Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Godbless Lema Kujitosa Tena Ubunge Arusha Mjini na Si Hai Kama Watu Wanavyosema

$
0
0
Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema amesema katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 atawania ubunge katika jimbo hilo na si Hai kama ambavyo watu wengi wanazusha.

Lema amesema kuna propaganda zinasambazwa kuwa haonekani jimboni kwake kwa kuwa anataka kuwania ubunge Hai ambako mbunge wake ni mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.

“Hakuna wa kuniondoa ubunge wa Arusha Mjini. Kinachozungumzwa nakisikia ni vile tu nimeamua kubadili siasa zangu kwa kuacha kuwajibu maana kila wanapogombana na mimi wanapanda vyeo,” amesema Lema.

"Arusha tuna madiwani wachapakazi  na meya mzuri wanatosha kupambana na siasa za CCM Arusha. Mimi kama mbunge nijikite katika masuala ya kitaifa zaidi kwani kazi za maendeleo  zinasimamiwa vyema.”

Amesema mwaka 2019 utakuwa mwaka wa kupigania   ukombozi wa Watanzania wote, kwa kushirikiana na vyama vingine wamejipanga kudai Katiba Mpya, uhuru wa watu kuishi na kufanya shughuli zao  bila hofu.

"Leo maduka ya kubadilisha fedha yote yamefungwa Arusha, biashara zimefungwa, wawekezaji wanaondoka na hofu imetanda kila kona sasa mwaka huu ni wa kazi kurejesha matumaini kwa Watanzania,” amesema.

Lugola Awataka Nida Wapitie Upya Usajili, Utoaji Wa Vitambulisho Vya Taifa Mikoa Ya Kagera Na Kigoma

$
0
0
Na Felix Mwagara, MOHA-Kyerwa.
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amemuagiza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) apitie upya usajili na utoaji wa vitambulisho vya taifa katika mikoa ya Kagera na Kigoma ili aweze kuwabaini  na kuwaondoa raia wa nchi jirani zinazoizunguka mikoa hiyo.

Akizungumza na mamia ya wananchi wa Mji wa Kyerwa katika Mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa sokoni mjini humo, leo, Lugola alisema baadhi ya raia wa nchi jirani wamejipenyeza na kujipatia vitambulisho vya taifa ama kwa kuwatumkia wenyeji ama nguvu ya fedha.

“Hii haikubaliki na lazima tuwe makini katika hilo, nimepata taarifa kuhusu watu waliojipatia vitambulisho hivyo ambao hawastahili, kutokana na hilo natoa agizo kuwa, Mkurugenzi Mkuu wa NIDA ahakikishe anapitia upya zoezi la kusajili ili aweze kuwabaini ambao walijipatia kwa njia ambazo sio halali,” alisema Lugola.

Lugola alisema kuwa, utoaji wa vitambulisho hivyo katika mikoa hiyo unasuasua kwasababu ya umakini unaofanyika katika kusajili waombaji wa vitambulisho.

“Hakuna Mtanzania atakayekosa vitambyulisho vya taifa, kilka mtu anatapa ili mradi tu awe na sifa, na pia mpaka upate lazima upitie mchujo maalumu ili tuhakikishe wewe tunakupa kitambulisho ni Mtanzania halisi au sio.” Alisema Lugola.

 Aidha, Lugola pia juzi alimuagiza alimpa wiki mbili  Kamishna Jenerali wa Uhamiaji nchini (CGI) Dkt Anna Makakara, awe amefika katika mikoa hiyo kwa ajili ya kuanza maandalizi ya kufanya operesheni kubwa ya kuwaondoa Wahamiaji haramu katika Mikoa hiyo kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kuanza mwezi Julai mwaka huu.

Lugola aliyazungumza hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Karagwe akisisitiza kuwa katika mikoa hiyo kuna idadi kubwa ya wahamiaji haramu .

Lugola aliongeza kuwa, licha ya kutangaza operesheni hiyo, lakini viongozi wa uhamiaji katika mikoa hiyo wawe makini mara kwa mara kuhakikisha wanawafuatilia wahamiaji hao kwa kuwashirikisha wananchi waaminifu ili waweze kutoa taarfia sahihi za wahamiaji hao.

Waziri huyo pia aliwataka wananchi wa mikoa hiyo watoe ushirikiano na wasiwafiche wahamiaji hao kwasababu kumuhifadhi ni kosa kisheria, hivyo wanapaswa kuhakikisjha wanatoa taarifa za wahamiaji hao kwa maafisa uhamiaji ili waweze kukamatwa.

Lugola alisema alifanya ziara katika Mkoa wa Kigoma kwa kutembelea Wilaya zote kama anavyofanya Mkoa wa Kagera, anapewa kero hiyo katika ziara hiyo, hivyo anataka Uhamiaji wawaondoa wahamiaji wote ndani ya mikoa hiyo ili Watanzania waweze kuishi kwa amani wakiendelea kujionea maendeleo ya uongozi wa Rais Dkt. Magufuli.

Waziri Lugola amemaliza ziara yake Wilaya Kyerwa na Wilaya inafuata ni Ngara, Biharamulo na Muleba, ambapo akiwa katika ziara hiyo, pia uzungumza na wananchi katika mikutano ya hadhara pia ukutana na watumishi waliopo ndani ya Wizara yake ambao ni Jeshi la Polisi, Idara ya Uhamiaji, Jeshi la Magereza, Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, pamoja na Idara ya Probesheni ambayo jukumu lake kuu ni kupunguza msongamano gerezani na kusimamia wafungwa waliopewa adhabu mbadala na Mahakama au wafungwa waliopata msamaha kupitia sheria ya huduma kwa jamii na kutumikia kifungo chao nje ya Gereza.

Waziri Mkuu Amwagiza Naibu Waziri Wa Afya Kufuatilia Uhujumu Wa Jengo La Mama Na Mtoto.

$
0
0
Na WAMJW – SONGEA
WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amemwagiza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile kufuatilia uhujumu wa Fedha za ukarabati wa jengo la mama na mtoto katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Ruvuma.

Ameyasema hayo jana wakati akihitimisha ziara yake ya kukagua shughuli za maendeleo pamoja na kuzindua X-Ray Mashine za kisasa katika Mkoa wa Ruvuma.

Mhe. Majaliwa alisema kuwa Milioni 500 inajenga kituo kizima cha Afya, ambacho kina chumba cha uoasuaji’thieta’, wodi ya mama na mtoto, jengo la wagonjwa wa nje, nyumba ya Mtumishi, mochwari na kichomea taka, hapa jengo moja linalofanana na thieta ni Milioni 129 kule ni Milioni 70, hii haikubaliki hata kidogo.

‘Waziri utabaki hapa, utafuatilia hiyo, tujue nani aliyeweka zabuni hiyo, tushughulike nae, hatuwezi kuruhusu hali hii, na tukiendelea hivi tutaharibu kila kitu, lazima tuelezane ukweli, Serikali tumetaka kuboresha sekta ya Afya, tumetafuta mfumo mzuri, tunafedha, na tunaendelea kujenga, sasa kuna watu wanaingia huko wanataka kutuharibia” alisema Mhe. Kassim Majaliwa.

Mbali na hayo Mhe. Kassim Majaliwa alisema kuwa Serikali huzipatia Halmashauri zote za Mkoa wa Ruvuma kiasi kisichopungua Milioni 25 kwa ajili ya ununuzi wa Dawa kila mwezi, huku akiwatoa hofu Wananchi kuwa Dawa zipo na zimefikia Asilimia 92.

