Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

CHADEMA Wapinga na Kulaani Madai ya DC Sabaya Kumnyang'anya Freeman Mbowe Ofisi ya Ubunge

$
0
0
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Hai kimesema mkuu wa wilaya hiyo, Lengai ole Sabaya amepotosha umma kueleza kuwa amemnyang’anya ofisi mbunge wa jimbo hilo, Freeman Mbowe ilhali hajawahi kuwa na ofisi katika jengo la halmashauri hiyo.

Januari 14, Sabaya alitangaza kumnyang’anya ofisi ya ubunge Mbowe baada ya kueleza hajaitumia tangu mwaka 2010 hivyo itatumiwa na idara ya uhamiaji.

Wakizungumza katika ofisi ya mbunge huyo jana, mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Helga Mchomvu ambaye pia diwani wa Muungano alisema wanalaani kauli ya Sabaya kwa kuwa amepotosha umma.

Mchomvu alisema ofisi ya mbunge huyo ipo mji mdogo wa Bomang’ombe.

“Wananchi ondoeni hofu huduma katika ofisi ya mbunge zinaendelea kama kawaida, katibu wake yupo na ofisi haijawahi kufungwa, muda wowote wananchi njooni,” alisema.

Hata hivyo, Sabaya alipoulizwa kwa simu jana kuhusu madai hayo ya Chadema, alisema ameshafunga suala hilo hivyo wamwache aendelee na kazi za wananchi.

Mbowe yupo gerezani baada ya kufutiwa dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa madai kuwa alikiuka masharti ya dhamana yeye na mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko.

Bunge la Ujerumani Lapiga Kura.....Laukataa Mradi wa Stiegler's Gorge Tanzania

$
0
0
Bunge la Ujerumani limepitisha muswada wa kuitaka serikali ya Ujerumani itafute njia mbadala ya mradi wa Tanzania wa kuzalisha nishati ya umeme katika Bonde la Stiegler kwenye Mto Rufiji, kusini mwa Tanzania ili kulinda turathi na asili.

Wabunge wa vyama vilivyomo katika serikali ya mseto ya Ujerumani; CDU/CSU, Kijani na AFD walishiriki katika kupiga kura hiyo lakini chama cha mrengo mkali wa kulia cha AfD, hakikushiriki. Azimio la vyama vya CDU,CSU na SPD pia linatokana na mapendekezo ya Kamati ya Serikali ya Ujerumani ya Ushirikiano wa Kiuchumi.

Azimio lililopitishwa bungeni na vyama hivyo vilivyomo katika serikali ya mseto ya Ujerumani linaitaka serikali kuu isaidie katika masuluhisho ya kukidhi mahitaji ya nishati ya Tanzania bila ya kuathiri mazingira. Katika azimio lao, vyama hivyo vimesema mradi huo mkubwa wa kuzalisha nishati ya umeme utavuruga mfumo wa mto mmojawapo mkubwa barani Afrika.

Tanzania inakusudia kujenga bwawa kubwa la kuzalisha nishati ya umeme kwa kutumia nguvu ya maji kutoka kwenye Mto Rufiji. Sehemu hiyo ni muhimu kwa shughuli za kilimo za wakazi wake. Ikiwa mradi huo utaendelea,  Bonde la Stiegler ambalo ni miongoni  mwa turathi za Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), litapoteza hadhi yake na huenda likasababisha athari kubwa katika raslimali zilizopo kwenye sehemu hiyo.

Katika ombi lao kwa serikali ya Ujerumani, wabunge wa vyama vya CDU, CSU na SPD wamesema sehemu hiyo ya mbuga ya wanyama ya Selous nchini Tanzania ni eneo kubwa na kongwe la hifadhi ya wanyamapori barani Afrika.

Wabunge hao wamesema mradi huo wa bwawa la nishati utahitaji sehemu kubwa itakayotokana na kukatwa kwa miti na hivyo kusababisha athari kubwa katika mazingira, tabianchi na katika uchumi.

Wabunge wa chama cha upinzani cha FDP wameshauri kujengwa kinu cha nishati kutokana na gesi kwa sababu Tanzania inayo gesi ya kutosha iliyogunduliwa hivi karibuni.   Chama hicho kilichopinga azimio hilo,  kimeitaka serikali ya Ujerumani ifanye mazungumzo na serikali ya Tanzania.

CREDIT: DW

Kuwa Wakwanza Kupokea Habari Zetu....Download App Yetu Kwa Kubonyeza Hapa, Huhitaji tena kuwa na Computer

$
0
0
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa urahisi kabisa kupitia simu yako ya mkononi muda wowote hata usiku wa manane au ukiwa kazini...

Pata kurasa za mbele Magazetini, habari za kitaifa, matukio yote ya kisiasa, burudani na udaku   kupitia simu yako ya mkononi.

Huhitaji tena kuwa na Computer. Ingia Play Store, pakua App yetu  tukuhabarishe masaa 24.

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 56

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA
Nikagonga kidogo na ukafunguliwa. Biyanka akanipokea kwa sura iliyo jaa hasira sana, sikuhitaji kusemeshea kitu cha aina yoyote zaidi ya kuingia ndani. Nikavua koti langu na kulirusha kwenye kiti.
“Umetoka wapi na ulikuwa wapi na ulikuwa na unafanyaje na kwa nini ulinikatia simu kisha ukazima eheeee?”
Biyanka alizungumza kwa ukali sana ambao sikuujali, nikaka kwenye sofa na kuweka nne, nikailegeze vizuri tai yangu kisha nikapitia meseji za afande Kimaro. Nikajikuta nikinyanyuka huku nikiwa nimejawa na mshangao mkubwa sana mara baada ya kusoma meseji ya Afande Kimaro akidai kwamba Clara haonekani hospitalini na askari wake wawili alio kuwa amewaacha waimarishe ulinzi wameuwawa usiku wa kuamkia leo.

ENDELEA
Sikutaka kuendelea kujishauri kichwani mwangu kwa muda mrefu, nikaitafuta namba ya afande Kimaro na kumpigia, ikaanza kuita kwa muda kisha ikapokelewa.
“Ndio, afande”   
“Nimejaribu kukupigia simu yako kwa muda kidogo nikaona kimya”
“Ni kweli afande nilizima ili watu wale walio panga kuniaua wasiweze kunitafuta kwa kupitia simu yangu”
Biyanka akastuka macho yakamtoka, kwa haraka akanisogelea sehehemu nilipo simama. Uso wa hasira ambao ulikuwa umumtawala nikaushuhudia taratibu ukianza kumuondoka na kuwa mpole huku akinisikiliza kwa umakini kile nilicho kizungumza.
 
“Ahaa sawa sawa nina imani kwamba meseji zangu umewezeza kuziona?”
“Ndio nimeweza kuzioana kwa sasa mupo wapi?”
“Nipo kituaoni, unaweza kufika”
“Sawa ninakuja sasa hivi”
Nikakata simu na kuirudisha mfukoni.
“Ethan nitakuwa nimesikia vibaya, umesema kwamba kuna watu walihitaji kukuaa?”
“Ndio”
 
Nikaitafuta meseji ya vitisho niliyo tumiwa na nikamkabidhi Biyanka simu yangu kisha mimi nikaelekea bafuni kuweza kunawa ili niweze kutoa harufu harufu ya pafyumu za Qeen na Latifa. Nikatoka bafuni na kumkuta Biyakna akizungumza na simu.
“Ehee baba wanamtishia mume wangu anahitaji kumuua”
Nikataka kumzuia Biyanka asizungumze na baba yake juu ya hili swala ila nikajikuta nikiwa nimesha chelewa kumzuia.
“Ndio nimekutumia, tayari hiyo namba. Hembu  baba nakuomba basi watu wako wa usalama wamtuafute muhisika wa hili tukioa basi”
“Mume wangu anaogopa amekuwa ni mtu wa kuzima zima simu kila mara jamani”
 
Biyanka alizungumza kwa masikitiko makubwa akionekana ameguswa sana na hili swala.
“Ndio yupo hapa”
“Eheee”
Biyanka akanikabidhi simu yake nikaiweka sikioni.
“Shikamoo baba”
“Marahaba. Ethan una ugomvi na mtu wa aina yoyote?”
“Hapana baba yangu, Tanzania mimi sina hata rafiki kabisa, na nimeshangaa mtu huyo ni wapi  ameipatia namba yangu na kwa nini ananitisha ikiwa sijafanya jambo lolote baya”
“Punguza wasiwasi, swala lako  nitalihushulikia mwanagu sawa”
“Sawa baba yaani nimejikuta ninanunua gari jipya ili wasiweze kunikremisha kwamba ni mimi”
“Hahaaa, hivi huna mlinzi”
“Ndio kwa sasa sina mlinzi”
“Basi nitaagiza vijana wangu wawili wawe wanakulinda kila unapo kwenda. Nina imani wana ujuzi mkubwa sana wa kukufanya uwe salama kila muda”
“Nashukuru sana baba yangu”
 
“Sawa sawa, niwatakie mchana mwema na nitawajulisha mara baada ya kuweza kumkamata muhusika wa hili tukio”
“Sawa baba”
Nilijikaza kumuita tu baba, ila laiti kama angefahamu kwamba yeye ndio adui yangu namba moja basi asinge weza kujipendekeza sana kwangu. Simu ikakatwa, Biyanka kwa haraka akanikumbatia huku akilia.
“Jamani pole mume wangu, nilihisi kwamba unanisaliti jamani”
“Siwezi kukusaliti mke wangu, kwa nini nifanye hivyo ikiwa nina kupenda kuliko kitu chochote.”
“Nisamehe kwa kuweza kukufikiria vibaya mpenzi wangu. Nisamehe kwa kweli”
“Usijali mpenzi wangu. Nahitaji kuelekea polisi kwa sasa, tunaweza kuongozana?”
“Ndio”
 
“Nitolee nguo hapo kabatini”
Biyanka akaniachia na kufanya nilicho muagiza. Nikavaa nguo hizi huku nikijaribu na mimi kuweza kuumiza kichwa juu ya baba mdogo wa Clara tuliye mkamata ana kundi kubwa kiasi gani la kuweza kufanya mauaji ya kiasi hichi kisa kikubwa ni Clara.
“Usiwe na mawazo sana mume wangu, kila jambo litakuwa sawa”
Biyanka alizungumza kwa sauti ya upole huku akinitazama usoni mwangu. Tulipa maliza kujiandaa tukatoka ndani humu na kuelekea eneo la maegesho. Tukaingia kwenye gari langu hili jipya.
“Gari nzuri”
Biyanka alizungumza huku akilichunguza gari langu kwa ndani.
 
