Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

MWIGULU NAYE ADAI KUWA BOMU LILIRUSHWA NA CHADEMA...."KAMA SIO WAO, MCHUKUA VIDEO ALITAARIFIWA NA NANI KWAMBA BOMU LITARUSHWA???"

$
0
0
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Mwigulu Nchemba  amesema bungeni leo kwamba Chadema ilipanga kufanya shambulio la bomu kwenye mkutano wa Soweto jijini Arusha.Amesema hakuna jambo ambalo Chadema wamewahi kupanga wakashindwa.“Itakuaje mtu amechukua mkanda wa tukio la umwagaji wa damu bila kutikisika au mchukuaji kukimbia, haiwezekani- hiyo walipanga.“Inakuaje amechukua

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles