu wa Rais kuanza ziara ya siku tano Tabora

$
0
0
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Hassan Suluhu anatarajia kufanya ziara rasmi ya siku tano kuanzia leo tarehe 21 hadi 26  Februari , 2019 mkoani Tabora.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari ofisini kwake.

Alisema Makamu wa  Rais anatarajiwa kuwasili Mkoani Tabora kupitia Wilaya ya Igunga  ambapo atapata taarifa ya Mkoa na kisha kuongea na watumishi na viongozi mbalimbali.

Mwanri alisema kuwa akiwa wilayani Igunga ataweka jiwe la Msingi katika miradi ya maendeleo ikiwemo maji na afya katika upanuzi wa Kituo cha Afya Simbo na kuwahutubia wananchi.

Aliongeza kuwa kesho yake Februari , 22 Makamu wa Rais atapokea taarifa ya miradi ya Wilaya ya Nzega na kisha ataweka jiwe la Msingi ujenzi wa wodi ya mama na mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Nzega.

Mwanri alisema kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa wodi katika Hospitali ya Wilaya ya Nzega  ataweka jiwe la msingi ujenzi wa kiwanda cha Gesi na baadae atawahutubia wakazi wa Nzega katika Viwanja vya Puge.

Mkuu huyo wa Mkoa alisema siku hiyo hiyo , Makamu wa Rais atawasili wilayani Uyui ambapo atapokea taarifa ya miradi mbalimbali na kisha ataweka jiwe la Msingi ujenzi wa Kituo cha Afya Igalula na baada ya shughuli hiyo Makamu wa Rais atawahutubia wananchi wa Igalula.

Mwanri aliongeza kuwa mnano Februari 23, 2019, Makamu wa Rais atapokea taarifa ya miradi na kuweka jiwe la Msingi la ujenzi wa Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge na kuwahutubia wakazi wa Sikonge mjini katika Viwanja vya TASAF.

Mkuu huyo wa Mkoa alisema kuwa Februari 24, 2019 atapokea taarifa ya miradi na kufungua chumba cha upasuaji katika Kituo cha Afya Kaliua, baada ya hapo ataweka Jiwe la Msingi ujenzi wa wodi ya mama na mtoto katika Hospitali ya Wilaya ya Kaliua na kisha atawahutubia wananchi katika Uwanja wa Kolimba.

Mwanri alisema mchana ataelekea wilayani  Urambo ambapo atapokea taarifa ya miradi na kuweka Jiwe la Msingi la ujenzi wa Kituo cha Afya cha Ussoke Mlimani na kuwahutubia wananchi.

Alisema mnamo Februari 25, 2019, Makamu wa Rais atapokea taarifa ya miradi ikiwemo ya upandaji miti na kuweka jiwe la msingi katika upanuzi wa Kituo cha Afya cha Maili Tano na kuwahutubia wakazi wa Manispaa ya Tabora katika Viwanja vya Chipukizi.

Mkuu huyo wa Mkoa ametoa wito kwa wakazi wote wa Mkoa wa Tabora kujitokeza kwa wingi kumlaki na kumsikiliza na kupokea maagizo ambayo Makamu wa Rais atatupatia kwa ajili ya maendeleo ya Mkoa wao.

Wabunge wawili wa CHADEMA wasakwa na Polisi

$
0
0
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa amesema jeshi hilo linawasaka wabunge wawili wa Chadema, Peter Lijualikali (Kilombero) na Suzan Kiwanga wa Mlimba.

Wabunge hao walikuwa miongoni mwa wanachama 13 wa Chadema walioachiwa huru na mahakama mkoani humo Januari  2019.

Waliachiwa huru kupitia kifungu cha Sheria namba 225 cha mwenendo wa makosa ya jinai baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha mashtaka yaliyokuwa yanawakabili, ikiwa ni pamoja na kuchoma moto ofisi ya Sekondari ya kijiji cha Sofi Wilaya ya Malinyi.

Siku chache baada ya kuachiwa huru, polisi jana  Jumatano Februari 20, 2019 imeeleza kuwa imewakamata wanachama saba kati ya 13.

Akizungumza na waandishi wa habari jana Mutafungwa alisema miongoni mwa wanachama wanaowatafuta ni wabunge wa chama hicho.

Alisema hivi sasa wamejipanga kwa kuwa na ushahidi na vielelezo vya kutosha vya kuwatia hatiani.

Wilaya Ya Dodoma Mjini Yakamilisha Kusaini Ulipaji Wa Fidia Wa Zaidi Ya Shilingi Bilioni 300 Kwa Wananchi Waliopitiwa Na Mradi Wa Umeme Jua

$
0
0
Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.
Mkuu wa wilaya ya Dodoma mjini Mhe.Patrobas Katambi amesema kuwa tayari ofisi yake imeshaidhinisha na kusaini juu ya ulipaji zaidi ya Tsh.Bilioni 300 kwa wananchi wa Michese Dodoma ambao wamepitiwa na mradi mkubwa wa Umeme jua.
 
