Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Je Kwanini Baadhi Ya Wanaume Wengi Wana Ukosefu Ama Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
JE KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UKOSEFU AMA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO ???

Pata sululisho la matatizo haya na  magonjwa mengine utapona kwa mda mfupi sana hatakama ulihangaika mpaka ukakata tamaaa 

GALIMBO 3 MIX  ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa aina mbili ili kukidhi mahitaji ya mtumiaji, imetengenezwa kwa muundo wa vidonge pamoja na unga kwaajili ya kuponesha tatizo moja kwa moja , huimalisha misuli ya uume iliyolegea wakato wa tendo la mdoa ,na kukufanya ucherewe kufika kileleni kwa mda wa dk ( 20 - 45 ) itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu nira hamu kuisha wara kuhisi kuchoka vilivile huzalisha viini vya uzazi ( manii ) 

YOLAN  hurefusha na kunenepesha  maumbile madogo ya uume na kuwa na uume kuanzia nchi (6-8) tiba kwa mda mfupi sana

Zipo sananu nyingi sana zinazosababisha matatizo hayo  km vile -:punyeto, kisukali,ngili,chango,vidonda vya tumbo,  tumbo kuunguluma na kujaa gesi maumivu ya mgongo ama kiume ,kolodani moja kuvimba ama kuingia ndani  presha nk 

Matatizo haya yote sio mageni, kigeni ni tiba sahihi ya kuponesha matatizo hayo

SUPER MBUKE -:  nidawa ya kuponesha tatizo la kisukali kwa mda mfupi sana , usihangaike wara kuteseka tumia dawa ya mitishamba kwaajili ya tatizo hili na upone kabisa

NTINJIWA  nidawa ya mvuto wa biashara,kazi, kupandishwa cheo,kumfanya mfanyakazi apendwe na bos wake

Pia ninadawa za kumvuta mme , mke,mchumba,hawara, au mtu yoyote unaemuhitaji katika maisha yako hata km yupo mbali na atatulia na kukutimizia cjovjote utakacho na kumfunga asiwe na mtu mwingime ,

Pata tiba za magonjwa mbalimbali ikiwemo miguu kuwaka moto, mgongo,bawasili ,kaswende ,gono na mengine mengi

KWAUSHAULI NA TIBA WASILIANA NA DR CHIKAGO    0743543944   0620510598

Km huna nafasi ya kufika ofisini hudumahii utaletewa hapo ulipo , kwa wale wa mikoani natuma kwanjia ya basi

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 57

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA   
Nikasimamisha gari kwenye mitimiti kadhaa, tukashuka kwenye gari na Ethan akanisogogelea na kunishika mkono wangu wa kulia na kuniambia kwamba hakuna mtu ambaye anaweza kuniona nikitembea katika eneo hili. Tukapandisha hadi gorofa ya tano, nikaanza kusikia vilio vya mtu akigugumia kulia kwa kipigo anacho kipokea kutoka kwa mtu anaye mpiga. Tukaingia kwenye chumba hicho, sikuamini macho yangu mara baada ya kumkuta baba mke, Biyanka pamoja na walinzi wapatao kumi huku Biyanka akimpiga kijana huyo kwa rungu kubwa.
“Niliwakanya mucheze na kote ila si kucheza na mume wangu. Kama muna fanya kazi chini ya baba yangu mufanye tu ila si kumgusa mume wangu sawa wewe mwana haramu”
Biyanka alizungumza  huku akihema, akafuta jasho linalo mtiririka usoni mwake, kisha akaandelea kumshushia marungu kijana huyu huku baba yake akitabasamu kwa binti yake kuifanya kazi hiyo ya kikatili sana.
   
ENDELEA
“Huyu ndio mke na baba mkwe anaye tarajia kuwa raisi wa hii nchi”
Ethan alizungumza kwa sauti ya chini kidogo, hapakuwa na mtu aliye weza kusikia sauti yake wala kuona uwepo wetu ndani ya hichi chumba.
“Yule binti hakikisheni kwamba muna muua mume nielewa?”
Nikastuka tena mara baada ya kuisiki sauti hiyo ya Biyanka akiwaamrisha vijana hawa.
 
“Sawa madam”
“Endapo yule binti atakuja kutoa ushahidi juu ya baba yangu, vichwa vyemu mimi mwenyewe ndio nitavikata”
“Tumekuelewa Madam”
Biyanka akalitupa gongo alilo lishika chini na kutoa noti kadhaa za shilingi elfu kumi kumi na kumtupia jamaa aliye kuwa anapiga.
“Nenda hospitali na ufunge domo lako”
“Asante sana madam”
Siri ya kumfahamu Biyanka kuwa nii mtu wa hatari, sasa nimeigundua, siri ambayo imezaa chuki na hasira mpya dhini ya yeye na familia yake.
“Wanamzungumzia binti gani?”
Nilimuuliza Ethan huku nikimtazama usoni mwake.
“Clara”
“Nini….!!?”
 
“Ndio maana yake, ile ni kesi ya bucha ukampelekea fisi.”
“Una maana gani?”
“Afande Kimaro anafahamu mchezo mzima na yeye ndio aliye muagiza binti huyo kwenda kuwaua vijana wake. Hujiulizi ni nani ambaye alikuwa anafahamu kwamba mulimpeleka pale Clara na ndani ya muda mchache wameuwawa?”
Maswali haya mfulilizo ya Ethan yakaanza kujenga picha moja kichwani mwangu ya kuchezewa.
“Umshukuru Mungu kwamba ulipata akili ya kuzima simu yako na laiti usinge izima basi wangekutafute kule ulipo kuwa na unakula bata na watoto wazuri wazuri”
Ethan alizungumza huku akitabasamu. Biyanka, baba yake pamoja na walinzi baadhi wakatupita pembeni yetu pasipo kuweza kutuona. 
 
“Hawa walinzi wa mwisho wawili ndio wataletwa kukulinda , itabidi uwe wakali”
“Nitawakataa?”
“Wala usiwakatae”
“Lazima niwakatae kwa mana kama mke ni bomu unahisi hawa nao watakuwa ni kitu gani kwa maana hapa watakuwa wamenizunguka mimi”
“Usijali katika hilo kumbuka kwmba mimi pekee ndio ninaye kulinda. Hao watakuwa wanafanya kazi bure tu kwako”
“Mmmm na mtoto wa watu je?”
“Clara nitakwenda kumchukua. Nitamtafutia sehememu uweze kumficha bila ya wao kuweza kufahamu, ila siku ya siku mambo yatakapo bunduluka basi atakuwa ni shaidi namba moja kuhakikisha kwamba ana muangusha madarakani adui yako”
 
“Ushahidi atautoaje?”
“Wewe zubiri uone”
Tukatoka ndani humu na kuwakuta Biyanka na walinzi wake wakiingia kwenye moja ya gari na kuondoka huku baba yao akiingia kwenye gari jengine na walinzi wake na kuondoka eneo hili. Tukaelekea lilipo gari langu na kuanza kurudi hotelini. Nikafika hotelini na kuchukua kadi yangu ya kufungulia mlango, moja kwa moja nikapitiliza hadi chumbani kwangu huku kichwa changu nikihisi kikiwa kimevurugwa kisawa sawa.
“Namuacha huyu mwanamke”
“Unakwenda kuharibu kila kitu. Wakati wako wa sasa si wakumuacha”
 
“Unataka nikae na jini kweli?”
“Mimi ni nani?”
“Ohoo samahanishi jini kama jini. Namaanisha mwanamke mwenye roho mbaya”
“Kuna msemo wa kuwa muwinda hugeka kuwa muwindaji”
“Una maanisha nini?”
“Wao hadi sasa hivi hawajui kuwe wewe ni adui yao mkubwa. Wanacho jua ni kukuzuia katika kusaidia Clara wakihisi kwamba ndio njia sahihi ya kumtoa mbele ya uso wako”
“Ohoo Mungu wangu”
 
“Jambo ambalo ninakwenda  kukueleza ni juu kuwa makini na wale mabinti wawili. Qeen na Latifa”
“Kwani ni wasaliti?”
“Hakuna ambaye atakwenda kukusaliti”
“Ila?”
Ethan akazungusha kiganja chake cha mkono wa kulia juu ya tumbo lake.
“Sijaelewa?”
“Angalia usije ukawapa mimba na mbaya zaidi wamekupenda kutoka kwenye mioyo yao na wameridhika kuwa na mwanaume mmoja kimapenzi”
“Heeee!”
“Ndio wewe shangaa ila huo ndio ukweli wa mambo unao endelea kwenye mioyo yao”
“Sawa nimekuelewa, ila tuachane na wao kwa sasa naomba umtafute Clara”
 
