Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wanafunzi Form One "Wakacha" shule Dodoma

$
0
0
Ikiwa ni wiki moja sasa tangu shule zifunguliwe Mkoani Dodoma ni wanafunzi 18 kati ya 274 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza ndiyo waliofika kuanza masomo yao katika shule tatu za kata Wilayani Mpwapwa. Hayo yamebainika jana katika ziara ya kushtukiza ya Ofisa elimu Mkoa wa Dodoma, Juma Kaponda aliyoifanya katika wilaya hiyo na kujionea hali halisi ya ukosefu wa wanafunzi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>