Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Msanii Idris Sultan Afikishwa Mahakamani

$
0
0
Msanii Idris Sultan  amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusomewa mashtaka yanayomkabili baada ya kushikiliwa na Polisi kwa takriban siku nane. 

Katika viunga vya mahakama hiyo ameonekana mwanasheria wa msanii huyo, Benedict Ishabakakiba, baba yake Idris na watu wengine

Tutaendelea kukujuza

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>