Mtu mmoja amekufa papo hapo na wengine 22 kujeruhiwa vibaya baada ya
basi la kampuni ya saibaba walilokuwa wakisafiria kutoka jijini Dar es
salaam kwenda Kyela mkoani Mbeya kupinduka katika kijiji cha Mwambegele
wilayani Rungwe.
Safari ya basi la kampuni ya Saibaba lenye namba za
usajili T 973 AVW kutoka jijini Dar es Salaam kwenda wilayani Kyela
imeishia kwenye kona kali ya
Basi la Saibaba laua mmoja na kujeruhi vibaya watu 22
↧
↧
Msajili wa vyama aingilia kati sakata la kutekwa kwa Padri huko Kalenga mkoani Iringa
Ofisi
ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, imeingilia kati sakata la kutekwa
na kujeruhiwa kwa Paroko wa Kanisa la Orthodox, Parokia ya Mtakatifu
Basili Mkuu, Jimbo la Kalenga mkoani Iringa, Padri Costantino Mbilinyi
(36), ikisema kulifumbia macho ni kuruhusu matukio ya uvunjifu wa amani
na ukiukwaji wa sheria za uchaguzi.
Msajili Msaidizi, Sisty Nyahoza, akizungumza na waandishi wa
↧
Dayna awataka wasanii Chipukizi wasogope kutongozwa.....
Staa wa wimbo wa Mafungu ya Nyanya, Mwanaisha Said ‘Dyana’ amewataka
wasanii wa kike chipukizi kuacha kuogopa kutongozwa kwani uamuzi
unabaki kuwa kwao.
“Namshukuru Mungu mpaka hapa nilipofikia. Vikwanzo ni vingi
hususan kwa waimbaji wa kike lakini nawashangaa wale ambao wanakata
tamaa ya kuendelea kuimba kisa kutongozwa. Wasiogope,” alisema Dayna
ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wa
↧
Simba Yapigwa faini kwa kuendekeza vitendo vinavyoashiria ushirikina ( Uchawi )
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeipiga faini ya jumla ya
sh. milioni moja klabu ya Simba kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo
vitendo vinavyoashiria ushirikina uwanjani.
Simba ilifanya vitendo hivyo katika mechi yake dhidi ya Mbeya City
ambapo imepigwa faini ya sh. 500,000. Pia imepigwa faini nyingine ya sh.
500,000 kwa makocha wake Loga, Selemani Matola na Idd Pazi kuingia
↧
African Magic Viewers' Choice Awards kutolewa leo (March 8) jijini Lagos Nigeria, Siri ya Mtungi inawania vipengele 7
Moja kati ya tuzo kubwa zenye heshima Afrika zinazojulikana kama
African Magic Viewers’ Choice Awards zinazoandaliwa na Multichoice
Africa na Amstel Malta zitafanyika leo (March 8) jijini Lagos Nigeria na
kuwakutanisha vinara wa filamu barani Africa.
Tamthilia maarufu ya Tanzania ‘Siri ya Mtungi’ inawania tuzo hizo
katika vipengele 7 ambavyo ni muigizaji bora kwenye drama
↧
↧
Mainda alikumbuka penzi la Marehemu MAX....
STAA wa filamu za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amejikuta akikumbuka
pete aliyovishwa na aliyekuwa mchumba wake, marehemu Saidi Banda ‘Max’
na kusema ataendelea kumuombea kwani alikuwa ni mwanaume aliyekuwa na
malengo makubwa kwake.
Mainda alifunguka hayo kupitia mtandao mmoja wa kijamii na kusema kuwa
kila akiziona picha za siku alipovishwa pete ya uchumba, anajikuta
akitokwa na
↧
Rehema Fabian ANASWA LIVE akipapaswa na kibabu cha kizungu
Mshiriki wa Shindano la Miss Kiswahili mwaka 2009 ambaye kwa sasa yuko nchini China akijitafutia maisha, Rehema Fabian amenaswa laivu akiwa kimahaba na kibabu cha kizungu katika moja ya ufukwe wakila bata....
