Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Polepole: Hakuna Uhuru Usiokuwa na Mipaka

$
0
0
Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi Humphrey Polepole, amesema kuwa hakuna uhuru usio na mipaka, hivyo basi wananchi wajiwekee mazoea ya kufuata taratibu zinazowekwa ili kuwaongoza.

Polepole ametoa kauli hiyo katika  uzinduzi wa Ripoti ya pili Twaweza kuhusiana na tafiti zake kuhusu maoni ya wananchi wa Tanzania kuhusu Ushiriki, Maandamano na Siasa kwa mwaka 2018, ambapo Polepole amesema kuwa hata yeye huwa hafanyi mikutano ya kisiasa kwa kuwa imezuiwa hivyo anavyotembelea mikoani hufanya vikao vya ndani.

“Duniani kote hata mbinguni hakuna uhuru holela, uhuru una mipaka yake, na ndio mana ukitaka kuoa au kuolewa lazima muwe jinsia tofauti ingawa zipo nyingine watu wanaoana Jinsia moja”, amesema Polepole.

Kulingana na ripoti ya Twaweza inadai kuwa uhuru wa kutoa maoni kwa wananchi umepungua tofauti na miaka mitatu iliyopita, huku msaada wa demokrasia ya wingi unaendelea kuwa na nguvu ambapo zaidi ya asilimia 84% wanapendekeza mfumo wa vyama vingi vya siasa.

Tunatibu Na Kuponesha Kabisa Upungufu Wa Nguvu Za Kiume, Maumbile Mdogo, Busha Bila Kupasua

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO : Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliohangaika sehemu mbalimbali bila mafanikio.

Mabula Clinic ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya jeshini. Je unaupungufu wa nguvu za kiume au uume wako mdogo na mwembamba? 

Mapro pawer no 2 ndio tiba, kwa sasa hutibu matatizo matatu kwa pamoja 1. itakufanya uchelewe kufika kileleni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2. Huimalisha misuli iliyolegea na kusinyaa hasa kwa wale walio athirika na upigaji punyeto 3. itakufanya upate hamu ya kurudia tendo zaidi ya mara tatu :Kwa nini ujione mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo 

Makakanua mix ni dawa iliyochanganywa na miti shamba 9 na kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 kwa urefu na unene sentimita 1-5, dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona

 Zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke kwa masaa matatu tu ,mvuto wa biashara, kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu.

Tunatibu ngiri, miguu, mgongo na kiuno kuumwa, kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa 

Tiba na ushauli muone Dr Mabula au piga simu no 0743362017.Huduma zangu utazipata popote ulipo kama uwezi kufika ofisini

Ombi hakimu kujitoa kesi vigogo Chadema kujulikana Julai 10

$
0
0
Hatma ya kujitoa ama kutojitoa kwa Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri anayesikiliza kesi ya viongozi 9 wa CHADEMA akiwemo Mwenyekiti Freeman Mbowe kujulikana July 10,2018.

Hatua ya kutaka kujitoa kwa hakimu huyo inatokana na viongozi hao wa CHADEMA kumkataa hakimu huyo kwamba hawana imani naye.

Uamuzi huo wa kujitoa ama kutojitoa, ulitarajiwa kutolewa leo na Hakimu Mashauri baada ya Wakili wa utetezi, Hekima Mwasipu kuieleza  Mahakama kuwa mawakili wenzake  hawapo.

Mwasipu ameeleza kuwa mawakili wanaoiendesha kesi hiyo, Jeremiah Mtobesya na Peter Kibatala hawapo mahakamani kwa sababu  wapo katika  kesi nyingine Mahakama Kuu, pia Paul Kaunda yupo mkoani Shinyanga ambapo pia anaishi.

Naye Wakili wa Serikali Mkuu, Faraja Nchimbi amedai kuwa wamesikia maelezo ya upande wa utetezi na kuongeza kuwa uamuzi huo kutolewa bila ya kuwepo kwa mawakili wa utetezi Kibatala na Mtobesya siyo busara.

Baada ya kusikiliza hoja za pande zote, hakimu Mashauri alikubaliana na Maelezo ya upande wa utetezi na kuiahirisha kesi hadi July 10,2018 ambapo atatoa uamuzi kama ajitoe ama asijitoe.

