Msanii wa filamu za Kibongo, Lungi Maulanga, amesema kuwa mpenzi wake
amekuwa akimsaliti kila kukicha huku akihisi kuwa, huenda wanawake
anaowafuata huko nje wanampa mapenzi kinyume na maumbile.
Akizungumza Gpl Lungi alisema kuwa siku chache
zilizopita alilia sana kutokana na usaliti aliofanyiwa na mpenzi wake
aliyemhifadhi kwa jina, akasema aliamua kumsamehe kwa kuwa anampenda.
↧