Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Lugola: Serikali Itawashughulikia Viongozi Wa Dini Waliojipenyeza Kuanzisha Makanisa Na Misikiti Kwa Lengo La Kufanya Uchochezi

$
0
0
Na Felix Mwagara, MOHA-Ngara.
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amesema baadhi ya viongozi wa dini nchini wamejipenyeza na kuanzisha makanisa na misikiti kwa lengo la kuanzisha vichaka vya kujificha ili tujue ni watu wa Mungu kumbe wanataka kufanya uchochezi na kuvuruga amani nchini. 
 
Lugola amesema Serikali ya Rais Dkt. John Magufuli haitawavumilia wale wote walioanzisha taasisi hizo kwa lengo lao binafsi na itahakikisha inawashughulikia ipasavyo bila kuwaonea huruma.
 
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na mamia ya wananchi wa Mji wa Ngara, jana, Lugola alisema makanisa na misikiti ambayo imesajiliwa na Wizara yake hatakubali kuona viongozi hao ambao wanajifanya kuwa na watu wa Mungu kumbe wanamalengo hayo binafsi.
 
“Makanisa na miskiti itakayobainika ina malengo hayo, sitaona haya kuifutia usajili, na pia nawataka viongozi wa dini endapo migogoro inaibuka hakikisheni  mnaitatua wenyewe kwa amani,” alisema Lugola.
 
Lugola aliongeza kuwa, Serikali inaheshimu imani ya dini na pia viongozi wao wanamchango mkubwa katika maendeleo ya nchi kutokakana na maombi pamoja na kuwaongoza waumini wao vizuri, lakini pia wapo baadhi ya viongozi hao wa dini, wanaingiza masuala ya siasa makanisani na misikitini.
 
“Niwaombe na niwatake viongozi wote wa dini, wakati tunapoenda katika uchaguzi, viongozi wa makanisa na misikiti iliyosajiliwa, niwaombe pale migogoro inapoibuka hakikisheni mnaitatua wenyewe kwa amani na msiruhusu mtu ambaye ana nia mbaya na maendeleo ya nchi hii, aje kuwaingilia,” alisema Lugola. 
 
Aidha, Waziri Lugola katika mkutano huo aliitaka Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) apitie upya usajili na utoaji wa vitambulisho vya taifa katika mikoa ya Kagera na Kigoma ili waweze kuwabaini  na kuwaondoa raia wa nchi jirani zinazoizunguka mikoa hiyo.
 
Pia Lugola, alimpa wiki mbili  Kamishna Jenerali wa Uhamiaji nchini, awe amefika katika mikoa hiyo kwa ajili ya kuanza maandalizi ya kufanya operesheni kubwa ya kuwaondoa Wahamiaji haramu katika Mikoa hiyo kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kuanza mwezi Julai mwaka huu.
 
Lugola aliongeza kuwa, licha ya kutangaza operesheni hiyo, lakini viongozi wa uhamiaji katika mikoa hiyo wawe makini mara kwa mara kuhakikisha wanawafuatilia wahamiaji hao kwa kuwashirikisha wananchi waaminifu ili waweze kutoa taarfia sahihi za wahamiaji hao.

Katibu Mkuu CCM Dkt. Bashiru Awataka Watumishi Wa Serikali Kujifunza Kufanya Maamuzi Kutoka Kwa Rais Magufuli

$
0
0
Na Stella Kalinga, Simiyu
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dkt. Bashiru Ally amewataka Watumishi wa Serikali  kujifunza kufanya maamuzi  kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, kwa ajili ya maslahi mapana ya Taifa.

Dkt. Bashiru ameyasema hayo mjini Bariadi katika kikao na Wakurugenzi wa Taasisi zitakazoshirikiana na Mfuko wa Taifa wa  Bima ya Afya (NHIF) na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) kujenga kiwanda cha (vifaa tiba) bidhaa za afya zitokanazo na pamba wilayani Bariadi, baadhi ya viongozi, watendaji wa Chama na Serikali na  wawekezaji katika zao la pamba mkoani Simiyu, ambacho kililenga kujadili ujenzi wa kiwanda hicho na mnyororo wa thamani wa zao la pamba.