Mbali na Mbowe, washtakiwa wengine ni Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Vincent Mashinji, Mbunge wa Iringa Mjini Peter Msigwa, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salum Mwalimu na Naibu katibu Mkuu bara na Mbunge wa Kibamba, John Mnyika.

Pia wengine ni Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Mbunge wa Kawe Halima Mdee, Mbunge wa Bunda, Esther Bulaya na Mbunge wa Tarime mjini, Esther Matiko.

Inadaiwa kuwa washtakiwa walitenda makosa hayo February 16, mwaka huu katika maeneo ya Viwanja vya Buibui, Mwananyamala na barabara ya Kawawa Kinondoni Mkwajuni.

Wanadaiwa kuwa Februari 16,mwaka huu katika barabara ya Kawawa Kinondoni Mkwajuni washitakiwa hao wakiwa na wenzao 12 ambao hawapo mahakamani walikiuka tamko la kuwataka kutawanyika la Mrakibu Mwandamizi wa Polisi, Gerald Ngiichi kwa kugoma kutawanyika na kupelekea uvunjifu wa amani.

Inadaiwa kitendo cha kugoma kulisababisha hofu iliyochangia kifo cha Mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwiline na majeruhi kwa askari wawili ambao ni H.7856 PC Fikiri na E.6976 CPL Rahim Msangi.

Kesi ya Uhujumu Uchumi Inayomkabili Rugemalira na Seth Yapigwa Kalenda

$
0
0
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mmiliki wa IPTL, Harbinder Seth na mwenzake hadi July 19,2018 kwa sababu upelelezi haujakamilika.

Wakili wa serikali Mwandamizi, Mutalemwa Kishenyi amemueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi kwamba shauri hilo limeitishwa kwa ajili ya kutajwa na upelelezi haujakamilika.

Hata hivyo, wakili wa utetezi Hajra Mungulla aliuomba upande wa mashtaka uharakishe upelelezi.

Kutokana na hatua hiyo, Hakimu Shaidi ameahirisha kesi hiyo hadi July 19,2018.

Mbali na Seth mshtakiwa mwingine katika kesi hiyo ni mfanyabiashara James Rugemalira ambao kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka 12 ya uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya Shilingi Bilioni 300.

Dawa Za Nguvu Za Kiume Na Kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa

$
0
0
Asilimia 45-80 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vyema wake au wapenz wao na kuwasababishia kutoka nje ya mahusiano yao. 

NINI CHANZO CHA HAYO? Kupiga punyeto,Ngiri, Vidonda vya tumbo, Korodani moja kuvimba, Msongo wa mawazo, Presha, Magonjwa ya zinaa, Kufanyiwa tohara ukiwa na umri mkubwa, Kisukari. 

DR. LUTAJA Sasa anakuletea tiba sahihi ya tatizo la Nguvu za kiume. 

NTOMBO :Hii hutibu na kuponya kabisa tatizo la Nguvu za kiume, utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kafika kileleni kwa mda wa dk 20-45. Dawa hii imechanganywa na miti 18,Hata wazee wenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 85 wanapona kabisa okoa mahusiano yako, ndoa yako sasa. 

SUNGURURU MIX:Ndio tiba sahihi kwa wale wenye maumbile madogo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo nchi 3-8 na unene cm 2-5,dawa hii ipo katika mfumo wakupaka nakunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji :Hii ni tiba tofauti kabisa nazile ambazo umekwisha wahi kutumia. 

Pia tunadawa za Kupandisha nyota , Uzazi, Pumu, Malaria sugu, miguu kuwaka moto, Kaswende, Kisonono pamoja na mvuto wa mpenzi.

 DR. LUTAJA ANAPATIKANA DAR-ES-SAALAM Simu 0713-821823 kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote ulipo.

Tume Ya Uchaguzi Yamuaga Aliyekuwa Mkurugenzi Wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani

$
0
0
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage (kulia) akimkabidhi ua aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani ikiwa ni ishara ya kumuaga na kumtakia kila la kheri katika kutekeleza majukumu ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage (kulia) akimkabidhi ua aliyekuwa Mkurugenzi wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani ikiwa ni ishara ya kumuaga na kumtakia kila la kheri katika kutekeleza majukumu ya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.Kushoto ni Mkurugenzi mpya wa Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia.

