Mwaka jana mwezi wa tisa nikiwa na rafiki zangu mara baada ya kumaliza mitihani tuliamua kwenda kujirusha.
Tulikubaliana twende tukakae pahali patulivu tukiwa sisi kama sisi yaaani mimi, evelyne, Trice na shakira.
Baada
ya kufika bar mwenzetu Trice akadai rafiki yake wa kiume angependa kuja
pale, tukabishana sana kuwa mbona huu ulikuwa mtoko wa sie peke yetu?
Lakini baadae tukaamua
Huyu dada anahitaji msaada wako wa USHAURI kutokana na unyama aliotendewa na rafiki yake... Karibuni wadau
↧
↧
Watoto Wamchinja Kikatili Mpenzi wa Mama yao na kuutupa Mwili wake Porini
NDUGU wawili wa kiume wa familia moja
wilayani Mlele mkoa wa Katavi, wanatuhumiwa kumuua mpenzi wa mama yao
kwa kumchinja, kisha kutelekeza mwili wake porini.
Wakazi hao ambao mmoja ni mtoto mwenye
umri wa miaka 16 ni wakazi wa Kitongoji cha Milumba Kata ya Kibaoni na
aliyeuawa ni Kitungulu Luhende (65).
Inadaiwa mama yao, Sai Mponje (65) ambaye
ni mjane anayeshikiliwa na polisi
↧
CHADEMA yaanza mchakato wa kumtafuta Mpinzani wa Ridhiwani Kikwete katika Jimbo la Chalinze.
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeanza mchakato wa
kutafuta mgombea wa kuwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Chalinze,
ambapo jana fomu za kuwania nafasi hiyo kupitia chama hicho zilianza
kutolewa.
Tayari Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilishaanza mchakato wa kutafutia
mgombea wa kuwania nafasi hiyo, ambapo Ridhiwani Kikwete, alishinda kura
ya maoni ya wanachama wa
↧
Vurugu zaibuka BUNGENI na kupelekea Mwenyekiti wa Muda kuahirisha kikao cha bunge hadi saa kumi jioni
Semina ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba leo imelazimika kuahairishwa baada ya kuibuka vurugu ndani ya ukumbi wa Bunge.
Zogo
hilo liliumuka baada ya kuibuka kwa mvutano baina ya wajumbe
uliosababishwa na kutuhumiana kwamba zipo dalili za upendeleo
wanazofanyiwa baadhi ya wajumbe kutokana na sababu za kiitikadi za
vyama.
Hali
hiyo ya hewa ilichafuka baada ya
↧
Madaktari na wauguzi wasitisha kutoa huduma kwa wagonjwa baada ya Hospitali kukumbwa na mafuriko jijini Dar
Huu
ni mtaro wa kupitisha maji taka ambao umepita katikati ya Hospitali ya
Palestina ambapo ulifumuka na kusababisha kusambaa kwa maji machafu
katika kila kona ya hospitali hiyo.
Mmoja wa wagonjwa akiwa anangojea kupata huduma baada ya mvua hiyo kubwa kuisha.
Haya ni maji machafu ambayo yametapakaa kila sehemu ya hospitali.
Kushoto
ni mgonjwa akiwa amelala juu ya benchi
↧
↧
Hizi ni nafasi mpya za kazi toka Access Bank....Work Experience haihitajiki, Mwisho wa kuomba ni tarehe 11 mwezi huu
AccessBank Tanzania is a full commercial
bank providing micro, small and medium-sized enterprises (MSMEs) with a
broad range of appropriate financial services. Established in 2007, the
bank is owned by a multinational shareholder group and member of an
emerging global network of commercial microfinance banks (the “Access
Group”) with headquarters in Berlin/Germany.As one of the
↧
Majibu ya vipimo vya DNA yahatarisha ndoa jijini Mbeya.....Asilimia 40 ya wanaume waliopima wamebaini kuwa watoto waliozaa na wake zao si wao
ASILIMIA 40 ya Wanaume waliopima vinasaba ili kubaini uhusiano wa
kibaiolojia na watoto wanaowalea, wamebainika kuwa watoto hao si wao
licha ya kuzaliwa na wake zao au wapenzi wao.