“Usijali, kesho mchana muda wa chakula nitakuchukua ukamuone sehemu nitakapo muhifadhi”
“Nitashukuru, ila kuna muunganiko gani kati ya Clara na muheshimiwa Poul Mkumbo?”
“Muunganiko uliupo ni kwamba baba Clara na Poul walikuwa ni marafiki wakubwa sana. Ila Baba Clara alikuwa ni rafiki mwema kwa rafiki yake, ila Mkumbo hakuwa mwema kwa mwenzake. Clara aliweza kumshuhudia mkumbo akimbaka mama yake  na kumpa onyo kwamba endapo atazungumza chochote atamuua”
“Mmmmm”
“Mkumbo hakuishia hapo akapanga mpango mzima wa kumuua rafiki yake pamoja na yule kijana aliye kamatwa, baba mdogo wa Clara, na siku ule mpango unapangwa Clara aliweza kuusikia na aliweza kuurekodi kwenye karedio kake kadogo ka taple, ambacho amekificha sehemu anayo ijua yeye mwenyewe”
 
Maneno ya Ethan yakanikumbusha kipindi wazazi wangu walivyo kuwa wana uwawa na vijana wa mkumbo huku mimi na mama tukiwa tumejificha kwenye migomba.
“Huyu mzee ni mwana haramu sana”
“Ni zaidi ya mwana haramu, mimi nina ondoka tutaonana kesho”
“Sawa”
“Ila usizungumze kitu cha aina yoyote kwa Biyanka”
“Nimekuelewa”
Ethan akatoweka kwenye upeo wa macho yangu na kuniacha peke yangu humu chumbani. Nikavua nguo zangu zote na kupanda kitandani na kulala.
                                                                                                                              ***
    Kengele ya mlangoni ikanistua kutoka usingizini. Nikautazama mlango wa chumba changu kwa sekunde kadhaa kisha nikashuka, nikachungulia kwenye kishimo kidogo na kumuona Biyanka akiwa amevalia vizuri sana. Nikafungua mlango na taratibu akaingia huku akiwa amejawa na tabasamu. Akanikumbatia na kunibusu mdomoni mwangu kama si yeye aliye toka kufanya tukio la ujambazi.
 
“Umeshindaje mpenzi wangu”
“Salama, vipi”
“Safi, mwili wako mbona ni wa moto?”
Biyanka alizungumza huku akiniwekea kiganja chake kimoja kwenye shingo.
“Nahisi ni uchovu wa kulala ila mwili utakaa sawa”
“Mmmm kama una umwa twende hospitalini mpenzi wangu”
“Nipo sawa”
“Sasa hivi ni saa mbili, una onaje leo tukatoka chakula cha usiku mpenzi wangu”
Nikamtazama Biyanka kwa sekunde kadhaa kisha nikamkubalia kwa kutingisha kichwa. Nikaelekea bafuni na kuanza kuoga, nikarudi huku nikiwa nimeshika taulo la kujifutia maji mkononi mwangu. Biyanka akalichukua  taulo hili na kuanza kunifuta, kila nikimtazama usoni mwake nina likumbuka tukio alilo kuwa ana lifanya.
 
“Ulikuwa wapi?”
Nilimuuliza Biyanka huku nikimtazama usoni mwake kwa macho ya kumdadisi.
“Nilikuwa nyumbani kwa mama”
Nikatamani kumshushia tusi kubwa ila nikajikaza moyo wangu.
“Anaendeleaje mama?”
“Aha…salama ana kusalimia. Pia baba anasehema kwamba analishughulikia swala lako la kutishiwa pia niliweza kumueleza juu ya Clara na akasema kwamba yote atayafanyia kazi”
 
‘Jamani mbona umekuwa muongo wewe mwanamke?’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikiendelea kumtazama Biyanka usoni mwake.
“Nitashukuru, nitolee pensi na tisheti ile ya kijivu ndio najisikia kuvaa usiku wa leo”
“Poa mume wangu”
Nikachukua simu yangu na kuanza kuikagua, nikatamani kuwatumia meseji Biyanka na Qeen ila nikajizuia, sihitaji kuwaingiza matatizoni watoto wa watu. Nilipo maliza kuvaa, tukatumia gari la Biyanka kuondoka eneo hili huku walinzi wakitufwata nyuma na gari lao. Tukafika katika moja ya hoteli ambayo sikumbuki hata jina lake lililo andikwa nje.
 
“Ethan unaonekana una mawazo sana mpenzi wangu”
“Kichwa changu kwa leo hakipo vizuri”
“Tambua baba yangu ana shuhulikia kija jambo mpenzi wangu kuwa na amani na kesho anakwenda kuwaleta wale walinzi alio kuahidi”
Nikafumba macho ili kuzuia hasira yangu, kwani hao watu ninao letewa naamini watakuwa ni wachunguzi kwangu, nikashusha pumzi taratibu na kumtazama Biyanka ambaye taratibu akausogeza mikono yake na kunishika mikono yangu.
“Tambua kwamba familia yetu inakupenda sana Ethna ipo tayari kufanya jambo lolote kuhakikisha kwamba kila kitu kina kwenda vizuri kwenye maisha yako”
“Nashukuru”
“Tena nina wazo mpenzi wangu. Hivi kodi ya pale hotelini si inaisha mwezi ujao?”
“Ndio”
“Unaonaje ukahamia nyumbani kwangu na tukaishi pamoja”
“Nitalifikiria ila mwishoni mwa mwezi ujao nitakwenda Ujerumani kufwatilia baadhi ya kampuni zangu”
 
“Unaonaje tukaenda wote?”
“Nani atasimamia kampuni yangu?”
“Si kuna mameneja wengine mume wangu”
“Wewe utasimamia”
Nilizungumza kwa jazba kidogo na kumfanya Biyanka kukaa kimya na kukubaliana na kile nilicho kizungumza. Baada ya kumaliza kupata chakula cha usiku tukarudi chumbani. Biyanka akaanza uchokozi wa kunishika shika mwili wangu. Kusema kweli hata ile hisia ndogo niliyo kuwa nayo kwake imenipotea kabisa.
“Aiisii…ohooo tamu baby”
Biyanka alizungumza huku akiichukua mikono yangu na kishikisha kiuno chake
 
“Mume wangu kuwa nami, sijakuzoea kukuona hivi”
“Sawa”
Nikaanza kuvuta hisia za mautundu ambayo nilikuwa nina fanyiwa na Qeen pamoja na Latifa, sikumaliza hata dakika tano nikajikuta nikifika kileleni na mchezo ukaishia hapo, sikujali kama Biyanka amefika kileleni au laa. Taratibu Biyanka akashuka juu yangu huku akiwa mnyonge sana, sikuhitaji kumsemesha kitu chochote zaidi ya kugeukia pembeni na kuulazimisha usingizi.
 
“Ethan nahitaji tuzungumze kidogo”
“Tutaonge kesho”
“Nakuomba mume wangu”
“Hivi nikisemea kesho hunielewi Biyanka? Akili yangu imechoka nakuomba uniache bwana”
 
Nilizungumza kwa ukali sana na Biyanka hakuwa na namna zaidi ya kutii. Masaa yakazidi kukatika pasipo sisi wawili kulala kama tulivyo zoeshana, kwani nilizoea kumkumbatia Biyanka kwa nyuma. Sikupata usingizi kabisa hadi kuna pambazuka. Tukaamka na kujiandaa kwa ajili ya kelekea ofisini.
 
“Kazi njema mume wangu”
Biyanka alizungumza huku akinibusu shavuni mwangu na kuelekea ofisini kwake. Nikaingia ofisini kwangu, kama kawaida, jumatatu huwa kuna ripoti nyingi ambazo kama mkurugenzi ninatakiwa kuzipitia ili niweze kujua ni kitu gani kinacho endelea. Nikawatumia meseji ya Qeen na Latifa, nikiwaomba muda wa mchane nikakutane nao mwenge ili niweze kuongozana nao kuelekea alipo fichwa Clara. Kila mmoja akanijibu  atakuwa tayari japo sijawaeleza ni wapi tunakwenda. Mlango wa ofisini kwangu ukafunguliwa na Biyanka akaingia, akayatazama mafaili yaliyo jazana ofisini kwangu.
 
“Mume wangu hujafanya kazi leo?”
“Ndio”
“Ohoo unaonaje ukaenda hotelini ukapumzike na mimi niweze kushuhulika na hii kazi hapa kwani ofisini kwangu nimesha maliza kila jambo”
‘Usiende sehemu yoyote huo ni mtego’
Niliisikia sauti ya Ethan ikinikanya kwa ukali sana, jambo lililo nifanya nibaki nimekodelea macho Biyanka na kushindwa kumjibu kwani sifahamu ni mtego gani ambao mwanamke huyu amekusudia kuniwekea.

-==>>ITAENDELEA KESHO

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 198 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA  
             
“Tuondoke”        
Jojo alizungumza huku akitangulia kutoka nje, hapakuwa na msichana hata mmoja aliye jaribu kumshika wala kumsogelea Jojo. Tukapandisha juu kabisa ya meli hii.

“Ninahitaji twende nyumbani sasa baba”
Jojo baada ya kuzungumza hivyo akanikumbatia kwa nguvu kisha tukajitosa kwenye bahari na nikajikuta nikianza kupiga kelele kwani kasi tunayo kwenda nayo chini kusema kweli inatisha na kuogopesa na ukitegema ni usiku  basi ujasiri ukaniisha kabisa.

ENDELEA
Tukazama ndani ya maji cha kushangaza sipati tabu ya aina yoyote kama binadamu wa kawaida akizama chini ya maji. Tukazidi kwenda chini sana hadi kwa mbali nikaanza kuona taa nyingi zinzo waka kwa haraka haraka unaweza kuzifananisha na jiji la New York nchini Marekani pale ifikapo majira ya usiku. Nikatamani kuzungumza kitu ila nikashindwa kabisa na kusahau hata kitu hicho ninacho hitaji kukuzungumza.

Tukafika hadi kwenye moja ya jumba la kifahari ambalo kuta zake zimejengwa kwa dhahabu tupu, hakuna sehemu ya jumba hili iliyo sakafiwa hata kwa saruji.

“karibu baba hapa ndipo kwa mama anapo ishi”
Jojo alizungumza huku akiniachia. Kusema kweli kuna mambo mengi sana dunia nilikuwa ninayasikia juu ya viumbe hivi vinavyo itwa majini ila kusema kweli leo ndio nimeamini kwamba kuna mji wa majini ambao wanaishi kama tunavyo ishi duniani. Nikiwa kama binadamu wa kawaida, lazima woga unitawale hata kama nimefanya mambo mengi maovu na ya kutisha ila huku nilipo kusema kweli ninaogopa sana.

“Usiogope baba, yangu kuwa na amani”
“Ila Jojo ninaoga”
“Hakuna anaye weza kukudhuru”
Wasichana wa huku kusema kweli ni wazuri kupindukia, wana kila aina ya sifa ambayo duniani huwezi kumkuta nayo mwanamke mmoja. 

Nilihisi kwamba Magreti ana wazidi wote ila hawa wa huku wana wazidi wote waliopo duniani. Kila tunapo pita mimi na Jojo, tunamwagiwa maua na wasichana hawa ambao wamajipanga pande mbili za barabara inayo ingia kwenye jumba hili la kifahari. 

Mlango ukafunguliwa na nikakuta ukumbi mkubwa sana na mbele kabisa kuna kiti kimoja ambacha mekaa Olvia Hitler huku pembeni yake kukiwa na wasichana wawiliw alio shika manyoya makubwa ambayo sifahamu hata ni ya mnyama gani ila wanampepea taratibu.

“Waooo karibu mume wangu”
Olvia Hitler alizungumza huku kinyanyuka kwenye kiti chake, akaanza kunifwata kwa mwendo wa taratibu huku gauni lake jeupe pee likiburuzika kwa nyuma. Tukakumbatia taratibu, marashi mazuri aliyo jipulizia Olvia Hitler kusema kweli yakanisisimua mwili mzima.

“Pole sana kwa tabu za dunia ambazo umepitia”
“Asante”
“Usiogope, hapa ndipo kwangu, karibu sana, nilimuachia maagizo Jojo wako kwamba akulete pale atakapo pata nafasi ya kukuleta hapa nyumbani”
“Nimekaribia”
Olvia Hitler akapiga kofi moja, wakaja wasichana wanne walio valia vizuri na wamependeza sana.

“Mpelekeni baba Jojo mukamuogeshe”
“Sawa malikia”
Wasichana hawa wakanishika mikono yangu na taratibu tukaondoka katika ukumbi huu, tukaingia kwenyemoja ya chumba kikubwa ambacho kina swimming pool kubwa ambayo maji yake yanafuka mvuke. 

Taratibu wakaanza kunivua koti langu la suti, wakafwatia shati, na kumalizia nguo zote za chini na nikabaki kama nilivo zaliwa. Wasichana hawa nao wakavua nguo zao na kuingia nami kwenye swimming pool hili kwa mara ya kwanza nilihisi labda maji yanaweza kuwa ya moto, ila mvuke vuke wake kusema kweli yameufanya mwili wangu kuhisi nguvu fulani ambayo katika maisha yangu sikuwahi kuihisi hii nguvu.

Taratibu wakaanza kuniogesha mwili wangu, hapakuwa na sehemu ambayo wameshindwa kuigusa, hata jogoo wangu mamemgusa kwa viganja vyao vilaini ila hapakuwa na hisia yoyote kwenye mwili mwangu. 

Wasichana hawa hawazungumzi chochote na mimi, baada ya kumaliza kuniogesha wakanitoa ndani ya swimming pool hili kisha wakanivisha vazi kubwa lililo pambwa mwa madini ya dhahabu kwenye maua mau yake. Tukarudi katika ukumbi huu, na nikapokelewa na tabasamu kubwa la Jojo na mama yake.

“Baba umebadilika kama sio wewe”
“Eti ehee”
“Ndio yaani umekuwa kama mfalme fulani hivi”
“Hahaa ila ni mfalme kwa maana mimi si malikia”
“Alafu kweli mama hapo umenena jambo la kweli”

“Inabidi mule sasa alafu nikawatembeze”
“Mukanitembeze wapi?”
“Inabidi uweze kufahamu mji huu viziri sana, pia ukaione familia yako sehemu walipo”
“Familia yangu?”

Niliuliza huku nikiwa nimejawa namshangao mkubwa sana.
“Ndio familia yako”
“Twendeni sasa hivi jamani nina hamu ya kuiona familia yangu?”
“Mmmmm acha papara baba, kula alafu tutakwenda sote watatu”
Sikua na jinsi ya kufanya zaidi ya kumsikiliza Olvia Hitler anacho kizungumza. Tukaingia katika chumba cha kupatia chakula na kuanza kupata chakula taratibu. Chakula cha huku kusema kweli ni kitamu sana na kinavutia ambacho duniani sikuwa kula. Tukamaliza kula chakula na tukaanza kutembea sehemu mbali mbali za huu mji nanikajionea mambo mengi sana ambayo kusema kweli dunia hakuna kabisa.

“Huu ndio ulimwengu, ambao hakuna binadamu anaye weza kuja pasipo ridhaa yetu”
“Ni pazuri sana”
“Kwenye huu mji wetu kuna sehemu mbili, moja ni hii ambayo unaiona ni nzuri sana na kuna nyingine ambayo ni mbaya sana. Huko ndipo jehanamu, sehemu ambayo wanadamu wakifa wale ambao ni wetu basi wanaletwa huku chini”
Olvia Hitler alizungumza huku akinitazama uosni mwangu.

“Sasa familia yangu ipo wapi?”
“Familia yako ipo huko sehemu ya pili, mtu ambaye hayupo kwenye sehemu hiyo ni mmoja tu ambaye ni mwanao wa kike, ila wengine wote wapo huku”
Nikajihisi tumbo langu kunika, ila nikajikaza.

“Huku tunapo elekea unatakiwa kuwa mkakamavu sawa Dany”
“Sawa”
Nilizungumza ila moyo wote umepoteza imani. Kufumba na kufumbua tukajikuta tukiwa ndani ya sehemu yenye giza kubwa ila mianga ya makaa ya moto inatufanya tuweze kouna watu waliomo ndani ya shimo kubwa huku miili yao wakiwa hawana nguo  hata moja. Watu wote waliomo kwenye hili eneo wanaonekana kupata maumivu makali ya moto unao waunguza. Katika kukatiza macho yangu huku na kule nikamuona mama yangu akiungua jhuku  akipiga mayowe ila hakuna anaye weza kumsaidia. Nikataka kumfwata na kumsaidia, ila Olvia Hitler akanishika mkono na kunizuia.