Akizungumza  na  waandishi wa habari  jijini Dodoma jana   Februari 20,2019  Mhe.Katambi amesema kuwa tayari wananchi wa kijiji cha Michese walishafanyiwa uthamini na nyaraka zote zilishafika ofisini.
 
Aidha Mhe.Katambi amewataka wananchi kuhakiki akaunti zao za kibenki ili kuhakikisha wanalipwa bila dosari yoyote.
 
“Kwa wananchi wa huko Michese ambapo kuna mradi mkubwa wa umeme tayari wananchi wale walishafanyiwa uthamini na nyaraka zao zilishafika kwangu na nilishasaini ”

Katika hatua nyingine Mhe.Katambi amesema kuwa tayari ulipaji wa fidia kwa wananchi wa Chawa umeshaanza ambapo Tsh.Bil.5.7 Zimelipwa na zitafika mpaka  Tsh.Bil.9,kwenye kiwanja cha ndege Tsh.Bil. 3.7 zilishalipwa ,eneo la Mtumba ulipaji ulishaanza  huku  wakala wa majengo Tanzania [TBA ]wako katika mchakato wa kuhakiki  majina kwa watu ambao bado  hawajalipwa.
 
“Ninapozungumza mpaka sasa hivi huko Chawa wananchi wameshaanza kulipwa Bil.5.7  zitafika mpaka bil.9 sidhani kama kuna malalamiko ya ulipaji,ni taarifa tu mnanipa ya kwamba niendee kufuatilia kasi iendelee kwa wale ambao walionekana wanadosari lakini wale ambao hawana dosari ulipaji unafanyika mara moja.”
 
MWISHO.

Kwanini Uhangaike Na Magonjwa Yanayowezekana Kupona?..........Tiba Sahihi Imewasili

$
0
0
Asilimia 60- 80 ya wanaume wameathilika kisaikologia baada ya kujiona wako tofaut na wengine kimaumbile na kupungukiwa nguvu za kiume , mwanaume aliekamilika kimaumbile anatakiwa awe na maumbile yasiyo pungua nchi 6-8 tofautina hapo anaupungufu ,

zipo sababu nyingi zinazosababisha mapungufu hayo ambazo ni :- upigaji wa punyeto ( mastervation) ,ngili,KISUKARI,vidonda vya tumbo,maumivu ya mgongo ama kiuno,unene(kitambi) tumbo kuunguluma na kujaa ges, matatizo haya huchangia kwa kiasi kikubwa sama kukosa nguvu za kiume vilevile maumbile kuwa madogo na kiingia ndani (kunywea)

SUPER KAMULI  :- hii nidawa kiboko kwa matatizo ya nguvu za KIUME,ni dawa ya Asili tuliyo jaaliwa na mwenyezi MUNGU huimarisha misuli ya uume wakati wa tendo la ndoa na kuzalisha viini vya uzazi (manii) vilevile utaludia tendo zaidi ya mara tatu bila ham kuisha pamoja na kuchelewa kufika kilele takiriban dk 20 - 45 kwatendo moja.

GEMBE 2 MIX :- hii nidawa ya Asili Hurefusha na kune nepesha maumbire madogo ya UUME , hurefusha urefu wa nchi (6-8 )na unene wa sm( 3-4) huanza kufanya kazi masaa machache baada ya kuanza kuitumia,( tiba niyakudumu ikishakutibu,

Nina dawa ya kutokomeza KISUKARI na kupona kabisa hata kama kimekusumbua kwa mda mrefu mpaka ukajikatia tamaa  tiba ipo na utatumia vyakula vyote bila tatizo baada ya kupona ,

Pia ninadawa ya Vidonda vya tumbo,Ngiri, miguu kuwaka moto, mvuto wa mapenz ( kumvuta mke /mme/mpenzi/hawara/ama yoyote unaemuhitaji) dawa za biashara, uzazi kwa akina mama na akina baba (pande zote) pata dawa ya bawasili bila kufanyiwa upasuaji,

KWAMAELEZO NA MSAADA WASILIANA NA DR SILIMBA NAPATIKANA DAR ES SALAAM

 SM O620510598 / 0743543944

Nb km huna nafasi huduma hii inakufikia popote ulipo kwaware wa mikoani tunatuma kwa njia ya mabasi

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Magonjwa yanayoababisha Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Ni Kama Vile, Kisukari ,presha, Ngiri Ya Kupanda Na Kushuka, Kiuno, Maumivu Ya Mgongo, Tumbo Kuuma Chini Ya Kitovu, Tumbo Kujaa Gesi. Yote Matatizo Yote Haya husababisha Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Kushindwa Kufanya Kazi Kwa Mwenza Wako  .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa Dar anapatikana mbagala Zakhem.  Songea ,bombambili, Shinyanga, Kahama ,mjini, Kwa ,maelezo, Zaidi , Piga Simu 0763172670/ 0715172670,/ ,Sema ,haloo, Dr Sitta... Wote  mnakalibishwa. 