Dkt. Bashiru  amesema watumishi wa serikali waache tabia ya kuzungumza bila kutenda badala yake wawe na moyo wa uzalendo na wafanye maamuzi sahihi kwa muda muafaka huku akisisitiza kuwa hawapaswi kuwa sehemu ya vikwazo katika  maamuzi ya utekelezaji wa shughuli za miradi ya maendeleo.

“Watumishi wa Serikali jifunzeni kutoka  kwenye tabia ya Rais wetu, fanyeni maamuzi kwa maslahi mapana ya Taifa, muwe na moyo wa uzalendo na ujasiri katika kuchukua maamuzi; maamuzi hayo yafanyike kwa usahihi kwa muda muafaka” alisema Dkt.. Bashiru.

Kuhusu ujenzi wa kiwanda cha bidhaa za afya zinazotokana na zao la pamba mkoani Simiyu, Dkt. Bashiru alioneshwa kutoridhishwa na kasi ya maandalizi ya ujenzi huo  na   kumwagiza Mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji (TIC), Bw. Godfrey Mwambe  kuratibu mazungumzo ya kuwakutanisha wahusika wote ili utekelezaji wa mradi uanze mara moja.

“Tulikubaliana kazi itaanza Desemba 2018 na Desemba imeshapita, tumedhamiria na tumeshatamka kuwa tutajenga viwanda, hatuwezi tukakwamisha mipango ya kujenga viwanda na wakati tumeamua kujenga uchumi wa viwanda hapana; Tarehe 09 Januari saa 3:00 asubuhi wale wote wanaohusika na ujenzi wa kiwanda hiki tukutane Lumumba tuzungumze” alisema Dkt. Bashiru.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amesema ni vema viongozi wa Serikali wanaohusika katika kutoa maamuzi yatakayopelekea ujenzi wa kiwanda cha bidhaa za afya zitokanazo na pamba  wachukue hatua,  ili ujenzi uanze mara moja  na wamiliki wa viwanda vya kuchambua pamba waanze kujua mahitaji ya pamba itakayotumika na kiwanda hicho katika msimu wa mwaka 2018/2019.

“Yapo mambo tulikubaliana kufikia Desemba 2018 yawe yamekamilika, tunaomba kama kuna mambo bado yako mezani yaondoke jambo hili liweze kusogea, taratibu za manunuzi zianze ili hatua za kutengeneza mashine zifanyike na kupitia pamba itakayoanza kununuliwa mwezi Mei, wamiliki wa viwanda vya kuchambua pamba waanze kujua mahitaji ya kiwanda katika msimu wa mwaka 2018/2019, ili kiwanda kisije kikakamilika pamba ikakakosekana” alisema Mtaka.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Pamba Tanzania, Bw. Marco Mtunga amesema upatikanaji wa malighafi ya kiwanda cha vifaa tiba (bidhaa za afya zitokanazo na zao la pamba)  kinachotarajiwa kujengwa Bariadi ni wa uhakika na kubainisha kuwa Bodi hiyo imejiwekea malengo ya kuzalisha tani milioni moja ifikapo mwaka 2022.

Mkurugenzi wa Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya(NHIF), Bernad Konga amesema tayari bodi ya mfuko huo imeshatenga kiasi cha shilingi bilioni kumi kwa ajili ya kuwekeza katika  ujenzi wa kiwanda cha (vifaa tiba) bidhaa za afya zitokanazo na pamba mkoani Simiyu, lengo likiwa ni kupunguza gharama za kuagiza bidhaa hizo nje ya nchi na kuongeza thamani ya zao la pamba nchini.

Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa(MSD), Bw. Laurian Rugambwa amesema bidhaa za afya zitokanazo zao la pamba zitakazozalishwa na kiwanda hicho zitapata soko la uhakika katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara(SADC) na hapa nchini kupitia Bohari hiyo, kwa kuwa sasa bidhaa hizo zinaagizwa nje ya nchi.

