Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Sihusiki katika ufisadi wa Escrow - Prof Tibaijuka

Mbunge wa Muleba Kusini Prof Anna Tibaijuka amesema kuwa hausiki na aina yoyote ya ufisadi wa fedha zilizokuwa katika akaunti ya Tageta Escrow. Akiongea na wajumbe wa chama hicho wilayani Muleba...

View Article


Msama azungumzia "kuachana" na Rose Muhando, Akanusha Rose Muhando kutumia...

Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions ya jijini Dar es Salaam, Alex Msama, ametamka kuwa yeye si Meneja wa malkia wa nyimbo za injili nchini, Rose Muhando akisema amekuwa akishirikiana naye katika...

View Article


Waliokuwa wanaelekea kwa Lowasa 'kula mwaka mpya' warudia njiani

Baadhi ya wafuasi wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa wamerudia njiani baada ya kupata taarifa za kutokuwapo kwa sherehe ya kupokea mwaka mpya ambayo hufanyika kila mwaka nyumbani kwake Monduli...

View Article

Sheikh Ponda Anyimwa Dhamana

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro imemnyima dhamana Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa katika kesi yake ya jinai namba 128 ya mwaka 2013 leo.   Kesi hiyo...

View Article

Rais Kikwete amteua Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Rais Jakaya Kikwete amemteua George Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, akichukua nafasi iliyoachwa na Jaji Frederick Werema aliyejiuzulu Desemba 16 kutokana na kuhusishwa na kashfa ya Akaunti...

View Article


Maajabu ya Shinyanga: Ndugu waamua kumzika marehemu na kuku tumboni

Katika hali isiyokua ya kawaida mwili wa Benadetha Steven mwenye miaka 35 aliyefariki dunia juzi umefanyiwa matambiko ya kimila baada ya kupasuliwa na wembe ukiwa kaburini na kuingizwa kuku ndani ya...

View Article

Ikulu Yasema: Rais hajadharau Bunge

KURUGENZI ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, imesema Rais Jakaya Kikwete hajadhalilisha Bunge ama wabunge.   Pia, imesema uteuzi uliofanywa na Rais wa Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la...

View Article

Panya Road 510 Wakamatwa Dar.....Wamo Viongozi Watatu wa Mtandao Mzima

Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es salaam linawashikilia vijana 510 wa kikundi cha uhalifu linachojiita panya Road wakiwemo viongozi watatu wa kikundi hicho. Hatua hiyo imekuja kutokana na...

View Article


Wastara: sifaidiki na kazi za Sajuki

Msanii wa filamu Wastara Juma, ambaye ni mjane wa aliyekuwa staa wa filamu mahiri nchini, Marehemu Sajuki Juma Kilowoko, ameweka wazi kuwa baada ya kufariki kwa mumewe, hakuna manufaa yoyote ambayo...

View Article


Kafulila: Wanaotetea 'wezi' wa Escrow wanajisumbua

Mbunge wa Kigoma kusini, David Kafulila, amesema wale wanaojaribu kumkingia kifua Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo pamoja na watuhumiwa wengine ili wasiwajibishwe wanajisumbua....

View Article

Mwanasheria Mku MPYA Wa Serikali Aaapishwa.......Aahidi Kushughulikia Usiri...

Mwanasheria mkuu wa serikali George Masaju amewataka watanzania kujenga imani na serikali yao juu ya masuala mbalimbali ikiwemo ya mikataba hasa inayogusa maslahi ya taifa. Akizungumza na waandishi wa...

View Article

Mwanamke Ajifungua mapacha walioungana, Musoma

Mwanamke mmoja  mkazi  wa  kata  ya  Buhare katika manispaa ya Musoma mkoani Mara Bi Helena Paulo mwenye umri wa  miaka 20 amejifungua watoto  wawili   mapacha ambao  wameungana katika eneo  la  kifua...

View Article

Binti Achomekwa Chupa Sehemu za siri na Kujeruhiwa vibaya kwa Kipigo jijini...

MKAZI wa Kitangiri jijini hapa, Biera Edwin (22) amelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Sekou Toure akipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake kwa tuhuma za kuwa na...

View Article


Aua, ajiua, aacha ujumbe wa kurasa nne

Mfanyabiashara wa mbao Manispaa ya Songea, Emmanuel Moshi (40), mkazi wa Marangu, mkoani Kilimanjaro amemuua mfanyabiashara mwenzake aliyetambuliwa kwa jina la Didas Alphonce (64), mkazi wa Kilema...

View Article

Ewura Yashusha Bei za Mafuta.....Ni kuanzia kesho January 7 2015

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), Felix Ngamlagosi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam leo, kuhusu...

View Article


Mabomu ya Machozi yatumika Kuzima Vurugu zilizojitokeza jijini Dar wakati wa...

Polisi Jijini Dar es Salaam wamelazimika kufyatua risasi hewani na kufyatua mabomu ya machozi kufuatia kuibuka kwa vurugu katika hoteli ya Land Mark Ubungo ambapo shughuli ya uapishaji wa wenyeviti wa...

View Article

Kamati ya Miss TZ waililia wizara

Kamati ya Miss Tanzania imesema kuwa imeiandikia barua Wizara ya Habari Tamaduni na Michezo kuomba kikao cha pamoja kati yao na BASATA ili kutafuta usuluhishi wa hatua ya Baraza hilo kuyafungia...

View Article


Mkuu wa mkoa wa Mwanza atoa siku tano kwa wanakijiji kwimba kuhakikisha...

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo ametoa muda wa siku tano kwa wakazi wa kijiji cha Ndami na jeshi la jadi Sungusungu wilayani kwimba, kuhakikisha wanampata mtoto mwenye ulemavu wa ngozi –...

View Article

Viongozi wa Siasa Wamtaka Rais Kikwete Afanye Maamuzi juu ya Waziri wa...

Viongozi wa vyama vya siasa nchini wamemtaka Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi yake aliyoahidi wakati wa mkutano na wazee wa Dar es Salaam ya kufanya maamuzi ya kumwajibisha waziri wa nishati na...

View Article

CCM Shinyanga yalaani UVCCM kufunga ofisi.

KAMATI ya siasa ya halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) wilaya ya Shinyanga Mjini mkoani humo, imelaani kitendo cha jumuiya ya umoja wa vijana wa chama hicho, kufanya maandamano na kufunga...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>