Kangi Lugola Na Mhandisi Isaac Kamwelwe Watembelea Eneo La Ajali Na Majeruhi Wa Ajali Iliyotokea Katika Eneo La Mlima Iwambi Jijini Mbeya

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia), akimjulia hali mmoja wa majeruhi  aliyelazwa katika Hospitali ya Rufaa Ifisi, ajali hiyo iliyotokea hivi karibuni, katika eneo la Mlima Iwambi,jijini Mbeya.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isaac  Kamwelwe (kushoto),na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (katikati), wakimjulia hali mmoja wa majeruhi aliyelazwa katika Hospitali Teule ya  Mbalizi, ajali hiyo iliyotokea hivi karibuni, katika eneo la Mlima Iwambi,jijini Mbeya
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akizungumza na wananchi katika eneo la Mlima Iwambi,jijini Mbeya, ambako hivi karibuni kumetokea ajali iliyosababisha vifo na majeruhi

Steve Nyerere Amtaka Muna Aache Utoto, Apeleke Msiba Kwa Baba Yake Halali

$
0
0
Kufuatia  sintofahamu kuhusu nani ni baba halisi wa mtoto wa Muna na wapi msiba upelekwe, muigizaji Bongo Movies ambaye pia ni kiongozi wa tasnia hiyo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amemvaa mama wa mtoto huyo (Muna) na kumwambia aache kuwayumbisha watu badala yake aungane na mume wake wa ndoa (Petere Zacharia) ili kusitiri mtoto wao kwa heshima kuliko kuwafaidisha watu kwa mameneno na mifarakano yao mitandaoni.
 
Steve Nyerere ametumia ukurasa wake wa instagram kumuonya Muna aachane na mitandao ya jamii na amalizane kwanza na kipindi hiki cha masikitiko.

“Muna muna muna muna muna naomba unisikilize popote ulipo ,Huu muda si wakufukua makaburi , Wewe muna kwangu ni mama bora ulimpenda mwanao ulisimama na mwanao mpaka kipindi cha mwisho MUNGU akupe nguvu muna.”

“Muna embu kaaa tena chini jifikilie ulitumia nguvu akili na maarifa yako yote na WATANZANIA wakatokea kukusapoti kwa namna moja ama nyingine kila mtu ameguswa na msiba wa mwanao .ndani ya mnchi na mnje ya mnchi,” Steve Nyerere

“Basi nakuomba Muna tumia busara sana weka utoto pembeni,Mweke shetani pembeni shilikiano na MUME wako wa NDOA kumpumzisha mtoto wenu,Matatizo yenu wekeni kando kipindi hiki kigumu Muna msiwape watu faida Muna” Steve Nyerere

“Naimani umeokoka basi kwenye hili kuwa na HOFU na MUNGU,sizani Muna kama aya tunayo yasoma mara mtoto wa huyu mara wa huyu,mara niliolewa nikiwa na mimba kama yanakujenga .bali nazani yanabomoa heshima yako.Dada nakuomba Fumba macho hili lipite nazani ata Patrick uko alipo analia kuona mfarakano huuuu. Msimtese mtoto uko alipo tumieni busara sana”

“Baada ya maziko ayo mambo yenu mtaendelea nayo kwa sasa ushauri wangu ungana na family muweze kumpa heshima mtoto wenu inayo mmstahili. Washauri wa muna nawaomba unganeni na family ya peter kumpa heshima mtoto wenu inayo mmstahili sisi wangine tupo pande zote ila atupendezwi na haya tunayo yaona nilizani ni muda muafaka wote kukusanyika mwananyamala kwa piter kuhakikisha tunampumzisha kijana wetu asante”


Kangi Lugola amevunja Baraza la Taifa la Usalama Barabarani

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amelivunja Baraza la Taifa la Usalama Barabarani na mabaraza yote ya ngazi ya mkoa.

Ametangaza uamuzi huo leo Julai 5, 2018 jijini Mbeya alipozungumza na kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa wa Mbeya na baraza la usalama barabarani mkoani humo.