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Wizara Yatoa Sababu Kondomu Kuadimika Mitaani

$
0
0
Baada ya kuwapo kwa malalamiko ya upungufu wa kondomu katika baadhi ya maeneo nchini, Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Faustine Ndugulile, amesema wana taarifa juu ya suala hilo na kwamba hatua za haraka zimeanza kuchukuliwa.

“Changamoto imetokea, baada ya kubadilisha mfumo uliokuwapo kwa wale wasambazaji wa taasisi binafsi, jukumu hilo limerudi ndani ya wizara, hivyo kuanzia sasa ndiyo itakuwa inasimamia manunuzi, usambazaji wa mipira ya kiume.

“Utaratibu uliokuwapo (awali) kulikuwa na baadhi ya taasisi ambazo zilikuwa zinapewa fedha na kununua mipira kisha kuisambaza kwa bei nafuu, ndiyo maana zilikuwa zinapewa majina mbalimbali kupitia hizo taasisi.

“Utaratibu wetu Serikali tutakuwa tunanunua mipira hiyo na kuigawa kwenye vituo mbalimbali vya kutolea huduma za afya na kwenye jamii

“Hivyo tumelibaini hilo tatizo katika kipindi hiki cha mpito, kwa kushirikiana na wenzetu tutahakikisha tuna kondomu za kutosha ndani ya wiki moja, kuanzia sasa zitakuwa zimeanza kupatikana,” alisema.

Alisema si kweli kwamba zimepanda bei na Serikali itaendelea na utaratibu kuhakikisha zinapatikana za kutosha na kuzisambaza ili watu waendelee kujikinga.

“Taarifa hii kwetu ni nzuri, inaonesha matumizi yapo na mahitaji yapo, tumebaini na tunashughulikia hili,” alisema Dk. Ndugulile.

Baadhi ya maeneo yanayodaiwa kuwa na upungufu huo ni mji wa Njombe.

Njombe ndiyo mkoa wenye kiwango cha juu cha maambukizi ya VVU kwa asilimia 11.4 ukifuatiwa na Iringa wenye asilimia 11.3 kulingana na takwimu za Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania (Tacaids).

Credit: Mtanzania

Rais Yoweri Museveni kugombea tena urais mwaka 2021

$
0
0
Chama tawala cha National Resistance Movement (NRM) nchini Uganda kimemteua Rais Yoweri Kaguta Museveni kuwa mgombea wake wa urais katika uchaguzi wa mwaka 2021.

Hiyo ina maana ya kuwa, kiongozi huyo mwenye miaka 74, na aliyeingia madarakani kwa mtutu wa bunduki mwaka 1986, atagombea urais kwa muhula wa sita. 

NRM kimekubali, katika kikao kilichoongozwa na Museveni jana kuwa aendelee na urais uchaguzi utakapofanyika mwaka 2021.

Miaka ya nyuma, Museveni aliwahi kusema kuwa, viongozi ‘wanaodumu’ madarakani ndio chanzo cha matatizo barani Afrika. 

Hata hivyo, wakati akigombea muhula wa tano wa madaraka mwaka 2016, alisema kuwa huo haukuwa muda muafaka kwake kuondoka madarakani kwani bado alikuwa na kazi ya kufanya.

Ugombea wake katika uchaguzi ujao unakuja baada ya kusaini kuwa sheria muswada ambao uliondoa ukomo wa urais wa miaka 75. 

Hata hivyo, kupitishwa kwa muswada huo bungeni kuligubikwa na vurumai kubwa kutokana na kupingwa na wabunge wa upinzani.

Ilifikia mahala makonde yalirushwa ndani ya Bunge baina ya wabunge wa upinzani na maafisa usalama ambao wanaaminika ni kutoka kikosi cha ulinzi wa rais.

Trump achunguzwa kutaka kuiuzia teknolojia ya nyuklia Saudi Arabia

$
0
0
Wabunge wa Marekani wamesema wanafanya uchuguzi iwapo Rais Donald Trump anajaribu kuuza teknolojia nyeti ya nyuklia kwa Saudi Arabia, ili kuwafurahisha wafuasi wake wafanyabiashara, ambao watafaidika na mpango huo.

Bunge la Marekani tayari limeshafungua uchunguzi dhidi ya pendekezo la utawala wa Trump, la kutaka kujenga vituo kadhaa vya nyuklia nchini humo. 

Mbunge Elijah Cummings, Mwenyekiti wa Kamati ya Halmashauri ya Uangalizi na Mageuzi, ameitaka Ikulu ya Marekani kuwasilisha nyaraka za suala hilo.

Inasemekana kuwa kuna mkutano uliofanyika miezi miwili tu baada ya Trump kuingia madarakani kati ya mkwewe, Jared Kushner, na mwanamfalme Mohammed bin Salman wa Saudi Arabia , muda mchache kabla ya kutangazwa kuwa mrithi wa kiti cha ufalme wa taifa hilo.