Baadhi ya wawekezaji wa viwanda vya kuchambua pamba mkoani Simiyu wamesema pamoja na kujenga kiwanda cha bidhaa za afya zitokanazo na pamba njia kuu ya kuongeza thamani ya zao la pamba ni kujenga viwanda vya nyuzi na nguo, huku wadau wa wakitoa maoni yao

“Tunapaswa kuongeza thamani ya zao la pamba ili wakulima waweze kunufaika na uzalishaji wanaofanya, moja ya njia kuu ya kuongeza thamani ni uwekezaji katika viwanda vya nyuzi na nguo, huu ni uwekezaji mkubwa unaotoa ajira nyingi, Serikali ingalie upya sera, sheria na kodi zinazogusa uwekezaji katika eneo hili” alisema Salum Khamis mwekezaji Shinyanga.

“Ipo haja ya kwenda kwenye uwekezaji katika viwanda vya nyuzi na nguo hapa nchini  na kwa sababu sisi ni miongoni mwa wazalishaji wakubwa wa pamba Afrika, tukitegemea sana soko la nje kwa siku zijazo tunaweza kukwama hasa katika suala bei ya pamba” alisema Boaz Ogola Kiwanda cha Kuchambua pamba cha Alliance Ginnery.

Kiwanda cha Bidhaa za afya zitokanazo na zao la pamba kinatarajiwa kujengwa mwaka huu 2019 katika Kata ya Dutwa wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), ambapo ujenzi huo umeshirikisha Taasisi nyingine za Umma ambazo ni wadau muhimu katika kufanikisha utekelezaji wa mradi huo kwa ufanisi.

Taasisi hizo ni Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda (TIRDO), Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Benki ya Uwekezaji Tanzania (TIB Corporate) na Bohari ya Dawa  ya Taifa (MSD).

Maagizo ya Waziri Mkuu Baada ya Kuwaita Ofisini Kwake Mkuu wa Mkoa na Wakuu wa Wilaya Waliokuwa Wamezuia Nguzo za Umeme

$
0
0
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa  amesema kampuni zote zinazosambaza nguzo za umeme zinatakiwa zilipe ushuru wa halmashauri wanakotoa nguzo hizo amboa ni asilimia tano ya gharama ya kila nguzo kama ilivyoelekezwa na Sheria ya Fedha za Serikali za Mitaa.

Ametoa agizo hilo jana (Jumatatu, Januari 7, 2019) baada ya kupata taarifa kuhusu kampuni ya New Forest ambayo inamkataba na TANESCO wa kusambaza nguzo za umeme, kwa muda mrefu kampuni hiyo imekuwa ikikaidi kulipa ushuru wa asilimia tano ya gharama ya kila nguzo. Ushuru huo umefikia sh. bilioni 2.9 hali iliyopelekea uongozi wa mkoa kuzuia nguzo hizo zisitoke.

Wiki iliyopita akiwa katika ziara ya mkoa Ruvuma, Waziri Mkuu alipokea malalamiko kuhusu mkoa wa Iringa kuzuia kusambazwa kwa nguzo za umeme ndipo alipoamua kuwaita Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Happi pamoja na wakuu wa wilaya, wakurugenzi pamoja na wenyeviti wa halmashauri wanaotoka katika wilaya zinazozalisha nguzo.

Viongozi wengine waliohudhuria kikao hicho ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye ulemevu, Jenista Mhagama, Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani, Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Josephat Kandege, Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji, Naibu Waziri Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhandisi Stella Manyanya pamoja na maafisa wengine wa Serikali.

Amesema lengo la kikao hicho lilikuwa kupata ufafanuzuzi kuhusu malalamiko yaliyotolewa dhidi ya uongozi wa mkoa wa Iringa kuhusu kuzuia usafirishaji wa  nguzo za umeme zinazotomika kwenye miradi ya Kusambaza Nishati ya Umeme Vijiji (REA).

Baada ya kupata maelezo hayo, Waziri Mkuu amemuagiza mkuu wa mkoa wa Iringa kuiandikia bili kampuni ya New Forest ili ilipe ushuru huo kuanzia Julai 2018 walipoanza kusambaza nguzo. Asilimia 90 ya nguzo za umeme nchini zinatoka Iringa. Tanzania ina  viwanda tisa vya kutengeneza nguzo na kati ya viwanda hivyo vinane vipo Iringa na kimoja kipo Tanga.

Kampuni ilizuiwa kutoa nguzo ndani ya mkoa wa Iringa tangu Novemba 2018 hadi Januari 2019 huku ikitakiwa kulipa ushuru wa asilimia tano ya gharama ya kila nguzo ambapo ilikaa ikitaka iendelee kulipa sh. 5,000 kwa kila nguzo kama walivyokubaliana na TANESCO jambo ambalo ni kinyume cha sheria.

Hata hivyo, nguzo za umeme ambazo zilikuwa zimezuiwa kwa muda mrefu katika maeneo ya uzalishaji hususani mkoani Iringa na kusababisha kukwama kwa baadhi ya miradi ya usambazaji umeme kwenye baadhi ya mikoa nchini juzi zimeanza kusambazwa huku taratibu nyingine za malipo zikiendelea.

Mawakala ATCL Kuendelea Kusota Rumande

$
0
0
Upande wa utetezi katika kesi ya mawakala wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), wanaokabiliwa na mashtaka ya utakatishaji fedha na kulisababishia shirika hilo hasara ya Sh. milioni 10.8, umelalamika ucheleweshaji wa upelelezi na kusababisha washtakiwa kukaa mahabusu kwa muda mrefu.

Washtakiwa katika kesi hiyo ni Farian Ishengoma (34), ambaye ni mtaalamu wa hali ya hewa, mawakala wa ndege, Neema Kisunda (24), Alexander Malongo (29), Tunu Kiluvya (32) na Job Mkumbwa (30).

Wengine ni wafanyabiashara Adam Kamara (27), Marlon Masubo (29), Mohammed Issah (38), mkazi wa Yoruba Nigeria, Godfrey Mgomela, Absalom Njusi na Janeth Lubega, ambao walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka yao mbele ya Hakimu Mkazi, Salum Ally.

Shauri lao lilifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Janeth Mtega.

Wakili wa Serikali, Ester Martin, alidai kuwa, kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya kutajwa na upelelezi bado unaendelea na kuiomba mahakama kupanga tarehe nyingine kwa ajili ya kutajwa kwa shauri hilo.

Wakili wa utetezi, Augustine Kulwa, aliuomba upande wa serikali kuharakisha upelelezi kwa madai kuwa washtakiwa hao wamekaa muda mrefu mahabusu.

Hakimu Mtega aliahirisha kesi hiyo hadi Januari 17, mwaka huu, itakapotajwa tena.

Washtakiwa hao wanadaiwa kutenda makosa hayo kati ya Machi 10 na Oktoba 9, mwaka jana, katika maeneo ya Dar es Salaam na Mwanza kwa pamoja wakiwa mawakala wa ATCL na kulisababishia shirika hilo hasara ya Sh. 10,874,280.

Katika mashtaka ya pili, inadaiwa kati ya Machi 10 na Oktoba 9, mwaka jana katika maeneo ya Dar es Salaam na Mwanza kwa udanganyifu walijipatia fedha hizo kutoka kwa wateja mbalimbali wa ATCL kwa kuwadanganya kuwa watawakatia tiketi.

Pia alidai kati ya tarehe hizo na maeneo hayo, washtakiwa kwa pamoja wanadaiwa kuwa walijipatia Sh.10,874,280 mali ya ATCL wakati wakijua kuwa fedha hizo ni zao la uhalifu.

Washtakiwa hao hawakutakiwa kujibu chochote kwa sababu mahakama hiyo haina mamlaka ya kisheria kusikiliza kesi hiyo hadi upelelezi utakapokamilika na kwenda kusikilizwa Mahakama Kuu.

Washtakiwa wamerudishwa rumande hadi Januari 17, mwaka huu kesi hiyo itakapotajwa tena.

Wimbo Mpya : WEUSI - Wapoloo

Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene, Kuongeza Maumbile ya Kiume na Kuondoa Chunusi

$
0
0
Anza mwaka 2019 na mambo mapya kutoka kampuni ile ile inayofanya vizuri TANZANIA na nchi za NJE ambayo ni @natural_beauty_prod.

           BADO TUNATOA OFFA KAMA IVI👇👇👇
1. SHARK POWER--Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 7.5 ilikua inapatikana kwa @170,000/= sasa ni @160,000/= tu

2.VIGA 84000---Hii dawa ya kuspray yenye uwezo mkubwa wa kuchelewesha wakati wa tendo la ndoa ilikua ni  @160,000/=. Sasa ni 150,000/= tu

3. HANDSOME UP ORIGINAL-- Hichi ni kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo wewe pamoja na kuimalisha misuli kifaa hichi kilikua kinapatikana kwa @230,000/=. Sasa ni 210,000/= tu

4. MAXMAN CAPSULE--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza uume urefu na upana pamoja na kuongeza nguvu za kiume kwa wiki mbili ilikua inapatikana kwa @200,000/=. Sasa ni 180,000/= tu

5. VIG RX---- Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 10 ilikua inapatikana kwa @190,000/=. Bei ya sasa ni 170,000/=

6. BODY BOOSTER---Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri ilikua inapatikana kwa @150,000/=. Sasa ni 140,000/=

7. BOTCHO MULT PLUS-- Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza (hips mapaja na makalio) kwa size uipendayo ilikua inapatikana kwa @200,000/=. Sasa ni 180,000/=

8. WHITE COLLECTION---- Ni vidonge vya kuwa mweupe mwili mzima pamoja na kuwa soft ilikua inapatikana kwa @150,000/= Sasa ni @140,000/= tu

9. BOTCHO HOLOGRAM CREAM--- Hii ni dawa ya kuongeza hips na makalio ilikua inapatikana kwa@180,000/= Sasa ni@160,000/=       

N.K

Wasiliana nasi kwa simu
NO:. +255 759029968  AU +255 659618585
Popote ulipo utapata huduma zetu.

Pia hakikisha unapatiwa risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ununuapo bidhaa kampuni hii.
               WELCOME ALL

Dr Sandala: Mtaalamu wa Tiba Bora za Mitishamba

$
0
0
DR SANDALA: ANAKUHABARISHA KUHUSU TIBA BORA YA MITI SHAMBA(100%)

  NKURURU:-ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto, kiuno tumbo     kupooza/kuparalazi  kupoteza  fahamu  

KALALA; hutibu  kisukari , uti  wa  mgongo,  Chango,.. pumu, busha bila operation, kaswende, kifua  kikuu, muwasho  sehemu  ya siri kwa mda wa siku 60. : 

THREE POWER MIX; Ni  dawa  ya  nguvu za kiume na  kuweka heshima ndani ya nyumba kwa akina baba wasio na uwezo ktk tendo la ndoa na kupona kabisa na tatizo kutokurudia tena ,okoa Ndoa yako sasa na three power mix dozi yake ni mda wa siku sita(6)na utachelewa kufika kileleni kwa mda wa dakika 29-32 

 MPERAMPERA:- ni dawa ya kurudisha Mke, mme, mpenzi,mchumba aliyekuacha /kuteseka, ni kwa mda wa siku 2tu,atakurudia na kukuhudumia hata akiwa mbali ipate na ukomeshe asie heshim mahusiano.

NSASI, kupunguza vitambi(nyama uzembe),  maziwa makubwa,michirizi, makovu makubwa, chunusi sugu. Nk

SIX POWER:-inatibu upungufu wa nguvu za kiume kwa wasio weza kumudu tendo la ndoa itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara 4 bila hamu Kuisha, inaboresha maumbile madogo na inaimarisha misuri iliyo regea na kusinyaa una pona kabisa, ndani ya siku 4tu

GASELA:-ni dawa ya maajabu (10) yaliyoshindikana.    (1)-Kisukari siku 14 na kuwa normal na kupona kabisa na kutorithisha wanao, vidonda vya tumbo,kutoa gesi na kupona kabisa dozi siku 7, tezi dume ukitaka kupona tezi dume wasiliana nami nikushauri kwani n8 gonjwa sugu a kwangu utapona,dawa ya uzazi hujawahi kupata mtoto na unataka kupata mtoto tiba yake ipo je? unabeba mimba zinatoka ?na unahitaji uitwe mama? tumia dawa ya mapacha 1-4 ,busha bila oparesheni siku 60,na kuendelea kufanya kazi zako. 

