Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Tume ya Uchaguzi yaonya watakaoharibu uchaguzi

$
0
0
Na Margareth Chambiri
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imewaonya Wasimamizi wa Uchaguzi ambao ama kwa kujua au kwa makusudi wataharibu au kukiuka taratibu za Uchaguzi kutokana na kutofuata sheria na taratibu za Uchaguzi.

Onyo hilo limetolewa na Makamu Mwenyekiti wa Tume Jaji wa Mahakama ya Rufaa  Mhe. Mbarouk Salum Mbarouk wakati akifungua mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi jijini Dodoma.

Mheshimiwa Mbarouk ambaye amewataka Wasimamizi hao kuacha kufanya kazi kwa mazoea amesema Sheria ya Taifa ya Uchaguzi na ile ya Serikali za Mitaa zinaunda kosa la jinai na kutoa masharti ya adhabu kwa Afisa yeyote wa Uchaguzi ambaye atasababisha kuharibu uchaguzi.

Makamu Mwenyekiti huyo wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi
amesema madhara ya kutozingatiwa kwa taratibu za Uchaguzi ni kusababisha kesi nyingi za Uchaguzi na kuitumbukiza Serikali katika gharama ambazo zingeweza kutumika katika shughuli nyingine za maendeleo.

Amewataka Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi kuyaelewa vyema maeneo wanayofanyia kazi na kujiamini ambapo pia amewakumbusha jukumu walilo nalo la kuimarisha imani ya wananchi na wadau wengine wa Uchaguzi kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Naye Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt Athumani Kihamia amewataka washiriki wa mafunzo hayo kutoa ushirikiano kwa vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki Uchaguzi Mdogo ikiwa ni pamoja na kuvishirikisha katika kila hatua muhimu wakati wa mchakato wa Uchaguzi.

Dkt. Kihamia amesema Watendaji wote wa Tume wanapaswa kuwapo katika maeneo yao ya kazi wakati wote hususan kipindi cha Uteuzi, kufungua ofisi hadi muda wa kisheria na Vyama vyote ambavyo vimefuata taratibu vipewe fomu za Uteuzi na Wagombea wao wateuliwe kama wamekidhi vigezo.

Mkurugenzi huyo wa Uchaguzi ameongeza kusema kuwa kutozingatiwa kwa mambo hayo husababisha kuharibu imani ya Wadau na kusababisha malalamiko ya kutoridhishwa na mchakato wa Uchaguzi na hatimaye mashauri ya Uchaguzi kufikishwa mahakamani.

Kadhalika Dkt Kihamia amewataka Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi hao wa Uchaguzi kutojihusisha na migogoro ya ndani ya Vyama na iwapo Vyama vitakuwa na malalamiko vielekezwe kuwasilisha malalamiko yao kwenye Kamati za Maadili na si mahali pengine popote.

Kwa mujibu wa Dkt. Kihamia chaguzi zote duniani ni kielelezo cha demokrasia na kwamba Uchaguzi huru na wa haki hutokana na Wasimamizi wa Uchaguzi wanaozingatia Sheria, Kanuni na Taratibu zinazosimamia Uchaguzi husika.

Jumla ya Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi 210 kutoka katika Majimbo manne ya Serengeti, Simanjiro, Ukerewe na Babati Mjini pamoja na Kata 47 zinazotarajiwa kufanya Uchaguzi Mdogo Desemba 3, mwaka huu wanashiriki katika mafunzo hayo yatakayodumu kwa siku tatu jijini Dodoma. 

Waziri Mkuu Asema Hakuna Ubanaji Wa Uhuru Wa Vyombo Vya Habari....Asisitiza kwa atakayeenda kinyume na sheria, Serikali itamuwajibisha

$
0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kwamba nchini Tanzania hakuna ubanaji wa uhuru wa vyombo vya habari wala taasisi zisizo za kiserikali.

Amesema jambo hilo linadhihirishwa na uwepo wa jumla ya vituo vya redio 152, ambavyo kati yake ni vituo vitatu tu ndivyo vinavyomilikiwa na Serikali.

Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo leo (Jumatano, Oktoba 24, 2018) katika maadhimisho ya siku ya Umoja wa Mataifa yaliyofanyika kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.

“Tunapenda kuwahakikishia kuwa, Serikali ya Tanzania inaongozwa na katiba na sheria za nchi ambazo zinatoa uhuru wa kujieleza na kupata habari,” amesisitiza.

Waziri Mkuu amesisitiza kwamba mwananchi yeyote atakayeenda kinyume na sheria, Serikali itamuwajibisha kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi.

Amesema Serikali imeridhia mkataba wa kimataifa wa haki za kiraia na ule wa haki za kiuchumi, kijamii na kitamaduni.

Sambamba na kusimamia haki hizo, Serikali imeendelea kutekeleza wajibu wake katika kuiwezesha jamii kuishi salama kwa amani na utulivu kwa kuzingatia sheria za nchi.

Amesema kukuza, kuimarisha na kulinda haki za binadamu ni wajibu wa Serikali na kwa kuzingatia umuhimu huo mwaka 1984 iliingiza sheria ya haki za binadamu katika katiba.

Katika hatua nyingine, Waziri Mkuu amesema kuwa zoezi la kuwarejesha wakimbizi wa Burundi nchini kwao lilikuwa ni la hiari na limetekelezwa baada ya hali ya amani kurejea.

Amesema hakuna sababu ya kuendelea kuwahifadhi wakimbizi ambao kwa hiari yao wameamua kurejea nchini kwao ili wakaendelee na shughuli za kulijenga Taifa lao.

“Nasisitiza kuwa zoezi hili ni la hiari. Tangu mwezi Septemba mwaka jana, Tanzania kwa kushirikiana na Serikali ya Burundi na UNHCR imekuwa ikiwarejesha wakimbizi hao kwao.”

Amesema zoezi hilo limekuwa likifanyika kwa kuzingatia usalama na utu wa wakimbizi hao. Wakimbizi 52,283  wa Burundi wamerejea nchini kwao kati 81,281 waliokwisha jiandikisha.

Waziri Mkuu ameyasema hayo baada Serikali kupokea shutuma katika siku za hivi karibuni kutoka kwa baadhi ya jamuiya ya kimataifa kuhusu uendeshaji wa zoezi hilo.

Hivyo, Waziri Mkuu ametumia fursa hiyo kutoa wito kwa Jumuiya ya Kimataifa na washirika wengine wa maendeleo kuendelea kushirikiana na Tanzania kwa mujibu wa mkataba wa UN wa mwaka 1967 wa kuwahudumia wakimbizi ili kufanikisha zoezi hilo la kuwarejesha makwao kwa hiari na kwa kuzingatia misingi ya haki za binadamu.

Maadhimisho hayo ya siku ya Umoja wa Mataifa ambao umetimiza miaka 73 tangu uanzishwe yalihudhuriwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Damas Ndumbaro.

Wengine ni Mratibu wa Mkaazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bw. Alvaro Rodrigues pamoja na mabalozi mbalimbali wanaoziwakilisha nchi zao nchini.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
JUMATANO, OKTOBA 24, 2018.

Okoa Ndoa Yako Mke,Mume Na Afya Yako Sasa Kwa Kutumia Dawa Za Asili

$
0
0
Asilimia kubwa ya binadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wengi wamejaribu kutumia tiba sehemu tofauti bila mafanikio na  kukata tamaa hasa kina baba ambao ndoa zao au mahusiano yao na wapenzi wao yapo hatarini kuvunjika kwa sababu Mume hana uwezo wa kumridhisha mpenzi wake 

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MKE AU MPENZI WAKO SABABU ETI UNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME MDOGO: tumia dawa ya NSENWA POWER ;dawa hii hutibu na kuponesha tatizo la  nguvu za kiume .

1 itakupa uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara tatu 
2 itakupa uwezo kuchelewa kukojoa mda wa dakika 15-20 na kumfanya mpenzi wako naye aridhike 
3 huimalisha misuri iliyo legea na kusinyaa 

JE UNA UUME MFUPI NA MWEMBAMBA : tumia dawa ya MASHESHE NO 2; hii huboresha uume saizi upendayo kuazia urefu wa inch 5,6,7,8 na unene  wa sentumita 2,3,4,5, dawa hizi hazina madhara yeyote kwa mtumiaji hata wazee hutumia na kupona 

MASANZA ni dawa ya vidonda vya tumbo zipo dawa za mvuto wa biashara ,mpenzi,uzazi ngiri,korodani kuvimba miguu. mgongo,kiuno kuuma nk 

MAHALI ILIPO OFISI UNAWEZA UKASHUKIA BUGURUNI MALAPA AU BUGURUNI ROZANA na MWANZA YUPO WAKALA pia unaweza ukaletewa popote ulipo wasiliana nami 0783185060  0752348593 DR AGU

Tiba Bora ya Nguvu za Kiume, Kisukari, Ngiri, Miguu Kuvimba

$
0
0
Matatizo ya nguvu za kiume yanawaathiri watu wengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wengine. Kawaida mwanaume anatakiwa kuwa na uume kuanzia nchi 6- 8, vinginevyo mtu huwa na matatizo. Zipo sababu nyingi zinazosababisha tatizo hilo. 