Lugola amesema hajaridhishwa na utendaji wa baraza katika kukabiliana na ajali za barabarani.

"Nilikuwa namuuliza mwenyekiti wa baraza la usalama barabarani nikabaini hajui hata sheria inayoliweka baraza hilo na hata kanuni zake hazijui, hii inaonyesha hatuna baraza na kuanzia sasa kwa mamlaka niliyonayo nalivunja baraza hili na nitaliunda upya," amesema Lugola.

Amesema kutokana na ajali za barabarani, amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro kutekeleza  hatua saba za kimkakati ili kukomesha ajali hizo.

Wakati huohuo, Waziri wa Uchukuzi, Ujenzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe amemuagiza katibu mkuu wa wizara hiyo kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara mbadala ya kutoka Iyunga hadi Mbalizi kuepusha ajali zinazotokea eneo la mteremko wa mlima Iwambi.

Pia, ameagiza Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) kuhakikisha unasimamia ujenzi ukamilike ndani ya mwezi mmoja.

Kamwelwe ametoa agizo alipozungumza na wananchi wa Mji wa Mbalizi akiwa ameambatana na Lugola.

Mawaziri hao wametembelea eneo la ajali iliyosababisha vifo vya watu 20 katika mteremko wa mlima Iwambi ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais John Magufuli kwamba ajali za barabarani zidhibitiwe.

Kamwelwe ameagiza barabara ya Iyunga hadi Mbalizi yenye urefu wa kilomita sita ijengwe haraka iwezekanavyo.

“Tanroads hakikisheni ujenzi huu unasimamiwa kwa umakini ukamilike kwa muda muafaka na uanze kuanzia mwezi huu," amesema.

Lugola amesema hatakubali kuwa wa kwanza kunyooshewa kidole na Rais kwa uzembe wa watu wenye mamlaka ya kusimamia sheria na kanuni za barabarani.

Mawaziri hao leo asubuhi walikwenda Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya na Hospitali Teule ya Ifisi wilayani Mbeya kuwatembelea na kuwajulia hali majeruhi wa ajali hiyo.

Baada ya Kikao Kizito, Hatimaye Muna Akubali Kupeleka Msiba kwa Peter

$
0
0
Kufuatia  sintofahamu kuhusu nani ni baba halisi wa mtoto wa Muna na wapi msiba upelekwe, muigizaji Bongo Movies ambaye pia ni kiongozi wa tasnia hiyo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’  aliyeshiriki kupata ufumbuzi wa suala hilo, amesema hatimaye (Muna) mama wa mtoto marehemu Patrick, amekubali msiba upelekwe kwa baba wa marehemu ambaye ni  Peter Zacharia maeneo ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, ‘Nyerere’ amesema amezungumza na Muna na kufikia maridhio hayo kwa pande zote za wazazi wa mtoto huyo.

Hayo yamejiri ikiwa ni baada ya kikao cha muda mrefu kati ndugu wa familia ya Muna na Peter kumsihi Muna ili waungane na baba wa mtoto huyo kufanikisha shughuli ya kumsitiri pamoja Patrick.

Mbali na Steve Nyerere, wasanii wengine waliokuwepo ni Shamsa Ford, huku Wema na mama yake wao walifika jana na kusema wasingeweza kwenda Mbezi kwa Muna kwani wanamfahamu Peter ndiye baba wa mtoto huyo.


Nape Kawaonya wanaomzushia kufukuzwa uanachama...."Watapata Tabu Sana Wanuka Maziwa"

$
0
0
Mbunge wa Jimbo la Mtama, Mh. Nape Nnauye amesema kwamba wanaomzushia kwamba amesimamiswa uanachama wa Chama Cha Mapinzduzi watapata tabu sana.

Kauli hiyo ya Nape imekuja baada ya kusambaa taarifa katika mitandao ya kijamii kwamba barua ya Mbunge huyo kusimamishwa uanachama wa Chama chake imekwishamfikia mkononi.

"Kwa uzushi huu watapata tabu sana wanuka maziwa, ndio shida ya kudandia treni kwa mbele, unawakuta wenyeji unakuwa Mwenyezi kuliko" Nape Nnauye.