“Kila mwezi, halmashauri chini kabisa inayopata Fedha za dawa pekee, sio chini ya Milioni 25 kwa mwezi, kwa miezi mitatu ni shilingi Milioni 75, na Fedha hizi zinakuja na wananunua dawa moja kwa moja, dawa zipo, na zimefikia Asilimia 92℅ na kuendelea” alisema Mhe. Kassim Majaliwa.

Mhe. Kassim Majaliwa aliendelea kuwahasa Wasimamizi wote waliopo katika vituo vya Afya, kuhakikisha kuwa Dawa za matibabu zinatumiwa vizuri, na zitumike kwa kuwapa Wananchi waliopata maradhi

“Leo nimeingia kwenye wodi ya watoto wadogo, nimekutana na mtu mmoja aliyekuwa na malalamiko ya dawa, inawezekana mtu, mmoja anataka kuwachafua wengi, kwasababu wote mnajua hapa dawa zipo na mgonjwa atapata Dawa’ alisema Mhe. Kassim Majaliwa.

Naye Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile alitoa rai kwa Wananchi wa Mkoa wa Ruvuma juu ya masuala ya lishe, huku akiwahasa viongozi wa Mkoa kuhamasisha Wananchi ili wafahamu juu ya umuhimu wa Lishe bora.

” Nisisitize masuala ya Lishe, iwe ni ajenda ya kudumu, Mkoa wa Ruvuma unazalisha chakula kwa wingi, lakini sasa ndio unaongoza kwa matatizo ya utapiamlo, maana yake ni kwamba, hatujui namna ya kula” alisema Dkt. Ndugulile

Katibu Mkuu CCM Dkt Bashiru Ashauri Wakuu Wa Mikoa Kujifunza Simiyu

$
0
0
Na Stella Kalinga, Simiyu
Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dkt. Bashiru Ally amewashauri Wakuu wa Mikoa hapa nchini kwenda(kuja) kujifunza namna ya kufanya kazi kwa umoja na mshikamano kati ya Chama na Serikali sambamba na ubunifu na uchapakazi wa viongozi wa mkoa huo.

Dkt. Bashiru ameyasema hayo Januari 05, 2019 wakati akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM pamoja na Viongozi na watendaji wa Serikali, Mjini Bariadi wakati akiwa katika ziara yake mkoani Simiyu.

Dkt. Bashiru amewapongeza Viongozi wa Serikali wakingozwa na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka kwa namna wanavyoshirikiana na viongozi wa Chama kwa namna wanavyosimamia shughuli za maendeleo.

“Niwapongeze  kwa namna mnavyosimamia shughuli za maendeleo, nilikuwa hapa mwaka 2005 kama msimamizi wa uchaguzi nilizunguka maeneo mengi mengine yalikuwa hayapitiki, leo nimekuja nikazungushwa maeneo machache tu, nimeona mambo mengi sana ya tofauti kwa hiyo uongozi wa mkoa huu kwa Chama na Serikali umefanya kazi kubwa na bado mna nafasi kubwa ya kufanya mambo makubwa zaidi” alisema

Aidha, amesema ili uchumi uwe imara, wa kisasa na wenye manufaa ni lazima uwe jumuishi na uwalenge watu walio wengi ambao ni wazalishaji wadogo hususani katika  katika sekta ya kilimo na viwanda huku akisisitiza umakini zaidi ili uwepo wa viwanda na maendeleo ya kilimo viwanufaishe wengi.

Ameongeza kuwa wakati Mkoa wa Simiyu unapanga mipango mbalimbali ya maendeleo ya kiuchumi ni vema kukawa na mpango wa matumizi bora ya ardhi, ili kuondoa migogoro kwa watumiaji ambayo inakuwa chanzo cha chuki na watu kuishi kwa wasiwasi.

Katika hatua nyingine Dkt. Bashiru amesema CCM imejipanga kuhakikisha kuwa itasimamia na kuimarisha ushirika ambao utasimamiwa na wataalam wenye taaluma na maadili ili uweze kuwanufaisha wanaushirika na kutatua changamoto zao.

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amesema kuwa Viongozi na watendaji wa Serikali Mkoani humo watahakikisha wanasimamia utekelezaji wa Ilani ya CCM huku akisisitiza kuwa fedha zote zinazoletwa katika mkoa wa Simiyu zitasimamiwa vizuri na zitafanya kazi iliyokusudiwa.

Aidha, Mtaka amesema Mkoa wa Simiyu unafanya utafiti kwa kushirikiana na Taasisi ya Utafiti wa Masuala ya Kiuchumi na Kijamii(ESRF) ili kubaini fursa za kiuchumi zilizopo katika katika kila kijiji kwa Vijiji vyote 470, ambapo utekelezaji wa Falsafa ya Kijiji Kimoja Bidhaa Moja(OVOP) unatarajiwa kuzinduliwa rasmi mwezi Februari.

Ameongeza kuwa viwanda vikubwa vitatu vyenye uwezo wa kuajiri takribani wafanyakazi 2000 kikiwepo kiwanda cha chaki na kiwanda cha vifungashio (Maswa) kiwanda cha bidhaa 18 za afya  zitokanazo na pamba(Bariadi)  vitajengwa mwaka huu  2019 Simiyu.

“Ndugu Katibu Mkuu mwaka jana wakati Mhe. Rais anapokea ndege ya Air Bus alicheza muziki na  ukiangalia ilikuwa ni kitu kinachotoka moyoni kuonesha furaha yake, ninaamini mwaka 2019 Mhe. Rais ataucheza muziki huo hapa Simiyu” alisema Mtaka.

Naye Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Kheri James ambaye ni Mlezi wa CCM Mkoa wa Simiyu amesisitiza viongozi na wanachama kuimarisha uhusiano mzuri, kusaidiana na kupendana katika maisha ya siasa huku akiwasihi viongozi kulinda na kuheshimu dhamana walizopewa kwa kutimiza wajibu wao.

Akitoa salamu kwa niaba ya Wabunge wa Mkoa wa Simiyu, Mbunge wa Bariadi,Mhe. Andrew Chenge ametoa wito kwa viongozi na wanachama wa CCM mkoani Simiyu kudumisha upendo, umoja na mshikamano hususani katika kipindi cha kueleka uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Dkt. Bashiru Ally yuko Mkoani Simiyu kuanzia Januari 05,2019 kwa ziara ya kikazi ya siku mbili yenye lengo la kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM mkoani humo.

MWISHO

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Amjulia Hali Dkt Salim

$
0
0
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary wakimjulia hali Waziri Mkuu, Mstaafu, Dkt. Salim Ahmed Salim jana jijini Dar es Salaam Januari 6, 2018.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisindikizwa na Waziri Mkuu Mstaafu, Dkt Salim Ahmed Salim wakati alipomjulia hali Waziri Mkuu Mstaafu huyo, jijini Dar es salaam, Januari 6, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary wakisindikizwa na Waziri Mkuu, Mstaafu, Dkt. Salim Ahmed Salim wakati alipomjulia hali Waziri Mkuu Mstaafu huyo, jijini Dar es salaam Januari 6, 2018. Watatu kushoto ni Mama Amen Salim. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene, Kuongeza Maumbile ya Kiume na Kuondoa Chunusi

$
0
0
Anza mwaka 2019 na mambo mapya kutoka kampuni ile ile inayofanya vizuri TANZANIA na nchi za NJE ambayo ni @natural_beauty_prod.