Baadhi ni upungufu wa vichocheo hivi; Homoni za getrogen ambazo mwanaume anapobalehe, vichochea hivi huchochea ukuaji wa uume.

Ngiri; Hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na hufanya tumbo kuunguruma na kujaa gesi. Sababu zingine ni korodani moja kuvimba, kupopata choo vizuri.

Sababu hizi na zingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara kwa mara husababisha kukosa tendo ya kurudia tendo na baadae kushindwa kabisa

MWIFU: Ni dawa inayozalisha homoni zxa Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka hadi nchi 6-8
 
WET POWER: Ni dawa bora ya vidonge iliyotengenezwa kwa mitishamba na matunda ambayo huongeza nguvu za kiume kuanzia miaka 15-95 na hukomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi, ina imariisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa na itakufanya uwe na hamu ya kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila hamu kuisha na pia itakuchelewesha kufika kileleni

Pia tunatibu kisukari, presha, ngiri, miguu kuvimba na kuwaka moto

Wasiliana na Sheikh Khatib akutatulie matatizo yako. Namba zake; 0782682648  au 0656 551 093  au 0746473974

Waziri Mkuu: Vijana acheni kuchagua kazi

$
0
0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka vijana kuacha tabia ya kuchagua kazi na badala yake wachangamkie fursa zinazojitokeza katika utekelezaji wa miradi mikubwa inayoendeshwa na Serikali ikiwemo ya ujenzi.

Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa reli ya kisasa ya umeme, ujenzi wa barabara, upanuzi wa bandari na ujenzi wa miundombinu ya nishati.

Majaliwa ametoa rai hiyo leo Jumatano Oktoba 24, 2018 wakati wa maadhimisho ya miaka 73 ya kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa (UN) ambayo kwa mwaka huu yamebebwa na ujumbe ‘Uwezeshaji wa vijana na ubunifu katika kufikia malengo ya maendeleo endelevu’.

Majaliwa amesema Serikali inatambua uwepo wa changamoto ya ajira sababu iliyoifanya kuanzisha mikakati mbalimbali ambayo inawajengea uwezo vijana.

Miongoni mwa mikakati hiyo ni kuanzisha wakala wa ajira, mafunzo ya kazi kwa vijana na sera ya ajira.

Amesema pamoja na mikakati hiyo bado kuna changamoto ya ajira hivyo ameiomba UN kuwapa nafasi za ajira, mafunzo kwa vitendo na fursa za kujitolea zinapojitokeza.

Awali, alipowasili katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam yalipofanyikia maadhimisho hayo, Waziri Mkuu alikagua gwaride lililoandaliwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ).

UNICEF Kuisaidia Serikali Kufanya Tafiti Za Maendeleo Ya Mtoto

$
0
0
Na: WFM - Dodoma
Shirika la Umoja wa Mataifa  la Kuhudumia Watoto ( UNICEF), wameonesha nia ya kuisaidia Serikali ya Tanzania kufanya tafiti mbalimbali kuhusu maendeleo ya mtoto ili kukabiliana na changamoto zinazomkabili.

Hayo yamebainishwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Isdor Mpango, baada ya mkutano wake na Mkurugenzi wa UNICEF Kanda ya Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika, Bi. Leila Pakkala, uliofanyika ofisi za Wizara hiyo Jijini Dodoma.

Dkt. Mpango alisema kuwa Shirika la UNICEF, lina nia yakushirikiana na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), ili kuweza kufanya tafiti katika mikoa mbalimbali, kuzichapisha na kuzisambaza ili kuongeza uelewa wa watu kuhusu  maendeleo ya watoto.

“Watu wengi wanajua uwekezaji kwa maana ya barabara na miundombinu mingine mikubwa lakini katika mazungumzo yetu tumesisitiza kuendelea kuwekeza katika maendeleo ya watu hasa katika umri mdogo kwa kuwa usipowekeza katika umri huo na kuwekeza katika umri mkubwa matokeo yake hayawi mazuri.”, alisema Dkt. Mpango.

Alisema kuwa, maeneo ambayo ni muhimu kuyafanyia kazi kwa kushirikiana na UNICEF ni pamoja na udumavu, elimu kwa ajili ya watoto hasa ambao hawajafikia umri wa kwenda shule na sheria ya mtoto katika kuhakikisha anakua salama kwa lengo la kulitumikia taifa kwa siku za usoni, hivyo alisisitiza kuwekeza  mapema kwa mtoto katika afya, lishe, elimu, uhuru wao na usalama hivyo kuwa na uwezo mkubwa wa kulitumikia Taifa kwa wakati ujao.

Aidha Dkt. Mpango alisema kuwa,  Serikali inafanya  jitihada kubwa kusimamia maendeleo ya uchumi kwa ujumla,  kwa kuwa Taifa lisipokuwa na uchumi imara haliwezi kuwekeza katika maendeleo ya watoto.

Alisema bajeti zinatakiwa kuweka umuhimu wa kuwekeza katika mtoto hivyo kuna Kitengo kinachohakikisha bajeti ya Serikali Kuu na Halmashauri zinazingatia mambo ya msingi ambayo yatasaidia watoto wa Tanzania kuwa na maendeleo stahiki.

Kwa Upande wake Mkurugenzi wa UNICEF Kanda ya Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika Bi. Leila Pakkala, amesema kuwa Tanzania imepiga hatua katika maendeleo ya mtoto jambo ambalo linastahili pongezi na pia ameipongeza Serikali kwa ukuaji wa uchumi, kupambana na rushwa, ujenzi wa miundombinu na kuongeza mapato ya ndani kupitia kodi.

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Isdor Mpango, amelipongeza Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto- UNICEF,  kwa juhudi zinazofanywa kuhakikisha maendeleo ya mtoto nchini Tanzania na Bara la Afrika kwa ujumla kwa kuwekeza katika lishe na elimu ili kuwa na kizazi kijacho chenye uelewa wa kutosha ili kuleta tija katika Sekta za Maendeleo.

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
 Wizara ya Fedha ya Mipango

Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 17

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA       

Nilizungumza huku nikiendelea kulia kwa uchungu. Watu washuhuri na wafanya biashara kutoka maeneo mbali mbali wakafika katika jumba hili la mzee Ethan na ulinzi ukazidi kuimarishwa.
‘Ethan’
Niliisikia sauti ya Ethan mwenzangu katika ufahamu wangu wa akili.
‘Vipi?’
Nilimjibu kimoyo moyo pasipo watu wengine kuweza kufahamu ni nini ninacho kizungumza.
‘Kuna watu wana mpango wa kukuua usiku huu, kuwa makini la sivyo jua la asubuhi huto weza kuliona’
Maneno ya Ethan yakanistua sana kwani watu walio fika nyumbani hapa ni wengi sana hadi sujui nani ni mzuri au nani ni mbaya, jambo lililo anza kunipa wasiwasi moyoni mwangu.

ENDELEA
‘Mungu wangu, ni kina nani hao Ethan’
Niliuliza huku nikiendelea kutazama watu waliomo katika eneo hili.
‘Kuna mameneja sita wamejiunga ili kuhakikisha kwamba wanakuangamiza na mali zote zinakuwa chini yako’
‘Nionyeshe basi Ethan niweze kuwajua’
Niliendelea kuzungumza huku wasiwasi ukizidi kunitawala moyoni mwangu.
‘Ethan dada yako ametekwa’
Sauti ya Ethan ikanistua sana na kujikuta nikianza kukimbia kuelekea chumbani kwake, nikaingia na sikumkuta.
‘Ametekwa wapi?’    
 
Nilimuuliza Ethan mwenzangu ila hakunijibu chochote.
‘Niambie basi’
‘Chungulia dirishani’
Kwa haraka nikakimbilia dirishani na kuona gari aina ya BWM X5 ikitoka getini.
‘Wale ndio watekaji, wanaondoka’
Niliisikia sauti ya Ethan huku nikishuhudia jinsi gari hilo linavyo tokemea kwenye upeo wa macho yangu. Kabla sijatoka ndani humu mlio wa simu ya mezani katika chumba hichi ukanistua sana. Nikaitazama kwa muda huku jasho likinimwagika usoni mwangu.
 
