Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe Aitupia Lawama Serikali Baada ya Acacia Kusema Hawana hizo Dola...

Baada ya Kampuni ya uchimbaji madini nchini, Accacia kudai kwamba haina pesa za kuilipa serikali ya Tanzania kama ilivyodaiwa juzi  na kampuni ya Barrick Gold Mining,  Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

‪Rais Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa Rais wa Baraza la Maaskofu...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) Mhashamu Tercisius Ngalalekumtwa kufuatia kifo cha Askofu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa Mufti Sheikh Aboubakar Zubeir...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Je,una Upungufu Wa Nguvu Zakiume,kukosa Hamu Ya Tendo La Ndoa,kufika Kileleni...

Tatizo la kukosa au kupungukiwa nguvu za kiume na maumbile madogo ya kiume husababishwa na mambo mengi kama,KISUKARI,NGIRI,CHANGO,TUMBO KUUNGURUMA,MAUMIVU YA KIUNO,UNENE KUPITA KIASI,KUJICHUA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Daktari wa Kanumba Atoa Ushahidi Wake Mahakamani Jinsi Alivyofariki

DAKTARI wa familia ya msanii maarufu wa filamu nchini, marehemu Steven Kanumba, Dkt, Paplas Kagaia, ameileza mahakama Kuu ya Tanzania kanda Dar es Salaam Kanumba alifariki toka nyumbani baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yamwaga Ajira 400 TRA

Benny Mwaipaja, ShinyangaSerikali inatarajia kuajiri wafanyakazi 400 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika kipindi kifupi kijacho ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa watumishi katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shahidi Aieleza Mahakama Jinsi Scorpion Alivyomtoboa Mtu Macho

Mahakama ya Wilaya ya Ilala Oktoba 31,2017 itatoa uamuzi iwapo mshtakiwa Salum Njwete maarufu Scorpion ana kesi ya kujibu au la.Uamuzi utatolewa baada ya jana  Ijumaa Oktoba 20,2017 upande wa Jamhuri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Octoba 21

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwa Nini Wanaume Wengi Wana Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo

Asilimia 85 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kutowatimizia vema wake au wapenzi wao na kuwasababishia waweze kuwasaliti na kutoka nnje ya ndoa NI NINI CHAZO CHAKE ; upiga punyeto, ngiri, vidonda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yasimamisha shughuli za Shirika la CHESA kwa tuhuma za kuchochea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwalimu Ajiua Kwa Kujichinja Koromeo

Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Mtenga wilayani Nkasi, Leonard Mwipugi (29) amejiua kwa kujichinja koromeo akiwa nyumbani kwake.  Taarifa zilizotolewa na Mratibu wa Elimu Kata ya Mtenga, Hebron...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe: ACT- Wazalendo Sio Kijiwe cha Kuisifia Serikali

Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema chama chake siyo jukwaa sahihi la kuisifia Serikali kama wanachama wengine wanavyodhani.Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi, Zitto amesema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uteuzi wa Mugabe kuwa balozi wa ‘WHO’ waibua maswali

Shirika la afya duniani (WHO) limemteua rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe kuwa balozi wa kuunganisha vita ya kupambana na magonjwa yasiyoambukiza barani Afrika.Kuteuliwa kwa Mugabe mwenye umri wa miaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mganga wa Jadi Atiwa Mbaroni kwa Kubaka watoto 14

Jeshi la Polisi mkoani Singida linamshikilia mganga wa kienyeji mkazi wa mtaa wa Minga, Daud Idd (74), kwa tuhuma ya kunajisi watoto 14 wenye umri kati ya miaka saba na 12 na kuwasababishia maumivu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jipatie Dawa ya Asili ya Kupunguza Maziwa, Kupunguza Tumbo,Kuongeza Unene,...

        NATURAL BEAUTY PROD. NDIYO KAMPUNI PEKEE INAYOTOA BIDHAA ORIGINAL GARANTII PAMOJA NA SISITI.  Sasa ni wakati wako mpendwa wa kupendeza na bidhaa hizi bila kemiko wala madhara kwa mtumiaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapilili ya Octoba 22

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli amteua Janeth Masaburi kuwa Mbunge

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Bi. Janeth Masaburi kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mhe. Rais Magufuli amefanya uteuzi huo kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi na Wanajeshi 53 Wauawa Misri

Idadi ya wanajeshi na polisi waliouawa katika mapambano na wapiganaji wa Kiislamu katika eneo la Bahariya magharibi mwa jangwa imefikia 53, maofisa usalama na matabibu wamesema.Wizara ya mambo ya ndani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nape Awataka Watanzania Waache Ushamba

Mbunge wa Mtama, kwa tiketi ya (CCM) Nape Moses Nnauye amefunguka na kuwataka watu kuacha ushamba kwani kusifu au kukosoa juu ya jambo fulani ni kazi ambazo Mungu amewapa watu kuzifanya hivyo mtu baki...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live
<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>