           BADO TUNATOA OFFA KAMA IVI👇👇👇
1. SHARK POWER--Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 7.5 ilikua inapatikana kwa @170,000/= sasa ni @160,000/= tu

2.VIGA 84000---Hii dawa ya kuspray yenye uwezo mkubwa wa kuchelewesha wakati wa tendo la ndoa ilikua ni  @160,000/=. Sasa ni 150,000/= tu

3. HANDSOME UP ORIGINAL-- Hichi ni kifaa cha kuongeza maumbile kwa size uipendayo wewe pamoja na kuimalisha misuli kifaa hichi kilikua kinapatikana kwa @230,000/=. Sasa ni 210,000/= tu

4. MAXMAN CAPSULE--- Hii ni dawa ya vidonge ya kuongeza uume urefu na upana pamoja na kuongeza nguvu za kiume kwa wiki mbili ilikua inapatikana kwa @200,000/=. Sasa ni 180,000/= tu

5. VIG RX---- Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza uume urefu na upana mpaka nchi 10 ilikua inapatikana kwa @190,000/=. Bei ya sasa ni 170,000/=

6. BODY BOOSTER---Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri ilikua inapatikana kwa @150,000/=. Sasa ni 140,000/=

7. BOTCHO MULT PLUS-- Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza (hips mapaja na makalio) kwa size uipendayo ilikua inapatikana kwa @200,000/=. Sasa ni 180,000/=

8. WHITE COLLECTION---- Ni vidonge vya kuwa mweupe mwili mzima pamoja na kuwa soft ilikua inapatikana kwa @150,000/= Sasa ni @140,000/= tu

9. BOTCHO HOLOGRAM CREAM--- Hii ni dawa ya kuongeza hips na makalio ilikua inapatikana kwa@180,000/= Sasa ni@160,000/=       

N.K

Wasiliana nasi kwa simu
NO:. +255 759029968  AU +255 659618585
Popote ulipo utapata huduma zetu.

Pia hakikisha unapatiwa risiti yenye muhuri halisi wa NATURAL BEAUTY PROD ununuapo bidhaa kampuni hii.
               WELCOME ALL

Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power

$
0
0
Okoa Ndoa Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Hii Iitwayo Simpo Power Kwaajili Ya Nguvu Za Kiuume Na Promix Kwaajili Ya Kuongeza Maumbile;

Kwa mwanaume aliyekamilika na mwenye Afya njema ili kumridhisha mke au mpenzi anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara mbili hapo utamridhisha mpenzi wako ila ukiwa unapiga moja au mbili hapo ujue umejilidhisha wewe 

Tiba Ya Tatizo Lako Ni Dawa Hiitwayo Simpo Power No, 1; dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge vya miti shamba na unga ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja :-1 itakufanya urudie tendo zaidi ya mara tatu 
2 itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dakika 15-20 kwa tendo la Kwanza 
3 huimarisha uume uliolegea na kusinyaa 

Je Una Mke Au Mpenzi Aliyebalikiwa Kuwa Na Kario Kubwa Au Mwili Mnene Na Wewe Mume Wake Una   Maumbile Mafupu?; tumia sasa dawa ya PROMIX dawa itakufanya umfikishe shemu nyeti maana inaboresha maumbile saizi upendayo.

Dawa zangu haziina madhara yoyote kwa mtumiaji 

MARKSU; ni dawa ya kisukari dozi siku 21 
MWARU; ni dawa ya uzazi,hufungua milija ya uzazi ata kwa Wale waliofungiwa uzazi  
MTUNDUU; ni dawa ya busha bila kupasua 
MAZANZA; ni dawa ya kisukar zipo dawa za miguu Kuuma,tumbo,kupunguza Matiti,kutoa minyama uzembe ngiri,vidondo vya tumbo  

FIKA OFISINI KWANGU BUGURUNI MALAPA KARIBU NA KOTA ZA POLISI AU PIGA  SIMU ULETEWE MAHALI ULIPO SIMU NO : 0783185060 au 0752348593  -DR AGU

Baba Atiwa Mbaro Kwa Kumuua Mwanae Kwa Mapanga

$
0
0
Hazra Mwasenga, mkazi wa Kitongoji cha Haduye Kijiji cha Iwala, Kata ya Itale wilayani Ileje, mkoani Songwe, ametiwa mbaroni kwa tuhuma za kumuua mwanawe, Subi Mwasenga (28), kwa kumkata mapanga kisha kumzika kienyeji kwa siri, akimtuhumu kuiba nyama.
 
Mwenyekiti wa kijiji hicho, Joseph Mwabezya, alisema tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki na aligundua alipotembelea maeneo ya makazi ya mzee huyo alimsalimia na kuuliza kuwa mwanawe haonekani na kuhoji tuta lililopo pembezoni mwa nyumba yake.

Alisema baada ya kuhoji, Mwasenga alimweleza kuwa lile tuta ni kaburi la mwanawe ambaye alimuua kwa kumkata na panga kwa kosa la kuiba nyama na kwenda kuiuza, wakati yeye alichinja ng’ombe mdogo kwa ajili ya kitoweo.

Alisema baada ya kumkata na mapanga mwanawe, alipoona amekufa aliamua kuchimba shimo na kumfukia kwa siri kwa kuwa alitenda kosa la kuiba nyama.

‘’Nakuomba mwenyekiti nimekueleza haya kwa kuwa wewe ni rafiki yangu, iwe siri usimwambie mtu,” alisema mwenyekiti huyo wa kijiji.

Mwabezya alisema baada ya kutoka eneo hilo alikwenda kutoa taarifa hizo polisi na kwenye kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya kutokana na ukubwa wa tukio hilo, na kuwa vyombo vya usalama baada ya kufika eneo hilo walimkamata Mwaisenga.

Joseph Mkude, Mkuu wa Wilaya hiyo na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema ni tukio la pili la kikatili kutokea ndani ya muda mfupi.

Alisema Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi na kuchukua hatua, ikiwamo kumfikisha mahakamani mtuhumiwa huyo.

“Nilifika eneo la tukio nikiwa na kamati yangu ya ulinzi na usalama na kuagiza mtuhumiwa akamatwe, na sasa yupo rumande na pia nilitumia fursa hii kutoa rai kwa wananchi kuwa makini katika kutenda ukatili, tukio hili ni la pili kutokea baada ya hivi karibuni mtoto kumuua mama yake kwa panga,’’ alisema.

Serikali Kutumia Sh.trilioni 1.3 Kwa Ajili Ya Miradi Ya Maji Miji 28 Nchi Nzima

$
0
0
Serikali  inatarajia kutumia Shilingi Tirioni 1.3 kupitia mkopo toka Exim benki ya nchini India kwa ajili ya miradi mikakati ya maji katika Miji 28 nchi nzima ili kukabiliana na tatizo la maji.

Hayo yamebaimnishwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Profesa Kitila Mkumbo alipofanya ziara katika mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga(Tanga-Uwasa) na kuzungumza na watumishi wa mamlaka hiyo.

Profesa Mkumbo alifanya ziara katika mamlaka hiyo kwa ajili ya kujionea utendaji wa kazi zao na zaidi kuona changamoto zinazowakabili watumishi hao na mamlaka husika na namna ya kuzitafutia ufumbuzi. 