“Nashukuru, walinzi wako wapo wapi?”
“Gari zao zile pale”
Tukaanza kuondoka eneo hili taratibu huku gari za walinzi wa Biyanka zikitufwata kwa nyuma. Tukafika kituo kikuu cha polisi na moja kwa moja tukaelekea ofisini kwa afande Kimaro. Akatukaribisha kwa furaha kiasi huku wakionekana kufahamiana sana Biyanka.
“Ila baba anaendelea vizuri”
“Ndio anaendelea vizuri na nilisha mdokezea juu ya lile ombi lako la kuwa IGP”
“Akasemaje?”
“Kama kawaida yake, subiri nipate Ikulu mwanangu kila jambo litakwenda sawa”
 
Biyanka alizungumza huku akiwa ameiigiza sauti ya baba yake jambo lililo tufanya sote tucheke.
“Kumbe muna fahamiana na Ethan?”
“Ndio ni mume wangu mtarajiwa”
“Weee kumbe ningemkoromea mwanzoni nahisi hata hii nafasi ningepokonywa”
“Haaaa ndio”
“Nashukuru Mungu damu zetu mimi na Ethan zimeendana”
“Nanyi mumejuana vipi?”
“Ni swala la binti mdogo aliye muokoata nina imani kwamba atakuwa amekusimulia?”
“Binti gani mume wangu?”
 
“Yule niliye kuambia kwamba nimemuokota kule kwenye maegesho ya magari pale ofisini”
“Ahaaa…ehee amefikia wapi?”
Afande Kimaro akafungua faili moja na kulisogeza karibu yetu. Tukaona picha za askari walio uwawa katika mlango wa chumba ambacho alilazwa Clara.
“Muuaji ni mwanamke, sura bado hatujaweza kuifahamu na alivalia mavazi ya kidaktari na aliweza kuifumba sura yake kwa kutumia vile vitambaa vyoa wakiwa katika chumba cha upasuaji”
Afande Kimaro alizungumza huku akituonyesha picha za msichana huyo ambazo imerekodiwa na CCTV kamera. 
 
“Baada ya kufanya mauaji ya vijana wetu wawili, akaingia ndani na kumchukua mtoto nahisi alimchoma sindano ya usingizi, alimpakiza kwenye kiti kile cha magurudumu nakuanza kumsukuma kumpeleka nje na aliweza kuzi vunja kamera za nje ambazo hatukuweza kujua aliondoka pale hospitalini kwa gari gani”
 
“Ila pale hospitalini niliweza kumuona mlinzi naye hakuona jambo lolote?”
“Mlinzi hadi sasa hivi hajulikani ni wapi alipo. Ila vijana wangu wanaendelea na msako mkali sana na watahakikisha kwamba wanamtia nguvuni msichana huyo”
Nikashusha pumzi nyingi huku nikionekana kuchoka sana.
“Je muhusika wa namba ambaye amenipa vitisho vipi?”
“Yule muhisika bado tunaendelea kuitafuta namba yake kwenye mitandao ila bado hatujampata”
“Basi utanifahamisha kile ambacho kitaendelea”
“Sawa Ethan”
 
“Kimaro, jitahidini basi, mume wangu mumemfanya aishi maisha ya woga ikiwa yupo Tanzania nchi yenye amani kuliko nchi zote Afrika bwana”
“Usijali nitahakikisha hili swala linakwenda kuwa sawa hivi karibuni”
“Sawa tunashukuru”
Tukaagana na afande Kimaro na kutoka ofisini humu. Tukaingia kwenye gari letu huku kichwa changu kikiwa na msongamano wa mawazo.
“Utaweza kuendesha kweli mume wangu?”
Nikamjibu Biyanka kwa kutingisha kichwa nikimaanisha kwamba sinto weza kuendesha gari hili. Nikampisha Biyanka kwenye siti ya dereva na tukaondoka eneo hili la kituo kikuu cha polisi cha kati.
 
“Kichwa chako mume wangu hakipo sawa, unahitaji tuelekee wapi kupata mapumziko”
“Nahitaji kwenda kulala sasa hivi”
“Huitaji kukaa labda kwenye sehemu ukapunga upepo wa bahari hivi”
“Nahitaji kulala, watu wananiwinda. Unataka wakaniulie huko baharini ehee?”
Nilizungumza kwa ukali kidogo huku machozi yakinilenga lenga usoni mwangu. Biyanka akajawa na unyonge ulio mfanya ajikute akiomba msamaha pasipo kunifanyia jambo lolote baya. Tukafika hotelini na kuingia chumbani kwetu.
“Ethan naona ni vyema nikakuacha peke yako upumzike, ninaelekea nyumbani nitarudi usiku”
 
“Sawa”
Biyanka akanitazama kwa muda kidogo kisha akanisogelea na kunibusu mdomoni mwangu.
“Ninakupenda sana mume wangu”
“Ninakupenda pia mke wangu”
“Kweli?”
“Ndio au unahisi kwamba nina kudanganya?”
“Hapana mume wangu, nashukuru kwa kunipenda”
“Poa”
Nikajitupa kitandani, Biyanka akanitazama kwa unonge sana kisha akanivua viatu, akaviweka sehemu yake, akataka kunivua suruali ila nikamzuia kwa ishara.
“Nenda tu nyumbani”
“Sawa mume wangu”
Biyanka akanibusu shavuni kisha akatoka ndani humu. Nikanyanyuka kwa haraka hadi mlangoni, nikaufunga vizuri kwa komeo, kisha nikaitoa simu yangu mfukoni na kumtafuta Camila nina imani kwamba atakuwa amenitafuta. Simu ya Camila ikaanza kuita, kisha aikapokelewa.
“Niambie mume wangu”
“Poa baby vipi?”
“Safi, leo nimehitimu mafunzo yangu ya juto, kung fu na taikondo”
 
“Umeyasomea wapi hayo mafunzo”
“Si Dany amenifundisha, yaani hapa nipo vizuri sana. Mtu anizingui kabisa”
“Hahaa kama ninakuona vile”
“Weee yaani, siku nikikufuamania na mwanamke, yaani nitampiga hadi ajute kuzaliwa”
Tabasamu nililo kuwa nalo usoni mwangu, likapotea gafla kwani hiyo ni si taarifa nzuri kwani huku nilipo nimesha tambulishwa kabisa.
“Sawa mama”
“Mbona unanijibu kwa unyonge”
“Hamna, mwenzangu sasa hivi upo vizuri, mimi bado”
“Nitakufundisha. Uzuri wa mke wako kichwa changu kina shika mambo kwa haraka na ninaweza kumsaidia hata mtu mwengine katika swala zima la kumfundisha”
 
“Sawa, ehee niambie”
“Kesho ninaanza mazoezi mawili ya mwisho, moja ni kutumia upanga na na jengine kutumia silaha”
“Mmm angalia asije kufundisha ugaidi bure”
“Hahaaa hii ni kwaajili ya kujilinda na familia yetu. Natambua baba wewe una mambo mengi kwa namna moja ama nyingine mimi mama nitasimama kama mlinzi wako”
“Hahaa, haya bwana mama watoto”
“Nikimaliza, tunarudi Ujerumani, ume umemaliza, hujamaliza tunarudi Ujerumani. Mama yangu amenimiss sana”
“Sawa mpenzi wangu, wanaendeleaje lakini?
 
“Wanaendelea vizuri”
“Nashukuru kusikia hivyo”
“Fanya uwasiliane nao”
“Poa mpenzi wangu”
“Haya baadae, tambua nina kupenda na kukuhitaji. Mtu akijichanganya kwako nami ninamchanganya kisawa sawa”
“Hahaa haya bwana mama”
Nikakata simu, nikaitafuta namba ya mtu ambaye amenitumia meseji ya vitisho, nikampigia ila kwa bahati mbaya nikakuta kwamba hapatikani hewani. Gafla nikamuona Ethan akiwa amekaa kwenye moja ya sofa huku akiwa amevalia suti nyeupe na inayo ng’ara vizuri.
 
“Naona unaumiza kichwa sana kwa mtu aliye kukoromea?”
“Wewe unahisi nitakuwa na furaha jaaa yangu”
“Hhaaa….hawawezi kukuua”
“Wewe umesha mfahamu mtu ambaye amenitishia?”
“Ninaweza kumfahamu”
“Ni nani”
“Vaa viatu twende”
Nikavaa viatu na tukatoka katika chumba hichi na Ethan, watu ninao kutana nao njiani hawawezi kumuona Ethana zaidi ya mimi pekee, nikakabidhi kadi ya chumba changu mapokezi na tukaingia kwenye gari. Ethan akaanza kunielekeza hadi kwenye moja ya gorofa moja linalo jenge na halijamaliziwa.
 
“Simamisha gari hapa, tukifika pale mambo yanaweza kuwa mabaya”
“Kwani ni kina nani?”
“Wewe twende”
Nikasimamisha gari kwenye mitimiti kadhaa, tukashuka kwenye gari na Ethan akanisogogelea na kunishika mkono wangu wa kulia na kuniambia kwamba hakuna mtu ambaye anaweza kuniona nikitembea katika eneo hili. Tukapandisha hadi gorofa ya tano, nikaanza kusikia vilio vya mtu akigugumia kulia kwa kipigo anacho kipokea kutoka kwa mtu anaye mpiga. Tukaingia kwenye chumba hicho, sikuamini macho yangu mara baada ya kumkuta baba mkwe, Biyanka pamoja na walinzi wapatao kumi huku Biyanka akimpiga kijana huyo kwa rungu kubwa.
 
