Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa...

Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha...

View Article


Mgombea CCM, mpigakura wafariki dunia ghafla

Mgombea uenyekiti kupitia CCM Mtaa wa Swea, Kata ya Mkolani, Nyamagana, Mwanza, Pius Mihayo amefariki dunia ghafla akiwa mtaani kwake, muda mfupi baada ya kupiga kura.   Msimamizi wa uchaguzi huo,...

View Article


Polisi Kagera yatawanya maandamano ya CHADEMA

Jeshi la Polisi mkoani Kagera limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) waliokuwa wakiandamana huku wakifurahia...

View Article

CCM Mtwara yakiri kukabiliwa na upinzani Mkubwa

Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Mtwara kimekiri kuwa upinzani umekuwa mkubwa hasa maeneo ya mjini baada ya matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa kuonesha kuwa CCM imeshinda viti 58, wakati vyama...

View Article

Watendaji Waliovuruga Uchaguzi wa Serikali za mtaa Kufukuzwa Kazi

SERIKALI imesema itachukua hatua kali ikiwemo kuwafukuza kazi, kuwavua madaraka, kuwashusha vyeo na kuwakata mishahara viongozi walioshindwa kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa na kusababisha...

View Article


Mganga wa Jadi awachoma Moto Wateja Wake

Mganga wa tiba za asili, Omari Kikukwa (32) mkazi wa Kijiji cha Bondo , Kata ya Mswaki wilayani hapa anashikiliwa na polisi kwa kuwachoma moto wateja wake na kusababisha kifo cha mtu mmoja.   Aziza...

View Article

CHADEMA Yatikisa Tarime

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezoa viti vingi vya vitongoji, mitaa na vijiji vilivyokuwa vikikaliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Tarime.   Matokeo ya awali yanaonesha Chadema...

View Article

Aliyeshinda CHADEMA Akutwa Amekufa Kisimani huko Geita

Kumetokea hali isiyo ya kawaida iliyowastua wananchi wa mtaa wa Msalala Road mkoani Geita ya kuondokewa na mgombea wa nafasi ya Wajumbe wa Serikali za Mitaa (Viti Maalumu) kupitia chama cha Demokrasia...

View Article


Auawa akishangilia ushindi wa CHADEMA

Imeelezwa kuwa uchaguzi wa kuwapata viongozi wa Serikali za Mitaa nchini uliofanyika juzi Jumapili umeendelea kumwaga damu ambapo mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Simeo Isaka (42), mkazi wa...

View Article


Matokeo ya Uchaguzi wa Wenyeviti wa Serikali za Mtaa Mkoa wa Mwanza

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Halifa Hida, ofisini kwake akiwa mbele ya waandishi wa habari ametangaza matokeo ya uchaguzi wawenyeviti wa serikali za mitaa katika mitaa 175 ya Jimbo la...

View Article

Uchaguzi wa marudio, Katibu wa Mbunge ajeruhiwa Vibaya

Chama cha Demokrasia na Maendeleo wilayani Iringa kimelalamikia rafu na kasoro mbalimbali zilizojitokeza katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Disemba 14 na kusema kuwa uchaguzi huo...

View Article

CUF:Waziri Mkuu na Waziri wa TAMISEMI wawajibishwe

Chama cha Wananchi - CUF kimemtaka Rais Jakaya Kikwete kumuwajibisha Waziri Mkuu na Waziri wa TAMISEMI kwa kushindwa kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa baada ya kuibuka dosari kubwa zikiwemo...

View Article

CCM yasikitishwa na dosari katika uchaguzi wa Serikali za Mtaa.....Yataka...

Chama cha Mapinduzi CCM kimesema hakioni sababu ya suala la waliohusika kusababisha dosari zilizojitokeza wakati wa zoezi la upigaji kura kuundiwa tume au kuchunguzwa wakati wanajulikana. Chama hicho...

View Article


Watu 7 Wafariki katika Ajali Mbaya ya Basi la Mohammed Trans

Watu saba wamefariki Igunga, mkoani  Tabora, ambapo wengi wamejeruhiwa baada ya basi la Mohammed Trans  lililokuwa likitoka Mwanza kuelekea Dar es Salaam, kukatika 'steering power'   na  kuacha njia...

View Article

Kibaka Anusurika "Kuchomwa Moto" Baada ya Kuiba Pikipiki Magomeni Dar

Kijana ambaye jina lake haikufahamika mara moja, amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira kwa tuhuma za wizi wa pikipiki jijini Dar.Tukio hilo la kusisimua limetokea jana asubuhi...

View Article


Sakata zima La Mabasi Kutekwa jijini Mwanza ambapo Abiria walijeruhiwa Vibaya...

Jumla ya magari saba yakiwemo mabasi mawili yaliyokuwa yakitokea jijini Dar es Salaam kuelekea Mwanza, yametekwa na watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi usiku wa kuamkia Jumamosi ya wiki iliyopita, saa...

View Article

Escrow yamng’oa Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Jaji Frederick Werema

Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema (pichani)  Disemba 16  amejiuzulu nafasi yake na tayari amemwandikia barua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Jakaya Kikwete....

View Article


Wakurugenzi Wafukuzwa kazi kwa uzembe uliojitokeza wakati wa Uchaguzi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia (pichani) leo amewavua madaraka wakurugenzi wa Kasulu, Bunda, Serengeti, Mkuranga, Sengerema, Kaliua kwa uzembe...

View Article

Aisha Madinda Afariki dunia

Aliyekuwa mnenguaji na mwimbaji wa Bendi ya Twanga Pepeta, Aisha Madinda amefariki dunia leo jijini Dar es Salaam.   Akiongea na Mpekuzi, Mkurugenzi wa bendi ya Twanga Pepeta amesema kuwa alipewa...

View Article

Penny- Natamani Mtoto lakini sina wa Kuzaa nae

Aliyekuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ Penniel Mwingilwa amesema sasa anatamani kuzaa lakini tatizo lipo kwa mwanaume wa kuzaa naye. Penny alitoa tamko hilo baada ya Diamond kunukuliwa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>