Profesa Mkumbo alisema katika fedha hizo zaidi ya Shilingi Bilioni 140 zitainufaisha Miji ya Pangani,Muheza na Korogwe ambapo matarajio ya Serikali kuhakikisha kufikia malengo ya asilimia 85 Vijijini na 95 Mijini hadi kufikia 2025.

Alisema katika Miji hiyo Pangani imepangiwa kiasi cha Shilingi Bilioni 22.5,Muheza Bilioni 5.6 na Korogwe kupitia mradi Mkuu wa maji Korogwe na Handeni BILIONI 112.5(HTM). 

“Matarajio ya Serikali ni kuhakikisha inapunguza kwa kiasi kikubwa kero ya maji vijijini na mijini na kufikia malengo yaliyojiwekea hadi kufikia mwaka huo wa 2025”Alisema Profesa Mkumbo.

Aidha lisema mchakato wa miradi hiyo mikakati umekwisha anza kwa hatua za awali ya usanifu na kupata Mtaalamu mshauri kwa ajili ya miradi hiyo katika Miji ambayo imebainishwa kunufaika na fedha hizo kwa nchi nzima. 

Alisema hadi kufikia juni mwaka huu miradi hiyo itakuwa imekwisha dizainiwa na mwezi Sept wakandarasi watatkiwa kuwa katika maeneo ya kazi katika miji hiyo 28 kwa ajili ya kutekeleza miradi hiyo.

Hata hivyo alitumia fursa hiyo kuwataka makandarasi kuhakikisha wanafanyakazi kwa uwadilifu na watambue Serikali haitomzulumu mkandarasi yoyote na fedha zao zitalipwa bila ya mashaka yoyote. 

“Tunajua madai ya makandarasi wengi nchi nzima lakini tutawalipa waondoe shaka koila mwezi tulipa shilingi Bilioni 8-12 hivyo tutwalipa tu”Alisema.

Awali akizungumza katika kikao hicho Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga-Uwasa) Mhandisi Geofrey Hilly alisema changamoto kubwa kwa sasa mkoani hapa ni namna ya kuongeza huduma ya taka ndani ya Jiji.

“Mbali na fedha zilizoainishwa na Katibu Mkuu lakini tunatarajia kupokea zaidi ya shilingi bilioni 400 kwa ajili ya miradi ya maji taka,kubadilisha miundombinu ya mabomba,ujenzi wa matank”Alisema Mhandisi Hilly.

Habari Njema Kwa Wenye Matatizo Ya Nguvu za Kiume, vitambi, nyama uzembe

$
0
0
NAUHABARISHA ULIMWENGU TIBA BORA YA MITI SHAMBA..

  Ninatibu magonjwa 1-100 dawa ninazo Sasa.

KOLA; ni dawa ya kisukari dozi siku 14 ata kama unajihisi itumie kwa kinga zaidi

  THREE(3) POWER MIX,inatibu Nguvu za kiume Ni dawa iliyo Bora na Humfanya mume kuchelewa kufika kileleni dkk 40_47 bila kuchoka.Inaanza kufanya kazi ndani ya door 80 na inatibu kabisa ndani ya siku 6 tu,hutatumia Tena dawa ya Nguvu za kiume three power mix Ni kiboko kabisa,hata Kama unahisi una tatizo unaruhusiwa kutumia kwa ajili ya Kinga baadae.

 DUDUMA MIX 4 POWER,hunenepesha na kurefusha uume na kukomaza uume uliosinyaa kwa mda mfupi,tumia siku 4 na kupona kabisa.

  SHOOLA,Ni dawa ya kutibu tezi dume na kupona kabisa ni ya miti shamba hutumika kwa kunywa bila upasuaji ndani ya siku 14 haina madhara.

 NENGONENGO,dawa ya kutibu Uzazi kwa akina mama walioshindwa kubeba mimba kwa mda mrefu ukitumia utaweza kupata mimba na kujifungua salama.

  KAMINGO,Ni dawa inayotibu Busha bila kufanyiwa operation na aliyevimba korodani inatibu kabisa dozi Ni siku 7 na inaubora wa Hali ya just na unapona kabisa.

  IKUMBIJA,Ni dawa ya kumvuta mpenzi aliekuacha na mwenye ahadi za uongo kukutimizia,na kumkomesha mtu asiwe na mtu mwingine pia atakurudia ndani ya masaa 6.

   MALAMALA,Ni dawa ya vidonda vya tumbo na tumbo kujaa gesi, kilungulia na inafanya kazi kwa haraka zaidi na kupona kabisa ndani ya siku 6.
 

SAALA,Ni dawa inayotibu miguu kuwaka moto,kiuno,mgongo,magoti na viungo vyote mwilini na joints,Sasa tiba yake Ipo kwangu.

   HALALA MIX,Ni dawa mix ya miti 100 inayotibu matatizo yote,Kama majini,kesi,biashara,kazi,mitego na kupoteza kumbukumbu. no

TUNAFANYA KAZI SIKU ZOTE PIA NAKUFIKIA POPOTE ULIPO KWA HARAKA,NAPATIKANA DAR ES SALAAM NA KAHAMA,PIA NINA MAWAKALA MIKOANI SIMIYU,SHINYANGA,MOSHI NA MBEYA.


     KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA: 0784 475946
           0744 922982
    DR,SANDALA.

NSSF Yaanza Kutekeleza Maagizo Ya Rais Dk.magufuli

$
0
0
Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) limesema limeanza kutekeleza maelekezo ya Rais John Magufuli na wanachama wake watakaopoteza ajira kupewa mafao yao kulingana na utaratibu wa mfuko huo.

Taarifa ya NSSF kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana Januari 6,2019 imesema Mfuko unaendelea kupokea na kuhakiki madai mbali mbali kutoka kwa wanachama ambao ajira zao zimekoma na walikuwa kwenye ajira za muda maalumu kwenye sekta mbali mbali kama vile madini, viwanda, ujenzi na kilimo.

Imesema madai yote yanayothibitishwa kuwa ni halali baada ya kuhakikiwa, mwanachama atalipwa mafao yake. 

Meneja Kiongozi wa Matekelezo (Chief Manager Compliance and Data Management ) Cosmas Sasi amesema NSSF inaendelea kulipa mafao mbali mbali kwa wanachama wake kwa wakati.

Amesema malipo hayo ni kwa watu ambao mikataba yao ni ya muda mfupi na ambao si rahisi kupata ajira nyingine baada ya kuachishwa.

"Kwa wanachama wetu ambao wanafanya kazi za muda mfupi kama ujenzi katika mradi fulani baada  ya mradi huo wanaweza kuchukua mafao yao, hata wale wenye ajira katika kampuni, ajira zao zikisitishwa watanufaika na utaratibu huu," alisema Sasi.

Alisema kwa watu ambao mikataba yao ya ajira inasitishwa lakini ni wataalamu na wana ujuzi fulani endapo watakuwa wamechangia kwa miezi 18 watapata pensheni ya kutokuwa na ajira kwa miezi sita ambayo ni theluthi moja ya mshahara waliokuwa wakipata, na baada ya hapo endapo itathibitika kuwa amekosa ajira atapewa mafao yake kwa mujibu wa taratibu za mfuko

Alisema utaratibu huu utawahusu wanachama ambao ajira zao zitakoma au watakaoachishwa kazi na si walioamua kuacha wenyewe na watalipwa baada ya mfuko kujiridhisha na hali zao za ajira kwamba kweli wamekosa kazi.

