Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali Yawaahidi Watanzania kunywa maji ya bomba bila kuchemsha

$
0
0
SERIKALI  inaendelea na jitihada mbalimbali za uboreshaji wa maji safi na salama ili maji yanayotoka bombani yaweze kunywewa moja kwa moja bila kuchemsha. Taarifa hiyo imetolewa bungeni leo na Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Maria Hewa (CCM).   Katika swali lake Maria Hewa alitaka kujua lini wananchi wataruhusiwa kunywa maji ya bomba

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>