“Niliwakanya mucheze na kote ila si kucheza na mume wangu. Kama muna fanya kazi chini ya baba yangu mufanye tu ila si kumgusa mume wangu sawa wewe mwana haramu”
Biyanka alizungumza  huku akihema, akafuta jasho linalo mtiririka usoni mwake, kisha akaandelea kumshushia marungu kijana huyu huku baba yake akitabasamu kwa binti yake kuifanya kazi hiyo ya kikatili sana.

==>>ITAENDELEA KESHO

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

MWIFU: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0782682648  au 0656 551 093  au 0746473974

Je Kwanini Baadhi Ya Wanaume Wengi Wana Ukosefu Ama Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

$
0
0
JE KWANINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UKOSEFU AMA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO ???

Pata sululisho la matatizo haya na  magonjwa mengine utapona kwa mda mfupi sana hatakama ulihangaika mpaka ukakata tamaaa 

GALIMBO 3 MIX  ni dawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa aina mbili ili kukidhi mahitaji ya mtumiaji, imetengenezwa kwa muundo wa vidonge pamoja na unga kwaajili ya kuponesha tatizo moja kwa moja , huimalisha misuli ya uume iliyolegea wakato wa tendo la mdoa ,na kukufanya ucherewe kufika kileleni kwa mda wa dk ( 20 - 45 ) itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu nira hamu kuisha wara kuhisi kuchoka vilivile huzalisha viini vya uzazi ( manii ) 

YOLAN  hurefusha na kunenepesha  maumbile madogo ya uume na kuwa na uume kuanzia nchi (6-8) tiba kwa mda mfupi sana

Zipo sananu nyingi sana zinazosababisha matatizo hayo  km vile -:punyeto, kisukali,ngili,chango,vidonda vya tumbo,  tumbo kuunguluma na kujaa gesi maumivu ya mgongo ama kiume ,kolodani moja kuvimba ama kuingia ndani  presha nk 

Matatizo haya yote sio mageni, kigeni ni tiba sahihi ya kuponesha matatizo hayo

SUPER MBUKE -:  nidawa ya kuponesha tatizo la kisukali kwa mda mfupi sana , usihangaike wara kuteseka tumia dawa ya mitishamba kwaajili ya tatizo hili na upone kabisa

NTINJIWA  nidawa ya mvuto wa biashara,kazi, kupandishwa cheo,kumfanya mfanyakazi apendwe na bos wake

Pia ninadawa za kumvuta mme , mke,mchumba,hawara, au mtu yoyote unaemuhitaji katika maisha yako hata km yupo mbali na atatulia na kukutimizia cjovjote utakacho na kumfunga asiwe na mtu mwingime ,

Pata tiba za magonjwa mbalimbali ikiwemo miguu kuwaka moto, mgongo,bawasili ,kaswende ,gono na mengine mengi

KWAUSHAULI NA TIBA WASILIANA NA DR CHIKAGO    0743543944   0620510598

Km huna nafasi ya kufika ofisini hudumahii utaletewa hapo ulipo , kwa wale wa mikoani natuma kwanjia ya basi

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 196 na 197 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA     
  
Swali la Jojo likanifanya niyanyanyue macho yangu taratibu hadi kwenye kioo kidogo kilichopo mbele yangu na kumtazama Magreti kwa nyuma.
“Unaogopa kujibu kisa Magreti, usimfiche bwana. Magreti mimi baba yangu ni malaya, sasa kama unampenda jiandae kuumia tu”
Nikajikuta nikikausha kimya, hata kufungua kinywa changu ninashindwa.
“Yaani kama baba angekupata leo, wewe ungekuwa msichana wa mia moja”
“Mungu wangu”
Magreti alizungumza huku akinitazama vizuri kwa kunichukungulia usoni.
“Hivi Dany huna ukimwi kweli wewe?”
Swali la Magreti likazidi kuninyong’onyeza kiasi kwamba nikashindwa kujibu chochote na kuendelea kukaa kimya

ENDELEA   
“Huwezi kuamini nikikuambia baba yangu hana Ukimwi kabisa, japo amekuwa na wanawake wengi sana”
“Mmmmm”
 
“Kweli vile hata ukisema umpime hapo sasa hivi hana, japo alitembea na wanawake ambao wana maambukizi ya magonjwa hayo”
“Munanitania nyinyi”   
“Kweli vile, damu ya baba yangu ni toafuti sana na damu za watu wenginene, haipokei maradhi kabisa”
“Mmmmmmm”
“Hembu hizo mada zife”
Nilizungumza kwa sauti nzito na kuwafanya Magret na Jojo kutabasamu. Tukasimamishwa kwenye moja ya kwenye moja ya kituo cha ukaguzi. Nikataka kutoa bastola yangu ila Jojo akatingisha kichwa.
“Musiogope najua nini cha kufanya”
Tukatulia tu kwenye siti zetu, Jojo akafungua kioo chake.
“Habari yako binti”
Askari huyu alizungumza huku akimtazama Jojo.
“Salama tu kaka, shikamoo”
“Marahaba, una umri  gani binti?”
“Miaka ishirini”
“Ninaomba leseni yako”
Jojo akatoa leseni yake, askari huyu akaitazama kwa muda, kisha akamrudishia Jojo.
“Unaelekea wapi?”
“Ninakwenda Dar”
“Kuwa makini barabarani, kwa maana kwa msichana mdogo kama wewe kuendesha masafa marefu ni hatari kidogo”
“Sawa kaka afande nitajitahidi kuwa makini”
“Sawa binti, je ninaweza kuipata namba yako ya simu”
“Hahahaa hapana”
 
“Basi chukua ya kwangu ili hata huko mbele usisumbuliwe sumbuliwe na askari wengine”
“Mmmmm sawa naomba uniandikie kwenye karatasi”
“Huna simu nikaiandika namba yangu haraka haraka”
Polisi huyu alizungumza huku akitazama tazama humu ndani ya gari kitu nilicho kigundua kwa uharaka ni kwamba askari huyu hajagundua uwepo wetu ndani ya hili gari. Jojo akampatia askari huyu simu yake, askari huyu akaiandika kwa haraka huku akitazama wezake kama wanao tukio hili kishaa kamrudishia Jojo.
“Niaitwa afande Mweta, utanipigia mtoto mzuri”
“Asante Afande Mweta”
 
“Karibu sana, wewe wakikusimamisha tu nipigie”
“Sawa afanye”
“Una pesa ya mafuta?”
“Mmmm ninayo”
“Ok nilijua huna nikupatie japo kidogo mtoto mzuri”
“Unaweza kunipatia?”
Askari huyu akarudi kutazama tazama wezake kisha akafungua mfuko wake wa shati na kutoa dola mia na kumpatia Jojo.
“Hiyo utabadilisha, mtoto mzuri, hakikisha unanipigia basi sawa Jojo”
“Sawa afande”
“Safari njema mrembo”
Afande Mweta alizungumza huku meno yote thelathini yakionekana. Jojo akafunga kioo cha gari na tukaondoka eneo hili.
“Hivi unataka kusema kwamba huyo afande hajatuona?”
Nilimuuliza Jojo huku nikimtazama usoni mwake.
“Nimewapoteza ndio maana akawa anajishebedua”
“Yaani wanaume nyinyi, utakuta yule mbaba ana mke na watoto, ila kamuona Jojo hapa kashoboka laiti ungemuonyeshea kama ulivyo nionyeshea mimi vituko ninahisi angekufa kwa presha”
 
“Weee sio kufa tu angeacha hata hiyo kazi yenyewe”
“Hahaaa”
Nilijikuta nikicheka tu, huku nikimtazama Jojo na Magret ambao tayari wamesha onekana kuzoeana. Tukafika jijini Dar es Salaam majira ya usiku, hatakuona haja ya kusimama sehemu yoyote na tukaelekea Kigamboni kwenye fukwe ambayo ndipo yalipo maficho yetu, tukakuta boti ikitusubiria huku wasichna wawili wa Livna ndio wanao linda hili eneo.
Safari ikaanza huku wasichana hawa wawili wakimtazama Jojo, simu yangu ikaita, nikaitoa mfukoni na kukuta Livna akinipigia, nikamtazama Jojo kisha nikaosogea pembeni na kuipokea.
 
“Niambie”
“Huyo aliye ongezeka ni nani?”
“Tutakuja kuzungumza?
“Dady usijiokotee okotee watu tu ukawaleta huku ikiwezekana muue”
“Livna nimekuambia kwamba tutakuja kuzungumza nikifika, mimi sio kichaa wakusema sielewi kile kitu ninacho kifanya, wewe tulio utajua kila kitu nikifika”
Livna akaka kimya kwa sekunde kadhaa akionekana kujifikiria.
 