“Ethan”
Sauti ya Camila ikanifanya nimtazame mlangoni alipo simama.
“Yaaa”
“Kuna mzee anahitaji kuzungumza na wewe huku chini”
“Ninakuja”
Camila akanitazama kwa unyonge kisha akatoka chumbani humu, nikaichukua simu hii na kuipokea na kuiweka sikioni mwangu.
“Haloo”
“Hatuna muda wa kukuelezea, tunacho hitaji ni kufanya mabadilishano. Tunahitaji uweze kuwaambia wana sheria wako wabadilishe mali zote zitaandikwa kwa jina tunakalo kutajia la sivyo dada yako anakwenda kufa umenielewa”
“Yupo wapi dada yangu”
“Ethan usifa…..”
Niliisikia sauti ya dada Mery akizungumza huku akilia kwa nguvu sana.
“Naamini kwamba ume msikia”
“Munacho hitaji ni mali tu si ndio”
“Ndio”
“Mumezipata, niambieni ni wapi na saa ngapi niwapatie mali hizi”
Usikae mbali na simu, tutakufahamisha na ole wao uweze kumueleza mtu wa aina yoyote juu ya hili tuta kuua”
“Nimekuelewa”
 
Nilizunguza huku mwili wangu mzima ukinitetemeka kwa hasira, nikairudisha simu hii sehemu nilipo itoka kisha nikatoka ndani humu huku nikiwa nimevimba kwa hasira. Nikasimama katika ngazi za sebleni huku nikitazama watu hawa walio kusanyika huku wengine wakionekana wakiwa wameguswa sana na kifo cha mzee Klopp.
‘Ethan nahitaji kufanya kitu juu ya hili’
‘Kitu gani rafiki yangu’
‘Niambie ni nani na nani wanahusika katika mauaji utekaji wa dada yangu?’
‘Unamuona huyo mzee mwenye shati jeusi na shingoni ana kola nyeupe, na mkononi mwake amashika biblia?’
‘Ndio’
 
‘Huyo ni adui namba moja wa mzee wako na yeye ndio amekuja na hao vijana wakiwa kama mashemasi, ndio maana ili wawia urahisi kumteka Mery’
Nikaanza kushuka huku nikimkazia macho mzee huyu
‘Unataka kufanya nini, subiri sijamaliza maelezo ya swali ulilo niuliza’
‘Ethan nahitaji hadi kuna pambazuka hii kazi niwe nimesha imaliza’
‘Nimekuelwa rafiki yangu. Umemuona yule jamaa aliye bana nywele zake kwa nyuma?’
‘Ndio”
“Yule naye ni miongoni mwa wapangaji wa mpango huo. Sasa unaona wale mameja pale walio simama?’
‘Ndio’
Wale ndio wanatumikishwa na hao watu wawili nilio kuonyesha’
 
‘Ethan niwafanye nini?’
Nilizungumza huku machozi yakinimwagika usoni mwangu kwa hasira iliyo changanyikana na msiba mzito sana ambao nimeupata wa mzee huyu.
‘Waite wote na omba ukutane nao kwenye ofisi ya baba yako’
‘Sawa’
‘Ila usitumie hasira, kuwa mpole’
‘Sawa’
“Ethan”
Camila aliniuongelesha huku akinipa kitambaa cheupe.
“Nashukuru, muda ule ulisema nina itwa na nani?”
“Ni yule mzee mchungaji alihitaji kuzungumza na wewe”
Camila akanionyenyesha mchungaji huyo ambaye niliambiwa na Ethan.
“Sawa, kuna kikao kimoja nahitaji kufanya nao hawa watu, ila ninakuomba ukakae chumbani na mama yangu”
 
“Sawa, ila mama yangu yupo chumbani ana mfariji mama”
“Poa ila nakuomba ukakae naye”
“Sawa mpenzi wangu”
Camila akanibusu shavuni mwangu, kisha akapandisha ngazi za kuelekea gorofani. Nikaanza kutembea huku nikimtazama mchungaji huyo, ambaye baada ya kuniaona akatabasamu kwa bashaha.
“Ethan, tumsifu Yesu kristo”
“Milele amen askofu, samahani kwa kuchelewa kuitikia wito wako”
“Wala usijali mwanangu katika kristo, tunaweza tukapata muda na kuzungumza?”
“Sasa hivi”
“Ndio, ila ninakuomba tukazungumzie kwenye ofisi ya baba kule si unaifahamu”
“Yaa ninalifahamu lile lengo”
“Basi nakuomba utangulie ninakuja”
“Sawa mwanangu”
 
Mchungaji huyu akanibusu kwenye paji langu la uso, kisha akatoka sebleni hapa, huku nyuma yake akiongozana na mwanaume ambaye Ethan pia alinitajia. Nikaangaza angaza humu ndani, nikamuona mwanasheria wa makampuni akizungumza na mmoja wa mameneja. Nikamfwata na kumuomba nizungumze naye pembeni kwa sekunde.
“Ndio bosi”
“Kuna wageni wameelekea kule kwenye ofisi ya baba, ninakuomba ukake nao kwa muda kidogo mimi nina kuja na wageni wengine”
“Kuna kikoa mkuu?”
“Ndio, naokuomba unisaidie kuzungumza nao kwa muda”
“Sawa”
 
Mwanasheria akanielewa, kisha niwafwata hawa mameneja walio simama kikundi, walipo niona wakakatisha mada walio kuwa wakiizungumza huku dhairi inaonyesha kwamba ni mada ya siri, na mbaya zaidi yule meneja niliye msimamisha kazi masaa machache yaliyo pita naye ni miongoni mwao hawa wasaliti.
“Samahani wazee wangu, nathamini uwepo wenu na ninawashukuru sana. Tafadhali ninawaomba tukazungumze kitu kidogo kwenye ofisi ya baba”
“Sawa sawa mkuu”
“Mkuu hata mimi uliye nisimamisha kazi?”
“Ndio mzee wangu, hilo pia tutalizungumzi huko, unajua muda ule nilikuwa nina hasira na samahani kwa kukujibu vibaya na halikuwa lengo langu kufanya hivyo”
“Nashukuru sana muheshimiwa”
Mzee huyu alizungumza huku akitabasamu sana. Wakaanza kutoka ndani humu, nikashusha pumzi taratibu huku nikifikiria ni kitu gani ambacho ninakwenda kuzungumza nao.
“Ethan Klopp”
Dada mmoja aliniita huku akisimama mbele yangu
“Ndio”
 
“Mimi ni muandishi wa BBC hapa nchini Ujerumani, ninaweza kukuhoji maswali mawili matatu?”
“Naomba unipe kama nusu saa, nakuhidi nitakuja kwa ajili ya mahojiano yako”
“Sawa nashukuru”
“Karibu”
Nilijaribu kujikaza ili kuificha hasira yangu ambayo kusema kweli imenijaa kifuani mwangu. Nikaanza kutembea kuelekea katika jengo lenye ofisi ya mzee Klopp ambalo lipo mbali kidogo na jumba lake hili, ila vyote vipo katika eneo moja.
‘Ethan’
‘Ndio’
‘Ninakwenda kuzungumza nini?’
‘Kabla ya kuingia ofisi,nenda katika stoo’
‘Nikafanyaje’
‘Wewe nenda’
Nikabadilisha njia na kueleka katika stoo iliyopo katika jengo la ofisi.
 
‘Haya ninafanyaje sasa humu ndani’
‘Kuna bastola kwenye hiyo droo, ina risasi za kutosha na pembeni kuna kiwambo cha kuzuia risasi ifunge’
‘Weee unataka niende kuwaua?’
‘Sijasema uende kuwaua je wakitaka kukuua wewe utasemaje?’
‘Sawa’
Nikafungua droo, niliyo elekewa na Ethan na kweli nikakuta bastola, nikaichukua, kisha nikaichomeka nyuma ya kiuno changu na kufunika shati langu vizuri. Nikaona fimbo moja ya kuchezea mchezo wa gofu, nikaichukua huku nikiitazama vizuri, kisha taratibu nikaanza kutembea kuelekea katika ofisi ya baba.
“Mkuu niwewaweka katika ukumbi wa mkutano”
Mwanasheria aliniambia huku akinitazama mkononi mwangu.
“Naomba unisubiri hapa na hakikisha hakuna mtu ambaye anakuja humu ndani”
 
“Ila mkuu kazi yangu ni sheria na si ulinzi”
“Fanya hivyo kwa ajili yangu na kwa leo tu, haito jitokeza tena kwenye maisha yako sawa”
“Sawa mkuu”
Nikaondoka eneo hili na kumuacha mwanasheria akinishangaa sana. Nikafungua mlango wa ukumbi huu na kuwakuta watu wote wakiwa wamekaa huku wakiwa wameizunguka meza kubwa iliyopo humu ndani. Kila niliye muhitaji yupo ndani humu.
‘Funga mlango kwa code namba’
‘Sizifahamu’
‘Tisa ziwe tatu na ziro mbili na moja’
Nikaminya batani hizo kama Ethan alivyo niambia, nikatembea hadi kwenye kiti kilichopo mbele kabisa ya meza hiyo. Taratibu nikaa huku nikiatamana na watu hawa. Baadhi yao wanaonekana kujawa na dharua kubwa sana.
 
“Naamini sote tunafahamu ni kwa nini tupo hapa?”
“Wewe ndio umeitisha kikoa”
“Mwanangu katika kristo, mimi nilihitaji kuzungumza na wewe binafsi, ila si kwa kukaa na watu hawa”
“Mchungaji katika bwana tulia. Jamani mimi ni mdogo sana kwenu nina miaka hata kumi na nane sijafikisha. Jambo la kuachiwa makampuni makubwa ni kitu kilicho nistusha sana na kunichanganya kwa kweli”
“Nimeona niwaite wachache nyinyi ili niweze kuwasikia maoni yenu munasemaje juu ya mimi kuachia madaraka ya uangalizi wa kila kitu kwa mmoja wenu hmu ndani, au muna semaje?”
 
