*Yakatazwa shuleni, watoto chini ya miaka 12*Sasa yabainika kuwa ina sumu inayoua taratibu*Yagundulika kupumbaza na kusababisha uteja
SIKU
chache baada ya gazeti la Mtanzania kuripoti madhara yanayosababishwa na
kinywaji aina ya soda, katika utafiti wake gazeti hilo limebaini mengine
mapya.
Kwa mujibu wa utafiti huo, imebainika kuwa soda imepigwa marufuku
kutumiwa na watoto
HATIMAYE KINYWAJI CHA SODA CHAANZA KUPIGWA MARUFUKU NCHI ZA NJE
↧
↧
WABUNGE WA CCM WANUSURIKA "KUTOANA MANUNDU" BAADA YA KUZINGUANA BUNGENI
WABUNGE
wa CCM, jana walizua tafrani nje ya Ukumbi wa Bunge baada ya
kukasirishwa na kitendo cha mwenzao wa Nkasi Kaskazini, Ali Keisy
kupinga Bajeti ya Wizara ya Ujenzi wakati akichangia hotuba ya wizara
hiyo.
Katika
mchango wake, Keisy alisema haungi mkono hoja kwa sababu Barabara ya
Sumbawanga hadi Kanazi-Mpanda mpaka Kibaoni haijajengwa
↧
POLISI 7 WATIWA MBARONI KWA KOSA LA " KUWATIA VIJITI MATAKONI " WATUHUMIWA NA KUSABABISHA VIFO
POLISI saba kutoka wilayani Kasulu,
wamepandishwa kizimbani katika Mahakama Kuu Kanda ya Tabora, iliyoanza
kikao chake mjini Kigoma leo na kusomewa mashitaka ya kuua kwa
kukusudia.
Mbele ya Jaji Sam Rumanyika, askari Polisi hao walidaiwa kuwa
Agosti 6, 2011 walimpiga na kumuua kwa makusudi Festo Stephano, mkulima
na mkazi wa Kijiji cha Rungwe mpya wilayani Kasulu mkoani Kigoma.
↧
DR. SLAA AMKIMBIA NAPE NNAUYE KATIKA OFISI ZA ITV
Katika
tukio lisilo la kawaida ambapo kituo cha Matangazo cha ITV kiliandaa
mjadala wa kujadili hali ya kisiasa nchini na masuala mbalimbali ya
kitaifa ambapo kwa busara za watendaji wa ITV waliwaalika wasemaji wakuu
wa mjadala huo kuwa Viongozi waandamizi wa Vyama vya Siasa wakianza na
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Abdulrahaman Kinana na
Katibu Mkuu wa CDM Ndugu Slaa.
↧
VIDEO: WALIONASWA WAKIFANYA MAPENZI NA MBWA WAACHIWA KWA DHAMANA
↧
↧
IKULU YAKANUSHA KUHUSU RAIS KIKWETE KUONGEZEWA MUDA WA KUKAA MADARAKANI
Mwenyekiti
wa Chama cha CUF, Mheshimiwa Profesa Ibrahim Lipumba amekaririwa na
Gazeti la Mwananchi la leo, Jumatano, Mei 15, 2013 akisema kuwa “amenasa
taarifa za siri za kuwepo kwa mipango ya kuongeza muda wa Serikali ya
sasa kukaa madarakani”.
Katika habari hiyo iliyoandikwa chini ya kichwa cha habari, “Lipumba: Kuna njama za kumwongezea JK muda” Mheshimiwa Lipumba anadai kuwa Serikali ya
↧
MWANA FA AVUNA MILIONI 18 NDANI YA MIEZI MITATU KWENYE RINGBACK TONE
Kwa mujibu wa Mwana FA mwenyewe
ambaye leo ameachia wimbo wake mpya, Kama Zamani, hivi karibuni alipokea
malipo ya miezi mitatu kutoka kampuni moja ya kuuza miito ya simu aka
RBT yanayofikia shilingi za kitanzania milioni 18.
Akiongea leo kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM, FA aliyekuwa wa
tatu kati ya wasanii waliopata fedha nyingi zaidi kwenye malipo hayo
chini ya Rose Mhando na
↧
AUNT LULU AAMUA KUACHANA NA MASHOGA
<!-- adsense -->
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ amepigwa ‘stop’ kutembea na marafiki wanaodaiwa kuwa ni wanaume wenye vitendo vya kike ‘Kuku Watamu’.
Akizungumza na mwandishi wetu, Aunty Lulu alisema baada ya kuandamwa na maneno juu ukaribu wake na wanaume hao, mama yake mzazi na mpenzi wake wa sasa ambaye hakutaka kumtaja, wamemzuia ‘kumpiga stop’
↧
"NATAKA GODBLESS LEMA AJE AJISAFISHE HUKU LONDON KAMA KWELI HAKUBAKA".... CHRIS LUKOSI
Ndugu zanguni,Baada
ya kuona kila kukicha tunaendelea kusikia hizi habari zenye kukera
kuhusu kesi inayomkabili mbunge wa Arusha God bless Lema.Mimi
kama rafiki wa zamani wa Lema nimeamua kujitolea kumplipia gharama zote
ili aje hapa UK kukanusha uzushi huu ambao ni aibu kwa taifa letu kuwa
na mbunge ambaye anatafutwa kwa kesi ya aibu ya kubaka.Mimi kama
wananchi wengine sipendi kuona
↧
↧
POLISI MTWARA IMETOA ONYO KALI KWA WANANCHI KUHUSU VURUGU WALIZOPANGA KUFANYA KESHO
Kupitia safari redio mtwara,Kamanda wa polisi mkoani Mtwara alisikika akitoa tahadhari kwa
wananchi wenye hasira kali dhidi ya mustakabali wa suala la gesi na nia
ya serikali kwa maendeleo ya watu wa kusini...
Licha ya serikali kutumia gharama nyingi kuendesha kipindi cha BARAGUMU
LA MSIMBATI kupitia kituo chake cha habari cha TBC ambacho katika
kipindi hiki ni kama nyenzo ya kutoa elimu
↧
MAHAKAMA YA IRINGA YAKANUSHA POLISI KUMSHIKILIA MLINZI WAKE KWA KUIBA BANGI
MAHAKAMA kuu ya Tanzania kanda ya Iringa
imepinga vikali taarifa ya jeshi la polisi mkoa wa Iringa (RPC)
Michael Kamuhanda aliyoitoa jana kwa vyombo vya habari kuwa
inamshikilia mtumishi wa mahakama hiyo kwa kuiba bangi iliyofikishwa
mahakamani hapo kama kielelezo."Taarifa ya kamanda wa polisi
kuwa bangi imeibiwa mahakamani si ya kweli na imelenga kuichafua
mahakama. Mahakama
↧
MAELEZO YA WIZARA JUU YA KAULI YA DR. MWINYI KUHUSU DAWA BANDIA ZA UKIMWI ( ARV)
Tarehe
9 Mei, 2013, Mhe. Dkt. Hussein A. Mwinyi (Mb) Waziri wa Afya na Ustawi
wa Jamii, katika kuhitimisha hoja ya bajeti ya Wizara alitolea ufafanuzi
suala la dawa bandia ya ARV kufuatia hoja zilizokuwa zimetolewa na Mhe.
Zarina S. Madabida (Mb) kuhusu kuhusika kwa kiwanda cha dawa
chaTanzania Pharmaceutical Industries Ltd (TPI) katika sakata la dawa
bandia ya ARV.Baada ya
↧
MSANII WA CAMP MULLA ALIYEWAHI PIGA CHAFU ATIMULIWA NDANI YA KUNDI HILO
Habari zilizosambaa katika mitaa ya area code +254 zinadai kuwa kundi
la hip hop lenye mafanikio makubwa nchini Kenya, Camp Mulla limempiga
chini first lady na lead singer wa kundi hilo, Miss Karun kutokana na skendo zinazomkabili
Kwa mujibu wa maneno ya mtaani inasemekana nafasi ya Miss Karun
itachukuliwa na mrembo mwingine aitwaye Tiri, ambaye ni mpenzi wa member
na producer
↧
↧
MSIGWA AGOMA KUMUOMBA RADHI KINANA NA BADALA YAKE AMEMSHAURI AENDE MAHAKAMANI KAMA ANADHANI ALIONEWA
Mbunge wa jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa amemtaka katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (CCM) Bw Kinana kutosubiri muda wa siku 21 alizozitoa kumfikisha mahakamani na kudai kuwa yupo tayari kwenda mahakamani hata kesho.