Haya yote yana wezekana kwa DR SANDALA popote ulipo ukiniitaji nafika napatikana DAR ES SALAAM, PWANI BAGAMOYO ,SHINYANGA KAHAMA,MOSHI KILIMANJARO NA MBEYA.mawasiliano   simu namba     0744922982.(whatsapp) 0784475946.

                

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo

Video Mpya: Saida KaroIi - Magenyi

$
0
0
Video Mpya: Saida KaroIi - Magenyi

Makanga 3 Power, Dawa Bora Za Nguvu Za Kiume

$
0
0

Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.

Tupo dar es salam Buguruni

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,

Naibu Waziri Mabula Awaonya Watendaji Wa Sekta Ya Ardhi

$
0
0
Na Munir Shemweta, Biharamulo
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dk Angeline Mabula amewataka watendaji wa sekta ya ardhi katika halmashauri ya wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera kujipanga na kufanya kazi kwa bidii ili kupunguza migogoro ya ardhi na wasipotekeleza majukumu yao vizuri atawawajibisha.

Akizungumza na watendaji wa sekta ya ardhi katika halmashauri ya wilaya ya Biharamulo katika ofisi za halmashauri hiyo mkoani Kagera,  Dk. Mabula alisema pamoja na changamoto zinazoikabili sekta ya ardhi katika halmashauri hiyo lakini watumishi wa sekta hiyo wanapaswa kujipanga na kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuweza kupunguza migogoro ya ardhi na wakati huo kuwawezesha serikali kukusanya mapato kupitia sekta ya ardhi.

“Kama kazi haziendi migogoro ya ardhi haiwezi kuisha na ninyi hapa mna viwanja vichache lakini mmeshindwa kuviingiza katika mfumo hivyo mkimaliza kuviingiza viwanja hivyo hapo mnaweza kurekebisha takwimu” alisema Dk Mabula.

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi amewataka wakurugenzi wa halmashauri kuhakikisha wanaziangalia idara za ardhi katika halmashauri zao kwa kuwa hakuna miradi inayokamilika bila kuhusisha ardhi hivyo sekta hiyo ni muhimu na inapaswa kuangaliwa kwa umakini mkubwa.

Ameiagiza halmashauri ya wilaya ya Biharamulo kupitia idara ya ardhi kuhakikisha inatoa ilani za madai kwa wadaiwa wa kodi ya ardhi mia tano katika kilindi cha wiki moja na kueleza kuwa watakaoshindwa kulipa basi wafikishwe katika mabaraza ya ardhi. Hata hivyo,  Dk Mabula ameshangazwa na halmashauri hiyo kushindwa kutoa hati za madai wakati ina wadaiwa wa kodi ya ardhi wapatao 2000.

Akigeukia suala la utoaji hati za ardhi ,  Dk Mabula ameshangazwa na kasi ndogo ya utoaji hati ambapo katika kipindi cha ropo ya pili ya mwaka 2018/2019 idara hiyo imeweza kuandaa hati 31 kati ya 200 huku baadhi ya hati zikiwa katika ofisi ya  Kaimu Mkuu wa Idara ya ardhi tangu mwezi Novemba 2018 bila kusainiwa wakati hati zinaweza kutolewa ndani ya mwezi mmoja.

Aidha, Dk Mabula ameitaka halmashauri ya Biharamulo kutambua mali zake na kuhakikisha maeneo yake yanakuwa na hati za ardhi sambamba na kulipa kodi ya pango la ardhi.  Kwa mujibu wa Dk Mabula maeneo mengi ya halmashauri yanekuwa na mgogoro kutokana na kukosa hati na wakati huo kushindwa kulipa kodi ya ardhi.

Mapema Kaimu Mkuu wa Idara ya Ardhi ambaye ni Afisa Ardhi Mteule  katika halmashauri ya wilaya ya Biharamulo Novatus Babu alimueleza Naibu Waziri Mabula kuwa halmashauri hiyo imepima jumla ya viwanja 3, 101 katika maeneo ya Biharamulo Mjini,  Nyakanazi,  Runazi,  Lusahunga na Nyakahura na jumla ya viwanja 2, 191 vimeingizwa katika mfumo huku viwanja 200 vikiwa havijaingizwa.