Rehema Fabian akiwa kimahaba na babu wa kizungu ambaye kimtazamo ni sawa na baba yake....
<!-- adsense -->
↧
Picha: Muonekano mpya wa Msanii Jackline Wolper
↧
Victoria Kimani awadatisha mashabiki baada ya kuzianika tattoo zake za MAPAJANI na mgongoni....
Victoria Kimani ameamua kujipamba na urembo wa Pwani kwa kujichora na
tattoo za Henna.
Na muimbaji huyo mrembo wa Kenya aliyetua Dar es
Salaam wiki hii kung’arisha uzinduzi wa kipindi cha The Playlist cha
Times FM, ameamua kuyaonjesha macho ya followers wake wa Instagram jinsi
urembo huo ulivyomtoa chicha, mashalaah.. Safisha macho kwa uumbaji huu
wa Mola..
Victoria na Henna za
↧
↧
Shamsa Ford atoa ONYO kali kwa Wanawake wanaomvizia mume wake
Mwanadada anayefanya poa Bongo Movies, Shamsa Ford amewataka wanawake wanaomfuatilia mumewe, Dickson waache mara moja.
Shamsa alisema, anakerwa sana na tabia ya wanawake wanaomfuata mumewe
kwani hata wale wa ‘zilipendwa’ wameanza kujirudisha upya kitu ambacho
hatakubaliana nacho.
“Hawa wanawake hawana adabu wala aibu, ninawatahadharisha tu, wakae
mbali na mume wangu kabla
↧
Matukio katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2014 na TGNP
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP-Mtandao), Bi. Lilian Liundi akitoa hotuba ya kuwakaribisha wageni mbalimbali na kuzungumza na washiriki wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika katika viwanja vya TGNP Mabibo jijini Dar es Salaam
Baadhi ya viongozi wa vyama anuai vya wanawake wenye ulemavu wakifuatilia maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.
↧
CHADEMA kutumia Helikopta huko Kalenga mkoani Iringa......Mbowe atamba kufanya kampeni za mtaa kwa mtaa, CCM yamponda, yadai moshi wa Helikopta una madhara kwa binadamu
Kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la Kalenga, Iringa vijijini zimeanza kuchukua sura mpya baada ya chama cha demokrasia na maendeleo ( CHADEMA ) kuanza kutumia helikopta ambapo kwa siku watafanya mikutano sita.....
Mwenyekiti wa chama hicho taifa, Bw. Freeman Mbowe, alisema chama hicho kitapasua anga ya jimbo hilo kupitia kauli
↧
Kwa mujibu wa ripoti ya shirika la kijasusi la Marekani ( CIA ) , Tanzania ni nchi ya 12 kiuchumi barani Afrika, ya 83 duniani
↧
↧
Siri ya Mtungi yaambulia patupu kwenye tuzo za mwaka 2014 za AfricaMagic Viewers’ Choice Awards (AMVCAs), Kenya yatamba
Tuzo za mwaka 2014 za AfricaMagic Viewers’ Choice Awards (AMVCAs)
zimefanyika jana Jumamosi huko Eko Hotel and Suites Victoria Island,
Lagos, Nigeria. Tuzo hizo ziliburudishwa na wasanii mbalimbali wakiwemo
Flavour, Davido na Waje. Tamthilia ya Siri ya Mtungi iliyokuwa imetajwa
kuwania vipengele saba imeambulia patupu.
“Kwa bahati mbaya Siri ya Mtungi haijafanikiwa kupata
↧
Mshindani wa JK kupambana na Ridhiwani Kikwete Chalinze
Aliyekuwa mshindani wa Rais Jakaya Kikwete katika uchaguzi wa
Jimbo la Chalinze mwaka 2000 kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (Cuf),
Fabian Leonard atapambana na mtoto wa rais huyo, Ridhiwani Kikwete
katika uchaguzi mdogo wa jimbo hilo utakaofanyika Aprili 6, mwaka huu.