Mwenyekiti wa CCM ambaye pia ni Rais wa Nchi John Pombe Magufulia mapema wiki hii alionyeshwa kuchukizwa na wabunge wanaotokea mikoa ya Lindi na Mtwara kutokana na michango yao bungeni kwenye suala la korosho ambapo baadhi ya wabunge wa CCM kutokea mikoa hiyo waliitaka serikali iwalipe wakulima pesa ambazo wanadai ili waweze kuendeleza zao hilo.

Hivi karibuni Katibu wa Itikadi, Mawasiliano na Uenezi ACT Wazalendo, Ado Shaibu alidai kwamba hakuna mwanaharakati anayeweza kulitetea Taifa akiwa chini ya Chama tawala hivyo kuwahimiza Nape, Bashe na Hawa Ghasia kuwa kama wana nia ya dhati ya kuwatetea wanyonge wahamie ACT-Wazalendo.


Polepole akanusha CCM Kumwandikia Barua Nape Nnauye

$
0
0
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole amekanusha taarifa za chama hicho kumpa barua ya onyo mbunge wa Mtama, Nape Nnauye.

Akizungumza leo Alhamisi Julai 5, 2018 Polepole amesema mbunge huyo wa CCM hajapewa barua ya onyo, kwamba chama hicho tawala kina taratibu zake.

Taarifa za Nape kupewa barua hiyo zimesambaa mitandaoni huku mwenyewe akikanusha kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter.

Taarifa hizo zilitiwa chumvi zaidi baada ya kuhusishwa na msimamo wa Nape katika suala la Korosho lililoibuka katika Bunge la Bajeti.

Katika mkutano huo wa Bunge, Nape na wabunge wenzake kutoka mikoa ya Kusini walipinga uamuzi wa Serikali wa kubadilisha Sheria ya Korosho, ikiwa ni pamoja na fedha za ushuru wa korosho kwenda katika mfuko mkuu wa Hazina.

Akizungumza baada ya uwasilishwaji wa ripoti ya taasisi ya Twaweza jijini Dar es Salaam, Polepole amesema chama hicho tawala kina utaratibu wa vikao linapotokea tatizo la mwanachama wake.

Tanzania, Kenya Zasaini Makubaliano Ya Kibiashara

$
0
0
Tanzania na Kenya zimesaini makubaliano ya uwekezaji kurahisisha shughuli za kibiashara zinazofanywa katika nchi hizo.

Akizungumza mara baada ya kusaini makubaliano hayo leo Alhamisi Julai 5, Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara, Profesa Elisante Ole Gabriel amesema, makubaliano hayo yatasaidia kufungua fursa za uwekezaji kwenye biashara na kukuza uchum wan chi hizo mbili.

Amesema kutokana na hali hiyo, Watanzania wanaruhusiwa kuchangamkia fursa za kibiashara zilizopo Kenya na Wakenya wanaruhusiwa kuangalia fursa kama hizo zilizopo Tanzani.

“Tumesaini makubaliano ya kibiashara kati ya Tanzania na Kenya ili kufungua fursa za uwekezaji kwa wafanyabiashara wa nchi hizo mbili, jambo ambalo linaweza kukuza uchumi wa nchi na kuongeza ajira,” amesema Profesa Ole Gabriel.

Aidha, amesema hadi mwaka jana, Wakenya waliwekeza kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo zaidi ya 507 kutoka 400 yenye thamani ya zaidi ya Dola za Marekani bilioni 1.66, kwa miaka iliyopita, jambo ambalo limechangia kukuza uchumi.

Pamoja na mambo mengine, amesema mkakati wa serikali ni kuhakikisha wanafungua Kituo Kimoja cha Kibiashara (One Stop Centre) ili kurahisisha shughuli za uwekezaji.

CUF Yatangaza Mgomo Zanzibar

$
0
0
Chama cha Wananchi (CUF) , kimesema hakitashiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la Jang'ombe ambao unatarajiwa kufanyika Octoba 27 mwaka huu huku baadhi ya vyama vimesema vitashiriki vikiwemo vya CCM, Ada, TADEA, ADC, na AFP.

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa CUF, Salum Abdallah Bimani amesema kuwa chama hicho hakitoshiriki uchaguzi huo kutokana na kutoridhishwa na kitendo cha Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar  (ZEC), kufuta matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Octoba 25 mwaka 2015.

