Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili July 19

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Afanya Mabadiliko Uteuzi Wa Mkuu wa Mkoa wa Njombe

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polepole: Viongozi Wasioridhika na Wenye Tamaa Hawatufai

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama tawala cha Mapinduzi (CCM) Humphrey Polepole , amesema viongozi wa umma wasioridhika na nyadhifa zao, hawana nafasi ndani ya chama hicho.Polepole ametoa kauli hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mageuzi Ya Mifumo Na Utendaji Heslb Yameimarisha Elimu Ya Juu

Na Mwandishi Wetu,HESLBKATIKA kuhakikisha taifa letu linajenga uchumi ulio imara na jamii inayoheshimu na kufuata misingi ya uwajibikaji na ubunifu, Serikali pamoja na mambo mengine imeendelea kuwekeza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lema apita kura za maoni kugombea ubunge Arusha mjini

Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ameshinda kwenye kura za maoni za chama hicho kwa kupata kura 181 kati ya kura 207 hivyo anakuwa mgombea atakayepeperusha bendera ya CHADEMA kugombea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeshi la Polisi Nchini latoa taarifa kwa vyombo vya habari

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benard Membe Arejesha Fomu ya Kugombea Urais Kupitia ACT Wazalendo

Aliyewahi kuwa waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe, leo Julai 19, 2020 amerejesha fomu za kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ACT Wazalendo.Makabidhiano...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yatoa Mabilioni Kulipa Madeni Ya Wakulima Wa Korosho

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imetoa sh. bilioni 20 za kulipa madeni ya wakulima, wasafirishaji, wapuliziaji dawa na waendesha maghala ya korosho."Rais Magufuli ametoa fedha hizi kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wazee Waishukuru Serikali Kwa Kuwatunza

Wazee wanaoishi kwenye makazi ya Mwanzage na Msufini Mkoani Tanga wameishukuru Serikali ya Awamu ya Tano kwa kuendelea kuwatunza na kuhakikisha wanapata mahitaji yao muhimu.Hayo yamebainishwa kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hotuba Ya Mgombea Wa Urais Wa Zanzibar Dk Hussein Ali Hassan Mwinyi ,kisiwani...

Nianze kwa kumshukuru Mwenyezimungu, mwingi wa rehma kwa kutuwezesha kukutana hapa hii leo. Kuwashukuru wananchi wa Pemba kwa mapokezi makubwa sana. Napata faraja kazi yetu sasa itakamilika mapema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu July 20

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wazee Kilimanjaro Wajipanga Kumpa Tuzo Na Kumuomba Radhi Rais Magufuli

Na Dixo Busagaga ,MoshiWAZEE katika mkoa wa Kilimanjaro wakiwemo viongozi wa Mila ,Machifu na Malaigwanani wameanza mchakato wa kumpongeza na kumpa Tuzo Maalumu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Freeman Mbowe, Mchungaji Peter Msigwa Wajitoa Mchakato wa Kugombea Urais CHADEMA

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na makada wengine watatu  wamejiengua  katika kinyang’anyiro cha kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchujo Mkali Wa Kura za Maoni Kwa Wagombea CCM Waanza Leo

Mchakato wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa kupata wagombea katika nafasi mbalimbali unaanza leo ambapo mikutano ya ngazi ya wilaya/majimbo itapiga kura za mapendekezo kati ya leo na kesho.Upigaji wa kura...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE: Rasi Magufuli Anawaapisha Viongozi Wateule, Ikulu Chamwino, Dodoma

LIVE: Rasi Magufuli Anawaapisha Viongozi Wateule, Ikulu Chamwino, Dodoma

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uhusiano Uliopo Kati ya Kujichua na Ukosefu wa Nguvu za Kiume

Ukosefu  na/ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, ni  tatizo  linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume  duniani.   Zipo  sababu  nyingi  zinazo  sababisha  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu: Ulinzi Wa Nchi Ni Kwa Watanzania Wote

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema suala la ulinzi wa nchi ni la Watanzania wote na siyo la kuwaachia vyombo kama Jeshi la Wananchi, Uhamiaji, Polisi au Magereza.Ametoa kauli hiyo jana (Jumapili,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA: Rais Magufuli Awaapisha Viongozi Mbalimbali IKULU.....Awataka...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, amewataka viongozi wapya walioapishwa leo kuimarisha ushirikiano mzuri na watendaji waliopo katika maeneo yao ya kazi ili kuongeza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Ataka Kura za maoni CCM zihesabiwe hadharani ili Kila Mgombea...

Rais John Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ameagiza wasimamizi wa uchaguzi ndani ya chama hicho kuhesabu kura zote mbele ya wajumbe wa mikutano.Akiwaapisha viongozi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe Ajitosa Tena Kugombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini anayemaliza muda wake Zitto Kabwe, ametangaza nia ya kuwania ubunge wa jimbo hilo kwa mara nyingine tena.Kupitia Ukurasa wake wa kijamii wa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live