Aisha Madinda: Kutoka Kigoma,Uholanzi,Dubai hadi Kifo
Siku ya Desemba 17, mwaka huu haikuwa poa hata kidogo kwenye tasnia ya muziki wa dansi Bongo katika kipengele cha unenguaji. Zilikuwa ni habari mbaya za kifo cha aliyekuwa mnenguaji bei mbaya wa Bendi...
View ArticleSakata la Escrow: Tibaijuka Agoma kujiuzulu.....Asema Yeye na Prof Muhongo...
Siku mbili baada ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema, kujiuzulu, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka, ameibuka na kusema yeye pamoja na Waziri...
View ArticleWanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2015 Watajwa
Jumla ya wanafunzi 438,960 kati ya wanafunzi 451,392 waliofaulu mtihani wa darasa la saba nchini Tanzania wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza katika shule za serikali za sekondari kwa awamu ya...
View ArticleJohari: Namsubiri Mwanaume wa Kunifungua Kizazi
Pamoja na tetesi kuwa nguli wa filamu za Kibongo Blandina Chagula ‘Johari’, ameshindwa kushika mimba, mwenyewe ameamua kufunguka na kudai kuwa kizazi chake kinafanya kazi na anachosubiri ni kumpata...
View ArticleHatimaye Mwili wa Aisha Madinda Wafanyiwa Uchunguzi, Kuzikwa Leo Mchana
Baada ya danadana nyingi, hatimaye mwili wa mnenguaji Aisha Madinda unafanyiwa upasuaji muda huu katika hospitali ya Muhimbili, jijini Dar es Salaam. Akizungumza na mtandao wa Saluti5, mkurugenzi wa...
View ArticleMtoto afanyiwa unyama na mama yake mzazi
Mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka sita amefanyiwa visa vya kinyama na mama yake mzazi, ambaye anadaiwa kumjeruhi vibaya kwa kumchoma moto mikono yake na kisha kumfungia ndani kwa siku nne akiugulia...
View ArticleJokate Mwegelo asaini mkataba wa thamani ya Sh8.5 bilioni na kampuni ya Kichina
Mbunifu mavazi, Miss Tanzania wa namba mbili 2006, mwanamuziki na muigizaji wa filamu, Jokate Mwegelo amesaini makubaliano yenye thamani ya Sh8.5 billion na kampuni ya Kichina, Rainbow Shell Craft...
View ArticleAisha Madinda Azikwa Kibada Kigamboni
WAKURUGENZI wa bendi hasimu za dansi Tanzania, African Stars, Asha Baraka na Extra Bongo, Ali Choki, jana wameongoza mamia ya waombolezaji kumzika aliyekuwa mnenguaji wa zamani wa bendi hizo, Aisha...
View ArticleSerikali "kuwaanika" wanaoiba dawa kutoka MSD
Serikali imesema itawataja hadharani watu wote wanaodaiwa kujihusisha na wizi wa dawa zinazonunuliwa na serikali kupitia Bohari Kuu ya Madawa (MSD) ili waweze kutambuliwa na wananchi, ambao wamekuwa...
View ArticleWakazi 500 wa Kiseke Mwanza, kuhama kupisha mnara wa Rada
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania – TMA, kwa kushirikiana na Tume ya Taifa ya Nguvu za Atomiki imewataka wakazi wa Kiseke jijini Mwanza wanaoishi ndani ya eneo la mita 500 hadi kilometa moja toka eneo...
View ArticleUchaguzi Serikali za Mitaa: UKAWA Kigoma wafanya Maandamano Makubwa
Mamia ya wananchi na wafuasi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA katika kata ya Kumsenga wilayani Kibondo mkoani Kigoma, wameandamana kupinga wagombea wa UKAWA kuondolewa katika uchaguzi wa serikali...
View ArticleCCM Mara Watishia Kufanya Maandamano
Chama cha Mapinduzi wilaya za Rorya na Musoma mkoani Mara wamemtaka waziri mwenye dhamana na serikali za mtaa kuchukua hatua za haraka kwa wakurugenzi wa halmashauri hizo kabla ya kuitisha...
View ArticleRais Kikwete Kulihutubia Taifa Tarehe 22, Jumatatu Mchana
Rais Kikwete ameahirisha kulihutubia taifa kupitia "Wazee wa Dar" ambapo sasa ataongea nao Jumatatu wiki ijayo(Disemba 22, 2014). Ikulu imethibitisha na kusema muda utatangazwa. Rais kikwete jana...
View ArticleFlora Mbasha awasilisha Mahakamaini Dai la Talaka na Maombi Kuhusu Mtoto na...
Mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili nchini Tanzania,Flora Mbasha, amekwenda katika mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar-es-Salaam, akiomba kuvunjwa kwa ndoa yake na mumewe Emanuel Mbasha. Flora...
View ArticleChadema: Uchaguzi Serikali za Mitaa ulihujumiwa
Kamati Kuu ya Chadema imesema tathmini yao kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Desemba 14, mwaka huu imebaini kuwa ulihujumiwa. Pia, kimewataka Waziri Mkuu Mizengo Pinda na Waziri wa...
View ArticleAmtupa Mjukuu nje ya Basi likiwa katika Mwendo
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida mama moja aliye kuwa akisafiri na mtoto wake mmoja na wajukuu zake wawili, aliamua kumtupa mjukuu wake wa miaka sita dirishani huku basi likiwa katika mwendo kasi na...
View ArticleMagazeti ya Leo Jumapili ya Tarehe 21 Disemba
Magazeti ya Leo Jumapili ya Tarehe 21 Disemba
View ArticleTaarifa ya ziara ya Waziri Mkuu nchini Qatar
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewasili jijini Doha, Qatar jana usiku (Jumamosi, Desemba 20, 2014) kwa ziara ya siku tatu kwa mwaliko wa Serikali ya nchi hiyo inayotarajiwa kuanza leo. Lengo la ziara ya...
View ArticleCHADEMA Watoa Tahadhari kwa Rais kuhusu Kuwatetea Wahusika wa Sakata la Escrow
C/HQ/ADM/PRESS/37 21/12/2014 Ndugu waandishi wa habari, Tumewaita hapa baada ya kupata fununu kuwa Rais Jakaya Kikwete anataka kutumia hotuba yake ya kesho( leo ) na wanaoitwa, “Wazee wa Dar es...
View ArticleIkulu yaitisha mkutano na Wanahabari Jumatatu 22 Desemba saa Tatu Kamili Asubuhi
Taarifa iliyotolewa jana usiku na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu jijini Dar es salaam, ilieleza kuwa kumeitishwa Mkutano na waandishi wa habari Jumatatu asubuhi Ikulu jijini Dar es Salaam....
View Article