Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watalii MASHOGA Kutimuliwa Nchini

$
0
0
Waziri wa Mali Asili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla, ameweka wazi juu ya mpango wa kuwarudisha kwao watalii watakaoingia nchini, ambao watabainika kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja.

Kigwangalla ameweka wazi msimamo huo kupitia ukurasa wake wa Twitter alipokuwa akijibizana na wafuasi wake ambao walikuwa wakijaribu kumuonya kuhusu kuingilia kati suala la 'ushoga' kuwa litaathiri utalii wa nchi.

Waziri Kigwangalla amesema kwamba watu hao watarudishwa kwao wakiwa uwanja wa ndege mara tu baada ya kutua.

"Machoko hawatoingia hapa, wataishia airport na kurudishwa walikotoka"-Ameandika Kigwangalla

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>