Kwa mujibu wa Kaimu Mkuu huyo wa Idara halmashauri ya Wilaya ya Biharamulo katika kilindi cha robo ya pili 2018/2019 imeweza kukusanya kiasi cha shilingi 38, 022, 624 kati ya milioni 150 ilizopangiwa katika kipindi cha mwaka 2018/2019.

Diwani Ashambuliwa Kwa Mapanga

$
0
0
Diwani wa Sabasabini katika Halmashauri ya Ushetu, Kahama mkoani Shinyanga, Emmanuel Makashi amenusurika kifo baada ya kushambuliwa kwa kukatwa mapanga na watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi nyumbani kwake usiku wa kuamkia jana.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Richard Obwao alisema katika tukio hilo, wavamizi hao walimpora diwani huyo fedha taslimu Sh5 milioni.

“Ni vyema wananchi wakajenga tabia ya kuhifadhi fedha benki badala ya kukaa majumbani na kiasi kikubwa cha fedha na hivyo kuvutia wahalifu,” alisema.

“Katika purukushani za kupora fedha hizo, diwani Makashi alijeruhiwa kwa kukatwa mapanga alipojaribu kukabiliana na wavamizi hao ambao majina wala idadi yao haijajulikana,” alisema.

Alisema wakati wakitimka mbio baada ya kupora na kujeruhi, mmoja wa watuhumiwa aliyetambuliwa kwa jina la Yohana Masanja (19), mkazi wa Kijiji cha Lowa alikamatwa na kushambuliwa hadi kufa na wananchi waliojitokeza baada ya kusikia kelele za kuomba msaada. Baada ya kumuua, wananchi hao walimteketeza kwa moto.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Aanza Ziara Ya Kikazi Zanzibar

$
0
0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Magharibi “B” Silima Haji Haji, wakati akiwasili Zanzibar kwa ziara ya kikazi ya siku moja Januari 8, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Lugola Ampa Siku 30 Mkuu Wa Jeshi La Zimamoto Na Uokoaji Kufanya Ukaguzi Taasisi Za Umma Na Binafsi Nchini Kama Zina Vifaa Vya Zimamoto

$
0
0
Na Felix Mwagara, MOHA-Biharamulo.
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amempa siku 30 Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kufanya ukaguzi taasisi mbalimbali za umma na binafsi nchini kuwa na vifaa vya zimamoto.

Lugola alisema ukaguzi huo pia ulenge zaidi katika shule za msingi, sekondari na vyuo, vituo vya kutolea huduma za afya ili kuepukana na ajali zitokanavyo na vyanzo vya moto.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na mamia ya wananchi, ambao ulifanyika katika uwanja wa mpira Mjini Biharamulo, Mkoani Kagera, leo, Lugola alisema atafuatilia utekelezaji wa agizo lake kama litakua limefanyiwa kazi jinsi anavyotaka yeye.

Pia Waziri Lugola amewaomba Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri zote nchini kuhakikisha wanatenga fedha za mapato ya ndani kununua vifaa za zimamoto katika taasisi za Serikali wanazoziongoza.

“Haiwezekani wanafunzi, wagonjwa katika zahanati mbalimbali au vituo vya afya wapate tatizo la ajali la moto halafu wakurugenzi na mameneja au wakuu wa taasisi hizo wakishindwa kuweka vifaa vya zimamoto licha ya kupokea fedha za kutolea huduma,” alisema Lugola.

Aidha, Waziri Lugola amezitaka taasisi za dini kuendesha ibada kwa kuhakikisha majengo yanasajiliwa na pia Miiskiti na Makanisa yasitumike kuhifadhi wahalifu wanaotumia migongo ya kuwa wachungaji na mashekhe kama mwavuli wa maadili mema bila uzalendo.

“Makanisa na miskiti itakayobainika ina malengo hayo, sitaona haya kuifutia usajili, na pia nawataka viongozi wa dini endapo migogoro inaibuka hakikisheni  mnaitatua wenyewe kwa amani,” alisema Lugola.