“Unataka kwenda wapi?”
“Kumsaidia mama yangu?”
“Huwezi kwenda, hili eneo ni la muumba wa kila kitu”
“Ina maana unataka kusema kwamba humu kunalindwa na Mungu?”
“Ndio, malaika wa Mungu wanalinda hili eneo”
“Hatuwezi kweli kuwasaidia, yaani hata kufika huku, hata Jojo mwenyewe hajawahi kufika, kwa nguvu zangu ndio mume weza kufika huku. Nikamuona mdogo wangu Diana akipata mateso makali sana huku mwilini mwake akitobolewa na funza wenye moto. Nikamuona baba yangu naye akiteseka sana huku adhabu yao yote ikiwa ni moja kwa wote. Kuna baadhi ya viongozi wa Tanzania na dunia nzima nikawaona nao wakipata adhabu kubwa.

“Mama hivi hawa si waliokuwa ni viongozi?”
“Jojo huku hakina kiongozi, mtu akifa kama ana dhambi zake, breki yake ya kwanza ni hapa. Anapata kibano kama hawa, hadi siku ambayo Mungu ataamua kuimaliza dunia”
“Mmmm hivi Olvia Dunia inaweza kuisha?”
“Sio leo wala kesho kwa maana hata sisi hatufahamu ni siku gani dunia itahukumiwa”
“Mmmmmm sasa hata sisi si tutahukumia?”
“Inategemea na itakavyo kuwa kwa maana katika hilo kusema kweli hata mimi sielewi itakuwaje”
Sikuzungumza kitu chochote zaidi ya kuwatazama wana familia yangu jinsi wanavyo pata mateso makali. Huruma ikanijaa moyoni mwangu na kujikuta nikimwahikwa na machozi usoni mwangu, Jojo na mama yake wakabaki kimya. Taratibu wakanishika mkono, kufumba na kufumbua tukatoka katika hili eneo na tukatokea katika eneo jengine kabisa ambalo limetulia sana na lina nyumba moja pamoja na miti mingi.

“Huku ni duniani au?”
“Hapana bado upo chini ya bahari”
“Hivi inakuwaje hadi munaishi kama hivi?”
“Kivipi?”
“Munaishi chini ya bahari?””
“Yote ni miujiza ya Mungu”
“Hata nyinyi muna muabudu Mungu?”
“Ilikuwa, ila si kwa sasa”

“Ilikua lini?”
“Kipindi hicho kabla haijatokea vita huko mbinguni”
“Ahaaa sawa sawa”

Tukaingia ndani ya hii nyumba, alama niliyo kutana nayo kwenye tambaa kubwa lililo ning’inizwa katika hili seble.

“Dany mume wangu unatakiwa kuweza kupata nguvu ambazo zitakusaidia kwa maisha yako yote”
“Nguvu za aina gani?”
“Hapa unapo paona ndipo anapo ishia baba yangu, ambaye hadi leo bado anahistoria kubwa kwenye dunia”
“Historia gani?”
Olvia hakunijibu chochote zaidi ya kuingia katika chumba kimoja kinacho nukia manukato mazuri sana. Sikuamini macho yangu kukutana na gaidi wa mika hiyo ya 1880’s ambaye ni Adolf Hitler ambaye hadi sasa hivi duniani hakuna mtu aliyeweza kudhibitisha kifo chake. Wapo walio seme kwamba alijitosa kwenye acid(tindikali), wapo walio sema amepotea kwenye mazingira ya kutatanisha baada ya kushindwa vita ya pili ya dunia. Pasipo kuambiwa chochote, nikasalimia salamu yake ya kunyoosha mkono mmoja juu, mzee huyu akarabasamu sana na taratibu akanyanyuka kwenye kitanda alicho lala na kukaa kitako. Kwa ishara ya mkono akaniita na kuninyooshea mkono wake wa kulia, nikaushika taratibu.

“Kwa miaka mingi duniani, vizazi na vizazi nilikuwa ninatafuta mtu wa kumuachia uwezo wangu, sikumuona ila wewe sasa una uwezo huo kwani umeweza kuitingisha duani kama nilivyo itingisha mimi”

Adolf Hitler alizungumza huku akiendelea kuishika mikono yangu.

“Umeifanya dunia nzima kukujua, umewafanya waandishi wengi kukuandika kwenye vitabu ambavyo vitadumu miaka kwa miaka yote duniani. Utaelezewa kwenye kila historia ya kila kizazi kwamba alikuwepo gaidi anaye itwa Dany.”
“Kuanzia leo nitakupa jina la Hitler, utaitwa Dany Hitler, hakikisha kwamba jina hili unalikuza.”
“Sawa sawa mzee”
“Watu watakuogopa mara kumi ya wanavyo kuogopa hivi sasa. Utaishi karne kwa karne hadi pale atakapo tokea mtu mwenye uwezo wa kufanya zaidi ya kile ambacho umekifanya wewe ndipo utakapo kuwa tayari kumkabidhi nguvu hizi ninazo kupatia”
Jinsi mzee Adolf Hitler anavyo zungumza ndivyo jinsi nilivyo hisi kuna vitu vikiingia mwilini mwangu.

“Hadi leo nchi yangu ya ujerumani inaitwa ‘HE’. Ni mwanaume wa nchi zote duniani, hata Marekani yenyewe pia ni She. Hakikisha kwamba Tanzania unaifanya iwe He, iwe dume kama Ujerumani sawa”
“Sawa”
“Haijalishi utaifanya wewe mwenyewe, haijalishi ataifanya raisi yoyote ajaye. Ila hakikisha kwamba nchi yako, chimbuko lako linakuwa ni nchi kubwa sana ulimwenguni”
“Nimekuelewa mzee”
Nikahisi kitu kikubwa kikiupiga mwili wangu, nikajikuta nikinyong’onyea na kuishiwa nguvu kabisa na nikapoteza fahamu kabisa.                                                                                           ***

Nikayafumbua macho yangu na kujikuta nikiwa nimelala kitandani, pembeni yangu nikamuona Jojo akiwa amekaa huku akinitazama.

“Hei baba umeamka?”
“Yaaa nipo wapi?”
“Tumerudi duniani tayari”
“Kule nimeondokaje?”
“Tumeondoka siku nyingi sana, kwa maana sasa hivi ni miezi miwili imepita tangu tutoke kule nyumbani kwetu”
“Weeee acha kunitania”
Nilizungumza huku nikikaa kitako kitandani, mazingira ya chumba ninacho kiona kwenye macho yangu sikuwahi kuyaona kabisa.

“Jojo hapa ni wapi?”
“Nyumbani kwetu, nimetafuta nyumba nzuri nina imani kwamba utaipenda baba yangu”
Nikajitazama mikono wangua ambayo kwa kumbukumbu zangu za mwisho ninakumbuka nilishikana na mzee Adolf Hitler.

“Babu yako yupo wapi?”
“Tayari amepoteza maisha, tumemuhifadhi kule kule nyumbani kwetu”
Nikashuka kitandani na kumfanya Jojo naye kusimama, tukatoka chumbani humu na  kufika sebleni, nikalitazama hili eneo taratibu. Sikuhitaji kuishie hapa nikatoka nje na kuuona ufukwe wa bahari kwa mbali huku nyumba yetu hii ikiwa imezungumkwa na maua mengi sana.

“Jojo hapa ni wapi?”
“Tupo Tanzania kwenye visiwa vya Pemba, hapa ndipo makazi yetu yatakapo kuwepo miaka yote tutakayo ishi hapa duniani”
“Ila si hatari Jojo hili eneo?”
“Sio hatari baba, hapa tulipo hakuna binadamu wa kawaida anaye weza kufika katika hili eneo kabisa”
“Kwa nini hawawezi kufika?”
“Baba hili eneo lipo mbali sana na hakuna binadamu anaye weza kufika wao wapo huko mbali sana. Hapa tutakuwa tunafanya kazi zetu zote”
“Hivi kwa jinsi ninavyo tafutwa duniani, kweli hawatoweza kuja kunikamata hapa?”
“Hapana baba jiamini, ninamini mimi mwanao. Hapa ni salama kabisa kuliko hata kule kwenye meli ya Livna sio salama kuliko hapa”

Jojo alizungumza kwa msisitizo, tukaanza kulizunguka hili eneo, huku akinionyesha baadhi ya eneo la mazoezi alilo litengeneza.

