Raia watatu wa UAE waliokuwa wamekamatwa wakikuhusishwa na tukio la mlipuko wa Bomu huko Arusha wameachiwa huru na wamesharejeshwa nchini mwao...
Taarifa zinadai kwamba, Raia hao hawahusiki na mlipuko wa bomu hilo.Kilichotokea ni kwamba, siku ya tukio walikuwa karibu na eneo la kanisa na ndo maana walikamatwa...
Raia hao wameachiwa kwa ushirikiano mkubwa wa ubalozi
WAARABU WATATU WALIOHUSISHWA NA MLIPUKO WA BOMU KANISANI WAMEACHIWA HURU
↧
↧
MAJINA YA WATUHUMIWA WALIOACHIWA HURU PAMOJA NA RIPOTI YA POLISI KUHUSU BOMU LA ARUSHA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
KUHUSIANA NA MAENDELEO YA UPELELEZI WA TUKIO LA MLIPUKO WA BOMU KATIKA
KANISA LA MT. JOSEPH – OLASITI JIJINI ARUSHA LILILOTOKEA TAREHE
05/05/2013
Ndugu wanahabari, mtakumbuka kwamba mara
ya mwisho nilipokutana nanyi niliwaahidi kwamba nitaendelea kuwapa mara
kwa mara taarifa juu ta maendeleo ya upelelezi wa tukio la mlipuko wa
bomu lililotokea katika
↧
HEMED PHD ANUSURIKA KUTANDIKWA MAKOFI JUKWAANI NA MREMBO ALIYEMTOMASA NA KUMPULIZIA PERFUME KINYEMELA
Ni usiku wa jana wakati PHD akizindua wimbo wake wa Rest of my life
ambapo hit maker huyo wa Mama kimbo aliingia kwa stayle ya kuspray
perfume kwa fans wake na kwa bahati isiyo nzuri kwa PHD alispray perfume
kwa mwanadada wa kitasha aliyekuwa akishout kwa kumwita hemed on stage.....
Hemed alikosea kwa kudhani kuwa mwanadada naye anataka apigwe
unyunyu...Alimfuata na "tomasa toma style"
↧
REGINALD MENGI ATANGAZA DAU LA MILIONI MOJA KWA MTU ATAYEMTUMIA TWEET NZURI
Upo
kwenye Twitter? Kama haupo fanya haraka ujiunge sababu kuna ulaji
huko!! Mwenyekiti mtendaji wa makampuni ya IPP, Reginald Mengi amesema
kuanzia mwezi huu, atakuwa akitoa shilingi milioni 1 kwa kila tweet
itakayomfurashia.
Not to fast though…… Sio tweet zile za ‘I’m having fun being single,
#TeamSingle, tupa kuleee!
Mengi anataka ulikune jicho lake kwa tweet
yenye akili ambayo
↧
IKULU YAMJIBU DR. SLAA KUHUSU KASHFA YA UDINI WA RAISI KIKWETE ALIZOZITOA
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
KATIBU
Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mheshimiwa
Wilbroad Slaa, leo, Jumatatu, Mei 13, 2013, amekaririwa na gazeti moja
akidai kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya
Mrisho Kikwete na timu yake ya kampeni, “ilikuwa ikisaka kura kwenye
nyumba za ibada na kumwaga sumu mbaya ya udini ambayo sasa inaitesa
↧
↧
MTUHUMIWA NAMBA MOJA WA BOMU LA ARUSHA AMEFIKISHWA MAHAKAMANI LEO NA KUSOMEWA MASHITAKA 21
Mtuhumiwa mmoja kati ya tisa waliotiwa mbaroni na
jeshi la polisi baada ya kutokea mlipuko wa bomu katika Kanisa la
Mtakatifu Joseph Mfanyakazi amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka
21 ya mauaji na kujaribu kuua. Victor Ambrose
Calist (20) ambaye ni dereva wa bodaboda na mkazi wa eneo la Kwa
Mromboo jijini Arushai amesomewa mashtaka yake mbele ya Hakimu mkazi,
Devotha Kamuzora.
↧
VIDEO: RIPOTI YA POLISI YATOFAUTIANA NA RIPOTI YA MKUU WA MKOA WA ARUSHA KUHUSU BOMU LA KANISANI
--->KAMANDA WA POLISI MKOA WA ARUSHA LIBERATUSI SABAS – ACP ATOFAUTIANA NA TAARIFA YA AWALI YA MKUU WA MKOA.