“Ni kweli mkuu ni maamuzi mazuri”
Meneja mmoja alizungumza huku akikenua meno yake kiasi cha kunifanya nitabasamu, ila moyoni nina ugulia kwa hasira kali sana.
“Ni kweli kiongozi ukituachia makampuni tunayo yaongoza na sisi tukawa tunakuletea asilimia, fulani labla kwa mwenzi hivi mambo yanaweza kuwa mazuri”
“Samahani wewe una simamia kampuni ya nini?”
“Mimi ninasimamia kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya michezo, kama mipira, viatu, jezi na kadhalika”
“Wastan wa mwaka kampuni yako ina ingiza kiasi gani?”
“Dola zaidi ya bilioni nne”
 
“Nashukuru, siwezi kuwauliza wote kwa maana nitawapoteze muda. Ila nina jambo moja muhimu sana naamini mchungaji utanisaidia kwenye maombi”
“Zungumza tu mwanangu katika kristo”
“Ni nani aliye mteka dada yangu MERY?”
Watu wote wakastuka huku wakinitazama kwa umakini sana.
‘Ethan nafanyaje’
‘Ninakupa nguvu, hakuna atakeya kuweza’
Nikasimama kwa haraka huku nikihema mihemo mizito kana kwamba nicheza mpira kwa muda mrefu sana pasipo kupumzika.
“Nimewauliza?”
Nilizungumza huku nikiigonga meza hii na hii fimbo ya kuchezea mpira wa gofu.  Mchungaji akatoa bastola yake na kuninyooshea.
 
“Dogo unahisi hii vita utaiweza kati yako na sisi. Baba yako aliweza kufanya ujinga ndio maana ametufikisha hapa tulipo. Tena muite mwanasheria wako aje hapa asainishe makubaliano ya kubadilisha mali zote na kuziingiza kwa majina tutakayo kuambia”
Nikamtazama mchungaji huyu, nikajikuta nikiruka mezani hapa hadi katika shemeu aliyo simama, kitendo hicho kikamuacha mdomo wazi. Nikamtandika konde zito la kifuani lililo mfanya arushwe mita kadhaa hadi ukutani na akaanguka chini. Mameneja walivyo ona hali imebadilika ndani ya chumba hichi wakanyanyuka na kutamani kukimbilia mlangoni, ila wakashindwa kutoka tayari nimesha ichomoa bastola yangu na kuwanyooshe.
 
“Anaye hitaji kufa akaguse ule mlango pale. Haya kila mmoja arudi kwenye kiti chake”
Mameneja wote wakarudi kwenye viti vyao na kukaa huku miili yao ikitetemeka.
“Kila mmoja aweke mikono yake juu ya meza”
Wote wakatii amri hadi mwanaume ambaye naye anahusika na mpango huu wa kumteka dada Mery na kuhitaji kuchukua mali kiurahisi. Nikaanza kuwapiga fimbo za mikono kwa kutumia fimbo hii ambayo imetengezwa kwa chuma. Mamenaja hawa wakazidi kulia kwa uchungu sana ila hapakuwa na hata mmoja wao ambaye alithubutu kufanya ujinga wa kunishambulia kwani kilicho tokea kwa mchungaji feki kila mmoja amekishuhudia, kwani ni jambo ambalo binadamu wa kawaida hawezi kulifanya na tukio kama hilo nahisi walisha liona kwenye baadhi ya filamu za Kimarekani kama Spider Men.

==>>ITAENDELEA KESHO

AISIIIII……….U KILL ME ( Sehemu ya 120 na 121 )

$
0
0
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWA- 0657072588
ILIPOISHIA

Jamaa huyu mrefu kwenda juu na aliye jazia misuli ya mwili wake akandoka hapa sebleni, nikamsogelea Hawa na kulitazama jeraha lake lililopo kwenye paji la uso wake.
“Hujaumia sana”       
“Wifi vipi?”
Nikageuka nyuma sikuamini macho yangu kumuona Mariam, ambaye naye baada ya kuniona akajikuta akistuka na kusima sehemu alipo, nikainyanyua bastola yangu kwa haraka na kumyooshea jambo lillilo mshangaza Hawa na mume wa Mariam.
   
ENDELEA   
“Dany”       
Hawa aliniita huku akinishika mkono wangu ulio shika bastola, sikuhitaji kuushusha wala kuuteteresha, nilicho kifanya zaidi ni kukaza misuli yangu.
“Ulihisi kwamba sinto kukamata ehee?”   
Nilimuliza Mariam kwa hasira huku mikono yangu ikinitetemeka sana, jambo lililo zidi kuwashangaza Hawa na mume wa Mariam.
“Baby munajuana?”       
Mariam alimjibu mumewe kwa kutingisha kichwa tu kwamba ananifahamu, huku jasho jingi likianza kumwagika usoni mwake.
“Dany mume wangu mbona sielewi?”
“Hawa Mariam ndio muuaji wa familia yangu, ameiteketeza familia yangu kikatilia sana”
“Dany sikuwa na jinsi zaidi ya kufanya hivyo, muulize Hawa atakueleza kila kitu”
 
Mariam alizungumza huku mwili ukizidi kumtetemeka hata matamshi yake yanatoka yakiwa yamejawa na utetemeshi mkubwa sana.
“Baby, ninakuomba utulie. Tupo katikati ya tatizo, ninakuomba utulie tafadhali”
Hawa alizungumza kwa sauti ya upole na laini, huku akiwa amenishika kifua changu, machozi ya hasira yakaanza kunimwagika huku nikiyang’ata meno yangu kwa hasira sana.
“Dany nakuomba sana tena sana ushushe silaha yako chini, kuna mambo mengi tunapaswa kuyazungumza”
Hawa aliendelea kuzungumza kwa upole sana akizidi kunisihi nimsamehe. Nikamtazama Mariam kuanzia chini hadi juu, nikashusha pumzi nyingi sana, kisha nikaushusha mkono wangu ulio shika bastola yangu.
“Tulia mume wangu kaa hapa”   
Hawa akanisogezea kiti, taratibi nikaka huku machozi yakinimwagika mfululizo, hasira ya mauaji yaliyo fanywa na Mariam kusema kweli inanisukuma kufanya mauaji yake ili maradi na mimi nijisikie amani japo kidogo katika moyo wangu. Nikamuona mume wa Mariam naye akishusha pumzi, akamshika mkono Mariam na kumkalisha kwenye sofa zilizopo hapa sebeleni.
“Hawa vipi asubuhi yote na majeraha usoni?”
“Ni hadisi ndefu kaka yangu, ila ngoja kwanza tulizungumze hili kati ya hawa watu wawili. Dany”
“Mmmmm”
 
“Nina tunaweza kuzungumza hili jambo?”
Nikanyanyuka kwenye kiti changu, nikachungulia dirishani, watu wote ndani ya seble macho yao wakawa wananitazama mimi. Nikazidi kukaa kimya huku nikisikilizia kwa umakini sauti ninazo zisikia kwa mbali sana zilizo nifanya niwe na wasiwasi mwingi.
“Dany”
“Shiii”
Nilizungumza huku nikimtulia Hawa kwa mkono, milio ya helicopter nilizo kuwa ninaisikia kwa mbali sasa nikaanza kuisikia kwa ukaribu kabisa, jambo lililo wafanya watu wote ndani ya seble kunyanyuka kwa haraka nak ukimbilia dirishani nilipo simama.
“Wanakuja”
“Kina nani Hawa?”
“Baba na watu wake wananitafuta na wanahitaji kuniua”
“Mungu wangu si wanaweza kukivamia kijiji hichi”
“Ndio maana yake, inabidi kutafuta njia ya kuondoka katika hichi kijiji”
 
Nilizungumza huku nikiishika bastola yangu vizuri.
“Kuna njia ya kutokea katika hichi kijiji”
Mariam alizungumza na kujikuta nikimtazama kwa jicho kali hadi akayakwepesha macho yake kwangu na kumtazama mume wake.
“Ndio kuna njia chini ya ardhi, tunaweza kuitumia na kuondoka kabisa katika hichi kijiji?”
“Basi hatuna muda wa kupoteza kaka yangu, niakuomba tuondoke”
“Basi ngoja tukavae haraka haraka”
Hawa na mumewe ambao wamevaa mavazi ya kulalia, wakaingia katika chumba chao na kutuacha sebleni.
“Una waamini?”
 
“Ndio nina waamini, ninamuoamini sana kaka yangu”
“Na imekuwaje Mariam akasema kwamba nikuulize wewe juu ya mauji ya wazazi wangu”
Kabla Hawa hajanijibu, nikaanza kusikia milipuko ya mabomu mita kadhaa kutoka hapa tulipo. Mariam na mumewe wakatoka chumbani wakiwa wanakimbia kila mmoja mkononi mwake ameshika mastola pamoja na tochi kubwa. Tukaingia kwenye moja ya stoo, wakatukabidhi mabegi ya mgongoni.
“Kuna nini humu?
Niliwauliza huku nikifungua begi langu, sikupokea jibu kwa mana nilicho kuuliza tayari nimesha kipatia jibu lake kwa maana kuna vibunda vya pesa za kimarekani, vilivyo pangwa vizuri na kujaa katika kila begi. Hawa akanikabidhi tochi yangu kubwa, kisha tukatoka humu katika chumba cha stoo. Tukaingia katika bafu hapo ndipo tukakuta mfuniko, mume wa Mariam akaufungua na akawa wa kwanza kuingia.
 
