Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Ampa Maagizo Mazito CAG Mpya....." Usijifanye Muhimili,...

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemuapisha Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali, Charles Kichere, leo Novemba 4 Ikulu Jijini Dar es Salaam na kumpa maagizo katika kazi yake mpya.Moja ya maagizo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijana Aliyemtishia Mwenzake Kwa Bastola Afikishwa Mahakamani

Kijana Shaban Hamisi amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni akikabiliwa na kosa la kumtishia silaha  Dereva wa lori la mchanga Venance John ikiwa ni siku chache baada ya kusambaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Kuendelea Kutatua Changamoto Sekta Ya Usafirishaji:waziri...

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka Asasi za Kiraia ziendelee kuelimisha umma juu ya umuhimu wa kulipa kodi.“Nitoe rai kwenu wana AZAKI, muendelee kuielimisha jamii kuhusu umuhimu wa kulipa kodi kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu Azitaka Azaki Zihimize Ulipaji Kodi ...Ataka Fedha Wanazopata...

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka Asasi za Kiraia ziendelee kuelimisha umma juu ya umuhimu wa kulipa kodi.“Nitoe rai kwenu wana AZAKI, muendelee kuielimisha jamii kuhusu umuhimu wa kulipa kodi kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa Kwa Umma Kuhusu Kuanza Kwa Mkutano Wa Kumi Na Saba Wa Bunge

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumanne November 05

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shehena Ya Mifuko Isiyokidhi Viwango Yakamatwa

Ofisi ya Makamu wa Rais inaendelea kusimamia marufuku ya katazo la matumizi ya mifuko ya plastiki kwa kushirikiana na Kikosi kazi cha Kitaifa. Kwa siku za hivi karibuni kumekuwepo na wimbi la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Kilimo: Tumejipanga Kudhibiti Sumukuvu

Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-ArushaHivi karibuni, Serikali ya Tanzania ilipata fedha za kutekeleza mradi wa kuzuia kuenea kwa sumukuvu hapa nchini (TANIPAC). Mradi huo unalenga kupunguza kutokea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Iran yatangaza hatua mpya za kukiuka mkataba wa silaha za nyuklia

Iran imetangaza leo hatua zake mpya za kukiuka makubaliano makubwa ya silaha za nyuklia yaliyosainiwa mwaka 2015 kati ya mataifa yenye nguvu kubwa duniani. Iran imesema kwa sasa inatumia nyenzo ambayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE: Kutoka Bungeni Dodoma Kwenye Kipindi Cha Maswali Na Majibu

LIVE:  Kutoka Bungeni Dodoma Kwenye Kipindi Cha Maswali Na Majibu

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: CAG Mpya Akabidhiwa Ofisi Rasmi

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mpya Charles Kichere, aliyeapishwa jana Novemba 04, amekabadhiwa ofisi na Mtangulizi wake Prof. Mussa Assad leo Novemba 05, katika makao makuu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msimamo Wa Ligi Kuu Tanzania Bara Ulivyo Kwa Sasa

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ofisi Yavunjwa, Nyaraka mbalimbali zikiwemo fomu za uchaguzi Zaibiwa

Mnamo tarehe 31.10.2019 majira ya saa 19:50 usiku huko Kijiji cha Pashungu, Kata ya Itawa, Tarafa ya Isangati, Wilaya ya Mbeya Vijijini, Mkoa wa Mbeya. JACKSON MATONYA [28] Afisa mtendaji wa Kijiji cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video Mpya | Kayumba Ft Linah - UMENIWEZA

Video Mpya | Kayumba Ft Linah - UMENIWEZA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video Mpya | Walter Chilambo - God Of Mercy

Video Mpya | Walter Chilambo - God Of Mercy

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Video Mpya | Harmonize - UNO

Video Mpya |  Harmonize - UNO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kimataifa | Marekani kujiondoa rasmi makubaliano ya tabia nchi ya Paris

Marekani imeanza rasmi mchakato wa kujitoa kutoka katika makubaliano ya Paris ya mazingira, kulingana na waziri wake wa mambo ya kigeni Mike Pompeo.Rais wa  Marekani Donald Trump  alikuwa  mpinzani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Xi Jinping wa China Aimwagia Sifa Tanzania....Korosho, Madini ya...

Maonesho ya pili ya kimataifa ya bidhaa zinazoagizwa China yamefunguliwa leo mjini Shanghai, China. Rais Xi Jinping wa China amehutubia ufunguzi huo.Maonesho hayo yenye kauli mbiu ya "zama mpya,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Michezo | Kocha Mkuu wa Yanga SC, Mwinyi Zahera Atimuliwa

Uongozi wa Klabu ya Yanga leo Jumanne Novemba 5,umetangaza rasmi kumfuta kazi Kocha Mkuu wa timu hiyo Mwinyi Zahera pamoja na benchi lake lote la ufundi hadi walinzi wa timu hiyoTaarifa hiyo imetolewa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof. Mussa Assad Aahidi Kumpa Ushirikiano CAG Mpya.....Ataja Kazi Yake Mpya...

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali aliyemaliza muda wake, Prof. Mussa Assad ameahidi kumpa ushiarikiano wowote atakaouhitaji CAG mpya, Charles Kichere kwani wao wanafahamiana kwa kipindi...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>