Ripoti ya Kamati ya Uangalizi ya Baraza la Wawakilishi imesema mshauri wa zamani wa usalama wa taifa Michael Flynn na wenzake wawili ndio waliopendekeza mpango huo.

Waliuwasilisha kwa Tom Barrack, mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Sherehe ya kuapishwa kwa rais, na muungano wa kampuni za Marekani yakiongozwa na makamanda wa kijeshi waliostaafu na viongozi wa zamani wa Ikulu ya Marekani. 

Juhudi za mpango huo, ripoti imesema zilianza kabla ya Trump kuingia madarakani na kuendelea hadi baada ya kuapishwa kwake Januari 2017, licha ya wafanyakazi wa Baraza la Usalama wa Taifa kuonya kwamba uhamisho wa teknolojia ya nyuklea ya Marekani kwenda Saudi Arabia unaweza kuangaliwa kama uvunjaji wa Sheria ya Nishati ya Atomiki.

Tumia Vunja Kero 3 Power: Dawa Bora Ya Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
VUNJA KERO 3 POWER ni dawa Bora ya vidoge asilia hutibu tatizo la nguvu za kiume na huanza kufanya kazi baada y dk 30 
(1)Huongeza nguvu za kiume Mara dufu 
( 2) Huimarisha misuli ya uume iliyolegea na kusinyaa  pia dawa hii itakufanya ufurahie tendo la ndoa zaidi ya Mara ( 4) nne bila kuchoka
 ( 3) Hunenepesha na kurefusha uume kwa saizi uipendayo kuanzia nchi (6-7) 

Pia dawa hii hutibu maumivu ya mgongo ,kiuno tumbo kujaa gesi na kuunguruma ,kutopata choo vizuri ,ngiri na busha bila kupasuliwa         

Dr saidi anauwezo mkumbwa aliyojaliwa wa kumvuta na kumrudisha mmeo  ama mpenzi wako alikuacha au aliyembali nawe au hakutimizii shida zako

Pia Dr saidi anadawa ya kutibu kisukali,vidonda vya tumbo na miguu kuwaka Moto.  

DR SAID ANAPATIKANA DAR ES SALAAM BUGULUNI ROZANA  KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU NO 0758 199338 Au 0786243789

Tiba ya Tatizo la Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
Tatizo la kukosa au upungufu wa nguvu za kiume limekuwa kubwa sana duniani kote.

Upungufu wa nguvu husababisha tendo la ndoa kutokufanyika kwa kujiamini na kwa usahihi na hivyo kusababisha ndoa na mahusiano kuvunjika.

BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-

☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.

Kwa kutumia mimea na matunda  Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-

1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza  size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=

2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 6 hadi 7  @130,000/=

3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @130,000/=

4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @250,000/=

5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni @130,000/=

BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA NA NI SALAMA KIAFYA

    Wasiliana nasi Popote

  ulipo duniani kwa (+255)

      Whatsap     0653 074067 )

             0752 92 34 61

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

$
0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. 

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari. 

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume. 

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18,Hata wazee wenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 85 wanapona kabisa okoa mahusiano yako, ndoa yako sasa. 

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo nchi 3-8 na unene cm 2-5,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji :Hii ni tiba tofauti kabisa nazile ambazo umekwisha wahi kutumia. 

Pia tunadawa za , Uzazi, Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto, Kaswende, Kisonono pamoja na mvuto wa mpenzi.

 DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Waziri Mkuu Awataka Viongozi wa CCM Wazingatie Katiba ya Chama Katika Kutekeleza Majukumu Yao

$
0
0
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wahakikishe wanatekeleza majukumu yao kwa kuzingatia katiba ya chama ili kuepusha migogoro kwenye maeneo yao.

Amesema chama chochote ambacho viongozi wake hawazingatii katiba lazima kiwe na migogoro kwani uzingatiaji wa katiba ni miongoni mwa mambo yanayokitofautisha Chama Cha Mapinduzi na vyama vingine vya siasa nchini.

Ametoa agizo hilo leo (Alhamisi, Februari 21, 2019) wakati akizungumza na viongozi wa CCM, wabunge pamoja na baadhi ya viongozi wa mkoa wa Kagera kwenye Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Kagera kilichofanyika katika ukumbi wa ELCT.

Waziri Mkuu ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM mkoa wa Kagera amesema ni muhimu kwa viongozi hao kusoma na kuizingatia katiba ya chama kwa sababu inaelekeza misingi yote ya utendaji.

Amewasisitiza wanachama na wapenzi wa CCM wasome katiba ya chama na kuzielewa kanuni, taratibu na sera ili waweze kutekeleza majukumu yao ipasavyo. Akisisitiza jambo hilo Waziri Mkuu amegawa nakala za katiba ya hiyo kwa viongozi hao na kuwataka wazifikishe hadi kwenye ngazi ya mashina.

Kadhalika, Waziri Mkuu amesema utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2015/2020 kwa nchi nzima unaendelea vizuri na kuhusu changamoto zilizopo katika baadhi ya maeneo nchini wanaendelea kuzirekebisha.