--->WAGENI WAACHIWA KWA KUKOSA USHAHIDI ,WATANZANIA WASOTA RUMANDE.
---> ALIYEFIKISWA MAHAKAMANI ASHITAKIWA KWA MAUAJI NA SIYO UGAIDI.
---> WAANDISHI WAPIGWA NA BUTWA KILA MMOJA AONDOKA NA LAKE.<!-- adsense -->
↧
FLORA BAHATI LYMO NI MWANAMKE ANAYEDAI KUBAKWA NA MBUNGE WA TANZANIA
BINTI mrembo aitwaye Flora Bahati Lyimo anamtuhumu mbunge mmoja wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloongozwa na
Spika Anne Makinda kuwa amembaka...
Katika uchunguzi wake, hivi karibuni ,Uwazi lilielezwa kuwa kuna habari ya kashfa nzito inayomtafuna mbunge
huyo anayetokea Kanda ya Kaskazini lakini haikufafanua kwamba inahusu
nini. Baada ya kutulia na kupekua kwenye vyanzo
↧
WENYE MABASI WATAKA NAULI IPANDE TENA
BAADHI ya wamiliki wa mabasi mkoani Shinyanga, wamesema asilimia 24.46
iliyoongezwa katika nauli haitoshi.
Wamiliki hao wameyasema hayo ikiwa ni takriban
mwezi mmoja tangu kuanza kutumika kwa nauli mpya za usafiri wa barabara,
reli na kupandishwa kwa tozo za huduma za meli bandarini.
Hatua hiyo
ilichukuliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini
(SUMATRA), Aprili 3
↧
↧
WALIONASWA WAKIFANYA MAPENZI NA MBWA NI WANAFUNZI WA CHUO KIKUU..... UONGOZI UMEWAKANA
CHUO Kikuu cha Kiufundi cha Mombasa (TUM) kimekanusha madai kwamba
wanafunzi wake ni makahaba wanaofanya vitendo vya ngono na mbwa.
Kwenye
barua ya kukana dai hilo iliyopelekwa kwenye vyombo vya habari baada ya
chuo hicho kutajwa kama chenye wanafunzi 11 waliokamatwa Nyali juzi kwa
kashfa ya ngono, chuo hicho kilisema kina mikakati mikali ya kufundisha
maadili.
“Tunapenda
↧
UPDATE: WANAFUNZI WA SHULE YA MANZESE WAKUMBWA NA "POPO BAWA"....30 WAMEANGUSHWA CHINI MUDA HUU
Wanafunzi
wa shule ya secondary manzese zaidi ya 30 muda huu wanaanguka hovyo na
kusema a maneno yasiyoeleweka kutokana na kinachohisiwa kuna nguvu za
Giza zimetanda shuleni hapo huku wakijibamiza kwenye miti:
Mmoja wa wanafunzi wa shule ya Sekondari
Manzese aliyeanguka na kuweweseka.
Mpaka sasa haijafahamika chanzo cha
wanafunzi wa shule hiyo kukimbia ovyo,kuanguka na kuweweseka.
↧
ZITTO KABWE APIGWA KIBUTI LIVE MTANDAONI NA DEMU WAKE ( LOVENESS DIVA)
Waswahili husema ..."Mapenzi ni UCHIZI"...
Hili ndo tunalolishuhudia kwa Mh Zitto na Manzi wake MAPEPE ( Loveness Diva ) ambaye ameamua kumtema na kupeleka penzi lake kwa Prezzo wa Kenya....
Kwanza ulianza ujumbe wa kumpongeza Prezzo na ahadi ya kumtema RAIS WETU MTARAJIWA....
Baaye kikafuata KIBUTI kwa mh. Mbunge.
<!-- adsense -->
↧
KASHIFA YA NGONO YALITAFUNA BUNGE LETU....WABUNGE WADAIWA KUBEBANA NA KUPEANA MIMBA
SKENDO nzito inalitafuna Bunge la Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, ikitawala madai kwamba kuna wabunge wawili
wanawake, wamejazwa mimba na waheshimiwa wenzao wanaume.