Kwa upande wa mafao ya uzeeni takribani Sh. bilioni 5 zimekuwa zinalipwa kila mwezi kwa wastaafu wetu kuanzia julai 2018.Wakati kwa pensheni ya Desemba,2018 Sh. Bilioni 4.83 zimeshalipwa kwa wastaafu 18,631 waolikuwepo kwenye daftari la wastaafu.

Kwa upande wa malimbikizo ya mafao hadi kufikia julai 2018 jumla ya Sh. bilioni 108 zilikuwa zinadaiwa kwenye Shirika, ambapo kiasi cha Sh. bilioni 85 kimelipwa kwa wanachama waliokuwa na madai mbali mbali baada ya uhakiki kukamilika, kiasi kilichobaki cha sh. bilioni 23 kitalipwa baada ya uhakiki unaondelea kukamilika.

Wakati huo huo Meneja Kiongozi Uhusiano na Elimu kwa UmaLulu Mengele alisema Mfuko ulianza mchakato wa kuhakiki wastaafu wake kuanzia Desemba 1, 2018 na bado unaendelea kwenye ofisi mbali mbali za NSSF zilizoko mikoa yote ya Tanzania Bara .

"Wastaafu ambao hawajajitokeza kuhakiki, wanaombwa wafike kwenye ofisi zetu 65 zilizoko katika maeneo mbali mbali katika mikoa yote Tanzania bara kwa upande wa wastaafu wanaoishi Zanzibar watahakikiwa kwenye ofisi za ZSSF.

"Wastaafu wanatakiwa kuwa na nyaraka zifuatazo picha, kitambulisho cha Taifa au cha mpiga kura pamoja na kadi ya benki," Alisema na kuongeza kwamba malipo ya pensheni kwa wastaafu ambao hawatahakikiwa yatasitishwa mwishoni mwa mwezi wa Januari 2019.

Mawaziri Watano Wakagua Hifadhi Ya Msitu Wa Makere Kwa Saa Tano Kasulu Kigoma....Wananchi Wawapokea Kwa Mabango

$
0
0
Na Munir Shemweta, WANMM Kasulu
Mawaziri watano wakioongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Suleiman Jafo wamekagua hifadhi ya  Msitu  wa Makere Kusini  uliopo wilaya ya Kasulu mkoa wa Kigoma kwa takriban saa tano ili kubaini changamoto mbalimbali za msitu huo na kuzipatia ufumbuzi.

Mawaziri hao ni Waziri wa Maliasili na Utalii Dk Hamis Kigwangala, Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina, Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dk. Angeline Mabula pamoja na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Musa Sima.

Ziara ya mawaziri hao katika hifadhi ya msitu huo ambao pia unatambulika kama Kagera Nkanda ambayo ni ya kihistoria kutokea hapa nchini ilianza majira ya saa saba mchana jana Mawaziri hao wakitokea wilayani Kigoma ambako walikuwa na kikao cha utatuzi wa mgogoro wa matumizi ya ardhi katika hifadhi ya Msitu na Pori la Akiba Moyowosi mkoani Kigoma na kumaliza ukaguzi majira ya saa kumi na mbili jioni.

Baada ya kumaliza ukaguzi katika Msitu wa Makere Kusini, Mawaziri hao watano walielekea kijiji cha Kabulanzwili na kukagua mpaka baina ya kijiji hicho na hifadhi ya msitu huo kwenye mto Migezibiri na baadaye kukutana na wananchi wa kijiji hicho kwa lengo la kuwaeleza nia ya serikali kunuru hifadhi ya msitu ambapo walizungumza nao hadi saa moja na nusu usiku.

Wakazi wa kijiji cha Kabulanzwili waliwapokea mawaziri hao kwa mabango wakionesha kutoridhishwa na hatua zinazochukuliwa na askari wa wanyama pori kuwaondoa kwa nguvu wananchi  wanaoendesha shughuli za kilimo na ufugaji kwenye hifadhi hiyo huku baadhi yao wakidai kutofahamu mipaka halisi baina ya kijiji na hifadhi.

Meneja wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Kanda ya Magharibi Valentine Msusa alisema eneo lote la hifadhi ya Msitu wa Makere Kusini linalopakana na Halmashauri za wilaya za Kasulu na Uvinza lina ukubwa wa hekta 72,000 lakini baada ya hekta 10,000 kutolewa kwa wananchi sasa imebakia na hekta 62,000.

Mmoja wa wakazi wa kijiji cha Kabulanzwili Nolvet Mtana alieleza kuwa awali waliambiwa waendelee na shughuli za kilimo katika maeneo waliyoanza kufanya shughuli hiyo bila kuanzisha maeneo mapaya lakini wameshangazwa na uamuzi wa kuwaondoa katika maeneo hayo kinyume na kauli ya awali jambo walilolieleza linawafanya waishi maisha ya wasiwasi.

Mkazi mwingine Kidaga Tito alisema hata kama wao walivamia eneo la hifadhi basi  ni vyema wakapewa muda kuvuna mazao yaliyopo shambani ili kuepuka hasara na kutaka mipaka kati ya hifadhi na kijiji iwekwe wazi ili ifahamike kuepuka wananchi kuingia ndani ya hifadhi kwa ajili ya shughuli za kilimo na ufugaji.

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dk Angeline Mabula aliwaeleza wananchi wa kijiji cha Kabulanzwili kuwa, tatizo lilipo katika kijiji hicho ni kukosekana mpango wa matumizi bora ya ardhi na kubainisha kuwa suala hilo halihitaji wizara bali kijiji chenyewe kupitia watendaji wake kuanza mchakato wa kupanga maeneo kama vile kilimo, ufugaji, makazi na maeneo ya huduma za jamii.

Aliwataka wananchi wa kijiji hicho kukaa pamoja na kupanga maeneo kulingana na mahitaji na kuacha ile dhana ya kutaka baadhi ya wananchi waliohamia kuondoka na kubainisha kuwa cha msingi ni kujua idadi na mahitaji ya wakulima na wafugaji pamoja na maeneo ya huduma za jamii na halmashauri ya wilaya ya Kasulu na serikali ya kijiji zinapaswa kupanga maeneo na kazi ya wizara yake itakuja kuanisha mipaka na hapo hakutakuwa na migogoro tena.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Suleiman Jafo alieleza kuwa ujio wa mawaziri hao watano ni wa kihistoria na unaangalia changamoto zinazokabili hifadhi ya msitu wa Makere sambamba na kuona namna bora ya kutatua tatizo linalowakabili wananchi wa eneo linalozunguka hifadhi ya Msitu huo ambapo aliwataka kukubaliana na maamuzi yoyote ya serikali yatakayofikiwa kwa kuwa maamuzi hayo yatakuwa kwa maslahi ya taifa.

Awali Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Luteni Simon Anange aliwaeleza wananchi wa Kabulanzwili kuwa ujio wa mawaziri watano katika eneo la hifadhi ni kuangalia namna bora ya kuitunza misitu ya Makere na Mvuti iliyopo Kasulu Kigoma ambayo imeanza kuharibika kutokana na uwepo wa shughuli za kilimo na ufugaji na kueleza kuwa kazi ya kushughulikia suala hilo bado haijafika mwisho na kinachofanyika sasa ni kuangalia namna bora ya kunusuru msitu huo.