Akaingia Hawa, akafwatia Maria kisha nikamalizia mimi na kuufunga mfuniko huu ambao si rahisi kwa mtu kuweza kugundua kwamba kwa chini kuna njia, kila mmoja akawasha tochi yake na kuanza kumfwata mume wa Maria. Japo kuna nuka sana kutokana na haya maji machafu tunayo yakanyaga, ila hatuna namna zaidi ya kuzidi kusonga mbele kwani njia hii ndio itakuwa mkombozi wetu.
 
Kwa mara kadhaa Mariam aligeuka nyuma kunitazama, ila nikazidi kukazia macho.
“Tunatumia umbali gani kutokea huko yunapo kwenda?”
Hawa aliuliza huku tukizidi kutembea kwa mwendo wa kukimbia kidogo kidogo
“Ni umbali kidogo tujitahidi”
Tukafika sehemu tukakuta njia mbili  ambazo kila mmoja inaelekea upande wake, Mariam na mume wake wakatazamana.
“Nini?”
Niliwauliza huku nikiwa makini sana kwa maana siwaamini kabisa.
“Tunaangalia ni njia ipi nzuri ya haraka ambayo tunaweza kupita kutokea eneo ambalo lina usalama kabisa.”
“Kwa….”
Hawa akawahi kuniziba mdogo kwa maana hasira yangu anatambua kabisa kwamba bado haijaisha katika kumsamehe Mariam.
“Ongoza mwaya kaka yangu bora tufike”
“Twendeni huku”
 
Mume wa Mariam alizungumza na tukaanza kumfwata huku tukizidi kukimbia, tukatembea kwa masaa mawili na kujikuta tukitokea kwenye moja fukwe za bahari ambazo zimetulia na inavyo onekana kwamba hakuna dalili kabisa ya watu. Kila mmoja akajikuta akihemea kwa upande wake kwa maana ngija ngija tulizo kutana nazo huko tulipo toka kusema ukweli zimetushosha sana.
“Mungu ni mwema tumesalimika”
Hawa alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, akanisogelea na kunikumbatia huku kicha chake akiwa amekilaza kifuani mwangu.
“Ninakupenda sana Dany”
“Nina kupenda pia mke wangu”
“Jamani samahani”
Mume wa Maria alizungumza huku akitusogelea, taratibu tukaachiana na kumtazama ni kitu gani ambacho anahitaji kukizungumza.
“Itatubidi kukaa hapa kwa siku hii nzima, tukiacha mambo yakitulia basi tunaweza kubadilisha mfumo wa mazingira na kwenda sehemu nyingine mbali na hapa”
“Tuna chakula hadi tukae hapa?”
“Ndio tunacho, begi niliko kuwa nimelibeba mimi lina vyakula vilivyomo kwenye makopo”
“Sawa kaka yangu, hivi hapa hakuna watu?”
“Hapana fukwe hizi sio rahisi sana kwa watu kuweza kufika kwa manaa zimejificha sana na sio rahisi kugunduliwa”
“Wewe umezijuaje?”
 
Nilimuuliza mume wa Mariam huku nikimkazia macho, akamtazama Hawa kidogo kisha akazungumza.
“Nimejua mimi mwenyewe kutokana na utaalamu wangu wa kutengeneza njia zilizopo chini ya ardhi.”
“Kaka yangu nina shukuru ninakuomba ukazungumze na wifi yangu naona yupo mnyonge”
“Sawa dada”
Mume wa Mariam akaondoka katika eneo tulilo simama sisi.
“Dany muda mwengine ujaribu kuizuia hasira yako kuonekana wazi wazi”
“Siwezi kufanya hivyo ikiwa ninamuona adui yangu mbele yangu”
“Nalitambua sana hilo, ila ukweli ni kwamba Mariam hana makosa ya aina yoyote, yeye aliagizwa tu”
“Ataagizwaje kuua tena Watanzan wenzake?”
“Kumbuka Dany hata mimi mwenyewe nilikuagiza kwenda kumua Maria, pasipo kujau kwamba Mariam ni mtu mwema sana”
 
“Kwa nini unamtetea sana, au kifo juu ya wazazi wangu na wewe umehusika”
Nilizungumza kwa hasira na kumfanya Hawa kunitazama kwa macho ya mshangao, machozi taratibu yakaanza kumwagika, jambo lililo nifanya nijikute nikianza kuwa mpole.
“Am sorry mke wangu”
“Dany hivi laiti kama ningekuwa nimehusika na kifo cha wazazi wako leo hii mimi nisinge kuwepo hapa. Dany kuna mambo mengi sana ambayo huyajui na utanatakiwa kuyajua mume wangu”
Hawa alizungumza huku akiendelea kumwagikwa na machozi, nikamtazama Hawa nikamuona jinsi anavyo kumbatiwa na mume wake naye akionekana kulia sana kwa uchungu.
Nikamshika Mariam taratibu na kuelekea naye hadi pembeni ya maji ya bahari, tukavua mabegi tuliyo yaa migongoni na kuyaweka pembeni, nastola zetu nazo tukaziweka pembezoni maji. Taratibu tukaingia kwenye maji.
 
“Dany”
“Mmmm”
“Mwenzio sipendi kuogelea, nina ogopa”
“Twende tu usiogope”
Maji yakafika usawa wa viuno vyetu, taratibu nikamsogeza Hawa hadi kifuani mwangu, nikayashika mashavu yake kwa viganja vya mikono yangu, tukatazamana kwa sekunde kadhaa kisha tukaanza kunyonyana midomo yetu huki kila mmoja akiwa na hisia kakali. Hawa kwa haraka akaupelekea mkono wake wa kulia hadi kwenye zipu ya suruali yangu, akaifungua na kumtoa jogoo wangu. Akaanza kumchua taratibu.
“Dany nahitaji”
Hawa alizungumza huku akishusha pumzi nyingi na akionekana kuwa na hamu kubwa sana na mimi. Nikamshusha suruali yake, baada ya kuifungua mkanda, nilipo hakikisha kwamba nimeweza kukishika chake, nikamgeuza kwa haraka kisha nikamuinamisha taratibu.
Jogo wangu aliye cha Hawa.
“Dany taratibu nina umia”
“Shiii”
 
“Ninakupenda sana mume wangu”
“Ninakupenda pia Hawa wangu”
“Ninakuomba usiniache peke yangu Dany, nipo tayari kufa kwa ajili yako”
 
“Hata mimi pia mke wangu, nitakulinda hadi dakika ya mwisho katika maisha yangu”
Machozi ya furaha yakaanza kutumwagika kila mmoja. Tukatoka kwenye maji haya na kurudi nchi kavu na kuwakuta Hawa na mume wake wakiwa amekaa chini ya mti wa mkoko wakila chakula kila mmoja akiwa na kikopo chake cha chakula.
“Tumewaacha peke yenu”
“Hakuna tabu dada yangu”
“Wifi unaweza kuchukua chakula ndani ya begi”
“Hakuna tabu, shemeji yako atakuwa na njaa sana”
“Sio kivile ila nina njaa”
Hawa akanitolea kikopo chenye mchanganyiko wa chakula cha ubwabwa na maharage, nikakifungua na taratibu nikaanza kula huku nikimtazama Mariam kwa jicho la kuiba.
“Ehee dada ilikuwaje hadi useme kwamba baba anakuwinda?”
“Ni stori ndefu ndugu yangu, ila yote ni kutokana na shemeji yako hapa”
“Vipi baba hapendi mume wawili nini?”
“Yaa baba anahitaji kumuua shemeji yako ila kusema kweli sikupenda hilo jambo lijitokeze kwenye maisha yangu, kwa maana nina mpenda mume wangu sana”
“Shemeji pole kwa mikasa hiyo yote”
“Asante”
“Dany”
Mariam aliniita kwa sauti ya chini huku akinitazama usoni mwangu, sote tukakaa kimya huku tukimtazama.
 
“Natambua ya kwamba una nichukia, ila ninakuomba unisamehe sana kwa kila jambo ambalo limetoke kwenye maisha yako na mimi nikiwa ni chanzo wa kufanya hivyo”
Machozi yakaanza kumtoka Mariam usoni mwake.
“Niliamua kuachana na kila jambo baya kwenye maisha yangu, na kuamua kuishi kama mtu wa kawaida sana, roho yangu pia iliwindwa baada ya mimi kumaliza kuifanya kazi ya mauaji ya familia yako. Hawa wifi yangu yeye ndio aliye weza kunitafuta na kunieleza juu ya adhima ya mtu aliye nituma kuhakikisha kwamba ana niua na mimi ili kuendeleza siri hii isitoke”
“Nilimtafuta baada ya wewe kushindwa kumuua”
Hawa alizungumza na kunifanya nimtazame kwa mshangao.
“Hawa alinitorosha kunipeleka kwa kaka yake huyu hapa”
“Na mama yupo wapi?”
“Walimuua”
Moyo wangu ukajikuta ukizizima, kwa maana ninamfahamu vizuri mama Mariam ni mwanamke aliyeweza kunipenda na kuweza kunipa penzi lake japo kuwa alinipita umri mkubwa sana.
“Ni nani aliye muua mama yako?”
Mariam akaka kimya huku akinitazama, akamtazama Hawa ambaye naye pia alinitazama mimi kwa macho ya yaliyo jaa wasiwasi.
“Ni nani?”
“Ni baba yangu”
Hawa alizungumza kwa unyonge sana, nikajikuta nikiyang’ata meno yangu huku hasira dhidi ya maadui wangu wote ikizidi kuongezeka maradufu moyoni mwangu.
 