 “Kufuatia uamuzi huo wa ZEC, Chama cha Wananchi, hakina imani na uchaguzi wowote wa Uwakilishi au Udiwani utakaofanyika Visiwani Zanzibar na wafuasi wa chama chetu hasa wale wa jimbo la Jang'ombe hawatoshiriki katika uchaguzi huo”, amesema Bimani.

Aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Jangombe kupitia Chama cha Mapinduzi, Abdallah Diwani alifukuzwa uanachama Mei 29 mwaka huu na kupoteza nafasi ya Uwakilishi katika jimbo hilo na ndipo Tume ya Uchaguzi kuamuru kufanyika uchaguzi mdogo ili kuziba nafasi hiyo.

Watanzania wataka Upinzani waruhusiwe kufanya mkutano ya hadhara

$
0
0
Utafiti wa taasisi ya 'Twaweza Ni Sisi' uliotolewa leo umeonyesha kuwa Watanzania asilimia 64 ya  wanataka vyama vya upinzani viruhusiwe kufanya mkutano ya hadhara jambo ambalo ni tofauti ukilinganisha na asilimia 51 ya mwaka 2016. 
 
Ripoti hiyo iliyotolewa leo jijini Dar es salaam imeonyesha watu watano kati ya 10 wanapinga katazo la mikutano hiyo sawa na asilimia 48 huku watu wanne kati ya 10 wakiunga mkono.

Ripoti hiyo imesema kwamba suala la uwajibishwaji utafiti huo uliofanywa na Twaweza ni Sisi unaonyesha asilimia 59 ya Wananchi wanataka Rais awajibishwe na Bunge kutoa maelezo ya matumizi ya fedha za walipa kodi.

“Asilimia 78 ya wananchi wanataka Rais aheshimu sheria na matumizi ya mahakama," umesema utafiti.

Aidha katika utafiti huo umeonyesha kushuka kwa uungwaji mkono wa CCM vijijini ikiwa na maana kwamba uungwaji vijijini ni 59% na mijini 56%.

Polepole: “Sishangai kutokubalika kwa Rais Magufuli”

$
0
0
Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole amesema kuwa hashangazwi na watanzania wanaopinga jitihada za Rais Magufuli kwani hakuna maendeleo yasiyopitia changamoto.
 
Akizungumza katika katika  uzinduzi wa ripoti ya pili Twaweza kuhusiana na hali ya siasa nchini Polepole amesema kuwa maneno hayo ni watu wasio na nia ya kumuunga mkono Rais katika muhtasari wa maendeleo ya nchi.

“Sishangai kukubalika kwa Rais kushuka kwani hata kwenye ndoa kuna ‘honeymoon phase’ maendeleo si kitu cha kimiujiza, tunashughulikia maji, umeme, kilimo, miundimbinu’’, amesema Polepole.

Aidha Polepole ameongeza kuwa tafti zinazokuwa zinafanyika bora zilenge zaidi katika kutokomeza umasikini, kupambana na rushwa na kubuni miradi ya maendeleo ili kuunga mkono maendeleo ya taifa.

Spika Ndugai Aongoza Waheshimiwa Wabunge Katika Mazishi Ya Aliyekuwa Mbunge Wa Korogwe Vijijini Mhe. Stephen Ngonyani 'Majimarefu'

$
0
0
Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai akiweka udongo katika mwili      wa aliyekuwa Mbunge wa Korogwe Vijijini Marehemu Stephen Hillary Ngonyani katika mazishi yaliyofanyika leo kijijini kwake Kwamndolwa Wilayani Korogwe Jijini Tanga.

Spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai akizungumza wakati wa wa mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Korogwe Vijijini Marehemu Stephen Hillary Ngonyani yaliyofanyika leo nyumbani kwake Korogwe Jijini Tanga. kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, kazi, Vijana na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama na Kushoto ni Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakari Zuberi
Mawaziri, Manaibu Waziri, Waheshimiwa Wabunge na Viongozi mbalimbali wa Kitaifa wakiwa katika mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Korogwe Vijijini Marehemu Stephen Hillary Ngonyani yaliyofanyika leo kijijini kwake Kwamndolwa Wilayani Korogwe Jijini Tanga.