“Baba kwa sasa una nguvu nyingi, ambazo unatakiwa kuanza kufanya mazoezi kuhakikisha kwamba unaweza kuzi contro nguvu zako na zisiweze kumdhuru mtu asiye na hatia”
“Mbona sihisi chochote”
“Ngoja?”
Jojo akanisukuma kwa haraka sana na nikajikuta nikianguka, hata kabla sijafika chini nikajihimili na kusimama haraka sana jambo ambalo si rahisi kwa hata mfanya mazoezi kufanya hivi”
“Baba una nguvu ya kuona kile ninacho kiona mimi, mambo yanayo weza kutokea miaka kwa miaka, pia unaweza kukwepa kitu chochoye kinacho kufwata kwa kasi ambayo binadamu wa kawaida hawezi kukiona.”
“Kama kitu gani?”
“Risasi ni moja wapo ya kitu ambacho unaweza kukikwepa haraka iwezekanavyo. Baba sasa huu ndio wakati wa kwenda kumtoa K2 madarakani, tummalize yeye pamoja na maadui wengine wote ambao waliweza kukuletea tabu wewe sawa”
Maneno ya Jojo yakanifanya nitabasamu kwani kwa uwezo nilio nao sasa K2 na wajinga wezake watajuta kunifahamu na watajutia ni kwa nini waliweza kuniharibia maisha ikiwemo kuwaua ndugu zao ambao nimewashuhudia wakipata mateso makubwa kuzimu, mateso ambayo K2 na wezake nao pia wanastahili kuyapata kwani ni haki yao.

  ITAENDELEA
‘Haya sasa Dany amepata uwezo mkubwa wa kufanya chochote juu ya maadui zake je kazi yale hiyo ataitendaje? Usikose sehemu inayo fwata ya hadi hii ya kusisimua kutoka kwa muandishi mahiri Eddazaria G.Msulwa”

Video Mpya: Mr Blue Ft. Nandy - Blue

$
0
0
Video Mpya: Mr Blue Ft. Nandy - Blue

Wafugaji nao kuandamana kumpongeza Rais Magufuli

$
0
0
Mashirika  na wadau wanaotetea wafugaji nchini, leo wanakusudia kufanya maandamano ya amani mjini Arusha kumpongeza Rais Dk. John Magufuli, kwa kutoa maagizo na maelekezo yenye kutetea wafugaji waliokuwa katika maeneo yanayopakana na mipaka.

Akitoa taarifa kwa niaba ya wadau hao,  Mbunge wa Simanjiro (CCM), James ole Millya, alisema wanampongeza Magufuli kwa kuwa kwa muda mrefu wafugaji wamenyanyaswa, kufukuzwa, kuchomewa mali na kutaifishwa mali zao katika maeneo yao wanayopakana na uhifadhi.

Alisema hatua ya kumpongeza imekuja baada ya Rais kutoa maelekezo yanayoonyesha kwamba anachukizwa kuona wafugaji wanafukuzwa kila mahali katika maeneo ya vijiji na vitongoji vinavyopakana na hifadhi.

“Wafugaji nchini kwa muda mrefu wamekuwa wakipata tabu na changamoto nyingi zinazotokana na kuondolewa kwa nguvu wakati mwingine kuharibiwa mali zao kwenye maeneo yao ambayo wamekuwepo kwa muda mrefu kwa kisingizio kuwa ni maeneo ya hifadhi.

“Sisi kama viongozi wa wafugaji nchini tunazo taarifa nyingi za unyanyasaji wa wafugaji katika maeneo yao ambayo yamemegwa na hifadhi, kufukuzwa kwa wafugaji katika maeneo haya kwa muda mrefu imejenga taswira mbaya kwamba uhifadhi unafanywa bila weledi,” alisema.

Millya alisema wanampongeza Magufuli kwa kuyatambua vyema matatizo na manyanyaso wanayoyapata wafugaji katika maeneo yao yanayopakana na hifadhi.

“Tumekutana hapa kumpongeza Rais kwa kutoa maagizo kwa vyombo vya Serikali hususan Wizara ya Maliasili na Utalii na kuwataka kuhakikisha kuwa hakuna mfugaji atakayeondolewa katika kijiji au kitongoji chake kilichoainishwa kuwa katika maeneo ya uhifadhi.

“Pia kwa kuweka wazi bila kuficha kuwa anachukizwa kuona wafugaji wanafukuzwa kila mahali,” alisema Millya.

Pia aliwataka wafugaji kutoa ushirikiano na kushiriki kikamilifu katika mchakato wa kubaini maeneo yao kama ambavyo Magufuli ameagiza na kutolea maelekezo kwa vyombo vya Serikali.

Pia aliwataka wafugaji kutovamia maeneo ya uhifadhi na wabaki katika maeneo yao ya asili kama walivyoishi kwa muda mrefu hata kabla ya mipaka kuwekwa.

Aliiomba Wizara ya Ardhi, Tamisemi, Wizara ya Maliasili na Utalii na taasisi nyingine za Serikali kutekeleza maagizo ya Magufuli kwa haraka bila kuchelewa.

Alisema ni vyema vyombo hivyo vikahakikisha wananchi wanashirikishwa kwa uwazi katika mchakato huo ili kusiwe na mfugaji atakayeondolewa katika maeneo yaliyoanishwa.

“Tunatoa wito kwa vyombo vya Serikali hususan Wizara ya Ardhi, Tamisemi, Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na taasisi nyingine za Serikali kujaribu kujenga uhusiano mzuri baina ya wafugaji na maeneo ya uhifadhi na kuhakikisha kuwa wafugaji wananufaika na ujirani mwema wa kuwa karibu na maeneo ya uhifadhi nchini,” alisema Millya.

Lugola Afunguka Baada ya Makamanda wa Polisi Aliowatumbua Kuonekana Wakiendelea na Kazi

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola, amesema yeye alishatoa maagizo ya kuondolewa kwenye nafasi zao kwa Makamanda wa Polisi watatu katika Mikoa mitatu ya kipolisi Temeke, Ilala pamoja na Arusha na kilichobaki ni kutekelezwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini.

Kangi Lugola ameongea na kituo cha televishen cha EATV  baada ya mkanganyiko uliojitokeza kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuonakana baadhi ya Makamanda wakiendelea kufanya kazi kwenye vyeo vyao.

"Sina taarifa kwamba agizo langu halijatekelezwa lakini kwa sababu nilimpa muda wa utekelezaji IGP kwa hiyo naamini litatekelezwa, saa nyingine watu hawajui kutengua mtu ni mamlaka na mimi ndiye nina mamlaka.

"Utekelezaji ndiyo unaendelea sidhani kama wamekaidi au IGP amekaidi kutekeleza agizo langu." amesema Kangi Lugola.

Juzi Kangi Lugola alitoa uamuzi huo wa kutengua uteuzi wa makamanda wa polisi wa mikoa mitatu akiwemo Salum Hamduni aliyekuwa Ilala, Emmanuel Lukula (Temeke) kwa kosa la kushindwa kusimamia mianya ya rushwa na utoaji wa dhamana kwa watuhumiwa.

Wabunge CCM Wampongeza CAG Kuitikia Wito Wa Kamati Ya Bunge

Waziri Mkuu Kuwapokea Watalii 300 Kutoka China

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameahidi kupokea kundi la watalii wasiopungua 300 ambao wanatarajiwa kuwasili nchini Machi, mwaka huu.

Watalii hao ni kundi la kwanza miongoni mwa watalii 10,000 wanaotarajiwa kuwasili nchini katika mwaka 2019 chini ya mpango unaosimamiwa baina ya Wizara ya Maliasili na Utalii, Bodi ya Utalii Tanzania na kampuni ya TouchRoad International Holding Group ya China.

Ametoa ahadi hiyo leo (Jumamosi, Januari 19, 2019) alipokutana na Mwenyekiti wa Touchroad Group, Bw. Liehui He na Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii, Jaji Thomas Mihayo ofisini kwake Mlimwa, jijini Dodoma.

Waziri Mkuu amefikia uamuzi huo baada ya kuelezwa na Bw. He huyo kwamba kundi hilo la watalii likiwa Djibouti litapokelewa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo na likienda Zimbabwe, litapokelewa na Rais wa nchi hiyo.