“Dany kumbuka kwamba haya ni maficho muhimu sana, huyo msichana utamuamini vipi au umemjulia wapi?”
“Livna hivi hunielewi ninavyokuambia  kwamba nitakuamia kila kitu nikifika huko au huniamini?”
Ilinibidi kuzungumza kwa ukali kidogo ili kusisitizia msimamo wangu kwa Livna ambaye tayari nimesha ziteka hisia zake za mapenzi.
“Ninakuamini”
“Sasa maswali mengi ya nini, unahisi kwamba mimi ni mjinga niokote okote watu?
“Naomba unisamehe mpenzi wangu”
“Poa”
 
Nikakata simu, Jojo akanisogelea huku akinitazama usoni mwangu.
“Kumbe baba yangu na wewe unakoromea watu”
“Kwa nini?”
“Ninaona jinsi unavyo mkoromea Livna hapo kisa mimi?”
“Usujali mwangu ni mambo ya kawaida tu”
“Ila kama hawato nihitaji tunaondoka kwenye meli yao kwa manaa siwezi kuishi mbali na wewe baba yangu, nilikusubiria kwa muda mrefu japo nilifahamu ni  sehemu gani upo ila nilishindwa kukufwata”
“Kwa nini ulishindwa kunifwata?”
“Mama aliniambia kwamba nitakutana na wewe siku fulani, katika eneo fulani na katika hali fulani na ndivyo ilivyo tokea”
“Sawa”
 
“Ni kweli mama alikuwa na maana yake kwa maana ningekufwata kwa njia ya kawaida tu hivi na kukuambia kwamba mimi ni mwanao ungenikubali?”
“Ningealia na maelezo yako kisha ningekupima kwa maswali kadhaa kama usinge nijubu kama ninavyo hitaji ningekukataa”
“Ila kwa nini ulinikubali haraka?”
“Kwa sababu mama yako aliniambia kwamba mwanangu atakuja kunisaidia nikiwa na matatizo”
“Ahaaa sawa”
 
“Baba na mwana munazungumza nini?”
“Ahaaa stori za kawaida tu”
“Ila Dany umejitahidi kumpata Jojo ni mzuri sana”
“Hahaaaa, unajua ni nini Magreti”
“Eheee”
“Unaonaje kuaolewa na baba yangu?”
“Weee ongea taratibu nisije nikasikiwa nikauwawa bure”
“Nani akuue?”
“Huyo ni mume wa mkuu wangu Livna”
“Mmmmm mbona baba Livna amekupita umri, hembu mchukue Magreti anaendana na wee”
“Sasa nitamchukuaje ikiwa ana ujauzito wangu?”
“Mmmm hana mimba, kizazi chake hakina uwezo wa kushika ujauzito?”
 
“Acha kunitani?”
“Kweli kabisa baba yangu, yule mwanamke anakupotezea muda, na yeye anajijua kabisa kwamba hana uwezo wa kubeba ujauzito”
“Hayo makubwa, ila jamani zungumzeni taratibu hawa wapambe watatusikia?”
“Hapana hawatusikii, niwewaziba masikio yao na wakizungumza wao kwa wao wanasikiana”
“Hivi unawezaje kufanya hayo yote?”
“Hahaaaa, ninaweza ila tukienda nyumbani nitaweza kukufundisha”
“Sawa”
“Jamani na mimi ninataka kwenda, kusema kweli kwa siku hizi kadhaa nilizo kuwa nje ya ile meli nimefurahia sana maisha. Sikuwahi kukumbatiwa na mwanaume ila baba yako ameweza kufanya hivyo”
“Hahaa masikini weee kumba ndio umekumbatiwa leo?”
“Ndio”
 
“Mkumbatie sasa hivi?”
“Nyie hembu acheni ujinga”
“Hahaaa baba ujinga gani, unamridhisha kidogo tu”
“Hayo mambo yataendelea muda mwengine sio sasa”
Tukafanikiwa kufika katika meli salama Salim, tukamkuta Livna na Logate wakitusubiria katika eneo hili. Tukasalimana na wakamsalimia Jojo, tukaongozana moja kwa moja hadi katika chumba cha mapumziko na Magreti akaelekea katika chumba chake.
“Livna huyu anaitwa Jojo ni mwanangu”
Nilizungumza huku nikimtazama Livna usoni mwake, akaonekana kujawa na mshangao mkubwa sana bada ya kusikia kwamba jojo ni mwanangu.
 
“Lini Dany umekuwa na mtoto mkubwa kama Jojo sijui Jojo gani huko?”
Livna alizungumza kwa sauti iliyo jaa dharau kidogo, nikamtazama Jojo, nikamuona anavyo benua midomo yake naye akimtazama Livna.
“Mimi si mwanaume na lazima niwe na mtoto”
“Dany nimekukubalia Hawa azae hapa, nimekukubalia Yemi azalie hapa, leo hii unaniletea mtoto ambaye ni mkubwa kabisa anaye weza kujitafutia, yaani kusema kweli sipo tayari kabisa kumlea huyo mwanao, kumbuka kwamba mimi umesha nipa ujauzito na mimi”
Jojo akaachia msunyo mkali sana hadi Livna akamtolea macho ya hasira.
 
“Mwaharamu mkubwa wewe, unakazi ya kumuongopea hapa baba yangu kwamba una ujauzito, yaani huna chochote wala huna uwezo wa kubeba ujauzito. Umesahau miaka kumi nyuma kizazi chako kilifanywaje kule Urusi?”
Jojo alizungumza huku akiwa amemkazia macho Livna aliye nitazama kwa macho yaliyo jaa wasiwasi.
“Hivi unahisi hiyo roho yako mbaya unaweza kuibadilisha na kuwa nzuri, eheee?”
Jojo alizungumza kwa suati ya ukali na kumfanya Livna kutulia kwa muda kidogo huku macho yakiwa yamemtoka sana.
“Baba yangu alikuthamini sana na kukuamini ila sio hicho kitu ambacho unahitaji kukifanya kwa watu wake.”
 
“Ulipanga kumuwekea sumu, Yemi na Hawa, ili wafe na mimba zao na wewe ubaki na mimba hewa ni uongo?”
“Livna ni kweli anacho kizungumza Jojo?”
Livna akaka kimya huku macho yake akiwa ameyaelekezea chini.
“Unahisi unaweza kummiliki baba yangu, baba yangu moja ni mzuri, pili anajiweza na kujitambua. Kwa nini unataka kumrudisha nyuma ikiwa ninajua nina wadogo zangu wawili wanao kuja?”
“Livna nimekuiliza ni kweli?”
Nilizungumza kwa hasira huku nikipiga meza hii hadi Livna akastuka macho yakamtoka mwili mzima ukamtatetemeka. Waswahili wanasema kwamba ukimya nao pia ni jibu. Nikanyanyuka kwa haraka na nikamshika Livna mabega yake na kumnyanyua juu, nikamsogeza hadi ukutani huku nikiwa nimekasiria sana na macho yamenitoka.
 
“Kwa nini Livna unakuwa na roho za Kiswahili, kwa nini usingeniambia mapema kwamba nisiwalete hapa hao wasichana wa watu eheeee?”
Nilizidi kuzungumza kwa uchungu sana huku machozi ya hasira yakinimwagika usoni mwangu.
“Da……d….”
Livna alishindwa kabisa kuliita jina langu, kinywa chake kimejawa na uzito ambao hakuutarajia kuupata kwa muda huu.
 
“Unahitaji niondoke hili eneo si ndio?”
“Hapana Dany, ninakupenda, ninakuhitaji mume wangu”
“Unahitaji kwa upuuzi huo wa kuhitaji kuwaua wezako eheeee. Wamekukosea nini viumbe wa watu  ambao wapo matumboni mwa hao wasichana. Kumbuka zile ni damu zangu, ni damu zangu kama ilivyo kwa Jojo pale, bora nife mimi kuliko zife damu zangu kwa nini lakini Livna”
“Dany na mimi nina wivu, na mimi nina wasiwasi wa kuachwa na wewe ukigundua kwamba sina mimba na wezangu wana mimba”
“So umeona njia ya kuwaua wao ndio sahihi si ndio eheheeee?”
Nilizunguma kwa ukali huku mwili mzima ukinitetemeka kwa wasiwasi.
“Sasa na Magreti eti pia unamuonea wivu ukapanga ukirudi umkamate na umtese ili akujibu ni kitu gani ambacho amekifanya huko na baba yangu”
 
Mameno ya Jojo yakazidi kunipatandisha hasira laiti kama ningekuwa na wezo wa kama Joho ningeuchomoa moyo wa Livna ambao kumbe umejaa uhasama mkubwa sana juu ya watu wenye ukaribu wangu.
“Magreti naye anatatizo gani, amekufanya nini binti wa watu ambaye hata swala la mapenzi halijuia. Hivi unahisi wezako hawana hisia, hawana miooyo hawana roho za kupenda kama unavyo penda wewe eheeee?”
Livna machozi yakazidi kumwagika usoni mwake, maneno ya kujitetea yakamtoweka kabisa akilini mwake.
“Si unaogopa mimi kukuacha, basi nitakuacha kuanzia hivi sasa mimi na wewe basi. Na kama kunisiaidia, mwisho uwe leo na nitajua nitafanya nini, nikifungwa, nikikikamatwa nikiuwawa yote ni kwa ajili ya dhambi zangu nilizo zifanya na nipo tayari kuzitumikia kwa namna yoyote na muda wowote. Nitaondoja na kila nilite kuja naye hapa, pia nitaondoka na Magret kwani ndio mwanamke ambaye ameziteka hisia za moyo wangu na ndio aliye kubaliwa na mwanangu awe mke wangu. Kwaheri”
Baada ya kumaliza kuzungumza maneno hayo nikamuachia Livna aliye toa ukunga mkali wa kulia kwani alicho kisikia ninaimani ni sawa na mkuki ulio uchoma moyo wake na kuutoboa tundu ambalo halito pona kabisa kwenye maisha yake.
 
AISIIIII……….U KILL ME 197

“Bye”   
Jojo alizungumza huku akinikimbili kwa nyuma, tukatoka katika chumba hichi. Tukaelekea katika chumba anacho ishi Hawa na Babyanka. Nikawakuta wakiwa wamekaa vitandani.
“Jiandaeni tunaondoka, Winy yupo wapi?”
“Jamani Dany hiyo ndio salamu?”
Hawa alizungumza huku akinitazama usoni mwnagu.
“Salamu ya kazi gani hembu chukueni kila kilicho chenu ninahitaji tuondoke hapa sasa hivi sawa?”
Nilizungumza kwa ukali sana.
 