Kangi Lugola Arejea Jijini Dar Es Salaam Afanya Mazungumzo Na Kamishna Jenerali Wa Jeshi La Zimamoto Na Uokoaji

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akizungumza na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye (kushoto) baada ya kurejea kutoka jijini Mbeya kwa ziara ya kikazi. Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam,walijadiliana  mambo mbalimbali yanayolihusu jeshi hilo

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye, akijadiliana  mambo mbalimbali yanayolihusu jeshi hilo na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola. Kikao hicho kimefanyika leo jijini Dar es Salaam baada ya Waziri Lugola kurejea kutoka jijini Mbeya

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya July 6

Bingwa Wa Magonjwa Yote Sugu Yanayosumbua Kama Vile Pumu, Vidonda Vya Tumbo, Busha, Nguvu Za Kiume, Kisukari,

$
0
0
BABU MADUHU NI BINGWA WA MAGONJWA YOTE SUGU YANAYOSUMBUA KAMA VILE PUMU, VIDONDA VYA TUMBO, BUSHA, NGUVU ZA KIUME, KISUKARI, MIVUTO YOTE, KUSAFISHA NYOTA, KURUDISHA MALI, NK.

Tatizo la upungufu ukosefu wa nguvu za kiume, maumbile madogo ya uume limekuwa kubwa kwa lika zote hapa duniani

Matatizo hayo sio mageni kigeni ni ile tiba sahihi yakutibu na kuponya haya.chanzo cha hayo matatizo ni:

KISUKARI, NGIRI,CHANGO, TUMBO KUUNGURUMA NA KUJAA GESI, KIUNO KUUMA, MAUMIVU YA MGONGO,MAGONJWA YA ZINAA, KORODANI KUVIMBANAKUUMA,VIDONDA VYA TUMBO, NK.

Tiba sahihi nabora ya tatizo la nguvu zakiume ni NYASOSE MIX, Nidawa ya vidonge asilia vilivyotengenezwa kwa kiwango bora na salama kwa ajili yakutibu mojakwamoja tatizo la nguvu za kiume maradufu

1. MKEBE NO.1 Hutibu nguvu za kiume mda mfupi sana kati ya umri wa miaka 18-85 naitakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dk 20 hadi 40 tendo la kwanza bila kuchoka naitakufanya uwe na hamu ya kuendelea na tendo la ndoa zaidi ya mara 5 bila hamu kuisha.

MHESHA POWER
MKEBE NO 2 ni dawa ya kuboresha maumbile ya kiume kwa kunenepesha na kurefusha kwa saizi uipendayo inchi 6,7 hadi 8 kwa mda mfupi sana.dawa hizi huanza kufanya kazi kwa mda wa dk 67 ukisha tumia guarantee miaka 55 ikishakutibu.

Pia tunatibu,

KISUKARI, PRESHA, UZAZI, NGIRI, PUMU,MALARIA SUGU, VIDONDA VYA TUMBO, CHANGO AINA ZOTE, BP, BUSHA BILA UPASUAJI NK.

ITINYA,
Nidawa ya mvuto wa biashara,kazi,hupandisha cheo humfanya mfanyakazi apendwe na mwajiri wake, humvuta mme,mke,hawara,mchumba,unaemhitaji au hakutaki hatimizi ahadi zako kwa dhati utampata kwa mda wa dk 45 tu naatatulia milele nakumfunga asitoke inje ya ndoa pia ana pete za bahati ambazo zimetajilisha wengi.

SUPER POWER,
Nidawa ya yakupunguza matiti,unene tumbo,kitambi kwa akina baba,hutoa mafuta mabaya mwilini,makovu sehemu mbalimbali mwilini,chunusi sugu,minyama uzembe,michirizi mwilini,nakuongeza makalio hips,mguu wa bia nk.

BABU MADUHU ANAPATIKANA MAGOMENI MOROCCO HOTEL/KANISANI

SIMU NO 0652 102 152/0755 684 297/0788 330 105.

HUDUMA HII UNAWEZA KUIPATA/KULETEWA MAHALI POPOTE NCHINI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images