SORRY MADAM -Sehemu ya 78 & 79 (Destination of my enemies)
MWANDISHI: EDDAZARIA G.MSULWAILIPOISHIAMacho ya Eddy yakaweza kuona msafara mzima wa raisi Praygod unavyo ingia katika sehemu ya abiria wanao safari. Macho ya Eddy yakagongana na macho ya Manka ambaye...
View ArticleMwanza: Mwalimu Afumaniwa Akifanya Mapenzi na Mwanafunzi Wake Darasani
Mwalimu Abasi Hussein wa shule ya msingi Mwabomba iliyopo tarafa ya Ngula wilayani Kwimba mkoani Mwanza anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kukutwa darasani akifanya mapenzi na mwanafunzi wa...
View ArticleTFF Yamwachia Huru Mkuu wa Kitengo cha Habari wa klabu ya Simba Haji Manara
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemuachia huru Mkuu wa Kitengo cha Habari wa klabu ya Simba Haji Manara kuendelea na majukumu yake kama kawaida.Hayo yameweka wazi na...
View ArticleKampeni ‘Magufuli Baki’ yaanzishwa........Mikutano kufanyika nchi nzima
Na Regina Mkonde Rais John Pombe Magufuli ameendelea kupongezwa na wananchi pamoja na Taasisi za kiraia mbalimbali kutokana na misimamo yake na kazi kubwa anayoifanya ya kupigania rasilimali za nchi,...
View ArticleKikwete amfariji Dk Mwakyembe...."Kifo Tumeumbiwa Sote"
Rais wa Serikali ya Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ni miongoni mwa waombolezaji wa kifo cha Linah, mke wa Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe kilichotokea juzi.Kikwete...
View ArticleKutana na Mtaalamu wa Kusafisha Nyota........Anatoa Mvuto wa Biashara,...
Kutana Maajabu ya Mtabibu CHIEF SULTAN(MAKATA WA MAKATANI) Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote TanzaniaPia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..CHIEF SULTAN ni...
View ArticleHabari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Gazi Pamoja...
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa...
View ArticleNEMC Yafumuliwa.....Baadhi ya Vigogo Watumbuliwa, Wengine Wahamishwa
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Januari Makamba amefanya mabadiliko makubwa kwenye Baraza la Usimamizi wa Mazingira (NEMC).Akizungumza jana Jumatatu, Julai 17, Makamba...
View ArticleEbitoke : Ben Pol Ananipenda Kama Nilivyo
Msanii wa vichekesho Anastazia Kisaveli alimaarufu kama Ebitoke ameweka wazi jambo ambalo anavutiwa zaidi na Ben Pol na kusema ni vile msanii huyo alivyompenda na kumkubali jinsi alivyo.Ebitoke ambaye...
View ArticleWatu wawili wafariki dunia wakibatizwa........Jeshi la Polisi Lamtia Mbaroni...
Watu wawili wamefariki dunia kwa kuzama katika mto Ungwasi wakati wakiwa kwenye ibada ya ubatizo.Kutokana na tukio hilo, Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro, linawashikilia watu watatu akiwamo...
View ArticleJipatie Riwaya ya Kusisimua iitwayo President Wife Toka kwa Mtunzi Makini
PRESIDENT WIFE, MUENDELEZO WA SORRY MADAM(Destination of my enemies) Story ya sorry madam d.f.e ikiwa inakaribia kuisha, sasa huu ni wakati wako kupata kitabu cha President wife kwa ofa ya sh 5000 Tu....
View ArticleTundu Lissu Azungumzia Sakata la Madiwani wa CHADEMA Kuhamia CCM........Pia...
Mbunge wa Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanzania (TLS), Tundu Lissu amesema Ukawa unatangaza vita na CUF ya Profesa Ibrahim Lipumba kama walivyo vitani na Chama cha Mapinduzi...
View ArticleEfatha Ministry Ruvuma: Huduma Zetu Pamoja na Raitiba za Ibada......Nyote...
EFATHA MINISTRY RUVUMAEFATHA maana yake ni Funguka[MARKO 7:34], Efatha ni huduma iliyo chini ya Mtume na Nabii JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA,Huduma ilianzishwa mwaka 1997.Huduma ya Efatha mkoa wa Ruvuma...
View ArticleTundu Lissu: Sipendi kukamatwa maana mahabusu si pazuri ila sitaacha kupaza...
Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu amesema hapendi kukamatwa na vyombo vya dola kwa kuwa mahabusu si mahala pazuri pa kuishi watu hususan wasiokuwa na hatia, hata hivyo amesema kitendo hicho...
View ArticleTundu Lissu: Nimepewa Siri Lowassa Atapelekwa Mahakamani na Kushitakiwa kwa...
Wakati Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, akiwa bado anakabiliwa na kesi kadhaa za uchochezi, amefytuka tena na kutoa maneno mazito juu ya viongozi wa...
View ArticleJinsi Kitambi Kinavyopatikana na Jinsi Kinavyoondolewa na Dawa ya Mkataa Kitambi
Kitambi ni ile hali ya tumbo kuwa kubwa na kuchomoza kwa mbele na wakati mwingine kufikia hatua ya kunin’ginia.JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANAKwa mujibu wa tafiti mbalimbali za...
View ArticleTRA Yamkana Ngeleja Sakata la fedha za Escrow........Yadai Jukumu Lake ni...
Waziri wa Nishati na Madini wa zamani Ngeleja ni mmoja kati ya watu waliopokea mgawo wa fedha zinazodaiwa kuwa zao la kashfa ya Tegeta Escrow, lakini akatangaza kuzirejesha kwa TRA Jumatatu...
View ArticleUnasumbuliwa na Kiharusi,Ngiri au Kifafa?......Unatatizo la Nguvu za Kiume,...
SASA YUPO DAR; Anauwezo wa kutabiri nyota yako na kukuletea mafanikio makubwa katia biashara yako, kazini na malengo yako ya maisha.Pia anatoa pete ya bahati yenye uwezo wa kukuletea mafanikio makubwa...
View Article