“Hawa jifunze kusoma alama za nyakati”
Babyanka alizungumza huku akishuka kitandani mwake.
“Hata kama huo sio ustarabu, kukerwa akerwe na wengine hasira aje kutumalizia sisi, na unataka twende wapi?”
Hawa alizungumza kwa kujiamini huku akisimama, nikamtazama kuanzia juu hadi chini, kisha nikayarudisha macho yangu tumboni mwake na kuona ukubwa wa tumbo  umeongezeka.
“Tunaondoka katika hii meli, sihitaji nilio kuna nao humu kuendelea kuishi humu”
“Kwa sababu gani?”
“Livna alihitaji kuwau wewe na Yemi ili musiweze kuzaa watoto wenu”
Jojo aliniwahi kunijibu na kunifanya nimgeukie na kumtazama.
“Wewe ni nani unaye ingilia vitu visivyo kuhusu?”
“Nimwanangu”
“Mwanao…..!!!?”
 
“Unanitumbulia nini macho, ndio ni mwanangu”
“Hahahaaa Dany sasa unakuwa mwenda wazimu. Mtoto wa watu umemchukua humu humu ndani unajidanganya ni mwanao au ni wahiyari”
“Mwanangu wa kumzaa”
“Hhaaaa uwiiiiii, jamani hahaaa kumbe kuna siku ambazo unachangayikiwa. Sasa kama umechanganyikiwa siwezi kuondoka humu, nitmzaa mwanangu humu na atakulia humu sawa?”
Maneno ya Hawa yakazidi kunikera na kunipandisha hasira, nikatamani kumzaba kofi ila nikajikuta nikiuzuia mkono wangu kwa kukunja ngumi kwani ninafahamu kwamba nikimtandika ngumi itanigrimu sana kwenye maisha yangu na yake.
“Sijasingiziwa, huyu ni baba yangu wa damu, hata ukitupima DNA, basi tupo sawa”
 
“Heee makubwa haya”
“Babyanka hakikisheni kwamba munakusanya kila kilicho chenu tunaondoka hapa?”
“Siwezi kuondoka hapa, ninakuomba unisamehe”
“Unasemaje?”
“Nimesema kwamba siwezi kuondoka hapa ninakuomba unisamehe, sina sehemu ambayo nitakwenda na kuishi kwa amani kama ilivyo hapa kama Livna anahitaji kuwaua hawa basi ni acha na mimi nife tu”
“Mimi pia siondoki, una sehemu gani ya wewe kwenda kutuweka na kuwa salama?”
Hawa alizungumza kwa dharau sana.
“Baba tuondoke zetu”
Jojo alizungumza huku akinishika mkono.
“Baba huwezi kuwabadilisha hao, tayari wamesha kuwa wana ndoa, wanamahusiano ya jinsia moja”
Nikawaona Babyanka na Hawa wakistuka sana, wakatazamana na nikaona sura zao jinsi zinavyo poteza furaha. 
 
“Ni kweli anacho kisema Jojo?”
Hawa na Babyanka wakashindwa hata kunijibu na macho yao hayakuwa na ujasiri kabisa kunitazama usoni mwangu, nikakumbuka siku nilipo wakuta wakiwa wamekumbatiana na wamelala uchi kabisa.
“Tuondoke baba”
Jojo alizingumza huku akinishika mkono tukatoka chumbani humu na kukutana na Ester kwenye kordo akiwa ameongozana na wasichana wengine wanne wakiwa wameshika bunduki mikononi mwao.
 
“Dany samahani, ninafwata amri ya mkuu. Tumeambiwa tumkamate mwanao”
“Kwa kosa gani?”
“Sijajua kwa kweli, ila nimeambiwa nimemkamata”
“Ester natambua kwamba wewe ni mtendaji mzuri kwa Livna na hata kwangu ulifanya kila kitu kunisaidia kwa chochote ambacho nilikuomba kukifanya. Ninahitaji kukuomba hichi kitu cha mwisho tu na sinto kuomba tena”
Nikamuona Ester akishusha pumzi nyingi sana huku akiwa amejawa na huzuni kubwa sana kwani amelazimishwa kufanya kitu ambacho hajui hata sababu.
“Ninakuomba niondoke eneo hili, ninakuomba utuachie mimi na mwanangu tuweze kuondoka hapa”
Nilizungumza kwa sauti ya upole sana huku nikimtazama Ester usoni mwake.
“Muacheni apite”
Ester alizungumza huku akiwatazama vijana  wake alio ongozana nao, wasichana hawa wakatupisha taratibu na tukaanza kupita katikati yao huku nikiwa nimemshika mkokono Jojo. 
 
“Livna anajiingiaza kwenye tatizo ambalo litamshinda kulimaliza”
Jojo alizungumza huku akitazama nyuma.
“Tuachane naye”
“No lazima atawau hawa wasichana kwa kushindwa kutii amri yake.”
“Sasa tunafanyaje?”
“Hapo mbele atawatuma wasichana wengine waniangamize”
Jojo alizungumza huku tukizidi kutembea kwa mwendo wa haraka kwenye hii kordo ndefu.
“Simama”
Jojo alizungumza huku akijibaza kwenye ukuta kwa haraka na mimi nikajibanza kwenye ukuta, hazikupita hata sekunde kumi wakatokea wasichan zaidi ya sita wakiwa na silaha, kwa haraka Jojo akaanza kupambana nao, hazikupita hata dakika mbili wasichana wote wakawa wamelala chini huku wakiwa wamezimia.
 
“Siwaui kwa maana ninahitaji kumuonyesha Livna uwezo wangu”
Jojo alizungumza huku tukizidi kusonga mbele. Kadri jinsi tunavyo zidi kusonga mbele ndivyo jinsi tunavyo kutana na vikwazo za wasichana walio agizwa kumkamata Jojo ambaye hakuwa na haja ya kumuua zaidi ya kuhakikisha kwamba anawazimisha.
“Unaelekea wapi?”
Nilimuuliza Jojo huku tukimwafwata kwa nyuma. Jojo hakunijibu kitu chochote zaidi ya kuufungua mlango wa kuingia ndani ya chumba kimoja.
Tukamkuta Livna akiwa amekaa kwenye moja ya meza huku amezungukwa na wasichana zaidi ya kumi.
“Livna hivi unahisi kwamba una uwezo wa kupambana na mimi?”
 
Jojo alizungumza kwa sauti ya hasira kidogo huku akimtazama Livna.
“Siwezi kukuacha ukiwa hai, ni lazima nikuue”
“Hahaaa, unajiamini nini wewe, unanijua mimi ni nani?”
“Hei Livna najua una hasira ila ninakuomba mimi na mwanangu tuondoke hapa, sihitaji mafarakano mimi na wewe, au wewe na mwanangu”
“Mwanao wapi, umechukua malaya tu huko nje anaye jifanya anajua kuzungumza mambo ya watu ya nyuma ambayo hayamuhusu”
 
“Mimi ni malaya?”
Jojo alizungumza huku  akipiga hatua moja mbele kwa haraka nikamuwahi kumshika mkono wake na kumsimamisha.
“Ndio malaya”
“Livna hembu acha majibizano ya ajabu, tazama watoto wengine wa watu wamesha jeruhiwa elewa kwamba huwezi kumdhuru Jojo”
“Hembu niachie upuuzi na wewe, unaniletea malaya ndani kwangu leo hii unaniambia kwamba ni mwanao.”
Kwa kasi ya ajabu, Jojo akatoa mkono wake kwangu, kufumba na kumbua akawa amemfikia Livna aliye hisi kwamba wasichana wake wanaweza kumsaidia, nikastukia Livna akinyanyuliwa kwa mkono mmoja huku akiwa ameshikwa koo lake.
 
“Hivi unahisi kwamba ninashindwa kukua eheee”
Jojo alizungumza huku akizidi kumkaba Livna aliye anza kulitoa jicho lake akionekana kuanza kupoteza pumzi yake.
“Jojo Jojo”
Nilizungumza huku nikimftwa Jojo kwa ukaribu kabisa, nikamshika mkono alio mshika Livna, kusema kweli Jojo ana nguvu kubwa sana.
“Tafadhali  mwanangu ninakuomba umuachie”
Nilizungumza kwa upole sana huku nikumsisitizia Jojo kumuachia Livna kwa maana akiendelea kumshikilia hivi anavyo mshikilia ni lazima atakufa.
“Ukirudia na ukiendelea na mawazo ya  kuhitaji kumua yoyote kati ya wasichana wako au watu alio kuna nao baba yangu, nitahakikisha ninakurudia na nikirudi nitakigawanyisha kiuongo chako kimoja baada ya kingine.”
Jojo baada ya kumaliza kuzungumza hivyo akamuachia Livna aliye anza kuvuta pumzi nyingi huku akiwa amekaa chini.
“Tuondoke”
Jojo alizungumza huku akitangulia kutoka nje, hapakuwa na msichana hata mmoja aliye jaribu kumshika wala kumsogelea Jojo. Tukapandisha juu kabisa ya meli hii.
“Ninahitaji twende nyumbani sasa baba”
Jojo baada ya kuzungumza hivyo akanikumbatia kwa nguvu kisha tukajitosa kwenye bahari na nikajikuta nikianza kupiga kelele kwani kasi tunayo kwenda nayo chini kusema kweli inatisha na kuogopesa na ukitegema ni usiku  basi ujasiri ukaniisha kabisa.
 
ITAENDELEA
‘Haya sasa safatri ya kuelekea nyumbani kwa kina Jojo imeanza, je ina mafanikio yoyote kwa Dany? Usikose sehemu inayo fwata ya hadi hii ya kusisimua kutoka kwa muandishi mahiri Eddazaria G.Msulwa”

VIDEO : Mbosso - Tamu

Video Mpya: Mr Blue Ft. Nandy - Blue

$
0
0
Video Mpya: Mr Blue Ft. Nandy - Blue

Wafugaji nao kuandamana kumpongeza Rais Magufuli

$
0
0
Mashirika  na wadau wanaotetea wafugaji nchini, leo wanakusudia kufanya maandamano ya amani mjini Arusha kumpongeza Rais Dk. John Magufuli, kwa kutoa maagizo na maelekezo yenye kutetea wafugaji waliokuwa katika maeneo yanayopakana na mipaka.