Hifadhi za Misitu na Mapori ya Akiba ya Moyowosi yamekuwa na mgogoro kwa muda mrefu kutokana na wananchi kuendesha shughuli za ufugaji katika hifadhi za misitu na mapori ya akiba, uchomaji mkaa, uchimbaji haramu wa madini ya chokaa, uwepo silaha za kijeshi, uvunaji haramu mazao ya misitu na uendeshaji kilimo cha mazao ya chakula jambo lililopelekea Katibu Mkuu kiongozi kuandika barua kwa Makatibu Wakuu wa Wizara husika kutafuta ufumbuzi wa mgogoro huo Novemba 2018.

Tundu Lissu Atoa Waraka Mzito......Alivaa Bunge Kwa Kutogharamia Matibabu Yake, Spika Ndugai Amjibu

$
0
0
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Antiphas Lissu amemlalamikia Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai kwa kushindwa kutimiza ahadi yake ya kwenda kumuona hospitalini kama alivyoahidi .

Lissu ameyasema hayo kupitia Waraka huo wenye kichwa cha habari ‘Mwaka mpya 2019, Mwaka wa kurudisha demokrasia, haki za binadamu na utu wetu Tanzania’ .

Lissu amelalamika kutotembelewa na Spika wa Bunge, Job Ndugai wala watumishi wa Bunge licha ya kuahidiwa.

“Kabla sijahamishiwa nchini Ubelgiji (Januari 6 mwaka jana) kutoka Kenya, Spika Ndugai aliahidi hadharani, kwenye mahojiano na Azam TV, kwamba atafika kunitembelea, mahali popote nitakapokuwa nimelazwa hospitalini.

"Hadi ninapoandika maneno haya, bado Spika Ndugai hajatimiza ahadi yake hiyo. Hakuna mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge, au ofisa yeyote wa Bunge, aliyefika hospitalini kuniona na kunijulia hali.”

Akizungumzia kuhusu madai hayo, Spika Ndugai amesema wameshayatolea ufafanuzi malalamiko hayo mara kadhaa.

Amesema alipanga kwenda kumtembelea Nairobi lakini, “tarehe zangu nilizokuwa nimezipanga, akawa amehamishiwa kwenda Ubeligiji, kwa hiyo safari yote ikawa imevurugika.”

Kuhusu Bunge kugharamia matibabu yake, alisema ni kwa sababu hakufuata utaratibu unaotakiwa kwa mbunge kutibiwa nje.

“Mbunge hatibiwi katika nchi anayotaka mwenyewe kama yeye anavyofanya, unatibiwa nje pale inapobidi, pale unapokuwa na recommendations (ushauri) ya madaktari bingwa watatu wa hospitali ya Taifa ya Muhimbili,” alisema.

Alisema kuna wabunge wanaotibiwa nchi za mbali kama Ujerumani, Uingereza na Marekani kwa gharama zao.

“Sasa nashangaa analalamika kitu gani wakati ukishachagua jambo si unaenda na chaguo lako?” alihoji.

Aliongeza kuwa Bunge linaendelea kumlipa mshahara kwa sababu hajafukuzwa kazi.

“Tumempenda sana huko aliko na ndiyo maana anauliza kwa nini tunaendelea kumlipa, angesema ahsante kwa upande huo, angalau mmenijali,” alisema.

Aidha, Tundu Lissu amelalamika tangu kushambuliwa na watu wasiojulikana kwa risasi Septemba 7, 2017 hakuna mtu yoyote aliyehojiwa na wapelelezi  wala Jeshi la Polisi kutofanyia uchunguzi shambulio hilo.

“Katika shambulio hili, hakuna anayeshukiwa na Jeshi letu la Polisi hadi sasa. Hakuna aliyehojiwa na wapelelezi mahiri wa Jeshi letu la Polisi. Hakuna aliyekamatwa na kwa hiyo, hakuna aliyeshtakiwa” alidai Lissu.

Hata hivyo, Oktoba 2017, akizungumza na vikosi vya jeshi hilo Mbeya, Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro alitangaza kufunga mjadala kuhusu kupigwa risasi kwa Lissu huku akiwaonya wanasiasa kuacha kuuendeleza na waliachie jeshi lifanye kazi yake.

Katika waraka wake huo, Lissu amesema anaendelea vizuri na matibabu, kwa sasa ameanza mazoezi ya kutembea bila magongo.

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanri Awavaa Wanaomchonganisha na Rais Magufuli Kwenye Video ya "Soma Hiyooo"

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Aggrey Mwanri amewataka Watu wanaounganisha sauti yake na kuchanganya sauti ya Rais Magufuli, kuacha mara moja tabia hiyo kwani inaleta picha mbaya kwa viongozi.

Mwanri amesema kuwa kitendo hicho sio kizuri, kwani viongozi wa juu kama Rais ni taasisi na mamlaka yake ni kubwa.

Mwanri ametoa kauli hiyo ikiwa ni siku chache tangu kusambaa kwa kipande kifupi cha video ambayo inamuonesha kiongozi huyo, na Rais Magufuli wakijibishana kwa maneno.

Mwanri amesema; "wakati mwingine huwa naona wanavyotuweka pamoja na viongozi ambao nawaheshimu sana, si kitu kinachonifurahisha sana, licha ya kuunganisha kuleta kichekesho lakini mimi binafsi sifurahishwi nao."

"Kuhusu wanaotumia sauti yangu kutengeneza muziki sina shida nao ila muhimu mimi matokeo yangu ipatikane kwa wananchi wa Tabora na wala sitakimbilia kwenye biashara eti wanilipe." ameongeza Mwanri.

Mkuu huyo wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanri amekuwa maarufu kupitia mitandao ya kijamii hivi karibuni kwa kuanzisha misemo mbalimbali ikiwemo, sukuma ndani, fyekelea mbali, pamoja na Injinia soma hiyo.

Rudisha heshima yako Kwa Mpenzi Wako, Mke Wako...Tumia Tiba Hii ya Asili

$
0
0
Rudisha heshima yako sasa kwa kutumia Dawa hii iitwayo SUPER GAFINA, kwa ajili ya nguvu za kiume na NKOLOMIJE ni kwaajili ya kuongeza maumbile.

Kwa mwanaume aliye kamilika anatakiwa awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya Mara mbili ,ila ukiwa unapiga moja tena kwa shida wewe ujue  unamatatizo ya upungufu wa nguvu za kiume.

TIBA YA TATIZO LAKO NI; Dawa iitwayo SUPER GAFINA, dawa hii ipo kwenye mfumo wa vidonge na unga wa asili ambavyo havina madhara kwa mtumiaji ambayo hutibu matatizo matatu kwa pamoja;-

1).itakufanya urudie tendo la ndoa zaidi ya Mara tatu bila kuchoka.

2).ltakufanya uchelewe kufika kileleni kwa dk.15 hadi 20 kwa tendo la kwanza.

3).lnaimarisha uume uliolegea na uliosinyaa na kuupa nguvu maradufu.

Je unamaumbile madogo pamoja na uume mfupi? NKOLOMIJE ni suluisho la tatizo lako. Na ni dawa inayoboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi kuanzia inch. 5 hadi 8 kwa muda mfupi sana .Dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk.30 ukisha tumia guarantee miaka 50  ikishakutibu.