Taarifa hiyo
imetolewa na Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali kutokana na wanaume
waliotaka kufahamu ukweli kuhusu watoto wao hadi Januari mwaka huu kwa
mujibu wa Sheria ya Vinasaba vya Binadamu namba 8 ya
↧
Jeshi la polisi Mkoani Dodoma lawakamata MAKAHABA 15 waliokuwa wakijiuza mitaa ya Uhindini.....Tazama majina yao hapa
Na Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi
la Polisi Mkoa wa Dodoma limeendelea kufanya msako katika maeneo
mbalimbali na kufanikiwa kuwakamata wanawake wapatao 15 wanaojihusisha
na biashara haramu ya kuuza miili yao kutoka mikoa mbalimbali nchini.
Msako huo ulifanyika tarehe 05/02/2014 majira ya 21:00hrs katika mitaa
ya uhindini na Air Port.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa
↧
Ajali yaua, magari yakwama kwa saa tatu barabara ya Dar- Moro
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 14
kujeruhiwa baada ya basi dogo kugongana uso kwa uso na lori katika eneo
la Bwawani Barabara ya Chalinze - Morogoro.
Ajali hiyo ilitokea jana saa 4.30 asubuhi baada ya
basi hilo aina ya Toyota Coaster lililokuwa likitokea Dar es Salaam
kwenda Ifakara kugongana na lori la mafuta lililokuwa likitoka Morogoro
kuelekea Chalinze.
Kamanda wa
↧
↧
Mvua yazua balaa jijini Dar.....
Dereva
wa Bodaboda, akiwa na abiria wake, wakinyanyua miguu kukwepa kulowa na
maji ya mvua yaliyofurika kwenye barabara ya Mbozi, Chang'ombe jijini
Dar es Salaam jana. Mvua ya siku mbili tu tayari imeanza kuleta
kasheshe, si kwa wenye magari pia wenye bodaboda, watembea kwa miguu.
Mto Msimbazi ukionekana Alhamisi Machi 6, 2014 baada ya mvua ya siku mbili jijini Dar es Salaam
↧
Atupwa Jela mwaka mmoja kwa kosa la kutumia jina la Nape Nnauye kutapeli
MAHAKAMA ya Wilaya ya Geita imemhukumu Selemani Nkwenda (36) kwenda
jela mwaka mmoja baada ya kumtia hatiani kwa kutapeli watu kwa kutumia
jina la Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape
Nnauye.
Akisoma hukumu hiyo jana, Hakimu wa mahakama hiyo, Zablon Kesase,
alisema ameridhika pasipo shaka kwamba mtuhumiwa alitenda kosa hilo.
Alisema mtuhumiwa huyo
↧
Nyumba yateketea kwa Moto wilayani Misungwi mkoani Mwanza. ....Chanzo ni Jiko la Gesi
Moto
huo unaotajwa chanzo chake kusababishwa na jiko la gesi ulilipuka na
kuiteketeza kabisa nyumba hiyo ikiwa na furniture zake.
Huku
baadhi yao wakiwa wamejitosa kufanya uokoji wa mali, wananchi wengine
kama kawaida yao walikimbilia eneo la ajali kushuhudia moto huo
uliokuwa ukivuma kuashiria hatari na eneo hilo si salama.
Moto ukipamba moto
↧
Wananchi wakatishwa tamaa na Bunge La Katiba
Wananchi
kadhaa wameeleza kusikitishwa na mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba,
huku wakimtaka Rais Jakaya Kikwete aikemee hali hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.
Hellen-Kijo Bisimba, amesema, ni aibu kwa kinachoendelea katika bunge
hilo.