Amesema lengo lao ni kuhakikisha wanatekeleza ilani kama CCM ilivyoelekeza na ili kujiridhisha kama wanafanya vizuri lazima viongozi wawasimamie watendaji katika maeneo yao na watakapobaini kasoro wasisite kutoa taarifa.

Waziri Mkuu amesema viongozi chama lazima wajiridhishe kama huduma za maji, elimu, miundombinu ya barabara, kilimo pamoja nishati ya umeme zinapatikana kwenye maeneo yao yote na ni kwa kiasi gani.

(mwisho)
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Bibi Anusurika Kifo Kisa Kuishi Na Wajukuu Wezi....Wananchi Wenye Hasira Kali Wachoma Nyumba Yake

$
0
0
Na Amiri kilagalila
Mkazi wa Iringa kata ya Mwangata mtaa wa Ngelewala aliyefahamika kwa majina ya Agusta Sihava amejikuta katika wakati mgumu na kupelekea kuchomewa nyumba yake anayo ishi na wananchi wenye hasira kali wakimshinikiza kuhama eneo hilo kwasababu anaishi na wajukuu wezi.

Ajuza huyo anayekadiliwa kuwa na umri wa miaka 70 alikumbana na kadhia hiyo ambayo ilimsababishia kupoteza kila kitu na yeye kuponea chupuchupu kuungua na moto baada ya wananchi wenye hasira kali kumtaka ahame eneo hilo vinginevyo atapatwa na mambo mabaya kwasababu ya wajukuu zake.

Aidha wananchi wa mtaa wa Ngelewala walitoa malalamiko yao kuwa wamechoshwa na tabia hizo mbaya kwa maana kila siku wajukuu wa bibi huyo wamekuwa wakiwaibia bila woga wowote .

Mtandao huu umefika mpaka sehemu ya makazi mapya ya bibi huyo ambaye alihamishiwa kwa muda katika nyumba ya Binti yake anayesadikika kuwa ndiye mwenye watoto hao wezi.

Diwani wa kata hiyo ndugu Nguvu Chengula ambaye alijitolea kuezeka na kusakafia nyumba hiyo mpya ya bibi huyo amesema kuwa;

" Huyu bibi anaonewa sana kwa maana hao wajukuu wana wazazi wao ambao ni wazima kabisa lakini wanang'ang'ania kuishi huku ili wawe huru kufanya uhalifu na wazazi wao wanawaangalia  na hawajali kabisa hali hii ambayo kimsingi ni malezi mabovu ya watoto wao"*alisema Nguvu Chengula

Aidha bibi huyo alitolea malalamiko yake kwa watoto wake na wajukuu zake kuwa ndio wanataka kumuua kwasababu ya kufanya uhalifu na kurudi kujificha nyumbani kwake.

"Hawa mabinti zangu hawana shida kabisa ya kuja na kuchukua watoto wao hapa, wameniachia mzigo mkubwa na ukiangalia uwezo wangu kuwatunza ni mgumu kwasababu siwez hata kushika jembe nikalima"alisema bibi Agusta Sihava

Diwani alitoa rai kwa wananchi kuacha tabia ya kuwaachia wajukuu wazee Kwasababu mara nyingi wamekuwa wakishindwa kuwadhibiti wajukuu na hata kuwafanya wawe na uhuru mkubwa wa kufanya chochote wanachokitaka hususani mambo ya uvunjifu wa sheria.

"Hawa bibi zetu wasiachiwe mzigo wa malezi kwasababu hawana uwezo  mkubwa wa kuwadhibiti vijana kimalezi, wazazi ambao tupo hapa tuache hii tabia ya kutua mzigo wa malezi kwa wazee wetu" alisema diwani huyo

Chengula alijitolea bati na mafundi wa kuezeka haraka nyumba hiyo na kukamilika pamoja na kumuwezesha bibi huyo vifaa vya kulalia na pesa ya chakula.

"Jamii yoyote lazima ijivunie uwepo wa kiongozi katika eneo husika,  kiongozi lazima usaidie watu wako na uwe mstari wa mbele kutatua matatizo ya wananchi wako usiku na mchana, Ukiwa kiongozi mzigo basi kubali kudharauliwa na waliokuamini na kukutuma uwe mwakilishi wao"alisema mh Nguvu Chengula.

Diwani huyo yupo tayari kumsaidia ujenzi wa nyumba nyingine kubwa na ya kisasa ili mradi aoneshwe kiwanja.

Je Kwanini Baadhi Ya Wanaume Wengi Wana Ukosefu Ama Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
JE KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UKOSEFU AMA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO ???