Pia ninatibu;- KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU, MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE ,BP, NK.

IGULYATI, ni dawa ya mvuto wa biashara, kazi,kupandishwa cheo na humfanya mfanyakazi kupendwa na mwajiri wake. Pia humvuta mke,Mme,hawara ,mchumba unae muitaji utampata kwa dk.30 tu na atatulia na kumfunga asitoke nje ya ndoa, Pia natoa Pete za bahati ambazo zimetajirisha wengi.

Pia ipo dawa ya kupunguza matiti,unene ,tumbo,na kitambi ,hupunguza mafuta ,kuondoa makovu,chunusi,michilizi mwilini na kuongeza hipsi, makalio na mguu wa bia nk. 

Kwa maelezo zaidi wasiliana na DR,HOSUTWA .Anapatikana Mbagara

Simu no, 0756241666 na 0672186977.

       Huduma hii utaipata popote ulipo

Tiba Hii Ya Asili Inatibu Na Kuponyesha Kabisa Tatizo La Low Sperm Count Pamoja Na Tatizo La Ukosefu Na Upungufu Wa Nguvu Za Kiume.

$
0
0
Unasumbuliwa  na  tatizo  la  low  sperm count ? Umejaribu  tiba  nyingi  bila  kupata  nafuu  ? Kama  jibu  lako  ni NDIO  basi  HII  NI  HABARI NJEMA  SANA  KWAKO.  Neema   Herbalist  ni  duka  la  kuuza  dawa  mbalimbali  za  asili.  Tunapenda  kukufahamisha  kuwa  tunayo  dawa  ya  asli   ambayo  INATIBU  na  KUPONYESHA  KABISA tatizo  la  LOW  SPERM COUNT pamoja  na  tatizo  la  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME.

 MAELEZO  YA  PICHA  YA  TIBA  HII  NI  KAMA  IFUATAVYO :
No. 1 :   Katika  tiba  hii  dawa  hii  inafanya  kazi  ya  kuongeza  kiwango  cha sperms.   Mtu  alie  tumia  dawa   hii  hutoa  sperms  nyingi  na  pia  wale   wanao   lalamika  kwamba  wakiwa  wanatoa  sperms zinakuwa  hazi  shoot  basi  hii  ni  tiba  sahihi kabisa  kwao kwani  mwanaume  akitumia  dawa  hii  basi  wakati  wa  kutoa  sperms  zinakuwa  zinatoka  kwa  mtindo wa  kushoot.

Mbali  na   kutibu  tatizo  la  low  sperms  count  dawa  hii  pia  inatumika  kuongeza  ute  ute  kwenye  joint  mbalimbali  mwilini  kama  vile  kwenye  magoti, viwiko  nakadhalika.  Ni tiba  nzuri  sana  kwa  mtu  aliye  vunjika  mifupa.  Kama  mtu  amevunjika  mifupa   akitumia   dawa  hii  itamfanyia  wepesi  sana  katika  tiba  yake  kwani    husaidia  sana  kuongeza uteute  kwenye  joints.

Dawa  hii  pia  husaidia  katika  kuipa nguvu  misuli ya  uume.
Jinsi  ya  kutayarisha  dawa  hii. Unamenya  kisha  una  I chip ( una  kata  kata  )  vipande  halafu  unavitia  ndani  ya  chupa  yenye  maji  au  chombo  chochote  chenye  maji.   Baada  ya  lisaa  limoja    ute  ute wa  dawa  hii  unakuwa  tayari  umefyonzwa  kwenye  maji  na  maji  yanabadilika  rangi  ya damu yam zee.

Na  jinsi  ya  kutumia  unakuwa  unatumia  kunywa  glasi  moja  asubuhi  na  glasi  moja  usiku  kwa  muda  wa  siku  thelathini.  Utaona  maajabu  makubwa  sana  katika suala  zima  la  kutoa  sperms  nyingi,  kushoot  sperms na nguvu  za  kiume  kuimarika

No.2  ; Haya  ni  mafuta  ya  asili  yenye  faida  nyingi sana katika  tiba . Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kisayansi  mafuta  haya   ya  asili  ndio  mafuta  yenye  nguvu  kuliko  mafuta  mengine  yoyote  yale  yatokanayo  na  miti au  mimea.  Hata  mafuta   ya  Mzeituni   pamoja  na  mafuta  ya  Habbat  Sawda  yanaachwa  mbali  kabisa  katika  ufanisi  wa  kitiba  na  mafuta  haya.  Kwa  lugha  nyingine  mafuta  haya  yana  nguvu  kubwa  kuliko  hata  mafuta ya  Habbat  sawda  na  mafuta  ya Mzeituni.

Tafiti  mbalimbali  za  kisayansi  zinaeleza  kuwa  mafuta  haya  yana  uwezo wa  kutibu  magonjwa  na  matatizo  ya  kiafya  karibu  yote  yanayo  msumbua  mwanadamu.

Mbali  na  kutumika  katika  tiba  dhidi  ya  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, mafuta  haya   yanatumika  pia  katika  tiba  ya  kupunguza  uzito  na  unene , kuondoa  manyama  uzembe  pamoja  na  kuondoa  mafuta  yasiyo hitajika  mwilini  yani  “  bad  cholesterol “

Vile  vile  mafuta  haya  yana  tajwa  na  wanasayansi  kuwa  na  uwezo  mkubwa  sana  wa  kutibu  tatizo  la  sukari  ya  kupanda  na kusawazisha  kiwango  cha  sukari  kwenye  damu.

Katika  tiba  dhidi  ya  tatizo  la  ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, mafuta  haya  husaidia kusafisha  mishipa  ya  damu  mwilini , kusafisha  mishipa  inayo  peleka  damu  kwenye  misuli  ya  uume,  kusawazisha  kiwango  cha  sukari  kwenye  damu,  kuondoa  mafuta  mabaya    kwenye  damu “ “bad cholesterol “ au   lehemu  mbaya  kwa  jina  lingine  pamoja  na  kubalance  homoni.

 Jinsi  ya  kutumia  mafuta  haya  katika  tiba  hii, mtumiaji  anatakiwa  kutumia  kichupa  kimoja  kila  siku  kwa  muda  wa  siku  thelathini. Kwa  hiyo  kila  siku  atakuwa anatumia  kichupa  kimoja kula  mafuta  haya  na  atakuwa  anakula  vifuniko  viwili  vya  mafuta  hayo  mara  tatu  kwa  siku  yani  asubuhi anakula  vifuniko  viwili, mchana  vifuniko  viwili  na  usiku  vifuniko  viwili. Atafanya  hivyo  kwa  muda  wa  siku  thelathini.  Mteja wetu  atakae  hitaji   tiba  yetu  hii, atapatiwa  vichupa  vyote  thelathini  pamoja  dawa  namba  moja  na  namba  tatu.   Na  baada  ya  siku  hizo  thelathini  za  tiba  hii, basi mgonjwa  atakuwa  amepona  kabisa  tatizo  la  ukosefu  bna  upungufu  wa  nguvu  za  kiume  pamoja  na  tatizo  la  low  sperm count.