Pia Lugola alisisitiza akiitaka Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kupitia upya usajili na utoaji wa vitambulisho vya taifa katika mikoa ya Kagera na Kigoma ili waweze kuwabaini  na kuwaondoa raia wa nchi jirani zinazoizunguka mikoa hiyo.

Alikiba kushiriki kwenye EP ya Muimbaji kutoka nchini Nigeria, Timaya

$
0
0
Muimbaji kutoka nchini Nigeria, Timaya ameweka wazi kuwa Alikiba ni miongoni mwa wasanii watakaoshiriki kwenye EP yake ambayo ipo mbioni kutoka.

EP hiyo ya Timaya inakwenda kwa jina la Chulo Vibe, kupitia ukurasa wake wa Instagram ndipo Timaya ameeleza hili.

"My Brother Alikiba from Tanzania came through on the EP Chulo Vibes," ameeleza.  
 
Ukiachana na hilo, pia kuna taarifa za Alikiba kutoa albamu kwa mwaka huu ingawa bado hilo halijathibitishwa.

BREAKING: Rais Magufuli Afanya Mabadiliko Baraza la Mawaziri....Afungua Ubalozi Mpya Nchini Cuba

$
0
0
Rais Magufuli leo amefanya mabadiliko ya baraza la mawaziri ambapo amemteua Angela Kairuki kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu/Uwekezaji.

Naibu Waziri wa Madini Dotto Biteko amekuwa waziri kamili wa madini, na Stanslaus Nyongo ataendelea kuwa maibu waziri wa wizara hiyo
 
Rais amemteua Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dr. Mpoki Ulisubisya kuwa balozi, kituo chake cha kazi kitatangazwa baadaye, pia Magufuli ametangaza kufungua ubalozi wa Tanzania nchini Cuba ambapo balozi atatangazwa baadaye.

Pia, Rais Magufuli amemteua Dr. Zainab Chaula kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya kuziba nafasi ya Dr Mpoki .

Kadhalika, Engineer Joseph Nyamuhanga ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu TAMISEMI

Lulu Michael kugawa nguo zake zote

$
0
0
Msanii wa Filamu Bongo, Elizabetha Michael Lulu amepanga kugawa nguo zake ingawa bado hajaeleza sababu ya kufanya ni hivyo.

Mrembo huyo kutoka kiwanda cha filamu ametumia mtandao wa Snapchart kueleza hilo.

Huna Sababu ya Kuabika Tena, Jipatie Dawa Bora ya Nguvu za Kiume, Maumbile Madogo na Mvuto wa Mapenzi

$
0
0
Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiathiri watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine ....kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapungufu katika mwili wake.

Kuna sababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huathiri misuli ya uume, 


Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

MASISA 3POWER :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

YONINANI:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

SUPER MORINA :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

LUGIMBA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR CHIPUPA NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO  0620510598  / 0743543944

Zao la Korosho Lapata Soko Nchini Algeria

$
0
0
Huenda kizungumkuti cha zao la Korosho nchini kikamalizwa kabisa, baada ya serikali kutangaza kupatikana kwa soko jipya la zao hilo nchini Algeria.

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje Dkt. Damas Ndumbaro alipokutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Algeria, Mhe. Saad Belabed, katika Ofisi ndogo za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki zilizopo jijini Dar es Salaam.

Katika mazungumzo hayo Mhe. Balozi Ndumbaro alieleza kuwa Algeria ipo tayari kununua korosho zote za Tanzania.

Dkt. Ndumbaro amesema mazungumzo hayo ni moja ya jitihada za Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais  Dkt. John Joseph Magufuli za kuwakomboa kiuchumi Watanzania kwa kutafuta masoko ya mazao ya wakulima nje ya nchi.

Serikali iliingilia kati taratibu za mauzo ya zao hilo kutokana na kuwa na mgogoro wa bei kati ya wakulima na wafanyabiashara, ambapo wafanyabiashara walitangaza kununua kwa sh 1,500 kwa kilo, bei ambayo ilipingwa vikali na wakulima.

Ndipo Rais Magufuli alipotangaza uamuzi wa serikali kununua korosho zote za wakulima kwa sh 3,300 kwa kilo na kuagiza korosho hizo zibanguliwe hapa nchini kabla ya kusafirishwa nje ya nchi.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images