Pata sululisho la matatizo haya na  magonjwa mengine utapona kwa mda mfupi sana hatakama ulihangaika mpaka ukakata tamaaa 

GALIMBO 3 MIX  ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa aina mbili ili kukidhi mahitaji ya mtumiaji, imetengenezwa kwa muundo wa vidonge pamoja na unga kwaajili ya kuponesha tatizo moja kwa moja , huimalisha misuli ya uume iliyolegea wakato wa tendo la mdoa ,na kukufanya ucherewe kufika kileleni kwa mda wa dk ( 20 - 45 ) itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu nira hamu kuisha wara kuhisi kuchoka vilivile huzalisha viini vya uzazi ( manii ) 

YOLAN  hurefusha na kunenepesha  maumbile madogo ya uume na kuwa na uume kuanzia nchi (6-8) tiba kwa mda mfupi sana

Zipo sananu nyingi sana zinazosababisha matatizo hayo  km vile -:punyeto, kisukali,ngili,chango,vidonda vya tumbo,  tumbo kuunguluma na kujaa gesi maumivu ya mgongo ama kiume ,kolodani moja kuvimba ama kuingia ndani  presha nk 

Matatizo haya yote sio mageni, kigeni ni tiba sahihi ya kuponesha matatizo hayo

SUPER MBUKE -:  nidawa ya kuponesha tatizo la kisukali kwa mda mfupi sana , usihangaike wara kuteseka tumia dawa ya mitishamba kwaajili ya tatizo hili na upone kabisa

NTINJIWA  nidawa ya mvuto wa biashara,kazi, kupandishwa cheo,kumfanya mfanyakazi apendwe na bos wake

Pia ninadawa za kumvuta mme , mke,mchumba,hawara, au mtu yoyote unaemuhitaji katika maisha yako hata km yupo mbali na atatulia na kukutimizia cjovjote utakacho na kumfunga asiwe na mtu mwingime ,

Pata tiba za magonjwa mbalimbali ikiwemo miguu kuwaka moto, mgongo,bawasili ,kaswende ,gono na mengine mengi

KWAUSHAULI NA TIBA WASILIANA NA DR CHIKAGO    0759 208 637

Km huna nafasi ya kufika ofisini hudumahii utaletewa hapo ulipo , kwa wale wa mikoani natuma kwanjia ya basi

Magonjwa 8 Yanayoshambulia KUKU Pamoja na Tiba Zake

$
0
0
Hivi Karibuni tuliona namna unavyoweza kuwa milionea kupitia ufugaji wa kuku. Tulisimulia namna unavyoweza anza na mtaji wa 250,000 tu na ndani ya miaka miwili tukaona unavyoweza  kujipatia milioni 390 kupitia ufugaji wa kuku wa kienyeji.

Leo tutazungumzia magonjwa yote yanayosumbua kuku ili sasa uyajue na ukabiliane nayo na hatimaye uweze kutimiza ndoto zako za kuwa milionea.

 1.Rangi ya kinyesi
==>>Mharo mweupe(pullorum bacilary diarrhoea)
ugonjwa huu huathiri zaidi vifaranga kabla ya wiki nne
huharisha mharo mweupe,

Tiba
Usafi  kwenye banda na kuepusha maji yasimwagike ovyo

2.Kipindupindu cha kuku(fowl cholera)
-Kinyesi cha kuku ni njano
-Tumia dawa za salfa, eg Esb3 au amprollium

3.Coccidiuosis
mwanzo kinyesi cha kijivu na baadae huharisha damu iliyochanganyika. Tumia dawa ya VITACOX au ANTICOX

4.Mdondo(Newcastle)
-kuku hunya kinyesi cha kijani (NB; sio kila kijani ni newcastle)
-HAKUNA TIBA. (Kuku wapewe  chanjo  tangu  vifaranga wa  umri wa  siku 3,  baada ya  wiki 3  – 4,  na baadaye  kila baada  ya miezi 3)

5.Typhoid
-Kinyesi cheupe
-kinagandia sehemu za nyuma au hulowana sehemu za haja
-dawa ni Eb3

6.Gumboro
-Huathiri zaidi vifaranga
-kinyesi huwa ni majimaji
-Dawa hakuna, tumia vitamini na antibiotic

7.Kideri
Ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ambao hushambulia aina zote za spishi za ndege, ijapokuwa kuku ndio aina inayoathirika zaidi

Dalili
•Vifo vya ghafla bila kuonesha dallili zote
•Kuvimba kwa kichwa na shingo
•Kuhalisha uharo wa kijani
•Utagaji wa mayai kushuka kwa kiasi kikubwa au kusimama kabisa
•Kutetemeka, kichwa kugeuzwa upande mmoja
•Kupooza kwa mabawa na miguu.