“Tanzania imeamua kuweka mkakati wa kuongeza idadi ya watalii nchini kwa kuboresha miundombinu ya usafiri na kukuza utalii kupitia vivutio vya vyakula vya asili, mavazi ya asili, wanyama, fukwe za bahari na milima. Kwa hiyo, ujio wa kundi hili kubwa, unatoa fursa mpya ya kutangaza vivutio vya nchi yetu,” amesema.

“Nitoe wito kwa Watanzania wanaoishi maeneo ya jirani na vivutio vyetu, wachangamkie fursa ya ujio wa watalii hawa katika maeneo mbalimbali. Wakifika Dar es Salaam, wanaweza kwenda Kigoma kuona Ziwa Tanganyika, mbuga zilizoko Nyanda za Juu Kusini, Arusha au vivutio vya Zanzibar. Tujiandae, tuwe tayari kuwauzia bidhaa mbalimbali,” amesema.

Pia amesema amefurahishwa na wazo lao la kuifanya Dar es Salaam iwe kitovu cha utalii (tourist hub) kwa makundi ya watalii ambayo yatakuja Tanzania na baadaye kutoka Tanzania kwenda Lusaka, Harare, Johannesburg na Djibouti.

Mwenyekiti huyo ambaye aliwasili nchini juzi, ameambatana na ujumbe wa watu 31 ambao unajumuisha waandishi wa habari, wasanii, wanamuziki na watu mashuhuri.

Akiwa Beijing, China, wakati akishiriki mkutano wa Jukwaa la Biashara baina ya Tanzania na China lililofanyika Septemba mwaka jana, Waziri Mkuu alikutana na uongozi wa kampuni ya TouchRoad ambayo ilionesha nia ya kutangaza fursa za utalii zilizopo hapa nchini.

Ziara ya Bw. He ni sehemu ya utekelezaji wa makubaliano yaliyoingiwa kati ya kampuni ya TouchRoad na Bodi ya Utalii ya Tanzania, Novemba 2018.

Mapema, Bw. He alimweleza Waziri Mkuu nia ya kampuni hiyo kutekeleza makubaliano yao ya kutangaza vivutio vya utalii vya Tanzania katika soko la China ili kuvutia watalii wapatao 10,000 waitembelee Tanzania katika mwaka 2019.

“Tumepanga kuleta watalii 10,000 kwa mwaka huu wa 2019 na tumeweka lengo la kuongeza idadi hiyo kwa asilimia 20 kila mwaka kwa muda wa miaka mitano. Pia tuna lengo la kuitumia ndege ya ATCL ili ilete watalii moja kwa moja kutoka Shanghai, China,” alisema.

Akielezea ujio wa kundi la kwanza la watalii, Bw. He alisema kundi hilo litakaa Djibouti kwa siku moja, Tanzania siku nne (tatu za kulala) na Zimbabwe siku tatu (mbili za kulala) na kisha kurejea China.

Alisema wanapanga kila mwezi wawe na kundi kubwa la watalii ambao watakuwa wanafikia Tanzania na kupelekwa nchi nyingine kwa sababu Wachina wengi hupenda kufanya utalii kwa siku walau 10, lakini wapelekwe maeneo matatu au manne tofauti kuona vivutio vya aina nyingine badala ya kukaa sehemu moja kwa kipindi chote hicho.

“Watalii hawa wakija kwa siku tatu au nne, wana uhakika wa kutumia dola za Marekani zaidi 2,000, wakienda eneo jingine watatumia fedha pia, namna hiyo tuna uhakika wa kuongeza pato la Taifa, lakini pia tuna uhakika wa kutengeneza ajira kwa Watanzania,” alisema.

(mwisho)

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya January 21

Rais Magufuli Ampongeza Felix Tshisekedi Kwa Kutangazwa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo-DRC

$
0
0
Baada ya Mahakama Kuu ya Kikatiba ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kumtangaza Kiongozi wa upinzani, Bw. Felix Tshisekedi kuwa mshindi wa uchaguzi wa Urais, Rais John Magufuli amempongeza Rais huyo mteule na kumuahidi kuendeleza ushirikiano.

Rais Magufuli ametoa pongezi hizo  Januari 20, ambapo mbali na kumpongeza Rais Mteule amewapongeza pia raia wa Kongo akiwataka kuduisha  amani.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Rais Magufuli ameandika, "Kufuatia hukumu ya Mahakama Kuu ya Katiba. Ninampongeza Felix Tshisekedi juu ya uchaguzi wake kama Rais wa DRC.

"Ninapongeza pia Wakongo wote, ninawasihi kudumisha amani . Ninaahidi kuendeleza uhusiano wetu wa kihistoria na wa kindugu".

Katika uchaguzi huo uliofanyika Desemba 30 2018, Mgombea Martin Fayulu alidai kuwa ndiye mshindi wa kiti hicho cha Urais, amezitaka Jumuiya za kimataifa kutomtambua Tshisekedi, akidai kuwa yeye ndiye mshindi halali wa uchaguzi huo.

CAG Kikaangoni Leo....Atua Dodoma Tayari Kwa Kuhojiwa na Kamati ya Bunge

$
0
0
LEO  macho na masikio ya Watanzania yatakuwa Jijini Dodoma ili kujua nini kitajiri katika mahojiano ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad  na Kamati ya Maadili ya Bunge.
 
Assad anafika mbele ya Kamati hiyo ya Bunge kutokana na wito uliotolewa na Spika wa Bunge Job Ndugai  January 7, mwaka huu kumtaka afike mwenyewe leo January 21 la sivyo Bunge linaweza kumfikisha mbele ya Kamati hiyo kwa pingu kuonesha kuwa wao sio dhaifu kama inavyodaiwa.
 
Aidha, mbali na CAG lakini pia Mbunge wa Kawe Halima Mdee (CHADEMA) naye ametakiwa kufika mbele ya Kamati hiyo kesho ili kuhojiwa pia kutokana na kile kilichodaiwa kuwa alinukuu maneno ya CAG. 

Chimbuko la sakata hilo ni mahojiano ya hivi karibuni wakati mkaguzi huo wa Hesabu za Serikali, alipokuwa akihojiwa na Mwandishi wa habari wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa na Mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa (UN), Arnold Kayanda.
 
Kayanda alimuuliza CAG kuwa Ofisi yake imekuwa ikijitahidi kila mwaka kufanya ukaguzi na kutoa ripoti zenye kuonyesha kuna ubadhirifu lakini baada ya hapo wananchi hawaoni kinachoendelea.
 
CAG alijibu:”Hilo ni jambo ambalo kimsingi ni kazi ya Bunge. Kama tunatoa ripoti zinazoonyesha kuna ubadhirifu halafu hatua hazichukuliwi, huo kwangu ni udhaifu wa Bunge. Bunge linatakiwa kusimamia na kuhakikisha pale panapoonekana kuna matatizo basi hatua zinachukuliwa.


“Sisi kazi yetu ni kutoa ripoti. Na huu udhaifu nafi kiri ni jambo lenye kusikitisha. Lakini ni jambo ambalo muda si mrefu huenda litarekebishika. Ni tatizo kubwa ambalo tunahisi Bunge linashindwa kufanya kazi yake kama inavyotakiwa.”
 
“Sitaki kuwa labda nasema hili kwa sababu linahusisha watu fulani, lakini ninachotaka kusema ni kuwa Bunge likifanya kazi yake vizuri, hata huu udhaifu unaoonekana utapungua.”alisema
 
Kauli hiyo ndiyo iliyomuibua Spika Ndugai na kumtaka CAG Assad kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Bunge ili ahojiwe kuhusu kauli hiyo ambapo Spika alidai imelidhalilisha Bunge lake.
 
Hatua ya Bunge kumwita Profesa Assad kumhoji, iliibua mjadala mkubwa kwa madai kuwa Spika hana mamlaka ya kumwita CAG na kutaka ahojiwe. 

Mvutano huo ndio uliomfanya Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe (ACT-Wazalendo) aandike barua kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola (CPA) Ma-CAG na Maspika wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), akiwataka waingilie kati sakata la Spika Ndugai na CAG Assad.
 
Zitto pia aliamua kufungua kesi mahakamani akishirikiana na wabunge wenzake wanne, wakiomba tafsiri ya Mahakama juu ya mamlaka ya Spika kwa CAG.
 
Hata hivyo, mwishoni mwa wiki iliyopita CAG Prof Assad alivunja ukimya kwa kusema kwamba yuko tayari kwenda kuhojiwa na Kamati ya Bunge kuitikia wito wa Spika.
 