Akitoa taarifa kwa niaba ya wadau hao,  Mbunge wa Simanjiro (CCM), James ole Millya, alisema wanampongeza Magufuli kwa kuwa kwa muda mrefu wafugaji wamenyanyaswa, kufukuzwa, kuchomewa mali na kutaifishwa mali zao katika maeneo yao wanayopakana na uhifadhi.

Alisema hatua ya kumpongeza imekuja baada ya Rais kutoa maelekezo yanayoonyesha kwamba anachukizwa kuona wafugaji wanafukuzwa kila mahali katika maeneo ya vijiji na vitongoji vinavyopakana na hifadhi.

“Wafugaji nchini kwa muda mrefu wamekuwa wakipata tabu na changamoto nyingi zinazotokana na kuondolewa kwa nguvu wakati mwingine kuharibiwa mali zao kwenye maeneo yao ambayo wamekuwepo kwa muda mrefu kwa kisingizio kuwa ni maeneo ya hifadhi.

“Sisi kama viongozi wa wafugaji nchini tunazo taarifa nyingi za unyanyasaji wa wafugaji katika maeneo yao ambayo yamemegwa na hifadhi, kufukuzwa kwa wafugaji katika maeneo haya kwa muda mrefu imejenga taswira mbaya kwamba uhifadhi unafanywa bila weledi,” alisema.

Millya alisema wanampongeza Magufuli kwa kuyatambua vyema matatizo na manyanyaso wanayoyapata wafugaji katika maeneo yao yanayopakana na hifadhi.

“Tumekutana hapa kumpongeza Rais kwa kutoa maagizo kwa vyombo vya Serikali hususan Wizara ya Maliasili na Utalii na kuwataka kuhakikisha kuwa hakuna mfugaji atakayeondolewa katika kijiji au kitongoji chake kilichoainishwa kuwa katika maeneo ya uhifadhi.

“Pia kwa kuweka wazi bila kuficha kuwa anachukizwa kuona wafugaji wanafukuzwa kila mahali,” alisema Millya.

Pia aliwataka wafugaji kutoa ushirikiano na kushiriki kikamilifu katika mchakato wa kubaini maeneo yao kama ambavyo Magufuli ameagiza na kutolea maelekezo kwa vyombo vya Serikali.

Pia aliwataka wafugaji kutovamia maeneo ya uhifadhi na wabaki katika maeneo yao ya asili kama walivyoishi kwa muda mrefu hata kabla ya mipaka kuwekwa.

Aliiomba Wizara ya Ardhi, Tamisemi, Wizara ya Maliasili na Utalii na taasisi nyingine za Serikali kutekeleza maagizo ya Magufuli kwa haraka bila kuchelewa.

Alisema ni vyema vyombo hivyo vikahakikisha wananchi wanashirikishwa kwa uwazi katika mchakato huo ili kusiwe na mfugaji atakayeondolewa katika maeneo yaliyoanishwa.

“Tunatoa wito kwa vyombo vya Serikali hususan Wizara ya Ardhi, Tamisemi, Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na taasisi nyingine za Serikali kujaribu kujenga uhusiano mzuri baina ya wafugaji na maeneo ya uhifadhi na kuhakikisha kuwa wafugaji wananufaika na ujirani mwema wa kuwa karibu na maeneo ya uhifadhi nchini,” alisema Millya.

Lugola Afunguka Baada ya Makamanda wa Polisi Aliowatumbua Kuonekana Wakiendelea na Kazi

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola, amesema yeye alishatoa maagizo ya kuondolewa kwenye nafasi zao kwa Makamanda wa Polisi watatu katika Mikoa mitatu ya kipolisi Temeke, Ilala pamoja na Arusha na kilichobaki ni kutekelezwa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini.

Kangi Lugola ameongea na kituo cha televishen cha EATV  baada ya mkanganyiko uliojitokeza kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuonakana baadhi ya Makamanda wakiendelea kufanya kazi kwenye vyeo vyao.

"Sina taarifa kwamba agizo langu halijatekelezwa lakini kwa sababu nilimpa muda wa utekelezaji IGP kwa hiyo naamini litatekelezwa, saa nyingine watu hawajui kutengua mtu ni mamlaka na mimi ndiye nina mamlaka.

"Utekelezaji ndiyo unaendelea sidhani kama wamekaidi au IGP amekaidi kutekeleza agizo langu." amesema Kangi Lugola.

Juzi Kangi Lugola alitoa uamuzi huo wa kutengua uteuzi wa makamanda wa polisi wa mikoa mitatu akiwemo Salum Hamduni aliyekuwa Ilala, Emmanuel Lukula (Temeke) kwa kosa la kushindwa kusimamia mianya ya rushwa na utoaji wa dhamana kwa watuhumiwa.

Wabunge CCM Wampongeza CAG Kuitikia Wito Wa Kamati Ya Bunge

Waziri Mkuu Kuwapokea Watalii 300 Kutoka China

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameahidi kupokea kundi la watalii wasiopungua 300 ambao wanatarajiwa kuwasili nchini Machi, mwaka huu.

Watalii hao ni kundi la kwanza miongoni mwa watalii 10,000 wanaotarajiwa kuwasili nchini katika mwaka 2019 chini ya mpango unaosimamiwa baina ya Wizara ya Maliasili na Utalii, Bodi ya Utalii Tanzania na kampuni ya TouchRoad International Holding Group ya China.

Ametoa ahadi hiyo leo (Jumamosi, Januari 19, 2019) alipokutana na Mwenyekiti wa Touchroad Group, Bw. Liehui He na Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii, Jaji Thomas Mihayo ofisini kwake Mlimwa, jijini Dodoma.

Waziri Mkuu amefikia uamuzi huo baada ya kuelezwa na Bw. He huyo kwamba kundi hilo la watalii likiwa Djibouti litapokelewa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo na likienda Zimbabwe, litapokelewa na Rais wa nchi hiyo.

“Tanzania imeamua kuweka mkakati wa kuongeza idadi ya watalii nchini kwa kuboresha miundombinu ya usafiri na kukuza utalii kupitia vivutio vya vyakula vya asili, mavazi ya asili, wanyama, fukwe za bahari na milima. Kwa hiyo, ujio wa kundi hili kubwa, unatoa fursa mpya ya kutangaza vivutio vya nchi yetu,” amesema.

“Nitoe wito kwa Watanzania wanaoishi maeneo ya jirani na vivutio vyetu, wachangamkie fursa ya ujio wa watalii hawa katika maeneo mbalimbali. Wakifika Dar es Salaam, wanaweza kwenda Kigoma kuona Ziwa Tanganyika, mbuga zilizoko Nyanda za Juu Kusini, Arusha au vivutio vya Zanzibar. Tujiandae, tuwe tayari kuwauzia bidhaa mbalimbali,” amesema.

Pia amesema amefurahishwa na wazo lao la kuifanya Dar es Salaam iwe kitovu cha utalii (tourist hub) kwa makundi ya watalii ambayo yatakuja Tanzania na baadaye kutoka Tanzania kwenda Lusaka, Harare, Johannesburg na Djibouti.

Mwenyekiti huyo ambaye aliwasili nchini juzi, ameambatana na ujumbe wa watu 31 ambao unajumuisha waandishi wa habari, wasanii, wanamuziki na watu mashuhuri.

Akiwa Beijing, China, wakati akishiriki mkutano wa Jukwaa la Biashara baina ya Tanzania na China lililofanyika Septemba mwaka jana, Waziri Mkuu alikutana na uongozi wa kampuni ya TouchRoad ambayo ilionesha nia ya kutangaza fursa za utalii zilizopo hapa nchini.

Ziara ya Bw. He ni sehemu ya utekelezaji wa makubaliano yaliyoingiwa kati ya kampuni ya TouchRoad na Bodi ya Utalii ya Tanzania, Novemba 2018.

Mapema, Bw. He alimweleza Waziri Mkuu nia ya kampuni hiyo kutekeleza makubaliano yao ya kutangaza vivutio vya utalii vya Tanzania katika soko la China ili kuvutia watalii wapatao 10,000 waitembelee Tanzania katika mwaka 2019.

“Tumepanga kuleta watalii 10,000 kwa mwaka huu wa 2019 na tumeweka lengo la kuongeza idadi hiyo kwa asilimia 20 kila mwaka kwa muda wa miaka mitano. Pia tuna lengo la kuitumia ndege ya ATCL ili ilete watalii moja kwa moja kutoka Shanghai, China,” alisema.

Akielezea ujio wa kundi la kwanza la watalii, Bw. He alisema kundi hilo litakaa Djibouti kwa siku moja, Tanzania siku nne (tatu za kulala) na Zimbabwe siku tatu (mbili za kulala) na kisha kurejea China.

Alisema wanapanga kila mwezi wawe na kundi kubwa la watalii ambao watakuwa wanafikia Tanzania na kupelekwa nchi nyingine kwa sababu Wachina wengi hupenda kufanya utalii kwa siku walau 10, lakini wapelekwe maeneo matatu au manne tofauti kuona vivutio vya aina nyingine badala ya kukaa sehemu moja kwa kipindi chote hicho.

“Watalii hawa wakija kwa siku tatu au nne, wana uhakika wa kutumia dola za Marekani zaidi 2,000, wakienda eneo jingine watatumia fedha pia, namna hiyo tuna uhakika wa kuongeza pato la Taifa, lakini pia tuna uhakika wa kutengeneza ajira kwa Watanzania,” alisema.

(mwisho)

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,

Halmashauri 33 Zavuka Malengo Ya Ukusanyaji Wa Mapato

$
0
0
Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI.
Halmashauri 33  kati ya halmashauri 185 zimeweza kukusanya mapato ya ndani kwa kiwango cha asilimia 50 na zaidi ya makisio ya mwaka wa fedha 2018/19 huku  halmashauri 21 zikiwa zimefanya vibaya kwa kusanya chini ya asilimi 20 ya makisio yake kwa mwaka.

Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemeni Jafo alipokuwa  akitoa taarifa ya mapato ya ndani ya halmashauri kwa robo ya pili ya mwaka.

Alisema katika Halmashauri 33 zilizokusanya asilimia 50 na zaidi zimo Halmashauri za  Majiji tatu zikiongozwa na Jiji la Dodoma, Manispaa ni mbili zikiongozwa na manispaa ya Iringa, Halmashauri za Miji nane zikizongozwa na Mji wa Geita na Halmashauri za Wilaya ni ishirini zikiongozwa na Halmashauri ya Wilaya ya Geita.

“Uchambuzi unaonyesha kuwa Katika Majiji 6, Jiji la Dodoma linaongoza kwa kukusanya asilimia 59 ya makisio na Jiji la Tanga limekuwa la mwisho kwa kukusanya asilimia 33 ya makisio” alisema.

Aidha Manispaa ya Iringa imeongoza katika kundi la Manispaa kwa kukusanya asilimia 64 ya makisio ambapo Manispaa ya Lindi imekuwa ya mwisho katika kundi hili kwa kukusanya asilimia 20 ya makisio.

Jafo aliongeza kuwa kwa upande wa Halmashauri za Miji, Halmashauri ya Mji wa Geita imeongoza kwa kukusanya asilimia 84 ya makisio na Halmashauri ya Mji wa Nanyamba imekuwa ya mwisho katika kundi hili kwa kukusanya asilimia 9 tu ya makisio,

Alisema Katika kundi la Halmashauri za Wilaya, Halmashauri ya Wilaya ya Geita imeongoza kwa kukusanya asilimia 78 ya makisio ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu imekuwa ya mwisho kwa kukusanya asilimia 6 tu ya makisio.

Kwa kuzingatia wingi wa makusanyo ya mapato ya  Halmashauri Jafo alibainisha Halmashauri iliyoongoza kwa kuwa ni Jiji la Dodoma ambalo limekusanya Shilingi Bilioni 40.12 na halmashauri iliyokusanya kiasi kidogo cha fedha ni halmashauri ya Wilaya ya Momba ambayo imekusanya shilingi milioni 105.04.

Waziri Jafo pia alibainisha Mkoa ambao Halmashauri zake zimekusanya mapato kwa kuzingatia wingi wa mapato kuwa ni Mkoa wa Dar es salaam ambao kwa jumla halmashauri zake zimekusanya shilingi bilioni 77.4 na Mkoa wa Mwisho ni Katavi ambao halmashauri zake zimekusanya shilingi bilioni 2.4 tu.

Alisema katika Mkoa uliokusanya vizuri kwa kuzingatia asilimia ya makusanyo ni  Mkoa wa Geita Halmashauri zake zimekusanya asilimia 56.4 ya makisio ya mwaka ukifuatiwa kwa karibu na Mkoa wa Dodoma uliokusanya asilimia 55.9 ya makisio yake na Mkoa wa mwisho kwa kigezo hicho ni Mkoa wa Mtwara ambao umekusanya asilimia 15 ya makisio yake ya mwaka.

Wakati huo huo Waziri Jafo amewataka wakurugenzi wote ambao Halmashauri zao hazikufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato kwa kukusanya chini ya asilimia kumi ya makisio yake kwa kipindi cha nusu mwaka kujieleza na kujitathimini na kuhakikisha wanaongeza bidii katika suala la ukusanyaji wa mapato.

“Halmashauri 9 kati ya 10 zilizofanya vibaya katika mwaka wa fedha uliopita zimefanikiwa kufanya vizuri katika kipindi cha nusu mwaka wa fedha 2018/19 kwa kukusanya zaidi ya asilimia 20 ya makisio yake” alisema .

Waziri Jafo pia aliwaagiza Wakurugenzi wote kuhakikisha takwimu zote za mapato katika mfumo wa LGRCIS zinafanyiwa usuluhisho na kutumwa katika mfumo wa IFMS(Epicor)  kwani taarifa zote za mapato na matumizi ya fedha zinatakiwa kutolewa kupitia mfumo huo.

Ulinganifu huu wa taarifa za mapato umelenga kuonesha jinsi kazi za ukusanyaji wa mapato ya ndani katika Mamlaka za Serikali za Mitaa inavyoendelea kusimamiwa vyema na takwimu hizi zinazotolewa ni kwa mujibu wa taarifa zilizofanywiwa usuluhisho na kutumwa katika mfumo wa IFMS(Epicor).

Katika mwaka wa fedha 2018/19 Halmashaurti zilipangiwa kukusanya shilingi bilioni 735.6 kutoka kwenye vyanzo vyake vya ndani na hadi kufikia Disemba 31,2018 Halmashauri zimekusanya shilingi bilioni 300 sawa na asilimia 41 ya makisio.

Kwa kipindi cha kwa mwaka 2017/18 halmashauri zilipanga kukusanya shilingi bilioni 687.3 na hadi  kufikia Disemba,2017 halmashauri hizo zilikuwa zimekusanya sh bilioni 281.3 sawa na asilimia 41 ya makisio.

Takwimu hizi zinabainisha kuwa kuna ongezeko la Shilingi bilioni 18.7 kwa mwaka wa fedha 2018/19 ikilinganishwa na makusanyo kwa kipindi kama hiki kwa mwaka wa fedha 2017/18.

Waziri Mkuu Majaliwa Akagua Eneo Itakapojengwa Hospitali Ya Uhuru Katika Kijiji Cha Maduma Wilayani Chamwino

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua eneo la ujenzi wa hospitali ya Uhuru lenye ukubwa wa ekari 109 lililoko katika wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma.

 Akizungumza na wakazi wa kijiji cha Maduma wilayani humo leo mchana (Ijumaa, Januari 18, 2019), Waziri Mkuu amesema uamuzi wa Serikali ya kijiji hicho wa kutenga maeneo ya maendeleo ni wa kupigiwa mfano na vijiji vya maeneo mengine.

 “Uamuzi wenu wa kutenga maeneo ya miradi ya maendeleo umekuwa na tija, ndiyo maana Mheshimiwa Rais Magufuli aliposema ijengwe hospitali, hamkupata shida sababu eneo tayari lilikuwepo. Ninawapongeza wazee waliojitolea maeneo yao ili kuongeza kwenye eneo la hospitali,” amesema.

 Wazee waliotoa maeneo yao ni Mzee Meshack Njamasi (ekari 5.50), Mzee Jobu Malogo (ekari 3.50) na Bw. Nehemia Mwikwi (ekari 4.50). Ekari 95.5 zilizobakia, zimetolewa na Seriakli ya kijiji hicho.

 Waziri Mkuu aliwataka wakazi wa wilaya ya Chamwino wasibweteke bali wajipange na kila mmoja ajipange kufanya kazi kama ambavyo Rais Magufuli amekuwa akihimiza. “Ujenzi wa mji wa Serikali unaoendelea hivi sasa ni fursa kwenu. Na ujio wa hospitali hii ni fursa nyingine kwa wana-Chamwino hasa kwa vile ujenzi wake utatumia mfumo wa force account ambao unatoa fursa kwa wanajamii kushiriki kazi za miradi ya eneo husika,” amesema.

 Waziri Mkuu amesema ujenzi wa hospitali hiyo yenye hadhi ya wilaya ni utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) inayoelekeza wananchi wapatiwe huduma za matibabu huko huko waliko. “Hadi sasa tumeshajenga vituo vya afya 350 ili kusogeza huduma kwa wananchi na jumla ya hospitali za wilaya 67, zinajengwa nchi nzima kwa mwaka huu,” amesema.

 Mapema, akimkaribisha Waziri Mkuu kuzungumza na wakazi wa vijiji jirani, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Bw. Selemani Jafo alisema eneo la ujenzi wa hospitali hiyo liko umbali wa kilometa mbili kutoka barabara kuu ya Dar es Salaaam-Dodoma na kilometa tatu kutoka Ikulu ya Chamwino.

Naye, Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Faustine aliwataka wakazi hao wachangamkie fursa hiyo kwa kusomba mawe, mchango, maji na kwamba Kamati za usimamizi wa ujenzi zitapaswa kusimamiwa na wanakijiji.

 Aliwataka wakazi hao wasiishie kwenye lengo la kuwa na hospitali ya wilaya, bali walenge kujenga hospitali yenye hadhi ya mkoa kwa kadri bajeti itakavyoruhusu.

 Akitoa taarifa kwa Waziri Mkuu, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Bilinith Mahenge alisema ujenzi wa hospitali hiyo ni wa hadhi ya wilaya ikiwa na nyongeza ya huduma za wagonjwa wa dharura na wagonjwa mahututi (Emergency Department and Critical Care Unit).

 Alimshukru Rais Magufuli kwa kutoa fedha za ujenzi wa hospitali hiyo sh. milioni 995.18 ambazo zilipaswa kutumika kwenye maadhimisho ya siku ya Uhuru, Desemba 9, mwaka jana. “Tunamshukuru Mheshimiwa Rais kwa kutuongezea kiasi kingine cha fedha cha sh. bilioni 2.35 na kutufanya sasa tuwe na sh. bilioni 3.22 za ujenzi huo,” alisema.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya January 19

Sekta ya Afya Nchini Yaendelea Kukua Kwa Kasi

$
0
0
Na WAMJW – DOM
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa Sekta ya Afya nchini yaendelea kukua kwa kasi, kutokana na Serikali kuendelea kuboresha Huduma kwa Wananchi zikiwemo upatikanaji wa Dawa, vifaa, vifaa tiba na vitendanishi, huduma za chanjo, huduma za afya ya uzazi na mtoto na Huduma za Dharura.

Waziri Ummy ameyasema hayo wakati akitoa tamko mbele ya Waandishi wa Habari na baadhi ya viongozi wa Wizara, kuhusu hali ya Huduma za Afya mwaka 2018, katika ukumbi wa Wizara ya Afya jijini Dodoma.