Jinsi unavyoenea
•Chanzo cha maambukizi ni maji, chakula kill Hoxha fulls a na kinyesi cha kuku wagonjwa.
•Pia maambukizi huweza kupitia mfumo wa hewa ktoka kwa kuku wagonjwa
•Kuku, vifaa vya kazi na bidhaa zitokanazo na kuku ( nyama, mayai, manyoya na mbolea) kutoka mashamba yenye ugonjwa zinaweza kueneza ugonjwa
•Faranga anaweza kupata maambukizi kutoka vituo vya kutotolea vifaranga kutokana na maganda ya mayai yaliyochafuliwa
•Kuku kuzubaa na kuacha kula
•Kuku kukohoa, hupiga chafya na kupumia kwa shida

Matokeo Kwa Kuchunguza Mzoga Aliyeathirika
Ugonjwa huathiri zaidi mfumo wa hewa na njia ya chakula, hivyo mabadiliko yanayoonekana kwenye mzoga ni pamoja
•Madoa ya damu kwenye mfumo wa hewa
•Kamasi nzito zenye Tangu ya njano kwenye koromeo
•Utandu mweupe kwenye mfumo wa hewa
•Bandama kuvimba
•Uvimbe kwenye kichwa na eneo la shingo
•Madoa madogo madogo ya damu kwenye kifua, mafuta na utandu wa tumboni
•Damu kuvia kwenye mfumo wa usagaji chakula, juju, firigisi, tumbo na utumbo.

NB:
Haya matokeo yatakusaidia wakati pale kuku amekufa banda bila kujua nini tatizo, kabla ya kumtupa mchinje na kumkagua tatizo lilikuwa nini.

Kudhibiti
Kuna namna za kuchanja kuku wako dhidi ya ugonjwa wa kideriI.Kudondoshea tone moja jichoniII.Kwa kidonge

Kudondoshea tone moja jichoni
•Pata chanjo kutoka kwa wakala au duka la mifugo lililokaribu nawe. Chanjo inayopendekezwa ni chanjo ya kideri 1-2 (1-2 NEWCASTLE VASSINE)
•Kamata kuku kwa uthabiti huku ukiwagemeza upande
•Dondoshea tone moja la chanjo ya kideri kwenye jicho moja
•Subiri kuku achezeshe kope ndipo umuachie.
 
Kwa kidonge
•Pata chanjo kutoka wakala au duka la mifugo lililo karibu nawe, hakikisha hifadhiwa kwenye barafu ili isiyeyuke kabla ya kutumika
•Kidonge hicho kimoja kitatumika kwa kuwekwa kwenye kiasi cha maji Lita 20
•Ukisha changanya kidonge na maji, hakikisha inatumika ndani ya Masaa 2 baadaya masaa hayo kupita haitafaa tena kwa matumizi.

Muhimu:
Chanja kila baada ya miezi 3 kwa kuku umri zaidi ya miezi mitatu na kuendelea tofauti na vifaranga
Chanja kuku kwenye afya tuu. ( uki chanja mgonjwa atakufa)

Sababu za kuku kula mayai
Kuku hula mayai kwa sababu nyingi sana ambazo zingine au zote zinaweza kuzuilika,
1.Tabia yao tu- Hapa utakuta ndo uzao wao wanatabia ya kula mayai hivyo kuku hufanya muendelezo wa kula mayai,
2.Kuto kupata chakula cha kutosha- Hii ni moja ya sababu kubwa kabisa inayo pelekea kuku kula mayai.
3.Kukosa madini joto- Hii inaweza kuwa ndo sababu kuu ya kwa nini kuku wanakula mayai, kuku wakikosa madini joto ni lazima wale mayai na hata kulana wao wenyewe, na jua kwamba kwenye yai kuku huwa anatafuta lile ganda la juu pekee sema anapo donoa na kulipasua yai hujukuta anakula na ute na kiini ila yeye lengo lake hasa ni ganda la juu
4.Kuku kutagia sehemu nyeupe sana yenye mwanga mkari hupelekea kuku kula mayai.
5.Mayai kukaa muda mrefu bila kukusanywa baada ya kutaga- Hapa ni kwamba mayai yanapo kaa muda bila kukusanywa na kama yapo sehemu ya wazi sana hupelekea kuku waanze kutest na some time kushangaa nini hiki cheupe? katika kushangaa ni kitu gani hiki cheupe cha mviringo hujikuta wanatest kudonoa na matokea yake ni kupasua yai.
6.Lishe mbaya
7.Nafasi ndogo
8.Vyombo havitoshi
9.Kukosa shughuli
10.Banda chafu (Manyoya)
11.Ukoo

Namna ya kuzuia kuku kudonoana au kula mayai
1.Chakula cha kutosha ni muhimu sana, ili kuwafanya wasitake kula mayai ili kushiba.
2.Mayai yakusanywe mara tu anapo taga na usiyaache muda mrefu bandani.
3.Sehemu ya kutagia iwe na giza la kutosha ili kufanya kuku ashindwe kuona yai alilo taga.
4.Madini joto ni muhimu sana.
5.Kuku wenye tabia za kula mayai unaweza chinja au kuuza.
6.Kuweka idadi ya kuku inayolingana na sehem ulionayo.
7.Usizidishe mwanga.
8.Banda liwe safi.
9.Weka vyombo vya kutosha.
10.Wape lishe bora.
11.Wape kuku shughuli kwa kuwawekea bembea na sehemu ya uwazi kwa ajili ya mazoezi.
12.Kata midomo ya juu.
13.Epuka ukoo wenye tabia hizo.

