Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Diamond: Aliyenifundisha Kuongea Kiingereza ni Penny, sio Wema Sepetu

Wakati  kila mtu akiamini mwalimu wake wa lugha ya Kiingereza ni Wema Sepetu ‘Madam’ staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameibuka na kudai aliyemfundisha lugha hiyo ni aliyekuwa mpenzi wake,...

View Article


Mke wa Mtu Anaswa Akijiuza Kusaka Pesa za Christmass

Tabia ya wanawake kujiuza kwa kisingizio cha kusaka fedha kwa ajili ya Sikukuu ya Krismasi imewatokea puani wanawake zaidi ya kumi akiwemo mke wa mtu baada ya kunaswa mawindoni na kutiwa nguvuni....

View Article


Magazeti ya Leo Jumatatu ya tarehe 22 Disemba 2014

Magazeti  ya  Leo Jumatatu  ya  tarehe 22 Disemba  2014

View Article

Wema Ampongeza Jokate Lakini Asisitiza Kuendelea Kumnunia

Mastaa mbalimbali wamajitokeza na kumponzea mwanadada Jokate Mwegelo kwakuweza kupambana na kufanikiwa kuingia mkataba na kampuni kutoka China , kwaajili ya kutengeneza vitu mbalimbali kama nywele,...

View Article

Sakata la Escrow: Rais Kikwete Amfukuza kazi Waziri wa Ardhi, Nyumba na...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametengua uteuzi wa waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi Prof. Anna Tibaijuka kutokakana na makosa ya ukiukwaji wa maadili ya utumishi wa umma hasa namna...

View Article


Mume Ajinyonga Ukweni baada ya Mkewe Kumkataa

Mkazi mmoja wa Kijiji cha Nyamisisi, Kata ya Kukirango, wilayani Butiama,  Ryakora Kurwijira (34) amejinyonga hadi kufa kwa kutumia shati lake akiwa ukweni baada ya kukataliwa na mkewe aliyekuwa...

View Article

Mtu mmoja Afariki Dunia baada ya kulipuliwa na bomu alilotaka kuwarushia...

Askari  polisi aliyejeruhiwa Jeshi la polisi limeunda timu ya makachero kutoka makao makuu ya jeshi hilo jijini Dar es salaam  wakishirikiana na wa mkoa wa Ruvuma kufanya uchunguzi kuhusiana na tukio...

View Article

Diamond Hana Uwezo wa Kumpa Mwanamke Ujauzito

BAADA ya kudaiwa na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuwa alichoropoa mimba zake mbili, mtangazaji wa Radio E-FM, Penniel Mungilwa ‘Penny’ ameibuka na kujibu mapigo kwamba...

View Article


Mgombea Uenyekiti na Mfanyakazi wake wauawa kwa kukatwa Mapanga

ALIYEKUWA mgombea nafasi ya Uenyekiti wa Serikali ya kitongoji cha Idodomiya kijiji cha Kanoga na mfanyakazi wake kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wilaya ya Kaliua mkoani Tabora,...

View Article


Mwenyekiti wa CHADEMA Atimuliwa nchini kwa madai kwamba sio Raia wa Tanzania

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wilayani Mbogwe mkoani Geita Omari Atanas, amekamatwa na maofisa Uhamiaji wilayani hapa kurudishwa kwao nchini Rwanda baada ya kubainika sio...

View Article

Wanaoambukiza UKIMWI kwa makusudi kushughulikiwa

SERIKALI wilayani Kiteto mkoani Manyara imewataka watu wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi kuacha kuambukiza wengine kwa makusudi kwa kufanya ngono zembe.   Akizungumza kwenye maadhimisho ya Ukimwi ambapo...

View Article

Korea Kazkazini yadai Rais Obama ni Sawa na Tumbili

Korea kaskazini imeilaumu Marekani kutokana na mataizo ya mtandao ambayo yameikumba siku chache zilizopita.   Tume ya taifa ya ulinzi nchini Korea Kaskazini inasema kuwa Marekani inavuruga mifumo ya...

View Article

Magazeti ya Leo Jumapili Ya Tarehe 28 Disemba 2014

Magazeti  ya  Leo  Jumapili  Ya  Tarehe 28 Disemba 2014

View Article


Tibaijuka: Nitagombea Ubunge Mwakani licha ya Sakata la Escrow

Siku chache  baada ya Rais Kikwete kumfuta kazi  Tibaijuka kama waziri wa ardhi,nyumba na makazi ,mbunge huyo amewaambia wapiga kura wake kwamba hawakumchagua kama waziri bali kama mwakilishi wao....

View Article

Waziri Nyalandu atangaza nia ya kuwa Rais wa Tanzania

Mbunge wa Singida Kaskazini, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ametangaza rasmi kuwania Urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu mwakani. Amesema amechukua uamuzi huo baada ya kuona kwamba...

View Article


Kashfa ya Escrow ndo sababu kuu ya Anguko la CCM-Wassira

Mh. Stephen Wassira, amekiri kuwa kutochukua hatua za mapema kuhusu sakata la uchotwaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow ni moja ya sababu ambayo imesababisha chama hicho kutofanya vizuri...

View Article

Jiji la Dar es Salaam Lakumbwa na Mafuriko....Maduka yafungwa, Magari...

Mvua zilizonyesha kwa muda mfupi katika jiji la Dar es Salaam zimesababisha mafuriko katika maeneo ya katikati ya jiji na kusababisha baadhi ya maduka kufungwa na magari kuzimika barabarani kutokana...

View Article


Fella adai alipigwa mkwara na mashehe kwa kumvalisha suruali Bibi Cheka

Said Fella amedai kuwa mashehe waliwahi kumfuata na kumtaka aache tabia ya kumvalisha suruali Bibi Cheka.   Akizungumza kwenye kipindi cha Mkasi TV, Fella alisema mashehe hao walimfuata na kumwambia...

View Article

Bilionea wa Nigeria ampiku Oprah na kuwa mwanamke mweusi tajiri zaidi duniani

Bilionea wa Nigeria, Folorunsho Alakija amempiku Oprah Winfrey kama mwanamke mweusi tajiri zaidi duniani kwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 7.3 kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na jarida la Ventures...

View Article

Wastara: Sajuki aliondoka na nusu ya akili yangu

Muigizaji wa filamu, Wastara Juma Sajuki amesema pengo la mume wake Sajuki halijazibika. “02.01.2015 Marehemu mume wangu kipenzi Juma Kilowoko (sajuki)anatimiza miaka 2 tangu atuache tukiwa na majozi...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>