“Leo (jana) niliacha kazi zangu na kujipa muda wa kuangalia shughuli ya
hilo bunge na kwa kweli
↧
↧
Shilole na Nuhu Mziwanda waanika uhusiano wao, wasema wana mpango wa kufunga ndoa
Wasanii wa muziki Shilole na Nuhu Mziwanda wameamua kuweka wazi uhusiano
wao wa kimapenzi na kudai kuwa wapo tayari kufunga ndoa.
Wakizungumza na U
heard ya XXL, Clouds FM juzi,Shilole na Nuhu wamesema wanapendana sana na
wamekuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa zaidi ya miezi mitatu sasa.
“Tunajipanga mambo fulani yakae sawa pamoja na mke.Ki
kweli tuna kama miezi miwili
↧
Nicki Minaj atupia picha mtandaoni akiwa mtupu bafuni akioga
↧
Kampuni ya kumuenzi marehemu Steven Kanumba kuzinduliwa April 7 mwaka huu jijini Dar
Uzinduzi wa taasisi ya marehemu Steven Kanumba ijulikanayo kwa
jina la Kanumba The Great Foundation utafanyika Aprili 7 kwenye ukumbi
maarufu wa Dar Live uliopo Mbagala, jijini.
Uzinduzi huo utaenda sambamba na maadhimisho ya miaka miwili
tokea kufariki kwa marehemu Kanumba ambaye alifariki dunia Aprili 7.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mama mzazi wa
↧
Kampeni za CCM jimbo la Kalenga zazidi kupamba moto....
Mgombea
kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mdogo jimbo la Kalenga, Iringa
Vijijini, Godfrey Mgimwa (wapili kushoto), Mwenyekiti wa CCM mkoa wa
Iringa Jesca Msambatavangu na Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Bara Mwigulu
Nchemba, wakiserebuka na wananchi baada ya kuwasili katika Kijiji ya
Kibebe Kata ya Ulanda kwa ajili ya mkutano wa kampeni, jana.
Mgombea
kwa tiketi ya CCM katika
↧
↧
ITV, Star TV na Radio Free Africa vyapewa onyo kali na TCRA leo...
Leo March 07 Kamati ya maudhui ilikua na kikao cha kusoma uamuzi dhidi
ya vituo vilivyokiuka kanuni za utangazaji. Akisoma uamuzi huo mbele ya
waandishi wa Habari, Mwenyekiti wa Kamati maudhui ya Tcra mama Magreth
Mnyagi amevigusia vituo vitatu vilivyokiuka kanuni hizo.
Vituo vilivyopewa onyo hilo ni vituo vinavyomilikiwa na Ipp pamoja na
Sahara Media ambayo kwa Ipp onyo limepewa kituo
↧
Kiongozi wa UVCCM afunga tawi la CHADEMA Lushoto na kupandisha bendera ya CCM
Mjumbe
wa Baraza Kuu la Taifa la Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha
Mapinduzi (UVCCM) kutoka Mkoa wa Tanga Ndugu Husna Mbwambo Sekiboko
amefunga tawi la Chadema katika Kijiji Cha Lukozi na kupandisha Bendera
ya Chama Cha Mapinduzi kutangaza Ufalme mpya wa Chama hicho cha siasa.
Tukio
hilo limetokea jana tarehe 6th March 2014 katika kijiji cha Lukozi,
wilaya ya Lushoto Mkoa
↧
Wahamiaji haramu 46 toka Ethiopia wakamatwa na jeshi la Polisi mkoani Iringa wakiwa katika matenga ya nyanya ndani ya Lori
Wahamiaji
Haramu hao walikamatwa juzi katika kitongoji cha Gezaurole katika kata
ya Ruaha Mbuyuni tarafa ya Mahenge wakati jeshi la polisi likiwa katika
doria ya kawaida na kulitilia mashaka gari hilo lililokuwa limebeba
matenga ya Nyanya.
Kiongozi
wa Wahamiaji Haramu,akiwagawia wenzake mikate ilionunuliwa na
wanahabari waliokuwepo kwenye tukio hilo kwa kushirikiana na Jeshi la
↧
More Pages to Explore .....