Awali,
ulitawala uvumi kuwa mmoja wa wabunge wa upinzani (viti maalum),
akitokea Kanda ya Kaskazini, amepewa ujauzito na mheshimiwa mwingine
ambaye ni kiongozi anayeshika nafasi za juu kwenye moja ya vyama vikuu
vya
↧
↧
PICHA 5 ZA WANAFUNZI WA MANZESE WALIOVAMIWA NA MASHETANI LEO ASUBUHI
Wanafunzi wa shule ya Sekondari Manzese iliyopo Manzese Uzuri, jijini
Dar es Salaam wamevamiwa na mashetani na kuanguka hovyo darasani huku
wakipiga kelele na kuongea maneno yasiyoeleweka na kusababisha hofu
kutanda maeneo hayo.
Tukio hilo limetokea kuanzia saa nne asubuhi
ambapo alianza mwanafunzi mmoja kupiga kelele na kuanguka wakati
wakiendelea na masomo ambapo alitolewa
↧
GODBLESS LEMA ASAKWA NA POLISI WA U.K KWA KOSA LA KUMBAKA FLORA BAHATI LYMO
Leo asubuhi tuliweka habari ya mwanadada Flora Bahati Lymo anayedai kubakwa na mbunge.....
Taarifa hiyo ilinukuliwa katika gazeti la Uwazi, toleo la leo tarehe 14 may 2013....Ni taarifa iliyozua utata mkubwa.
Unaweza kuisoma habari hiyo kwa kubofya hapa
<< Mrembo adai kubakwa na mbunge>>
Kwa mdomo wake mwenyewe, mwanamke huyo ameamua kufunguka mchana huu na
↧
"MKITUKAZA KUNYWA VIROBA TUTAANZA KUNYWA GONGO"....WANANCHI WALIJIBU BUNGE
Wajumbe
wa Kamati ya Bunge ya Viwanda na Biashara, wakiangalia uzalishaji
walipotembelea kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleries Limited
(TDL), Dar es Salaam hivi karibuni.
Baadhi
ya wananchi jijini Dar es Salaam, wamelalamikia hoja iliyozuka bungeni
wiki hii kwamba kinywaji cha Konyagi aina ya Kiroba kipigwe marufuku
nchini.
Wakizungumza
kwa nyakati tofauti wananchi hao
↧
MAJI YAKO SHINGONI...LADY JAYDEE ATAKA KUIKIMBIA NCHI ILI KUJINASUA
Ni masaa machache tu yaliyopita mwanamuziki LADY JAYDEE ameandika kutaka kuihama nchi yake na kuelekea nchi jirani ya KENYA ...
Lady Jaydee anafikiria kwenda kuomba uraia KENYA ama MALAWI kwa kile kinachoonekana kuwa ni kutaka kujinasua katika migogoro inayomkabili ambayo tayari iko mahakamani....
Mwanamuziki huyo ame-tweet kupitia mtanadao wa kijamii wa twitter na
↧
↧
RIPOTI KUHUSU RAISI KIKWETE KUONGEZEWA MUDA WA KUKAA MADARAKANI HADI 2017
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF),
Profesa Ibrahimu Lipumba amedai kuwa amenasa taarifa za siri za kuwapo
kwa mipango ya kuongeza muda wa Serikali ya sasa kukaa madarakani.
Rais Jakaya Kikwete
Profesa
Lipumba alisema hiyo inatokana na wasiwasi kuwa mchakato wa Katiba Mpya
hautaweza kukamilika mwaka 2014 hivyo kutokuwa rahisi kwa uchaguzi
kufanyika mwaka 2015.
Akizungumza
↧
VIDEO YA WANAFUNZI WA MANZESE WALIOKUWA WAKIDONDOSHWA NA MAPEPO JANA
↧
KINANA AMTAKA MBUNGE WA IRINGA AMUOMBE RADHI HADHARANI, VINGINEVYO WATAMALIZANA MAHAKAMANI...
Katibu Mkuu wa CCM ndugu Abdulrahman Omar Kinana, kupitia kwa wanasheria
wa LAW OFFICES OF ERIC S. NG'MARYO wa Moshi amemuandikia Mbunge wa
Iringa Ndugu Peter Msigwa agizo la kumtaka amuombe radhi kwa matamshi
ambayo kinana anadai ni ya uongo kwamba,
HII NI SEHEMU YA BARUA HIYO:
"Nakuandikia kwa maagizo niliyopewa na mteja wangu, Ndugu Abdulrahman
Kinana, kufuatia matamshi yako ya
↧
More Pages to Explore .....