Profesa Assad pia alisema neno ‘Udhaifu’ alililolitumia kulieleza Bunge, ni lugha ya kawaida sana katika taaluma yao ya ukaguzi.

“Ni wazi kuwa watu wengine wanaweza kuchukua tafsiri tofauti ya maneno kama haya. Yametokea malumbano makali na marefu katika nyanja zote za mawasiliano kuhusu rai, nafasi na maamuzi mbalimbali yaliyochukuliwa na viongozi.
 
“Januari 15, nilipokea wito wa kisheria ulionitaka kutokea mbele ya kamati ya Bunge tarehe 21 Januari mwaka huu, kwa mantiki ya kudumisha mahusiano mazuri kati ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali na Bunge, ninayo
nia ya kuitikia wito huo hapo tarehe 21” alisema.
 
Pia wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) walikaa kwenye Kamati ya Wabunge wa CCM(Caucus) kulijadili jambo hilo na kwa umoja wao walimpongeza Spika Ndugai kwa uamuzi huo huku wakidai kwamba Zitto anataka kuigawa nchi.

KCMC Yasitisha Kutoa Huduma ya Bima Kwa Makampuni Haya

$
0
0
Hospitali  ya Rufaa ya KCMC iliyopo mkoani Kilimanjaro imesitisha kutoa huduma kwa wafanyakazi wa makampuni saba yanayotumia bima za afya kutokana makapuni hayo kudaiwa zaidi ya shilingi bilioni 2.2.
 
Kwa mujibu wa Ofisa Habari na Mahusiano wa KCMC, Gabriel Chisseo, hospitali hiyo imelazimika kuchukua uamuzi huo baada ya makampuni hayo kushindwa kulipa madeni yake  yanayokadiliwa kufikia Sh. Bilioni 2.2.
 
Chisseo ameyataja Makampuni hayo kuwa  ni NSSF, AAR, Jubilee, Strategies, Ngorongoro, TPC na TANESCO ambapo amesema  baadhi yake yanadaiwa fedha za tangu mwaka 2016.
 
“Tuna mkataba na hizi taasisi, ule mkataba unaonyesha baada ya mwezi mmoja wawe wametulipa baada ya kutoa huduma kwa wanufaika wao, hadi sasa tuna madai ya tangu mwaka 2016 mpaka sasa.
 
“Kwa hiyo kwetu sisi tunapata mzigo mkubwa na wakumbuke
tumekuwa tuna jukumu la kutibu watanzania ambao hawana uwezo kupitia hiki hiki kiasi kidogo ambacho wananchi wamekuwa wanachangia,” alisema Chiseo.
 
Alisema uongozi wa hospitali umeshatoa taarifa kwa njia mbalimbali, hivyo ni wajibu wa wanufaika hao kwenda moja kwa moja katika taasisi na mashirika hayo kuwaeleza namna ambavyo wataweza kuhudumiwa baada ya huduma kusitishwa.

TADB, NFRA Wawahakikishia Wakulima Soko la Mahindi

$
0
0
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), kwa kushirikiana na Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula (NFRA), wameingia makubaliano kuongeza thamani ya mnyororo wa thamani wa zao la mahindi kwa kuhakikisha wakulima wa zao hilo wanapata soko la uhakika ili waweze kunufaika na kilimo.

Akizungumza baada ya kumaliza kikao cha pamoja, Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Japhet Justine, alisema wamekubaliana na NFRA kuhakikisha zao la mahindi linapata soko, jambo litakalompa uhakika mkulima kuendelea na kilimo cha zao hilo.

“TADB ilishatoa zaidi ya Sh. bilioni 3.4 kwa vikundi 22 vya wakulima katika kufanya kilimo cha kisasa cha zao la mahindi, hivyo kupitia kikao hiki tunawahakikishia wakulima wa mahindi soko la uhakika,” alisema Justine.

Alisema kwa msimu wa kilimo uliopita soko la zao la mahindi liliyumba, hivyo kupitia mazungumzo kati ya TADB na NFRA yataibua matumaini kwa wakulima wengi wa mahindi kwa kupata soko la bidhaa hiyo ambayo bei yake ilishuka kutokana na uzalishaji kuongezeka tofauti na mahitaji ya nchi.

“Pamoja na Shirika la Chakula Duniani (WFP) kununua zaidi ya tani 36,000 za mahindi bado shehena nyingi za mahindi zipo kwa wakulima, hivyo kama wadau wa sekta ya kilimo ni wajibu wetu kuhakikisha shehena hizo zinapata soko,” alisema.

Justine alisisitiza kuwa ili kumfanya mkulima kuendelea na kilimo cha zao hilo ni lazima ahakikishiwe soko la bidhaa yake itakayompa hamasa ya kulima kwa tija ili aweze kupata mavuno kwa wingi na tija inayotakiwa sokoni.

“TADB itaanda mkakati wa pamoja na NFRA utakaoleta mabadiliko makubwa katika mnyororo wa thamani wa zao la mahindi nchini, hii ni kutokana na changamoto mbalimbali zilizojitokeza katika msimu wa kilimo uliopita ulifanya zao la mahindi kushuka thamani,” alisema Justine.
 
Kwa upande wake Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa NFRA, Vumilia Zikankuba, alisema wamefanya mazungumzo mazuri na TADB ambayo yatawasaidia kama wakala katika kutekeleza majukumu yake ya kuhakikisha zao la mahindi linapata soko.

Kiboko Ya Matatizo Ya Nguvu Za Kiume, Maumbile Madogo Mvuto Wa Mapenzi

$
0
0
*************************
KIBOKO YA  MATATIZO YA  NGUVU  ZA  KIUME MAUMBILE MADOGO MVUTO  WA  MAPENZI .
MAGONJWA SUGU
*************************
Wanaume  wengi wana  upungufu wa  nguvu  za kiume nakuwa  na  maumbile madogo  ya kiume magonjwa kama  kisukari, presha, ngiri  korodani kuvumba, busha, tumbo kuunguruma na kujaa  gesi  na  kutopata  choo  vizuri, punyeto  NK.
___________________________
Huchangia kwa  kiasi kikumbwa upotevu  wa nguvu  za kiume tumia dawa nzuri ya  mitishamba ambayo haina madhara kwa mtumiaji ata uwe  na  miaka 80 inatibu na kumaliza matatizo  hayo:

 SUPER SHAFT 
********'****************
HII NI DAWA  YENYE  UWEZO  MKUBWA WA  KUOGEZA  NGUVU ZA KIUME MARA  DUFU NA MAUMBILE MADOGO  YA KIUME
************************
(1) Itakufanya uwe  na nguvu za  ajabu ukiwa unafanya tendo la ndoa.
___________________________
(2 ) Inaongeza hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi  ya mara  tatu bila kuchoka.
___________________________
(3)Itakufanya uchelewe kufika kileleni ndani ya dk 30 nakukupa nguvu ya ajabu.
___________________________
(4) Pia itakupa nguvu za kusimamisha uume wako barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
___________________________

NYATI POWER
*****************
INAREFUSHA NA KUNENE PESHA MAUMBILE YA KIUME  SAIZI UTAKAVYO kuazia Inchi 1 -8 unene sm 2-4.
*************************
(5) Itaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
___________________________
(6)lnasaidia kisafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia kuogeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.
___________________________
(7) Usaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
___________________________
(8) Inasaidia kuogeza  manini  nyingi abazo vinaviini vya  uzazi.
___________________________
(9)Husaidia kutibu  madhara ya punyeto.
___________________________
Matumizi makali ya madawa  ya kizungu mirungi, bangi na  sigara.
*************************
TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU, NGIRI, KORODANI KUVIMBA,  BUSHA BILA KUFANYIWA OPARESHENI, TEZI DUME, KISUKARI, PRESHA AINA ZOTE, UGONJWA WA MOYO STROKU. KWIKWI, KICHOMI MIGUU KUFA NGAZI NK
*************************
ANAPATIKANA MAGOMENI MIKUMI, KARIBU NA  KANISA KATOLIKI, TUMAINI HEARST CLINC NDIYO  SULUHISHO LA MATATIZO YOTE
*************************
PIGA  SIMU
📞0745495181 AU
📞0682644040 
*************************
WOTE  MNAKARIBISHWA
*************************
Kama huna nafasi ya kufika ofisini  kwetu  huduma  hii  utaletewa mahali  ulipo na wa mikoani  mtaipata kirahisi.
KWA MENGINEYO INGIA HAPA
*************************