 AISIIIII……….U KILL ME 121  


Nikanyanyuka huku nikiwa nimekishika kikopo changu chenye chakula, wote wakanitazama, nikaanza kutembea kwenye fukwe hii, huku nizidi kuwa na hasira kubwa moyoni mwangu.
“Dany Dany”    
 
Hawa aliniita akiwa nyuma yangu, nikasimama na kugeuka.
“Dany natambua kwamba una hasira, ila….”
“Hawa ninakuomba unipe muda nahitaji kuwa peke yangu, sawa mke wangu”
“Sawa ila ninakuo…”
“Nimekuelewa mke wangu”
“Sawa, ngoja tukafirikirie kitu cha kufanya”
Hawa akaniacha na kurudi sehemu walipo kaa Mariam na mume wake. Nikatafuta moja ya jabali kubwa lililopo pembezoni mwa hii fukwe, nikakaa sehemu ambayo hakuna mtu yoyota anaweza kuniona. Nikatoa bastola zangu na kuziweka mbele yangu, nikatoa sime yangu nayo nikaiwake sehemu zilipo bastola. 

Taratibu nikapia magoti chini, nikainama na paji la uso wangu likahusa kwenye ardhi, machozi mengi yakaanza kunitoa huku maumivu makubwa yakiwa yamenitawala kwenye moyo wangu. Nikazidi kulia, kilioa ambacho kimekusanya maumivu ya matukio yote ya kuondokewa na wapendwa wangu hususani familia yangu. 

Nikamaliza zaidi ya nusu saa nikiwa nimeinama na kulia, nilipo hakikisha kwamba nimemaliza machungu yangu, nikanyanyua uso wangu, nikachukua sime yangu, nikajichana kidogo kwenye kiganja changu cha mkono wa kushoto, kisha damu yangu nikinyunyiza kwenye sehemu yalipo anguka machozi yangu mengi. Vishindo vya mtu aliye simama nyuma yangu nikajukua nikichukua bastola yangu na kugeuka kwa haraka. Nikamkuta Hawa akiwa amesimama, taratibu nikaishusha bastola yangu.
 
“Dany”   
Hawa alizungumza kwa mshangao huku akianza kunifwata akiwa na mshangao, akanishika mkono wangu wa kushoto na kuangalia damu zinazo endelea kunimwagika.
“Ohoo Dany umefanya nini mume wangu”
“Hakuna kitu”
Hawa kwa haraka akakata kipande cha shati lake, kisha akanifunga kwenye jeraha lililopo kwenye kiganja changu.
“Dany kwa nini unakuwa unafanya jambo kama hili”
“Leo ndio nimeomboleza vifo vya wale wote walio tangulia mbele ya haki, ila damu yangu haijamwagika bure, nitahakikisha kwamba walio wapelekea vifo vyao nilazima niwaue kwa mkono wangu mimi mwenyewe”
“Usijali mume wangu hilo lote nitahakikiasha linakwenda kufanikiwa””
“Shukrani”
“Tumepanga mpango mmoja ambao utakuwa dhabiti katika kuianza hii kazi”
“Mpango gani?”
“Kuna yule mlinzi wangu naye amatoroka kwenye ngome, nimewasiliana naye, atakuja na boti kutuchukua hapa muda si mwingi”
 
“Isije kuwa ni mtego?”
“Ninamuamini sana haweza kufanya ujinga kama huo”
“Inabidi atakapo fika ni lazima sisi tujifiche”
“Kwa nini?”
“Kwa sasa mtu ninaye kuamini ni wewe tu na wewe ninakuomba uniamini mimi”
“Sawa mume wangu, nitakuamini hadi dakika ya mwisho ya maisha yangu”
“Sawa”
Hawa akaniokotea vitu vyangu nilivyo kuwa nimeviweka chini akanikabidhi, tukarudi sehemu walipo kaa Mariam na mume wake.
“Dada, Lusi amepiga simu anakuja muda si mrefu”
“Sawa”
“Lusi?”
“Ndio hiyo mlinzi wangu ninaye muamini sana”
“Sawa, cha kufanya nahitaji kila mmoja aweze kujificha, ili hata akifika katika hili eneo tuweze kuona kinacho endelea tusije kujikuta tunaingia kwenye mtego ambao utatuvurugia kila kitu”
“Sawa”
“Kitu kingine ambacho mumepanga baada ya kuondoka hapa?”
 
“Tumepanga tukateke meli moja ya abiria ambayo inabeba matajiri wengi wenye pesa, kupitia hiyo meli tutahakikisha kwamba tunapata pesa ya kutosha na tunaweza kuhimili zoezi lililopo mbele yetu”
Nikamtazama Hawa jinsi anavyo zungumza kwa kujiamini, nikajikuta nikishasha pumzi nyingi huku nikifikiria jambo la kufanya.
“Hiyo meli inatoka wapi na kuelekea wapi?”
“Hiyo meli ni ya Wamarekani, ila Lusi aliweza kuniambia kwamba itapita katika mkondo wa hapa Somalia”
“Mbona munataka tuingie kwenye bifu na nchi kubwa kama Marekani, wamarekani wanawathamini sana watu wao. Tukiwateka hapa watatufuta dunia nzima na wakitupata ndio basi tena”
“Dany hatuna la kufanya zaidi ya kufanya hivyo”
Mariam alizungumza huku akinitazama, kusema kweli, tunahitaji pesa, ilaha na uwezo wa kuweza kuendesha oparesheni yetu ya kuwaangamiza maadui zetu ila kwa hili ambalo wezangu wamelifanya wanataka kutengeneza uaduia na nchi kubwa duniani.
“Jamani moyo wangu katika hili kusema kweli umekuwa mzito”
 
Kwa mbali tukaona boti ikja usawa wetu kwa kasi, ikatubidi sote kutawanyika na kujificha kwenye miti hii ya mikoko kila mmoja akiwa na silaha yake mkononi mwake. Boti hii hiyo ambayo ni ndogo kiasi, ikasimama umbali kidogo na fukwe wa bahari. Akashuka Lisa na kuanza kuogelea hadi nje kabisa ya maji, akasimama na kuanza kuangalia kila upende. Hawa akajitokeza katika sehemu aliyo kuwa amejificha.
“Mkuu”
Lusi akamkimbilia Hawa na kukumbatiana naye, macho yangu yote nikayaelekeza kwenye boti, nilipo jihakikisha kwamba hakuna mtu yoyote kwenye boti, nikajitokeza na kuwafanya Mariam na mume wake kutoka katika maficho yao.
“Kambini kuna kitu gani kinacho endelea?”   
“Msako bado unaendelea, mzee kachafukwa baada ya kugundua kwamba ni kweli Dany alikuwa ndani ya ngome na yupo pamoja na wewe”
“Ila mawazo yao yapo vipi?”
“Wanajeshi wako wote wamewekwa chini ya ulinzi na wanahojiwa kwa mateso makali wakialezwa wataje ni sehemu gani ambayo wewe upo”
Nikamuona jinsi Hawa anavyo poteza amani, machozi yakaanza kumlenga lenga usoni mwake. 
 
“Jamani tuondokeni”
Nilizungumza, Lusi akanitazama kisha akamtazama Hawa.
“Sawa”
Hawa alizungumza kwa unyonge, tukaanza kuingia kwenye maji huku kila mmoja akwia ameshika begi lake ambalo alikuwa amelibeba. Hatukuchukua muda mwingi tukafika kwenye boti, sote kwa pamoja tukapanda na kuanza kuondoka eneo hili kwa kasi.
“Dany”   
“Inabidi kuhakikisha kwamba hii meli tunaiteka leo usiku”
“Hawa kitu tunacho kwenda kukifanya ni hatari sana”
“Ninajua ni hatari, tazama wanajeshi wangu, wakiumia kwa ajili ya hili lililo tokea, kama unanipenda ni vyema ukafanya hili kwa ajili yangu”
Hawa alizungumza huku machozi yakimwagika usonimwake, taratibu nikamkumbatia na kuanza kumbembeleza taratibu.
“Nitafanya kwa ajii yako”
“Kweli”
 
“Yaaa, Lusi amekuja na silaha za kutosha”
“Ngoja nimuulize”
Hawa alizungumza huku akiondoka katike aneo tulio simama na kuingia katika chumba kidogo alipo Lusi, nikasimama na huku nikangaia maji haya jinsi yanavyo kwenda.
“Dany”
“Naam”
Niliitika huku nikitazama pembeni, nikamuona Mariam akiwa amesimama kwa unyeyekevu, usoni mwake anaonekana ana kitu anacho hitaji kukizungumza kwangu.
“Vipi?”   
“Ahaa…ahaa natambua kwamba bado una chuki na mimi kwa sababu u……”
“Mariam hayo yote tulisha yazungumza, nimetambua kwamba umefanya kwa kufwata amri”
“Ni kweli”
Ukimya ukatawala kwa sekunde kadhaa huku tukiwa tumesimama sehemu ya mbele katika hili boti.
“Dany”
 
“Mmmm”
“Nikuulize swali?”
“Uliza?”
“Mahusiano yako ya sasa unayafurahia?”
Swali la Mariam likanifanya nimtazama kwa macho yaliyo jaa mshangao mkubwa, nikajikuta nikitabasamu.
“Kwa nini umeniuliza hivyo?”
“Hapana nijibu tu”
“Nisinge penda kuyaongelea sana hayo maswala ni vyema ukayapotezea kwa muda huu”
“Honey, amenieleza kwamba amekuja na silaha za kutosha. Ramani pia inayo onyesha jinsi tunavyo weza kuivamia hiyo meli ipo”
Hawa alizungumza sote tukabaki tukiwa tunamtazama. Ili kuficha kwamba hakuna kitu kinacho endelea kati yetu mimi na Mariam, akanigusa begani.
“Shemeji Mungu atakusaidia”
Mariam akaondoka na kumuacha Hawa akimsindikiza kwa macho.
 