Chama hicho, kikimtangaza mgombea huyo Makao Makuu
ya Cuf yaliyopo Buguruni Dar es Salaam jana, kilisema kinakwenda
↧
CUF yapinga Watanzania Bara kumiliki ardhi Visiwani Zanzibar.
Chama Cha Wananchi(CUF) kimepinga wazo na rai ya kupunguza
masharti ya Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 ili kulegeza nguvu zake
kisheria na kuwapa fursa Watanzania Bara kumiliki ardhi Visiwani
Zanzibar.
Msimamo huo umetolewa na Mkurugenzi wa Habari na
Mwasiliano ya Umma wa CUF Salum Bimani katika taarifa yake kwa vyombo
vya habari iliyotolewa jana visiwani humo, siku chache baada
↧
Watanzania watatu na wanyarwanda watatu wakamatwa katika jaribio la mauaji ya Mkuu wa Majeshi wa Rwanda ( Jenerali Faustin Kayumba Nyamwasa ) aliye mafichoni Afrika Kusini
Watanzania
watatu ni miongoni mwa washtakiwa sita wanaodaiwa kumvamia Mkuu wa
Majeshi wa Rwanda aliye mafichoni , Jenerali Faustin Kayumba Nyamwasa.
Washtakiwa hao pamoja na Wanyarwanda watatu wamefikishwa katika mahakama za Afrika Kusini kujibu mashtaka hayo.
Jenerali Nyamwasa alishambuliwa wiki hii, ikiwa ni muda mfupi
baada ya mauaji ya Mkuu wa Usalama wa Taifa wa Rwanda
↧
↧
Rushwa ya ngono yamtafuna afisa elimu
AFISA Elimu Sekondari wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Julius
Kakyama, anaandamwa na tuhuma nzito. Tuhuma hizi zinatoka wilayani
Muleba, mkoa wa Kagera alikofanya kazi kabla ya kuhamishwa.
Anadaiwa kutumia madaraka yake kuomba rushwa ya ngono; kuomba rushwa
ya fedha taslimu kutoka kwa walimu, wanafunzi na watumishi wengine
katika halmashauri ya Muleba.
Ni mazingira hayo ya
↧
Kalenga kwachafuka.....Dereva wa Mwigulu Nchemba ashambuliwa, magari yavunjwa vioo....Diwani wa CCM ajeruhiwa usoni, CHADEMA yadaiwa kuhusika
DEREVA
wa Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Mwigulu Nchemba, Mohamed Kunambi,
ameshambuliwa na kujeruhiwa na watu wanaodhaniwakuwa wafuasi wa chama
cha CHADEMA.Tukio hilo liletokea usiku wa kumkia jana eneo la Ifunda jimbo la Kalenga wilaya ya Iringa Vijijini mkoa wa Iringa.Mbali na dereva huyo diwani wa kata ya Ifunda, Eliya Mngwila, naye amejeruhiwa na watu hao waliposhambulia gari
↧
Aliyempa mwanafunzi Mimba na tabibu aliyeitoa wahukumiwa kwenda jela miaka 10....Mwanafunzi na mtoto wafariki dunia
Mfanyabiashara wa Mbuzi
na kusaga nafaka katika kijiji cha Kintandaa Adamu Shaban Hole (46)
(mbele mwenye kofia baraghashia) na aliyekuwa tabibu msaidizi katika
dispensari ya Tumaini mjini Singida, Godlisten Raymond (37) aliyefunika
uso, wakisindikizwa gerezani kwenda kuanza kutumikia kifungo cha miaka
10 baada ya kutiwa hatiani na mahakama kuu kanda ya kati kwa kosa la
kumpa mimba
↧
More Pages to Explore .....