Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Mvua Yaua Jijini Dar.....Mtoto Asombwa na Maji akiwa Amelala, Ajuza aangukiwa...

MVUA iliyonyesha jijini Dar es Salaam jana, imeleta balaa baada ya kuua watu wawili, katika maeneo tofauti ya jiji, likiwemo tukio la mtoto wa miaka minane kufa baada ya kuzidiwa na maji yaliyoingia...

View Article


Binti Ajizalisha na kutumbukiza mtoto kwenye ndoo

MSICHANA mmoja mkazi wa Mtaa wa Zaire eneo la Kijenge Kaskazini mkoani Arusha, amelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru chini ya ulinzi mkali wa Polisi baada ya kujizalisha mwenyewe na kisha...

View Article


Mgombea urais atabiriwa kifo.....Yadaiwa Atafariki Ghafla Akiwa Jukwaani

Maalim Hassan Hussein, ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mtabiri maarufu nchini, marehemu Sheikh Yahya Hussein, ametabiri mambo 18 yatakayotokea mwakani, likiwamo la kufariki ghafla kwa kiongozi mmoja mzee...

View Article

Washitakiwa mauaji ya Dk Mvungi wazua kizaazaa mahakamani

Washtakiwa 11 wa kesi ya mauaji ya  kukusudia ya Aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk.  Sengondo Mvungi wamegoma kushuka kizimbani  katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakishinikiza...

View Article

AJALI: Lori la mafuta lateketea kwa moto huko Tanga

Lori la mafuta likiteketea kwa moto mara baada ya kugonga nguzo ya umeme maeneo ya Amasia huko Handeni mkoani Tanga leo.    

View Article


Kimenuka: Simba nayo yawatimua Makocha wake

Klabu ya Simba imewafukuza kazi Kocha Patrick Phiri raia wa Zambia na msaidizi wake Selemani Matola kutokana na matokeo mabaya ya timu.

View Article

Thea: Hatuvai Vimini Kusaka Mabwana, Vimini ni KIKI tu ya Mjini

MWIGIZAJI Ndumbagwe Misayo maarufu kama Thea, amesema wasanii huvaa sketi fupi ‘vimini’ wakilenga kwenda na wakati na si kujipitisha mbele ya wanaume. Thea aliiambia Mwanaspoti, kuwa ni kama...

View Article

Mapenzi Moto Moto: Diamond Kula Sikukuu ya Mwaka Mpya Rwanda na Mpenzi Wake...

Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zarinah Hassan 'Zari'  au 'The Boss Lady' baada ya kuwasili Rwanda jana. Diamond Platnumz...

View Article


Samantha Apokelewa Kwa Mikono Miwili na Familia ya Idris ( Mshindi wa Big...

Mapenzi /urafiki wa Idris Sultan na mrembo wa Afrika Kusini aliyekuwa swahiba wake wa karibu kwenye shindano la Big Brother Africa, Samantha, umefika kwenye hatua ya juu zaidi. Samantha ambaye bado...

View Article


Polisi Yatangaza Msako kwa Wanawake Wanaofanya Biashara ya Ngono

Polisi mkoani Tanga wamesema wataendesha msako wa kuwakamata watu wanaofanya biashara ya ngono katika nyumba za starehe na mitaa maarufu kwa biashara hiyo.   Msako huo unatokana na malalamiko ya muda...

View Article

Nimeamua Kutoka Kimapenzi na Binti wa Kazi ( Hausigeli) , Sina Jinsi…

Nina mke na watoto 3 wote tunafanya kazi. Tulipozaa mtoto wa pili wife alianza kupunguza umuhimu wa tendo la ndoa sijua ni kwa kuzoea au kuchoka. Tumewekana vikao vyetu binafsi ili kila mmoja...

View Article

Ajali Yaua Wanne Moshi....Moto wateketeza maduka 18, magari na pikipiki Handeni

Watu wanne wamekufa na watatu wamejeruhiwa katika ajali mbili tofauti, zilizotokea Moshi mkoani Kilimanjaro na Handeni mkoani Tanga. Katika ajali ya Moshi, watu wanne wamefariki papo hapo na wengine...

View Article

Hakimu AJITOA kesi ya Ugaid ya Shekhe Farid

Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Hellen Riwa amejitoa kusikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Shekhe Farid Hadi...

View Article


Mtoto ALBINO wa miaka minne atekwa jijini Mwanza.....Polisi waahidi milioni 3...

JESHI la Polisi mkoani hapa linawashikilia watu wanne, akiwemo baba mzazi, Emmanuel Shirinde (28) wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Pendo Emmanuel ambaye aliporwa na watu wasiojulikana waliovamia...

View Article

Kwa heri mwaka 2014 uliyenogeshwa na Vituko Vingi na Matukio motomoto...

Hatmaye miezi 12 imekamilika leo ikiashiria kumalizika kwa mwaka 2014 utakaokumbukwa na wengi kwa kuwa na matukio motomoto.   Matukio ya kukumbukwa ni mengi, hata hivyo andiko hili litahitimishwa kwa...

View Article


Picha za Mtuhumiwa aliyeuawa kwa kupigwa Risasi na Polisi Mahakamani leo

JESHI la Magereza limefanikiwa kumdhibiti Mahabusu  wa Kesi ya dawa za kulevya ambaye ni Raia wa Sieralioni,  Abdul Koroma (33) asitoroke chini ya Ulinzi wa Askari Magereza ndani  Mahakama ya Hakimu...

View Article

Akamatwa akijiandaa kufanya ujangili

Jeshi la polisi mkoani Morogoro limeendelea na operesheni shirikishi kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama, askari wa hifadhi ya taifa TANAPA, hifadhi ya mikumi na wananchi ambapo wamemtia...

View Article


Mvua zasabaisha mafuriko Morogoro

Mvua kubwa zilizonyesha kwa muda mfupi mjini Morogoro zimesababisha mafuriko na baadhi ya barabara kushindwa kupitika na maji kujaa katika baadhi ya maduka.   Wakazi wa mji wa Morogoro wakizungumzia...

View Article

Wananchi walilia ardhi iliyouzwa kwa mwekezaji

Wakazi wa kijiji cha Ayalabe kata ya Ganako wilaya ya Karatu wameiomba serikali isikie kilio chao kwa kuchukua hatua kwa watendaji wa halmashauri waliohusika katika kuuza hekari 30 za ardhi ya shule...

View Article

Mwakyembe atimua watumishi 6 TRL

Waziri wa Uchukuzi nchini Tanzania Dkt. Harrison Mwakyembe amewafukuza kazi wafanyakazi 6 wa Shirika la Reli nchini (TRL) kwa makosa ya wizi wa fedha na ameamuru wakamatwe kuanzia jana na wafunguliwe...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>