“Alikuwa anahitaji nini?”
“Alikuwa ananiomba msamaha kwa mauaji ya wazazi wangu na nimemsamege kwa moyo mmoja”
“Jambo zuri mume wangu tusiishi kwa kinyongo ikiwa tunapango wa kufanya kazi moja”
“Kweli, twende tukaione hiyo ramani”
Nikaondoka na Hawa, tukaingia kwenye chumba alipo Lusi, akatukabidhi ramani hiyo huku yeye akiendelea kuendesha boti hii. Tukaanza kuifwatilia kwa umakini sana.
“Ila hii meli inaonyesha ina ulinzi mkali sana”
“Kwa nini?”
 
“Njia ambayo tunategemea sisi kuweza kupita ni kuzama kwenye maji na tunatakiwa kuingia kwenye meli hiyo pasipo wao kugundua, ila hata mafeni yake yaliyopo chini ndio yananipa mawazo sana”
“Mume wangu hilo lisikupe tabu, kwa maana kuna sehemu hii hapa japo ni ndogo na mtu ukikosea utajikuta mafeni hayo yakikukata ila inatubidi kufanya hivyo”
“Sawa mke wangu ila si kuna mitungi ile ya gesi ya oksijeni”
“Ndio vipo”
Tukazidi kusonga mbele, kwenye hii bahari ambayo mebele huoni unapo toka na Yuma huoni unapo tokea. Majira ya saa tatu usiku, Lusi akazima boti hii.
“Vipi?”
 
“Muda wa kwenda kuifanya kazi umewadia”
“Boti yenyewe ipo wapi?”
“Sasa hivi ni saa tau na dakika ishirini na nne, saa nne kamili meli itapita mita miambili kutoka hapa tulipo, kwa hiyo tutaogelea hadi kwenye meli hiyo, huu ni muda wa kila mtu kujiandaa”
Lusi alizungumza huku akimkabidhi kila mtu kifaa chake cha kuzamia kwenye maji, kila mtu akaanza kuvaa nguo hizi maalumu za kuegelea zenye miguu mipana ambayo inamsaidia mtu kuogelea rahisi akiwa chini ya maji. Nikavaa mtungi wa gesi mgongoni mwangu, kisha nikamvisha Hawa mtungi wa gesi mgongoni mwake, nikamfunga vizuri mikanda ya huu mtungi.
 
“Baby hii kazi tunayo kwenda kuifanya ni hatari, nikifa hakikisha kwamba kisasi unakilipiza kwa wale wote walio kutendea ubaya, hususani baba yangu”
Hawa alizungumza kwa sauti ya chini, taratibu akausogeza mdomo wake karibu na wangu, nikaupokea taratibu na tukaanza kunyonyana, nikamuona Mariam aliye simama nyuma Hawa, uso wake ukijikunja na moja kwa moja nikatambua kwamba wivu ndio unao mpelekea kuwa katika hali hiyo ya chuki na hasira.

==>>ITAENDELEA KESHO

Mo Dewji: "Hata nisipokuwepo Duniani kwa hili nitafurahi Kuliona Likifanikiwa"

$
0
0
Mfanyabiashara maarufu nchini Tanzania, Mo Dewji amewahakikishia mashabiki wa klabu ya Simba kuwa Uwanja wa mazoezi wa klabu hiyo utakamilika kama alivyopanga ili kutimiza ahadi yake.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Mo Dewji amesema anafanya hivyo kumalizia ujenzi wa uwanja huo ili utumike hata kama yeye asipokuwepo duniani.

“Tumefika hatua nzuri ya maendeleo ya uwanja wetu wa mazoezi wa #SIMBA. Nafurahi kuona maono yangu yanakamilika ili hata siku nisipokuwepo duniani, uwanja uendelee kutumika kwa mazoezi Insha’Allah.” ameandika MO.

Mtalaam Wa Magonjwa Yote Sugu Nayaliyoshindikana Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha,

$
0
0
MTALAAM NA BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU NAYALIYOSHINDIKANA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni 3Power,Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1,hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo lakwanza bila kuchoka naitakufanya uwe nahamu yakuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

FINA Power; Nidawa yakuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ISHOSHA,Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,,humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa.

SHEPU EXRA,Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

HUDUMA HIZI NANYINGINE NYINGI MTALAAM BINGWA DR ZENGO.

Anapatikana  Dar es Salaam.

SIMU NO; 0784,47,59,46 / 0744,92,29,82 / 0652121197

NAKAMA NAFASI YAKUFIKA OFISINI HAIPO UTALETEWA HAPO ULIPO.

Hawa wa Diamond afanyiwa upasuaji wa moyo salama

$
0
0
Msanii Hawa Said maarufu Hawa wa Diamond amefanyiwa upasuaji wa moyo salama nchini India chini ya madaktari bingwa watano.

Meneja wa Diamond, Babu Tale ambaye aliondoka nchini Tanzania na Hawa wiki iliyopita kwenda India kwa ajili ya matibabu, amesema kuwa mrembo huyo amepata fahamu baada ya upasuaji huo mkubwa wa moyo.

Baada ya matibabu hayo, Tale ameandika; “Hii niatua kubwa sana na mtihani unamkuta kila binadamu na mwenye kuutatua ni Mungu mwenyewe niwashukuru wote mlioweza kumuombea dua Hawa mpaka apa alipo na pia niendelee kuwaomba msiache kuomba dua @diamondplatnumz mdogowangu napenda sana unavyokua na roho ya kutoa ila kaa ukijua hii umeweka na Mungu atakupa kwa njia nyingine.

"Leo acha niseme tu huyu dada Speedy Recovery International Health Care Services ametusaidia na nikikwambia nimemjulia tu kupitia instagram na alikua ananiambia anauzoefu wa miaka 32 kwenye kazi ya udakitari niliona kama anataka kuniibia tu ila mwisho wa siku ndiye aliyesaidia kila kitu na ajaniomba hata mia hii yote ni mipango ya Mungu kulifanya jambo kua jepesi. Naomba niombeeni ruhusa kwa @sallam_sk na @mkubwafellatmk nirudi dar maana nimesha maliza walichonituma ili niweze kuwahi Wasafi festival,”

Mwanafunzi Afariki Dunia Baada ya Kugongwa na Gari Akielekea Shuleni

$
0
0
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Igokelo wilayani Misungwi wamelazimika kusitisha masoma baada ya mwenzao kugongwa na gari na kufariki dunia.

Mwanafunzi huyo Mariamu Bupilipili ambaye alikuwa kidato cha tatu amekutana na mkasa huo uliochukua maisha yake leo asubuhi wakati akienda shuleni.

Mwalimu mkuu wa shule hiyo, Hamisa Hassan  alisema walipokea taarifa za kugongwa kwa mwanafunzi huyo asubuhi na kuthibitisha kwamba ni mwanafunzi wao.

"Tumesikitika sana kwa kumpoteza Mariamu, alikuwa ni mmoja kati ya wanafunzi tuliowategemea sana. Siwezi kuzungumzia sana hii habari maana polisi tayari wameanzisha uchunguzi kuhusiana na tukio hili," alisema Hamisa.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Jonathan Shanna amesema taarifa za kugongwa kwa mwanafunzi huyo zilikuwa hazijafika ofisini kwake.

BREAKING: Shule 10 na Wanafunzi 10 Bora Kitaifa Matokeo ya Darasa la Saba 2018

$
0
0
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetaja shule 10 bora kitaifa zilizofanya vizuri katika matokeo ya kuhitimu elimu ya msingi, huku mikoa iliyopo Kanda ya Ziwa ikitoa  shule sita katika orodha hiyo.

Shule hizo ni Nyamuge (Mwanza), Twibhoki (Mara), Kwema Modern na Rocken Hill (Shinyanga),  Jkibira, St Achileus Kiwanuka, St Severine na Rweikiza (zote Kagera).

Shule iliyoshika nafasi ya kwanza katika shule 10 bora ni  Raskazone ya Tanga huku St Anne Marie ya jijini Dar es Salaam ikishika nafasi ya sita.