TANZIA: Kigwangallah Afiwa na Mtoto Wake.....Zitto Kabwe Ampa Pole

$
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii Hamis Kigwangalla amefiwa na mtoto wake anayefahamika kwa jina la Zul, ambapo mazishi yatafanyika kesho saa 10 Wilayani Nzega kwa sasa msiba upo nyumbani kwa Waziri makumbusho nyumba za Mawaziri.

Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe ameonyesha kuguswa na msiba huo na kuandika“Nimepata maumivu makali baada ya kusikia taarifa ya msiba wa mtoto Zul Hamis Kigwangala. Inna Lillah waina ilaih raajiun. Pole sana kwa msiba ndugu yangu Hamis Kigwangalla na mola akupe subra katika mtihani huu mkubwa, mzito sana. Tupo pamoja nawe. Tumshukuru Allah kwa yote”

Mkuchika Atangaza Kiama Kwa Watumishi Waliotafuna Fedha za Miradi ya Maendeleo

$
0
0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt. (Mst) George H. Mkuchika (Mb) ameahidi kuwachukulia hatua za kinidhamu watumishi wa umma wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale waliotumia vibaya fedha za miradi ya maendeleo na kupelekea kutomalizika kwa miradi hiyo.

Kauli hiyo ameitoa wilayani Liwale wakati wa kikao kazi na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale mkoani Lindi, kabla ya kutembelea utekelezaji wa miradi inayotekelezwa na TASAF wilayani humo.

Mhe. Mkuchika amewataka watumishi wote wanaojijua kuhusika na ubadhirifu wa fedha za miradi ya maendeleo kuzirudisha mapema kabla majina yao hayajafikishwa ofisini kwake.

Mhe. Mkuchika amefafanua kuwa, Serikali imekuwa ikipeleka fedha za miradi ya maendeleo kila wilaya mkoani Lindi ili kutekeleza ujenzi wa miradi mbalimbali ikiwezo zahanati, vituo vya afya, umwagiliaji na ujenzi wa barabara lakini fedha hizo zimeonekana kutumika vibaya kwani miradi haijamalizika lakini fedha zimeisha.

Mhe. Mkuchika ameainisha kuwa, taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Liwale inaonyesha Halmashauri hiyo inadaiwa takribani shilingi milioni 465 hivyo kupelekea kuzorota kwa uchumi wa Wilaya hiyo kutokana na makusanyo ya fedha kuishia kulipa madeni yanayotokana na matumizi mabaya ya fedha.

Mhe. Mkuchika amesema, amechoshwa na barua za malalamiko kutoka kwa wananchi kuhusiana na matumizi mabaya ya fedha zinazotolewa na serikali kwa ajili ya ujenzi wa vituo vya afya wilayani humo.

Aidha, Mhe. Mkuchika amewataka watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Liwale kuridhika na mishahara yao na kuacha kuomba rushwa kutoka kwa wananchi wanapohitaji huduma kwani kwa kufanya hivyo, kunawanyima wananchi haki yao ya kupata huduma.

Mhe. Mkuchika amefafanua kuwa rushwa ni adui wa haki na kutoa angalizo kuwa nchi ambazo rushwa imekithiri, mwenye haki ni mtu mwenye fedha kwa kuwa kila sehemu ataweza kushinda kwa kutoa fedha zake.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Kapt (Mst) George H. Mkuchika (Mb) yuko katika ziara ya kikazi mkoani Lindi yenye lengo la kuhimiza uwajibikaji kwa watumishi kwa umma,  ikiwa ni pamoja na kukagua na kujiridhisha na utekelezaji wa miradi inayotekelezwa na TASAF mkoani humo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza AKANUSHA Taarifa za Kukutwa Vichwa Vya Watoto Kituo cha Polisi

$
0
0
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Jumanne Muliro amekanusha uvumi uliosambaa  jana wa kukutwa vichwa vya watoto kituo cha polisi na kusema taarifa hizo hazikuwa za kweli.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza Kamanda Muliro amesema ni watu wachache ambao waliamua kutangaza taarifa hiyo ambayo baadaye ilileta sintofahamu kwa baadhi ya wananchi wa Mwanza.

"Kuna watu walianzisha taarifa kuwa kuna watoto walikuwa wamekufa na vichwa vyao kukutwa kituo cha polisi, uvumi ule uilisababisha watu zaidi ya 500 kukusanyika kuja kituo cha polisi lakini hata tulipowaelewesha kwamba taarifa hizo sio za kweli   hawakuelewa.

"Pamoja na huduma za kiusalama tunazotoa, ilitulazimu tutumie mabomu ya mabomu ya machozi ili kuwatawanya kwa sababu waligoma kuondoka lakini pia tunawashikilia watu kadhaa kwa ajili ya mahojiano ya tukio hilo." amesema Muliro.

==>>Msikilize hapo chini
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images