Mbunge Msigwa amesema kuwa katika ukweli hatakuwa tayari kumwogopa mtu na kuwa siku zote atasimama katika ukweli katika kupigania maslahi ya
↧
DIAMOND ATOA SABABU ZINAZOMFANYA AWE MALAYA......
KWA mara ya kwanza nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond'
ameacha gumzo London, Uingereza baada ya kueleza sababu za kwa nini ni
kiwembe?
Akifunguka katika mahojiano maalum wiki iliyopita na Kipindi cha
Sporah Show cha runingani alipokuwa kwenye ziara ya kimuziki nchini
humo, Diamond alizungumza ishu kibao za kimapenzi hasa juu ya msururu wa
wanawake ambao tayari ametoka nao.
↧
"SIJAWAHI MVULIA NGUO MWANA FA"...HUSNA
MISS Sinza 2011, Husna Maulid, juzikati ameibuka na kudai kwamba
katika maisha yake hajawahi kutoa penzi kwa msanii wa muziki wa Kizazi
Kipya, Hamis Mwijuma ‘Mwana FA’.
Husna aliyasema hayo Mei 15 mwaka huu baada ya kuvumishiwa kuwa
anatoka kimapenzi na staa huyo na kwamba, kwa sasa hakuna kificho
chochote kwani hadi picha zinazowaonyesha ukaribu wao zimezagaa kwenye
mtandao.
↧
TID NAYE AGOMA KUSHIRIKI KATIKA SHOW YA LADY JAYDEE
Show ya miaka 13 katika muziki ya Lady Jaydee inazidi kupata pigo
baada ya TID kuwa msanii mwingine latest kujitoa kwenye show hiyo.
Moja ya sababu anayosema TID ni kuwa ana mkataba mwingine wa show
unaolipa zaidi.. Sababu ya pili ni kuwa hataki kuwa katikati ya ugomvi
wowote.
Hivi ndivyo alivyoandika TID kwenye ukurasa wake wa Facebook.
“Three reason why i can’t do lady
↧
↧
ASHLEY TOTO NI MREMBO ANAYETAKA KUKUPA KUKUPA MOYO WAKE......
Ashley Toto ni mwanadada msanii na mrembo ambaye anaishi Germany kwa sasa ....
Ashley yupo Germany kwa ajili ya kuutangaza utamaduni wa mwafrika halisi kupitia fani ya maigizo....
Mrembo huyo ameshatoa filamu ndogo kwa ajili yako mdau iliyopo hewani kwa
sasa ili ujionee uwezo alionao katika fani hiyo......Jina la filamu hiyo ni "MOYO WANGU" na
↧
UNYAMA: POLISI AMCHARANGA MAPANGA MWANAE WA MIAKA 4 KISA KIKIWA NI WIVU WA MAPENZI
MTOTO WA MIAKA 4 DEVOTHA GERLAD ALIYEKATWA MAPANGA NA BABA YAKE,HAPA AKIWA HOSPITALI KWA HUDUMA AYA KWANZA.
WANANCHI WAKIWA NJE YA HOSPITALI YA WILAYA WAKIWA NA SHAUKU YA KUMUONA MTUHUMIWA.
KINA MAMA WALIOGUSWA NA TUKIO WAKIWA NJE YA HOSPITALI KUMUONA MTOTO HUYO.
AFANDE BWIRE AKIWA HOI WODINI
HAPA AFANDE AKIWA HOI BAADA YA KUFIKISHWA HOSPITALINI..
↧
CD ZA UAMSHO NA ZILE ZA SHEIKH ILUNGA ZAPIGWA MARUFUKU....
Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar inayoongozwa na Dr Shein na
Makamu wake Maalim Seif kupitia Jeshi la Polisi wamepiga marufuku rasmi CD zote za mawaidha ya Kiislam za UAMSHO,MUJAHID ABOUD ROGO na SHEIKH
ILUNGA.
Agizo hilo lilitolewa na OCD wa zamani Murtad MKADAM ambae kwa sasa yupo ofisi kuu ya
polisi kitengo cha madawa ya kulevya Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais
Maalim
↧
More Pages to Explore .....