Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dkt.gwajima Afanya Mazungumzo Na Balozi Wa Uswizi Nchini Tanzania

Na.WAMJW- DSMWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima leo amekutana na Balozi wa Uswisi nchini Tanzania Mhe. Didier Chassot ambapo wamekubaliana kuimarisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mchengerwa Awataka Watumishi Wa Umma Kuwa Wanyenyekevu Kwa Wananchi

Na. James K. Mwanamyoto-DodomaWaziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa amewataka Watumishi wa Umma nchini kuwa wanyenyekevu wanapotoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashamba Ya Rivacu Manyara Kumegwa Kupatiwa Wananchi

Na Munir Shemweta, WANMM MANYARAWaziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amesema timu ya wataalamu itafanya tahmini kwenye mashamba mawili ya Mwada na Endamondo yanayomilikiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wafanyabiashara, Wawekezaji Kutoka Czech Waonyesha Utayari Kuwekeza Tanzania

 Na Mwandishi wetu, DarWafanyabiashara na Wawekezaji kutoka Jamhuri ya Czech wameonesha nia ya kuwekeza katika sekta ya kilimo hasa Pamba pamoja na viwanda vya nguo hapa nchini.Akibainisha kuhusu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali ya wakaribisha wawekezaji wa Jumuiya ya AFASU kutoka Misri

 Ibrahimu HamiduSerikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu – Uwekezaji imewakaribisha wawekezaji na wafanyabiashara kutoka nchini Misri kupitia Jumuiya ya Muungano Kimataifa chini ya kundi la Afrika na Asia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Na Mashirika Ya Umoja Wa Mataifa Wakutana Dodoma

 Na: Farida Ramadhan WFM- DODOMASerikali ya Tanzania kwa kushirikiana na Umoja wa Mataifa (UN) wapo katika hatua za mwisho za maandalizi ya Mpango mpya wa Ushirikiano wa miaka mitano (United Nations...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video Mpya: Macvoice Ft. Rayvanny – Tamu

Video Mpya: Macvoice Ft. Rayvanny – Tamu

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALBUM Mpya Alikiba – Only One King. Sikiliza nyimbo zote hapa

 ALBUM  Mpya  Alikiba – Only One King

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo October 8

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IGP Sirro Awataka Askari Polisi Kutimiza Wajibu Wao

 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro amewataka askari wa Jeshi hilo kutimiza wajibu wao ili kuweza kukabiliana na matukio ya uhalifu na wahalifu pamoja na vitendo vingine vya uvunjifu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwenyekiti wazee Chadema afikishwa Kortini kwa kumkashifu IGP

Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chadema (Bazecha), Hashimu Juma Issa, (63) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka mawili, likiwemo la kuchapisha taarifa za uongo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Makamba Aanza Kutekeleza Agizo La Makamu Wa Rais Mkoani Kigoma

Na Teresia Mhagama, KigomaWaziri wa Nishati, January Makamba ameanza kutekeleza agizo lililotolewa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Philip Mpango tarehe 22 Septemba 2021 la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali kufuta leseni za uchimbaji madini zisizofanya kazi

Na Steven Nyamiti-WMWAZIRI wa Madini, Dkt. Doto Biteko ameagiza Leseni za uchimbaji wa madini zisizoendelezwa zifutwe ili maeneo hayo wapewe wachimbaji wenye nia ya kuchimba madini.Dkt. Biteko ametoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Kupokea Air Bus Mbili Zanzibar Leo

Happy Lazaro,ArushaArusha .Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu  Hassan leo anatarajiwa kupokea ndege mbili aina ya Airbus ambapo ndege hizo moja itapewa jina la Zanzibar na nyingine...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uingereza yaondoa zuio la wasafiri kutoka Tanzania

Serikali ya Uingereza imeondoa zuio la kusafiri kwa abiria kutoka Tanzania na nchi zingine 46 zilizokuwa zimepigwa marufuku mapema mwaka huu kama njia ya kupunguza maambukizi ya aina mpya ya virusi vya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Toleo Jipya la App Yetu ya Mpekuzi Lililoboreshwa Zaidi....Ingia Playstore au...

Tumefanya Maboresho Kwenye App Yetu ya Mpekuzi Ili Kukuwezesha Kupata Habari zetu Haraka 👉1. Tumebadili muonekano na kuufanya kuwa mzuri zaidi👉2. Kila habari tunayoweka kuanzia sasa utapata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwandishi wa riwaya Zanzibar Abdulrazak Gurnah ashinda Tuzo ya Nobel katika...

Mwandishi wa vitabu vya  riwaya na hadithi fupi fupi  kutoka nchini Tanzania Abdulrazak Gurnah  ndio mshindi wa mwaka huu wa tuzo ya Nobel ya Fasihi.Kamati inayotoa tuzo hiyo imemtangaza Gurnah kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Majaliwa Amsimamisha Kazi Afisa Mipango Liwale

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Afisa Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale Bw. Omary Chingwile ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za ujenzi wa Hospitali ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watumishi wa Umma Watakiwa Kuzingatia Mwongozo wa Mavazi

Na. James K. Mwanamyoto-BariadiWaziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Mohamed Mchengerwa amewataka Watumishi wa Umma nchini kuzingatia Mwongozo wa Mavazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkutano Wa Kujadili Sera Ya Usafirishaji Haramu Wa Binaadamu Barani Afrika...

Issa Mzee    -Maelezo Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Christopher Kadio, amesema Rasimu ya Sera ya Kinga ya Usafirishaji Haramu wa Binadamu na Kinga ya Uhamaji haramu katika Bara la...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>