Waziri Ummy amesema kuwa Katika mwaka 2018, jumla ya wajawazito 2,086, 930 walihudhuria na kuandikishwa Kliniki, ikilinganishwa na wajawazito 2,009,879 Mwaka 2017, huku mwongozo wa utoaji huduma za afya ya uzazi na mtoto unaelekeza wajawazito kuanza huduma mapema kabla ya majuma 12 ya ujauzito na kuhudhuria kliniki angalau mara nne katika kipindi cha ujauzito.

Mbali na hayo Waziri Ummy amesema kuwa, Katika kipindi cha mwaka 2018 jumla ya watoto 1,568,832 walizaliwa ikilinganishwa na Watoto 1,498,488 mwaka 2017, huku wakipatiwa huduma mbalimbali za chanjo ili kuzuia magonjwa yanayowaathiri Watoto ikiwemo ugonjwa Kupooza, Kuharisha, Pepopunda, Pneumonia, homa ya ini na Surua.

“Katika kipindi cha mwaka 2018 hali ya chanjo kwa Watoto nchini imeendelea kuwa katika kiwango cha juu zaidi ya asilimia 85 ya kiwango kilichowekwa na Shirika la Afya Duniani kama inavyoonyeshaa katik hapa chini” Alisema Waziri Ummy.

Hata hivyo nWaziri Ummy amesema mwaka 2018 kumetokea jumla ya vifo 20,087 ikilinganishwa na vifo 19,693 mwaka 2017, huku Katika kipindi cha miaka yote miwili 2017 na 2018, homa ya mapafu imeongoza kwa kusababisha vifo, ambapo kwa mwaka 2017, imechangia asilimia 18.2 ya vifo vyote na mwaka 2018 imechangia kwa asilimia 12.9 ya vifo vyote.

Waziri Ummy aliendelea kusema kuwa Mwaka 2018, ugonjwa usio wa kuambukiza (shinikizo la damu) umejitokeza katika magonjwa 10 yanayoongoza kwa kusababisha vifo ambapo umechangia vifo kwa asilimia 1.9 ya vifo vyote.

Kwa upande mwingine, Waziri Ummy amesema kuwa Hali ya upatikanaji wa Dawa muhimu katika vituo vya kutolea huduma za afya nchini imeendelea kuimarika, hii ni kutokana na Serikali kuongeza bajeti ya dawa kutoka Shilingi Milioni 31 mwaka 2015/16 hadi kufikia Shilingi milioni 251 mwaka 2016/17 na Shilingi 270 mwaka 2018/19.

Aidha, Waziri Ummy amesema kuwa hali ya upatikanaji wa Damu Salama ambapo katika kipindi cha mwaka 2018, huku jumla ya chupa za damu salama 307,835 sawa na asilimia 85.5 ya lengo zilikusanywa ikilinganishwa na chupa 233,933 mwaka 2017, huku akiwahasa Wananchi kujitokeza kuchangia damu ili kuendelea kuokoa maisha ya wahitaji.

“Chupa zote 307,835 zilizokusanywa zilipimwa makundi ya damu pamoja na magonjwa makuu manne ambayo ni Ukimwi (HIV,) Homa ya Ini B na C (HBV, HCV) na Kaswende (Syphilis). Jumla ya chupa 262,283 sawa na asilimia 85.3 zilikuwa salama na kusambazwa katika hospitali kwa ajili ya wagonjwa wenye uhitaji wa damu.” Alisema Waziri Ummy.

Hata hivyo Waziri Ummy amesema kuwa, katika mwaka 2018 jumla watu 47,967 waligundulika kuwa na vijidudu vya Kifua kikuu ikilinganishwa na wagonjwa 44,714 waliogunduliwa mwaka 2017., huku akisisitiza kuwa tatizo la ugonjwa wa Kifua Kikuu limeendelea kuwepo takribani mikoa yote nchini.

kwa upande mwingine, Waziri Ummya amesema kuwa, hadi kufikia Desemba 2018, jumla ya vituo vya kutolea huduma za Afya vilifikia 7,768 kutoka vituo 7,435 mwaka 2017 sawa na ongezeko la vituo 333 kwa mwaka, amedai kuwa Serikali ilikuwa inamiliki asilimia 71 ya vituo vya kutolea huduma; Mashirika ya dini asilimia 12, Taasisi za Serikali asilimia 3 na vituo binafisi asilimia 15.

Sambamba na hilo, waziri Ummy amesema kuwa, hadi kufikia Desemba mwaka 2018, Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ulikuwa na jumla ya wanachama 899,654 na ikihudumia jumla ya wanufaika 4,219,192 sawa na asilimia 8 ya Watanzania wote.

Kilosa Wataka Mabwawa Kupunguza Athari Za Mafuriko

$
0
0
Wilaya ya Kilosa imekuwa ikiathiriwa na mafuriko ya mara kwa mara kutokana na  mvua nyingi zinazonyesha nchini na kusababisha kujaa kwa maji katika mito mikubwa inayopita katika wilaya hiyo ambayo ni mto Mkondoa na Mkundi. Kutokana na hali hiyo Kamati ya Wilaya ya Usimamizi ya Maafa Kilosa imeliomba Baraza la Taifa la Usimamizi wa Maafa kuzielekeza wizara za kisekta kukamilisha mpango wa kufufua na kujenga mabwawa wilayani humo, ili kupunguza kasi ya maji yanayo jaa katika mito hiyo.

Akiongea wilayani Kilosa wakati wa kufuatilia hatua za urejeshaji hali kutokana na athari za maafa ya mafuriko yaliyotokana na mvua zilizonyesha, Mkurugenzi Idara ya Uratibu wa Maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali, Jimmy Matamwe ameeleza kuwa wamelipokea ombi hilo ambalo ni muhimu kutekelezwa kwa ajili ya kupunguza athari za maafa wilayani humo.

“Mvua zinaponyesha na tukawa na utaratibu mzuri wa kuyavuna maji hayo, matokeo ya mvua hizo huwa zinachochea shughuli za maendeleo hasa kilimo, lakini bila kuyavuna maji yanaweza kusababisha maafa kama  mafuriko. Kwa kulitambua hili, tutaratibu wizara husika kuhakikisha mabwawa yanafufuliwa ili kuhifadhi maji na kupunguza maji mengi yanayoingia mto Mkondoa” Alisisitiza Kanali, Matamwe.

Kanali Matamwe amewataka wananchi wa kilosa kutoendeleza shughuli za kibinadamu kando ya mto huo kutokana na kuwa serikali imetumia gharama kubwa za kujenga tuta la mto Mkondoa kwa lengo la kupunguza athari za maafa yaliyokuwa yanatokea baada ya mto huo kujaa.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, ambaye pia ni mwenyekiti wa Kamati ya Wilaya ya Maafa Bw. Asajile Mwambambale, amefafanua kuwa ipo haja ya kuharakisha ujenzi wa bwawa  la Kidete ili kuweza kupunguza kasi ya maji ma wingi wa maji yanayo ingia mto Mkondoa, ambapo athari zake za mafuriko huathiri watu, mali na miundombinu ya Kilosa.

“Pamoja na kuwa tungependa utafiti wa kina ufanyike kuanzia kwenye chanzo cha mto Mkondoa  ili kuweza kuelewa tabia ya mto huu, niliombe Baraza la Taifa la Usimamizi wa maafa, litusaidie kuzielekeza hizi wizara za kisekta, ikiwemo wizara ya maji, zikamilishe mipango ya kufufua  na kujenga mabwawa ambayo yatasaidia kuhifadhi maji na kupunguza wingi wa maji yanaoyoingia katika mto Mkondoa” alisema Mwambambale.

Mwambambale amefafanua kuwa wilaya ya kilosa imeendelea kutekeleza mpango wa Kujiandaa na Kukabiliana na mafuriko kwa kutoa mchanga kwenye mto Mkondoana Mkundi, ili kuongeza kina cha mito hiyo. Pia zoezi la Upandaji wa miti na matete kando ya  mto Mkondoa limefanyika. Aidha Kamati za maafa za kata na vijiji pamoja na timu za uokoaji na kutoa misaada kwa waathirika wakati wa maafa zimejengewa uwezo.

Wilaya ya Kilosa ni miongoni mwa wilaya 7 za mkoa wa Morogoro ambayo imekuwa ikiathiriwa na mafuriko ya mara kwa mara kutokana na mvua zinazonyesha mikoa ya jirani ya Dodoma na Manyara hususani Wilaya za Mpwapwa, Kongwa na Kiteto, maji ya mvua hizo hupita wilayani Kilosa kupitia mto Mkondoa na Mkundi.

Wanne Watia Mbaroni Jijini Arusha kwa Kutengeneza Fedha Bandia

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha limewakamata watuhumiwa sita kwa makosa mbalimbali.

Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Ramadhani Ng'anzi amesema jana Ijumaa Januari 18, 2019 kuwa watuhumiwa wanne ambao hakuwataja majina yao kwa sababu za kipelelezi wanajihusisha na utengenezaji wa fedha bandia.

Amesema mtuhumiwa wa kwanza alikutwa na noti bandia za dola za Marekani  zenye thamani ya dola 500 (zaidi ya Sh 1.1 milioni).

"Huyu mtuhumiwa wa kwanza aliwapeleka askari wetu nyumbani kwake eneo la Daraja Mbili ambako zilikutwa fedha bandia za mataifa mbalimbali," alisema Ng'anzi

Fedha hizo ni dola za Marekani, fedha za Umoja wa Ulaya (Euro), Kenya, Malawi, Zambia, Rwanda na Sudan.

Alisema watuhumiwa wanashikiliwa kwa ajili ya mahojiano na upelelezi ukikamilika watafikishwa mahakamani.

Katika tukio jingine, Ng'anzi amesema kuwa watuhumiwa wengine wawili ambao ni Kennedy Mbilinyi na Richard Loishiye wamekamatwa kwa kuiba gari aina Harrier lenye namba za usaili T 241 DKC na kujaribu kulivusha mpaka wa Namanga kuelekea nchi jirani ya Kenya.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images