Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maalim Seif Afunguka wakati Wazanzibar wakipiga Kura........"Kilichotokea...

Aliyekuwa Mgombea Urais kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Oktoba 25, mwaka jana, ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema hatma ya Wazanzibar iko mikononi mwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Matokeo ya awali ya Urais kwa Majimbo ya OLE, Ziwani, Chonga, Wawi na Chake...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Baadhi Ya Matokeo ya Uchaguzi wa Wajumbe wa Baraza La Wawakilishi Zanzibar

Matokeo ya uchaguzi wa marudio uliofanyika jana visiwani zanzibar kwa upande wa wajumbe wa baraza la wawakilishi yameanza kutangazwa kisiwani pemba.  1.Jimbo la Chakechake aliyeshinda ni Suleiman Said...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari -MAELEZO Assah Mwambene Ahamishiwa Wizara Ya...

Mkurugenzi wa  Idara  ya  Habari -MAELEZO   Assah  Mwambene   Ahamishiwa Wizara Ya Mambo Ya Nje  

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TRL Yasitisha Safari Za Kuanzia Dar Es Salaam......Wasafiri Wa Mwanza Na...

Mamlaka ya Reli Nchini (TRL) imesitisha safari zake kutoka Dar es salaam kwenda Mikoani na kuhamishia huduma hiyo mkoani Dodoma kutokana miundombinu ya reli kuharibiwa na mvua za masika zinazoendelea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Dr. Ali Mohammed Shein Atangazwa Rasmi kuwa Mshindi wa Kiti...

Mgombea wa urais kupitia chama cha CCM Visiwani Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ameshinda kiti cha urais kwa jumla ya kura 299,982 awa na asilimia 91.4 ya kura zote halali 328,327 katika uchaguzi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Breaking News: Rais Magufuli Atekeleza Agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekuwa mtu kwanza kutekeleza agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam la kuhakiki silaha, ambapo bunduki zake mbili aina ya Shortgun na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bad News: Msafara wa Kamati ya Bunge Utawala na TAMISEMI Wapata Ajali Mbaya...

WATU watano wamefariki dunia huku nane wamejeruhiwa, katika ajali iliyoyahusisha magari manne, mawili yakiwa katika msafara wa Kamati ya Bunge Utawala na TAMISEMI maeneo ya Kerege, Bagamoyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Ampongeza Dr. Shein kwa Kushinda Urais Zanzibar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za pongezi Rais Mteule wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein, kufuatia ushindi alioupata katika marudio ya Uchaguzi Mkuu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mabalozi wa nchi za Ulaya na Marekani Waukosoa Uchaguzi wa Marudio...

Mabalozi na wawakilishi wa nchi za Ubelgiji, Canada, Denmark, Umoja wa Ulaya, Finland, Ufaransa, Ujerumani, Ireland, Italia, Uholanzi, Norway, Hispania, Sweden, Switzerland, Uingereza na Marekani hivi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya Habari Ya Channel Ten – Jumatatu Tarehe 21.03.2016

Taarifa ya Habari Ya Channel Ten  – Jumatatu Tarehe   21.03.2016

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Amwagiza CAG Kukagua Mapato ya Bandari na Benki ya...

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali aende Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ili akague taarifa za mapato ambazo zilikuwa zikilipwa na mawakala wa forodha na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkuu wa Wilaya ya Njombe Sarah Dumba afariki dunia

Mkuu wa wilaya ya Njombe Sarah Dumba amefariki dunia jana jioni ya  baada ya kuugua ghaflaMkuu wa mkoa wa Njombe Dkt Rehema Nchimbi amethibitisha kutokea kwa msiba huo, na kueleza kuwa marehemu Sarah...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Atuma Salamu Za Rambirambi Kufuatia Vifo Vya Wafanyakazi Sita...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo, kufuatia vifo vya wafanyakazi sita wa halmashauri ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watumishi Watatu Manispaa Ya Kinondoni Kusimamishwa Kazi

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeitaka Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kuwasimamisha kazi watumishi watatu wa Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lucy Mayenga Ajisalimisha....Amuomba Rais Magufuli Ampumzishe Ukuu wa Wilaya

Wakati Taifa likisubiri uteuzi wa wakuu wa wilaya huku wanaoshikilia nafasi hizo wakiwa katika chekeche kwa kuzingatia vigezo vitano, Mkuu wa Wilaya Iramba, mkoani Singida, Lucy Mayenga amemuomba Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne ya March 22

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwandishi wa Habari Salma Said Asimulia Alivyotekwa

Mwandishi wa habari wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) na DW, Salma Said amedai alitekwa na wanaume wawili baada ya kumkamata na kumuingiza kwenye gari lao kisha kuondoka naye na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama Yatupilia Mbali Maombi ya Kuzuia Uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar Es...

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeamuru uchaguzi wa meya na naibu meya wa Jiji la Dar es Salaam, kufanyika leo kama ilivyopangwa. Hakimu Mkazi Mkuu, Warialwande Lema alitoa uamuzi huo jana akijibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Raia wa Marekani waandamana kumpinga Donald Trump

Kwa mara nyingine tena mgombea wa kiti cha Republican kwenye uchaguzi wa urais nchini Marekani, Donald Trump amekumbana na vikwazo wakati akijiandaa kwenda kwenye mkutano katika jimbo la Phoenix....

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>