Pia,  wanafunzi sita kati ya 10 waliofanya vyema kitaifa katika mtihani huo pia wanatokea shule za kanda ya ziwa.

Dk Msonde amewtaja watahiniwa 10 bora kitaifa na shule zao kwenye mabano ni Ndemezo Lubonankebe (Kadama-Geita), Innocent Seleli (Carmel-Morogoro), Given Malyango (Tumaini Junior –Arusha), Diomedes Mbogo (St Achileus Kiwanuka-Kagera), Sweetbert John (Mingas-Shinyanga).

Najma Manji (Nyamuge-Mwanza), Beatrice Jeremiah (Mapinduzi B-Mara), Mohamed Abdirahman Mohamed na Luqman Ally (Raskazone-Tanga) na Francisco Maiga (Kadama-Geita).

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano Ya October 24

Makonda Awapongezi Walimu Na Wanafunzi Kwa Kuifanya Dar Es Salaam Kushika Namba Moja Matokeo Darasa La Saba

$
0
0
Kufuatia Mkoa wa Dar es salaam kushika nafasi ya kwanza kitaifa kwenye matokeo ya mtihani wa darasa la Saba, Mkuu wa mkoa huo Mhe. Paul Makonda amewapongeza Walimu,maafisa elimu, waratibu elimu, wazazi na wanafunzi kwa kuunganisha nguvu na kuifanya Dar es salaam kuendelea kuibuka kidedea.

Makonda ametoa pongezi hizo kupitia ukurasa wake wa Instagram na kuahidi kutoa zawadi kama motisha kwa Walimu.

“Nawapongeza sana sana Walimu, waratibu kata, maafisa Elimu , wazazi pamoja na wanafuzi Kwa kuunganisha nguvu na hatimae tumeongoza ktk matokeo ya darasa la saba Tanzania.

"Asanteni sana kwakunivisha nguo na kumpa heshima Rais wetu Mpendwa. Ofisi yangu itaandaa utaratibu wa kutowa zawadi kama motisha na Asante Kwa kazi wanayoifanya walimu pamoja na wanafunzi. Tumeongoza tena kwa mara nyingine tena,“ameandika Makonda.

Mkurugenzi Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza Awapongeza Walimu na Wanafunzi Kwa Kufanya Vizuri Katika Matokeo ya Darasa la 7

Ujerumani Yampongeza Rais Magufuli kwa Kupambana na Rushwa

$
0
0
Na Judith Mhina – MAELEZO
Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania Dkt Detlef Waechter amempongeza Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli kwa kufanikiwa kupambana na rushwa nchin Tanzania na kupata mafanikio makubwa ndani ya kipindi kifupi.

Hayo amesema Balozi Waechter alipofanya mahojiano na Idara ya Habari MAELEZO mapema jana katika hoteli ya Hyatt Regency The Kilimanjaro Dar-es-salaam Kempinski katika barabara ya Sokoine Jijini Dar-es –salaam.

Akielezea jinsi rushwa ilivyoota mizizi sehemu nyingi ikiwemo Ujerumani amesema “Tatizo la rushwa sio la Tanzania peke yake, hata pale Ujerumani lipo japo si kwa kiasi kikubwa, bali kila mara serikali inapaswa kujiangalia na kuhakikisha inapambana na mfumo wa rushwa mahala popote. Ili raia wako wawe na imani na serikali yako”

Kwa dhati kabisa nampongeza Rais Magufuli kwani hali ilikuwa sio nzuri kulingana na ripoti tuliyoisikia wakati wa Mkutano wa 38 wa Bara la Afrika wa Kuthibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya miezi mawili iliyopita. Uwepo wa rushwa Tanzania ilikuwa ni eneo linalotumiwa katika kupitisha madawa hayo ambapo sasa suala hili limepungua kwa kiasi kikubwa kutokanana juhudi za Rais Magufuli.

Akielezea ubaya wa rushwa Balozi Waechter amesema kuwa matatizo ya rushwa yanarejesha nyuma maendeleo kwa kuwa watu hawapati huduma wanazostahili kwa kuwa tu kuna wengine wanatumia rushwa. Halikadhalika uwepo wa rushwa unaondoa uaminifu kutoka Taifa moja kwenda linguine au nchi moja kwenda nyingine.

Ukiangalia maeneo ambayo hayana utulivu na amani, inatokana na kushamiri kwa rushwa na kuwa na serikali ambazo hazisimamii vema huduma kwa wananchi wake. Hili ni tatizo kubwa lililokumba nchi za kiafrika ambazo raia wake kila siku wanatafuta njia ya kuelekea Ulaya.

Raia hao wanakwenda ulaya sio kwa kupenda ni kwa sababu wamekosa utulivu na amani katika nchi zao, kinachopatikana nchini kwao ni kwa ajili ya wajanja wachache wanaoweza kutoa rushwa na kuhodhi utajiri wa nchi badala ya kuhudumia umma wa nchi nzima. Amesema Balozi Waechter.

Pia Balozi Waechter ameongeza kwa kusema kuwa nimefurahishwa na Tanzania kuona umuhimu wa viwanda katika kujenga uchumi wa nchi ya Tanzania, kwani sio rahisi uwe mzalishaji wa malighafi alafu umtehgemee mtu mwingine anunue na nchi yako ipate faida. Nadhani ni uamuzi wa busara kabisa walioufanya Tanzania kuelekea katika nchi ya viwanda.

Nchi zote zilizoendelea kama Ujerumani zimefika hapo zilipo baada ya kufanya mageuzi ya hali ya juu katika suala zima la viwanda na tekinolojia, Ujerumani ipo tayari kushirikiana na Tanzania pale ambapo itahitajika katika kuendeleza juhudi za kufanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda,

Aidha mpaka sasa wapo wawekezaji kadhaa wa Ujerumani ambao wamewekeza katika masuala ya Uzalishaji cement Mfano ni kiwanda cha cement cha Tanga, Pia kuna mradi mkubwa wa kupeleka maji safi na salama katika Mji wa Kigoma ambapo maji yanatolewa katika ziwa Tanganyika kwa ajili ya matumizi ya watanzania,

Mahusiano ya Tanzania na Ujerumani ni mazuri sana na tunatarajia kuendelea kushirikiana katika masuala mbalimbali ya kijamii, kiuchumi, na kimaendeleo kwa faida ya nchi zetu mbili. Pamoja na hayo tunauhusiano wa muda mrefu sana kati ya Ujerumani na Tanzania mara tu baada ya uhuru wa Tanganyika hadi sasa.

Akielezea suala zima la nchi zote mbili kujifunza kutoka kwa mwenzake amesema Ujerumani inajifunza kitu kikubwa sana hapa Tanzania ambacho chimbuko lake ni Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere suala zima la Amani na Utulivu ambao mimi binafsi sijawahi kuuona sehemu yeyote ambayo nimeweza kuishi.

Wito wangu ni kuwa kwa kuwa mmeamua kuijenga Tanzania ya viwanda itategemea sana hali yenu ya amani na utulivu mlionao ambao sina shaka kwa kuwa ni mabingwa wa hali yote Barani Afrika na duniani nina hakika mtafanikiwa kutimiza azma yenu . Muungeni mkono Rais Dkt Magufuli mtafanikiwa.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya October 25

Video Mpya: Wizkid na Tiwa Savage - FEVER

$
0
0
Video ya wimbo mpya wa msanii maarufu wa Nigeria, Wizkid aliyomshirikisha msanii mwenzake mwanadada Tiwa Savage imezidi kuzua gumzo mtandaoni.

Wimbo huo unaokwenda kwa jina la 'Fever' uliachiwa rasmi Jumanne, Oktoba 23 katika mtandao wa Youtube, ambapo mpaka sasa ina watazamaji zaidi ya 435,000.

Pia kuvuma kwa video hiyo kumechangiwa na tetesi za hivi karibuni kuwa wawili hao wana mahusiano ya kimapenzi, jambo ambalo limewafanya wengi miongoni mwa mashabiki kuamini baada ya kuitazama.

==>>Itazame hapo chini

Kigogo UWT Kortini Kwa Kugushi Cheti cha Ndoa

$
0
0
Aliyekuwa  Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Wilaya ya Ilala, Norah Waziri maarufu kama Nora Mzeru jana alifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala akikabiliwa na shtaka la kughushi cheti cha ndoa.

Wakili wa serikali Mwandamizi, Ester Kyara alidai mbele ya Hakimu Mkazi, Flora Haule kuwa  katika siku isiyojulikana jijini Dar, es Salaam, kwa nia ya kudanganya, alighushi cheti cha ndoa chenye usajili namba 00040078 kwa nia ya kuonesha kuwa alifunga ndoa na marehemu Silvanus Mzeru Februari 4, 1995 katika kanisa la Roman Catholic la Mburahati wakati wakijua si kweli.

Hata hivyo, mshtakiwa huyo baada ya kusomewa shtaka lake hilo, alikana na ameachiwa huru baada ya kutimiza masharti ya dhamana.

Mahakama imemtaka mshtakiwa kuwa na wadhamini wawili wanaoaminika ambao watasaini bondi ya Sh 2milioni.  Kesi imeahirishwa hadi Novemba 21, mwaka huu.
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images