Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Afisa Mtendaji wa Kijiji ashushiwa kipigo, Vunjo......Kosa lake ni kuchakachua matokeo ya uchaguzi wa Wenyeviti

$
0
0
Wananchi wa kijiji cha Nduoni kata ya Kirua Vunjo magharibi mkoani Kilimanjaro wamefunga ofisi ya kijiji na kumpiga afisa mtendaji wa kata hiyo kwa madai ya kuchakachua matokeo ya uchaguzi uliopita kwa kumtangaza mgombea wa Chama Cha Mapinduzi kuwa mshindi badala ya mgombea wa chama cha NCCR Mageuzi.   Wananchi hao walikusanyika katika ofisi ya kijiji hicho wakiwa na mabango

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>