Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kutana na Maajabu ya Mtabibu CHIEF SULTAN(MAKATA WA MAKATANI) Mganga wa...

Kutana Maajabu ya Mtabibu CHIEF SULTAN(MAKATA WA MAKATANI) Mganga wa Waganga Sasa Yupo Mikoa Yote Tanzania  Pia anatoa Tiba kwa Njia ya Simu ukiwa popote Pale Tanzania au Nje ya Tanzania..CHIEF SULTAN...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAKUKURU yaisaidia Serikali kuokoa Sh53 bilioni

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali imefanikiwa kuokoa Sh bilioni 53.9 kutokana na uchunguzi na operesheni mbalimbali zilizofanywa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jela Miaka 23 Kwa Kuiba Cheti Kidato cha Nne

Mahakama  ya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi imemhukumu kwenda jela miaka 23 mkazi wa kijiji cha Kalovye, Osward Mpalasinge (26).Amepewa adhabu hiyo baada ya kupatikana na hatia ya kuvunja na kuiba vitu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Meya wa Jiji la Arusha Amtaka Mkuu wa Mkoa Amuombe Radhi

Meya wa Jiji la Arusha, Calist Lazaro ametoa siku saba kwa  Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amuombe radhi kwa kosa la kumuweka ndani wakati alipokuwa anakabidhi rambirambi kwa wazazi waliofiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati ya Pili ya Mchanga wa Madini kuwasilisha ripoti yake kwa Rais Magufuli...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yasaini mkataba kupanua na kuongeza kina cha Bandari ya Dar es Salaam

Benjamin Sawe-MaelezoMamlaka ya Bandari nchini (TPA), imesaini mkataba wa upanuzi na uongezaji wa kina cha bandari utakaowezesha bandari ya Dar es Salaam kupokea meli kubwa za mizigo na kushindana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kitimoto Chapigwa Marufuku Mkoani Dodoma

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Basi la BATCO Lateketea Kwa Moto

Basi la BATCO lenye namba za usajili T192DHW limeteketea kwa moto hii leo katika eneo la Kirumi kata ya Bukabwa Wilayani Butama Mkoani Mara. Gari hilo lilikuwa linafanya safari zake kutoka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya June 11

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Mkurugenzi Mkuu EWURA Asimamishwa Kazi

Usiku wa kumkia leo( saa saba usiku) Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Felix Ngalamgosi.Kwa mujibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mauaji Kibiti: IGP Sirro Awataka Waandishi Kuwa Wazalendo

Wakati  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba akisema matukio ya mauaji ya hivi karibuni mkoani Rufiji yana harufu ya kisiasa, Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Simon Sirro amevitaka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFA: Jipatie Riwaya Kali ya Kusisimua Ya President Wife

OFA KABAMBE SI YA KUKOSA MPENDWA MSOMAJI WANGU  Nunua kitabu cha PRESIDENT WIFE kwa sh 10000 ujipatie kitabu cha SORRY MADAM season ONE BureEEE kabisa. OFA hii ni wa watumiaji wa mtandao wa Whatsapp...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Majaliwa apokea taarifa uchunguzi wa Salfa, Ni ya makontena 211 yaliyokuwa...

Waziri wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema salfa iliyoingizwa nchini kwenye makontena 211 haina kasoro na inafaa kwa matumizi ya kupulizia kwenye mikorosho.Majaliwa amesema hayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IGP Sirro: Ni kosa Polisi Kudai Hela ya Mafuta kwa Raia

Mkuu wa Jeshi la polisi nchini (IGP), Simon Sirro amewataka makamanda wa polisi mikoa kuhakikisha wanatumia vizuri mafuta ya magari wanayowekewa ili kuepuka malalamiko ya wananchi kwa magari ya polisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF Wakanusha Kutowalipa Posho Serengeti Boys

Kufuatia taarifa zilizokuwa zikienea na kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii, zikidai kuwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limewatelekeza wachezaji wa timu ya mpira wa miguu ya Tanzania ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe Afunguka Mazito kutimuliwa kazi kwa Mkurugenzi Mkuu wa EWURA

Hili la Mkurugenzi Mkuu wa EWURA linahusu tangazo la leseni ya Kampuni ya kifisadi ya IPTL?Ni muhimu sana Rais afahamu kwamba kuna kazi kubwa ya chinichini inafanywa na wasaidizi wake ( sina hakika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jinsi Kitambi Kinavyopatikana na Jinsi Kinavyoondolewa na Dawa ya Mkataa Kitambi

Kitambi  ni  ile  hali  ya  tumbo  kuwa kubwa  na  kuchomoza  kwa  mbele  na  wakati mwingine  kufikia  hatua  ya  kunin’ginia.JINSI  KITAMBI  KINAVYO  PATIKANAKwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu ya June 12

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fundi Mbao Atiwa Mbaroni Kwa Kuwabaka Watoto Wake Wawili

Fundi mbao, Japhet Lendiman (38) mkazi wa Daraja Mbili, anashikiliwa na Jeshi la Polisi, baada ya kubaka watoto wake wa kike wa darasa la sita na kidato cha kwanza.Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EWURA Wasitisha Mchakato wa Kuiongezea Leseni Kampuni ya IPTL......Ni Baada...

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesitisha mchakato wa kushughulikia maombi ya IPTL ya kuongezewa muda wa leseni yake ya biashara kwa miezi 55 ili iendelee kuzalisha umeme na...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>