Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAKUKURU Yakosa Ushahidi Kesi ya Livingstone Lusinde (Kibajaji)

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Dodoma, Sostenes Kibwengo amesema,taasisi hiyo haitaendelea na kesi ya tuhuma za rushwa ya aliyekuwa Mbunge wa Mtera kupitia CCM,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Dr Hussein Mwinyi Apokelewa Kwa Kishindo Zanzibar

Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hussein Mwinyi, jana alipata mapokezi ya kishindo kutoka kwa wanachama wa chama hicho, alipowasili Zanzibar.Mgombea huyo ambaye aliteuliwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIVE: Rais Magufuli Anawaapisha Viongozi Wateule, Ikulu Chamwino, Dodoma

LIVE: Rais  Magufuli Anawaapisha Viongozi Wateule, Ikulu Chamwino, Dodoma

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

M-bet na Star times yatoa zawadi kwa washindi

Meneja Masoko wa startimes ,David Malisa  akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa promosheni ya kutoa  zawadi mbalimbali kama Smart Tv, vingamuzi na vifurushi mbali mbali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Juma Njemba: Binadamu aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Juma Njemba: Binadamu aliyeishi maisha ya peponi akiwa dunianiKuanzia katikati ya miaka ya themanini hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000 huko mkoani Kigoma aliishi " fundi " mmoja aliye julikana kwa jina...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maazimio Ya Mkutano Wa SADC Wa Baraza La Mawaziri Wa Fedha Na Uwekezaji

1.        Jopo la mapitio ya viashiria vya uchumi mpana linalohusisha Mawaziri wa SADC wenye dhamana ya Fedha na Uwekezaji na Magavana wa Benki Kuu, walikutana kwa njia ya mtandao tarehe 15 Julai...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tangaza Biashara Yako Au Bidhaa Yako Kwenye Mtandao huu Kwa BEI NZURI Kabisa

Tunakaribisha  matangazo  ya  aina  zote( Bishara, Viwanja, Bidhaa, matangazo ya Vyuo na mengine mengi)  .Bei  zetu  ni  nzuri  sana  na  kamwe  hutajuta  kutangaza  biashara  yako  kupitia  mtandao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkatatue Matatizo ya Wananchi – Rais Magufuli

Na.Immaculate Makilika – MAELEZORais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amewataka viongozi wateule kwenda kutatua matatizo ya wananchi katika maeneo yao.  Akizungumza katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli: Sijamtuma mtu kugombea ubunge na Hakuna Kiongozi yeyote...

Rais Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi amesema kuwa hadi Julai 16, 2020 asubuhi zaidi ya wanachama 8,000 wa chama hicho walikuwa wametia nia ya kugombea ubunge.Rais Magufuli...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Takukuru Manyara yastukia Viongozi wa CCM Kuondoa Majina ya wapiga kura za...

Na John Walter-BabatiTaasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa, imewaonya viongozi wa chama cha Mapinduzi (CCM)  ambao wanaondoa majina ya wapiga kura halali wa kura za maoni na kubandika majina ambayo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benard Membe apokelewa Rasmi ACT Wazalendo....Hizi ni Kauli Zake Baada ya...

Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje nchini na Mbunge wa Mtama kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bernard Membe, amejiunga rasmi na chama cha upinzani cha ACT-Wazalendo na kueleza sababu ya kujiunga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JKT Yatangaza Majina ya Vijana Waliochaguliwa Kujiunga na Mafunzo Mwaka 2020

Na Mwandishi Wetu- Dodoma Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza majina ya vijana waliohitimu kidato cha sita kutoka shule zote za Tanzania Bara  waliochagulwa  kujiunga na mafunzo ya Jeshi hilo kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa July 17

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yawakumbusha Wasanii Na Wabunifu Kujisajili Cosota

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Membe akubali kuwania Urais wa Tanzania 2020

Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje nchini Tanzania amekubali ombi la wanachama wa ACT-Wazalendo la kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 2020.Membe ametoa kauli...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mafunzo Ya Kilimo Yalenge Kuwa Cha Kibiashara - Katibu Mkuu Kusaya

Wakufunzi wa mafunzo ya Kilimo nchini wameagizwa kufanya kazi kwa weledi  kwa lengo la kuwafundisha wanafunzi kuelewa na kuwa mahili katika kilimo kibiashara.  Agizo hilo limetolewa leo Jijini Mbeya na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Viongozi Mbalimbali......yumo Mkuu wa Mikoa,...

Rais John Magufuli leo Julai 17, 2020 amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali kama ifuatavyo;Kwanza, Rais Magufuli amemteua Dkt. Jumanne Fhika kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe. Kabla ya uteuzi huo, Dkt....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Joshua Nassari Ajitosa Tena Kugombea Ubunge Kupitia CCM

Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki (CHADEMA) kabla ya kuvuliwa Ubunge na baadaye kuamua kuhamia CCM, Joshua Nassari amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge kwa mara nyingine tena katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bodi ya mikopo elimu ya juu yafungua dirisha la maombi kwa siku 40, yatoa...

Tunapenda kuwafahamisha wanafunzi wahitaji wanaotarajia kuomba mikopo ya elimu ya juu inayotolewa na Serikali kupitia HESLB kuwa mfumo wa uombaji wa mkopo kwa njia ya mtandao utakuwa wazi kwa siku 40...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkandarasi Wa Maji Iringa Apewa Wiki Nne Kukamilisha Mradi

NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mhandisi Anthony Sanga ametoa Wiki Nne kwa Mkandarasi Kampuni ya GNMS Contractors ya Iringa na Kampuni ya Hematec Investiment ya Dar es Salaam kukamilisha ujenzi wa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>