No. 3.  Hii ni  dawa  yetu  ya  asili  iitwayo  Jiko  ambayo  inatokana  na  miti  na  mimea  mbalimbali. Dawa  hii  inafanya mambo mengi  sana  katika  tiba  ya  tatizo  la  ukosefu na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume. Baadhi  ya  mambo  hayo   ni pamoja  na  kuimarisha  mishipa na misuli   ya  uume, kutibu  uume  ulio legea  na kusinyaa  kwa  sababu  ya  punyeto, kukupa  wuezo  wa  kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  muda  mrefu  pamoja  na  uwezo  wa  kurudia tendo  la  ndoa   bila  kuchoka.  Dawa  hii  imeelezewa  zaidi  kupitia  makala  yetu  nyingine  ambayo    uanweza  kuisoma  hapa  chini:

http://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/uhusiano-kati-ya-damu-na-tatizo-la.html?showComment=1531548155915#c4496211800795986975

JINSI  YA  KUPATA  TIBA  HII : Fika  katika  duka  letu. Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONA  HOUSING  nyuma  ya  jingo  la  UBUNGO  PLAZA.

Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba     0693   005  189.

Kwa  wateja  wetu  waliopo  jijini  DAR  ES  SALAAM  ambao  hawana  nafasi  ya  kufika  ofisini  kwetu, tunayo  huduma  ya  kuwapelekea  dawa  mahali popote  walipo  ndani  ya  jiji  la  Dar  Es Salaam ( HOME AND OFFICE  DELIVERY )

Na  kwa  wateja  waliopo  nje  ya  mkoa  wa  Dar  Es  Salaam, tunawatumia  dawa  kwa  njia  ya  usafiri  wa  mabus mbalimbali  na  wale  waliopo  Zanzibar  tunawatumia  dawa  kwa  njia  ya  boti . Pia  tunatuma  dawa   kwa  wateja w etu  waliopo  NAIROBI, MOMBASA, KAMPALA, KIGALI , BUJUMBURA  na  LUSAKA.

Kwa  taarifa   zaidi  kuhusu  huduma  zetu  tutembelee  kila  siku  kupitia  blogu  yetu :

www.neemaherbalist.blogspot.com

Rais Magufuli ataka viongozi wa CCM kutoitwa waheshimiwa

$
0
0
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais John Magufuli ameelekeza kuwa ni marufuku kwa kiongozi yeyote wa chama hicho tawala nchini Tanzania kuitwa mheshimiwa, badala yake waitwe ndugu au komredi.

Hayo yameelezwa leo Jumatatu  Januari 7, 2019 na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Humphrey Polepole wakati akihojiwa katika kipindi cha Power Breakfast kilichorushwa na Redio Clouds.

“Nimefarijika kwa jambo moja, mmenitambulisha kama Komredi, kwa Chama cha Mapinduzi viongozi wote kwa sasa hivi mwenyekiti na vikao wameelekeza ni marufuku viongozi wote kuitwa mheshimiwa, wote tunaitwa ndugu au komredi,” amesema Polepole.

BREAKING: Wanajeshi Gabon Watangaza Kuipindua serikali ya Ali Bongo ambaye yuko Morocco

$
0
0
Jeshi nchini Gabon limetangaza kwamba limetekeleza mapinduzi ya serikali katika taifa hilo la Afrika Magharibi.

Kwa mujibu wa Shirika la habari la BBC Wanajeshi wenye vifaru na magari ya kivita wanashika doria katika barabara za mji mkuu Libreville. Amri ya kutotoka nje imetangazwa.

Tangazo kutoka kwa kundi la vijana wa umri wa makamo linatangazwa na kurudiwa katika kituo cha redio cha serikali nchini humo, ambapo wanasema kumekuwepo na wasiwasi kuhusu uwezo wa Rais Ali Bongo kuongoza nchi hiyo. Wanakosoa pia viongozi wakuu wa jeshi nchini humo.

Bw Bongo amekuwa nje ya nchi hiyo kwa zaidi ya miezi miwili, akipokea matibabu nchini Morocco kutokana na maradhi ambayo hayajafichuliwa baada yake kuugua akiwa ziarani Saudi Arabia.

Familia ya Bongo imetawala taifa hilo kwa miaka 51 iliyopita, na imetuhumiwa kwa kujilimbikizia mali na utajiri mkubwa kutokana na rasilimali za taifa hilo.

Rayvanny awashukuru Basata kwa kuwapa ruhusa ya kufanya matamasha nje ya nchi

$
0
0
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Rayvanny ameishukuru Bodi ya Baraza la sanaa Taifa (BASATA) kwa kuwaruhusu kuendelea na show zao nje ya nchi licha ya kufungiwa.

Rayvanny na Diamond Platnumz walifungiwa na baraza hilo kufuatia kutumbuiza wimbo wao uitwao Mwanza licha ya wimbo huo kufungiwa. Hiki ni kile alichoandika Rayvanny kupitia ukurasa wake wa Instagram; 

"Nichukue Nafasi Hii Kushukuru Basata, Hususani Bodi Ya Basata Kwa Kutupatia Ruhusa Ya Kufanya Matamasha Tulioyafanya Nchini Comoro , Nairobi Na Mombasa. Matamasha Tulitakiwa Tusiyafanye Kutokana Na Makosa Tuliyoyatenda Ila Kwa Upendo Wenu Mlituruhusu Kuyafanya.

"Nitoe Shukurani Zangu Za Dhati Kwenu Maana Bila Nyie Kutupa Ruhusa Ni Mengi Yangetukuta Vijana Wenu, Lakini Pamoja Na Yote Yaliotokea Kwetu Ni Kama Darasa La Kujua Wapi Tulipoteleza, Ili Mbeleni Lisijirudie Kosa Kama Tulilolifanya.

"Tuna Ahidi Kua Vijana Bora Na Mfano Kwa Jamii Hususani Katika Maadili Naamini Basata Na Bodi Ya Basata Mnatupenda Vijana Wenu Na Mnatamani Kuona Tunafika Mbali Katika Sanaa, Tunaomba Sana Hekima Zenu Katika Hili Vijana Wenu Tuendelee Kuchapa Kazi Kama Anavyosisitiza Mh. Rais Magufuli ...... By Raymond Shaban / Rayvanny  "



Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME... DR SITTA NDO SULULISHO LAKO

Tatiza, hili limekuwa likiwaathiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine. Kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo.

Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo... baadhi ni  upungufu wa vichocheo vya, HORMONES ZA CETROGEN .

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mrija iliyosinyaa,

NSHOLA; ni dawa bora, ya kurudisha nguvu za kiume kwa kutibu kabisa  tatizo hilo na kukupa  hamu ya  kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara nne 4 bila kuchoka 

Pia  kuna dawa za kutibu presha ya kupanda na kushuka, kisukari , kuondoa mafuta  mwilini na maumivu ya mgogo kiuno, matazo, ya hedhi kwa wanawake, hedhi zisizokuwa na mpangilio.

NKANYA; ni dawa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi aliyekuacha, mke, mme atakurudia .

NKOMA; Ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada ,

NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu miguu kufa ganzi na kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! 

DR SITTA, amebobea kwa tiba asilia 

Kwa DAR ANAPATIKANA MBAGALA ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI, SHINYANGA- KAHAMA MJINI, 

KWA MAELEZO ZAIDI  PIGA SIMU; 0763172670/ 0715172670,/

WOTE  MNAKARIBISHWA... KAMA, UTAKUWA NA TATIZO, UTAHUDUMIWA,
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images

<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596344.js" async> </script>