Je Unaupungufu Wa Nguvu Za Kiume au Maumbile Mafupi na Membamba...Suluhu iko hapa

$
0
0
Acha kusubilia mpaka mke au mpenzi wako akwambie Mme wangu wewe ni dhaifu tuwepo kitandani,unatakiwa ujitambue mapema ,kwa mwanaume aliyekamilika  na mwenye nguvu za kutosha  ili kumridhisha mke au mpenzi wake anatakiwa awe na uwezo wa kurudia zaidi ya Mara mbili lakini kama unakomea moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe tu sio na yeye, ili uwe mwanaume mwenye uwezo kamili tumia dawa yako hii hapa

 SUPER MAJINJAS MIX; dawa hii ni tofauti na ambazo uliwai kutumia inamichanganyo ya miti na matunda zaidi ya saba ndio maana inakupa uwezo wa ,KURUDIA TENDO ZAIDI YA MARA TATU,NA ITAKUFANYA UCHELEWE KUFIKA KILELENI DAKIKA 10-15 KWA TENDO LA KWANZA,NA PIA HUIMALISHA MISULI ILIYOLEGEA NA KUSINYAA KWA WALE AMBAO WALIPIGA SANA PUNYETO,dawa hii ni ya vidonge na unga na haina madhara yoyote

MAKAKANUA NO 5 MPYA; dawa hii uboresha uume saizi upendayo UREFU WA INCHI 5,6,7,NA 8 NA UPANA WA CM 2,3,4 NA 5 dawa hii ipo ya kunywa na kupaka  na pia usahidia zaidi kwa mwanaume aliyefanyia tohara ukubwani,

ISENYE NO 3; hii ni dawa kwa wenye kisukari dozi siku 21 tatizo la kisukari na ndio chazo kikubwa cha kuishia nguvu za kiume,

NGWALUSA ; hii ni dawa ya uzazi ambayo ufungua milija ya uzazi ata kwa wale walifungwa uzazi,zipo dawa za busha,vidonda vya tumbo,miguu au viungo kufa gazi kupungza kitambi,minyama uzembe,na matiti makubwa 

TUNAPATIKANA DARES SALAAMU buguruni na MOROGORO YUPO WAKALA na MWANZA YUPO MTAA WA BIZA C, NA KAHAMA MJINI kwa mawasiliano zaidi piga simu 0744040721, 0683645920 DR BRUNO pia unaweza ukaletewa popote ulipo

Waziri Wa Maji Prof. Mbarawa Aongoza Zoezi La Kuotesha Miti 600 Mji Wa Serikali, Ihumwa Dodoma

$
0
0
Watumishi wa Wizara ya Maji wamepanda miti katika eneo la Ihumwa kwenye mji wa serikali zoezi lililoongozwa na Waziri wa Maji Profesa Makame Mbarawa.

Jumla ya miti 600 imepandwa na watumishi wa Wizara pamoja na viongozi akiwemo Katibu Mkuu Profesa Kitila Mkumbo, Naibu Katibu Mkuu, Mhandisi Emmanuel Kalobelo, Wakurugenzi na Wakuu wa Vitengo.

Profesa Mbarawa ameelekeza teknolojia ya kisasa ya umwagiliaji itumike ili miti yote ilipandwa ikue. Amesema kuwa zipo teknolojia mbali mbali za umwagiliaji ambazo wataalamu wetu wanatakiwa kuzijua na kuzitumia.

Zoezi la upandaji miti kwenye kiwanja cha Wizara liliwahusisha wataalamu wa misitu kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) ambayo imetoa miti hiyo ikiwa ni kampeni ya kulifanya jiji la Dodoma kuwa kijani.

Awali, Naibu Katibu Mkuu, Mhandisi Kalobelo alisema kuwa, tayari Wizara ya Maji ina kisima kitakachotumika katika umwagiliaji wa miti na bustani za wizara hivyo miti iliyopandwa itatunzwa kama inavyotakiwa.
 
Jumla ya watumishi 300 walishiriki zoezi la upandaji miti katika mji wa Serikali - Ihumwa kwenye kiwanja cha Wizara.

Waziri Ummy Mwalimu ataka waganga Wakuu Hospitali za Serikali kuwa wabunifu.....Akagua ujenzi wa kitengo cha watoto JKCI

$
0
0
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  imewekeza kiasi cha Sh1.2 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa kitengo cha watoto katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI).

Kujengwa kwa kitengo hicho kutaiwezesha JKCI kuwafanyia upasuaji wa kufungua vifua watoto 40 kwa mwezi kutoka 20 wa hapo awali pamoja na vyumba vinne vya madaktari wa kuona wagonjwa watoto wanaougua maradhi hayo kutoka kimoja cha awali.

Akizungumza baada ya ukaguzi wa kitengo hicho jana Jumapili Januari 20, 2019 Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu alisema Rais Magufuli tayari ameidhinisha Sh500 milioni kwa ajili ya kukamilisha ujenzi huo ifikapo Januari 28, 2019.

Alisema kitengo hicho kinachotarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi huu, kimegharimu Sh2 bilioni ambazo fedha nyingine Sh800 milioni zimetolewa na wafadhili Charity Baptism.

“Serikali awali iliweka Sh700 milioni na wiki hii mheshimiwa Rais ametoa Sh500 milioni kwa ajili ya kukamilisha ujenzi ili watoto wahamie katika jengo hili,” alisema Waziri Ummy.

Ummy alisema mwaka 2018 JKCI ilifanya operesheni nyingi zaidi kwa watoto hivyo anategemea mwaka huu zitaongezeka zaidi, “Hii itakuwa wodi ya kwanza kwa ajili ya watoto pekee kwa Afrika Mashariki walio wengi wanachanganya watoto na wakubwa.”

Katika hatua nyingine, Waziri Ummy amewaagiza waganga wakuu na wakurugenzi wote wa hospitali za Serikali nchini kuwa wabunifu katika kutatua changamoto katika maeneo yao ya kazi kama anavyofanya Mkurugenzi wa Taasisi ya Moya ya Jakaya Kikwete(JKCI),Profesa Mohamed Janabi.
 
Ummy Mwalimu alisema Profesa Janabi amekuwa akifanya kazi kubwa kutafuta wafadhili mbalimbali wa kuiwezesha taasisi hiyo, kupata miundombinu, Vifaa tiba pamoja na wataalam kutoka sehemu mbalimbali duniani kwa ajili ya kutoa huduma ya kitabibu na kutoa mafunzo pia kwa madaktari na wauguzi wa taasisi hiyo.

 
Kwa upande wake, Mkurugenzi mtendaji JKCI, Profesa Mohamed Janabi aLIsema kitengo hicho kipya kilichoanzishwa pembeni mwa jengo hilo kitakuwa na vitanda 32 kutoka 11 vya awali.

“Watoto walikuwa na vitanda 11 pekee lakini kwa sasa tutakuwa navyo 32 na vitanda vya ICU vitakuwa 15,” alisema Profesa Janabi.

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.


Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Kamati Yapendekeza Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi Waliyepigana Oifisi Waondolewe

$
0
0
Kamati iliyoundwa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira kuchunguza mgogoro wa kiuongozi wilayani Mwanga imependekeza mkuu wa wilaya hiyo (DC), Aaron Mbogho na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya (DED), Zefrin Lubuva waondolewe ama wote au mmoja wao.

Mghwira aliamua kuunda kamati hiyo kwenda kuchunguza mgogoro huo baada ya hivi karibuni Lubuva kudaiwa kupigana ofisini na ofisa mmoja wa wilaya hiyo, jambo lililozua sintofahamu ya kiuongozi wilayani humo.

Hatua ya viongozi hao wa Serikali kupigana ofisini ilielezwa kuwa ni baada ya mkurugenzi kutohudhuria kikao kimoja kilichokuwa kimepangwa kufanyika Januari 17, huku akituma mwakilishi.

Mghwira amesema wakurugenzi, wakuu wa wilaya pamoja na watendaji wengine wa Serikali mkoani humo wanapaswa kufanya kazi kwa kushirikiana na si kuendeleza migogoro ambayo haina tija.

Alisema mgogoro uliopo wilayani Mwanga na kitendo cha watendaji kupigana ofisini ni kufikia ukomo wa kufikiri na hakipaswi kufanywa na viongozi wa Serikali.

Alisema mawasiliano mazuri, uvumilivu na kuheshimiana kimamlaka ni jambo muhimu la kuzingatia kwani kutofanya hivyo kunachelewesha maendeleo ya wananchi.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images